Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

prophat muhhamad(saw) ktk koran ameambiwa mara nyingi wewe ni mwonyaji tu kazi yako ni kufukisha ujumbe tu kwa wanadamu lkn hawezi kuongoa mtu ana haki ya kuchagua njia mara baada ya kupata elimu ya vitabu yan koran,torati,zaburi,na injili ipi ni sahihi na ipi si sahihi.kinacho nishangaza kuona walipewa kitabu yaani wahayudi na wakiristu wanasema yesu/nabii issa a.s amekuja kuokoa dunia sasa najiuliza ameokoa nini wakati ndo kwanza maa'si yameongezeka na uvunjifu wa duniani umeongezeka zaidi?je huyo yesu alikufa wakati kazi ya kuokoa ulimwengu ilimshinda.kama yesu yeye ndio kaanzisha ukiristu na kawachia viongozi wake mbona hao ndio wanaosimamia ushetani.jamani dini ya haki ni uislam tu nyingine ni porojo za wanadamu
 
prophat muhhamad(saw) ktk koran ameambiwa mara nyingi wewe ni mwonyaji tu kazi yako ni kufukisha ujumbe tu kwa wanadamu lkn hawezi kuongoa mtu ana haki ya kuchagua njia mara baada ya kupata elimu ya vitabu yan koran,torati,zaburi,na injili ipi ni sahihi na ipi si sahihi.kinacho nishangaza kuona walipewa kitabu yaani wahayudi na wakiristu wanasema yesu/nabii issa a.s amekuja kuokoa dunia sasa najiuliza ameokoa nini wakati ndo kwanza maa'si yameongezeka na uvunjifu wa duniani umeongezeka zaidi?je huyo yesu alikufa wakati kazi ya kuokoa ulimwengu ilimshinda.kama yesu yeye ndio kaanzisha ukiristu na kawachia viongozi wake mbona hao ndio wanaosimamia ushetani.jamani dini ya haki ni uislam tu nyingine ni porojo za wanadamu

Uciseme ivo...kila m2 yuko na imani yake kama me nasema ukristo till I die
 
tatizo wakiristo mnaamini yesu ndio kaokoa dunia kvp wakati wakat majanga yanaendelea
 
Shetani ameshikiliwa na kanisa kivipi..?? Yani hebu fafanua..?? Ni kanisa gani hilo..?? Unaweza tupa mifano jinsi hilo kanisa lilivyomshika huyo sheteni..?? Ni jibu tafadhali
Tofautosha neno "ushetani" kama lilivyotumika kwenye post yangu na neno shetani ulilotumia kuuliza swali lako, ukipata tofauti rejea main thread utapata majibu ya swali lako.
 
g

Kwenye BIBLIA nakukatalia kabisa.
Romani Catholic wamepambana kuficha ukweli wa BIBLIA.
Wamediliki hata kuchoma wahubiri moto na kuwakata vichwa ili neno la Mungu lisosambae duniani!!
Lakini kwa nguvu za Mungu aliye hai hata siri zao sasa zinafichuka!!
Hilo ni somo zuri uzijue siri za kishetani!!
Una uhakika na hiki ulichoandika...??? Hahahaha...Kanisa lifiche biblia waliyobuni wao..?? Ili iweje..? Hebu nipe ushihidi jadidi hapa ni lini na ninani alihusika kuficha biblia..Angalia nisihe ukaumbuka na stori za vijiweni au lesson..

Halafu hakuna kitu kinaitwa "Roman Catholic" hii sijui umeitoa wapi..

Halafu ni ukweli gani huo ulifichwa na kanisa katoliki...???

Biblia imekamilika mwaka 300 AD chini ya mtaguso wa Efeso vikiwa na idadi ya vitabu 72 au 73...Martin Luther kwa ushetani ulimuoingia akapunguza vitabu vya agano la kale..
 
mmmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
Huelewi we we,mleta mada yupo sahihi,kunasheria za ki Bank ukizijua utagundua alichomaanisha mleta mada
 
Mbona unaniforce kujibu? Nimekwambia rejea thread uone ushetani unaofanywa na Kanisa katoliki.... Failure to do so unatambaa...
Hakuna kitu cha maana ulichoandika zaidi ya copy and paste za google ambazo likely wahuni wa kisabato wameandika..

Leta hoja ya maana tujadili...Huo upuuzi uliandika hata kichaa hawezi soma...ndo unauita ukweli....Kapime akili ndugu haraka...utakuwa na matatizo makubwa..
 
Huelewi we we,mleta mada yupo sahihi,kunasheria za ki Bank ukizijua utagundua alichomaanisha mleta mada
Unajua maana ya "sahihi" ..?? Hizo sheria za kibenk ni zipi we zuzu..?? Wewe uluyezijua hizo sheria hebu zieleze hapa wataalamu tuzichambue..

Hii nchi ina mazuzu wengi...
 
Hakuna kitu cha maana ulichoandika zaidi ya copy and paste za google ambazo likely wahuni wa kisabato wameandika..

Leta hoja ya maana tujadili...Huo upuuzi uliandika hata kichaa hawezi soma...ndo unauita ukweli....Kapime akili ndugu haraka...utakuwa na matatizo makubwa..
Hebu rejea ID ya aliyeandika then uje uzoe hili povu ulilomwaga hapa...
 
Kama uliweza msa-support huyo **** mwenzako aliye-copy takataka za google huna tofauti naye...

Akili zeni wote zina giza tororo..
Kama zilivyo za kwako...
Kama alichoandika ni upuuzi weka hoja za kupinga na sio kutoa povu kwa kila post unayoona...
 
kaikoa vipi nyie nyumbu wa ukiristo mbona hatoi hoja ya maana
 
Back
Top Bottom