Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Kwa hiyo lessoni ya jana yote mlijifunza huu upuuzi..??
 
Hata yule wa upande mwingine alitumia alama za hawa jamaa wakati wa kampeni.Chunguza kwa umakini.
 

hivi vitu unavyovisema ni kutokana na mabadiliko ya nyakati duniani nayo huchangiwa na vitu vingi ikiwepo population ya watu ,technologia,na shughuli za kiuchumi lakini sio hizo sababu kama ulizozisema hapo.sikatai kuna vingine vinatengenezwa kwa madhumuni bt si vyote kama ambavyo wanataka tuamini vichwani mwetu.
Pia sijawa kuona takwimu zozote hapa duniani kuwa watu wanapungua kadri miaka inavyo endelea bali kuongezeka-na kama ndivyo nini kinafanya watu kuongezeka??? ndio maana narudi kwenye hoja yangu ile ile hata wangetaka kupunguza population ya dunia ingewezekana kipindi kile sio sasa??
 
mkuu sio kwasababu ni msabath no ni kwasababu kasema ukweli na kama unaona ni uongo njoo na facts za ku criticize[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
We umejuaje kama kasema ukweli? Kwani kila kilichopo Google ni kina facts? Au umeamua kumuunga mkono mpendwa mwenzako!
 
mmmh! wanamiliki benki zote! hata meru community bank na njombe community bank?
Mhe. Benki sio jina bali ni Vigezo ie. financial muscles, otherwise hata village community banks (VICOBA:- navyo vingehusika) Mi nadhani mwandishi alikusudia kusema AAA rated Banks (Multinational Banks) ambazo almost bank zote duniani zina corresponding account zao huko (for world wide fund transfers etc) so indirectly "wanacontrol Mabenk yote"
 
We umejuaje kama kasema ukweli? Kwani kila kilichopo Google ni kina facts? Au umeamua kumuunga mkono mpendwa mwenzako!
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] povu naona linawatoka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
M/Mungu yupo na nguvu zake ni madhubuti kweli kweli,na uwezo mkubwa juu ya kila kitu,akitaka jambo litokee yeye hutamka tu hutokea.Usiwe na shaka na hilo.
Pili,mwanadamu yupo kwenye mtihani hapa duniani,na kaonywa kuhusu shetani kwamba ni adui yake,akimfuata atampeleka pabaya.Mgogoro umeibuka miongoni mwetu;wengine wameona shetani anawafaa kuwaendeshea mambo yao,wengine wanasema hayupo,wengine wanajitahidi kujihadhari nae.Hapa ndipo tatizo lilipo.M/Mungu ni mwenye hekima sana.Kwa fujo hizi,angeamua kuadhibu,ataadhibu na wasiokuwamo kwa hiyo ameamua kutoingilia 'mnyukano' wetu kwa kuwa muongozo katoa,mitume walikuja (sio hawa wa zama hizi),akili tumepewa.Kwa hiyo tupo kwenye mtihani,kuchagua batili au haki.
 
Dah hii topic kama inaukwel cz nakumbuka nilivofukuzwa loyola
 
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] povu naona linawatoka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sio povu mpendwa, nimeuliza tu kama vyote vilivyo Google, vina ukweli!?
 
Hzo zote n exams na unatakiwa upasi
 

Mkuu kuwa serious kidogo Tz kuwa jangwa wao wanahusika kivip hapo? Kwani sio sisi watz wenyewe tunaokata miti kwa ajili ya mkaa na kuni? Sasa mvua itapatikanaje ilihali misitu tunavyeka? Jiografia ya form one inatosha kabisa kujua "rain formation"......mkuu hapo kwenye jangwa elaborate plzzzzzz!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…