6 Pack JF-Expert Member Joined Apr 17, 2022 Posts 2,819 Reaction score 5,996 Feb 20, 2025 Thread starter #81 Mmmh
6 Pack JF-Expert Member Joined Apr 17, 2022 Posts 2,819 Reaction score 5,996 Feb 20, 2025 Thread starter #82 Akilihuru said: πππ Click to expand... Usicheke ndugu yangu, mambo yanayofanyika nchini muda mungine ni aibu kuyavumilia.
Akilihuru said: πππ Click to expand... Usicheke ndugu yangu, mambo yanayofanyika nchini muda mungine ni aibu kuyavumilia.
RoDrick RaY JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 1,189 Reaction score 1,690 Feb 20, 2025 #83 Kabla ya lawama umefuatilia km mkandarasi kasharipwa pesa ya kaz Inawezekana mkataba wamesgn ila pesa kwa acc haijaingia
Kabla ya lawama umefuatilia km mkandarasi kasharipwa pesa ya kaz Inawezekana mkataba wamesgn ila pesa kwa acc haijaingia
6 Pack JF-Expert Member Joined Apr 17, 2022 Posts 2,819 Reaction score 5,996 Feb 20, 2025 Thread starter #84 RoDrick RaY said: Kabla ya lawama umefuatilia km mkandarasi kasharipwa pesa ya kaz Inawezekana mkataba wamesgn ila pesa kwa acc haijaingia Click to expand... Washalipwa stahiki zao, sema kama ilivyo ada sisi ni shamba la bibi halina mlinzi. Kila mtu anafanya anavyotaka bila kufuatiliwa na mtu yoyote.
RoDrick RaY said: Kabla ya lawama umefuatilia km mkandarasi kasharipwa pesa ya kaz Inawezekana mkataba wamesgn ila pesa kwa acc haijaingia Click to expand... Washalipwa stahiki zao, sema kama ilivyo ada sisi ni shamba la bibi halina mlinzi. Kila mtu anafanya anavyotaka bila kufuatiliwa na mtu yoyote.
6 Pack JF-Expert Member Joined Apr 17, 2022 Posts 2,819 Reaction score 5,996 Mar 14, 2025 Thread starter #85 πππ
6 Pack JF-Expert Member Joined Apr 17, 2022 Posts 2,819 Reaction score 5,996 Mar 14, 2025 Thread starter #86 RoDrick RaY said: Kabla ya lawama umefuatilia km mkandarasi kasharipwa pesa ya kaz Inawezekana mkataba wamesgn ila pesa kwa acc haijaingia Click to expand... Wameshalipwa mkuu. Tatizo ni wasimamizi wetu.. ni wazembe wa kufuatilia miradi yetu, wao kikubwa matumbo yao yaende chooni tu na kujenga mahekalu kupitia fedha za miradi.
RoDrick RaY said: Kabla ya lawama umefuatilia km mkandarasi kasharipwa pesa ya kaz Inawezekana mkataba wamesgn ila pesa kwa acc haijaingia Click to expand... Wameshalipwa mkuu. Tatizo ni wasimamizi wetu.. ni wazembe wa kufuatilia miradi yetu, wao kikubwa matumbo yao yaende chooni tu na kujenga mahekalu kupitia fedha za miradi.