Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ninini kinamliza JK hapa!?[emoji848][emoji848][emoji848]Rip uncle BenView attachment 1517283
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninini kinamliza JK hapa!?[emoji848][emoji848][emoji848]Rip uncle BenView attachment 1517283
Mungu yupo haiHakuna tena kithibiti mwendo, sasa itategemea tu Mzee ktk siku fulani kaamkaje.
Hofu ya kufukua makaburi.Ninini kinamliza JK hapa!?[emoji848][emoji848][emoji848]
Sema 2020 sio 2025. Huu ndo mwaka wa mwisho CCM kutawala Tanzania. Mark my wordsIla nguzo ya ccm imeondoka.2025 lzm wasambaratikane
Kweli maana ya Zanzibar na Mwembechai si habaHuwezi Iona thamani ya mtu angali bado anaishi Ila akishakufa ndo utajua thamani na umuhimu wake.
Ukweli nikwamba Taifa la Tanzania tumepoteza mtu mhimu Sana na hata CCM imepoteza mtu mhimu Sana ambae alikuwa yupo tayari alale njaa ili CCM ipate ushawishi na kura za kutosha kutoka kwa wananchi.
Mbona unaweweseka sana? Kwani paka ni nani hadi unapatwa kiwewe?We pungu kweli we! Nenda kajaribu uone! Hii nchi ipo salama kuliko nyakati zote!
Jasiri muongoza njia ndio karesti ini pisi, mwamba aliumia sana alitoa taarifa kwa uchungu sana.Daah!!! Juzi wakati Magu anatoa taarifa ya msiba, alikua kanyong'onyea sana, nilihisi jambo kwake kama nilivosoma huu uzi. Magufuli sasa anahisi upweke sana, hii vita ni nzito ndani ya chama na nje ya chama
we ni mxnge sana 🤣🤣🤣🤣🤣Muda wa kumfunga paka kengele haupo. Paka apigwe manati ya utosi
Kwa uchungu alionao,kwny zoezi la kumpokea Lissu anaweza kufanya maajabuJasiri muongoza njia ndio karesti ini pisi, mwamba aliumia sana alitoa taarifa kwa uchungu sana.
Duuuh . . . simulizi tamu kwelikweli maana imekua kama movie vile. Anyway, kuna ukweli kiasi kuhusu uliyoyaandika na kwa kweli hata sisi wananchi tuko puzzled tu hatujui nini itakua hatma hasa kwenye suala la ushauri na mshauri neutral ambaye atafuata kama alivyokuwa mzee Mkapa. Hata baadhi ya wazee (kina Kikwete) walikua wanamtumia yeye kuwasilisha madukuduku yao. Kama unakumbuka ile audio ya Kinana iliyovuja mtandaoni, Kinana alisikika akimwambia Nape kuwa Mkapa alitaka kumuona Magufuli kuongea nae kuhusu maswala ya Chama, ila Magufuli alikua anamkimbia. Hii ilidhiirisha influence ya Mkapa kwenye uRais wa Magufuli.