Mkasa: Jinsi nilivyofunzwa uchawi na mama yangu

Mkasa: Jinsi nilivyofunzwa uchawi na mama yangu

3: zipo dawa za kichawi kama mtu Hana kinga yoyote au sio mtu wa mungu basi hakuna namna ya kuwazuia wachawi
Ni ataonewa sana😃😃
Na Vipi kuhusu mtu kulala na kuota/ kuona watu anaowafahamu na sura zao kabisa kuwa wamekuja kumwaangia/ kupambana nae si mara moja wala mara mbili sura zilezile zinajitudia je ni kweli inakua ni hao watu katika uhalisia ndio wanataka au kumtafuta huyo mtu??? au ni wengine wametumia sura zao tu??
 
Mnaendelea kutuchafua wapemba? Tusije laumiana lakini hapo baadaye. Nakusoma tu. Muulize umugaka ambacho kilimtokea.si yeye mjuaji sana. Kama ataweza atasimulia.maana naye alianza kutaka sifa kupitia wapemba
Weee..... mimi nimetukanwa vya kutosha, huto tumatusi twako kwangu ni kama starter tu kabla ya mlo wenyewe.

Halafu katika watu ninaowadharau sana na kuwapuuza kabisa ni watu wanaodhani matusi ni ujanja. Mlango uko wazi, nitukane sana hadi matusi uliyoyafungia kabatini, kayalete kwangu, baada ya hapo kahangaike kwa waganga ili unitoge, maana hivyo ndivyo vitu pekee akili yako inavimudu
 
Weee..... mimi nimetukanwa vya kutosha, huto tumatusi twako kwangu ni kama starter tu kabla ya mlo wenyewe.

Halafu katika watu ninaowadharau sana na kuwapuuza kabisa ni watu wanaodhani matusi ni ujanja. Mlango uko wazi, nitukane sana hadi matusi uliyoyafungia kabatini, kayalete kwangu, baada ya hapo kahangaike kwa waganga ili unitoge, maana hivyo ndivyo vitu pekee akili yako inavimudu
Umesoma kwa utulivu kweli? Kuna tusi hata moja umeliona hapo? Mi nitakusomea tu dua ushukwe na busha la kilo 20 uone inavyokuwa. We si jeuri. Leo majibu yako utayapata. Busha tu la 20kg umugaka anahangaika na kabusha ka kilo 2 toka siku ile ameniita mimi sina akili. Leo ameachiliwa so atarudi kuendelea kuwapa story
 
Umesoma kwa utulivu kweli? Kuna tusi hata moja umeliona hapo? Mi nitakusomea tu dua ushukwe na busha la kilo 20 uone inavyokuwa. We si jeuri. Leo majibu yako utayapata. Busha tu la 20kg umugaka anahangaika na kabusha ka kilo 2 toka siku ile ameniita mimi sina akili. Leo ameachiliwa so atarudi kuendelea kuwapa story
😂😂
 
Umesoma kwa utulivu kweli? Kuna tusi hata moja umeliona hapo? Mi nitakusomea tu dua ushukwe na busha la kilo 20 uone inavyokuwa. We si jeuri. Leo majibu yako utayapata. Busha tu la 20kg umugaka anahangaika na kabusha ka kilo 2 toka siku ile ameniita mimi sina akili. Leo ameachiliwa so atarudi kuendelea kuwapa story
Nimeona ulivyo mtukana UMUGHAKA, ndio maana nimekupa ruhusa unitukane zaidi, huo uchawi wa kwenu ni mdogo sana kwangu, nenda na Sumbawanga, Tanga, Kilwa na kila ukujuako, kakusanye mazagazaga kisha njoo uone uchawi unavyokurejelea wewe mwenyewe
 
Nimeona ulivyo mtukana UMUGHAKA, ndio maana nimekupa ruhusa unitukane zaidi, huo uchawi wa kwenu ni mdogo sana kwangu, nenda na Sumbawanga, Tanga, Kilwa na kila ukujuako, kakusanye mazagazaga kisha njoo uone uchawi unavyokurejelea wewe mwenyewe
Umeanza kuhisi matokeo eeeeh.... Maana jina lako kulipata ni rahisi sana.
 
Na Vipi kuhusu wakikuona kutaka kuwaza kukudhuru tena japo mwanzo walishindwa na kuapa kukuacha!
Wachawi hawakubali kushindwaa, hua wanaitana kama timu mpaka wapukutike wote ndo wataamini huyu mtu hatumuwezi
 
Mnaendelea kutuchafua wapemba? Tusije laumiana lakini hapo baadaye. Nakusoma tu. Muulize umugaka ambacho kilimtokea.si yeye mjuaji sana. Kama ataweza atasimulia.maana naye alianza kutaka sifa kupitia wapemba
😱😱😱🤔
 
Na Vipi kuhusu mtu kulala na kuota/ kuona watu anaowafahamu na sura zao kabisa kuwa wamekuja kumwaangia/ kupambana nae si mara moja wala mara mbili sura zilezile zinajitudia je ni kweli inakua ni hao watu katika uhalisia ndio wanataka au kumtafuta huyo mtu??? au ni wengine wametumia sura zao tu??
Wengine hutumia sura za watu.
Haiba ya mchawi ni uchonganishi, anaweza tumia sura ya jiran yako ili wewe mgombane na jirani yako au la, akawa ni yeye mwenyewe
 
Kwann Mama yake Clara alipouliwa kichawi...Mwanae alikua hajui kilichoendelea wakati na yeye ni mchawi pia....Je ina maana na yeye alienda kula nyama ya Mama yake pia? Santos06
 
Kwann Mama yake Clara alipouliwa kichawi...Mwanae alikua hajui kilichoendelea wakati na yeye ni mchawi pia....Je ina maana na yeye alienda kula nyama ya Mama yake pia? Santos06
Mchawi haruhusiwi kula nyama alioua mwenyewe, hua inaliwa na wenzake kama alivokula za kwao
 
SEHEMU YA KWANZA.
Nikiwa nimerudi kutoka shuleni nilikutana na mama nje ambaye alinambia tumepata mgeni ambaye atakua akitusaidia kazi za ndani yaani dada wa kazi, kutokana na uchovu na fimbo za siku hio hata sikua na hamu ya kutaka kujua zaidi kuhusu jambo hilo nilimjibu mama kwa kifupi.

“haya”. Huku nikielekea ndani ambapo nilifika na kumkuta dada mmoja aliyekua na umri kati na miaka kumi na saba hadi ishirini ambaye alinichangamkia kama mtu tuliyejuana siku nyingi.

“mambo clara habari ya shule”. Aliongea dada Yule. Na kunifanya nishangae kalijuaje jina langu lakini nilihisi huenda mama alishamwambia kwamba ana mtoto anaeitwa clara.

“nzuri shikamoo dada,”. Niimjibu kwa heshima kwa kua alikua ameninzidi ki umri hivyo alistahili heshima kwani mimi nilikua darasa la nne tu, baada ya kumjibu nilielekea ndani na kulitua begi langu pia nilikuta mizigo ya dada Yule ambaye ilionesha hakua amefika muda mrefu.

Kwakua tulikua tukipata chakula shuleni nilipitiliza kulala ambapo usingizi ulinipitia na nilikuja kustuka majira ya saa sita usiku ambapo nilimuona dada Yule akiwa ameketi kitandani uchi wa mnyama huku akiwa ameinguanisha mikono yake kama mtu aliyekua akisali.

Moyo wangu uliogopa sana na nililazimika kufikicha macho ili nijue kwamba ilikua ndoto au la na niligundua kwamba haikua ndoto bali ilikua ni ukweli kabisa.

Kisha dada Yule akasimama na kuanza kutembea tembea ndani ya chumba changu huku mikono akiwa ameikunja vile vile na macho yake yakiwa yamefungwa, na kisha baada ya muda, alirudi kitandani na kuketi kama alivyokua awali.

Baada ya dakika tano nilimshuhudia mama nae akija chumbani akiwa amevaa kama dada Yule, hapo nilishindwa kujizuia na kutamka.

“haaa, mama kumbe nawe mchawi”. Niliongea kwa mashangao kauli ambayo ilimstua sana mama na kisha akanisogelea bila uwoga na kuniambia.

“shhhhhhhhh, hakuna haja ya kujificha sasa mimi ni mchawi ndio na hata wewe ni lazima uwe mchawi au laa nikuue kama nilivyomfanya baba yako”.aiongea mama maneno ambayo yalinistua sana na kunifanya nianze kutetemeka.

“unaogopa nini? Mimi ni mchawi toka nilipokua na umri kama wewe umewahi kunigundua? Umewahi kuniona nikitisha? Acha ujinga mwanangu”. Aliongea mama na baada ya muda tulimshuhudia dada Yule wa kazi akiinuka huku macho yake yakiwa yanawaka kama tochi. Na hapo nilimshuhudia mama akipiga goti na kuanza kumsujudu dada Yule.

“naam mkuu, nimekuletea binti huyu akiwa kama mwanachama mpya”. Aliongea mama ambapo dada Yule alinitazama kwa makini sana kisha kumgeukia mama.

“inabidi tumfundishe taratibu kabla ya kumtambulisha kwa wenzetu”. Aliongea dada Yule kisha nilimshuhudia mama akiinuka na kunigeukia.

“mwanangu clara, wewe ndiye wa pekee kwangu na nimekuteua wewe upate kujua vitu vyangu vya ndani, na mbona sikuwaambia kaka zako? Naomba uniisitiri”. Aliongea mama na kunipa mtihani mgumu sana katika umri mdogo na mpaka apo sikua nimesema jambo lolote.

Mwisho mama alichukua unga mweupe na kunipaka katika paji la uso kisha tulijikuta sehemu nyingine kabisa ambayo ilikua ngeni kabisa lakini iionesha ilikua ni katika msitu uliopo kando ya barabara.

Kwani magari yalikua yakisikika yakipiita,
“mwanangu, huu ni msitu wa wachawi msitu ambao ukiingia kama si mchawi basi huwezi toka na utafanywa kafara”. Aliongea mama kauli ambayo ilinifanya niwaone wachawi ni watu wabaya.

“Watu wengi wamepotea katika msitu huu na vifo vyao vilikua vya kutatanisha , hiii ni kwasababu wanachukuliwa na mizimu na kufanywa kafara lakini mchawi si mtu mbaya ila wapo ambao wanautumia uchwi vibaya kwa kufanya visasi na mauaji”. Aliongea mama mambo mengi kuhusu uchawi kisha alinifundisha dawa nyingi sana za kichwawi ikiwemo za kupotea na kiini macho.

Kwakua muda ulikua umekwenda tulirejea nyumbani ambapo bado nilikua na maswali mengi sana na siku hio nilipanga ktoka na kwenda kwa rafiki yangu zuwena nipate kumuuliza mambo kadhaa kuhusu hali iliyonitokea jana usiku.

Nilimuaga mama vizuri na kumwambia nilikua nikienda kwa rafiki yang na alichonisisitiza ni kuwahi kurudi.
Nilipofika nyumbani kwa rafiki yangu kulikua kimya sana ambapo nilibisha hodi mara tatu na kufunguliwa na zuwena mwenyewe
“mambo clara”. Alinisalimu zuwena huku akinikaribisha ndani ambapo tulipiga storiza hapa na pale mwisho niliamua kumuuliza swali.

“eti unawafahamu wachawi”. Nilihoji
“eee, ni wanatisha sana na ni wabaya, wauaji na hawana huruma”. Zuwena aliongea kana kwamba ni mtu anaejua mambo mengi sana kuhusu uchawi.

“basi nikwambie kitu zuwena, mwenzio mama yangu ni……”. Kabla sijamaliza ilikuja sauti kichwani mwangu ambayo niliitambua kwamba ni ya mama.

“clara unataka kufanya nini?” iliskika sauti hio
Je nini kilifuata
SEHEMU YA KWANZA.
Nikiwa nimerudi kutoka shuleni nilikutana na mama nje ambaye alinambia tumepata mgeni ambaye atakua akitusaidia kazi za ndani yaani dada wa kazi, kutokana na uchovu na fimbo za siku hio hata sikua na hamu ya kutaka kujua zaidi kuhusu jambo hilo nilimjibu mama kwa kifupi.

“haya”. Huku nikielekea ndani ambapo nilifika na kumkuta dada mmoja aliyekua na umri kati na miaka kumi na saba hadi ishirini ambaye alinichangamkia kama mtu tuliyejuana siku nyingi.

“mambo clara habari ya shule”. Aliongea dada Yule. Na kunifanya nishangae kalijuaje jina langu lakini nilihisi huenda mama alishamwambia kwamba ana mtoto anaeitwa clara.

“nzuri shikamoo dada,”. Niimjibu kwa heshima kwa kua alikua ameninzidi ki umri hivyo alistahili heshima kwani mimi nilikua darasa la nne tu, baada ya kumjibu nilielekea ndani na kulitua begi langu pia nilikuta mizigo ya dada Yule ambaye ilionesha hakua amefika muda mrefu.

Kwakua tulikua tukipata chakula shuleni nilipitiliza kulala ambapo usingizi ulinipitia na nilikuja kustuka majira ya saa sita usiku ambapo nilimuona dada Yule akiwa ameketi kitandani uchi wa mnyama huku akiwa ameinguanisha mikono yake kama mtu aliyekua akisali.

Moyo wangu uliogopa sana na nililazimika kufikicha macho ili nijue kwamba ilikua ndoto au la na niligundua kwamba haikua ndoto bali ilikua ni ukweli kabisa.

Kisha dada Yule akasimama na kuanza kutembea tembea ndani ya chumba changu huku mikono akiwa ameikunja vile vile na macho yake yakiwa yamefungwa, na kisha baada ya muda, alirudi kitandani na kuketi kama alivyokua awali.

Baada ya dakika tano nilimshuhudia mama nae akija chumbani akiwa amevaa kama dada Yule, hapo nilishindwa kujizuia na kutamka.

“haaa, mama kumbe nawe mchawi”. Niliongea kwa mashangao kauli ambayo ilimstua sana mama na kisha akanisogelea bila uwoga na kuniambia.

“shhhhhhhhh, hakuna haja ya kujificha sasa mimi ni mchawi ndio na hata wewe ni lazima uwe mchawi au laa nikuue kama nilivyomfanya baba yako”.aiongea mama maneno ambayo yalinistua sana na kunifanya nianze kutetemeka.

“unaogopa nini? Mimi ni mchawi toka nilipokua na umri kama wewe umewahi kunigundua? Umewahi kuniona nikitisha? Acha ujinga mwanangu”. Aliongea mama na baada ya muda tulimshuhudia dada Yule wa kazi akiinuka huku macho yake yakiwa yanawaka kama tochi. Na hapo nilimshuhudia mama akipiga goti na kuanza kumsujudu dada Yule.

“naam mkuu, nimekuletea binti huyu akiwa kama mwanachama mpya”. Aliongea mama ambapo dada Yule alinitazama kwa makini sana kisha kumgeukia mama.

“inabidi tumfundishe taratibu kabla ya kumtambulisha kwa wenzetu”. Aliongea dada Yule kisha nilimshuhudia mama akiinuka na kunigeukia.

“mwanangu clara, wewe ndiye wa pekee kwangu na nimekuteua wewe upate kujua vitu vyangu vya ndani, na mbona sikuwaambia kaka zako? Naomba uniisitiri”. Aliongea mama na kunipa mtihani mgumu sana katika umri mdogo na mpaka apo sikua nimesema jambo lolote.

Mwisho mama alichukua unga mweupe na kunipaka katika paji la uso kisha tulijikuta sehemu nyingine kabisa ambayo ilikua ngeni kabisa lakini iionesha ilikua ni katika msitu uliopo kando ya barabara.

Kwani magari yalikua yakisikika yakipiita,
“mwanangu, huu ni msitu wa wachawi msitu ambao ukiingia kama si mchawi basi huwezi toka na utafanywa kafara”. Aliongea mama kauli ambayo ilinifanya niwaone wachawi ni watu wabaya.

“Watu wengi wamepotea katika msitu huu na vifo vyao vilikua vya kutatanisha , hiii ni kwasababu wanachukuliwa na mizimu na kufanywa kafara lakini mchawi si mtu mbaya ila wapo ambao wanautumia uchwi vibaya kwa kufanya visasi na mauaji”. Aliongea mama mambo mengi kuhusu uchawi kisha alinifundisha dawa nyingi sana za kichwawi ikiwemo za kupotea na kiini macho.

Kwakua muda ulikua umekwenda tulirejea nyumbani ambapo bado nilikua na maswali mengi sana na siku hio nilipanga ktoka na kwenda kwa rafiki yangu zuwena nipate kumuuliza mambo kadhaa kuhusu hali iliyonitokea jana usiku.

Nilimuaga mama vizuri na kumwambia nilikua nikienda kwa rafiki yang na alichonisisitiza ni kuwahi kurudi.
Nilipofika nyumbani kwa rafiki yangu kulikua kimya sana ambapo nilibisha hodi mara tatu na kufunguliwa na zuwena mwenyewe
“mambo clara”. Alinisalimu zuwena huku akinikaribisha ndani ambapo tulipiga storiza hapa na pale mwisho niliamua kumuuliza swali.

“eti unawafahamu wachawi”. Nilihoji
“eee, ni wanatisha sana na ni wabaya, wauaji na hawana huruma”. Zuwena aliongea kana kwamba ni mtu anaejua mambo mengi sana kuhusu uchawi.

“basi nikwambie kitu zuwena, mwenzio mama yangu ni……”. Kabla sijamaliza ilikuja sauti kichwani mwangu ambayo niliitambua kwamba ni ya mama.

“clara unataka kufanya nini?” iliskika sauti hio
Je nini kilifuata
GoPPiii.
 
Back
Top Bottom