Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo lessoni ya jana yote mlijifunza huu upuuzi..??Mkuu,your logic makes sense lakini nikuambie tu ni kuwa,mipango hii haikuanza jana kutawala ulimwengu. Kwahio usikurupuke.
Hebu angalia kuhusu magonjwa,vyakula,nk. Sasa hvi hata Tanzania inataka kugeuka jangwa unadhani ni bahati mbaya?
Wanataka kuhakikisha kuwa watu wanapungua kwa kutumia chakula na magonjwa kawanza then vita. Oh yeah,vitu vingi vinaonekana ni normal sana aise
Huko umeenda mbali mkuu!..ukoo wake tu unamtoa jasho!!!Mtu anajua siri za Freemason kuliko historia ya chief Mkwawa, uongo wa hali ya juu sana
Hata yule wa upande mwingine alitumia alama za hawa jamaa wakati wa kampeni.Chunguza kwa umakini.Nakubaliana na wewe mleta mada kwa upande mmoja.
Najumbuka uchaguzi wa Tanzania uliopita, nadhani hii nguvu ya "Papa mweusi" ilifanya kazi. Naimani Lowassa alushindwa sababu alikuwa mluteri japo ilionekana kuwa alikuwa na wafuasi wengi kumshinda yule wa upande mwingine ila tatizo Nathani alikuwa na msimamo unaopingana na huyo Papa mweusi.
Mkuu,your logic makes sense lakini nikuambie tu ni kuwa,mipango hii haikuanza jana kutawala ulimwengu. Kwahio usikurupuke.
Hebu angalia kuhusu magonjwa,vyakula,nk. Sasa hvi hata Tanzania inataka kugeuka jangwa unadhani ni bahati mbaya?
Wanataka kuhakikisha kuwa watu wanapungua kwa kutumia chakula na magonjwa kawanza then vita. Oh yeah,vitu vingi vinaonekana ni normal sana aise
We umejuaje kama kasema ukweli? Kwani kila kilichopo Google ni kina facts? Au umeamua kumuunga mkono mpendwa mwenzako!mkuu sio kwasababu ni msabath no ni kwasababu kasema ukweli na kama unaona ni uongo njoo na facts za ku criticize[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Mhe. Benki sio jina bali ni Vigezo ie. financial muscles, otherwise hata village community banks (VICOBA:- navyo vingehusika) Mi nadhani mwandishi alikusudia kusema AAA rated Banks (Multinational Banks) ambazo almost bank zote duniani zina corresponding account zao huko (for world wide fund transfers etc) so indirectly "wanacontrol Mabenk yote"mmmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] povu naona linawatoka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]We umejuaje kama kasema ukweli? Kwani kila kilichopo Google ni kina facts? Au umeamua kumuunga mkono mpendwa mwenzako!
M/Mungu yupo na nguvu zake ni madhubuti kweli kweli,na uwezo mkubwa juu ya kila kitu,akitaka jambo litokee yeye hutamka tu hutokea.Usiwe na shaka na hilo.ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!
kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
Hapana jamaa ypo sahihi sana maana hta kabla ya uchaguz nilisikia hvyohvyo mm kwmba yy hawez shnda kwsabab cyo roman Catholic na ndyo sabab alinyimwa nafac ple ccm
Sio povu mpendwa, nimeuliza tu kama vyote vilivyo Google, vina ukweli!?[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] povu naona linawatoka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yaani neno hili tu, ndo limekufanya u quote habari yote!?Waaaao!
Yaani neno hili tu, ndo limekufanya u quote habari yote!?
Hzo zote n exams na unatakiwa upasiha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!
kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
Mkuu,your logic makes sense lakini nikuambie tu ni kuwa,mipango hii haikuanza jana kutawala ulimwengu. Kwahio usikurupuke.
Hebu angalia kuhusu magonjwa,vyakula,nk. Sasa hvi hata Tanzania inataka kugeuka jangwa unadhani ni bahati mbaya?
Wanataka kuhakikisha kuwa watu wanapungua kwa kutumia chakula na magonjwa kawanza then vita. Oh yeah,vitu vingi vinaonekana ni normal sana aise
We jinsia gani?Waaaao!
Hahaha mkuu imebidi tu nimuulize jinsia yake.....Yaani neno hili tu, ndo limekufanya u quote habari yote!?
We jinsia gani?