#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: FRIDAY 16th AUGUST 2024

KUHUSIANA NA MTOTO MWENYE JINA LINALOISHIA NA MANENO “….MWIZA” ALIYETAJWA KWENYE POST HII HAPA
#2,139

UTAFITI ULIOKAMILIKA KUHUSIANA NA MMILIKI WA SOURCE CODE HIYO ALIYEPO KANISANI: YESU ALIKUWA NI “RABI” AU MWALIMU

MAELEZO YA UTANGULIZI


Siku ambayo mtoto alihusishwa kwenye tukio hilo lililotajwa kwenye post #2,139 , mtoto huyo alihusishwa akiwa kama ni mbadala utakaokuwa unatumika kwa lengo la kumficha mmiliki wa source code hiyo ili asijulikane kirahisi

Wakati mtoto anashirikishwa siku hiyo, mmiliki wa source code hii alikuwa ametulia ila baada ya kuwa tayari amemshirikisha mhusika kwenye tukio ambalo waumini walio wengi hawakuweza kuliona; taarifa za kina za namna mtu huyu alivyowahi kumshirikisha mhusika zitafuata baadaye

TAARIFA FUPI KUHUSIANA NA MTU HUYU (tumwite MS-WIZA)

MS-WIZA
naye pia ana jina la pili linalomalizia na maneno “…..WIZA” na wasifu wake ni kama ulivyoelezwa hapa chini

  • Ni mtu wa karibu sana na KM-A na wanaongea lugha moja ya kuzaliwa
  • Ni mwalimu wa mhusika
  • Ni mmojawapo wa viongozi maarufu wa Kanisani A
Ikumbukwe pia kuwa J2 iliyopita ya tarehe 11/08/2024 aliyehudumu kwenye Ibada kuu, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kusimama madhabahuni kuhudumu kwenye Ibada kuu, tangu waumini walipoanza kuabudu kwenye Kanisa jipya Desemba 2021

Tangu waumini waanze kuabudu kwenye Kanisa jipya, mtumishi huyu alikuwa hajawahi kusimama kuhudumu kwenye Ibada kuu

Hadi kufikia kipindi cha ndani ya mwaka huu, viongozi wenye sifa za aina hii hapo Kanisa A, walikuwa wapo wawili isipokuwa yule mwingine wa pili, yeye alianza kuhudumu miezi michache iliyopita, na bada ya hapo, alifuatiwa na J2 moja mbele ambayo mhudumu wake alikuwa ni “mwalimu” wa kike

Kwenye J2 hiyo ambayo “ mwalimu” wa kike aliuhudumu, ndiyo J2 ambayo kiongozi huyu alisiamama na kuwalaani wakristo kwa kutumia fungu linalsoesma “amelaaniwa aifanyaye kazi ya Mungu kwa ulegevu” na kwa kisingizio kuwa mtumishi “mwalimu” wa siku hiyo alilitumia fungu hilo ilhali hakuwa amelitumia

Huyu naye ndiye kiongozi mwingineambaye kwa mara ya kwanza, amesimama madhabahuni mwaka huu wa 2024

MTUMISHI ALIYEHUDUMU KWA MARA YA KWANZA J2 ILIYOPITA YA TAREHE 11/08/2024

Mtumishi huyu aliyehudumu kwenye Ibada hiyo, naye pia ni mwalimu wa mhusika

Huyu pamoja na MS-WIZA ni wawili tu kati ya walimu kadhaa waliowahi kumfundisha mhusika alipokuwa bado ni muongofu mpya, KM-A naye pia akiwa mmojawao

Kwa hiyo hata KM-A naye pia ni mwalimu wa mhusika; ni mmojawapo kati ya walimu kadhaa waliowahi kumfundisha mhusika alipokuwa bado yupo kwenye kundi la waongofu wapya, mwaka 2011

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI J2 ILIYOPITA YA TAREHE 11/07/2024 TANGU MHUSIKA ALIPOINGIA KANISANI HADI WAKATI WA KUONDOKA BAADA YA IBADA YA PILI KUMALIZIKA

………inaendelea
 
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI J2 ILIYOPITA YA TAREHE 11/07/2024 TANGU MHUSIKA ALIPOINGIA KANISANI HADI WAKATI WA KUONDOKA BAADA YA IBADA YA PILI KUMALIZIKA

Mhusika aliingia Kanisani na kukuta Ibada ya kwanza imeshamalizika ila waumini wa Ibada hiyo walikuwa bado wanaendelea kutoka na hivyo kulazimika kupaki gari lake kwanza nje kwa muda

  • Baada ya kupaki, mhusika alielekea ndani ya uzio wa Kanisa, na pale getini alimpita “mwalimu” mmoja dada yake wakiwa wamesimama usawa wa vizingiti vya mlango wa geti.
  • Baada ya hapo aliekea ndani Kanisani na huko alibahtika kusalimiana na “mwalimu” wake ambaye ndiye alikuwa ni mhudumu wa Ibada Kuu ya siku hiyo
Muda si muda magari yaliyokuwa yanatoka nje yaliacha nafasi na hivyo mhusika kuondoka tena kurudi nje kwenda kuchukua gari lake na kulipaki ndani

Baada ya mhusika kuwa amepaki, Ibada ilianza muda mfupi uliofuata na hatimaye kumalizika baada ya takribani masaa matatu hivi

MUDA MFUPI KABLA YA IBADA HIYO KUMALIZIKA, WAKATI WA MATOLEO

Mhusika alitoka kuelekea washroom na wakati wa kurudi, pale kwenye PIGEON HOLES ambazo huwa zinahifadhi bahasha za sadaka alikuta tayari kuna watu wawili ambao wakati anapita mara ya kwanza hawakuwepo

Watu hawa walikuwa ni MS-WIZA na ambaye ni “mwalimu” wa mhusika; na pia mtu mwingine jamaa yake mhusika ambaye naye pia ni “mwalimu” by profession; na ambaye jina la ubini wake linafanana na tafsri ya neno “TREES” katika lugha ya Kiswahili

Huyu mwalimu “TREES” alikuwa na siku nyingi kidogo hajaonekana Kanisani hapo na possibly mara ya mwisho walipoonana na mhusika ilikuwa ni Februari 2024 (mwaka huu) na baada ya pale, walikuwa hawajawahi kuonana tena hadi siku ya J2 iliyopita; kwa sababu tangu pale, “TREES” hakuwa amewahi tena kuhudhuria Ibada za J2 kanisani hapo. Chances zinaweza kuwa ni kwamba “TREES” alihudhuria special kwa ajili ya Ibada ya J2 iliyopita tu

Kwa hiyo wakati anarudi, mhusika alisalimiana na walimu hao wawili waliokuwa wamesimama kwenye sehemu aliyoitaja

BAADA YA IBADA KUMALIZIKA; MHUSIKA ALIPOKUWA ANAELEKEA KWENYE SEHEMU ALIYOKUWA AMEPAKI GARI LAKE

Pembezoni mwa jnjia alimokuwa anapita mhusika, walisimama “walimu” wawili wakiwa wanaongea; mmoja akiwa ni yule ambaye mhusika aliwahi kumpita getini asubuhi wakiwa amesimama pamoja na binti yake usawa wa vizingiti vya geti kuu

  • Baada ya mhusika kuwasalimia walimu hao aliendelea kuelekea kwenye parking na hatimaye kuingia kwenye gari na kuanza kuondoka
  • Baada ya kuwa amegeuza gari kuelekea usawa wa geti, mhusika alimuona mwalimu “TREES” akiwa ndani ya gari mbele yake naye akiwa pia anaelekea nje ya uzio wa Kanisa
Mwalimu alitembea kidogo halafu akasimama kwa muda mfupi, na baada ya hapo alitembea tena hadi kwenye usawa wa vizingiti vya gate kuu (pale ambapo asubuhi walikuwa wamesimama mwalimu na binti yake) na kusimama tena kwa muda mfupi, na baadaye alitembea moja kwa moja na kumpisha mhusika

Kwenye mara zote mbili hizi ambazo mwalimu alikuwa anasimama, mhusika naye pia alikuwa analazimika kusimama

Huyu mwalimu wanaongea lugha moja ya kuzaliwa na mhusika na hivyo wakati huo alikuwa ana-operate kwenye uwanja huo, baada ya mambo mengine kuwa wameshayakamilsha walipokuwa na mwalimu mwenake kule kwenye pigeon holes za bahasha za sadaka

Vile vile, walimu wawili ambao muda mfupi uliokuwa umepita, mhusika alikuwa tayari ameshawapita wakiwa pembezoni mwa njia, mmoja wao (yule wa kike) naye pia anaongea lugha moja ya kuzaliwa na mhusika

Huyu ndiye ambaye mhusika alikuwa amewahi kumpita asubuhi akiwa amesimama usawa wa vizingiti vya geti kuu akiwa na binti yake, ila kwa wakati huo hakuongea nao

Haya ndiyo yale yaliyojiri Kanisani J2 iliyopita

MWALIMU “MS-WIZA” NA UHUSIANO WAKE NA KILE KILICHOWAHI KUFANYIKA KWENYE J2 YA TAREHE 30/06/2024

J2 hii ndiyo ile ambayo mtoto mwemye jina lenye phonation inayomalizia na maneno ’’MWIZA”, alipandishwa juu madhabahuni; phonation ambayo Inafanana pi na ya jina la binti ambaye huwa anatunza files kwenye chumba jirani na ofisi yao mhusika

……………………….inaendelea
 
“MS-WIZA”

KILICHOWAHI KUFANYIKA KWENYE J2 YA TAREHE 30/06/2024


Mhusika aliingia Kanisani na kukuta Ibada imeshaanza. Kwenye ile sehemu ambayo mara zote huwa anapendelea kukaa, bado kulikuwa na nafasi za kutosha lakini alipofika huko, shemasi aliyekuwa amesimama mlangoni, alimzuia asikae huko

Shemasi huyu ni yule ambaye alikuwa mhudumu wa Ibada kuu ya J2 iliyokuwa imepita nyuma, yaani ile ya 23/06/2024 na ambaye jina lake linafaana na neno la kilugha cha mhusika linalomaanisha “SHOKA”

Huyu anaweza kuwa ni “SHOKA” kweli kwa sababu J2 ambayo alisimama madhabahuni, ndiyo J2 nyingine ya kwanza ambayo nyama mbichi ya Kitimoto alianza kuonekana ikiuzwa tena getini baada ya kutoonekana kwa muda mrefu sana

Mbali na hilo, kwenye kipindi cha utumishi wake wote, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mtumishi huyu kusimama kwenye Ibada kuu ya J2. Hapo kabla, mhusika alikuwa hajawahi kumuona hata mara moja akihudumu kwenye Ibada kuu ya J2

Kwa hiyo, shemasi huyu alimzuia mhusika asikae sehemu hiyo aliyotamani kukaa, si kwa sababu hapakuwa na nafasi hapana; nafasi zilikuwepo nyingi tu na za kutosha kabisa

BAADA YA MHUSIKA KUZUIWA KUKAA SEHEMU HIYO AMBAYO HUWA ANAKAA SIKU ZOTE

Mhusika alilazimika kupandisha juu ghorofani, mezzannine floor

Huko alienda akapata nafasi na kukaa pembezoni, karibu na mlango

  • Ikumbukwe kuwa asubuhi wakati anaingia Kanisani, pale kwenye maeneo karibu na parking, walisalimiana na MS-WIZA ambaye alikuwa maeneo yale akiwa anaongea na mtu mwingine
  • Mhusika hakuelewa kwa nini MS-WIZA alikuwa yupo pale akioingea na mtu wakati Ibada ilikuwa tayari imeshaanza na ambayo ilikuwa ni Ibada moja tu kwa siku hiyo
Vile vile kwenye tukio ambalo mhusika tayari ameshaliongelea hapo juu la J2 iliyopita ya tarehe 11/08/2024, MS-WIZA hakuwepo kwenye Ibada ya pilii na hivyo inaonekana wakati mhusika alipopita kuelekea washrooms, yeye alikuwa mahali pengine na alimfanyia timing wakati wa kurudi akawa tayari ameshafika maeneo zilipo pigeon holes

BAADA YA IBADA KUU KUMALIZIKA NA KUWADIA WAKATI WA MATOLEO

Watu wawili walimfuata mhusika huko juu, mmoja wao akiwa ni MS-WIZA

Baada ya manong’onezano ya muda mfupi sana kati ya mhusika na MS-WIZA, wawili hawa walitoka nje na kushuka chini kwa kutumia ngazi za nje, huku mtu mwingine wa tatu ambaye alipandisha juu akiwa ameambatana na MS-WIZA, akitoka na kushuka chini kwa kutumia njia nyingine tofauti na ile waliyotumia mhusika na mwalimu wake

  • Kitendo cha mhusika na MS-WIZA kunong’onezana na hatimaye kutoka nje na kuanza kushuka chini, kilifanyika kwa haraka mno na uwezekano mkubwa ni kwamba hayupo muumini mwingine aliyekuwa amekaa huko aliyeweza ku-observe tukio hilo
  • Mbali na hilo, wengi wa waliokuwa wamekaa huko walikuwa watoto teenagers na ambao kawaida attention ya kwenye mambo ya watu wazima huwa ni ndogo mno
WALICHONONG’ONEZANA MHUSIKA NA MS-WIZA KABLA HAWAJATOKA NJE NA KUANZA KUSHUKA CHINI

Kwenye J2 hiyo, mhusika alikuwa ameelekezwa kupaki gari nje ya geti
, japo mle ndani kulikuwa pia na nafasi zilizokuwa wazi; angeweza kupaki ndani pia na alitamani kufanya hivyo, ila mamlaka husika zilimwelekeza vinginevyo na hivyo hakuwa na budi ya kufuata maelekezo ya mamlaka

  • Kwa hiyo kilichopelekea MS-WIZA kumfuata mhusika ilikuwa ni kumuomba akasogeze gari lake sehemu nyingine ili kulipisha gari la mtu mwingine ambaye alikuwa anataka kutoka muda huo
  • Hiki kitu kimeshakuwa sugu kwa sababu huwa kinafanyika kwa makusudi na kimekuwa kikifanyika mara kwa mara kwa mhusika, especially anapokuwa amepaki gari ndani ya uzio wa gate
Kwa hiyo hicho ndicho kilikuwa kimemleta MS-WIZA na alitumiwa yeye kwa sababu kuna baadhi ya matukio ya aina hii ya nyuma ambayo mhusika alshawahi kuonyesha dissatisfaction za kutosha kwa sababu kinachofanyika hasa huwa ni upumbavu tu; na hivyo pengine ilikuwa iimependekezwa kuwa “mtumieni mwalimu wake, huyo hawezi kumhoji”

Wakati huo kuna zawadi iliyokuwa inasubiriwa kuingia ndani ya uzio wa kanisa, ambayo ilikuwa bado imepakiwa sehemu nyingine, nje ya uzio wa Kanisa

  • Kwa hiyo kutokana na maelekezo hayo, mhusika alitoka nje hadi kwenye sehemu aliyokuwa amepaki, akampisha mtu aliyekuwa anatoka na hatimaye kurudi tena kwenye Ibada
  • Kitendo hicho hakikuchuka hata dakika 10 lakini wakati anarudi ndani, alikuta hakuna pilika pilka za mashemasi kukusanya sadaka, na akadhani kuwa pengine WAUMINI HAWAKUWAHI KUTOA SADAKA KWENYE IBADA KUU siku hiyio
Kama wangetoa, obvious wakati mhusika anarudi kutoka kwenye parking, angewakuta mashemasi wakiwa bado wanashughulika na sadaka; hakutumia muda mrefu kiasi cha kumfanya akute tayari pilika pilka za sadaka zikiwa zimeshamalizika

Kwa hiyo, shemasi aliyemzuia mhusika kukaa sehemu ambayo huwa anaka siku zote ilhali kulikuwa na nafasi, alifanya hivyo kwa sababu alijua kuwa badaye MS-WIZA angemfuata mhusika ili atoke nje akasogeze gari lake; tukio ambalo lilikuwa halitakiwi kushuhudiwa na waumini watu wazima wenye akili ya kuhoji matukio

KWA WAUMINI AMBAO WANAWEZA KUWA NA KUMBUKUMBU NZURI KUHUSIANA NA IBADA KUU YA SIKU HIYO


Uwezekano mkubwa ni kwamba SADAKA YA IBADA KUU ya J2 hiyo haikutolewa

Na kama ni kweli kuwa sadaka hiyo haikutolewa, basi mbadala wake ulikuwa covered na ile zawadi iliyokuwa inahusiana na Ibada ya siku hiyo

Na kama point hii ni kweli, basi zawadi hiyo ndiyo iliyotumika kama SADAKA YA IBADA KUU YA SIKU HIYO na hivyo automatically JINA JINGINE la zawadi hiyo ni SADAKA

Ikumbukwe pia kuwa kichwa cha somo cha J2 hiyo kilikuwa kinasema “MNYONYORO WA THAMANI WA SADAKA YA UKARIMU”

HITIMISHO

Interaction kati ya mhusika na MS-WIZA Kanisani hapo huwa ni nyingi mno na ni za muda mrefu mno hata kabla ya code hii kuanza kufanya kazi; lakini karibia mara zote zimekuwa zikifanyika kabla ya Ibada kuanza

  • Kwa hiyo kwenye kipindi chote cha nyuma kabla ya J2 ya tarehe 30/06/2024, MS-WIZA ndiye amekuwa akifanya kazi kwenye code hii na pasipo mhusika kuwa na ufahamu
  • Ilipofika J2 ya tarehe 30/06/2024, ndiyo pale kitoto kilipoongezwa kama mbadala wa MS-WIZA anapokuwa hayupo; au hata anapokuwa yupo; ili asiendelee kuitumia yeye tu kwa muda mrefu na hivyo kupelekea urahisi wa kujulikana
Kwenye kipindi kile cha miaka ya mwanzoni mwa 2010 mhusika alipokuwa bado anasafiri safiri sana kwenye trip za matetemeko ya ardhi; MS-WIZA ndiye aliyekuwa anatumika kum-trace mhusika kwa kumpigia simu kujua yuko sehemu gani

Mtandao unaoonekana kuwa ni wa kijambazi kabisa lakini kwenye mazingira ya ambayo ni ya nyumba ya Ibada

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
"CODE YA GENERATOR" KWA MARA NYINGINE TENA
WAHUSIKA WENGINE KWENYE “SOURCE YA GENERATOR” AMBAO MHUSIKA ALIWAHI KUONANA NAO AIRPORT MWAKA JUZI 2022


Hawa ni

Muumini wa Kanisa A na ambaye pia anafanya kazi huko Airport

Huyu naye pia anamiliki gari inayofanana exactly na ile ya mmiliki wa source code hii (MSCG) aliyepo ofisini kwa mhusika, kasoro yake ikiwa ni plate number tu

Taarifa za awali za mama huyu ziliwahi kuwajieni kupitia post hii hapa #1,954

  • Huko Aiport, mama huyu walionana na mhusika mara tu baada ya mhusika kuwa amefika hapo airport na ndiyo maana kwenye post hiyo mhusika amemwelezea kama mama anayehusika na ARRIVALS NA DEPARTURES
  • Mbali na tukio la siku hiyo huko Airport, mama huyu huwa wanaonana na mhusika mazingira ya kanisani kwa mtindo huo huo; yaani pale mhusika anapokuwa anaingia tu kanisani na pia wakati mhusika anapokuwa anataka kuondoka Kanisani; hasa inapokuwa ni J2 ambazo mhusika huwa amehudhuria Ibada ya kwanza, au kwenye siku ambazo Ibada huwa ni moja tu
Mwingine wa pili, ni yule staff binti ambaye tayari ameshatajwa kwenye code hii na zile za awali zikiwa kwenye post hii hapa #1,954

  • Huyu alionekana airport siku hiyo akiwa anaelekea Terminal three na katika mazingira ambayo ni ya kutatanisha kidogo
  • Mbali hna hilo, binti huyu pia ana gari ambayo imefanana exactly na ile ya Mke wa Kinara wa Matangazo (KWM), kama ilivyoelezwa kwenye maelezo ya awali
  • Gari hili tajwa la mke wa KWM lina herufi zote tatu kwenye namba yake ya usajili zikiwazimefanana exactly na hefufi zote za tatu za namba ya usajili ya gari la mmiliki wa source code ya Generator (MSCG)
Kuonekana Airport siku hiyo kwa staff huyu, ni ushahidi mwingine wa pili unaozidi kumuondoa kwenye mashaka ya uhusika wake kwenye code hii

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPNEXT:

JOINT FORCES KATI YA OM-1; MU-EUROPE PAMOJA NA MTU AMBAYE ALIWAHI KUTAJWA KWENYE TUKIO LILILOELEZWA KWENYE POST HII #2,022


Taarifa kamili zitawajieni baadaye

Huyu mtu aliyetajwa kwenye post hiyo, leo alifika tena ofisini na katika mazingira ya kutatanisha, huku akiwa anahitaji kuingia chumba cha jirani cha Computer Room

Wakati anafika, mhusika alikuwa yupo peke yake kwenye floor nzima; wengine wote hawakuwepo

Baada ya kupita takribani masaa mawili tangu mtu huyu aondoke; ndiyo pale sasa walipoongezeka watu wawili; SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) pamoja na MKUU WA MAJOR UNIT na hivyo floor kuwa na watu watatu

Mtu huyu husika na maelezo haya, alikuwa yuko accompanied na watu wengine wawili ambao ni wageni kwenye taasisi

Kabla ya kuwasili kwake, mapema asubuhi binti kutoka ile idara nyingine, alikuwa amefika naye akiwa anataka kuingia kwenye chumba hicho, lakini muda si muda aliondoka bila kuingia humo; possibly alikosa fumguo za mlango

Binti huyu ndiye aliyekuwa ameandaliwa kutumika kama shahidi kuwa funguo za chumba hicho zilikuwa hazipo ofisini kwa Mkuu wa Idara na ndiyo maana alishindwa kuingia humo

Wakati huo huo, Mkuu wa Idara hayupo idarani, amesafiri kikazi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

............. inaendelea
 
UPDATE: SATURDAY 17th AUGUST 2024

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI OFISINI JANA IJUMAA YA TAREHE 16/08/2024:
"STRANGER" ALIYETAJWA KWENYE POST ILIYO HAPO JUU, ALIKUJA OFISINI AKIWA ANATAKA KUINGIA CHUMBA JIRANI CHA COMPUTER ROOM


KWA MUDA MREFU SANA, CHUMBA HICHO KIMEKUWA KIKITUMIWA NA MU-EUROPE NA KATIKA KIPINDI CHOTE AMBACHO MU-EUROPE AMEKUWA AKIKITUMIA CHUMBA HICHO, MHUSIKA HAKUWAHI KUMUONA AKIINGIA HUMO MTU ALYETAJWA KUWA ANGEKUJA KUCHUKUA FUNGUO NA KUINGIA HUMO, NA INAWEZEKANA KUWA MU-EUROPE NA MTU HUYO HATA HAWAFAHAMIANI KWA SABABU MHUSIKA HAJAWAHI KUWAONA HATA MARA MOJA TU WAKIWA WAPO PAMOJA

HUYU STRANGER ALIKUWA AMEAMBARANA NA STRANGERS WENGINE WAWILI WAPYA NA WAKATI WALIPOKUWA WAPO NDANI YA JENGO, WALIKUWA WANATEMBEA TEMBEA KWENYE KORIDO NA BAADAYE WALIENDA WAKASIMAMA KWENYE USAWA WA NGAZI KATIKA NAMNA AMBAYO WASINGEWEZA KUONEKANA NA CAMERA. MUDA WOTE WALIKUWA WAPO CAUTIOUS SANA WASIONEKANE NA CAMERA, ESPECIALLY WALE STRANGERS WAPYA WAWILI

CHANCES NI KWAMBA KUNA KITU KIMESHAANDALIWA TAYARI NDANI YA CHUMBA CHA OFISI HIYO YA MU-EUROPE WALICHOKUWA WANATAKIWA KWENDA KUKI-TRIGGER TU, AU NI ILE PRINTER YA ZAMANI AMBAYO IMELETWA H IVI JARIBUNI NA OM-2 OFISINI KWAO MHUSIKA

KUHUSIANA NA FUNGUO ZA OFISI HIYO YA MU-EUROPE

KAWAIDA FUNGUO ZA CHUMBA HICHO HUWA MUDA WOTE ZINATUNZWA OFISINI KWA MKUU WA IDARA (MWI), LAKINI KWA TAKRIBANI WIKI MBILI, FUNGUO HIZO ZIMEKUWA ZIKO OFISINI KWAO MHUSIKA

FUNGUO HIZO ZLIKABIDHIWA NA OM-1 KWA MHUSIKA, SIKU MOJA WIKI ILIYOPITA.

SIKU HIYO OM-1 ALIKUWA NA DHARURA KIDOGO NA ALIHITAJI KUTOKA NJE YA MAZINGIRA YA KAZI NA HIVYO ALIAMUA KUZIKABIDHI FUNGUO HIZO KWA MHUSIKA KWA MAELEZO KUWA ZINGEHITAJIKA BAADAYE NA MTU MWINGINE AMBAYE ANGEKUJA NA KUINGIA KWENYE CHUMBA HICHO KWA AJILI YA KUFANYA KAZI

OM-1 HAKUTAJA JINA LA MTU HUYO, ISIPOKUWA ALITAJA JINA L.A. MTU ALIYEZIKABIDHI KWAKE FUNGUO HIZO KUWA NI MU-EUROPE, NA AMBAYE JWA WAJATI ALIKUWA HAYUPO AMESAFIRI. HAYA YOTE YALITOKEA WIKI ILIYOPITA

BAADA YA MAKABIDHIANO HAYO KUFANYIKA KATI YA MHUSIKA NA OM-1; ILIPOFIKA IJUMAA YA TAREHE 09/08/2024, KWENYE KIJAO CHA IDARA, MKUU WA IDARA ALII-CONFIRM SAFARI YA MU-EUROPE KWA KUSEMA KUWA MU-EUROPE HATAKUWEPO OFISINI KWA MUDA USIOPUNGUA MIEZI KADHAA

KWA HIYO, HUYU NDIYE ALIONDOKA AKAMWACHIA FUNGUO OM-1 BADALA YA KWENDA KUZIKABIDHI OFISINI KWA MWI, NA BAADAYE OM-1 NAYE KUZIKABIDHI FUNGUO HIZO KWA MHUSIKA KWA MAELEZO KUWA KUNA MTU ALIKUWA ANAZIHITAJI AMBAYE ANGEKUJA KUZICHUKUA KWAKE MHUSIKA SIKU HUSIKA

WAKATI OM-1 ANAKABIDHI FUNGUO HIZO KWA MHUSIKA, HAKUTAJA JINA LA MTU AMBAYE ALITAKIWA KUJA KUZICHUKUA NA MHUSIKA NAYE HAKUTAKA KUDADISI JINA LA MTU HUYO, NA HILO KOSA LA KWANZA KABISA ALILOFANYA OM-1

............. inaendelea
 
FUNGUO ZA OFIS YA MU-EUROPE;............. inaendelea

BAADA YA DHARURA YA WIKI JANA KUPITA NA HATIMAYE OM-1 KURUDI TENA OFUSINI


OM -1 HAKUULIZIA KAMA FUNGUO ALIZOMWACHIA MHUSIKA WAKATI ANAPATA DHARULA, ZILIWAHI KUCHUKULIWA AMA LA, NA HILO NDIYO LILIKUWA KOSA LAKE LA PILI

KOSA LA TATU NA KUBWA KUYAZIDI YOTE, OM-1 HAKUZIOMBA FUNGU HIZO HALI ILIYOONYESHA KUWA ALIKUWA AMEZITELEKEZA KWA MAKUSUDI KWA MHUSIKA


SASA KWA HINTS ZA MAKOSA HAYA MATATU ; ILIKUWA HAIHITAJI MTU KUJUA KUSOIMA AEIOU KUWEZA KUWA ALERT

HAYA NI MAKOSA YALE YALIYIFANYWA KWA UPANDE WA OM-1

MAKOSA YALIYOFANYWA KWA UPANDE WA STRANGER ALIYETAKIWA KUJA KUCHUKUA FUNGUO KWA MHUSIKA NA KUZITUMIA

SIKU OM-1 ANAKABIDHI FUNGUO HIZO KWA MHUSIKA WIKI JANA, KWA MAELEZO YAKE OM-1 KWA MHUSIKA, ILIONYESHA KUWA MWENYE KUZIHITAJI ANGEKUJA KUZICHUKUA NA KUZITUMIA SIKU HIYO, KITU AMBACHO HAKIKUTOKEA

HATA HIVYO BAADA YA SIKU MOJA AU MBILI KUPITA MAKABIDHIANO YA FUNGUO YAKIWA YAMESHAFANYIKA KATI YAO; YULE ALIYESEMEKANA KUWA ATAKUJA KUZICHUKUA ALIANZA KUONEKANA MARA KADHAA NDANI YA JENGO AKIWA ANAINGIA OFISINI KWA MKUU WA MAJOR UNIT NA KUTOKA, NA MARA ZOTE ALIKUWA ANAINGIA KWENYE OFISI HIUO TU NA SI KWENYE OFISI AMBAYO ALIKUWA AMEELEKEZWA KUWA ANGEWEZA KUCHUKUA FUNGUO

HAYA YOTE ALIYAFANYA WIKI ILIYOPITA, NA KWENYE BAADHI YA SIKU ZA WIKI HII KABLA YA JANA IJUMAA

SIKU YA J4 YA WIKI HII WOTE OM-1 NA OM-2 WALISAFIRI KIKAZI

BAADA YA OFGICEMATES WOTE WA MHUSIKA KUSAFIRI WIKI HII, ILIPOFIKA JANA IJUMAA YA TAREHE 16/082024; MWENYE KUZIHITAJI FUNGUO ALIFIKA OFISINI KWAO MHUSIKA AKIWA ANAMTAFUTA OM-1 ; ILA HAKUULIZIA FUNGUO

NA MHUSIKA NAYE HAKUMPATIA FUNGUO KWA SABABU ALISHAJUA NINI KILIKUWA KINAENDELEA NYUMA YA PAZIA

BAADA YA KUMKOSA MWENYEJI WAKE, STRANGER HUYU ALIONDOKA NA KWENDA KUSIMAMA USAWA WA NGAZI HUKU AKIWA PAMOJA NA WALE WENZAKE STRANGERS WENGINE WAWILI.

MUDA HUO, MHUSIKA NAYE ALITOKA AKIELEKEA WASHROOM NA HIVYO KUWAPITA WAKIWA WAPO KWENYE KORIDO ZA USAWA WA NGAZI, HUKU WAKIWA WAMEJI-POSITION KATKA NAMNA AMBAYO ILIKUWA SIYO RAHISI WAKAONEKANA NA CAMERA

MUDA MFUPI BAADA YA MHUSIKA KURUDI KUTOKA WASHROOM

SIMU NGENI ILIINGIA NA ALIPOIPOKEA, MPIGAJI ALIJITAMBULISHA KUWA NI " PAUL" NA KWA HARAKA HARAKA, MHUSIKA ALIDHANI KUWA NI YULE PAUL MWALIMU AMBAYE HUWA WANAFUNDISHA KOXI MOJA NA WIKI ILIYOPITA WALIKUWA WOTE KWENYE KIKAO CHA IDARA; LA KUMBE HAPANA; ALIKUWA NI"PAUL" MWINGINE AMBAYE HAKUWAHI KUMFAHAMU KABLA KAMA ANAITWA "PAUL", ALIKUWA ANAMFAHAMU KWA SURA TU

BAADA YA SIMU KUITA, MUDA HUO HUO "PAUL" HUYU ALIFIKA OFISINI KWA MHUSIKA AKIWA ANAHITAJI FUNGUO NA MHUSIKA HAKUMPA FUNGUO HIZO, ISIPOKUWA TU RISALA MOJA FUPI, CLEAR NA PRECISE IKIWA NI MSAADA KWA AJILI YA MAISHA YAKE YA BAADAYE, KAMA ATAKUWA ANA AKILI TIMAMU

WAKATI HUO MHUSIKA ALIKUWA TAYARI AMESAZIPELEKA FUNGUO HIZO NA KUZIKABIDHI OFISINI KWA MKUU WA IDARA HUKU AKIMWACHIA OMS MAELEKEZO KWAMBA MTU MWENYEJI PALE IDARANI ASIZICHUKUE FUNGUO HIXO PASIPO KUSAINI KWENYE KITABU NA MGENI MWINGINE YEYOTE KUTOKA NJE YA IDARA, AZICHUKUE KWA AUTHORISATION YA MWI TU

WAKATI YOTE HAYA YANATOKEA, YULE BINTI KUTOKA KWENYE IDARA ILE NYINGINE, NAYE PIA ALIKUWA AMEFIKA NA KUJARIBU KAMA ANATAKA KUINGIA KWENYE CHUMBA HICHO LAKINI BAADAYE ALIONDOKA N.A. HAKURUDI TENA

MUDA WOTE WAKATI HAYAYOTE YANATOKEA, MHUSIKA ALIKUWA YUPO PEKE YAKE KWENYE FLOOR NZIMA YA JENGO, WENGINE WOTE HAWAKUWEPO. NI KWA SABABU PIA KWAMBA MKUU WA MAJOR UNIT YUPO KWENYE LIKIZO YAKE YA MWAKA

NA MWI NAYE PIA HAYUPO AMESAFIR KIKAZI JAPO YEYE OFISI YAKE HUWA IPO FLOOR YA JUU, INAYOFUATA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
'WANAFUNZI WAPO LIKIZO, MTASKIA MENGI"

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NAMA ZILIVYOKUWA PLANS A NA B

KILE KILICHOFANYIKA JANA IJUMAA OFISINI ILIKUWA NI PLAN B, BAADA YA PLAN A KUFELI AMBAYO ILITaKIWA KUFANYIKA NYUMBANI KWA MHUSIKA


PLAN A ILIKUWA INAHUSIANA NA MAFURIKO YA MAVI NYUMBANI KWA MHUSIKA, KUTOKEA NYUMBANI KWA JIRANI MAJI MACHAFU (JMM), YALIYOFURIKA KWA KIPINDI CHOTE CHA WIKI JANA NA KUHITIMISHWA J3 YA WIKI HII, IKIWA NI SIKU MOJA TU BAADA YA JMM KUWA AMEHAMA KWENYE NYUMBA ALIYOKUWA ANAISHI

AKIWA TAYARI AMESHAFURISHA MAVI KWENYE NYUMBA YA MHUSIKA, WEEKEND ILIYOPITA JMM ALIANZA KUHAMIA TARATIBU NA KISIRISIRI, ALIKUWA ANAHAMA WAKATI WA USIKU TU ILI ASIONEKANE NA BAADHI YA WATU KUWA ALIKUWA ANAHAMA

BAADA YA KUHAMA WAKATI WA WEEKEND, KWA MARA KWANZA JANA IJUMAA ASUBUHI ALIONEKANA TENA AKIWA AMEPAKI GARI LAKE, KWENYE GHOROFA AMBALO TAYARI AMESHAHAMA, KIASI KWAMBA KWA MAJIRANI WENGINE WANAOISHI MAGHOROFA JIRANI NA AMBAO HAWAKUMUONA WAKATI ANAHAMA KWA SABABU ALIKUWA ANAHAMA USIKU, PENGINE WALIDHANI KUWA BADO YUPO KWENYE JENGO HILO ILHALI TAYARI AMESHAHAMA

HII ILIKUWA NI PRECAUTION YAKE ALIYOICHUKUA JUST IN CASE OF ANYTHING JANA IJUMAA, ANGEWEZA KUDAI KUWA BAFO YUPO ANAISHI KWENYE JENGO HILO KWA SABABU HAKUNA MTU ALIYEMUONA WAKATI ANAHAMA

MBALI NA HILO, AKIWA TAYARI AMESHAHAMA, USIKU WA SIKU YA J3 YA WIKI HII ALILALA KWENYE NYUMBA HIYO MTU MWINGINE ALIYEKUWA NA KITOTO KICHANGA UMRI SAWA NA KILE CHA JMM

MHUSIKA ALISIKIA SAUTI YA KITOTO HICHO KIKIWA KINALIA, NA ALIPOTOKA NJE KUANGALIA, ALIONA TAA ZA NYJMBA YA JMM ZIKIWA ZINAWAKA ILHALI JMM MWENYEWE NA FAMILIA YAKE WALIKUWA TAYARI WAMESHAHAMA, HAWAKUWEMO KWENYE NYJMBA HIYO

SAUTI YA KITOTO ALIYOISIKIA MHUSIKA USIKU WA J3 HIYO, ILIKUWA TOFAUTI NA SAUTI YA KITOTO CHA JMM ALIYOIZOEA KUISIKIA SIKU ZOTE; ILA RIKA TU NDIYO LILIONEKANA KUWA SAWA

HAYA MAMBO MAWILI JMM LIYAFANYA KWA AJILI YA KUWA-FOOL BAADHI YA MAJIRANI ILI WAWEZE KUJUA KUWA BADO ANAISHI KWENYE GHOROFA HILO

BAADA YA KUWA AMEHAMA HUKU NYUMA AKIACHA MAFURIKO YA MAVI, J3 YA WIKI HII MHUSIKA ALILAZIMIKA KUANDIKA TENA WORKS ORDER NA BADA YA HAPO, KESHO YAKE J4, " CLAY" ALIMJIBU MHUSIKA KWA SMS KUWA MAFUNDI WALIFIKA KWA AJILI YA MAREKEBISHO LAKINI HAWAJAKUTA MTU NYUMBANI

WAKATI HUO UMEME ULIKUWA UMEKATIKA NAGENERATOR LA JMEME LILIKUWA LINAUNGURUMA, HUKU J4 JIYO IKIWA NI SIKU YA KWANZA YA MHUSIKA KUWEPO OFISINI AKIWA PEKE YAKE, BAADA YA OFFICE-MATES WAKE WOTE KUWA WAMESAFIRI

MBALI NA HILO, KABLA OFISA HUYO HAJAMWANDIKIA SMS MHUSIKA, ALIKUWA AMEJARIBU KUMPIGIA ILA MHUSIKA HAKUWA AMEWEZA KUIONA ALERT YA SIMU ALIYOPIGIWA NA OFISA HUYO

ILIKUWA NI MARA YA KWANZA KWA OFISA HUYU KUMPIGIA SIMU AU KUMWANDIKIA SMS MHUSIKA KWA SABABU MARA ZOTE HUWA HAPOKEI SIMU ZA MHUSIKA NA WALA HUWA HAJIBU SMS ZAKE

INGETOKEA MHUSIKA AKAPOKEA SIMU YA OFISA HUYU J4 HIYO NA HATIMAYE WAKAONGEA, BASI MAONGEZI HAYO YANGEKUWA NI YA MARA YA KWANZA, NA YANGEFANYIKA CHINI YA INFLUENCE YA MUUNGURUMO MKUBWA YA GENERATOR LA UMEME KWA SABABU UMEME ULIKUWA UMEKATIKA NA HIVYO GENERATOR LILIKUWA LINAUNGURUMA.

MBALI NA HAYA YOTE, J4 HIYO ILIKUWA NI NARA YA KWANZA KWA UMEME KUKATIKA, BAADA YA KUPITA KIPINDI CHA MIEZI KADHAA PASIPO UMEME KUKATIKA KWA MUDA MREFU WA ZAIDI YA MASAA YAPATAYO MANANE

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEUSONA UJUMBE WA SMS ULIOKUWA UMETOKA KWA "CLAY", YEYE ALIJUA KUWA MAFUNDI HAWAJAKUTA MTU NYUMBANI KWA JIMM KWA SABABU ALIHAMA.

KWA HIYO MHUSIKA NAYE ALIMJULISHA OFISA HUYO KUWA JMM ALIKUWA AMEHAMIA NA ALIMPATIA PIA NAMBA YAKE ILI WAWEZE KUWASILIANA IWAPO JMM ALIKUWA BADO ANAZO FUNGUO ZA NYJMBA ALIYOKUWA ANAISHI KABLA

HAPO "CLAY" ALIMJIBU MHUSIKA KUWA TATIZO LILIKUWA LIKO KWAKE NA HIVYO ALIHITAJI MAFUNDI WAJE WAINGIE NYJMBANI KWAKE WAKATI MARA ZOTE TATIZO LA MAFURIKO YA MAVI NYUMBANI KWA MHUSIKA, LIMEKUWA LIKITATULIWA KUPITIA NYUMVANI KWA JMM NA AMBAYE NDIYE MARA ZOTE AMEKUWA AKISAYABABISHA MAFURIKO HAYO

KWA HIYO MAFURIKO YA MWISHO YA MAVI KUTOKEA NYUMBANI KWA JMM YALIKUSUDIWA KULETA MAFUNDI AMBAO WALITAKIWA WAINGIE NYUMBANI KWA MHUSIKA

BAADA YA PLAN HII YA NYUMBANI KWA MHUSIKA KU-ABORT, NDIYO PALE SASA IKAGEUKIWA PLAN B NA AMBAYO ILIKUWA NI YA OFISINI; ILIYOTEKELEZWA JANA IJUMAA YA TAREHE 16/08/2024

USHAHIDI WA MAWASILUANO YA SMS KATI YA MHUSIKA NA " CLAY" UPO NA MHUSIKA ATAULETA BAADAYE HUMU JUKWAANI

NAMNA MAANDALIZI YA PLAN HII YA OFISINI YALIVYOANZA NA NAMBA YALIVYOKUWA

..................inaendelea
 
NAMNA MAANDALIZI YA PLANS HIZI A AND B YALIVYOANZA NA YALIVYOFANYIKA

MNUNUZI WA GARI ( MWG)

MHUSIKA TAYARI ALISHADOKEZA SIKU KADHAA ZILIZOPITA KWAMBA MNUNUZI WA GARI ( MWG) HUWA ANA UJANJA ULE AMBAO NI WA KIPUMBAVU

USIKU WA IJUMAA YA TAREHE 09/08/3024 MHUSIKA AKAONA UJUMBE KUTOKA KWA MWG NA BAADA YA KUUSOMA, ALIGUNDUA KYWA KULIKUWA NA MISSED CALL YA MWG

HAPO MHUSIKA ALIAMUA KUMPIGIA MWG LAKINI MWG HAKUPOKEA SIMU.
MHUSIKA ALIKATA SIMU, LAKINI BAADA YA DAKIKA CHACHE KUPITA ALIONA TENA MISSED CALL YA MWG

HAPO MHUSIKA ALIAMUA KUMPIGIA TENA MWG NA SAFARI HII MWG ALIPOKEA SIMU

SHIDA YA MWG NI KWAMBA ALIKUWA ANAMHITAJI MHUSIKA AMPE MSAADA WA KU-DOWNLIAD NA PIA KU-INSTALL SOFTWARE YA KUCHAKATA DATA ZA MATETEMEKO YA ARDHI

MHUSIKA NA MWG WALIKUBALIANA KUFANYA KAZI HIYO J3 ASUBUHI YA WIKI HII

ILIPOFIKA ASUBUHI YA J3 YA TAREHE 12/08/2024

MWG ALIFIKA OFISINI KWA MHUSIKA AKIWA NA COMPUTER YAKE NA MUDA HUO HUO WALIANZA KU-DOWNLOAD SOFTWARE

BAADA YA KU-DOWNLOAD WALIANZA KU'-INSTALL KATIKA NAMNA AMBAYO DOFTWARE HIYO ILIONYESHA KUWA NI " UPDATE INSTALL" NA SI "FRESH INSTALL", KITU AMBACHO KILIONYESHA KUWA MWG ALIKUWA TAYARI ANAYO SOFTWARE HIYO KWENYE COMPUTER YAKE, WAKATI KWENYE MARLEZO YAKE YA AWALI ALIKUWA AMESEMA KUWA HAKUWA NAYO NA WALA HAJAWAHI KUWA NAYO KWA SABABU ALIKUWA HAIFAHAMU

MBALI NA HILO, SOFTWARE ALIYOKUWA TAYARI ANAYO ILIKUWA NI VERY RECENT, HUKU IKIWA INAPISHANA SIKU CHACHE TU NA ILE AMBAYO ILI-UPDATE SIKU YA J3 KWA SABABU EXECURABLE SETUP FILE YA SOFTWARE AMBAYO TAYARI ALIKUWA NAYO KABLA YA UPDATE KUFANYIKA SIKU HIYO YA J3, ILIPISHANA SIKU CHACGE TU NA ILE YA EXECUTABLE SETUP FILE AMBAYO WALII-DIOWNLIOAD BA KUII - INSTALL SIKU HIYO.

KWA HIYO HUU UJANJA WA MWG, ULIKUWA NI UJANJA WA AINA YAKE TU

HADI KUFIKIA HAPO, MHUSIKA AKAWA AMEBAINI KUWA KILICHOPELEKEA MWG AKAMTAFUTA MHUSIKA KUANZAI IJUMAA USIKU NA HAYIMAYEJ3 ASUBUHI MWG KUWEPO OFISINI KWA MHUSIKA, KILIKUWA NI KITU KINGINE TU NA SI SOFTWARE YA MATETEMEKO YA ARDHI

HILO LIKAWA TUKIO LA KWANZA LA MAANDALIZI YA PLANS A AND B, LILILOFANYIKA SIKU HIYO YA J3, HUKU PLAN A IKIWA IKO PENDING KWA KYANZA KUTEKELEZWA NA "CLAY" KESHO YAKE SIKU YA J4

MKUU WA IDARA ( MWI)
HUYU NAYE ALIFIKA OFISINI KWAO MHUSIKA J3 HIYO KWA AJILI YA KU-SUBMMIT PROJECT REPORTS ZAKE KWA OM-2

KITU CHA MUHIMU SANA AMBACHO MHUSIKA AMESHAKIBAINI HADI KUFIKIA MUDA HUU NI KWAMBA ILI TRICKS HIZI ZA MAMBO YA GIZA ZIWEZE KUFANYA KAZI KWA MLENGWA, INATAKIWA MLENGWA AKUTWE SEHEMU AKIWA YUPO PEKE YAKE PASIPO KUWA AMECHANGANYIKANA NA WATU WENGINE AMBAO SI WALENGWA

KWA HIYO OM-1 NA OM-2 WALIPISHA KWANZA J3 HIYO NA NDIPO MWI ALIPOFIKA NA KUMKUTA MHUSIKA AKIWA YUPO PEKE YAKE

HAPA MWI ALIKUWA ANAFANYA KAZI AKIWA NDANI YA PRINCIPLE YA AKINA "CLAY" KWAMBA PROCPJECT REPORT ILIYOWAHI KULETWA AWALI NA MWANAFUNZI MWENYE JINA HILO KWENYE J3 NYINGINE MOJA YA WIKI TAKRIBANI MBILI ZILIZOKUWA ZIMEPITA, ILIWAHI KUBEBA NAFSI NA HIVYO ALIKUWA ANACHEKI KAMA BADO NAFSI NA PROHECT REORT VILIKUWA BADO VINAHUSIANA KAMA VILIVYOWAHI KUWA NA UHUSIANO SIKU MWANAFUNZI "CLAY" ALIPOWAHI KU-SUBMIT A SIMILAR PROJECT REPORT KWA OM-2

HIYO SIKU YAJ3 IKAPITA, NA KESHO YAKE J4 UMEME ULIKATIKA NA HAPO HAPO "CLAY" AKAWA ANAWASILIANA NA MHUSIKA KWA NJIA YA SIMU NA ,KWA MARA YA KWANZA KABISA; AKIWA ANAMHITAJI MHUSIKA AWEPO NYUMBANI KWAKE ILI MAFUNDI WAJAINGIE NYUMBANI KWAKE KWA AJILI YA KUREKEBISHA TUKIO LA MAFURIKO YA MAVI

J4 HIYO ILIKUWA PIA NDIYO SIKU YA KWANZA AMBAYO MHUSIKA ALIBAKI PEKE YAKE OFISINI PASIPO MA- OFFICE MATES WAKE

BAADA YA PLAN HIYO YA AKINA " CLAY" KUWA IME-ABORT SIKU YA J4, ALHAMIS AKAJA MKWE WA MHUSIKA AMBAYE NI MKE WA MMILIKI WA SOURCE CODE YA GENERATOR ( MSCG)

MKWE ALIZICHUKUA PROJECT REPORTS ZOTE ZILIXOKYWA MEZANI KWA OM-2 NA KUONDOKA NAZO

HAPO SASA PLAN NYINGINE B KAANZA KUWA EXECUTED CHINI YA CODE YA GENERATOR LILILIWAHI KUUNGURUMA SIKU NZIMA YA J4 KUANZIA SAA 4 ASUBUHI HADI SAA MBILI USIKU

HATIMAYE PLAN YA CODE HII NAYO IKAJA IKA-ABORT TENA JANA IJUMAA YA TAREHE 16/08/2024

..............inaendelea kwenye post hii hapa #2,172
 
TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA

MOSI: JIRANI MAJI MACHAFU

JANA USIKU SAA 4:30 KUNA WATU WALIKUJA NA KUANZA KUPAKIA SAMANI KWENYE GARI

WAKATI HUO HUO, MAFURIKO YA MAJI MACHAFU AMBAYO KWA MARA YA KWANZA HAYAKUWA N.A. KINYESI, YALITOKEA MUDA HUO AMBAO WATU WALPOIKUWA WANAPAKIA SZMANI KWENYE LORI DOGO

PILI: STRUCTURE KUBWA INAYOFANANA NA KABURI ILIYOJENGWA MAXINGIRA YA OFISINI BAADA YA STATIONERY YA WANAFUNZI KUONDOLEWA PALE

STRUCTURE HIYO NI KABURI N.A. KUNA MTU AU WATU WAMEXIKWA MLE WAKIWA BADO WAPO HAI ; NI UTABIRI WA VIFO N.A. MAZIKO YAO

HATA HIVYO KUJULIKANA KWA SIRI HII KUNAMAANISHA KUWA KWA SASA MAKABURI HAYO TAYARI YAMSHAWAZIKA HUMO WATU WALIOSHIRIKI KUYATENGENEZA NA SI WALE WALIOWAKUSUDIA AWALI; NA HUU NI UHAKIKA USIOKUWA NA SHAKA YOYOTE

TAARIFA ZAIDI KUHSIANA NA SWALA LA STRUCTURE ZINAZOFANANA NA MKABURI, ZITWAJIENI BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NAMNA MAANDALIZI YA PLANS HIZI A AND B YALIVYOANZA NA YALIVYOFANYIKA

.....inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #2,170

YALE YALIYOJIRI SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE15/07/2024 SIKU MOJA KABLA YA PLAN B KUTEKELEZWA SIKU YA IUJAMMA


Siku hiyo, mhusika alipokea mgeni ofisini anayemiliki mgodi huko maeneo ya mikoa ya Kaskazini

Mgeni huyu alikuwa amevaa kitambulisho cha Taasisi, kwa hiyo alikuwa ni mfanyakazi wa taasisi na alijitambulisha kwa jina moja la Farjara

Zaidi mgeni alisema kuwa anafanya kazi kwenye kitengo kimoja ambacho kiko chini ya ofisi kuu ya maswala ya fedha kwenye taasisi

KILICHOMFIKISHA MGENI HUYU OFISINI KWA MHUSIKA

Mgeni alisema kuwa amepata msiba na hivyo anatarajia kwenda kwenye msiba nyumbani kwao mkoa ulioko Kaskazini mwa nchi

Mgeni alisema pia kuwa huko anamiliki mgodi ambao unaonyesha dalili za kuwepo madini ya dhahabu

  • Kwenye eneo hilo analomiliki, tayari ameshachimba shimo lenye urefu wa mita 3 kwenda chini; kama hatua za awali za kutaka kujua potential ya eneo hilo kuhusiana na swala zima la madini
  • Kutokana na hali hiyo, mgeni alisema kuwa kwa sababu amelazimika kusafiri baada ya kuwa amepta msiba, ameona ni viziri wakati wa kurudi achukue samples za shimo lile ambalo tayari ameshalichimba, ili wataalamu waje waangalie na kuona kama kuna potential yoyote kwenye eneo hilo
Baada ya mhusika kusikia maelezo haya, alimpigia simu mtu husika, Engineer wa madini na kumuomba afike pale ofisini kwake ili aweze kuongea na mteja huyu

  • Kwa bahati nzuri engineer alikuwepo na alifika ofisini hapo baada ya dakika chache
  • Engineer na mteja waliongea na wakati maongezi yao yanaendelea, SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) ambaye alikuwa hajafika ofisini kwa siku hiyo, aliingia ofisini muda huo, akifuatiwa na MNUNUZI WA GARI (MWG)
Mgeni alifika ofisini kwa mhusika kwenye muda wa saa 6 na dakika 20

KILICHOKUJA KUTOKEA BAADAYE WAKATI WA WEEKEND MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO NYUMBANI; KILICHOTOKANA NA UGENI HUO WA ALHAMIS

Evidence za kiroho zilimwonyesha mhusika kuwa mgeni aliyefika ofisini kwake, alikuwa ameelekezwa kuanzia kwenye ofisini hiyo na kile kilichokuwa kimemleta ni mambo yafuatayo

  • Ni kweli kwamba alikuwa amepta msiba, na hivyo alipokuwa yupo pale ofisini, alikuwa anashughulika na mwili, kwa kutumia uhusiano aliokuwa tayari umeshapatikana kati yake na mwili wa marehemu au “maiti” iliyokuwa tayari ipo kule alikokuwa anatarajia kwenda
  • Shimo la kwenye mgodi alilosema kuwa ameshalichimba kwenye eno la mgodi wake; lilikuwa linawakilisha kaburi
Mgeni huyu alifika ofisini kwa mhusika kwa ajili ya kuja kumshambulia na katika namna ambayo details za namna ya ushambuliaji huo mhusika hawezi kuzijua

Kile anachojua mhusika ni kwamba alishambuliwa sana, ten asana tu na evidence za mashamulizi hayo amezipata kwenye muda wote wa weekend

Mtu huyu alikuja idarani akiwa tayari yupo coordinated na Engineer wa madini, SMKE pamoja na MWG ambao baada ya kuwa ameondoka, aliwaachia mamlaka ya kuishika nafasi yake kama wawakilishi wake

Mambo haya ndiyo yale aliyoyapata mhusika kutoka kwa mgeni huyo

Wakati maongezi kati ya mgeni na Engineer yalipokuwa yanaendelea ofisini kwa mhusika, SMKE alifika na kumsalimia mhusika halafu aliingia ofisini kwake; isipokuwa MWG yeye alifika ofisini kwa mhusika na kufanikiwa kusalimiana na mgeni huyo

Ikumbukwe kuwa tukio hili lilitokea siku ya Alhamis, siku moja kabla ya tukio la Ijumaa

BAADA YA TUKIO LA MGENI HUYU MWENYE MSIBA KUWA LIMETOKEA, KULE KANISANI NAKO WAKATI WA IBADA……

Kwenye Ibada ya kwanza, mhudumu wa Ibada alikuwa ni Kiongozi A

Katika hali ya kawaida, mhudumu mmoja huwa anahudumu kwenye Ibada zote mbili za J2 husika

Hata hivyo, kwa J2 iliyopita, kwenye Ibada ya pili ambayo ndiyo ile ambayo mhusika alihudhuria, mhudumu wa Ibada alibadilika na kuwa mtu mwingine; tuseme Kiongozi B

Huyu kiongozi B, ndiye yule aliyewahi kupata msiba halafu baada ya hapo, akaanza kuwa anapandisha juu madhahabhuni kwa ajili ya kutoa matangazo yaliyohusiana na mbaraka wa KM-A, kabla hajayasitisha matangazo hayo siku kadhaa mbele, na nafasi yake kuchukuliwa na mama mwingine ambaye naye pia alikuwa amepata msiba kwenye kipindi kifupi kilichokuwa kimepita

Baada ya kuwa amesitisha matangazo hayo kipindi hicho, kiongozi huyu hakuwahi kuonekana tena akiwa juu madhabahuni, hadi ilipofika J2 ya jana tarehe 18/08/2024 wakati wa Ibada ya pili

Na kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na kiongozi wa juu yake, kiongozi huyu ataendelea kusimama madhabahun indefinitely, akiwa anafundisha somo lake ambalo lina mlengo wa kuelekea kwenye kitu kama ujasiriamali

Kiongozi huyu ndiye pia ambaye amekuwa akileta walimu wa kufundisha ujasiriamali kanisani hapo

Kwenye Ibada ya jana, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona kiongozi huyu akiwa anahudumu kwenye Ibada kuu, isipokuwa hii ilikuwa ni mara yake ya pili kwa sababu kuna J2 nyingine ambayo aliwahi kufundisha kuhusiana na mambo ya utoaji, ila ilikuwa kwenye J2 ambayo mhusika hakuwa ameweza kuhudhuria Ibada

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAELEZO YA CODE NYINGINE MUHIMU, TATAFUATA KUANZIA KESHO
 
BREAKING NEWS!!!!!

CODE YA "KAZI YA MOTO"


KUNA CODE YA KAZI YA MOTO AMBAYO IMEKUWA IKIFANYA KAZI KWA KIPINDI KIREFU, HUKU IKIWA INAKUWA OPERATED JOINTLY NA WATU WENGINE KUTOKA NJE YA TAASISI, PURPOTEDLY TO BE WANAFUNZI WA NGAZI ZA JUU

CODE HII NDIYO ILE ILIYOPELEKEA WANAFUNZI WAKAWA HAWAINGII TENA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES KWA SABABU INAONYESHA ANGALAU KUNA MICROSCOPE MOJA, ILE YA MR X, AMBAYO INA MAWASILIANO NA KILE CHUMBA CHA COMPUTER ROOM

MMILIKI WA SOURCE CODE HII NI MKUU WA IDARA, HUKU AKISHIRIIKIANA NA MR X PAMOAJA NA BINTI AMBAYE NI MWAJIRIWA KUTOKA TAWI LA ZANZIBAR

BAADHI TU YA WAHUDIKA WENGINE NI MU-EUROPE, AMBAYE AMEKUWA AKITUMIA CHUMBA HICHO KWA MUDA MREFU SANA, KABLA YA KUONDOKA NA HATIMAYE KUACHA FUNGUO AKIWA AMEZIKABIDHI KWA OM-1 BADAKA YA KUXIKABIDHI KWENYE OFISI YA MKUU WA IDARA, NAOM-1 NAYE HATIMAYE ALIZIKABIDHI KWA MHUSIKA

KUNA ANGALAU MICROSCOPE MOJA AMBAYO NI SPECIAL NA HIYO NDIYO IMEPELEKEA WANAFUNZI WAKAWA HAWAINGII TENA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES, WABAFANYIDHWA ORAL PRACTICAL BADALA YAKE

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIENI KESHO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA "KAZI YA MOTO" .......ibaendelea

MUASIISI AU MBUNIFU WA CODE HII NI SENIOR MSTAAFU WA KIUME NA ALIIASISI JULAI 2004 ( MIAKA 20 ILIYOPITA)

WAKATI HUO, ALIYEKUWA ANAMILIKI SOURCE CODE YA CODE HII NI MTU AMBAYE NAMBA YA SIMU YAKE NI HII HAPA 0754-267-277

HUYU NDIYE ALIANZA KUIFANYIA KAZI CODE HII KUANZIA HIYO JULAI 2004

MTU HUYU PAMOJA NA MKUU WA IDARA WA IDARA YA MHUSIKA, WOTE NI NAMESAKES WA CODE HII YA "KAZI YA MOTO"

TAARIFA ZAIDI XITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MOTO NI ROHO HALUSI

MOTO NAYO PIA NI ROHO NA INA MATENDO KAMA ZILIVYO ROHO ZINGINE, ROHO KAMA VILE ZA WATU, ZA MIZIMU;

HII NDIYO ROHO AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA AMEJISAHAU KUSHUGHULIKA NAYO NA HIVYO KUPLEKEA MKUU WA IDARA KUWA ANAUTUMIA VIZURI MWANYA WA ROHO HII

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

inaendelea tena kwenye post hii hapa #2,181
 
KONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A)

KATIKA HALI YA KAWAIDA, KAM-A ALITAKIWA ACHUKUE OPTION YA USHAURI ULIOTOLEWA NA MHUSIKA KUPITIA POST HII HAPA

#COVID19 - Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: THURSDAY 26TH OCTOBER 2023 BREAKING NEWS!!!!!!!!!! TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA OFFICE MATE -2 《OM-2) WA MHUSIKA OFFICE MATE-2 (OM-2) YUPO OFISINI LAKINI KWA MUDA WA ZAIDI YA WIKI TATU SASA, BADO ANAENDELEA KUONYESHA DALILI ZILIZO VERY STRONG ZA KUKWEPANA NA KARIBIA KILA MTU ALIYEPO...
www.jamiiforums.com

www.jamiiforums.com

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA MADA ILIYOPO HEWANI INAYOHUSIANA NA CODE YA “KAZI YA MOTO”

KILE ALICHOWAHI KUKISEMA KWENYE POST HII HAPA #2,150 KINAZIDI KU-TALLY NA USHAHIDI KUWA TUKIO HILO NALO LILILKUWA NI LA KUTENGENEZWA KWA MAKUSUDI

USHAHIDI:

Kila binadamu ameumbwa na Mungu akiwa na nyanja kuu au dimesnsions kuu zifutazo
  • NAFSI (SELF)
  • MWILI (BODY)
  • ROHO (SOUL/SPRIT)
  • AKILI (MIND)
  • JINSIA (SEX)
Ukichukua sifa au ATTRIBUTERS za kila moja ya dimensions hizi na kwa lugha ya kiingereza na kiswahili; kwenye dimension ile ya mwisho inayohusiana na jinsia utakuja kupata neno “ATTRIBUTES ZA SEX”

Kwa hiyo tukio tajwa lilikuwa linashughulika na “ATTRIBUTES ZA SEX”, lakini pia “ATTRIBUTES ZA DHAMBI”

Kuna fungu huwa linatumika kwenye Biblia linalsoema kuwa “YESU ALIFANYIKA DHAMBI”

Tukio hili nalo pia ni mojawapo tu ya yale matukio mengi ya usambazaji wa mapepo; lilitengenezwa kwa makusudi na ndiyo maana kuna kiongozi hadi limempelekea akakosea kidogo namna ya kushughulikia nalo; kutokana na nature yake namna lilivyokaa

Watu wanaandaliwa in advance kufanya matukio ya aina hii, na walio na mwelekeo unaofanana na matukio husika, HALAFU BAADAYE YANASAMBAZWA KWA MAKUSUDI KWENYE MEDIA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwa hiyo tukio hilo lililotajwa kwenye post iliyopita hap juu, lilirusha pepo kwenye jinisia na pia kwa wadhambi; popote pale walipo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU

UFAFAFNUZI MFUPI KUHUSIANA NA MAELEZO YALIYOTOLEWA HAPO JUU KUHUSIANA NA ATTRIBUTES
Mfano wa attributes ZA NAFSI

UPROFESA (PROFESS)
UNABII (PROPHECY)

Kwenye lugha ya lKiingereza
, neno hili PROPHECY lina phonation iliyo sawa na phonation ya neno jingine PROFESS, neno ambalo linatokana na neno PROFESSOR

Kwa hiyo, kwa muktadha huu, kwenye lugha ya Kingereza, neno PROFESSOR linao uwezo wa kurusha pepo kwenye UNABII na neno NABII linao uwezo wa kurusha pepo kwenye UPROFESA
Attributes zingine za nafsi ni kama zifuatazo:
UCHUNGAJI (PASTORSHIP)
UINJILISTI ( )
UKUHANI ( )
UFALME ( )
UALIMU ( )
UANAFUNZI ( )
UANDISHI ( )
UIMBAJI ( )
USHEMASI( )
UENYEKITI ( )
..................
Orodha ni ndefu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom