Unauliza tena? Huyo si muungwana. Utawajua tu!Bwashee wahenga walisema muungwana akivuliwa nguo huchutama, sasa mbona wewe bado umesimama?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza tena? Huyo si muungwana. Utawajua tu!Bwashee wahenga walisema muungwana akivuliwa nguo huchutama, sasa mbona wewe bado umesimama?!
Kasuku. No research, funga mdomo. Kwani kila ukisomacho lazima kukinukulu? Ulinukulu kubebea upuuzi wako kumbe mbeleko tambala bovu. Limeachia ukatumbukiwa nyongo. Bwashee kawa meku!Mimi nimemnukuu mjumbe wa CC ya Chadema bwashee.
Mambo ya Chadema ni msingi mimi ningeyajulia wapi meku?
Watu wameshajua kuna pesa za bure, wataziachaje? Na mimi nahamia huko kwa muda nikachukue mshiko wangu wa kutosha. Nitawaambia mimi ndiye nilikuwa mshauri wa Mzee Mtei na Bob Makani. Najua Slow Slow atanipokea kwa mbwembwe zote na TBC watarusha live[emoji23]Kuna nini Chadema mbona wanapakimbia? Au ndio siku ya kufa nyani miti yote huteleza?
ila picha inavyoonyesha hawa wote walionunuliwa baada ya uchaguzi kazi wanayo,wanaweza wasipate fadhila na mission wameshaimalizaNaunga mkono hoja, na kufuatia uwepo wa bidha fake, kuna baadhi ya wanunuzi wananunua bidhaa fake kwa bei ya juu wakiamini ni original!, na ukiwa huijui original, ukiuziwa fake na kuambiwa ndio yenyewe, lazima utafika tuu bei!, muda wa kujua kuwa uliuziwa fake, ni wakati wa performance, by then it will be too late.
P
Chama cha wazee utakijua tu, kila kikipata mtu toka chama cha vijana utasikia wanasema huyu ndio kijana mwenye nguvu kabisa. Na uzuri sasa hivi watu toka cdm wameshajua ile 1.5t haijaisha, kila mtu akitoka cdm akifika ccm anawaambia yeye ndio alibuni kitu fulani. Kesho akienda mwingine toka Cdm, akifika ataawaambia yeye ndio alibuni nembo ya cdm na ni msomi wa nguvu, hapo analamba 10m yake hardcash. Nani ataacha hela za Mabwege waliopanick kwenye siasa.
[/QU OTE]
Mh...1.5 tril inatumika kununua wanachama toka Cdm?
Bado kuna kundi kubwa lazima liondoke kwa mkupuo.Kuna nini Chadema mbona wanapakimbia? Au ndio siku ya kufa nyani miti yote huteleza?
Nakubaluana na wewe, kama alivyonunuliwa Waitara, alitamba sana kuwa yeye ndiye ataizika kabisaaaaa Chadema na kweli akaukwaa Unaibu Waziri, lakini hadi leo hii yeye ndye anaelekea kujizika.Siku hizi siasa pia ni biashara, watu wananunuliwa, hivyo hiyo ni marketing strategy to add value. Hata ungekuwa bado uko Chadema, ukaamua kujiuza, ili upate dau kubwa lazima ufanye value addition hata kudanganya mfano "mimi ndio the only think tank wa Chadema", just to get good price kwa kuonyesha " mimi ndio kila kitu" " mimi ndio tegemeo lao":" bila mimi, hakuna CC ya Chadema" ili jamaa wajione wamenunua mali yenye thamani sana!, kwenye sales & marketing strategies kwa biashara zote, mbinu hizi zinakubalika, hata kwenye biashara ya siasa!.
Kitu ambacho nakisubiri kwa hamu ni kuangalia kama wachezaji wote wa kulipwa walionunuliwa kwa dau nene, wote watapangwa kwenye mechi?.
P
Dau likiwa kubwa na yeye dalali anapiga cha juu kikubwa zaidi, si unaona madalali wa vyumba walivyoparamisha bei za vyumba hapa mjini.Hiyo afadhali, mbaya zaidi ni ile hata wanunuzi wanajua kabisa kwamba wanachonunua hakina thamani sana zaidi ya kunufaika na uhamiaji ila wako radhi watengeneze mazingira huyo wanaemnunua aonekane alikua mtu muhimu ndani ya chama atokacho japo kwenye kamera tu.
Ukute wanufaikaji ni wengi kwenye huu mfumo mzima wa manunuzi.
Asante kwa kuthibisha kuwa CCM inanunua wapinzaniSiku hizi siasa pia ni biashara, watu wananunuliwa, hivyo hiyo ni marketing strategy to add value. Hata ungekuwa bado uko Chadema, ukaamua kujiuza, ili upate dau kubwa lazima ufanye value addition hata kudanganya mfano "mimi ndio the only think tank wa Chadema", just to get good price kwa kuonyesha " mimi ndio kila kitu" " mimi ndio tegemeo lao":" bila mimi, hakuna CC ya Chadema" ili jamaa wajione wamenunua mali yenye thamani sana!, kwenye sales & marketing strategies kwa biashara zote, mbinu hizi zinakubalika, hata kwenye biashara ya siasa!.
Kitu ambacho nakisubiri kwa hamu ni kuangalia kama wachezaji wote wa kulipwa walionunuliwa kwa dau nene, wote watapangwa kwenye mechi?.
P
Acha Watanzania wenye mioyo myepesi wakaonje 1.5+2.4 Trillions za wezi.CCM wananunua mapapai,mpapai wenye nao wanahakikisha unazaa matunda yanayovutia kila siku ili waroho waendelee kununua.Huu ni uwongo. CHADEMA ni Msingi tuliibuni Mwaka 2004 ( tukianza kuita CHADEMA ni Tawi). Huyo mtu unayemsema ametoka wapi? Ni mwongo huyo
Yeyote anayehama CHADEMA utasikia waliobaki CHADEMA wanasema - kanunuliwa, ni mwongo, hakuwa mwanachama, alikuwa ameisha fukuzwa, ni...... na..... Acha aende treini inaenda kigoma yeye kashuka njiani n. k.Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye ndiye msomi pekee mbobezi aliyebuni miradi mbalimbali ndani ya chama ukiwemo ule wa CHADEMA ni msingi amehamia CCM na kupokelewa na mwenezi wa chama ndugu Polepole.
Chanzo: Channel ten!
Maendeleo hayana
Mkuu Magwangala, hili sio tu nimelizungumzia hadi kulaani rushwa ya ahadi ya kuteuliwa kugombea tena.Asante kwa kuthibisha kuwa CCM inanunua wapinzani
👏👏👏👏👏👏Huu ni uwongo. CHADEMA ni Msingi tuliibuni Mwaka 2004 ( tukianza kuita CHADEMA ni Tawi). Huyo mtu unayemsema ametoka wapi? Ni mwongo huyo
Huyo si alikuwa mwenyekiti wa halimashauri au?
Hiyo njaa anaitoa wapi?
Hahaha huyo jamaa atakua amemtapeli Dr. Bashiru mchana kweupe.Huu ni uwongo. CHADEMA ni Msingi tuliibuni Mwaka 2004 ( tukianza kuita CHADEMA ni Tawi). Huyo mtu unayemsema ametoka wapi? Ni mwongo huyo
Taifa la wajinga na mang'ombeChama cha wazee utakijua tu, kila kikipata mtu toka chama cha vijana utasikia wanasema huyu ndio kijana mwenye nguvu kabisa. Na uzuri sasa hivi watu toka cdm wameshajua ile 1.5t haijaisha, kila mtu akitoka cdm akifika ccm anawaambia yeye ndio alibuni kitu fulani. Kesho akienda mwingine toka Cdm, akifika ataawaambia yeye ndio alibuni nembo ya cdm na ni msomi wa nguvu, hapo analamba 10m yake hardcash. Nani ataacha hela za Mabwege waliopanick kwenye siasa.
Uko sahihi kabisa, mimi hii niliikuta wakati najiunga CHADEMA mwaka 2006....CHADEMA ni Tawi ambayo imekuja baadae kubadilishwa na kuitwa CHADEMA ni MSINGI.Huu ni uwongo. CHADEMA ni Msingi tuliibuni Mwaka 2004 ( tukianza kuita CHADEMA ni Tawi). Huyo mtu unayemsema ametoka wapi? Ni mwongo huyo
Sio wote mpaka wachezeshwe, hata kwenye timu kubwa wakinunua wachezaji wanakaa bench mda kidogo ili wazoehe mazingira labda yule atakaye zoea mazingira haraka na kuendana na mfumo wa kocha. Ni chadema tu walio sajili mchezaji hata kabla ya wiki wakampa nafasi muhimu ya ushambuliaji wakati hajafanya hata mazoezi kisa mzoefu, kilichowapata nyinyi mashaki mnakijua. Hakina kocha mzuri anaweza kufanya Ujinga huo wakupanga mchezaji kabla ya kufanya naye mazoezi.Siku hizi siasa pia ni biashara, watu wananunuliwa, hivyo hiyo ni marketing strategy to add value. Hata ungekuwa bado uko Chadema, ukaamua kujiuza, ili upate dau kubwa lazima ufanye value addition hata kudanganya mfano "mimi ndio the only think tank wa Chadema", just to get good price kwa kuonyesha " mimi ndio kila kitu" " mimi ndio tegemeo lao":" bila mimi, hakuna CC ya Chadema" ili jamaa wajione wamenunua mali yenye thamani sana!, kwenye sales & marketing strategies kwa biashara zote, mbinu hizi zinakubalika, hata kwenye biashara ya siasa!.
Kitu ambacho nakisubiri kwa hamu ni kuangalia kama wachezaji wote wa kulipwa walionunuliwa kwa dau nene, wote watapangwa kwenye mechi?.
P
Sababu za Simba kununua mchezaji wa Yanga huwa ni tatu. Ya kwanza - anawasumbua sana kila wakicheza nao lazima awafunge. Mchezaji mwenyewe si mchezaji wa maana. Anabahati tu ya kuifunga Simba. Ya pili - uwezo tu wa kununua mchezaji wa Yanga. Ulevi usio na tija yoyote. Ya tatu - mchezaji mzuri wa kuwafaa na namba yake ipo wazi. Vivyo hivyo vyama. Sababu ya tatu alikuwa anaicheza marehemu Hiza Tambwe kote alikoenda! Hawa wengine benchi linawahusu. Mbwembwe za kuwachukua ziliishia kuwakosesha usingizi upande wa pili. Kelele za mwenye nyumba, je, zinamnyima mpangaji usingizi?Siku hizi siasa pia ni biashara, watu wananunuliwa, hivyo hiyo ni marketing strategy to add value. Hata ungekuwa bado uko Chadema, ukaamua kujiuza, ili upate dau kubwa lazima ufanye value addition hata kudanganya mfano "mimi ndio the only think tank wa Chadema", just to get good price kwa kuonyesha " mimi ndio kila kitu" " mimi ndio tegemeo lao":"
Bila mimi, hakuna CC ya Chadema" ili jamaa wajione wamenunua mali yenye thamani sana!, kwenye sales & marketing strategies kwa biashara zote, mbinu hizi zinakubalika, hata kwenye biashara ya siasa!.
Kitu ambacho nakisubiri kwa hamu ni kuangalia kama wachezaji wote wa kulipwa walionunuliwa kwa dau nene, wote watapangwa kwenye mechi?.
P
Hapa unazungumzia watu kulenga uteuzi,au unao ushahidi kuwa watu huwa wanapewa mlungula ili wahamie Ccm ?Maana sisi tunaoushahidi wa vinywa vyao wakisema wao huwa hawanunuliwi bali wamemkubali JPM na Ccm kwa kufanya yale waliokuwa wanayatarajia.Mkuu Magwangala, hili sio tu nimelizungumzia hadi kulaani rushwa ya ahadi ya kuteuliwa kugombea tena.
Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!
P