Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Kila binadamu atapitia kwa hiyo siyo issue ni process ya kibinadamu.
Na ndiyo maana wakuu wanaojimwambafy kwa kauli za "naweza kukuvua nyota" hawatakiwi kujimwambafy hivyo.

Kama kuna tatizo ni suala la kuelezea kimantiki na kulitatua kwa due process tu.

Huo umwamba wa "unanijua mimi nani? nitakuvua nyota" hauna maana sana kwa sababu hatimaye wote tutakufa.
 
Narudia tena kuna watu hapa wana comment kwa kujitoa ufahamu tu wanafahamu fika sisi waafrika ni watu wa namna gani na ni vipi tunaweza kunyooshwa inafikia hatua unakaa kimya tu.
 
Mkuu
Mkuu hapa umeongea Neno, Ni kweli kabisa Uongozi unahitaji busara Sana, Watu unaowadharau na kuwaona wadogo wanaweza kukuangusha usiamini.
 
Kwani hakumvua nyota? Na baadae akapoteza kazi kabisa. Kifo kila mtu atakufa lakini maisha hapa duniani yanaendelea kama kawaida.
 
Alivuliwa uhai na nani tena
 

Kuna mtu humu JF ameweka picha hii kama averter yake.
😛
 
Hivi unajuwa nini kilimleta mle Gerezani? Alikuja kiwatoa wale walioshikwa na dhahabu. Polisi hawakujua kuwa ni mchongo wake na Kagame wakawakamata. Ila wajinga wanasema Magufuli alikuwa mzalendo, nawadharau sana

Jamaa kwanza alihamishiwa Ukerewe baada ya Magufuli kupita Butimba. Ila baadaye nasikia alifikisha umri wa kustaafu. Yote kwa yote alituheshimisha sana yule kamanda wa magereza
 
Pamoja na kwamba amekufa, bado afande yuko nje kwa amri ya magufuri.

Tuheshimu wakubwa.

Shujaa hua anakufa kifo kibaya sana.
 
Kwamba ingebadili kitu gani ?
Historia au Hatima?
Hakuna kuremba history wala hatima?
Na Hatulaumu chochote
 
Ndio wewe uliyefukuzwa Magereza kwa utovu wa nidhamu!?
 
Pamoja na kwamba amekufa, bado afande yuko nje kwa amri ya magufuri.

Tuheshimu wakubwa.

Shujaa hua anakufa kifo kibaya sana.
Mshindi ni Afande Mwasifiga kwa kuwa DHALIMU Magufuli alipomtoa nyota moja na kumstaafisha kwa manufaa ya umma lengo lake ni kumfanya ashindwe mausha na ikibidi afariki kabisa.

Lakini Mungu ana mipango yake Magufuli amekufa na huyu Afande bado anaishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…