Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

"Kuna baadhi ya viongozi wa nchi wanasema Yanga ifungwe, sasa kwa hali hii Refa hawezi kuchezesha mpira" MPIRA”.

Huyo ni moja ya mzee wa Yanga akiwalalamikia baadhi ya viongozi wa Serikali ambao wekuwa wakiipa sapoti Simba


Jemedari Saidi ambaye kwa sasa ni Mchambuzi na CEO wa klabu ya JKT Tanzania ameshutumiwa na wazee wa Yanga kuwa anaisema vibaya klabu yao bila sababu.

 
"Jemedari anachuki na Yanga binafsi sisi tunajua, kuna kitu alikitaka Yanga akanyimwa basi amejenga chuki ndani ya Yanga"

Mwinyi Mtaluke Mangala mjumbe wa baraza la wazee wa Yanga.

"Kuna mtu anaitwa Jemedari Said, tunachotaka tujue huyu Jemedari Said yeye ni mchambuzi au ni kiongozi wa timu gani kwa sababu yeye kila siku ni kuisema Yanga tu, na amethubutu kusema baada ya mechi ya jana kwamba Yanga inabidi wachunguzwe".

Kiongozi wa baraza la wazee wa Yanga , Mzee Msumi.
download.jpeg
 
Hao wazee ni WAPUMBAVU NA WAJINGA..... Wala hakuna haja ya kusikiliza watu waliozeeka akili.... HAO NI WAPUMBAVU NA TAKATAKA..... unahitaji nini kujua yanga wanapanga matokeo??? Hersi anajifanya anajua halafu analeta wapuuzi kama hawa kutetea usengerema wa kipuuzi wa kununua mechi??? HATA GOLI WALILOPATA SINGIDA NI MIPANGO YA YANGA ILI KUFUKIA. SIKU HIZI HATA HAKUNA HAJA YA KUFUATILIA LIGI YA KIPUMBAVU HII.
 
Ubaya ubwela
 

Attachments

  • zakazakazi_20250218_p_3570697882927496279_1_3570697563363537735.mp4
    2.8 MB
Si Yanga mwenzao huyo, sasa wanagombania nini?
 
Hao wazee ni WAPUMBAVU NA WAJINGA..... Wala hakuna haja ya kusikiliza watu waliozeeka akili.... HAO NI WAPUMBAVU NA TAKATAKA..... unahitaji nini kujua yanga wanapanga matokeo??? Hersi anajifanya anajua halafu analeta wapuuzi kama hawa kutetea usengerema wa kipuuzi wa kununua mechi??? HATA GOLI WALILOPATA SINGIDA NI MIPANGO YA YANGA ILI KUFUKIA. SIKU HIZI HATA HAKUNA HAJA YA KUFUATILIA LIGI YA KIPUMBAVU HII.
Wewe nenda ukale kwanza ilo povu unalotoa inawezekana bado ujala ata kula,,Taka taka ni zile zinazotegemea wakina Tatu malogo ili kupata point kuwa na adabu
 
Back
Top Bottom