Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Bado mshindi ni Afande Mwasifiga!! Yule bwege wenu mlikuwa mnamuona kama mungu wenu. Lakini Afande Mwasifiga akamuona kama kinyago tu na ndiyo maana akamjibu kunya. Hiyo tu inatosha .
 
Upuuzi tu na huyu magufuli ni mpuuzi tu
 
Bado mshindi ni Afande Mwasifiga!! Yule bwege wenu mlikuwa mnamuona kama mungu wenu. Lakini Afande Mwasifiga akamuona kama kinyago tu na ndiyo maana akamjibu kunya. Hiyo tu inatosha .

Afande alisahau nani aliyeshika Mpini ,aliyepoteza hapo ni afande nina uhakika kuna baadhi ya maslahi yake yaliondolewa ,kustaafishwa kwa maslahi ya umma means kufukuzwa kazi.
 
What if kama wote walikiwa na mihemko na msongo wa mawazo ?
Huyu msongo wa mawazo ya kuendesha nchi, huyuy mihemko na msongo wa mawazo wa kuchomwa utambi wa ugali wake na mfungwa?
 
Rais akisema mbona manyasi yameota sana
Hapo haulizi bali ni amri hayo manyasi yapaliliwe, Mpo hapo?

Aliposema naweza nikaziondoa hizo nyota maana yake ilikuwa ashushwe cheo
Daa naikumbuka hiyo ziara
Inategemea na sehemu!

Kuna siku Magu alimwambia aliyewahi kuwa Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jonh Mbungo,kwamba unajua naweza kung'oa hizo nyota zako!

Mkasa ulikua kwamba,Magu alipewa taarifa za ujenzi wa nyumba za TAKUKURU kuwa zipo chini ya kiwango,lakini Mkuu wa TAKUKURU hana taarifa na akawa anambishia Magu! Hadi Magu anafariki jamaa alikua bado Mkuu wa TAKUKURU na still alikua bado na cheo chake cha one star General
 
Mtu kama kabarikiwa jambo flani kwa nini ukweli usisemwe? Ww ambae haukuwehuka umelifanyia nini taifa hili..chuki zako binafsi kwa hayati usipandikize kwa wengine...
Kusema ukweli si kosa kosa ni kuusemea ukweli ambao uliaminishwa kuwa ni ukweli bila wewe kujiridhisha kwa kutumia akilizako kuwa ni kweli.
Vipi kuhusu alivyotembelea bandarini na kuokota vichwa vya treni ukweli wake ni upi?
Je ukweli wa makinikia yaliyozuiliwa bandarini ukweliwake uliishia wapi?
Sijawahi kuwa na chuki nae ila sipo kwenye kundi la watu ambao wanaamini mazingaombwe.
 
Kuna vyeo ili vishuke vikao kama 30 lazima vikaliwe wacha hizo nyota mbili tena za magereza
 
Huu uzi una uongo mwingi hakuondolewa nyota moja ingawa alihamishiwa Ukerewe, hata kama angeondolewa nyota moja kisingelikuwa kigezo cha kustaafu maana umri wa kustaafu kwa nyota moja na mbili ni sawa.
Mwasifiga hakustaafishwa umri wake wa kustaafu ulikuwa umefika, alistaafu kwa mujibu wa sheria na taratibu.

Lakini pia nitoe elimu kidogo juu ya Afisa usalama wa gereza, Afisa usalama ni mtu ambae huangalia usalama wa gereza na kuhakikisha gereza lipo salama muda wote, Kazi kubwa ni kuhakikisha vitu ambavyo haviruhusiwi kama simu, silaha na hata haviingii ndani gereza na hata vikiingia inabidi ahakikishe vinakamatwa.

Maafisa usalama ni maadui wa wafungwa na mahabusu, kwa sababu huwa wanahusika mara kwa mara kukamata mali zao, ndio maana walimsagia Mwasifiga kunguni kwa Magufuli.
Kama kweli Afande angelikuwa anayafanya yale aliyoyasema yule mfungwa hakuna mfungwa angelalamika, kilio cha wale wafungwa kilimaanisha wamebanwa haswa.

Mengineyo mkubwa hakosei.
 
Hapa ndipo nawaona Watu wanaokanusha uwepo wa Mungu ni Mtaahira wanaojaribu kuidanganya Akili Zao sasa huyu anasema Magufuli Amevuliwa Uhai na nani sasa huyo anayevua watu uhai?Hawa ni machizi wanaovaa suti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…