#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

BREAKING NEWS!!!!!!
HATA KWENYE TUKIO HILI LA SASA MA-OFFICE MATES WOTE WAWILI WA MHUSIKA WANAHUSIKA TENA


YULE MWINGINE ALIKUWA SAFARI NA ANADAI KUWA. ALIRUDI JANA USIKU WA MANANE, LAKINI LEO HAKUWEPO OFISIN

YULE AMBAYE ALIKUERPO OFISINI, ANAONYESHA DALILI ZOTE KUWA CONSPIRACY YOTE YA TUKIO HILI ALIIFAHAMU

YULE AMBAYE HAKUFIKA OFISINI LEO, NDIYE YULE AMBAYE ANGEMFUATILIA MHUSIKA KULE AMBAKO ANGEELEKEZWA KWENDA KUFUATILIA HELA ZAKE

HUYU AFISA TAWALA WA SASA ALIYEINGIA MADARAKANI DESEMBA 2022, ATAIUA KABISA HII TAASISI, ANATENGEBEZA MAKUNDI YA UJAMBAZI KWENYE TAASISI

TAARIFA ZAIDI XITAFUATA BAADAYE KESHO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KIPYA ALICHOKIONA MHUSIKA KWENYE TUKIO HILI LA SASA

HAWA WAHUSIKA WA TUKIO LA SASA INAONYESHA KUWA WAKO GUIDED ZAIDI. ILITARAJIWA KUWA MHUSIKA ANGE-RELEASE NAMBA YA SIMU YA MTU ALIYEKOSEA MUAMALA UKAENDA KWAKE NA HIVYO KUPOKEA FEDHA, ILI BAADAYE SASA MTU HUYO AWEZE KWENDA MAHAKAMANI KUFUNGUA KESI

MHUSIKA ANAOMBA MSAADA WATU WA BENKI WARUDISHE FEDHA ZAKE; ANADAIWA MAMBO MENGI SANA YANAYOHITAJI ATUMIE FEDHA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 30th AUGUST 2024

CASE YA “TROJAN HORSE”


YALE YALIYOJIRI TANGU J5 KUHUSIANA NA SWALA HILI LA “TROJAN HORSE” ILIYOPELEKEA HELA ZA MHUSIKA ZIKAINGIA KWENYE ACCOUNT YA SIMU YA MTU MWINGINE BADALA YA KWENYE ACCOUNT YAKE YA SIMU


Maelezo yaliyopo juu kwenye ukurasa huu, yametanguliwa na maelezo mengine yaliyopo kwenye posts hizi hapa #2,198 #2,200

CHRONOLOGY YA MATUKIO MUHIMU KUHUSIANA NA HII CASE YA TROJAN HORSE (tuiite CTH)

…………………….inaendelea
 
CHRONOLOGY YA MATUKIO MUHIMU KUHUSIANA NA HII CASE YA “TROJAN HORSE” (tuiite CTH)

CTH …………………….inaendelea

Tukio hili la CTH halikuwa la kwanza bali kuna jingine ambalo mhusika aliwahi kukumbana nalo May mwaka huu na ambalo aliwahi kuleta taarifa zake kupitia post hii hapa #2,046

Tukio hili nalo lilwahi kuangukia kwenye CTH isipokuwa mhusika hakuweza kuliongelea kwa mlengo huo kwa sababu ilikuwa ni simple case

CHRONOLOGY OF EVENTS KUHUSIANA NA CTH

JUMATANO ASUBUHI YA WIKI HII; TAREHE 28/08/2024


J5 asubuhi mhusika alifika ofisini na kukuta OM-2 ameshafika ila akaacha begi na kutoka kidogo; na hakuwa ameweka laptop yake kwenye Meza yake

Kwenye majira ya saa 4:30 asubuhi mhusika alifanya muamala huo anaoungelea hapa na hatimaye fedha yote kuelekea kwenye account ya mtu mwingine; na wala hakuwa amekosea kuandika namba yake ya simu
  • Wakati mhusika anafanya muamala huo OM-2 alikuwa bado hayupo ofisini
  • OM-1 naye alikuwa bado yupo safari na huyu yeye alirejea usiku wa manane wa J4 kuamkia jana J5
Baada ya mhusika kugundua kuwa fedha yake ilienda kwingine badala ya kuingia kwenye account yake, aliamua kuharakisha kwenda kwa Service Provider (SP) wa mtandao wake wa simu na hadi inafikaa saa tano Kasorobo, mhusika alikuwa tayari amesharipoti kwenye ofisi za SP wake

Kabla ya kuondoka kwenda kutoa taarifa kwa SP, mhusika alijaribu kuipigia simu mara moja namba iliyokuwa iepokea fedha hizo lakini ilikuwa haipatikani

  • Pale Customers Service (CS) aliwakuta staff wawili wa kiume na wote walikuwa wamekaa viti viwili vya mwisho kama unaingia, na vya mwisho kushoto kama mtu anai-face counter ya CS
  • Pamoja na kuwa walikuwa wanaedelea kuhudumia wateja wengine, mhusika aliwaeleza kuwa alikuwa na emergence na hapo mmoja wao aliamua kumsikiliza mhusika
Mhudumu alliyemsikiliza mhusika alikuwa kijana mweusi umri karibia miaka 35 na mrefu wa wastani

Baada ya kumtajia namba ambako hela zilikuwa zimeenda; mhudumu alimhakikishia mhusika kuwa hela hiyo ilikuwa bado hajachukuliwa na hivyo kumshauri mhusika awahi Benki ili waweze kuirudisha kwenye account yake mhusika, huku yeye akiwa ame-block temporarily account iliyopokea hela kimakosa kuhakikisha kuwa hiyo hela haitoki tena kwenye account

Kwa uelewa wake mhusika kwenye maswala haya ya transactions; kuanzia pale sasa liabiility ya fedha hizo ikawa imetoka kwa ISP, kwenda kwa Benki ya mhusika; pending Benki husika kuko-confirm kwamba kweli hela hiyo ilikuwa kweli bado haijavchukuliwa na mtu aliyekuwa ametumiwa kimakosa

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEFIKA BENKI


Baada ya kuwapa details walizozihitaji, Benki nao walianza kufanya mawasiliano yao ya simu kwanza muda huo huo na hatimaye wali-confirm kuwa hela hiyo ilikuwepo na kwamba ilikuwa bado haijachukuliwa

Kuanzia pale sasa liability ya fedha hizo ikawa imekuwa tranfered kutoka kwa SP kwenda Benki kwa sababu Benki wali-confirm kuwepo kwa fedha hiyo na wao ndiyo waliokuwa na mamlaka ya kuzirudisha kwa mteja wao

Baada ya hapo mhusika ndiyo akapewa taarifa kuwa swala lake litashughulikiwa ndani ya masaa yasiyozidi 72 na alipoona muda unakuwa mrefu kidogo aliamua kuonana na Manager; ambaye naye alisisitiza kuwa muda anaotakiwa kusubiria maximum ni huo; ila pia unaweza ukawa pungufu ya pale

  • Mhusika alikubaliana na ushauri wa Manager na baada ya hapo, alienda kaunta na kwenda kuchukua kiasi kidogo cha fedha iliyokuwa imesalia kwenye akaunti yake
  • Notification ya sms ya muamala huo alioufanya pale benki iliingia kwenye simu yake saa 5 na dakika 24, ikiwa ni dakaika chache tu baada ya kuwa ameufanya
  • Kabla ya kutimia saa sita kamili, mhusika alikuwa tayari amesharudi tena ofisini
DAKIKA CHACHE BAADA YA MHUSIKA KUWA AMERUDI OFISINI; OM-2 NAYE ALIREJEA

Muda mfupi tu baada ya mhusika kurudi kutoka benki, OM-2 naye aliingia ofisni; alikuwa anatokea kwenye Kikao. OM-2 alirudi ofisini ikiwa ni takribani dakika 5 tu baada ya mhusika kuwa ametoka Benki

Hapo mhusika aliamua kumshirikisha OM-2 kuhusiana na kile kilichokuwa kimempata; na OM-2 naye alimpa pole mhusika

Hiyo siku ya J5 ikapita

BAADA YA MASAA 24 KUWA YAMEPITA; JANA ALHAMIS SAA TANO NA ROBO ASUBUHI

Mhusika akaona ujumbe kutoka kwenye simu binafsi ya mkononi ya mfanyakazi wa Benki uliokuwa unamjulisha kuwa Benki wameshindwa kuiridisha fedha kwenye akaunti yake kwa sababu mwenye simu aliichukua

  • Ujumbe huo aliusoma angalau saa moja ikiwa imepita baada ya kuwa umeingia simu
  • Kwenye muda wote wa aubuhi hiyo; OM-2 alikuwa hayupo ofisini na aliingia kwenye mida ya karibia saa 5 na nusu hivi
Wakati OM-2 anaingia ofisini kwa mara ya kwanza siku hiyo, ujumbe wa kutoka Benki kuja kwa mhusika ulikuwa tayari umeshaingia, na hivyo OM-2 aliingia ofisini jana Alhmis, ikiwa ni dakika chache tu baada ya ujumbe kutoka kwenye SIMU BINAFSI YA MFANYAKAZI WA BENKI kuwa umeingia kwenye simu ya mhusika

Baada ya muda mfupi kupita kabla mhusika hajauona na kuusoma ujumbe kutoka kwa mfanyakazi huyo, OM-2 alitoka tena kidogo nje ya ofisi na safari hii wakati anarejea, alimkuta mhusika ndiyo anamalizia kuisoma message ya ujumbe huo kutoka kwenye simu ya mfanyakazi wa Benki

  • Ujumbe huo ulikuwa unamshauri mhusika akaifuatile tena hela hiyo kwa SP au ampigie mtu mwenye namba ambayo hela ilikuwa imeingia kwake
  • Mhusika aliamua kumshirikisha tena OM-2 na muda mfupi tu baada ya pale, mhusika aliamua kuelekea Benki
Nia ya kwenda Benki ilikuwa ni kwenda kuchukua official notification letter kutoka kwa Branch Manager, inayomthibitisha kuwa Benki walishindwa kuirudisha fedha yake; ikiwa kama ni ushahidi kwa SP ambaye mwanzoni wa mchakato huu, alimthibitishiamhusika kuwa hela yake ilikuwa haijachukulia na mteja wao aliyekuwa ameipokea kimakosa

Mbali na hilo, SP alikuwa pia amemhakikishia mhusika kuwa ali-block namba ya mteja huyoi ili asiweze kuzichukua fedha hizo

Kwa hiyo hadi kufikia hapa, swala la mhusika kuonekana tena ofisini kwa SP bila uthibitisho kutoka kwa Branch Manager, ZINGEKUWA NI FUJO na SP angeweza kuwa na haki ya kumchukulia mhusika hatua zozote just in case

AKIWA ANAELEKEA BENKI JANA BAADA YA KUWA AMEPOKEA UJUMBE

COINCIDENCE MUHIMU ILIYOJITOKEZA BAADA YA KUWA AMETOKA NJE YA GATE LA JENGO LA OFISI YAKE


Pale kwenye parking, alikutana na mtu wake wa karibu ambaye naye hapo kabla aliwahi kuwa staff wa Taasisi, ila aliondoka kwenye mazingira ya kutatanisha kidogo na yaliyopelekea hadi mwajiri wake kutoa notice gazetini iliyokuwa ikimhusu mtu huyu

  • Hii ilikuwa ni mara ya tatu kwa mhusika kumuona tena kwenye mazingira ya taasisi, tangu mtu huyu apatwe na mkasa huu
  • Mara ya mwisho mhusika aliwahi kumuona takribani miezi mitano iliyopita na alisema kuwa alikuwa anelekea Library ya zamani
  • Mara ya kwanza mhusika aliwahi kumuona kwa mbali na hawakuweza kusalimiana; na ilikuwa ni zamani kidogo possibly mwaka na ushee umepita
Mbali na hayo, mara ya mwisho mhusika aliwahi kuongea na mtu huyu akiwa bado ni staff wa taasisi; ilikuwa ni siku ya uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015; na waligongana meaeno ya Mwenge Sokoni

Baada ya mhusika kumaliza kupoga kura siku hiyo, alielekea Mwenge sokoni na huko ndiko alikokutana na mtu huyu

Ikumbukwe kuwa asubuhi ya siku hiyo wakati yupo kwenye foleni ya kupiga kura, mhusika aliwahi kukoswa koswa na tukio lislokuwa zuri, ambalo aliwahi kulileta humu kupitia baadhi ya maelezo yaliyopo kwenye posts hizi hapa #776 #798 #1,029

CTH………….inaendelea
 
KILE KILICHOFANYIKA BENKI KUHUSIANA NA SWALA LA MUAMLA HUU WA CTH

Ndani ya muda usiozidi saa nzima
; Benki wali-confirm kufanyika kwa muamala wa mhusika na pia kuwa fedha hiyo ilikuwa bado ipo kwenye account ya mtu aliyekuwa ametumiwa kimakosa

Mbali na hilo, Benki pia walimthibitishia mhusika kuwa wangezirudsha fedha zake kwenye akaunti yake

Hata hivyo, baasa ya masaa 24, Benki walimjulisha mhusika kuwa walishindwa kuurudisha muamala huo kwa sababu mtu alitekuwa amezipokea kwenye akaunti yake, alikuwa tayari ameshazichukua

Hapa ikumbukwe pia kuwa wakati mhusika anataka kuhamisha fedha hizo kutoka account ya benki kwenda kwenye akaunti ya simu, hakuwa amekosea kuandika namba ya simu yake

  • Alipokuwa anakaribia kukamilisha muamala huo, ulikuja ujumbe wa kumuuliza kama anataka kuhamisha fedha kwenda kwa “fulani” huku jina la huyo “fulani” likiwa ni lile la mhusika
  • Baada ya hapo, mara tu baada ya mhusika kukubali kukamilisha muamaba; ndiyo pale fedha hiyo ilipoenda kwa mtu mwingine
MENGINE YA MUHIMU YALIYOJIRI OFISINI KWA SIKU YA JANA ALHAMIS

CTH …………………….inaendelea
 
CTH …………………….inaendelea

MENGINE YA MUHIMU YALIYOJIRI OFISINI KWA SIKU YA JANA ALHAMIS


OM-1 alsiafiri na wanafunzi kwenda field tangu tarehe 13/08/2024 na alirudi usiku wa manane wa J5 ya tarehe28/08/2024

Jana Alhamis asubuhi mhusika alikuta kuna vifaa vya field ofisini ambavyo OM-1 aliwahi kusafiri navyo

NAMNA PLAN YA SAFARI YAO OM-1 NA WENZAKE ILIVYOKUWA

Walisafiri wakiwa pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Matetemeko ya Ardhi (tumiwte MKMA), ikiwa ni pamoja na wanafunzi wanne wa mwaka wa kwanza

Kwenye kikao cha idara kilichofanyika Ijumaa ya tarehe 08/08/2024 kabla ya safari hiyo kufanyika, MKMA alisema kuwa kwa mara ya kwanza tangu field za wananfunzi zianze; mwaka huu walilazimika kupeleka wanafunzi Morogoro kwa siku kadhaa na hatimaye watarudi tena hapa Dar es salaam; kutokana na ufinyu wa budget ya fedha ya field

Kawaida wanafunzi hawa walitakiwa kupelekwa Nzega au ili wakazione zile VEINS za dhahabu huko; na mara zote kwa miaka mingine iliyopita, wamekuwa wakipelekwa huko au mahali kwingineko, ila si Morogoro au Dar es Salaam; na hivyo kwa Morogoro au Dar es Salaam, safri hii mwaka huu ndiyo imekuwa mara ya kwanz

Mbali na hayo yote, OM-1 na wenzake walisafri kwa gari la kukodi la mtu binafsi wakati wanaondoka, na possibly walisafri kwa utaratibu huo huo wakati wa kurudi; NA WALIWASILI HAPA DARE S SALAAM USIKU WA MANANE wakiwa wanatokea Morogoro

Gari za kukodi za taasisi huwa zipo pia ila haijulikani kwa nini OM-1 na timu yake waliamua ku-opt kuchukua magari ya watu binafsi badala ya kutumia magari official; yale ambayo ni ya Taasisi

Baada ya kuwasili usiku wa manane wa kuamkia jana Alhamis; OM-1 hakuweza kuwepo mazingira ya ofisini jana Alhamis

NAMNA PLAN YA FIELD HII ILIVYOKUWA UKIIHUSIANISNA NA CASE YA “TROJAN HORSE” YA MHUSIKA

Kwa yale yaliyoendelea upande wake mhusika kwa siku mbili za J5 na Alhamis; kwa upande mwingine plan ya field hii inaaza kuonyesha kuwa kwenye tukio la jana Alhamis linalohusiana na muamala wa fedha za mhusika, OM-1 alitakiwa kuwa yupo mazingira ya jijini Da es salaam ila katika namna ambayo ilitakiwa isijulikane officially kama alikuwepo Dar es salaam

Kwa mara kadhaa, na kwa matukio mengine yote ya nyuma, imekuwa ni kawaida kwa OM-1 kwamba kila linapokuwa limepangwa tukio kwa mhusiksa, OM-1 amekuwa anakuwa hayupo mazingira ya ofisini; anakuwa na udhuru ambao huwa unampelekea awe somewhere mtaani tu, nje ya mazingira ya taasisi

  • Na kwa safari hii pia, kwa tukio hili pattern imejirudia tena kwa OM-1 kuwa alikuwa yupo Dar es salaam ila katika mazingira ya nje ya ofisi
  • Fact ni kwamba siyo rahisi sana ukaingia kutoka safariusiku wa manane halafu kesho yake ukaweza kuwepo ofisini.
Hapa maswali mawili yanakuja kwamba kwa msafri anayetokea hapo Morogoro tu; kwa nini aingie Dar es salaam usiku wa manane?

What is special hapa cha kumpelekea mtu huyo aingie Dar es saalm muda huo, huku akiwa amekodi usafir wa gari la mtu binafsi?


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 31st AUGUST 2024
JINA LA MTUMISHI LILILORUKWA KUSOMWA NA KM-A ALIPOKUWA ANAWAITA VIONGOZI KWA AJILI YA KUWAWEKA WAKFU KANISANI J2 ILIYOPITA


JINA HILO LINA HERUFI 9 NA HERUFI 6 KATI YA HIZO, ZINAUNDA KWA BAADHI YAKE KUJIRUDIA, JINA JINGINE LA HERUFI 9 ZA JINA LA KAIMU MKUU WA IDARA YA MHUSIKA WA WIKI HII

KAIMU HUYU KWA SASA; HIVI KARINBUNI AMEJIFUNGUA KIMALAIKA KICHANGA, KWA HIYO YEYE NI GENERATOR, NA KILE KIMAILAIKA KICHANGA NI KI- GENERATION CHAKE

KAMA KAWAIDA, MKUU WA IDARA HAYUPO ALISAFIRI; HUWA NI KAWAIDA KWAMBA KARIBIA MARA ZOTE, MATUKIO YOTE HUWA YANAMPATA MHUSIKA PALE MWI ANAPOKUWA YUPO SAFARI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Ungeachana na haya mambo tu, hakuna hata comment kumaanisha watu washachoka kufatilia hii isidingo.

Nakushauri tu, TAFUTA KAZI UFANYE.
 
KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUONGEA KUHUSIANA NA PATTERN YA KEYS ZINAZOTENGENEZWA NA MAJINA YA WATU WALIOTAJWA KWENYE POST HII #2,207

Anayetajwa kuwa kama Kaimu MWI kwenye post hiyo, amekuwa akiachiwa idara kwa vipindi viwili mfululizo ila vinavyopishana siku chache tu na kwa muda wa takriban wiki mbili sasa; ilhali bado yupo Maternity Leave; hayupo ofisini

Wapo staff wengine ambao MWI angeweza kuwa anawakaimisha mamlaka hayo, lakini hakufanya hivyo na hivyo kupelekea kwa safari mbili mfululizo, kumkaimisha mzazi ambaye bado yupo nyumbani analea kichanga

Sababu hii ndiyo iliyopelekea mhusika akaiongelea pattern ya majina iliyopo kati ya Kaimu MWI huyu ambaye ni mzazi, na binti ambaye jina lake lilirukwa kutajwa Kanisani na KM-A J2 ya wiki juzi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 03rd SEPTEMBER 2024

COINCIDENCES KADHAA ZILIZOJITOKEZA ZIKIMHUSISHA MNUNUZI WA GARI (MWG) KUANZIA SIKU AMBAYO GARI LA MHUSIKA LILITOLEWA UPEPO MWANZONI MWA APRIL 2024, MARA TU BAADA YA PASAKA

MAELEZO YA UTANGULIZI


MWG alikuwa amesafiri safari ambayo haikuwa ile ya wale waliokuwa wameenda field Morogogo, possibly alienda field nyingine tofauti na hiyo

Baada ya kurudi, kwa mara ya kwanza MWG alikuwepo ofisini jana J3 yan tarehe 02/09/2024 na kilichomtokea mhusika baada ya MWG kuwa amerudi; kinashahibiana kwa namna fulani na kile kilichowahi kumpata mwanzoni mwa mwezi April 2024; na ambacho maelezo yake yaliwahi kuwajieni kupitia baadhi ya maelezo yaliyopo kwenye post hii #2,039 na pia post nyingine ambayo mhusika ataitafuta baadaye na kuileta kwenu kwa mara nyingine kama reference

KWA KIFUPI: YALE YALIYOTOKEA KIPINDI HICHO CHA APRIL 2024

Siku hiyo ambayo ilikuwa ni Alhamis ya tarehe 04/04/2024, akiwa yupo ofisini, mhusika alipaki gari lake jirani na gari la MMILIKI WA SOURCE CODE YA EMBRYOLOGY (MSCE)

Jioni ya Alhamisi hiyo wakati mhusika alipokuwa anaondoka ofisini kurudi nyumbani, alibahatika kuambatana na Mnunuzi wa Gari (MWG) ambaye waligongana naye kwenye mlango wa ofisi yake, mhusika alipokuwa anapita kwenye korido akielekea nje ya jengo; na hatimaye kuambatana wote na MWG kuelekea nje kwenye parking za gari

  • Baada ya kuwa wametoka nje, MWG aligundua kuwa upepo wa tairi moja la nyuma la gari la mhusika, ulikuwa umepungua; na alimjulisha mhusika
  • Baada ya hapo MWG aliendelea na safari yake akimwacha mhusika akiwa pale kwenye parking anashangashangaa, kitu ambachio hakikuwa cha kawaida sana kwa sababu kama waliambatana wakiwa wote kutoka ndani ya ofisi zao na huko nje wakakuta hali ambayo haikuwa ya kawaida sana kwenye gari la mhusika, katika hali ya kawaida MWG alitakiwa kutumia mda kidogo aiwa pale na ikiwezekana kutoa msaada wa angalau hata ushauri tu kuhsiana na tatizo hilo
  • Hata hivyo, MWG hakufanya hivyo ila alichofanya ni kule kumjulisha tu mhusika kuwa gari lake lilikuwa limepungua upepo kwenye mojawapo ya matairi yake ya nyuma
Ikumbukwe pia kuwa siku hiyo ndiyo siku ya kwanza ambayo mhusika alikuwa ameyakanyaga kwa mara ya kwanza kwa tairi za gari lake, matuta mapya mawili ya bararabani yaliyowekwa kipindi hicho, huku yakiwa yanalizingira eneo analoishi Mkuu wa Major Unit (MMU)

KULE KANISANI NAKO: KILE KILICHOKUWA KIMETOKEA KABLA KWENYE SIKU YA J2 YA PASAKA TAREHE 31/03/2024, IKIWA NI SIKU TATU TU KABLA YA TUKIO LA UPEPO WA TAIRI ZA GARI LA MHUSIKA


Profesa na mke wake walikuwa wametoa sadaka ya shukrani kwa msiba uliokuwa umewapata siku tatu nyuma, yaani uliokuwa umetokea J5 ya tarehe 27/03/2024

Msiba huu ndiyo ule ambao kwa siku za hivi karibuni, mhusika alikuja kubaini kuwa ulikuwa ulitengeneza ‘KEY’ na msiba wa zamani wa Baba Mzazi wa mhusika kwa kutumia mwaka wa kuzaliwa kwa maana kuwa marehenu wawili wote hawa walizaliwa mwaka mmoja

Mbali na hayo, Profesa allitoa ushuhuda ulionukuliwa hapa chini, na ambao mhusika aliwahi kuuleta humu kupitia post hii hapa #2,039

Mwanzo wa kunukuu………

  • Mwalimu wake wa somo la Chemistry wa O-level, alifariki akiwa mikononi mwake na alifariki siku ya Alhamis
  • Mwalimu wake wa somo la Chemistry wa A-level, naye pia alifariki akiwa mikononi mwake na alifariki siku ya Alhamis
  • Mwalimu wake wa somo la Chemistry wa University, naye pia alifariki akiwa mikononi mwake na alifariki siku ya Alhamis
Mwisho wa kunukuu………

Tukio hilo la zamani la kutolewa upepo kwenye gari la mhusika, lilikuja kutokea siku ya Alhamis kufuatia J2 hiyo ya sadaka ya shukrani

Haya ni maelezo ya utangulizi kuhusiana na tukio lilowahi kujiri kipindi hicho cha nyuma cha April 2024; na ambalo limeoyesha tena uhusiano na kile kilichotokea jana J3 ya tarehe 02/09/2024 na ambacho kimekuwa pia linked na kurudi kwa MWG ofisini baada ya kuwa ametoka safari

UHUSIANO KATI YA MAELEZO HAYO HAPO JUU NA KILE KILICHOTOKEA JANA J3 YA TAREHE 02/09/2024 BAADA YA MWG KUWA AMERUDI KUTOKA SAFARI


Jana J3 ya tarehe 02/09/2024 majira ya usiku wa saa moja; mhusika akiwa yupo ndani nyumbani kwake, aligongewa mlango na kupewa taarifa kuwa tairi moja ya gari lake hakuwa na upepo; upepo wote ulikuwa umetoka

Kabla ya kugongewa, mhusika alikuwa ametoka ofisini kurudi nyumbani kwake huku gari lake likiwa lipo kawaida bila hitilafu yoyote; na alifika nyumbani na kulipaki likiwa liko sawasawa

UHUSIANO KATI YA KUGONGEWAGONGEWA MLANGONI USIKU NA TAA ALIYOKUWA AMEIWEKA MLANGONI KWAKE AMBAYO KWA SASA HAIPO TENA

Kwenye kipindi chote ambacho mhusika alikuwa ameweka taa kwenye mlango wa nyumba yake; hakuna mtu aliyewahi kugonga usiku nyumbani kwa mhusika kwenye kipindi chote cha uwepo wa taa hiyo; isipokuwa aalikuwa akigongewagongewa sana kabla ya uwepo wa taa hiyo, na piaa ameendelea kugongea baada ya taa hiyo kutoka

  • Kwenye maisha yote ya uwepo wa taa iliyokuwa ikumulika mlangoni kwa mhusika; hayupo mtu aliyewahi kumgongea usiku nyumbani kwake
  • Taa hiyo alikuja akaiondoa hivi karibuni mwishoni mwa mwaka jana 2023 baada ya siku moja usiku, kugundua kuwa kuna mtu aliyekuwa anataka kuilipua kijanja taa hiyo na remotely, ili iweze kuchoma jengo zima kwa nia ya kumtia hatiani mhusika; jengo ambalo lilikuwa limezungushia nyavu pamoja na miti kwa ajili ya ukarabati
MFANANO KATI YA MATUKIO HAYA MAWILI YA KUTOLEWA UPEPO WA GARI LA MHSIKA

KILE KILICHOTOKEA TENA KANISANI KWAKE MHUSIKA J2 ILIYOPITA YA TAREHE 01/09/2024 IKIWA NI SIKU MOJA TU KABLA YA UPEPO WA TAIRI ZA GARI LA MHUSIKA KUTOLEWA


Kwenye tukio la awali la kutolewa upepo lilitokea April 2024; J2 iliyokuwa imepita nyuma kabla ya siku hiyo; Profesa na mke wake waliwahi kutoa sadaka ya shukrani

Halikadhalika kwenye tukio hili la jana la kutolewa upepo gari la mhusika, kumefuata baada ya J2 iliyopita ya tarehe 01/09/2024.kutolewa sadaka nyingine ya shukrani kule Kanisani; sadaka ambayo tukio lake lilikuwa na sifa zinazoshahibiana kwa karibu sana na tukio lile lililopelekea Profesa na mke wake wakatoa sadaka ya shukrani mwishoni mwa mwezi March 2024

Kwa hiyo tukio la sadaka ya shukrani la J2 iliyopita, limetengeneza “KEY” na tukio la Profesa na mke wake la mwezi March 2024

Kawaida sadaka ya shukrani Kanisani huwa inatolewa kwenye J2 ya mwisho ya mwezi; ilhali J2 iliyopita ilikuwa ni J2 ya mwanzo ya mwenzi

Mbali na haya yote, tukio la sadaka “regular” ya shukrani; liliwahi kufanyika J2 ya wiki juzi ya tarehe 25/08/2024

…………………..inaendelea
 
KILE AMBACHO AMEKIONA KAMA MCHANGO WA MWG KWENYE HAYA ALIYOYAELEZA HAPO JUU

Kwenye asili yao, mahali fulani na si kwa mbali sana, mhusika na MWG wanachangia ancenstry; japo wanatofautiana lugha za kuzaliwa ambazo huwa wanaongea

Kutokana na hali hiyo, MWG huwa anao uwezo wa kuongea kidogo na hata kusalimiana kwa kutumia lugha ya kuzaliwa ya mhusika; japo si kwa ufasaha sana; na pia anao uwezo wa kumsikia kwa ufasha mtu anapokuwa anaongea lugha ya kuzaliwa ya mhusika

Kwa tukio la jana; alichokiona mhusika kutoka kwa MWG ni kwamba kuongea huko kwa MWG kwa kutumia lugha ya mhusika, kumekuwa tangu kipindi kirefu nyuma, kukimpa mwanya wa kurusha pepo kwenye lugha; na inapotokea hivyo MWG anakuwa amerusha pepo kwenye lugha zote generally na si kwenye lugha ya mhusika tu; huku mlengwa kwenye mchakato huo akiwa ni mhusika mwenyewe

Kwa hiyo baada ya MWG kurudi kutoka safari, jana J3 ya tarehe 02/09/2024 akawa amefanikiwa tena kurusha pepo kwenye lugha; ukizingatia pia kuwa huko kwenye nyumba ya Ibada anakoabudu; kunampelekea kupata sifa ya kutengeneza “KEY” na mtu mwingine ambaye ni mtaaalamu mahiri sana wa mambo haya ya lugha

PETTERN NYINGIE ILIYOJITOKEZA KATI YA MATUTA MAPYA MAWILI YA BARABARANI YALIYOWAHI KUWEKWA BARABARANI MNAMO APRIL 2024 NA NJIA AMBAYO IMEKUWA KWENYE MATENGENEZO KWA TAKRIBANI WIKI MBILI SASA NA AMBAYO NDIYO NJIA AMBAYO KARIBIA MARA ZOTE MHUSIKA HUWA ANAITUMIA KUJA OFISINI NA PIA KURUDI NYUMBANI KWAKE


Njia hii ambayo mara zote mhusika huwa anaitumia kuja na kutoka ofisini, imekuwa ipo kwenye matengenezo kwa takribani wiki mbili sasa, hali iliyopelekea kulazimika kutumia njia mbadala; njia ambayo huwa haitumii siku zote

Baada ya mhusika kujaza upepo leo, njia hiyo imefumguliwa sasa na kuanza kutumika

  • Sawa tu na vile ilivyotokea kipindi kile cha April 2024 ambapo baada ya matuta mapya kuwekwa, mhusika alilazimika kwenda kujaza upepo mwingine
  • Matuta ya april 2024 yalianza na upepo mpya kwenye gari la mhusika; halikadhalika brabara iliyokuwa imefungwa kwa ajili ya matengenezo, nayo imefunguliwa huku kukiwa na upepo mpya kwenye gari la mhusika
PATTERN KUHUSIANA NA MMILIKI WA SOURCE CODE YA EMBRYOLOGY

Vinginevyo ni kwamba jana J3 wakati mhusika anaondoka ofisini; kwa mara ya kwanza waliongozana na MMILIKI WA SOURCE CODE YA EMBRYOLOGY; mtu ambaye kwa mara ya kwanza walipaki jirani Alhamis ya tarehe 04/04/2024; siku ambayo kwa mara ya nyingine tena upepo ulitolewa kwenye tairi ya gari la mhusika

KWA KUKUMBUSHIA TU: MAELEZO KWA KIFUPI SANA KUHUSIANA NA KILE KINACHOTOKEA BAADA YA PEPO KUWA AMERUSHWA KWENYE LUGHA


Maelezo marefu ya kile kinachotokea baada ya pepo kuwa amerushwa kwenye lugha; mhusika tayari ameshayaleta humu kupitia posts kadhaa zilizopita

Kwa mfano; kwa kifupi tu ni kwamba inapotokea hivyo, neno JINA huwa sawa na neno JINI, neno ndani ya maji au MAJINI, hugeuka na kuwa sawa na neno MAJINI, neno ambalo ni uwingi wa neno “JINI

Neno GENERATOR likiwa linamaanisha mashine ya kufua umeme; hugeuka na kuwa sawa na neno GENERATOR linalomaamisha mtu ambaye ana uwezo wa kuzaa na kutengeneza GENERATION, au kizazi kingine kipya

Halikadhalika neno hilo hilo pia hugeuka na kumaanisha ROHO MTAKATIFU au MUNGU, ambaye ana uwezo ku-REGENERATE watu, au kuwafanya watu upya; kulingana na mafundisho yaliyowahi kutolewa Kanisa A kwenye Semina ya ROho Mtakatifu mwaka 2012

HITIMISHO


Nomino (noun) ya MTU au WATU kivumishi chake au adjective yake ni “UTU”

Halikadhalika; neno “PEPO” au “MAPEPO: kivumishi chake au adjective yake ni “UPEPO”

Kwa hiyo UPEPO wa tairi za gari la mhusika ulitolewa jana usiku J3 ya tarehe 02/09/2024 baada ya pepo kuwa amerushwa kwenye lugha; ili mhusika akajaze upepo mwingine ambao utakuwa una PEPO au MAPEPO, na tayari ameshajaza upepo huo

Mara tu baada ya MWG kuwa amerusha pepo kwenye lugha asubuhi, baadaye kwenye majira ya baada ya saa 10, umeme ulianza kukatika kwa dakika kadhaa na hatimaye kurudi tena na ulifanya hivyo mara mbili

Kukatikakatika kwa umeme huo kulikuwa kunashughulika na GENERATORS za aina zote kuanzia zile ambazo ni mashine, binadanu hadi Roho Mtakatifu au Mungu mwenyewe

Matukio mengine kama yale ya kutolewa sadaka za shkurani kule Kanisanisani, yanakusudiwa kutengeneza “KEY” ambazo zina uhusiano na msiba wa Baba mzazi wa mhusika

Wataalmu wengine wa mambo ya kiroho wanaweza sasa kuyaeleza mambo haya zaidi provided fumbo kubwa lililokuwepo nyuma yake mlimeshafumbuliwa

Anachoopenda kutanbihisha hapa mhusika na wala siyo kuwatisha watu, huu upumbavu wa kutengeneza “KEY” na msiba wa Baba Mzazi wa mhusika “is a grave mistake of the millenium” ambayo wahanga wake watakuja kuendelea kusimuliwa vizazi na vizazi; in the Name of the ONLY LINING GOD

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA " CALLS" NYINGI MNO KUTOKA KWENYE NAMBA HII 0672-659-141; NAMBA YA MTU AMBAYE HAMFAHAMAU ;TANGU JUMAPILI

Vinginevyo mhusika ataleta humu ushahidi wa "CALLS"nyingi mno ambazo zimemshangaza sana na ambazo zimekuwa zikifanywa na mtu mwenye namba hii 0672659141 kuanzia juzi hadi leo; na ambaye hamfahamu

Kwa muda huu, mhusika amejaribu kumpigia simu mtu huyu na hapoke; ame-reject

Ni mara kwanza mhusika anampigia simu mtu huyu tangu aanzishe call zake juzi

Ushahidi wa picha za calls hizi ambazo mhusika anadia kuwa ni nyini mno atauleta humu kesho

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 04th SEPTEMBER 2024

IDADI YA SIMU ALIZOPIGIWA MHUSIKA KUTOKA KWENYE NAMBA 0672-659-141 TANGU JUMAPILI TAREHE 01/09/2024 HIZI HAPA


Maelezo ya awali kuhusiana na tukio hili yapo kwenye post hii hapa #2,212 iliyopo hap juu

Orodha ya simu hizo ni kama ilivyoambatanishwa hapa chini






20240904_130231.jpg




20240904_130304.jpg
20240904_130313.jpg
20240904_130609_1.jpg
 
KUHUSIANA NA TUKIO LA VIFURUSHI VTA TV VILIVYOTAJWA KWENYE SEHEMU YA MAELEZO YALIYOPO KWENYE POST HII HAPA #2,046

Hadi kufikia muda huu, utafiti wake mhusika umemuonyesha kuwa hata kwenye tukio hli; OM-2 alihusika pia

Lilikuwa ni tukio la kwanza kuwahi kumtokea mhusika tangu mhusika aanze kununua za vifurushi vya TV kwa njia ya myandao wa simu

Kabla ya tukio hilo; siku chache nyuma mhusika alikuwa amemshirikisha kwa kumjulisha OM-2 ISP wake wa vifurushi vya TV

Baada ya hapo, siku chache ndiyo pale mhusika aliponunua vifurushi vya miezi mitatu; ISP akapokea hela ya vifurushi vya miezi miwili huku mtandao wa simu ukiwa umekata vifurushi vya miezi mitatu

Chances ni kwamba OM-2 anaweza kuwa anafahamiana na mtu mhimu anayehusika na maswala ya IT wa mtandao ambao mhusika huwa anatumia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 05th SEPTEMBER 2024

UTAFITI ULIOKAMILIKA


“CODE” ILIYOKUWA IKITUMIWA NA NAMBA HII 0672-659-141 AMBAYO IMEKUWA IKIM-BIP MHUSIKA MARA KWA MARA TANGU J2 TAREHE 01/09/2024 IMESHAFUNGUKA

MNUNUZI WA GARI (MWG) NDIYE ALIYEHUSIKA TENA


Kwa mara nyingine tena (na possibly ya mwisho), namba hii iliendelea kumbip mhusika siku ya jana Jumatano kuanzia muda wa baada ya saa 11 jioni; baada ya kuwa ametoka ofisini











20240905_112244.jpg
20240905_112253.jpg
20240905_112301.jpg


Attachment zilizopo hao juu zinaonyesha details hizo za siku ya jana

Kwa wakati huo, mhusika alikuwa yupo Gereji; ilikuwa ni baada ya kuwa amegundua hitilafu nyingine tena kwenye gari; hitilafu aliyaoibaini wakati wa asubuhi ya siku hiyo alipokuwa anatoka nyumbani kuelekea ofisni

MHUSIKA ALIENDA GEREJI JANA JUMATANO KWA TATIZO DOGO AMBALO NALO LILILOKUWA NI LA KUTENGENEZWA KWA MAKUSUDI


Hitilafu uiliyompeleka mhusika Gereji jana J5 ilikuwa ni kuyatengeneza pia

  • Kutokana na ukweli na ukweli huo na ukizingatia kuwa ilikuwa ni ndogo ila yenye kero; mhusika aliamua kwenda Gereji majira ya saa 11 baada ya kuwa ametoka ofisini.
  • Kawaida mhusika huwa anakwenda Gereji mapema kama hitilafu ya gari ni kubwa
SIKU AMBAYO HITILAFU HIYO ILITENGENEZWA

Hitilafu hiyo ilitengenezwa siku ya J4 gari ikiwa imepaki mazingira ya ofisini; baada ya mhusika kuwa ametoka kujaza upepo

Baada ya kuwa metoka kujaza upepo siku ya J4, kuna gari kadhaa ngeni zilikuja na kupaki na kujaza eneo lote la sehemu ya parking jirani na alipokuwa amepaki gar lake ofisini, na hivyo kupelekea gari la mhusika kuwa katikati ya magari mengine kadhaa

  • Hapo sasa ulitokea mwanya wa kuweza kufunguliwa nati ya “exhaust pipe” na kupelekea pipe hiyo kuwa inaning’inia hewani kiasi cha kuwa inakwaruza matuta mhusika anapokuwa antemebea barabarani
  • Kawaida kwa sasa; parking zinakuwa almost deserted kwa sababu staff walio wengi wako feild na wengine baadhi yao wamechukua likizo
Kwa hiyo tangu staff walio wengi waondoke mazingira ya ofisini kisehemu cha parking mhusika alipokuwa amepaki gari lake, kwa mara ya kwanza chote kilijaa magari

MKWARUZO WA KWANZA WA “EXHAUST PIPE” KWENYE MATUTA ULITOKEA J4 JIONI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOKA OFISINI


Ikumbukwe kuwa asubuhi J4 mhusika alienda kujaza upepo na kwa muda wote alipokuwa yupo barabaani, alikuwa anayapita matuta pasipo kusikia mkuwaruzo wa aina yoyote ile; isipokuwa mkwaruzo wa kwanza aliusikia siku hiyo hiyo ya J4 alipokuwa anatoka ofisini kurudi nyumbani

Hii inaonyesha kuwa mkwaruzo huo ulitengenezwa gari la mhusika lilipokuwa lipo kwenye parking za ofisini likiwa limezungukwa na magari kadhaa

Baada ya mhusika kuiona hitilafu hiyo ya pili kwa siku hiyo moja tu ya J4; aaliamua kufanya yafuatayo

  • Kupunguza movement za hapa na pale kwenye siku hiyo moja tu ya J4 ambayo asubuhi yake alianzia kwenye upepo, mhusika aliamua kuteonda Gereji siku hiyo ya J4
  • J4 hiyo pia vilevie alikuwa na mpango wa kwenda Benki kuchukua barua yake kwa Branch Manager inayohusiana na hela zake million mbili na nusu; safari hiyo nayo pia aliamua kuifuta
Kama mhusika angeamua kwenda gereji siku hiyo ya J4, basi angfanya hivuo baada ya kuwa ametoka ofisini kwa sababu tatizo aliligundua alipokuwa yupo njiani kuelekea nyumbani

SWALA HILI LA EXHAUST PIPE NA UHUSIANO WAKE NA MTU MWENYE NAMBA 0672-659-141; NAMBA AMBAYO IMEKUWA IKIMBIP MHUSIKA KWA MFULULIZO TANGU J2

Kwa siku ya jana J5, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa namba hii kumbip mhusika muda wa saa 11 jioni; muda ambao hapo kabla haikuwa imewahi kufanya hivyo

Kwenye evidence zote za awakali zilizowekwa humu na mhusika jana, haipo eveidence hata moja kati ya hizo, inayoonyesha kuwa hapo kabla namba hiyo ilikuwa imewahi kumbip mhusika kwenye muda wa saa 11 jioni.

Evidence zote za awali zina muda tofauti na muda wa saa 11

Na kwa sababu jana saa 11 jioni mhusika alikuwa yupo gereji; aliyekuwa anabipu naye alijua pia kuwa mhusika yupo gereji muda huo

KILICHOKUWA KINAPELEKEA NAMBA HII KUWA INAMBIPU MARA KWA MARA MHUSIKA TANGU SIKU YA J2

Namba hii ilikuwa inatengeneza mlolongo wa pattern ya mawasliano kati ya mmiliki wake na mhusika; kwa tukio ambalo lilikuwa limepangwa kutekelezwa na mwenye mawasilano au “ally” wake, jana J5 jioni baada ya mhusika kuwa ametoka Gereji


Ilitarajiwa kuwa baada ya kuwa ametoka gereji jioni, lazima mhusika angesimama maeneo ya Savei kununua chochote; na hapo ndipo mwenye namba hii angeweza kufanya kazi; au mtu mwingine mwenye uhusiano na namba hiyo

  • Kutokana na ukweli kuwa hitilafu ilikuwa ni ya kutengeneza huku ikiwa ni ndogo, a liyeitengeneza mtu huyu alijua kuwa lazima mhusika angeenda Gereji jioni baada ya kuwa ametoka ofisini; na hicho ndicho kilichotokea
  • Kwa hiyo, mtu mwenye namba naye vilr vile alilijua hilo; mapema kabla ya siku husika, na hivyo kuanza maandalizi mapema siku ya J2, akiitazamia siku ya ambayo alijua kuwa ni lazima mhusika ataenda gereji
Na kweli siku hiyo ilitokea na ilikuwa ni jana J5 jioni

…………………………..inaendelea
 
UPDATE: FRIDAY, 05th SEPTEMBER 2024

UTAFITI ULIOKAMILIKA: CODE YA NAMBA YA SIMU 0672-659-141

…………………………..inaendelea


KILE AMBACHO MNUNUZI WA GARI (MWG) AMEKUWA HASA AKIFANYA

MWG amekuwa akirusha pepo kwenye "KEYS ZA LUGHA" na hivyo kufanikiwa kurusha pepo kwenye vyote lugha pamoja na aina zote za keys; yaani physical keys na pia logical keys

ADVANTAGE ALIYOIPATA MHUSIKA KUTOKA KWENYE UTAFITI HUU UNAOHUSIANA NA MWG
Kutokana na utafiti huu, mhusika amefanikiwa ku-decode pia CODE YA MAFURIKO YA MAVI/ MAJI MACHAFU
Taarifa zaidi zinafuata; stay tuned
 
UPDATE: MONDAY, 09th SEPTEMBER 2024
CHANGAMOTO ANAZOZIPITIA MHUSIKA ZINAZOPELEKEA ASIWEZE KUPOST HUMU JUKWAANI WAKATI WA WEEKEND


Umeme umekuwa mdogo nyumbani kwake kiasi cha kupelekea baadhi ya mamboyafuatyo

Kushindwa kuchaji IPAD yake kama ilivyokuwa mwanzo. IPAD inaweza kulala
kwenye chaji na isijae usiku mzima

Anaweza kuitumia IPAD ikiwa ipo connected kwenye chaja, na baada ya muda,
ikazimika kwa kuishiwa chaji ilhali anaitumia ikiwa kwenye chaji

Kwa umeme wa ofisini, IPAD hii inachaji kama kawaida

Mbal na haya yote; umeme huu hauna tena nguvu ya kuweza kuonyesha video
signal kwenye TV , isipokuwa sauti tu tangu Desemba 2023 Vile vile umeme hauna nguvu ya kuwasha radio kubwa except ndogo yenye wattage
kidogo sana

Jiko la umeme linatumia angalau masaa mawili au matatu, kuchemsha maji hadi kufikia kwenye boiling maji ya kiasi cha lita 3-4 Tatizo hili siyo geni lilishawahi kutokea tena hapo kabla ambapo baada ya
kuripoti kwenye mamlaka husika; wahusika walifika na kurekebisha kitu kwenye
transformer iliyo karibu na block jirani

Kwa hiyo shida kubwa sana siyo umeme isispokuwa muda ambao mamlaka zinaweza kuamua kuja kushughulika na tatizo hilo

TAYARI maharaja HIZO alishaxijulisha KUHUSIANA NA TATIZO hili

UP NEXT
• Kuziba ghafula kwa na namna ya pekee sana kwa bafu na choo cha
mhusika ndani ya wiki hii kuanzia J5 ya tarehe 04/09/2023; na ambako kulikuwa
hakujawahi kutokea kwenye miaka yote ya nyuma tangu mhusika aanze kushi
kwenye nyumba husika
• Mnunuzi wa Gari (….inaendelea)
•Yale ya muhimu yaliyojiri Kanisani jana J2 ya tarehe 08/09/2023
 
Back
Top Bottom