Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nikipi ulichoandika kina ekeweka...?? Wewe mwenye umevurugwa ....Unaongelea hiki, kabla hakijaisha umedakia hiki...Vurugu tupu..Language iz simpl az u can complict it.bt i hope yu gat da message....simply bcoz we are in the world of violated principal and laws governing language,this y tunakijuta tunaandika in different styl but najua ulipata ujumbe...
Keep on understanding things hidden ..
Najua ipo siku mtaelewa tu..wenye uelewa washatia kwara ila wale wenye akili ngumu kama jiwe bado wapo wanabisha..najua hata darasan lazima ndez hawakosi..
Au cio ninja...[emoji4] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mwisho ni lini..??Kutokana na mahasi kuongezeka Mungu hakutaka kuwa dictator kwamba ufanye anavotaka bali alitoa nafasi, means alikupa uchaguzi kati ya NURU na GIZA alafu mwisho wa dahali/dunia ndipo kutatolewa hesabu.
Mkuu umesisitiza tusome maandiko..Nimekuuliza ni maandiko yapi..? Au ni hiki kitabu cha Wakatoliki kiitwacho Biblia..??Ha ha ha
Anajua hata maana ya source, zaidi ya kukwambia ka-google..Mtoa mada tupe source ya habari yako na sisi tuipitie wenyewe.
Huyu Raphew peter nataka nimbananishe kwenye kona halafu nimchape za uso...KWELI WEWE NI ''MKATOLIKI'' HASWAA!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Baada ya kumuumba mwanadamu akampa akili amemwachia uhuru wa kuamua kuongoka au kupotea..ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!
kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee mtoa mada ni msabato kupitia alichoandikaAliyekwambie mtoa mada ni msabato ni nani? Na ni lini wasabato walitabiri mwisho wa dunia? Uongo unakupa ushindi wa siku moja tu!
Acha uongo wewe yesu angekuja kufanya nini kama aliwaacha wajiamulie wenyeweBaada ya kumuumba mwanadamu akampa akili amemwachia uhuru wa kuamua kuongoka au kupotea..
mmmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!
kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
Hakuna lolote kama walishindwa kufanya dunia iwe under one gvt miaka ya 1700-1900 kipondi ambacho utandawazi haupo ,watu ni wachache,watu ni wajinga wataweza sasa hv kwenye kizazi hiki.
Kama Yesu kaja kuokoa mbona wanazidi kupotoka? Mbona binadamu anazidi kuangamia katika uovu? Mbona ushetani umeshikiliwa na kanisa? Hiyari Iko kwenye moyo wa mwanadamu baada ya kuwa ameshajua mabaya na mazuri.Acha uongo wewe , yesu angekuja kufanya nini kama aliwaacha wajiamulie wenyewe
Mungu ndie anamtafuta binadam
mmmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
Kanisa sio shetani bali ushetani wa mtu ni mtu mwenyeweKama Yesu kaja kuokoa mbona wanazidi kupotoka? Mbona binadamu anazidi kuangamia katika uovu? Mbona ushetani umeshikiliwa na kanisa? Hiyari Iko kwenye moyo wa mwanadamu baada ya kuwa ameshajua mabaya na mazuri.
ambayo weww mwanadamu wa kawaida ni ngumu au ni vigumu kujua