Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA aliyebuni project ya " CHADEMA ni Msingi" ahamia CCM na kupaponda Ufipa!

Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA aliyebuni project ya " CHADEMA ni Msingi" ahamia CCM na kupaponda Ufipa!

Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye ndiye msomi pekee mbobezi aliyebuni miradi mbalimbali ndani ya chama ukiwemo ule wa CHADEMA ni msingi amehamia CCM na kupokelewa na mwenezi wa chama ndugu Polepole.

Chanzo: Channel ten!

Maendeleo hayana
Anaitwa nani?
 
Sasa kama huyajui kwanini unapenda kudandia usivyovijua bwashee, ona sasa utakosa usingizi usiku huu, bora Zitto angekuwa ameshalala!.
Bwashee unaelewa maana ya kumnukuu mtu kupitia reliable source ya habari kama Channel ten?
 
Kama Zitto anasema kweli basi yule mjumbe wa CC ya Chadema aliyehamia CCM amefanya kosa la kiufundi kumdanganya Katibu wa Itikadi na Uenezi mbele ya camera.

Tena akaomba salamu zake zifikishwe kwa mwenyekiti na Katibu mkuu
Na TV ya Lumumba ikaweka breaking news
 
Kama Zitto anasema kweli basi yule mjumbe wa CC ya Chadema aliyehamia CCM amefanya kosa la kiufundi kumdanganya Katibu wa Itikadi na Uenezi mbele ya camera.

Tena akaomba salamu zake zifikishwe kwa mwenyekiti na Katibu mkuu
Wote matapeli tu hapo
Huyo mjumbe na katibu wenu hakuna mwenye nafuu
 
Bwashee unaelewa maana ya kumnukuu mtu kupitia reliable source ya habari kama Channel ten?
Your reliable source channel ten... I like that!. halafu umekariri wachaga tu bwashee, Tz ina makabila sijui mia ngapi huko, hebu jifunze na hayo mengine...
 
Kama Zitto anasema kweli basi yule mjumbe wa CC ya Chadema aliyehamia CCM amefanya kosa la kiufundi kumdanganya Katibu wa Itikadi na Uenezi mbele ya camera.

Tena akaomba salamu zake zifikishwe kwa mwenyekiti na Katibu mkuu
Sio kwamba akina Polepole hawajui, kuna game inachezwa ili wapige hela, kinachofanyika ni justifications za kula hela za jiwe, watafanyaje maana hiyo ndio style ya jiwe, na wao inabidi waitumie kupiga hela wakati huo huo wanamlizisha jiwe kuwa tumekuletea vifaa toka csm, na huenda wanao nunuliwa wakawa ni watu wa tiss wenyewe, wanajitengenezea kamradi wa kupiga hela, na ndio maana kila mwaka trillion lazima zipotee.
 
Your reliable source channel ten... I like that!. halafu umekariri wachaga tu bwashee, Tz ina makabila sijui mia ngapi huko, hebu jifunze na hayo mengine...
Wachagga na Wakinga majina yao ni maalumu sana kwa mfano Lyatonga!
 
Duuh ama kweli CCM hamnazo aisee... chadema ni msingi ina zaidi ya miaka 8 sasa toka ianzishwe...acha ajipigie hela za mapimbi wa chatto...
 
Sio kwamba akina Polepole hawajui, kuna game inachezwa ili wapige hela, kinachofanyika ni justifications za kula hela za jiwe, watafanyaje maana hiyo ndio style ya jiwe, na wao inabidi waitumie kupiga hela wakati huo huo wanamlizisha jiwe kuwa tumekuletea vifaa toka csm, na huenda wanao nunuliwa wakawa ni watu wa tiss wenyewe, wanajitengenezea kamradi wa kupiga hela, na ndio maana kila mwaka trillion lazima zipotee.
Chakubanga amekuwa bilionea katika hii project ya kununua wapinzani uchwara,alikuwa anapiga pasu kwa pasu.
 
Huu ni uwongo. CHADEMA ni Msingi tuliibuni Mwaka 2004 ( tukianza kuita CHADEMA ni Tawi). Huyo mtu unayemsema ametoka wapi? Ni mwongo huyo
Siku hizi siasa pia ni biashara, watu wananunuliwa, hivyo hiyo ni marketing strategy to add value. Hata ungekuwa bado uko Chadema, ukaamua kujiuza, ili upate dau kubwa lazima ufanye value addition hata kudanganya mfano "mimi ndio the only think tank wa Chadema", just to get good price kwa kuonyesha " mimi ndio kila kitu" " mimi ndio tegemeo lao":"

Bila mimi, hakuna CC ya Chadema" ili jamaa wajione wamenunua mali yenye thamani sana!, kwenye sales & marketing strategies kwa biashara zote, mbinu hizi zinakubalika, hata kwenye biashara ya siasa!.

Kitu ambacho nakisubiri kwa hamu ni kuangalia kama wachezaji wote wa kulipwa walionunuliwa kwa dau nene, wote watapangwa kwenye mechi?.
P
 
Kama Zitto anasema kweli basi yule mjumbe wa CC ya Chadema aliyehamia CCM amefanya kosa la kiufundi kumdanganya Katibu wa Itikadi na Uenezi mbele ya camera.

Tena akaomba salamu zake zifikishwe kwa mwenyekiti na Katibu mkuu

Kimsingi hajafanya kosa, hicho ndio haswa alichokikusudia. Mie sio mtaalam wa mambo ya siasa ila hili la wahamiaji kupapatikiwa na kuthaminiwa pindi wanapovuka mpaka kunauwezekano huko mbele likakigharim chama.
 
Siku hizi siasa pia ni biashara, watu wananunuliwa, hivyo hiyo ni marketing strategy to add value. Hata ungekuwa bado uko Chadema, ukaamua kujiuza, ili upate dau kubwa lazima ufanye value addition hata kudanganya mfano "mimi ndio the only think tank wa Chadema", just to get good price kwa kuonyesha " mimi ndio kila kitu" " mimi ndio tegemeo lao":" bila mimi, hakuna CC ya Chadema" ili jamaa wajione wamenunua mali yenye thamani sana!, kwenye sales & marketing strategies kwa biashara zote, mbinu hizi zinakubalika, hata kwenye biashara ya siasa!.

Kitu ambacho nakisubiri kwa hamu ni kuangalia kama wachezaji wote wa kulipwa walionunuliwa kwa dau nene, wote watapangwa kwenye mechi?.
P


Hiyo afadhali, mbaya zaidi ni ile hata wanunuzi wanajua kabisa kwamba wanachonunua hakina thamani sana zaidi ya kunufaika na uhamiaji ila wako radhi watengeneze mazingira huyo wanaemnunua aonekane alikua mtu muhimu ndani ya chama atokacho japo kwenye kamera tu.

Ukute wanufaikaji ni wengi kwenye huu mfumo mzima wa manunuzi.
 
Hiyo afadhali, mbaya zaidi ni ile hata wanunuzi wanajua kabisa kwamba wanachonunua hakina thamani sana zaidi ya kunufaika na uhamiaji ila wako radhi watengeneze mazingira huyo wanaemnunua aonekane alikua mtu muhimu ndani ya chama atokacho japo kwenye kamera tu.

Ukute wanufaikaji ni wengi kwenye huu mfumo mzima wa manunuzi.
Naunga mkono hoja, na kufuatia uwepo wa bidha fake, kuna baadhi ya wanunuzi wananunua bidhaa fake kwa bei ya juu wakiamini ni original!, na ukiwa huijui original, ukiuziwa fake na kuambiwa ndio yenyewe, lazima utafika tuu bei!, muda wa kujua kuwa uliuziwa fake, ni wakati wa performance, by then it will be too late.
P
 
Huu ni uwongo. CHADEMA ni Msingi tuliibuni Mwaka 2004 ( tukianza kuita CHADEMA ni Tawi). Huyo mtu unayemsema ametoka wapi? Ni mwongo huyo
Asante Mh Zito! Mh sasa mnaendaje kwenye uchaguzi wakati CCM for sure itatumia mbinu kama za uchaguzi wa serikali za mitaa kupora ushindi wako/wenu wapinzani wa kweli?
 
Back
Top Bottom