#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NYONGEZA KUHUSIANA NA TUKIO LA LEO LA OM-1 KUTOWEKA GHAFLA TU OFISINI KWA MUDA MREFU NA HATIMAYE KURUDI MUDA WA KARIBU NA SAA 10, UKILILINGANISHA NA TUKIO JINGINE LA WIKI AMBAYO ALICHUKUA LIKIZO YA DHARULA

KWENYE WIKI ILE AMBAYO OM-1 ALICHUKUA LIKIZO YA DHARULA YA WIKI MOJA, NDIYO KWENYE WIKI YA TUKIO LILE AMBALO MHUSIKA ALITAKIWA KURUDI OFISINI USIKU KWENDA KUFUNGA OFISI ILIYOKUWA IMEACHWA WAZI

KWENYE TUKIO LA LEO AMBALO MHUSIKA ALITAKIWA KUFUATILIA KITITA CHA ZAWADI YA USHINDI WA MILLION SITA, OM-1 ALIKUWA AMETOWEKA GHAFLA TU OFISINI KWA MASAA MENGI NASMERUDI KWENYE MUDA WZ KARIBIA SAA 10

MHUSIKA ALIWAHI KUWA NAJIRANI AMBAYE ALIWAHI KUMUONA KUWA HAKUWA WA KAWAIDA SANA, NA KWA SASA MHUSIKA ANAMUONA OM-1 KUWA SIYO WA KAWAIDA SANA.

UWEZEKANOMKUBWA NI KWAMBA OM-1 ANAWEZA KUWA NI MZOEFU SANA WA MATKIO HAYA YA AJABU AJABU NA KWA HIYO OM-1 ANAWEZA AKAWA SIYO MTU WA KAWAIDA SANA

MBALI NA HAYA, MHUSIKA AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI LEO, KWA MARA NYINGJNE TENA AMEONDOKA OFIDINI AKIWA AMEPATA SHAMBULIO LA KOO NA LIMEANZIA HUKO HUKO OFISINI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
ZAIDI NI KWAMBA BINTI MWENYE MA-FILE KWENYE CHUMBA KILICHO JIRANI NA OFISI YAO MHUSIKA, WAKO CONNECTED NA OM-1 KWA MAANA KUWA WANATOKA MKOA MMOJA NA.PIA WANAONGEA LUGHA MOJA YA KUZALIWA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
OM-1
MHUSIKA ANAZIDI KUSISITIZA KUWA OM-1 SIYO MTU WA KAWAIDA NA KWA TUKIO LA LEO ALIKUWA AME- PLAN KUFANYA KAZI KWENYE MAZINGIRA YA NJE YA TAASISI

IKUMBUKWE KUWA IKITOKEA OM-1 AKAFANYA KAZI NDANI YA MAZINGIRAYA TAASISI, INAJULIKANA WAZI KUWA KWA KUFANYA HIVYO ATAKUWA ANAMPONZA AFISA TAWALA WA TAASISI, NA HICHO NDICHO WALICHOKUWA WANAJARIBU KUKIKWEPA

NA WAKATI ANAONDOKA OFISINI, HAKUPAACHA HIVI HIVI TU, BALI ALIACHA KITU KILICHOPELEKEA SHAMBULIO LA KOO LA MHUSIKA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


 
UPDATE: THURSDAY 1st AUGUST 2024

MAFURIKO MENGINE TENA YA MAVI NYUMBANI KWA MHUSIKA KUTOKEA NYUMBANI KWA JIRANI MAJI MACHAFU (JMM)


Mhusika alishatoa ombi nyumba hii ifanyiwe ukaguzi, na atashukuru kama hilo litafanyika

Kinachotokea kwenye haya mafuriko ya mavi, ni pumping to inayofanyika kwa mavi kuelekezwa kutoka nyumbani kwa JMM kwenda nyumbani kwa mhusika

PATTERN AMBAYO IMESHANZA KUJIONYESHA KUHUSIANA NA MAFURIKO HAYA

Kwa mara mbili mfululizo sasa, mafuriko haya yameanza kugongana na shambulio la koo la mhusika

Mafuriko yaliyopita hivi karibuni, yaliambatana na shambulio la koo lililotajwa kupitia p[ost hii hapa #1,942

Na kwa safari hii tena, jana mhusika alipata shambulio la koo akiwa yupo mazingira ya ofisini na leo nyumbani kwake kuna mafuriko ya mavi tena kutoka nyumbani kwa JMM

HATUA ALIZOCHUKUA MHUSIKA BAADA YA MAFURIKO HAYO KUTOKEA

Mhusika ameshajaza online works order kumjulisha “CLAY” na amemwandikia SMS pia baada ya simu yake kutokuwa na majibu

Kwa safari hii, ikitokea asipate response kama ambavyo imekuwa ikitokea awali, hataweza tena kwenda huko kwa sababu wanafunzi wameshaondoka kwenye mazingira ya taasisi. Kuna baadhi ya watu wachache huko walishabadilisha sehemu hiyo kuwa kama kijiwe cha kufanyia mambo yao wanayoyajua wenyewe pale wanafunzi wanapokuwa hawapo kwenye mazingira ya taasisi

Kwa upande mwingine, the innocent JMM yeye anasema hata alikuwa hajui kama kumetokea tena mafuriko ya mavi nyumbani kwa mhusika. Mhusika amempigia simu mda huu na kuongea naye, na amedai hivyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


UP NEXT: CODE YA EMBRYOLOGY/EMBYOGENESIS
 
CODE YA EMBYOGENESIS

Kama ilivyodokezwa kwenye post ya awali iliyopo hapo juu, code hii inahusiana na mwajiriwa mpya ambaye alipita kwa muda tu ofisini kwa mhusika kwa ajili ya utambulisho na baada ya hapo, aliondoka kwenda maternity leave kwa sababu alikuwa ni mjamzito, na baada ya kuwa imepita takribani miezi sita, binti huyu alirudi tena ofisini

Wakati anapita kwa ajili ya utambulisho, ilikuwa mwezi wa sita (mwishoni) mwaka jana 2023 au wa saba mwanzoni

MATUKIO NOTABLE YALIYOTOKEA BAADA YA BINTI HUYU KUFIKA OFISINI KWA MHUSIKA

Baada ya pale, kule Kanisani kwake mhusika, KM-A alitangaza awamu nyingine ya pili ya watoto wachanga kuwekwa wakfu ndani ya mwaka huo huo mmoja wa 2023

Hapo kabla, KM-A amekuwa akiweka wakfu watoto wachanga mara moja kwa mwaka

  • Siku watoto hao wanawekwa wakfu, ndiyo siku ile ambayo kulikuwa na ugeni wa mgeni kutoka Kanisa B, kule ambako mhusika aliwahi kuhamia kwa muda mwaka 2014
  • Vile vile ndiyo siku ile ambayo kiongozi aliyewahi kujulikana kama Kinara wa Matangazo (KWM) ambaye kwa sasa hayupo tena Kanisani hapo, alimu-approach mhusika akitaka wafanye maongezi ofisini, ila baadaye tena akabadilisha uamuzi
Mbali na haya yote; mwezi wa saba mwishoni mhusika akiwa anatokea Mlimani City, alipita kwa muda tu maeneo ya Savei kwa ajili ya kununua mahitaji kidpgo

Kabla ya hapo, alipokwa bado yupo kule Mlimani City, alikuwa amebahatika kukutana na watu watatu waliokuwa wametokea Kanisa A siku hiyo, ambao walikuwa ni Kaimu wa KM-A pamoja na wageni wake wengine wawili ambao aliwatambulisha kwa mhusika kama wamissionari

  • Baada ya kufika Savei, mhusika alilikuta pale gari la Mkuu wa Kitengo cha Matetemeko ya Ardhi (MTTM) na hakufanikiwa kuwaona watu waliokuwa wapo ndani ya gari hilo
  • Kwa uzoefu alionao muda huu, mhusika anaona kuwa kuna uwezekano kuwa ndani ya gari hilo siku hiyo, kulikuwa na mtoto mchanga wa miezi kadhaa tu ambaye alizaliwa ndani ya mwaka huo wa 2023.
  • Unless kama nyumbani kwa MTTM hapana mtoto mwenye kuwiana na umri huu unaotajwa hapa
Gari hili alilikuta wakati anafika maeneo ya Savei na wakati wa kuondoka baada ya kuwa amemaliza kununua mahitaji yake, alilikuta pale tena gari la Mkuu wa Idara (MWI); la MTTM likiwa tayari lilishaondoka

Ndani ya gari la MWI alikuwepo MWI mwenyewe na mwenzi wake pamoja na shemeji yake aliyekuwa amejifungua kitoto kichanga mbacho kwa wakati huo kilionekana kuwa na umri wa takribani miezi miwili tu

Chances ni kwamba kitoto hicho kilikuwa kimetoka nje ya mazingira ya nyumbani kwa mara ya kwanza siku hiyo

AMBACHO AMESHAKIONA MHUSIKA KUTOKA KWA MWAJIRIWA MPYA ALIYEPITAKUTAMBULISHWA AKIWA NA MIMBA

Mwajiriwa huyu mpya ndiye aliyepelekea matukio yote yaliyotajwa hapo juu kutokea na ndiye aliyesababisha kitoto kichanga kutolewa nyumbani na kuja kumsubiria mhusika maeneo ya Savei, mhusika alipokuwa anatokea Mlimani City

Alichokinona mhusika ni kwamba siku hiyo, MWI na familia yake hawakukutana na mhusika kwa bahati mbaya tu maeneo hayo ya Savei isipokuwa walidhamiria; nia yao hasa ikiwa ni mhusika aweze kukiona kile kitoto kichanga

Kutokea pale matukio mengi sasa yanayohusiana na mambo haya ya embyogenesis yalitokea na ambayo si rahisi sana mhusika kuweza kuyaelezea kwa maandishi

However, matukio notable zaidi kwenye code hii ni kuhusian na bibi part timer, ambaye pia ni mama mzazi wa binti mwajiriwa mpya.

Kuaznia pale bibi huyu alianza kuonekana mara kwa mara akiwa anatembea na trays za mayai ya kuku wa kienyeji mazingira ya ofisini, vitu ambavyo ni embryos pia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 3rd AUGUST 2024
SEMINA YA ROHO MTAKATIFU (RM) MWAKA 2012:

SEMINA HII UKIIHUSIANISHA NA MATENDO YA HIVI KARIBUNI YA KM-A LIKIWEMO LA "KUAGIWA " KWENDA LIKIZO FUPI BADALA YA YEYE MWENYEWE KUWAAGA WAUMINI KWA SABABU ALIKUWRPO KANISANI SIKU HIYO


SEMINA YA RM MWAKA 2012 ILITHIBITISHA KUWA RM NI OMNIPRESENT ( YUPO KILA MAHALI), NI OMNIPOTENT ( ANAWEZA YOTE) NA PIA NI OMNISCIENT ( ANAJUA YOTE)

MOSI : LIKIZO FUPI YA SASA YA KM-A
LIKIZO HII FUPI INASHUGHULIKA NA KIPENGELE CHA OMNIPRESENCE YA RM KWA MAANA KWAMBA TANGU AONDOKE KANISANI, AMEONDOKA AKIWA AMERUSHA PEPO KWENYE PRESENCE YA MTU YEYOTE YULE NA HIVYO PIA KWENYE ABSENCE YA MTU YEYOTE ILE

KWA HIYO TANGIA SIKU HIYO, MTU YEYOTE YULE AKIONDOKA MAHALI FULANI ANAKUWA AMEACHA PEPO MAHALI PALE NA AKIWA YUPO MAHALI FULANI, ANAKUWA AMERUSHA PEPO MAHALI PALE ALIPO

KWA KUFANYA HIVYO, KWA SABABU VIUMBE WAPO KILA MAHALI MUNGU ALIPO, KM-A AMESHARUSHA PEPO KWENYE OMNIPRESENCE YA RM

KILICHOTOKEA BAADA YA KM-A KUONFOKA KWENDA LIKIZO
OM-2 ALIHAMA OFISI KWA MUDA, ALIHAMIA KWENYE OFISI NYINGINE YA SWAHIBA WAKE KWA KISINGIZIO KUWA WALIKUWA WANASHAHIHISHA MITIHANI

KAWAIDA OM-2 HUWA ANAPEWA SCRIPTS ZA IDADI INAYOMTODHA NA KUZISAHIHISHIA AKIWA YUPO OFISINI KWAKE

PILI: UTAFITI WA MHUSIKA KUHUSIANA NA MFUATANO WA MATANGAZO MENGI YA NDOA YALIYOTOKEA KWA MARA YA KWANZA HIVI KARIBUNI KWENYE HISTORIA YA KANISA A TANGU MHUSIKA AANZE KUABUDU PALE; UMESHAKAMILIKA

KITU CHA PEKEE KWENYE UTITITRI WA MATANGAZO HAYO NI KWMBA KUNA MATANGAZO YA WANANDOA WAWILI AMBAO KWA MATANGAZO YOTE MATATU KABLA YA SIKU YA HARUSI, ALIYEKUWA ANAKUWEPO KANISANI NI YULE MMOJA TU NA AMBAYE NI MWANAUME.

MWANAMKE HAKUWAHI KUONEKANA KABISA KWENYE MUDA WA MATANGAZO YOTE MATATU YA WANANDOA HAO

KILICHOKUWA KINAFANYIKA WAKATI WA MATANGAZO HAYO NI KWAMBA PEPO ALIKUWA ANARUSHWA KWENYE "POTENCY" KUPITIA MWANAUME ALIYEKUWA ANAONEKANA PEKE YAKE KWENYE MATANGAZO HAYO

POTENCY NI UWEZO WA MWANAUME KUWEZA KUTOA MBEGU ZINAZOWEZA KURUTUBISHA YAI LA MWANAMKE NA MWANAMKE HUYO KUWEZA KUSHIKA MIMBA

KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KUWA KILITOKEA WAKATI WA UTITIRI WA MATANGAZO HAYO
CHANCES NI KWMBA MATANGAZO YA AWALI KABLA YA HAYA YALIYORUSHA PEPO KWENYE POTENCY YALIKUWA YAMEONYESHA PATTERN KWAMBA WANAWAKE WANAPOHUSIKA KWENYE MATANGAZO, INAKUWA HAIWEZEKANI TENA KWA PEPO KURUSHWA KWENYE POTENCY HCHO NDICHO NDIYO KILIPELEKEA KUWEPO WA UTITIRI WA MATANGAZO YA AINA HIYO YALIYOFUATANA KWA NAMNA YA PEKEE SANA NA KWA MARA YA KWANZA KUTOKEA HAPO KANISA A

BAADA YA KUONEKANA HIVYO, NDIYO IKATOLEWA RESOLUTION SASA YA KWAMBA YAITOLEWE MATANGAZO MENGINE YA WANANFOA WAWILI AMBALO LITAHUSISHA MWANAMME TU BILA MWANAMKE KUWRPO

HITIMISHO
MATUKIO YOTE YALIYOMPATA MHUSIKA HIVI KARIBUNI MHUSIKA KUANZAIA LA KUHARIBIKIWA GARI HADI LA HIVI MAJUZI LA USHINDI WA ZAWADI YA MILLION SITA FEKI, YOTE HAYA YAMEKUWA TRIGGERED NA LIKIZO FUPI YA KM-A AMBAYE POSSIBLY WAUMINI KARIBIA WOTE HAWAJUI YUKO WAPI

MAAGENT WAKE KM-A WALIOPO MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA NDIYO WALE ALIOWATUMIA, YEYE AKIWA AMEHIBERNATE SOMEWHERE

HALAFU HUYU AFISA TAWALA ANAYETUMIA MADARKA YAKE KUAJIRI WATU KWENYE TAASISI KWA AJILI YA KUWATUMIA KWENYE UHALIFU, HUYU NDIYO ANAKWENDA KUIUA KABISA TAASISI, KAMA ATAENDELA KUFANYA HIVYO

KWA HIYO KWA SASA, KM-A YUPO SOMEWHERE AKIWA AMEHIBERNATE HUKU AKIWA AMEMRUSHIA PEPO RM KWENYE NYANJA HIZO MBILI

KM-A ASINGEWEZA KUWAAGA WAUMINI YEYE MWENYEWE KWA SABABU KAMA ANGEFANYA HIVYO, ANGELAZIMIKA PIA KUWAJULISHAI KUWA WAKATI WA LIKIZO ATAKUWA YUPO WAPI

WAKATI ANAAGIWA, MUAGAJI WAKE ALIWATAHADHARISHA PIA WAUMINI KWAMBA WASIJE WAKAWA WANAMSUMBUA SUMBUA KWA KUMPIGIA SIMU. HII INAONYESHA KUWA KM-A ALIKUWA AMEPANGA KWENDA LIKIZO MAHALI AMBAPO ASINGEPENDA WAUMINI WAFAHAMU KUWA NI WAPI NA NDIYO MAANA HAKUWAAGA YEYE IN PERSON

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA ABSENCE YA KIONGOZI MKUU WA KANISA A ( KM-A) NA UHUSIANO WAKE NA MATUKIO YA HIVI KARIBUNI YA MHUSIKA KWENYE MAZINGIRA YA NDANI YA TAASISI ANAYOFANYIA KAZI

KWENYE UTENDAJI KAZI WA CODE HII, WAHUSIKA WAKUU WA CODE HII ALIOWABAINI MHUSIKA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE NA PIA NYUMBAMI KWAKE NI WAFUATAO

MOSI: OM-2 KAMA ILIVYO KAWAIDA SIKU ZOTE

PILI: OM-1

TATU: STAFF AMBAYE JINA LAKE LINAFANANA NA JINA LA RADIATIONS (TUMWITE RD-1)
NNE: STAFF MWINGINE TENA AMBAYE NAYE PIA JNA LAKE LINAFANANA NA JINA LA RADIATIONS (TUMWITE RD-2)

HUYU RD-2 NDIYE AMBAYE OM-2 AMEHAMIA OFISINI KWAKE KWA SIKU KADHAA SASA

TANO: AFISA TAWALA MKUU WA TAASISI (HUYU TUMWITE ATTS), ALIYEINGIA MADARAKANI DESEMBA 2012

ATTS NA OM-2 WAKO CONNECTED KWA KUTUMIA "KEYS" NA HAWA NDIYO HUWA WANAJUA IN ADVANCE KILA TUKIO AMBALO HUWA LINAKUWA LIMEPANGWA MBELE YAKE MHUSIKA

MATUKIO YA HIVI KARIBUNI KAMA YALE YA KUHARIBIKA KWA GARI LA MHUSIKA NA LILE LA USHINDI WA GHAFLA WA ZAWADI YA MILLION 6, WATU HAWA WALIYAJUA MATUKIO HAYA IN ADVANCE ; NA MATUKIO HAYA NDIYO YALE YALIYOPELELEKEA OM-2 AKABADILISHA OFISI SIKU KADHAA NYUMA KABLA YA MATUKIO YENYEWE KUTOKEA

MATUKIO HAYA YOTE MAWILI YAMETOKEA OM-2 AKIWA HAPATIKANI KABISA OFISINI KWAKE; ILA ALIKUWA ANAPATIKANA KWENYE ILE OFISI NYINGINE YA RD-2

KILE KILICHOTOKEA EXACTLY KWENYE MAZINGIRA YA MHUSIKA, BAADA YA KM-A KUONDOKA KWENDA LIKIZO

J3 YA TAREHE 22/07/2024 KUFUATIA J2 YA WIKI LA TANGAZO LA LIKIZO YA KM-A KANISANI, KWENYE J3 TAJWA, OFISINI KWAO MHUSIKA WALITEMBELEWA NA RD-1 AMBAYE ALIFIKA OFISINI HAPO KWA AJILI YA MAONGEZI MAFUPI NA OM-2

WAKATI HUO OM-1 HAKUWEPO OFIDINI, ALIKUWA AMETOKA KIDOGO

KWENYE MAONGEZI YAO RD-1 ALIMJULISHA OM-2 KUWA YULE MMILIKI WA SOURCE CODE YA BUTCHERED ( MSCB) AMESAFIRI SAFARI YA MUDA MREFU

BAADA YA MAONGEZI HAYO KUPITA, KESHO YAKE J4 OM-2 ALIHAMIA OFISINI KWA RD-2

IKUMBUKWE KUWA ALIYEFIKA OFISINI KWA OM-2 SIKU YA J3 ALIKUWA NI RD-1 NA OFISI ALIYOHAMIA OM-2 KESHO YAKE J4 NI YA RD-2

BAADA YA TRANSACTIONS HUZI KUWA ZIMEFANYIKA KWA NAMNA HII KUANZIA J3, UTAFITI WAKE MHUSIKA UKAWA UMEMPATIA MAMBO KADHAA YAFUATAYO KWA SIKU ZOTE ZILIXOFUATA MVELE BAADA YA SIKU HIYO

BAADA YA KM-A KUONDOKA KWENDA LIKIZO, OM-2 ALIMILIKI AUTOMATICALLY PEPO YULE ALIYERUSHWA NA KM-A BAADA YA KUWA AMEENDA LIKIZO, KWA SABABU OM-2 NA KM-A WAKO CONNECTED KWA NJIA YA "KEYS" KUTOKANA NA ATTRIBUTES ZAO

VILE OM-2 YUKO CONNECTED PIA NA BAADHI YA WATU WAKE MUHIMU NDANI YA TAASISI KWA NJIA HIYO HIYO AKIWEMO "ATTS"

KWA HIYO KILICHOKUWA HASA KIMEMLETA RD-1 KWA OM-2 NI KUPATA CONNECTION YA NAMA HIYO KUTOKA KWA OM-2, KWA SABABU OM-2 ALIKUWA TAYARI ANA-ACT KAMA GHALA LA SUPPLY YA HUDUMA YA PEPO HUYO

KUTOKANA NA HALI HIYO, RD-1 ALIIPATA CONNECTION HIYO SIKU HIYO NA KILICHOFUATA BAADA YA HAPO RD-1 KUWA ANAHSKIKISHA KUWA ANGALAU KILA SIKU ESPECIAALY ASUBUHI WANAKUWA WAMEONANA NA MHUSIKA; KAMA SIYO KUONANA BASI ANGALAU MHUSIKA ANAKUWA AMEMUONA RD-1 HATA AKIWA ANAPAKI GARI LAKE KWA MBALI KWENYE PARKING

BAADA YA KUWA RD-1 AMEPOKEA SIGNAL HIYO KWA MTINDO HUO KUTOKA KWA OM-2, KUANZIA PALE SIGNAL HIYO IMEKUWA IKIMFIKIA PIA MSCB KWA SABABU RD-1 ALISEMA KUWA MSCB HAKUWA AMESAFIRI PEKE YAKE, BALI WALISAFIRI NA STAFF MWINGINE AMBAYE GARI LAKE LIMFANANA EXACTLY NA GARI LA RD-1 HUKU MAGARI YOTE HAYA MAWILI YAKIWA YANA USAJILI WA NAMBA ZA KWENYE E-SERIES

KWA HIYO KILE AMBACHO HASA KILIKUWA KIMEMLETA RD-1 KWA OM-2 SIKU HIYO, NI KUJA KU-PICK SIGNAL AMBAYO INGEWEZA KUMFIKIA MSCB KUPITIA STAFF YULE MWENYE GARI LINALOFANANA NA LA RD-1 AMBAYE WAMESAFIRI WOTE PAMOJA

VILE VILE ILIPOFIKA J4, OM-2 ALII-EXTEND SIGNAL HIYO KWENDA KWA RD-2 KWA KUHAMIA OFISINI KWAKE, NA RD-2 NAYE ALII-EXTEND SIGNAL HIYO KWENDA KWA SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) KWA KUWA ANATUMIA MUDA WOTE RESERVED PARKING YA SMME

HITIMISHO
MBALI NA HAYA YOTE, MATUKIO YOTE YENYE DALILI ZOTE KUWA NI YA KUPANGWA KARIBIA MARA ZOTE HUWA YANAMPATA MHUSIKA MARA TU BAADA YA WANAFUNZI KUONDOKA KWENDA LIKIZO NA PIA KWENYE KIPINDI CHOTE AMBACHO HUWA WANAKUWA WAPO LIKIZO, NA MARA ZOTE YAMEKUWA YAKIPANGWA NA MAAFISA TAWALA

NA HIKI KITU MHUSIKA ALIKUWA TAYARI AMESHAKISEMA SIKU CHAHCHE TU KABLA YA MATUKIO HAYA YA HIVI KARIBUNI KUTOKEA

KWA HIYO MATUKIO HAYA YA SASA YALIPANGWA NA AFISA TAWALA WA SASA NA HIVYO ALIKUWA ANAYAJUA IN ADVANCE

UHUSIKA WA OM-2 KWENYE MATUKIO HAYA NDIYO ULE UANAONDOA SHAKA YOYOTE KUWA ATTS ALIKUWA HAKUHUSIKA, BALI ALIHUSIKA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 05th AUGUST 2024

SEMINA YA ROHO MTAKATIFU (RM) MWAKA 2012 NA UHUSIANO NA KILE MHUSIKA ALICHOKISEMA HIVI KARIBUNI KUPITIA NUKUU HII

Mwanzo wa kununukuu


“………VINGINEVYO KUNA PROFESA MWINGINE TENA AMBAYE NAYE ANAMILIKI GARI YENYE SIFA HIZI TAJWA, ILA HUYU KWA SASA SI WA MUHIMU SANA KWENYE MAELEZO HAYA KWA SABABU HAKUNA MAHALI AMBAPO MHUSIKA AMEM-DETECT KUHUSIKA NA CHOCHOTE KILE KINACHOHUSIANA NA MATUKUIO HAYA, NA KAMA KUNA MAHALI ALIHUSIKA NA PASIPO MHUSIKA KUGUNDUA, BASI MUNGU AMEAMUA KUMTJNZA KWANZA………”

mwisho wa kunukuu

Nukuu ambayo maelezo yake yanapatikana kwenye post hii #2,135

Ni kweli Mungu alikuwa ameamua kumtunza kwanza Profesa huyu; kwa sababu ushahdidi uliopo sasa unaonyesha kuwa yeye ndiye mhusika mkuu kwenye swala hili, possibly kuzidi wengine wote walitajwa kwenye post hiyo

PROFESA HUYU YEYE YUPO KWENYE KITENGO KINGINE CHA “CODE YA GENERTOR”

Semina ya RM mwaka 2012, ilithibitisha pia kuwa ROHO MTAKATIFU (RM) NI MUNGU na pia ni GENERATOR


  • Vile vile, Semina hiyo ilithibitisha pia kuwa Mungu ni 3-DIMENSIONS kwa maana kuwa Mungu ana nafsi tatu; nafsi zingine mbili za Mungu zikiwa zinajulikana kwa majina YESU na RM
  • Maombi yote ya wakristo kwenda kwa Mungu huwa yanafanyika kwa njia ya RM na kwa Jina la Yesu
Kwa hiyo, mtu akirusha pepo kwenye Generator la umeme lililoko jirani na ofisi ya mhusika, anakuwa amepata uwezo wa ku-block maombi yote yanayofanyika kwa jina la Yesu kwa sababu RM ni nafsi mojawapo ya Mungu, huku Maandiko Matakatifu Biblia yakiwa yameelekeza kuwa maombi yote kwenda kwa Mungu yafanyike kwa Jina la Yesu tu na si vinginevyo

Kwa hiyo ukirusha pepo kwenye Generator la umeme, unakuwa umemrushia pepo RM ikiwa ni pamoja na Jina la Yesu

ATTRIBUTES ZA STAFF WAWILI WAHUSIKA WA GENERATOR JIPYA LILILOWAHI KWEKWA KWENYE JENGO LA OFISI YAO MHUSIKA MWAKA 2021

Mwaka 2021 ilikuwa ndiyo mara ya kwanza jengo la ofisi zao mhusika kuwekwa jenerator

Jengo hili liliwekewa jenerator baada ya kuwa umepita zaidi ya muongo mmoja; majengo mengine yanayofanana na jengo hilo yakiwa yenyewe tayari yalishawekewa genertor

  • Kilichopelekea mismatch ya muda huu wa kuwekewa genertaor kati ya jengo hili na majengo mengine, ulikuwa ni uamuzi wa Senior Mstaafu wa Kiume (SMME), baada ya kuzuia jengo hilo lisiwekewe Generator kwanza kwenye kipindi ambacho majengo mengine yalikuwa yanawekewa generators
  • Vinginevyo jengo hili ndiyo lililokuwa na kuwa na priority ya kuwekewa Generator ukilinganisha na majengo mengine yote kwa sababu ndiyo lile lililokuwa lina-host MAJOR UNIT (MU) ya mwanzo kabla idara haijajitoa kwenye MU hiyo na kujiunga kwenye MU nyingine mpya
Kwa hiyo majengo yote kwenye MU yamekuwa na Generators kwa zaidi ya miaka 10 halafu baadaye ilipofika mwaka 2021, ndiyo jengo lao mhusika nalo sasa liliwekewa generator kwa mara ya mkwanza

BAADA YA JENGO LAO MHUSIKA KUWA LIMWEWEKEWA GENERATOR MPYA MWAKA 2021

Staff wawili idarani walianza kuhusika na Generator hilo na ambao baadhi ya sifa zao ni kama zifuatazo

Mmoja (tumiwte STAFF A) ana gari aina ya Vanguard na herufi tatu za kwenye ile namba ya usajili wa gari hiyo,, zote zimefanana na herifi tatu za namba za usajili za gari la mke wa Kinara wa Matangazo (KWM), ambaye ni muumini kule Kanisani kwao mhusika

  • Huyu mke wa KWM ndiye yule ambaye hivi karibuni alilteta kanisani maharusi wawili wageni Kanisani kuja kufunga ndoa pale
  • Mbali na haya yote, rangi ya gari ya mke wa KWM, inafanana na rangi za gari mbili za Profesa, ambazo zote mbili zimefanana rangi
  • Vile vile, mojawapo ya gari za Profesa inafanana na magari yote mawili ya KM-A isipokuwa rangi, huku nyingine ya pili ikiwa ni Vanguard, inayofanana kwa Type na Model na gari la STAFF A tofauti ikiwa ni rangi tu
Huyu STAFF A ndiye mmojawapo wa watu wawili ambao huwa wanashughulika na GENERATOR la ofisini kwao mhusika

WATU WAWILI KUTOKA KANISANI WENYE “KEYS” ZINAZO LINK DIRECTLY NA “KEYS” ZINGINE ZILIZOKO OFISINI KWA MHUSIKA

Kutokana na maelezo hayo hapo juu, watu wawili wana-olink directly na STAFF A kwenye code hii ya GENERTATOR kutokea kule Kanisani, ni huyu mke wa KWM pamoja na Profesa


Mbali na haya yote, gari la mke wa KWM, limefanana pia kwa kila kitu na gari jingine linalomikiwa na staff mwingine ambaye yupo idarani kwao mhusika, tofauti yake ikiwa ni namba za usajili tu na possibly umiliki

ATTRIBUTES ZA STAFF WA PILI WA MWENYE KUHUSIKA NA GENERATOR LA IDARANI KWA MHUSIKA (huyu tumwite STAFF B)

Kuna staff mwingine tena (STAFF B) ambaye naye pia huwa anashughulika na GENERATOR husika

Staff huyu ana special features kwenye macho yake, ambazo watu walio wengi hawana, huku mke wa KWM naye akiwa na special features kwenye mojawapo ya jicho lake moja

Hadi kufikia muda huu, utafiti wake mhusika umeshamthibitishia kuwa special features za aina fulani kwenye kiungo fulani, huwa zinarusha pepo kwenye kiungo kingine cha mtu mwingine yeyote yule, na kwenye kiungo kinachofanana na kile kinachomiliki hizo features; kwa maana kuwa special fauters za kwenye macho zitarusha pepo kwenye macho na hivyo kwenye VISION, na zile za kwenye ngozi zitarusha pepo kwenye ngozi, halikadhalika za kwenye muscles zitarusha pepo kwenye muscles n.k.

USHIRIKI WA NAMNA NYINGINE WA PROFESA KWENYE CODE HII YA GENERATOR

Kati ya watu wote waliopo Kanisani wanaomiliki gari zinazfonana sana na magari mawili ya KM-A, Profesa ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kumiliki gari ya aina hiyo, huku wengine wakifuata baada ya yeye

Huku Profesa akiwa tayari anamiliki gari yenye sifa hizo, ilipofika J2 ya tarehe 04/12/2022 (takribani miaka miwili iliyopita), Profesa alitoa pendekezo kwa waumini la kununua gari nyingine mpya na waumini waliafiki pendekezo hilo

Gari hilo kwa sasa tayari lipo Kanisani, ila huku likiwa limethibitka kutumika kama ‘SPECIAL KEY” ya magari mengine ambayo yamekuwepo kabla yake, na pia likiwa linafanana na gari la Profesa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 


UPDATE: TUESDAY 06th AUGUST 2024

KWA MARA YA MWISHO
MHUSIKA ANAOMBA AONGEE KUHUSIANA NA MATUKIO YA KUTENGENEZWA MAKUSUDI, HALAFU YANAANZA KUSAMBAZWA MITANDAONI

MATUKIO HAYA HAYATOKEI KWA BAHATI MBAYA, BALI YANATENGENEZWA KWA MAUSUDI NA KUANZA KUSAMBAZWA KWA MAKUSUDI


Tukio hili lililotajwa kwenye post hii #1 na ambalo ni la wiki hii, nalo pia linaangukia kwenye matukio hayo

Huu ulikuwa ni utaratibu tu wa kawaid wa kusambaza mapepo, baada ya mapepo kuwa yamerushwa kutoka madhabahuni

Pepo akisharushwa kutokea kwenye Madhabahu, inabidi usambazaji uanze kwa kutumia media; na hivyo media huwa zinategeshewa kwa sababu huwa muda wote ziko macho ku-pick matukio yote ambayo yanakuwa yana-trend

Mara ya mwisho tukio la aina hii lilipofanyika, ni lile lililohusiana na mwanafunzi wa Chuo Kikuu kule Dodoma pamoja na yule aliyekuwa kiongozi mteule, Mhusika aliliongelea tukio hilo na kulitolea ufafanuzi humu jukwaani

Hata kwa hili la sasa, mhusika anao pia ushahidi na upo kama ifuattavo

J2 ILIYOPITA YA TAREHE04/05/2024 KULE KANISA A WAKATI WA IBADA YALIRUSHWA MAPEPO YANAYOHUSIANA NA WADHAMBI

Kuna kiongozi junior ambaye ameshakasimishwa mamlaka ya ku-renew mafundisho ya SEMINA YA ROHO MTAKATIFU (RM) ILIYOFANYIKA MWAKA 2012, na ambayo ilikuwa ni semina ya kwanza hapo Kanisa A iliyopelekea RM kurushiwa mapepo

Huyu ndiye amekuwa aki-renew mafundisho ya semina hiyo na kila anapofanya hivyo, tayari wanarusha pepo kwa RM na hicho ndicho kilichofanyika J2 iliyopita, ikiwa ni pamoja J2 ya wiki juzi (tarehe 21/07/2024); J2 ambayo mhusika alielekezwa kupaki gari lake kwenye sehemu ambayo awali zilikuwa zimewekwa pale kokoto za ujenzi, na aliyemwelekeza mhusika kufanya hivyo, ni huyu kiongozi junior mabaye alihudumu J2 hiyo, wakati hiyo si kazi yake bali kazi ya mashemasi na watu wa security

Baada ya kutoka kwenye Ibada J2 tajwa hiyo, ndiyo pale mhusika alipomkuta binti wa KM-A akiwa na mwenzake, walikuwa wamesimama kwenye sehemu karibu kabisa na pale alipokuwa amepaki gari lake

Taarifa za J2 hiyo ziliwajieni humu kupitia baadhi ya maelezo yaliyopo kuanzia kwenye post hii hapa #2,132

Kwa hiyo J2 hiyo, mhudumu wa Ibada kuu alikuwa ni huyu huyu kiongozi junior alliyehudumu kwenye Ibada ya J2 ya wiki juzi

Mwaka jana kiongozi huyu kwa mara ya kwanza, alilifundisha somo hili J2 ya tarehe 02/07/2023 na kupelekea mhusika kumsifu sana kwa sababu alikuwa bado hajang’amua mbinu iliyokuwa imejificha ndani ya mafundisho hayo yanayohusiana na RM

Coodinator mkubwa kwenye urushaji wa mapepo kaaribia yote Kanisani ni yule mama mke wa Kinara wa Matanagazo (KWM) ambaye herufi zote tatu za namba za usajili za gari lake zimefanana na herufi tatu za namba za usajili za gari la mtunza GENERATOR aliyepo ofisini kwa mhusika

RM ni GENERATOR

……….inaendelea
 
…..inaendelea

Kuhusiana na tukio la wiki hii lililotajwa kwenye post hii #1

Matukio ya aina hii ambayo mhusika ameshayaongelea ni mengi mno kwa sasa na hivyo yanatosha kum-prove wrong au wright, na pia kuviwezesha vyombo husika kufanya kazi yake kwa matukio mengine ya aina hii yanayoweza kujitokeza mbele ya safari; assuming vyombo hivyo vinakubalina na utafiti wa mhusika

Ukiondoa post hizi za siku hii ya leo J4, posts zingine zilizopo hapo juu zinaongelea mbinu za namna ambavyo RM anaweza kurushiwa mapepo, na kile ambacho huwa kinatokea kwa waombaji wanaotumia jina la Yesu, baada ya RM kuwa amerushiwa mapepo

Kwa hiyo kilichofanyika hapo Kanisa A J2 iliyopita, ni kile ambacho mhusika amekieleza kwenye posts zilizopo hapo juu, zilizotangulia kabla ya post hii ya leo

Matukio ya kurusha mapeo ni sequential kwa na yanaanzia kwenye madhabahu, na baada ya hapo wahusika wake hujipanga kwa kupiga tarumbeta inayokuwa imekusudiwa ku-drawa attention ya media

Baada ya ku-zitrigger media kwa maigizo yao, usambazaji wa mapepo huwa unaanza mara moja, huku media zikiwa zinajua kuwa zinasmbaza taarifa halisi, kumbe nyuma yake kuna maigizo

HITIMISHO

Coodrinator mkubwa wa matukio haya ya kurushiwa pepo RM pale Kanisani ni huyu mama mke wa Kinara wa Matangazo

Tukio hili #1 la wiki hii, nalo pia linaangukia kwenye mlolongo huu wa matukio haya ya kupangwa kwa makusudi, na limetokea mara tu baada ya mapepo kuwa yamerushwa kupitia Madhabahu ya Kanisa A J2 iliyopita ya tarehe 04/07/2024

Posts zilizopo hapo juu kabla hizi za leo zinatoa mwanga zaidi wa namna ambavyo RM anaweza kurushiwa mapepo, na hivyo baada ya hapo, kuepelekea kufutwa kwa maombi yote ambayo huwa yanafanyika kupitia JINA LA YESU

NB:

Matukio mengine yote yatakayokuja kutokea mbele yanayofanana au kushahibiana na hili la sasa, mhusika hatayaongelea tena, isipokuwa atatoa hint tu ya kuonyesha kuwa ni matukio yanayoangukia kwenye mlolongo wa matukio yanayofanana na tukio hili la sasa

Matukio haya mhusika ameshayaongelea vya kutosha na hivyo haoni tena haja ya kuendelea kuyaongeleaa kwa sababu yanaweza hata mwishowe yakapelekea kumkosesha credibility ya maswala mengine muhimu ambayo huwa anaendelea kuyapost humu

UPNEXT: KINARA WA MATANGAZO (KWM) NA "CODE YA GENERATOR"

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KINARA WA MATANGAZO (KWM) NA “CODE YA GENERATOR”

Kati ya watu ambao mhusika anakiri kuwa wameitesa sana akili yake wakiwa wanatumia “CODE YA GENERATOR” kwa kule Kanisani kwake, wa kwanza kabisa ni huyu KWM

Wengine wanaofuatia baada yake ni mke wake KWM pamoja na Profesa mwenye gari mbili zenye rangi inayofanana, mojawapo ikiwa ni Vanguard

Kwa upande wa ofisini kwake, waliotesa sana ni mmiliki mwenyewe wa “SOURCE CODE YA GENERTATOR” (tumwite MSCG) pamoja na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE); wote hawa wakiwa wanamiliki gari aina ya Vanguard

Huyu MSCG ndiyo siku moja aliwahi pia kuleta GENERATOR LA MAFUTA YA PETROL mwaka jana wakishirikiana na mmiliki wa source code ya BUTCHERED (MSCB) pamoja na OM-1; na generator hilo kulitegesha chumba jirani na ilipo ofisi yao mhusika

Kwenye wiki hiyo husika, OM-1 na OM-2 walikuwa na udhuru uliokuwa unawapelekea wasikae ofisini kwao muda mwingi hasa nyakati zile za jioni, na hivyo plan ilikuwa ni kwamba MSCG na MSCB wangeweza ku-execute mission yao the next day

Kabla ya hapo, hapakuwahi kuwepo generator lolote kwenye chumba hicho jirani na ofisi yao mhusika

Na huu ujambazi wa namna hii umeanza mara tu baada ya Afisa Tawala mpya kuingia madarakani Desemba 2022

Kwa hiyo, hawa ni baadhi tu ya watu ambao wamekuwa ni vinara wa kiitumia code hii ya GENERATOR

Pasipo mhsika kuwa na ufahamu kamili wa namna code hii ilivyokuwa ina-operate ila huku akiwa na uhakika kabisa kuwa ilikuwa ina-operate, code hii ndiyo ile iliyopelekea mhusika akatoa nick name ya KINARA WA MATANGAZO kwa kiongozi husika

SEQUENCE YA NAMNA AMBAVYO WATU HAWA WALIVYOKUWA WAKII-EXECUTE CODE HII KULE KANISANI KWA SIKU ZA J2 MHUSIKA ANAPOKUWA AMEINGIA MAZINGIRA YA KANISANI

Waliokuwa wanaanza kabisa ni aidha PROFESA au mke wa KWM

  • Mhusika anapokuwa anaingia Kanisani, mojawapo ya watu hawa anakuwa ameegesha gari lake katika namna ambavyo ni lazima mhusika ataliona
  • Kwa upande wa Profesa, yeye wakati mwingine alikuwa anaweza hata akafanya timing ambayo mahali fulani mhusika anapokuwa bado yupo njiani, wataongozana na mhusika, Profesa akiwa yupo mbele
Kama ni wakati wa asubuhi mhusika akiwa anaelekea kwenye Ibada, hapo Profesa anakuwa amefanikiwa kurusha pepo kwa RM na hivyo kufuta maombi yote ya mhusika kabla hajafika Kanisani, aliyofanya asubuhi hiyo

Mhusika akishafika kanisani, tayari usambazaji unaanza immediately

Kwa siku hiyo anaweza kukuta matangazo kama

“……Wanaume wote tukutane pande hii……”

Na hiki kitu ndicho exactly kilitokea mwaka jana J2 ya tarehe 30/07/2023; kulikuwa na ugeni kutoka jimboni; muumini kutoka Kanisa B alifika J2 hiyo akiwa ametumwa kuja Kanisa A

Ni J2 ambayo Profesa na mhusika wali-catch up njiani kwenye mataa ya Ubungo Interchange, Profesa akawa yupo mbele na mhusika anafuata kwa nyuma

Huu ulikuwa ni utaratibu mmojawapo kwenye code hii na ambao mhusika alikuwa hajaweza kuung’amua siku nyingi kabla isispokuwa kwa siku za hivi karibuni

Vinginevyo mara nyingi Profesa na mhusika wamekuwa wakiongozana mara baada ya Ibada kumalizika, au Profesa kutegesha gari lake getini kabla mhusika hajatoka ndani ya uzio wa Kanisa, mithili ya kama vile kumzuia asitoke nje kabla yake

Na hiki ndicho kilichotokea siku ya J2 ya tarehe 27/11/2023 siku ya ajali ya ndege

Kwa upande wa mama mke wa KWM, yeye amekuwa akitegesha gari lake Kanisani kabla au baada ya Ibada au kwa muda wote wa kabla na wa baada ya Ibada

Kwenye siku ambazo mhusika huwa anahudhuria Ibada ya kwanza asubuhi, huwa ni lazima mama huyu apite mahali karibu na pale mhusika alipo aidha muda mfupi kabla mhusika hajaingia kwenye au baada ya kuingia Ibada

Kati ya wake wa viongozi ambao huwa wanatia aibu kwenye Ibada kanisani na ambao huwa hawakai kwenye Ibada wakatulia isipokuwa kurandaranda tu hapa na pale, ni huyu mama. Ana tabia utafikiri ni mtoto mdogo

Mbinu ambazo zimekuwa zikitumika ni nyingi na si rahisi mhusika akaziongelea zote

Nia hasa ya watu hawa imekuwa ni kufuta maombi KABLA YA IBADA, ambayo mhusika anakuwa ameyafanya kwa siku hiyo, ili HAPO BAADAYE upatikane mwanya wa kurusha pepo wakati wa Ibada Kuu

Ibada kuu ikishamalizika, ndiyo pale sasa hukaribishwa KWM alikuwa akikaribishwa kupandisha juu madhabahuni kwa ajili ya kuanza usambazaji rasmi

Vinginevyo pale ilipokuwa inatokea KWM asipewe nafasi hiyo au akawa hayupo, usambazaji kupitia Kanisani hukwama na mbadala wake hupatikana kwa kutumia matukio halisi ya kutengeneza

Inapokuwa imetokea hivyo, ndiyo pale sasa kuanzia J3 ya wiki inayofuata, matukio yale ya kupangwa yanayofanana na hili hapa #1 husambazwa kwa makusudi na wahusika na hivyo kuanza kusikika nchi nzima kupitia media

Karibia mara zote, matukio ya aina hii huwa yanasikika kuanzia aidha J2 jioni au siku za J3 au J4 za wiki inayofuata, yaani mara baada ya Ibada ya J2 kuwa imeshamalizika

BAADA YA MBINU HIZI KUWA ZIMETUMIKA TUSEME KABLA YA IBADA NA HIVYO MAPEPO KUFANIKIWA KURUSHWA WAKATI WA IBADA KUU

Kama ilivyodokezwa hapo juu, baada ya Ibada kuu kumalizika, ndiyo pale sasa KWM alikuwa akikaribishwa madhabahuni RASMI SASA KWA KUANZA USAMBAZAJI

  • Karibia mara zote, KWM alikuwa anapandisha juu madhabahuni na kurusha pepo kwa “WADHAMBI” pamoja na “DHAMBI” akitumia maneno UZINZI AU ULAWITI AU VYOTE
  • Hapo sasa anakuwa amesimamia kwenye maandiko matakatifu yanayosema kuwa YESU ALIFANYIKA DHAMBI
Kwa ihiyo ilikuwa kila KWM anapopandisha juu madhabahuni. Alikuwa akirusha pepo kwenye DHAMBI na WADHAMBI wote kuanzia waliopo pale kanisani akiwemo yeye mwenyewe, hadi wale walioko kwenye meneneo mengine popote pale duniani

Hiki kitu kilikuwa kinafanyika baada ya mke wa KWM na Profesa; kuwa wamefuta kwanza maombi yote ambayo mhusika anakuwa amefanya kwa siku hiyo kabla ya kuwasili kanisani kwenye Ibada

…..inaendelea
 
.........INAENDELEA

"CODE YA GENERATOR "

MUUMINI MWINGINE AMBAYE KINARA WA MATANGAZO ( KWM) PAMOJA NA MKE WAKE WAMEKUWA WAKISHIRIKIANA NAYE KWA KSRIBU SANA KWENYE UTEKELEZAJI WA CODE HII KANISANI KWAKE MHUSIKA


HUYU NI BINTI AMBAYE AMEKUWA AKIENDESHA SEMINA ZA UJASIRIAMALI KANISANI HAPO

MARA YA MWISHO SEMINA HIYO ILIFANYIKA MWAKA JANA, AMBAPO KULIKUWA PIA NA SHINDANO LILILOPELEKEA MSHINDI KUPATIWA ZAWADI YA SHILLINGI LAKI TANO

KWENYE J2 HIYO, KWM ALIKARIBISHWA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI KWA AJILI YA KUKABIDHI ZAWADI HIYO KWA MSHJNDI

BAADA YA IBADA YA SIKU HIYO KUMALIZIKA, JIONI YAKE VIBANDA VINGI SANA VYA WAFANYABIASHARA WADOGO WADOGO KARIAKOO VILITEKETEA KWA MOTO

BINTI HUYU MJASIRIAMALI NAYE PIA ANAMILIKI GARI AINA YA VANGUARD, INAYOFANANA EXACTLY NA ILE INAUOMILIKIWA NA STAFFMATE WA MHUSIKA AMBAYE NI MMILIKI WA SOURCE CODE HII YA GENERATOR

................INAENDELEA kwenye post hii hapa #2,158
 
UPDATE: FRIDAY, 09th AUGUST 2024

UTAFITI WA MUDA MREFU ULIOKAMILIKA KUHUSIANA NA MAFURIKO YA MAVI

MAFURIKO YA MAVI NYUMBANI KWA MHUSIKA YANATOKANA NA PUMPING KUTOKEA NYUMBANI KWA JIRANI MAJI MACHAFU (JMM) NA SI HITILAFU KWENYE MFUMO WA MIUNDO MBINU YA MAJITAKA


Kwa wiki hii mafuriko hayo yametokea mara nne ikiwemo siku ya leo na yote yamekuwa yakitokea wakati wa usiku tu

Kwa masaa mengine yote ya siku husika, mfumo huu unakuwa upo sawa na hivyo hakuna mafuriko yanayotokea, isipokuwa kwa wakati wa usiku tu

Mhusika bado hajaliripoti tatizo hili kwa wahusika, kwa sababu alikuwa anafanya study ya mwisho ili kujiridhisha pasipo shaka kama kweli ni tatizo ni la miundo mbinu au ni la upumbavu tu wa mtu fulani mahali fulani

Pumping hiyo imekuwa ikifanyika mara kwa mara baada ya majirani wengine wa mhusika waliokuwepo kwenye block analoishi kuhama; hao ndiyo walikuwa wanaogopwa muda walipokuwepo na ndiyo maana hayo yalikuwa hayatokei

Kwa hiyo tatizo hili limekuwa critical baada ya majirani kuondoka; na kwa sasa, pumping hiyo inafanyika usiku tu, halafu kukicha, mfumo unakuwa sawa, isipokuwa kwa siku ya leo ambapo pumping imefanyika pia asubuhi

Baada ya pumbing hiyo kufanyika tena usiku wa leo, mhusika alienda akawaita baadhi ya majirani wakiwemo vijana wageni ambao wamehamia hapo hivi karibuni pamoja na askari na kuwaonyesha hali inavyokuwa

Muda ulikuwa ni dakika chache baada ya saa 8 usiku

Baada ya majirani hao kuwaeleza kuwa pumping hiyo imekuwa ikifanyika usiku kwa wiki yote hii, angalau kwa siku ya leo pumping imefanyika tena asubuhi na kupelekea mhusika ashindwe kuoga asubuhi

Kwa siku zingine zilizobaki za wiki hii, pumping hiyo imekuwa ikifanyika usiku, mavi yanajaa kwenye sink la kuogea na yanakuwa hayetembei hata kidogo, na inapofika asubuhi, mavi hayo hutembea na kupelekea mfumo wa majitaka kuwa sawa tena

KILICHOPELEKEA MAVI HAYO KUWA YANATUAMA KABISA USIKU HALAFU INAPOFIKA ASUBUHI MFUMO WA MAJI UNAKUWA SASA NA MAJI KUWA YANAATEMBEA KAMA KAWAIDA

Mavi hayo yamekuwa yanatembea inapofika asubuhi ili kuruhusu mhusika aweze kuoga, na pia ili kuficha majirani wageni waliopo wasiweze kufahamu kama usiku huwa kunakuwa na mafuriko nyumbani kwa mhusika

Kwa iki hii, mafuriko hayo yametokea kwa siku nne, tatu za mwanzo mfululizo tangu J3 na pia kwa usiku wa kuamkia leo pia

Mhusika hajayaripoti mafuriko haya kwa sababu ameshajiridhisha kuwa ni ya kutengeneza kwa makusudi

Ngoja kwanza acheze na maigizo haya ya watu hawa wazito sana kwenye taasisi

Mhusika ana kikao leo kuanzia saa nne, taarifa zaidi zitafuata baadaye

Zaidi ni kuwa kule J2 iliyopita kule Kanisani, kiongozi yule ambaye anashikilia code hii ya mafuriko ya mavi, alisimama madhabahuni kwa muda mfupi tu kutoa tangazo, muda mfupi kabla ya Ibada kuanza

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


UPNEXT: "CODE YA GENERATOR "
........inaendelea
 
NYONGEZA MUHIMU KUTOKEA KWENYE POST HII #1,812

STAFF ALIYETAJWA KWENYE POST HIYO NA AMBAYE KWA MARA YA KWANZA MWAKA JANA DESEMBA 2023 WALISHIRIKIANA NA MHUSIKA KUFUNDISHA KOZI MOJA, NI NAMESAKES WA KIONGOZI MKUU WA KANISA A

STAFF HUYU NI YULE AMBAYE ALIKUWA ANAONGEA NA MHUSIKA KWA KIFICHO SANA KWA KUMVIZIA PINDI ANAPOKUWA YUPO KWENYE VERANDA

BAADA YA MHUSIKA KUANZA KUFUNDISHA KOZI HIYO ILIYOHUSIANA NA MAMBO YA UDONGO, MAPOROMOKO YA CARTESH YALITOKEA KULE MANYARA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


UPNEXT: "CODE YA GENERATOR "
........inaendelea
 
UPDATE: SATURDAY, 10th AUGUST 2024

KILE ALICHOKIPATA MHUSIKA KUTOKEA KANISANI J2 ILIYOPITA N.A. AMBACHO NDICHO HIBI KARIBUNI KILIPELEKEA GARI LA MHUSIKA KWENDA GARAGE KWA TATIZO LA ALTERNATER

BY PROFESSION, YESU ALIKUWA FUNDI, FUNDI SEREMALA


KWA HIYO MTU AKIWARUSHIA PEPO MAFUNDI, ANAKUWA AMEMRUSHIA YESU PIA
HII CODE YA MAFUNDI NDIYO ILE SMBAYO IMEKUWA MARA KWA MARA IKISABABISHA GARI LA MHUSIKA KUHUJUMIWA N.A. KULAXIMIKA KWENDA GARAGE MARA KWA MARA, TANGU LIWASILI LIKIWA JIPYA (USED) KUTOKA JAPAN

J2 ILIYOPITA MHUSIKA ALIKUTA UJENZI WA UKUTA UKIWA UNAENDELEA KANISANI, JAPO ULIKUWA UPANDE ULE WA KIWANJA JIRANI, ILA NDIYO UKUTA HUO HUO UTAKAOTUMIKA HATA KWA UPANDE WA KANISANI

MBALI N.A. HILO, KESHO YAKE J3, UKARABATI WA JENGO ANALOISHI MHUSIKA ULIOKUWA EMESIMAMA ZAIDI YA MWAKA MMOJA ULIOPITA, NAO PIA ULIANZA HUKU MAFURIKO YA MAVI NAYO YAKIANZA TENA KUANZIA J3 HIYO

UTAFITI ULIOKAMILIKA KUHUSIANA NA PHONATION YA "CLAY"

PANAPO MAFUNDI HUWA HAPAKOSEKANI VUMBI,: UHUSIANO WA VUMBI HILI NA MAFURIKO YA MAVI YANAYOENDELA NYUMBANI KWAKE MHUSIKA


MAFURIKO HAYA YA MAVI YANA UHUSIANO WA MOJA KWA MOJA NA STAFF MSIMAMIZI WA WAFANYAKAZI WANAOHUSIKA NA MIUNDOMBINU YA MAJI TAKA, AMBAYE JINA LAKE LINA PHONATION YA "CLAY"

MUNGU ALIMUUMBA MWANADAMU KWA KUFINYANGA MAVUMBI YA ARDHI, YAANI KWA KUTUMIA UDONGO WA MFINYANZI

KWA LUGHA NYINGINE, UDONGO WA MFINYANZI UNAITWA "CLAY" NA HIVYO NENO CLAY LINAWAKILISHA PIA MWILI, NAFSI N,A ROHO YA MWANADAMU

KWA HIYO MTU AKIRUSHA PEPO KWENYE VUMBI AU KWENYE " CLAY " AU UDONGO, ANAKUWA AMERUSHA PEPO KWA MWANADAMU

CODE HII YA CLAY NDIYO ILE ILIYOPELEKEA HIVI KARIBUNI, STAFF HUYU MSIMAMIZI WA WATU WA MIUNDOMBINU YA MAJI TAKA, KUSALIMIANA NA MHUSIKA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE, NA BAADA YA HAPO, MWANAFUNZI MWENYE JINA LA PHONATION HIYO HIYO YA CLAY, ALIFIKA OFISINI KWAO MHUSIKA AKIWA ANA-SUBMIT PROJECT REPORT YAKE KWA OM-2, TAARIFA AMBAZO MHUSIKA ALIZILETA HUMU JUKWAANI HIVI KARIBUNI

KWA HIYO PROJECT REPORT HIYO ILIYOLETWA NA MWANAFUNZI HUYO, NDANI YAKE ILIKUWA IMEBEBA CODE HII YA "CLAY"

KWA HIYO VUMBI LOLOTE AMBALO HUSABABISHWA NA MAFUNDI IKIWA NI PAMOJA NA LINALOTOKANA NA SHUGHULI NYINGINE YOYOTE ILE, LINAWAKILISHA "CLAY" AU UDONGO WA MFINYANZI, NA AMBAO NAO IN TURN, UNAWAKILISHA MWILI, NAFSI NA ROHO YA MWANADAMU

KWA HIYO MTU AKISHUGHULIKA NA "CLAY", ANAKUWA PIA AMESHUGHULIKA NA MWANADAMU KWENYE NYANJA ZAKE HIZO TATU ZILIXOTAJWA HAPO JUU

KWA HIYO CODE YA MAFURIKO YA MAVI IMEKUWA INA UHUSIANO NA CODE YA CLAY NA PASIPO MHUSIKA KUWA AME-REALIZE HILO KABLA

KWENYE MAFURIKO HAYA YA MAVI, STAFF MWENYE JINA LA PHONATION YA INAYOFANANA NA PHONATION YA " CLAY" ANAHUSIKA MOJA KWA MOJA NA HUU NI UTAFITI ULIOKAMILIKA NA USIOKUWA NA SHAKA YOYOTE

WAHUSIKA WA CODE HII YA "CLAY" ALIOWABAINI KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE MHUSIKA

............. inaendelea
 
WAHUSIKA WENGINE WA CODE YA "CLAY" KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE MHUSIKA

WAPO WATATU, MR X AKIWA NI MMOJA WAO

KWA MARA YA KWANZA WIKI ILIYOPITA, MR X ALIKUJA OFISINI NA GARI LAKE JIPYA HUKU LIKIWA LIMEFUNIKWA NA MAVUMBI MENGI KIASI

BAADA YA HUYO, KWA SIKU MBILI MFULULUZO ZA J3 NA J4 ZA WIKI HII, STAFF MWINGINE MWENYE JINA LINALOFANANA NA JINA LA RADIATIONS NA AMBAYE WAPO KITENGO KIMOJA NA OM-2, NAYE PIA KWA MARA YA KWANZA KWA SIKU HIZO MBILI, AMEKUWA AKIJA OFISINI NA GARI LAKE HUKU LIKIWA LIMEFUNIKWA NA MAVUMBI MENGI SANA

VINGINEVYO MTU MWINGINE WA TATU NI STAFF AMBAYE ALIHAMIA KUTOKA DODOMA, NA AMBAYE ANAHUSIKA PIA NA GENERATOR.

TAKRIBANI MIEZI MITATU AU MINNE ILIYOPITA, STAFF HUYU NAYE ALIWAHI KWA MARA YA KWANZA , KUJA NA GARI LAKE OFISINI LIKIWA LIMEFUNIKWA NA MAVUMBI MENGI, NA HUYU NDIYE ALIYEASISI MTINDO HUU WA WATU KUJA NA MAGARI OFUSINI YAKIWA YAMEFUNIKWA NA NAVUMBI MENGI

KABLA YA STAFF HUYU KUJA NA GARI LAKE OFISINI LIKIWA KWENYE HALI HIYO, JANA YAKE MHUSIKA ALIKUWA AMESHUHUDIA KUONA GARI NGENI MAZINGIRA YA OFISINI V8 NYEUSI IKIWA INAPITA JIRANI NA JENGO LA OFISINI KWAO LIKIWA LIMEFUNIKWA NA MAVUMBI MENGI

GARI HILO LILIONEKANA KUWA LILIKUWA LINATOKA SAFARI NDEFU NA LILIPITA KWENYE MUDA AMBAO MHUSIKA ALIKUWA YUPO KWENYE VERANDA KWA AJILI YA MAPUMXIKO YA MUDA MAFUPI

KITU KINGINE KIBAYA SANA AMBACHO STAFF HUYU MWENYE JINA LA PHONATION YA "CLAY " ALIWAHI KUKIIFABYA KWA MHUSIKA NA AMBACHO KILIDUMU KWA MUDA WA ZAIDI YA MIAKA MITATU

STAFF HUYU ALIWAHI KUKATIA MAJ NYUMBA NZIMA YA MHUSIKA KUANZIA APRIL 2018 NA ALIYARUDISHA TENA JULY 2021

COINCIDENCE ILIYOTOKEA HAPA NI KWAMBA MAJI HAYO YALIKATWA MUDA MFUPI TU KABLA YA JIRANI MAJI MACHAFU ( JMM) KUONDOKA KWENDA SHULE, NA YALIRUDISHWA RENA MUDA MFUPI TU KABLA YA JMM KURUDI KUTOKA SHULE


SIKU MAJI YANARUDISHWA,YALIRUDISHWA KWENYE MUDA AMBAO HAUKUWA WA MASAA YA KAZI, ILIKUWA NI BAADA YA SAA 11 KAMILI, NA YALIRUDISHWA NA MAFUNDI WALIOKUWA WAMTOKA NJE YA TAASISI, YAANI AMBSO HAWAKUWA WAFANYAKAZI WA TAASISI

BAADA YA MAJI HAYO KURUDISHWA, IMMEDIATELY SIKU HIYO FAMILIA YA JMM ILIANZA KUTIRIRISHA TENA MAJI MACHAFU KUPITIA JIKONI KWA MHUSIKA; KITU AMBACHO HAKIKUWA KIGENI KWA SABABU ILIKUWA TAYARI IMESHAWAHI KUKIFANYA KWA MARA KADHAA HAPO KABLA

KILE KILICHOKUWA KIKIFANYIKA KWA MUDA WOTE HUO WA MIAKA MITATU MHUSIKA ALIPOKUWA AMEKATIWA MAJI NYUMBA NZIMA

MHUSIKA ALIKUWA ANASOMBA MAJI KWA KUTUMIA NDOO KUTOKA MABOMBA YA NJE, BOMBA MOJA LIKIWA NI LILE LILILOPO KWENYE BLOCK ANALOISHI SASA NA BOMBA JINGINE MOJA LILIWAHI KUWEPO KWENYE BLOCK JIRANI

VINGINEVYO, MHUSIKA ALIKUWA ANATUMIA PIA MPIRA WA MSJI KAMA ALTERNATIVE NYIGNINE PALE ILIPOKUWA INATOKEA BAHATI KUWA MAJI YALIKUWA YANATOKA KWA PRESSURE YA KUTOSHA.


MPIRA HUO ALIKUWA SNAUTUMIA KUPANDISHA MAJI JUU; MPIRA AMBAO HAKUWA AMEUNUNUA YEYE; NA KARIBIA MARA ZOTE MPIRA HUO ULIKUWA UNAINGIZA MAPEPO NYUMBANI KWAKE

UFAHAMU ALIKNAO SASA MHUSIKA UNAOTOKANA NA MATUKIO HAYA AMBAYO YAMESHAWAHI KUTOKEA, AKIUHUSIANISHA NA TTUKIO HILO LA KUKATWA KWA MAJI KIPINDI HICHO


IKUMBUKWE KUWA MAJI HAYO YALIKATWA MUDA MFUPI TU BAADA YA JMM KUONDOKA KWENDA SHULE NAYALIRUDISHWA MUDA MFUPI TU KABLA YA JMM KURUDI KUTOKA SHULE

MBALI NA HILO, SIKU MAJI YALIPORIUDIISHWA, SIKU HIYO HIYO FAMILIA YA JMM ILIANZA KUTIRIRISHA TENA MAJI MACHAFU KUPITIA JIKONI KWA MHUSIKA

VILE VILE MAJI YALIRUDISHWA NA MAFUNDI AMBAO HAWAKUWA WAAJIRIWA WA TAASISI NA KATIKA MUDA AMBAO HAUKUWA WA MASAA YA KAZI

KWA KUZUNGATIA VIPENGELE VYOTE H IVI, KWA SASA MHUSIKA ANAONA KUWA TUKIO HILI LA MHUSIKA KUKATIWA MAJI KWA MUDA WA ZAIDI YA MIAKA MITATU, LILITOKANA NA CONSPIRACY NYINGINE KATI YA JMM NA UDONGO WA MFINYANZI AU "CLAY"

LENGO LA KUMKATIA MAJI ILIKUWA NI KUTENGENEZA MIANYA YA KUMRUSHIA MAPEPO MHUSIKA KUPITIA KWENYE HITAJI LAKE HILO LA MAJI KWA SABABU ALILAZIMIKA KUWA ANACHOTA MAJI KUTOKA NJE NA WAKATI WINGINE KWA KUYABEBA KWENYE NDOO

ALIPOKUWA ANABEBA MAJI, WALIKUWA WANAMRUSHIA PEPO KWENYE RECEPTORS CELLS, KAMA VILE MECHANORECEPTOR CELLS

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 13th AUGUST 2024

KABLA HAJAENDELEA NA CODE YA GENERATOR………

MHUSIKA ANAOMBA AWALETEE “COINCIDENCE” MUHIMU ALIYOIPATA KUTOKA KWA RAFIKI YAKE MTOTO WA MWISHO WA MR X, J2 YA TAREHE 04/08/2024

J2 hiyo mhusika akiwa anapita kuelekea kwenye parking baada ya Ibada kumalizika, alimuona rafiki yake huyo akiwa amesimama karibu na ukuta, huku aliwa ameelekeza kisogo kwenye njia ambayo mhusika alikuwa anapita

Kwa J2 hiyo, mhusika na mtoto huyu walikuwa hawajaonana lakini kutokana na mtoto huyu kuwa alikuwa amelekezea kisogo kwenye njia aliyokuwa mhusika anapita huku akiwa yuko bize anacheza na watoto wenzake, mhusika alimua kumu-“ignore” na kumuacha aendelee na shughuli zake na watoto wenzake

Hiyo siku ya J2 ikapita

Kesho yake asubuhi ya J3 ya tarehe 05/08/2024 mhusika alipokuwa yupo ofisini, mtoto rafiki yake na mhusika waliyeonana Kanisani jana yake, akaanza kuongea kama ifuatavyo

Kwamba sauti yake mtoto huyo ina mkwaruzo kidogo mithili ya sauti ya mtu aliyeimba sana halafu baadaye sauti yake ikawa inaelekea kama kutaka kukwama hivi; na mkwaruzo ambao umefanana exactly na mkwaruzo wa sauti ya mtu mwingine aliyepo mazingira ya ofisini kwa mhusika, ambaye ni mfanyakazi wa usafi (tumwite MFKZ)

Taarifa hizi zilimjia mhusika siku hiyo ya J3 muda mfupi tu mara baada ya MFKZ kuingia ofisini kwao mhusika kwa ajili ya usafi

Baada ya hapo, mhusika akawa anasubiria tena akiendelea kumdadiisi vizuri rafiki yake kama ujumbe wake uliokuwa ni huo tu au bado alikuwa nao ujumbe mwingine tena

Na kweli Ilipofika asubuhi ya leo J4 ya tarehe 13/07/2024; rafiki wa mhusika akaja tena na ujumbe mwingine ulioonyesha “coincidence” nyingine kati ya watu hawa wawili kwamba:

Jina la kwanza la mama wa mtoto rafiki wa mhusika lenye herufi 8, limefanana na jina la MFKZ kwa namna kama zilivyoelezwa hapa chini

Majina ya wawili hawa yana phonation isiyofanana isipokuwa

  • Jina la mama lina herufi 8 wakati jina la MFKZ lina herufi 9
  • Herufi tatu za kwanza zinazounda jina la mama, ndiyo herufi hizo hizo pia ambazo zinaunda jina la MFKZ huku zikiwa pia ni za kwanza kwenye jina hilo
  • Herufi zingine 5 zilizobaki zilizoko kwenye jina la mama, 3 kati ya hizo, zote zipo pia kwenye kwenye jina la MFKZ huku baadhi yake zikiwa zimejirudia
  • Tofauti na jina la MFKZ ambalo lina herufi zinazojirudia, hakuna herufi inayojirudia kwenye jina la mama,
  • Kutokana na kujirudia baadhi ya hefuzi zilizopo kwenye jina la MFKZ, hali hiyo inapelekea jina hilo kuwa na herufi moja tu ambayo haipo kwenye jina la mama
Kwa hiyo herufi 8 zilizopo kwenye jina la MFKZ, zipo pia kwenye jina la mama, na herufi 6 zilizopo kwenye jina la mama, zipo pia kwenye jina la MFKZ huku baadhi ya hizo zikiwa zimejirudia

Mpangilio huu wa namna herufi hizo zilivyo kwenye majina haya mawili upo kama ifuatavyo, huku ukiwa umwewekwa katika namna ambayo kama mtu analifahamu jina la mama, anaweza akalipata pia jina la MFKZ na kama analifahamu jina la MFKZ, anaweza akalipta jina la mama

Jina la mama
Herufi ya 1 A
Herufi ya 2 B
Herufi ya 3 C
Herufi ya 4 D (herufi ya kwanza ambayo haipo kwenye jina la MFKZ)
Herufi ya 5
E
Herufi ya 6 F
Herufi ya 7 G (herufi ya pili ambayo haipo kwenye jina la MFKZ)
Herufi ya 8
H
Herufi ya 9 ----

Jina la MFKZ
Herufi ya 1 A
Herufi ya 2 B
Herufi ya 3 C
Herufi ya 4 B (inajirudia)
Herufi ya 5 K (herufi kekee ambayo haipo kwenye jina la mama)
Herufi ya 6
F
Herufi ya 7 H
Herufi ya 8 E
Herufi ya 9 H (inajirudia)

Majina haya yanatengeneza keys mbali mbali muhimu sana za databases

Ikumbukwe pia kuwa majina ya marafiki zake wote wawili mhusika watoto wa MR X, yote yanaanza na neno “CHRIST”

Kwa hiyo, assuming kwamba hii siyo coincidence tu, ueezekano mkubwa ni kwamba MFKZ anaweza kuwa ana-operate kwenye Nyanja hizi mbili

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 13th AUGUST 2024

CODE YA GENERATOR
(inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #2,152)

KUHUSIANA NA BINTI AMBAYE AMEKUWA AKIENDESHA SEMINA ZA UJASIRIAMALI KANISANI: TUKIO LA HVI KARIBUNI AMBALO ALMELIFANYA KWA MHUSIKA

Wiki kadhaa zilizopita, binti huyu aliwahi kuliziba gari la mhusika kwa makusudi na kwa muda usiopungua nusu saa baada ya Ibada kumalizika na kupelekea mhusika kulazimika kuwepo Kanisani kwa muda wote huo badala ya kuondoka kwenda nyumbani

Binti huyu pamoja na mke wa Kinara wa Matangazo, ni kati ya watu ambao mhusika alishawahi kuwa earmark kama watu wenye kisirani sana; inaweza kuwa ni kwa bahati mbaya au kuna ukweli ndani yake

Kwa wakati huo, mhusika alijua kuwa binti huyu aliliziba gari lake kwa makusudi akiwa anatafuta ugomvi, kwa sababu muonekanao wake unaashiria dalili kuwa hata ugomvi wa kwenye public anauweza

Mhusika anaweza kuwa alikuwa sahihi katika hilo, ila kubwa amablo amekuja kulibaini baadaye na ambalo ndilo hasa lililopelekea binti huyu kuliziba gari la mhusika kwa makusudi, ni hii CODE YA GENERATOR, ambayo kwa wakati huo ilikuwa bado haijafunguka

Binti huyu ana gari aina ya Vanguard na ambayo imefanana exactly kama ile ya mmiliki wa Source Code ya Generator (MSCG) aliyepo ofisini kwa mhusika

KUHUSIANA NA HUYU MMILIKI WA SOURCE DODE YA GENERATOR



TUKIO JINGINE LA HIVI KARIBUNI TU LILOWAHI KUFANYWA NA MTU HUYU


Huyu ndiye vile vile ambaye siku za hivi karibuni tu aliwahi kumpigia simu baada ya saa moja usiku mhusika alipokuwa yupo nyumbani kwake, akimtaka aende akafunge chumba kilichokuwa kimeachwa wazi ofisini

………………………..itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 14th AUGUST 2024

CODE YA GENERATOR

……..inaendelea


BINTI ALIYEWAHI KULIZIBA GARI LA MHUSIKA KWA MAKUSUDI: SABABU ZILIZOPELEKEA KULIZIBA NA NAMNA AMBAVYO ALILIZIBA GARI HILO


Sababu iliyopelekea kuliziba gari la mhusika ni kwamba alikuwa ni mmojawapo wa waumini waliokuwa wanahitajika kuonana na KM-A kwa ajili kikao kifupi baada ya Ibada; na hivyo wakati mhusika anaendelea kumsubiria, binti alikuwa yupo kwenye kikao hicho; na ambacho kilifanyikia kwenye sehemu iliyo karibu tu na pale mhusika alipokuwa amepaki gari lake

ALICHOFANYA BINTI MARA TU BAADA YA IBADA KUMALIZIKA, MUDA MFUPI KABALA YA KIKAO CHA KM-A KUANZA

Muda mfupi kabla ya kikao kuanza baada ya Ibada kuhitimishwa, mhusika alimuona bint akiwa anaongoza kuelekea kwenye gari lake ambalo ndiyo lilikuwa ni gari pekee lililokuwa nyuma ya gari lile la mhusika; kiasi kwamba kama binti angeliondoa gari lake, mhusika angeweza kutoka; ukizingatia kuwa nyuma ya gari la binti kulikuwa na nafasi ya kutosha kuweza kulitoa gari lake na kuliweka mahali pengine

  • Baada ya kufika kwenye gari, binti alishika kitasa cha mlango kama anataka kuingia ndani ya gari, huku akiwa na uhakika kuwa mhusika alikuwa anamuona
  • Walati huo, mhusika naye alikuwa tayari ameshafika kwenye mlango wa gari lake na hivyo baada ya kuona hivyo, alifungua mlango wa gari lake na kuingia ndani tayari kwa kuondoka
  • Zilipita takribani dakika kama mbili hivi mhusika akiwa anasubiria gari la binti limpishe na baada ya kuona kimya aliamua kushuka kwenye gari kuona ni nini kilikuwa kinaendelea kwenye ukimya huo
Aliposogea kwenye gari la binti, mhusika hakumuona tena binti kwenye gari, alikuwa ameshatoweka au ame-“sublime”; kwa lugha nyingine

Wakati huo huo kikao cha KM-A kilikuwa sasa ndiyo kinaanza; huku kikiwa kinafanyikia karibu tu na pale mhusika alipokuwa amepaki gari lake

Kwa hiyo wakati kikao hicho kinaanza, kati ya watu waliokuwa tayari wameshafika kwenye kikao hicho kwa muda huo, binti hakuwa mmoja wao; kwa muda huo hata kwenye kikao hakuwepo pia

  • Baada ya binti kum-fool mhusika kama anataka kuingia kwenye gari ili kumpisha, aliacha kufanya hivyo na hatimaye kutokomea kusikojulikana; hakwenda moja kwa moja kwenye kikao cha KM-A
  • Baada ya kuwa zimepita takribani dakika 20 mhusika akiwa anasubiria, ndiyo sasa binti alionekana akiwa yupo kwenye kikao huku akiwa amebeba jukumu ambalo haikuwa tena rahisi kwa yeye kutoka angalau kwa dakika kadhaa na kumpisha mhusika
Wakati huo huo, huku kwenye gari lake alikuwa amemtelekeza Bibi mwenye umri uanaokaribia miaka 80, alikuwa amekaa kwa kuchuchumaa pembezoni mwa ukuta wa jengo la Makao Makuu; huku akiwa anamsubiria binti huyo

Binti huyu alikuwa amemtelekeza bibi huyu kwa sababu kuu moja; hakutaka kumuacha akiwa amekaa ndani ya gari kwa sababu alikuwa hapendi mhusika ajue kwa walikuwa pamoja na bibi yule siku hiyo

Mhusika angejua kuwa walikuwa wote, yule bibi lazima angeamuru binti afuatwe ili aje alipishe gari la mhusika

Kwa hiyo mtu anaweza kuona namna binti huyu alivyo na akili chafu kiasi kwamba hata mabinti ambao hawamjui Mungu hawawezi kuwa na tabia za namna hii

Na zaidi ya yote, huyu ndiyo “company” muhimu sana ya mke wa “Kinara wa Matangazo”; birds of the same feather flock together”

Siku ya J2 ya mshindi wa ujasiriamali, binti huyu ndiyo alikuwa MC, halafu Kinara wa Matangazo (KWM) mkabidhi zawadi……..halafu masaa machache tu baada ya tukio hilo, vibanda vya wajasiriamali Kariokoo viliungua

Huyu binti asije akarudia tena kufanya upumbavu wa namna hii Kanisani; iwe mwanzo na iwe mwisho

WATU WATATU WALIOHUSIKA HASA NA TRICK HII YA KULIZIBA GARI LA MHUSIKA SIKU HIYO

Kuzibwa kwa gari hilo siku hiyo ilikuwa ni conspiracy ya watu watatu ambao ni binti mwenyewe, KM-A pamoja na mlinzi ambaye ana jina linalofanana na la kiongozi ambaye huwa anatoa matangazo ya “ BIblia inayoongea”

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA GENERATOR

……..inaendelea


KILE ALICHOFANYA MHUSIKA ALIPOKUWA ANAMSUBIRIA BINTI ALIYEKUWA AMEZIBA GARI LAKE


Mhusika alipata muda wa kutosha sana wa kuongea na jamaa yake wa karibu, yule mwenye umbo la heshima kuwazidi watu wote Kanisani hapo

Siku hiyo, jamaa yake huyu alikuwa ameambatana na kijana mwingine mgeni ambaye meno yake yana “fluorisis”

  • Watatu hawa walliongea kwa kipindi chote ambacho mhusika alikuwa akimsubiria binti aliyekuwa ameziba gari lake
  • Katika hali ya kawaida, mwenyeji huyu na mgeni wake walitakiwa kuwa wameondoka Kanisani hapo mudao huo kwa sababu wao magari yao hayakuwa yamezibwa na wala hawakuwa wakihitajika kwenye kikao cha KM-A
Kwa hiyo kilichokuwa hasa kimewabakiza waumini hawa kwenye maeneo hayo ilikuwa ni “kumpa comapnay mhusika”

Uwezekano mkubwa ni kwamba hawa nao walijua pia kuwa “gari la mhusika lingezuiwa kuondoka baada ya Ibada kumalizika siku hiyo”

Mhusika angekuwa na syrup ya kuweza kuwanywesha ndugu zake waliopo Kanisani ili wabadilike, angefanya hivyo; wanasikitisha na wanatia aibu pia

Wanafanya mambo mtu anaweza kuwa prompted kufikiri kuwa wamelaaniwa. Wasingekuwa wapo Kanisani, mhusika angeweza kudhani hivyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom