Shiputiputi
Member
- Mar 15, 2021
- 56
- 55
Wanahesabu hadi vibanda vya wachoma mihogo, yaani kwenye stend za daladala lililo ndani ya hifadhi ya barabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha tule TuKuna taarifa kwamba upo MKAKATI wa makusudi wa upigaji wa fedha kwenye zoezi la anuani ya makazi 'postcodes' kwa baadhi ya wakurugenzi nguli, wabobezi , viburi na wasio na kwenye kutengeneza hila za wizi panapokuwa na fursa.
Mbinu wanayo ipigia mkakati ni
(1) kulipa pesa waajiriwa hewa ambao watajumuishwa kwenye zoezi bila kujitambua na majina yatakayotumika ni ya wake waliofanya interview na pia wengine walioshiriki mafunzo na kutochukuliwa.
(2) Uendeshaji wa zoezi kwa kuwapumzisha waajiriwa (ambapo wanakuwa hawalipwi siku za mapumziko) lakini kutoa malipo mfululizo ambapo malipo ya siku zote za mapumziko manguli hao watabeba na kutia kapuni
(3) Kulipa malipo tofauti kinyume na Yale ya 20,000/= yaliyoelekezwa ambapo baadhi watalipwa sahihi na baadhi hawatalipwa sahihi
(4) kuzuia malipo ya posho ya wawenyeviti wa mitaa/ vitongoji na hata baadhi yacwatendaji kwa hila mbalimbali ambapo wao kama wakurugenzi mwishoni watayaidhinisha na kushiba vizuri kabisa
Ni wajibu wa vyombo na mamlaka husika kufuatlia kwa ukaribu na kudhibiti haya.
Pccb inabidi ifanye kazi kwa ufanisi eneo hili wasisubiri kusukumwaHuu ni wizi systematic,sijui vyombo vitumie njia gani kuwahakiki.
Bora malipo yafanyike manually yaani watu physical.
Hao watu Kazi yao huwa sijui ni ipi yaani utakuta watu wa nje wanajua ufisadi wao wapo tuu.Pccb inabidi ifanye kazi kwa ufanisi eneo hili wasisubiri kusukumwa