Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

Hao wazee ni WAPUMBAVU NA WAJINGA..... Wala hakuna haja ya kusikiliza watu waliozeeka akili.... HAO NI WAPUMBAVU NA TAKATAKA..... unahitaji nini kujua yanga wanapanga matokeo??? Hersi anajifanya anajua halafu analeta wapuuzi kama hawa kutetea usengerema wa kipuuzi wa kununua mechi??? HATA GOLI WALILOPATA SINGIDA NI MIPANGO YA YANGA ILI KUFUKIA. SIKU HIZI HATA HAKUNA HAJA YA KUFUATILIA LIGI YA KIPUMBAVU HII.
Hivi shida nini nyie mnaoisimanga Yanga. Mechi ya kwanza tuliwafunga kule Zanzibar mbona hamkupanic kiasi hiki. Hawa Singida walifungwa mbili bila na KMC na Yanga wakawafunga hawa KMC sita kwa moja. Jamani kafungwa Singida mnaumia mambumbumbu wa soka shida nini. Tulieni sindano iwaingie taratibu.
 
Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

"Kuna baadhi ya viongozi wa nchi wanasema Yanga ifungwe, sasa kwa hali hii Refa hawezi kuchezesha mpira" MPIRA”.

Huyo ni moja ya mzee wa Yanga akiwalalamikia baadhi ya viongozi wa Serikali ambao wekuwa wakiipa sapoti Simba


Jemedari Saidi ambaye kwa sasa ni Mchambuzi na CEO wa klabu ya JKT Tanzania ameshutumiwa na wazee wa Yanga kuwa anaisema vibaya klabu yao bila sababu.

Wamalize matatizo na magoma!
 
IMG_8024(0).jpeg
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Hao wazee ni WAPUMBAVU NA WAJINGA..... Wala hakuna haja ya kusikiliza watu waliozeeka akili.... HAO NI WAPUMBAVU NA TAKATAKA..... unahitaji nini kujua yanga wanapanga matokeo??? Hersi anajifanya anajua halafu analeta wapuuzi kama hawa kutetea usengerema wa kipuuzi wa kununua mechi??? HATA GOLI WALILOPATA SINGIDA NI MIPANGO YA YANGA ILI KUFUKIA. SIKU HIZI HATA HAKUNA HAJA YA KUFUATILIA LIGI YA KIPUMBAVU HII.
Mjinga mmoja kama wewe ukiacha kufuatilia mechi za NBC unaleta effect ipi Kwa mashabiki zaidi ya M20 wa yanga?
 
Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

"Kuna baadhi ya viongozi wa nchi wanasema Yanga ifungwe, sasa kwa hali hii Refa hawezi kuchezesha mpira" MPIRA”.

Huyo ni moja ya mzee wa Yanga akiwalalamikia baadhi ya viongozi wa Serikali ambao wekuwa wakiipa sapoti Simba


Jemedari Saidi ambaye kwa sasa ni Mchambuzi na CEO wa klabu ya JKT Tanzania ameshutumiwa na wazee wa Yanga kuwa anaisema vibaya klabu yao bila sababu.

Ile kauli ya Manara kuhusu watu wa hii timu itaishi milele.
 
Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

"Kuna baadhi ya viongozi wa nchi wanasema Yanga ifungwe, sasa kwa hali hii Refa hawezi kuchezesha mpira" MPIRA”.

Huyo ni moja ya mzee wa Yanga akiwalalamikia baadhi ya viongozi wa Serikali ambao wekuwa wakiipa sapoti Simba


Jemedari Saidi ambaye kwa sasa ni Mchambuzi na CEO wa klabu ya JKT Tanzania ameshutumiwa na wazee wa Yanga kuwa anaisema vibaya klabu yao bila sababu.

Vipi bidhaa za Azam tuendelee kuzisusa.?Au hili wamelisahau?
 
Wazee wa Yanga waibuka sakata la mechi ya Singida, wamshukia Jemedari Said pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali wanao sapoti Simba

"Kuna baadhi ya viongozi wa nchi wanasema Yanga ifungwe, sasa kwa hali hii Refa hawezi kuchezesha mpira" MPIRA”.

Huyo ni moja ya mzee wa Yanga akiwalalamikia baadhi ya viongozi wa Serikali ambao wekuwa wakiipa sapoti Simba


Jemedari Saidi ambaye kwa sasa ni Mchambuzi na CEO wa klabu ya JKT Tanzania ameshutumiwa na wazee wa Yanga kuwa anaisema vibaya klabu yao bila sababu.

"wazee wameshakula mihogo yao wanakuja kubwabwaja tu"

~Injinia
 
Jemedari aka Sauti ya wasio na sauti.

Yanga ni timu iliyoasisiwa na watu wasiokuwa na elimu hivyo lazima wawachukie watu wenye elimu na wenye kuongea ukweli na uwazi kama vile Jemedari Said bin Kazumari
 
Bado tunahoji ubwege ule wa kupanga matokeo kipumbavu hadi Doto Magari anajua mmefumdishwa na wanasiasa wa CCM ambao wanakimbia na box ya kura mchana kweupe peeee
 
Hao wazee ni WAPUMBAVU NA WAJINGA..... Wala hakuna haja ya kusikiliza watu waliozeeka akili.... HAO NI WAPUMBAVU NA TAKATAKA..... unahitaji nini kujua yanga wanapanga matokeo??? Hersi anajifanya anajua halafu analeta wapuuzi kama hawa kutetea usengerema wa kipuuzi wa kununua mechi??? HATA GOLI WALILOPATA SINGIDA NI MIPANGO YA YANGA ILI KUFUKIA. SIKU HIZI HATA HAKUNA HAJA YA KUFUATILIA LIGI YA KIPUMBAVU HII.
Bro kwa nia njema naomba unieleweshe Yanga wamepangaje matokeo dhidi ya Singida?
 
Back
Top Bottom