Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Sasa huyo rafiki yako kazama au position ya mshikaji imemzamisha

Hapo position ya mchizi ndo ilimfanya azamee mana kwa wanawake usipokua na mwonekano basi atleast uwe na vihela ili umpate sasa demu akuzungushe weee afu badae ajue wewe ni mtu fulani afu ndo akukubalie apo unadhan ni nn kimemleta kwako?? Obviously ni pesa na sio kingine
 
Nnaomba unitumie vitabu hivi through embackgrace@gmail.com
 
James hakukosea ila James amejikita kwenye Uhalisia zaidi kuhusu tabia za wanawake so demu akahisi jamaa anamchoraaa...
James hakukosea. Alikutana na mwanamke tofauti na wanawake walio wengi. Na wanawake wa namna hiyo wako wachache sana. Walio wengi wanaangalia neema zilizo kuzunguka. Gari nzuri, kazi nzuri, maisha mazuri n.k ili akitoa invoice isiwe shida kulipwa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hahahaaa. Wanawake wa jinsi hiyo huwa nawaona hawajielewi au wanatuona sisi ni wajinga na huwa wanajikosesha mengi. Atoe kwanza ushirikiano ndio aome hiyo 50K. Siwezi toa 50k bila kuwa na uhakika au viashiria vya uhakika vya kuiona ile triangle.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unatongozwa kadri unavoonekana... Hio ndio sheria ya Wanaume....

Upo Bar,,, utaambiwa nataka mzigo tunafanyaje.... bei. nk
Umevaa kimalaya utatongozwa kimalaya hvohvo.
Upo Bank,, utaombwa namba ya simu.......
Umekaa kisifa sifa,, supa wumani,,, utatongozwa kisifasifa hvohvo...

Usiwapangie watu mitongozo,,, Kazi yako iwe kukataa au kukubali... Coz mbinu isiyofanya kazi kwako ilifanya kwa mwenzako..
OVER..
 
"Ila amenikosa"

Hii kauli inanipa ujumbe flani kwamba wewe ni mtu wa aina gani...
 
nikisema wewe ni Anita shija nitakuwa nimekosea mkuu
 
Kam kweli umemdrop umefanya vyema Ni mjinga atakuwa muhaya huyo ila pia ulikosea pale ungeenda kumuandikia msg Kali namna hi uliotuma huku jf akili s mkae sawa na aone kwamba siyo kila mwanamke anashoboka na magari ishu Zak
Very good kujiamini Ni muhimu San unaweza usiwe. Na gar Ila unaconfidence
 
Shukrani sana bibi author Anita shija, promo yako nimeieleewa . Nice ads
 
Mkuu, mimi napitaga na mademu bila ata ya kusema neno. Issue ni feelings, haukumpenda huyo chalii.

Usidanganye watu wakasome vitabu mpaka macho yapasuke, hakunaga skills wala jitihada, hayo ni mapenzi hayana formula
Mapenzi yanahusika kwa namna moja ama nyingine na saikolojia pamoja na social skills..

Ni kitu unachoweza kujifunza kabisa na uakawa vizuri kwenye sekta hiyo,

Sio wote wana akili nzuri ya kutongoza na kuinteract na watu wa jinsia tofauti (kutokana na malezi na maosha aliyopitia mtu inawe,a kumuathiri).
 
Sikuwa tayari. Sivutiwi na wanaume wasiojiamini. Na sio mimi tu. Kujiamini ndio silaha kuu ya kuvuta warembo.
Simply, huna shida ya kupata mwenza, maybe tayari unayo na Kama hauna Basi wewe una age ya twenties!
 
Wadada wa kibongo ndo mnapokosea, huyo jamaa bado humfaham kabisa, na hiyo ni tabia ya wanaume wote.. Kama uko single, kwani ungekufa kumpigia na kumfaham zaidi?
Hiyo ya kujikweza sio tabia ya wanaume wote ni baadhi tu, na tabia hizo zina wa turn off sana wanawake wenye akili zao timamu na wanaojiamini kwa uzuri wao trust...

Ni lazima uelewe , unajikwezwa una BMW, gari ambazo huyo mtoto wa kike toka yipo kindergarten hadi anamaliza chuo anaona wazazi wake wanabidili tu models???, hizo gia kalingishie huko uswazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…