Tetesi: Mkakati wa upigaji wa fedha katika anuani za makazi

Wanahesabu hadi vibanda vya wachoma mihogo, yaani kwenye stend za daladala lililo ndani ya hifadhi ya barabara
 
Wacha tule Tu
 
nasikia kuna halmashauri moja wao wanafanya hii kazi kwa siku 7 pekee sasa sijui hizo siku nyingine fedha atachukua nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…