Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Mkaka mzuri, ana magari na kazi nzuri ila amenikosa kwa utongozaji wake wa kitoto

Kaka umekaa vizuri kwenye viatu vya James. Lakini umeonesha moja ya dalili kuu za wanaume wasiojiamini. Nayo ni kuchukulia mambo too personal na kuumia kihisia wanapodhani wamedharauliwa. Unahitaji mafunzo ili uweze kujiamini. Legeza ubongo. Kuwa tayari kujifunza.
Hayo ni maoni yako kuhusu nilichoongea ila haibadilishi ukweli kuwa umekosea na sio muungwana.

Nimekuuliza swali mtu akisema ana miliki kitu gani wewe inakugharimu lita ngapi za damu?!

Anyways unataka kuplay 'reverse psychology' games then let me show u how its done.

Mimi pia naweza kusema wewe haujiamini and u need personality improvement kwasababu kwann umuogope mwanaume anaejitamba kwa mali zake...?!

Women always brag about them being fixers and bringing something special to the relationship with a man.

Wewe umepewa a very simple assignment ya kumbadili mwanaume ambaye anawekeza uanaume wake kwenye mali anapojiexpress....

Mbona umekimbia na umefeli kumshape huyo brother james ili awe better man with controlled and checked character, kwasababu last time i checked behind every composed and successful man there is a very smart, wise, supportive and understanding woman. Sasa if wewe ni best woman mbona umefeli kamtihani kadogo sana hako my dear?!

So kama umefeli kwa james utaweza kwa mtoto wako wa kiume kumsaidia asiwe na kitabia hicho kwa potential inlaws wako siku za mbeleni?!

Baby.... Its 21 century. U are supposed to be better than that. Sio kukimbia wanaume.
 
Ederra Me naona upo sahihi na hua sion ata umuhm wa kusema najishughulisha na nin mwanzon

Sina kawaida hata ya kumuuliza mtu anafanya kaz gan baada ya kuonana nae

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Hayo ni maoni yako kuhusu nilichoongea ila haibadilishi ukweli kuwa umekosea na sio muungwana.

Nimekuuliza swali mtu akisema ana miliki kitu gani wewe inakugharimu lita ngapi za damu?!

Anyways unataka kuplay 'reverse psychology' games then let me show u how its done.

Mimi pia naweza kusema wewe haujiamini and u need personality improvement kwasababu kwann umuogope mwanaume anaejitamba kwa mali zake...?!

Women always brag about them being fixers and bringing something special to the relationship with a man.

Wewe umepewa a very simple assignment ya kumbadili mwanaume ambaye anawekeza uanaume wake kwenye mali anapojiexpress....

Mbona umekimbia na umefeli kumshape huyo brother james ili awe better man with controlled and checked character, kwasababu last time i checked behind every composed and successful man there is a very smart, wise, supportive and understanding woman. Sasa if wewe ni best woman mbona umefeli kamtihani kadogo sana hako my dear?!

So kama umefeli kwa james utaweza kwa mtoto wako wa kiume kumsaidia asiwe na kitabia hicho kwa potential inlaws wako siku za mbeleni?!

Baby.... Its 21 century. U are supposed to be better than that. Sio kukimbia wanaume.
Upo sawa.
Sidhani kama unamtaka mwanamke utajitambulisha kwake kama "Nasibu Abdala" wakati umefanya kazi kubwa na kupata jina "Diamond Platnumz".
 
Sikuwa tayari. Sivutiwi na wanaume wasiojiamini. Na sio mimi tu. Kujiamini ndio silaha kuu ya kuvuta warembo.

Hao wanaume munaosema wanajiamini ndio vicheche wakubwa hapa mjini, Ukimuona mwanaume anakuface with full confidence ogopa sana, huyo ni mzinzi aliyekwishatunukiwa shahada ya udaktari wa uzinzi.

Baadae munaishia kuja kulia lia humu
 
Hao wanaume munaosema wanajiamini ndio vicheche wakubwa hapa mjini, Ukimuona mwanaume anakuface with full confidence ogopa sana, huyo ni mzinzi aliyekwishatunukiwa shahada ya udaktari wa uzinzi.

Baadae munaishia kuja kulia lia humu
Kaka unatuharibia aiseee ... SIJAPENDA
 
Nilikuwa nimekaa zangu kwenye mgahawa fulani. Akaja mkaka mzuri tu na alikuwa amependeza. Akakaa kiti cha mbele yangu.

"Mambo? Nimependa nikae na wewe hapa." Akaniongelesha.

"Haina shida." Nikajibu.

"Mbona huna kinywaji au chochote? Agiza chochote. Usikae kinyonge hivyo" Aliuliza.

Nikamjibu "Nimeagiza chakula. Ndio nakisubiri."

"Oh sawa. Vizuri tufahamiane. Me naitwa James, naishi (******). Nafanya kazi hapo (****) Bank kama branch manager. Nikufahamu na wewe please!"

"Naitwa Ederra. Naishi (******).". Nikajitambulisha.

Akaendelea na stori nyingine kwa dakika chache kisha akainuka na kusema angerudi pale punde. Baada ya dakika tatu akarudi.

"Nimerudi Ederra. Nilienda kuangalia gari yangu. Nilikuwa na wasiwasi kama nilikuwa nimepandisha vioo." Akasema huku akikaa tena kwenye kiti.

"Sawa. Karibu tena."

"Asante. Nilikuwa naogopa isije kunyesha mvua au watu wakaniibia KiBMW changu. Unajua gari yenyewe ni mpya nisije kupata hasara. Nilichoka kutembelea Harrier nikaona ninunue na hii"

"Yeah wasiwasi ndio akili." Nikamuunga mkono.

Chakula kikafika. Na yeye akaagiza. Nikawa naendelea kula huku nikisikiliza stori za magari yake, kazi yake nzuri, anapoishi na nyingine kama hizo mpaka nikamaliza kula.

Mhudumu alipokuja kuleta chakula cha jamaa nikamuomba bill.

"Acha tu nitalipa Ederra. Unalipaje wakati mimi niko hapa?" James akaingilia kati.

"Oh sawa. Nashukuru sana."

Nikamuaga kuwa naondoka. Akaniomba namba ya simu. Nikamwambia anipe yake ningemtafuta. Akanipa business card yake na kung'ang'ania nimpigie pale pale lakini nikamwambia asijali ningemtafuta tu. Nikaondoka.

Ile business card niliitupa kwenye dustbin baada ya kupotea kwenye upeo wa macho yake. Nisamehe James. Sio kwa ubaya.

Mwanaume unapotumia nguvu kutaka kuonesha magari unayoendesha, kazi yako unayoiona nzuri, unapoishi na mafanikio yako mengine kwa mwanamke ambaye ndiye kwanza unakutana naye unadhani ndiyo utamvutia?

Hii tabia haivutii. Meseji ya nje unayoileta kwa kufanya hivyo ni kuwa wewe ni mtu wa maana sana na mwenye mafanikio. Meseji hii ya nje sio inayoathiri mvuto wako kwenye akili ya mwanamke.

Meseji iliyojificha (ya ndani kabisa) ndio inayoathiri mvuto wako. Hiyo ni kwamba hujiamni na unadhani huna thamani wewe kama mwanaume na hivyo unalazimika kutumia vitu kama magari, kazi, mafinikio ili uonekane una thamani. Hakuna mwanamke anayejielewa anavutiwa na mwanaume wa hivi.

James asante kwa kunilipia chakula. Lakini wewe na wanaume wengine wenye akili kama zako badilikeni. Itawasaidia.

Jifunzeni kuwa na tabia zinazowavutia wadada. Mnaweza kusoma vitabu hivi viwili mtanishukuru baadae.

1) "UNLOCK HER LEGS: How to Effortlessly Attract Women..." By Dominic Mann

2) "MWANAUME WA DHAHABU : Jifunze Namna ya Kuwatawala Wanawake na Kutawala Mahusiano." By Anita Shija

Mwanaume tafuta uvisome yasije kukukuta ya James. Hasa hicho cha Kiswahili.

HII NI SAWA NA KUKUTANA NA MDADA
KAVAA NYWELE BANDIA, KAWEKA KUCHA BANDIA,KOPE BANDIA,KAJICHUBUA,HIZO MAKE UP USONI UTAFIKIRI KAPAKAA CHOKAA.
WA HIVI HATA KUMSALIMU NI MATUMIZI MABAYA YA SALAMU
 
Nahisi hukumuelewa mwenzio,alikosea padogo lakini hukumuelewa,siku hizi wadada wengi wanathamini mtu mwenye kitu au position,unaweza muongelesha mtu mtaani akakupuuzia alafu siku akikukuta kwenye position yako au eneo lako la kazi ndio anakuona wa maana analeta ukaribu..Nilichojifunza ni kwamba ukikutana na mdada kama ipo ndani ya uwezo play your best card,acha ajue wewe ni nani kama una hiyo karata,ili kupunguza uwezekano wa kukataliwa,vinginevyo play low kama una uhakika wa kuonana tena,ila huyo jama yako alizidisha sana.

Nimekumbuka kitu ulivosema mtu akikukuta kwenye position yako ndo anakuheshimu[emoji23][emoji119]


Back in secondary nilikuaga na rafiki angu mmoja nakaa kwao sasa kila siku asubuhi tukiwa tunaenda shule kuna kaka tulikua tunaonana nae anavaa tu kawaida huwezi ata jua kazi yake jamaa kila akijaribu kuongea na rafik angu anachomolewa yan akawa anamdharau mchizi kabisa anamwona ni mwanaume wa kawaida[emoji16] nyie Mungu huyu kuna siku si ndo akaumwa kwenda hospital akamkuta yule yule ndo daktari anaemtibuu woooiii kutoka hapo akaja kujua kua kumbe jamaa ana mawe yake vizuri tuu sio mtu wa shida kama alivokua anamfikiria hapo mwanzo[emoji16][emoji16] natokea hapo demu akazama kwa mchiziii[emoji1787]

What am trying kusema ni kwamba umeongea kitu kizuri wanawake sikuizii tunathamini sana kituu kuliko mtu mwemyew kuna mtu aliwahi niambia mwanamke anamoenda mwanaume kulingana na future yake na mwanaume anampenda mwanamke kulingana na past yake ko jamaa hakukosea sana kujitamba mana wanawake wengi tunaangalia uwezo wa mwanaume kwanza[emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]
 
Nimekumbuka kitu ulivosema mtu akikukuta kwenye position yako ndo anakuheshimu[emoji23][emoji119]


Back in secondary nilikuaga na rafiki angu mmoja nakaa kwao sasa kila siku asubuhi tukiwa tunaenda shule kuna kaka tulikua tunaonana nae anavaa tu kawaida huwezi ata jua kazi yake jamaa kila akijaribu kuongea na rafik angu anachomolewa yan akawa anamdharau mchizi kabisa anamwona ni mwanaume wa kawaida[emoji16] nyie Mungu huyu kuna siku si ndo akaumwa kwenda hospital akamkuta yule yule ndo daktari anaemtibuu woooiii kutoka hapo akaja kujua kua kumbe jamaa ana mawe yake vizuri tuu sio mtu wa shida kama alivokua anamfikiria hapo mwanzo[emoji16][emoji16] natokea hapo demu akazama kwa mchiziii[emoji1787]

What am trying kusema ni kwamba umeongea kitu kizuri wanawake sikuizii tunathamini sana kituu kuliko mtu mwemyew kuna mtu aliwahi niambia mwanamke anamoenda mwanaume kulingana na future yake na mwanaume anampenda mwanamke kulingana na past yake ko jamaa hakukosea sana kujitamba mana wanawake wengi tunaangalia uwezo wa mwanaume kwanza[emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]
Sasa huyo rafiki yako kazama au position ya mshikaji imemzamisha
 
Nimekumbuka kitu ulivosema mtu akikukuta kwenye position yako ndo anakuheshimu[emoji23][emoji119]


Back in secondary nilikuaga na rafiki angu mmoja nakaa kwao sasa kila siku asubuhi tukiwa tunaenda shule kuna kaka tulikua tunaonana nae anavaa tu kawaida huwezi ata jua kazi yake jamaa kila akijaribu kuongea na rafik angu anachomolewa yan akawa anamdharau mchizi kabisa anamwona ni mwanaume wa kawaida[emoji16] nyie Mungu huyu kuna siku si ndo akaumwa kwenda hospital akamkuta yule yule ndo daktari anaemtibuu woooiii kutoka hapo akaja kujua kua kumbe jamaa ana mawe yake vizuri tuu sio mtu wa shida kama alivokua anamfikiria hapo mwanzo[emoji16][emoji16] natokea hapo demu akazama kwa mchiziii[emoji1787]

What am trying kusema ni kwamba umeongea kitu kizuri wanawake sikuizii tunathamini sana kituu kuliko mtu mwemyew kuna mtu aliwahi niambia mwanamke anamoenda mwanaume kulingana na future yake na mwanaume anampenda mwanamke kulingana na past yake ko jamaa hakukosea sana kujitamba mana wanawake wengi tunaangalia uwezo wa mwanaume kwanza[emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]
haswa umenielewa maana yangu,Kwahiyo kwa uzoefu wangu kama unakutana na mdada kwenye yale mazingira ambayo unajua mtaonana tena tu,mfano mnaishi mtaa mmoja unaweza usifanye papara ili akujue taratibu.Lakini imetokea upo kikazi mji mwingine,umeenda restaurant kule,pap unakutana na mdada huyu hapa,na kesho una mpango wa kusepa,hapo lazima karata yako yenye nguvu lazima uiweke mezani,vinginevyo HUTOPATA NAMBA...ni aibu haya mambo yanatokea,wanawake wengi wanaangukia kwenye mikono mibaya sababu wanaume wameshajua udhaifu huo...
 
Yaani dunia ya sasa ujifunze kutongoza kwa kusoma vitabu?

Kila mwanamke ana approach yake kulingana na haiba yake. Huenda Janes alikosea kukusoma vizuri kwa haraka.
 
Kwa style ya Mshikaji akiitumia katika mademu 10 atapata 9 na huyo mmoja ataenda anaumia sana moyoni why kaipoteza hiyo nafasi...!! Wanawake wanapenda material things asilimia 99 hiyo moja ndo inaweza kuwa upendo ndo maana kama huna hela hata mkeo utapata tabu nae...! So kwa asilimia 99 jamaa alikua sahihi ila tu kama ana danganya bhasi wengi atakaowapata atawapoteza ndani ya muda mfupi...
 
Yaani dunia ya sasa ujifunze kutongoza kwa kusoma vitabu?

Kila mwanamke ana approach yake kulingana na haiba yake. Huenda Janes alikosea kukusoma vizuri kwa haraka.
James hakukosea ila James amejikita kwenye Uhalisia zaidi kuhusu tabia za wanawake so demu akahisi jamaa anamchoraaa...
 
James hakukosea ila James amejikita kwenye Uhalisia zaidi kuhusu tabia za wanawake so demu akahisi jamaa anamchoraaa...
Sure.
Jiulize hadi umri alio nao ametongozwa na wangapi, na wangapi amewaanzishia mada hata kama siyo JF?
 
Sure.
Jiulize hadi umri alio nao ametongozwa na wangapi, na wangapi amewaanzishia mada hata kama siyo JF?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Juzi kati nilichukua namba ya demu hata jina hatujajuana kasema ana shida ya vochaa nkamtumia tumechat kidogo akaomba 50K[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yani ni dak 5 baada ya kuweka vocha tu sasa hapo si balaaa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Juzi kati nilichukua namba ya demu hata jina hatujajuana kasema ana shida ya vochaa nkamtumia tumechat kidogo akaomba 50K[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yani ni dak 5 baada ya kuweka vocha tu sasa hapo si balaaa
Huenda neno my au dear umeshaitwa tayari ndani ya dakika hizo[emoji23]
 
Back
Top Bottom