Mjumbe wa kamati kuu ya CCM amuomba Askofu Mwamakula kumfikishia ujumbe wake kwa Wananchi kuhusu mkataba wa bandari Ili asifukuzwe uanachama

Usimwamini Mwanasiasa yoyote anayeongelea kwamba anapinga mkataba wa DP World huku akiogopa kuvuliwa uanachama na chama chake

Wanasiasa ni Watu Waongo na Wanafiki sana

Mbarikiwe sana!
 
Usimwamini Mwanasiasa yoyote anayeongelea kwamba anapinga mkataba wa DP World huku akiogopa kuvuliwa uanachama na chama chake

Wanasiasa ni Watu Waongo na Wanafiki sana

Mbarikiwe sana!
Na wengine post kama hizo ni spinners tu, mimi naamini hakuna mwanasiasa yeyote aliyeongea hayo.
 
Usimwamini Mwanasiasa yoyote anayeongelea kwamba anapinga mkataba wa DP World huku akiogopa kuvuliwa uanachama na chama chake

Wanasiasa ni Watu Waongo na Wanafiki sana

Mbarikiwe sana!
Na si wengine.Ni wa CCM kwamba wanaogopa kufukuzwa uanachama.Mipuuzi kweli.
 
Usimwamini Mwanasiasa yoyote anayeongelea kwamba anapinga mkataba wa DP World huku akiogopa kuvuliwa uanachama na chama chake

Wanasiasa ni Watu Waongo na Wanafiki sana

Mbarikiwe sana!
ccm tuijuayo kwenye jambo la mwenyekiti wao, na slogani yao ya zidumu fikra za mwenyekiti, na jambo hili lingekuwa lina maslai mapana kwa taifa ungeona vibration na amshaamsha nchi nzima na maandamano juu kupongeza juhudi za mama, lakini nafsi zinawauma, zinawauma, kusaliti rasilimali za nchi, utaifa umekuwa mkubwa mioyoni mwao. na wameonyesha kwa vitendo kuwa hili jambo halina baraka, na wana hofu ya dhambi ya usaliti, binafsi nawaelewa

ni wachache sana wanaoongea lakini sura na mioyo yao inapishana.
 
 
 
Hizi zote ni mali zao. Sisi wametuazima gu Oxygen tuweze kuishi.

Na wakiamua wataizima na yenyewe.

Wanakwambia Nchi hii ni yao ccm na ccm ina wenyewe
 
100% perfect
 
Ajabu sana, Samia amelikoroga haswa.
 

Hiyoo imeenda hiyo imeendaaa
 
If this information is real and stands it is real, the crack is growing. Nyufa ni kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…