KINARA WA MATANGAZO (KWM) NA “CODE YA GENERATOR”
Kati ya watu ambao mhusika anakiri kuwa wameitesa sana akili yake wakiwa wanatumia “CODE YA GENERATOR” kwa kule Kanisani kwake, wa kwanza kabisa ni huyu KWM
Wengine wanaofuatia baada yake ni mke wake KWM pamoja na Profesa mwenye gari mbili zenye rangi inayofanana, mojawapo ikiwa ni Vanguard
Kwa upande wa ofisini kwake, waliotesa sana ni mmiliki mwenyewe wa “SOURCE CODE YA GENERTATOR” (
tumwite MSCG) pamoja na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE); wote hawa wakiwa wanamiliki gari aina ya Vanguard
Huyu MSCG ndiyo siku moja aliwahi pia kuleta
GENERATOR LA MAFUTA YA PETROL mwaka jana wakishirikiana na mmiliki wa source code ya BUTCHERED (MSCB) pamoja na OM-1; na generator hilo kulitegesha chumba jirani na ilipo ofisi yao mhusika
Kwenye wiki hiyo husika, OM-1 na OM-2 walikuwa na udhuru uliokuwa unawapelekea wasikae ofisini kwao muda mwingi hasa nyakati zile za jioni, na hivyo plan ilikuwa ni kwamba MSCG na MSCB wangeweza ku-execute mission yao the next day
Kabla ya hapo, hapakuwahi kuwepo generator lolote kwenye chumba hicho jirani na ofisi yao mhusika
Na huu ujambazi wa namna hii umeanza mara tu baada ya Afisa Tawala mpya kuingia madarakani Desemba 2022
Kwa hiyo, hawa ni baadhi tu ya watu ambao wamekuwa ni vinara wa kiitumia code hii ya GENERATOR
Pasipo mhsika kuwa na ufahamu kamili wa namna code hii ilivyokuwa ina-operate ila huku akiwa na uhakika kabisa kuwa ilikuwa ina-operate, code hii ndiyo ile iliyopelekea mhusika akatoa nick name ya KINARA WA MATANGAZO kwa kiongozi husika
SEQUENCE YA NAMNA AMBAVYO WATU HAWA WALIVYOKUWA WAKII-EXECUTE CODE HII KULE KANISANI KWA SIKU ZA J2 MHUSIKA ANAPOKUWA AMEINGIA MAZINGIRA YA KANISANI
Waliokuwa wanaanza kabisa ni aidha PROFESA au mke wa KWM
- Mhusika anapokuwa anaingia Kanisani, mojawapo ya watu hawa anakuwa ameegesha gari lake katika namna ambavyo ni lazima mhusika ataliona
- Kwa upande wa Profesa, yeye wakati mwingine alikuwa anaweza hata akafanya timing ambayo mahali fulani mhusika anapokuwa bado yupo njiani, wataongozana na mhusika, Profesa akiwa yupo mbele
Kama ni wakati wa asubuhi mhusika akiwa anaelekea kwenye Ibada, hapo Profesa anakuwa amefanikiwa kurusha pepo kwa RM na hivyo kufuta maombi yote ya mhusika kabla hajafika Kanisani, aliyofanya asubuhi hiyo
Mhusika akishafika kanisani, tayari usambazaji unaanza immediately
Kwa siku hiyo anaweza kukuta matangazo kama
“……Wanaume wote tukutane pande hii……”
Na hiki kitu ndicho exactly kilitokea mwaka jana J2 ya tarehe 30/07/2023; kulikuwa na ugeni kutoka jimboni;
muumini kutoka Kanisa B alifika J2 hiyo akiwa ametumwa kuja Kanisa A
Ni J2 ambayo Profesa na mhusika wali-
catch up njiani kwenye mataa ya Ubungo Interchange, Profesa akawa yupo mbele na mhusika anafuata kwa nyuma
Huu ulikuwa ni utaratibu mmojawapo kwenye code hii na ambao mhusika alikuwa hajaweza kuung’amua siku nyingi kabla isispokuwa kwa siku za hivi karibuni
Vinginevyo mara nyingi Profesa na mhusika wamekuwa wakiongozana mara baada ya Ibada kumalizika, au Profesa kutegesha gari lake getini kabla mhusika hajatoka ndani ya uzio wa Kanisa, mithili ya kama vile kumzuia asitoke nje kabla yake
Na hiki ndicho kilichotokea siku ya J2 ya tarehe 27/11/2023 siku ya ajali ya ndege
Kwa upande wa mama mke wa KWM, yeye amekuwa akitegesha gari lake Kanisani kabla au baada ya Ibada au kwa muda wote wa kabla na wa baada ya Ibada
Kwenye siku ambazo mhusika huwa anahudhuria Ibada ya kwanza asubuhi, huwa ni lazima mama huyu apite mahali karibu na pale mhusika alipo aidha muda mfupi kabla mhusika hajaingia kwenye au baada ya kuingia Ibada
Kati ya wake wa viongozi ambao huwa wanatia aibu kwenye Ibada kanisani na ambao huwa hawakai kwenye Ibada wakatulia isipokuwa kurandaranda tu hapa na pale, ni huyu mama. Ana tabia utafikiri ni mtoto mdogo
Mbinu ambazo zimekuwa zikitumika ni nyingi na si rahisi mhusika akaziongelea zote
Nia hasa ya watu hawa imekuwa ni kufuta maombi KABLA YA IBADA, ambayo mhusika anakuwa ameyafanya kwa siku hiyo, ili HAPO BAADAYE upatikane mwanya wa kurusha pepo wakati wa Ibada Kuu
Ibada kuu ikishamalizika, ndiyo pale sasa hukaribishwa KWM alikuwa akikaribishwa kupandisha juu madhabahuni kwa ajili ya kuanza usambazaji rasmi
Vinginevyo pale ilipokuwa inatokea KWM asipewe nafasi hiyo au akawa hayupo, usambazaji kupitia Kanisani hukwama na mbadala wake hupatikana kwa kutumia matukio halisi ya kutengeneza
Inapokuwa imetokea hivyo, ndiyo pale sasa kuanzia J3 ya wiki inayofuata, matukio yale ya kupangwa yanayofanana na hili hapa
#1 husambazwa kwa makusudi na wahusika na hivyo kuanza kusikika nchi nzima kupitia media
Karibia mara zote, matukio ya aina hii huwa yanasikika kuanzia aidha J2 jioni au siku za J3 au J4 za wiki inayofuata, yaani mara baada ya Ibada ya J2 kuwa imeshamalizika
BAADA YA MBINU HIZI KUWA ZIMETUMIKA TUSEME KABLA YA IBADA NA HIVYO MAPEPO KUFANIKIWA KURUSHWA WAKATI WA IBADA KUU
Kama ilivyodokezwa hapo juu, baada ya Ibada kuu kumalizika, ndiyo pale sasa KWM alikuwa akikaribishwa madhabahuni RASMI SASA KWA KUANZA USAMBAZAJI
- Karibia mara zote, KWM alikuwa anapandisha juu madhabahuni na kurusha pepo kwa “WADHAMBI” pamoja na “DHAMBI” akitumia maneno UZINZI AU ULAWITI AU VYOTE
- Hapo sasa anakuwa amesimamia kwenye maandiko matakatifu yanayosema kuwa YESU ALIFANYIKA DHAMBI
Kwa ihiyo ilikuwa kila KWM anapopandisha juu madhabahuni. Alikuwa akirusha pepo kwenye DHAMBI na WADHAMBI wote kuanzia waliopo pale kanisani akiwemo yeye mwenyewe, hadi wale walioko kwenye meneneo mengine popote pale duniani
Hiki kitu kilikuwa kinafanyika baada ya mke wa KWM na Profesa; kuwa wamefuta kwanza maombi yote ambayo mhusika anakuwa amefanya kwa siku hiyo kabla ya kuwasili kanisani kwenye Ibada
…..inaendelea