Sijui yupo wapi labda kakaa kama observant.ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!
kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?
Mimi sio mkatoliki lakini iluminat wanalichafua sana kanisa katoliki kwa kua wana msemaji mmoja anaesema ndio au hapana
Ukweli ni upi..?? Maana naona uzushi na uongo tuu..Acheni udhehebu. Suala sio ukatoliki wala ulutheri wala usabato, hoja ya msingi ni kupambanua kujua ukweli upi na uongo upi? Si kila jambo ni kubisha tu
Hata mimi naweza andika huko google kuwa kandere ni shoga au freemason halafu nikakuambia ingia google andika Kandere utaona inakuambia ni shoga na freemason...Naungana na mleta Mada, na kama kuna mtu anabishaa aende Google, andika " the black pope" afu utaona nn kitatoke.
Nakubaliana na wewe...Ujinga ni tatizo kubwa sana Afrika. Siku ukiisha hamtasikia hizi stori za aina hii kuhusu Freemason, Illuminat nk.
Mh!! Mi pia nimemwelewa aiseee!!!!Wachache watakuelewa..nini unamaanisha...ila its my prayer watu wakuelewe unamaanisha nini mkuu_coz una hoja nzito sana.
Mtu anajua siri za Freemason kuliko historia ya chief Mkwawa, uongo wa hali ya juu sanaUjinga ni tatizo kubwa sana Afrika. Siku ukiisha hamtasikia hizi stori za aina hii kuhusu Freemason, Illuminat nk.
Afadhali na wewe umeona. Ukiwakuta wanavyohadithiana vijiweni unaweza kuona aibu wewe. Sishangai kuona albino wakiuwawa kama fikra zetu ziko hivyoMtu anajua siri za Freemason kuliko historia ya chief Mkwawa, uongo wa hali ya juu sana
Wanaudhi sana, wakati mwingine unajiuliza binadamu anayehifadhi na kuamini stori anazoziita Siri, utashi wake na akili zake anazitumia katika mambo gani.Afadhali na wewe umeona. Ukiwakuta wanavyohadithiana vijiweni unaweza kuona aibu wewe. Sishangai kuona albino wakiuwawa kama fikra zetu ziko hivyo
Nakubaliana na wewe mleta mada kwa upande mmoja.
Najumbuka uchaguzi wa Tanzania uliopita, nadhani hii nguvu ya "Papa mweusi" ilifanya kazi. Naimani Lowassa alushindwa sababu alikuwa mluteri japo ilionekana kuwa alikuwa na wafuasi wengi kumshinda yule wa upande mwingine ila tatizo Nathani alikuwa na msimamo unaopingana na huyo Papa mweusi.
Leo ndo mmelishana ujinga huu kwenye lessoni..??Bila kusahau kuwa hakuna Rais wa nchi yeyote duniani atkayeshinda bila kupendekezwa na
Hakuna lolote kama walishindwa kufanya dunia iwe under one gvt miaka ya 1700-1900 kipondi ambacho utandawazi haupo ,watu ni wachache,watu ni wajinga wataweza sasa hv kwenye kizazi hiki.