Unaongea ujinga ,kwa hiyo miradi mikubwa mbona haikuwa na changamoto ,ni lini kama taifa tutajikomboa ,mbona hapo ruanda wanafanya makubwa tuWatu waliuliza Kwa nini tunafanya miradi mingi mikubwa kwa pamoja wakaitwa vibaraka wa mabeberu na wengine kama kina Lissu wakaambulia kupigwa risasi.
Hela tulizokuwa tunaambiwa zipo Kwa ajili ya hii miradi zimekwenda wapi?
Chawa watakujibu basi wao hudhani anajenga mwanzo mpaka mwisho kwa pesa zake hawajui certificate ndo zinalipwaMkandarasi ana jenga kwa hela za nani?
Si anamkatabaMwenye nyumba unamlipa pesa badala aziingize kwenye ujenzi ikiwa ni pamoja na kulipa mafundi na vibarua anaenda kulipia Madeni kwingine mradi wako unakwama.
Usiwe mjinga siku zote cheap is expensive ndio maana kigeso Cha mkandarasi mojawapo ni financial stability yake.
Hizo $1.8 billion ni za lot 3 (Makutopora mpaka Tabora) na lot 4 (Tabora mpaka Isaka), lot zote hizi mbili zinahitaji jumla ya $2.2 billion, hivyo kwa majibu wa maelezo mpaka sasa pesa iliopatikana kwa lot 3&4 ni $400 million na hivyo kufanya funding gape kuwa $1.8 billionHizi hela si ndo mradi mzima au .inaamaana hajalipwa hata kidogo
Yapi ni 10 kwa ubora na kazi zake ni za kisasa huweiz kusema yapi ni cheap company labda uwe unamakamasi kichwaniMwenye nyumba unamlipa pesa badala aziingize kwenye ujenzi ikiwa ni pamoja na kulipa mafundi na vibarua anaenda kulipia Madeni kwingine mradi wako unakwama.
Usiwe mjinga siku zote cheap is expensive ndio maana kigeso Cha mkandarasi mojawapo ni financial stability yake.
Wewe ndio mpumbavu na hakuna kitu unajua.Mbishie basi ndio huyo kasema Wana matatizo ya pesa.Mpumbafu ni ww International company hazifsnyi kazi hivyo ww dunga embe ,kuna swala la mkataba na collateral
Hao ni matapeli kama wale waarabu wa bwawa la Nyerere bila mchina napo ilikuwa zero kabisa.Yapi ni 10 kwa ubora na kazi zake ni za kisasa huweiz kusema yapi ni cheap company labda uwe unamakamasi kichwani
Kuwa na mkataba ndio kunafanyaje sasaSi anamkataba
Bila shaka mkuu, kuna wapumbavu wengi CCM wasiopenda maendeleo ya nchi hii
Mama anagawia kwa machawaa kiL siku ni kuongeza ukubwa wa serikal tu kupitia machawa mfana naibu waziri mkuuTunaseme hana hela, na selikali nayo haina?
Mnapokuwa machawa msinye akili zote.
Ni hivi bwana lichawa, mamako hana hela za huu mradi
Mnapoona pale juu mnaona kuna mtu pale?
10% za Jiwe ndio chanzo Cha kuleta makandarasi makanjanja 🤣🤣Mama anagawia kwa machawaa kiL siku ni kuongeza ukubwa wa serikal tu kupitia machawa mfana naibu waziri mkuu
Usjibozane na walamba substance kichwaniHuna hoja kupe
Mpeni pesa ajenge!
Kwani kama kajenga kote huko kuna shida gani mkimpa pesa mkamdai yeye kazi?
Ma.vi matupu
Wewe ni sawa na shavu la mbususu hakuna kitu unajua kuhusu uchumi na mikataba ya ujenzi ya KimataifaWw jamaa ni kitumbua hasa rudi ulichoandika ww zombi
Ndio lakin mradi ulikuwa unaenda vizuri sas huyu kibwengu wetu kipi lilochomsibuWewe alikuwa anaomba kisiri siri na kukopa
Wewe kichwani umejaa Damu ya hedhi ya mkwe wakoKichwan unamakamasi sio kwa aikili hizi. Kandarasi analipwa kwa certificate na sio financial status ww kima
Machawa huwa wanajizim data ili kumfurahisha bi mcheleNimpe mimi tena?
Hivi uchawa huwa unawatoa akili kabisa?
Mpeni hela mkandarasi ajenge hiyo reli acheni uzwazwa
Wameshaaona huyo bibi hapo juu hata akipigwa ..mtu.. amna nomaSure, hawa jamaa ukienda nao ki-profesional na kukawa na seriousness kwenye usimamizi basi utaona ufanisi mzuri sana and vice versa is true.
Huyu bibi yeye akiambiwa tu na kina Makmba hachomoiMachawa huwa wanajizim data ili kumfurahisha bi mchele
Ikiishia Dodoma haita make sense economic wiseSGR ilitakiwa iishie Dodoma