What if kama wote walikiwa na mihemko na msongo wa mawazo ?
Huyu msongo wa mawazo ya kuendesha nchi, huyuy mihemko na msongo wa mawazo wa kuchomwa utambi wa ugali wake na mfungwa?
Nimeliongelea hili na kusema inaonekana wote wamekosea. Wala simtetei Afande. Watanzania wengi wana one track mindset ile ya "ukimsema Magufuli basi lazima unamtetea Afande". Which is a false dichotomy fallacy.
Lakini hata kama Afande kakosea, rais alitakiwa kuwa na busara zaidi ya kusema "nitakuvua nyota".
Kauli si ya kirais, ni ya kigangwegangwe, haioneshi kujali due process, inaonesha mtu narcissist mwenye emotion.
Haioneshi mtu anayefanya systemic thinking, critical thinking, abstract thinking.
Haioneshi mtu anayetaka kukusanya data za kutatua tatizo kubwa zaidi la kimfumo katika Magereza, linaonesha mtu anayedeal na kile kilichopo mbele ya macho yake tu bila ya kufikiria kimfumo. Haioneshi mtu aliyeweka mbele justice as opposed to revenge.
Lakini Watanzania wengi hawaelewi, huyo ndiye alikuwa mtu wao wa kuwapa show za kibabe, na show ya kibabe waliyoitaka waliipata.
Na ukimsema hapa kifalsafa hivi utatukanwa na kuambiwa una chuki binafsi.
Watanzania wengi, kwa kuangalia responses za huu uzi, hawajali haya mambo.