Sheria ndio iko hivyo.
Ndio maana kuchukua kandarasi za ujenzi wa ofisi au miradi ya serikali inataka connection,maana ni kama betting,ukiishajenga tu ofisi tayari sio mali yako tena,ukifanya kama jamaa ni uhalifu unafanya.
Kazi yoyote ya umma inaambatana na wito kwanza.