Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mungu alishakupa akili timamu

Ni jukumu lako kutafuta ukweli unaposubiri mapokeo ndo utaingia kwenye huo mkumbo

Just go and read it's simple

Ukitaka kumficha mtu andika
Mkuu naona umeongelea mapokeo...Kwani mapokeo ni kitu gani hasa...??
 
Kama Yesu kaja kuokoa mbona wanazidi kupotoka? Mbona binadamu anazidi kuangamia katika uovu? Mbona ushetani umeshikiliwa na kanisa? Hiyari Iko kwenye moyo wa mwanadamu baada ya kuwa ameshajua mabaya na mazuri.
Shetani ameshikiliwa na kanisa kivipi..?? Yani hebu fafanua..?? Ni kanisa gani hilo..?? Unaweza tupa mifano jinsi hilo kanisa lilivyomshika huyo sheteni..?? Ni jibu tafadhali
 
Kumbuka jins inavomwanini muumba wako kupitia biblia ndvyo hata shetani anakuja kupitia sehem ile ile unapoiamin biblia..kwa mana hiyo shetan inaofaham anaa bible kukuzid wew mwanadamu hasa mambo yalifichwa au kuwekwa wazi mule ndani..ndio mana na yeye lazima aje kupitia hiyo hiyo bible through false prophets..
 
Otorong'ong'o
Kumbe mafarisayo bado mpo eeh mpaka kizazi hiki?, angalia wenzako walivo uliza kwa akili zao;....
f80890ba6c4143932d2f9d234984a840.jpg


But nafahamu dhehebu lako halikupi nafasi kujisomea maandiko lakini leo nakupa nafasi ya kusoma mwenyewe; Mathayo 24:1...78.19%
 
ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!

kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?

Mkuu pamoja na elimu yangu ndogo, haya yote ni ubatili mtupu, period. Hakuna kingine zaidi ya kuzaliwa, kuishi na kifo. Mengine yote ni ujanja ujanja wa kuhakikisha unaishi vizuri hapa duniani. Kifo ndo mwisho wa yote. Hakuna kufufuka, kwenda peponi au jehanamu au kuishi milele wala hukumu ya aina yoyote ile.
Ishi kwa upendo, ushirikiano na jitahidi kuacha historia ya matendo mema. Live life the fullest.
 
Hizo stori za aina hiyo ukiingia google utazikuta nyingi sana. Ukweli kidogo chumvi nyingii.

Wewe unaamini benki zote Duniani zipo chini ya ya Jesuit? Unaamini hizo Freemason na Jesuit wana nguvu hizo za "Kimungu" mnazowapa?

Mnachosahau ni kuwa Wenzetu wamejenga Taasisi zao kama Jesuit kwa mamia ya miaka, kwa akili na bidii sana, ninyi mkiziona leo mnafikiri ni muujiza wa shetani.

Kwa mfano Catholic imepitia vipindi vingi vigumu kama kumeguka wengine na kuanzisha Ulutheri na Uanglikana. Kama Jesuit wangekuwa na uwezo wa Kimungu mnaowapa pengine wangezuia hilo lisitokee.

Kwa Waafrika jambo lolote likifanyika kwa umahiri na akili nyingi lazima tuwe mashaka (ugunduzi wa kisayansi, mafanikio a makampuni makubwa, mafanikio, ya Mtu mmoja mmoja nk) , tutaita uchawi ingawa siku hizi tunaita freemason nk
Hizo stori za aina hiyo ukiingia google utazikuta nyingi sana. Ukweli kidogo chumvi nyingii.

Wewe unaamini benki zote Duniani zipo chini ya ya Jesuit? Unaamini hizo Freemason na Jesuit wana nguvu hizo za "Kimungu" mnazowapa?

Mnachosahau ni kuwa Wenzetu wamejenga Taasisi zao kama Jesuit kwa mamia ya miaka, kwa akili na bidii sana, ninyi mkiziona leo mnafikiri ni muujiza wa shetani.

Kwa mfano Catholic imepitia vipindi vingi vigumu kama kumeguka wengine na kuanzisha Ulutheri na Uanglikana. Kama Jesuit wangekuwa na uwezo wa Kimungu mnaowapa pengine wangezuia hilo lisitokee.

Kwa Waafrika jambo lolote likifanyika kwa umahiri na akili nyingi lazima tuwe mashaka (ugunduzi wa kisayansi, mafanikio a makampuni makubwa, mafanikio, ya Mtu mmoja mmoja nk) , tutaita uchawi ingawa siku hizi tunaita freemason nk
Iyo mgawanyiko wa anglikan na luthera n kutokana na hawajaama kugundua kuwa catholic liko chini ya himaya hiyo that why hawajamaa hawakuweza kutolerate situation nakuamua kutimka zao na kuunda makanisa yao yasio fungamana na ushetani
 
Hizo ni story za kisabato tumezizoea. Tunawafahamu kwa tafsiri za kinabii za uongo. Wasabato walishatabiri mpaka mwisho wa dunia lakini hakuna kitu. Kwa kifupi hawaelewi wanaposoma biblia maana hawatofautishi kati ya utawala wa kirumi wa zamani na kanisa la RC, ambavyo ni vitu viwili tofauti. Hata huyo mnyama ambaye wanakesha kwenye makambi wanatangaza alikuwa kiongozi wa ufalme wa kirumi na sio kanisa la Rc. Saivi wamekuja na hii mpya, na haitafanikiwa. Kama unahitaji ufafanuzi nitafute kwa wakati wako nikusomeshe
 
Do you know what is third eye? Umeandika upuuzi wewe mwenyewe usioujua.
 
mk
Iyo mgawanyiko wa anglikan na luthera n kutokana na hawajaama kugundua kuwa catholic liko chini ya himaya hiyo that why hawajamaa hawakuweza kutolerate situation nakuamua kutimka zao na kuunda makanisa yao yasio fungamana na ushetani
mkuu umesikia wapi hizi story hahahah dah kama hujui acha kutengeneza hivyo vitu unaweza kunisaidia kwanini angalikana walijitenga na lutheran pia?
 
M/Mungu yupo na nguvu zake ni madhubuti kweli kweli,na uwezo mkubwa juu ya kila kitu,akitaka jambo litokee yeye hutamka tu hutokea.Usiwe na shaka na hilo.
Pili,mwanadamu yupo kwenye mtihani hapa duniani,na kaonywa kuhusu shetani kwamba ni adui yake,akimfuata atampeleka pabaya.Mgogoro umeibuka miongoni mwetu;wengine wameona shetani anawafaa kuwaendeshea mambo yao,wengine wanasema hayupo,wengine wanajitahidi kujihadhari nae.Hapa ndipo tatizo lilipo.M/Mungu ni mwenye hekima sana.Kwa fujo hizi,angeamua kuadhibu,ataadhibu na wasiokuwamo kwa hiyo ameamua kutoingilia 'mnyukano' wetu kwa kuwa muongozo katoa,mitume walikuja (sio hawa wa zama hizi),akili tumepewa.Kwa hiyo tupo kwenye mtihani,kuchagua batili au haki.

Kwann mungu mwenye upendo wote awape watu wake mtihani hali ya kuwa yeye ameshafamu matokeo ya huo mitihani????

Ikiwa yesu alikufa msalabani kwa ajili yetu ili tuwe huru huu mitihani ni wann tena??
 
Illuminate are secret society, but the good thing is that Satan or Devil is not in the secret society. Satan is openly operating so everyone has the right to know which is of God (Jehova/Yahweh) or not. I plead to every great thinker to read the bible for it is full of knowledge and understanding. From the bible one will get to know demonic plans. For example;
1. The bible wants marital relations be of man and woman, the devil wants man to man
2. The bible wants marital sex to use male and female sex organs, the devil would entice people to use use anus instead
3. The bible want families to reproduce ans subdue the earth, Satan wants abortion, family planning, etc
4. The bible wants every mankind to follow Jesus, the devil wants mankind to be comfortable with their man made religions
Generally, every of God, Satan puts it a reverse. Currently even the the bible King James version, is re written as queen James.

Una hakika gani kuwa mungu wako ndio Wa kweli?
 
Wakuu hali ya maisha yetu ya baadae inatisha. Ni jukumu na maamuzi yetu kuamua tunavyotaka. Lakini "Wamtumainio Bwana ni kama Mlima Sayuni hawatatikisika Milele Daima"
 
Back
Top Bottom