Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Hakuna mahala nimesema ni NBC na wala sikutaja mkoa wala jina la tawi.
Ni huyo ,na hafanyi kazi tena huko ni mjasiliamali.

Huwa anasema bado yuko bank

Ulivyoandika ni huyo tu.

Hela anayo anajua anakopata.
 
Hongera sana bila shaka wewe ni Mwanamke wa Shoka siyo Wanawake wengine wakisikia Gari wanachanganyikiwa.
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.
Huenda alitaka umuuzie mzigo, ale kisha asepe zake.. Huenda alikuona umekaa kimalaya malaya..

Sasa akutongoze kwa staha ili iweje mamangu, wakati ni suala tu la kulipana Pesa?
 
Unamtongoza mwanamke kisha anakujibu kwa nyodo "kwanza wewe sio taipu yangu", halafu baada ya siku kadhaa yeye ndiye anakuwa wa kwanza kukutafuta ili ukampe borlo kwa namna alivyokwisha kunogewa
 
😂😂
Aisee!

Why ulisoma hivyo vitabu vya wanaume?

Au ww ndo Anita Shija unafanya promo ya kitabu chako?

Anyway, asante kwa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…