#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Kwa mtu ambaye amesoma na kuyaelewa kwa makini maelezo hayo hapo juu, hatasita kukubaliana na mhusika kuwa naonekana kama kuna haja ya swala la maji yaliyoonekana yakibubujika kwenye sakafu ya jengo jipya huko Moshi, kuangaliwa kwa jicho jingine jipya
 
UPDATE: FRIDAY 31 JULY 2020

ANGALIZO LA MUHIMU SANA KUHUSIANA NA MWENENDO WA SASA WA “SENIOR MSTAAFU WA KIUME”

Huyu ni yule ambaye ni ndugu wa karibu sana na Mr Y

  • Anaonekana kama kwa sasa hayuko kawaida kisaikolojia, na ameshaanza kuonyesha dalili za paniki ambayo inaweza ikapelekea akafanya chochote kile ambacho kichwani kwake anaona kuwa kinafaa
  • Mhusika anashauri kama inawezekana, mamlaka husika ofisini kwake zishauriwe kum-exempt kwa muda na majukumu ya kiofisi, ili aache kwa muda kuonekana katkia mazingira ya ofisini
  • Hata hivyo, iwapo mamlaka hizo zitaridhia na ushauri wa huu wa kumpumzisha na majukumu ya kiofisi kwa muda, bado mhusika anashauri mamlaka hizo zijiridhishe zenyewe kwanza kuona kama madai haya ya mhusika juu ya mtu huyu Senior Mstaafu, yanazo dalili za ukweli ama la
  • Zaidi mhusika anashauri baada ya hapo, mtu huyu afanyiwe psychological counseling, iwapo tu ataoneka kuwa kweli anastahili kupata msaada huo wa awali
  • Tofauti na hivyo basi labda mhusika mwenyewe ndiyo inabidi afanyiwe conselling ya kukosa saikoloji a ya kuwaoma vizuri watu wengine kisaikolojia
Mhusika anashauri haya baada ya kuona tukio hivi karibuni ambalo details zake hawezi kuzi-disclose sana humu jukwaani

  • Tukio hilo liliionekana kuwa lilikuwa linked moja kwa moja na Mr Y, Mkuu wa Idara pamoja na yeye mwenyewe Senior Mstaafu(SM)
  • Possibly master planner wa tukio alikuwa SM au yeye pamoja na Mr Y
Ilikuwa ni siku ya tarehe 12 July 2020, siku ya kupitishwa mgombea Urais kwa ticket ya CCM, SMZ.

Kawaida matukio makubwa kama haya, watu huwa wanayasikiliza kupitia kwenye laptop zao wakiwa maofisini mwao, huku wakiendelea kufanya kazi zao zingine

Siku hiyo hali ilikuwa tofauti. Mtandao wa Komputa ulikatika jengo zima kwa sababu ambazo hazikuweza kujulikana, hali iliyopelekea baadhi ya watu akiwemo mhusika, kukusanyika kwenye chumba cha chai, kwa ajili ya kusikiliza matangazo hayo kwa njia ya Televisheni

Mtanadao ulikatika gharla siku hiyo, baada ya kuwa haujawahi kufanya hivyo kwa takriban miezi kadhaa. Kwa ujumla, tangu kuingia kwa Corona mwezi wa tatu mwishpni, mhusika hakumbuki kama kuna siku ambayo mtandao huo uliwahi kukatika, ukiondoa siku hiyo

Details muhimu sana za tukio hili mhusika anazihifadhi


MwiH
elly obedy
 
UPDATE: SATRYRDAY 01 AUGUST 2020



MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA TUKIO LA MSIBA WA BABA MLEZI LILLOWAHI KUMPATA MHUSIKA KIPINDI CHA NYUMA SEPTEMBA 2006


  • Kabla Baba Mlezi wa mhusika hajafariki, alitangulia kufariki kwanza, Kaka yake na Baba Mlezi huyo au kwa maana nyingine, Baba Mkubwa wa mhusika
  • Walifuatana kwa kuzaliwa, baba mmoja, mama mmoja
  • Walipishana kwa muda wa takribani mwezi mmoja
  • Alianza akafariki Baba mkubwa, halafu baadaye mlezi akafuatia
  • Baba mkubwa alipofariki, mhusika alijulishwa kuwa hakuwa na haki kisheria, ya kupata ruhusa ya kwenda kuhani msiba huo, hivyo hakufanikiwa kwenda kuhani msiba huo
  • Alijulishwa kuwa ni Baba mlezi tu nambaye ana haki naye kisheria, na hapo ndipo aliposhauriwa aweze ku-update taarifa za warithi wake kwenye file lake
  • Kwa hiyo mhusika ilibidi aonane na mamlaka husika na alipewa fomu husika na kujaza tararifa hizo kwa kalamu ya mkono
Mpaka hapa tunaona wazi kabisa kuwa, mhusika alijaza fomu ya ku-update taarifa za wariithi wake:

  • BAADA ya Baba yake mkubwa kufariki, na KABLA ya Baba yake mlezi kufariki
  • WAWILI HAO WALIFARIKI KWA KUPISHANA TAKRIBANI MWEZI MMOJA
  • Watu wawili wenye uhusiano na mhusika walipoteza maisha ndani ya kipindi cha muda mfupi sana
  • Mhusika alijaza taarifa za ku-update warithi wake kwa kutumia kalamu ya mkono


TUKIRUDI SASA TENA KWENYE TUKIO LA WIKI HII LA MSIBA WA MDOGO WAKE NA MHUSIKA:

Tunaona vile vile kuwa, mhusika amerudia tena zoezi la ku-update taarifa za wariithi wake: katika mazingira ambayo:

  • Ni BAADA ya Baba mzazi wa Mkuu wa Idara kuwa amefariki, na KABLA ya mdogo wake na mhuiska kufariki
  • WAWILI HAWA WAMEFARIKI KWA KUPISHANA TAKRIBANI MWEZI MMOJA
  • Watu wawili wenye uhusiano na mhusika wamepoteza maisha ndani ya kipindi cha muda mfupi sana, mmoja akiwa ni ndugu na mwingine jamaa wa karibu sana
  • Mhusika amerudia tena zoezi la ku-update taarifa za warithi wake na kwa kutumia kalamu ya mkono
MAELEZO MENGINE YA NYONGEZA

JUMAPILI ZA PEKEE AMBAZO MATUKIO YASIYOKUWA MAZURI HUWA YANAMPATA MHUSIKA

Asilimia Tisini na Tisa (99%) ya matukio huwa yanampata siku hiyo hiyo ya J2 pindi anapokuwa bado yupo Kanisani, au muda mfupi tu baada ya kuwa ametoka Kanisani, au siku inayofuata yaani J3 inayofuatana na J2 hiyo



SIFA ZA J2 AMBAZO HUWA ZINAONYESHA VIASHIRIA KUWA MHUSIKA ATAPATWA NA TUKIO J2 HIYO AU J3 KESHO YAKE

Mara nyingi (si mara zote, tuchukulie labda kama asilimia 90% hivi) huwa ni J2 ambazo:

  • Wiki hiyo ndani ya siku za wiki, kulikuwa na maombi ya angalau siku 2 au zaidi au hata wiki nzima
  • Wiki hiyo ndani ya siku za wiki, kulikuwa na maombi ya siku 2 pamoja na Semina ya siku tatu (3)
  • Watoto maarufu na ambao ni rafiki zake na mhusika, hasa wale ambao wameshaonyesha rekodi na kiwango kikubwa sana cha kutumiwa na Roho Mtakatifu katika kumwonyesha mhusika mambo makubwa na ya maana sana, huwa aidha hawapo kabisa kanisani J2 hiyo au wapo ila wanakuwa katika sehemu ambayo si rahisi sana kwa mhusika kuweza kupata nafasi ya kuonana nao
  • Kwa hiyo watoto hawa wanakuwa aidha hawapo kabisa kanisani, au wapo ila hawapatikani
  • Mhuubiri wa J2 husika huwa anakuwa AIDHA:
  • Si mwenyeji kwenye madhabahu hiyo, possibly mgeni kutoka nje ya kanisa AU:
  • Ni mwenyeji ila ambaye hana mamlaka yoyote makubwa kanisani hapo. Na kama tuseme labda ni mchungaji, basi wanakuwa ni hawa wachungaji vijana ambao wameanza kuchunga hivi karibuni
Hii huwa inafanyika hivi kwa lengo moja tu la kuwaepusha maveterani (akiwemo Kiongozi Mkuu), na maswali ya wao kujibu iwapo kama J3 inaayofuatana na J2 husika, kunaweza kukawa na tukio la ajabu kwa mtu ambaye jana yake tu alionekana yupo Kanisani kwenye Ibada.

Ni kwa sababu katika hali hiyo, lazima tu baadhi ya watu watajiuliza maswali, “HIVI JANA J2 NANI ALISIMAMA KWENYE MADHABAHU KUHUBIRI?”



Zaidi ni kuwa wa mdogo wake na mhusika ameaga dunia usiku wa J3 kuamkia j4, na possibly inaweza ikawa ilikuwa ni J3 usiku kabla ya J4 kuingia



MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA MATETEMEKO YA ARDHI ALIYOWAHI KUYAONGELEA MHUSIKA HUKO NYUMA

Assuming hayakuwa coincidental na kwamba yalipangwa au kutengenezwa, kwa mtizamo wa mhusika, yeye anaona ni wazi kabisa kuwa:

  • Mtu pekee ambaye angeweza kuepusha matukio hayo alikuwa ni mama ambaye alikuwa amejivika sura ya u-mama wa kiroho kwa mhusika, wakati kumbe alikuwa ni adui
  • Metemeko haya ni yale ambayo yametokea kuanzia mwaka 2012 na kuendelea, likiwemo lile lililowahi kutikisa majengo marefu hapa Dar es Salaam na kusababisha taharuki kubwa jijini Dar es Salaam
  • Mama huyu alichokuwa anafanya na ambacho amekuwa akifanya kwa kipindi kirefu kabla sura yake halisi haijajidhihirsha vizuri kwa mhusika, ni ku-corrupt uelewa wa mambo wa mhusika, kwa sababu kiuhalisia, amekuwa akijipambanua kuwa vile ambavyo hayuko
Mama huyu kama kweli angeweza kusimama kama mama wa kiroho wa mhusika, kuna matukio ambayo yangeweza kuzuilika, assuming kweli hayakuwa natural!



UCHAMBUZI WA NYONGEZA KUHUSIANA NA MGOGORO WA SANITIZER ULIOTOKEA KANIASANI MWEZI APRIL MWAKA HUU

Taarifa hizi zinahusiana na tukio lile ambalo mhusika alipokelewa na askari nje ya Gate la Kanisa, muda wa saa 12 asubuhi, na kuombwa kunawishwa Sanitizer kwanza, kabla hajaingiza gari alke ndani ya gate la kanisa.

Mpaka muda huu, inaonyesha KAMA:

  • Maombi ya nyumbani aliyokuwa ameyafanya mhusika asubuhi ya J2 hiyo kabla hajaelekea Kanisani, yalikuwa yamefukuza na kuzuia kabisa uwepo wa pepo yeyote yule ndani ya nyumba hiyo ya Ibada
  • Maombi hayo yalikuwa yamezuia pia mtu yeyote yule kuingiza pepo ndani ya nyumba hiyo ya Ibada
  • Kwa sababu maombi yenye mamlaka ya kuzuia mambo hayo mawili aliyoyataja hapo juu alikuwa ameyafanya yeye, mhusika kuna uwezekano kuwa yeye mwenyewe pia alitakiwa kuziba loophole ya yeye mwenyewe kutumiwa na watu wengine kuingiza pepo ndani ya numba hiyo ya ibada
  • Kwamba hata yeye mwenyewe naye pia alitakiwa awe amejiwekea kinga ya kiroho ya kutoweza kutumiwa na watu wengine, kuingiza pepo ndani ya nyumba hiyo ya Ibada kwa namna yeyote ile
  • Loophole hii ilitokana na uchanga wake katika mambo haya ya kiroho, wakati mahasimu wake wenyewe wana utaalamu wa hali ya juu mno
  • Mahasimu wake baada ya kugundua loophole hiyo, wakaamu kuitumia kisawasawa
  • Kutokana na hali iliyoelezwa hapo juu, possibility pekee iliyokuwa imebaki kwa mahasimu wake hawa ni ile ya kuhakikisha kuwa kunakuwa na pepo pale Kanisani, kwa kumtumia yeye mwenyewe kumuingiza pepo huyo ndani ya nyumba hiyo ya Ibada:
  • Possibility pekee ilikuwa sasa ni ile ya kumuwahi pindi akiwa bado yupo nje ya gate, kwa sababu inaonyesha kama rule ilikuwa ni kwamba lazima aiingie ndani akiwa ameshanawishwa Sanitizer.
Mambo haya yote aliyoyaeleza hapa juu yanakuwa supported na mambo mengine maambata kadhaa kama ifuatavyo:

  • J2 ile ambayo alibahatika kufika Kanisani asubuhi na kukuta feni za madhabahuni zinatembea na hapakuwa na mtu, alilazimika kwenda kuzima feni hizo. Kwa hiyo siku hiyo alitakiwa aguse swich, na baada ya hapo watu wengine pia walikuja kugusa switch hiyo.
  • Hata hivyo siku hii yenyewe alinawishwa sanitizer akiwa tayari ameshaingia ndani ya gate
  • J2 iliyofuata (ya mgogoro wa sanitize)r, baada ya kuwa ameingia ndani na kugoma kunawishwa na ikapelekea kupewa kitisho kwa kutumia mamlaka na hatimaye ikabidi akubali, baada ya kunawishwa alienda moja kwa moja na akanawa tena kwa maji na sabuni kwenye bomba lililoko men’s room
  • Baada ya kufanya hivyo, muda kitambo baadaye tena aligongana na mnunuzi wa sanitizer maeneo hayo hayo naye akiwa ananawa kwenye bomba hilo alilolitumia yeye muda kitambo huko nyuma
Labda tu kitu cha pekee ambacho mhusika bado hajaweza kukielewa vizuri hapa ni kile kiendo cha mnunuzi wa sanitizer kusubiria mpaka kipindi mhusika yuko maeneo hayo, halafu ndiyo akatumia bomba hilo; kwa sababu katika hali ya kawaida, mtu huyo angeweza kulitumia bomba hilo muda mwingine wowote ule na bila ya mhusika kuwepo au kuwa anashuhudia



MUBARKIWE TENA NA BWANA​







MwiH
elly obedy
 
UPDATE: SATRYRDAY 01 AUGUST 2020
  • Wiki hiyo ndani ya siku za wiki, kulikuwa na maombi ya angalau siku 2 au zaidi au hata wiki nzima
  • Wiki hiyo ndani ya siku za wiki, kulikuwa na maombi ya siku 2 pamoja na Semina ya siku tatu (3)

Angalizo:
Semina ambazo huwa zinaendeshwa hata iwe ni kwa wiki nzima pasipo kuambatana na maombi, mara chache sana zinakuwa na uhusiano na kilichoandikwa kwenye habari hii hapo juu. Hii inamaanisha kuwa MARA NYINGI SANA matatizo huwa yanatokea pale tu ambapo program husika inapokuwa imetanguliwa na maombi kwanza!

MwiH
elly obedy
 
Mhusika anazidi kuwakumbusha wasomaji wa taarifa hizi kuwa wakati anatakiwa ku-update taarifa za warithi wake, aliwasilisha jina, anwani ya makazi (physical address) na namba ya simu ya mrithi wake pekee kwa sasa, ambaye ni mama yake mzazi
 
UPDATE: MONDAY 03 AUGUST 2020

MAELEZO MAFUPI YA NYONGEZA KUHUSIANA NA TUKIO LA MISIBA MIWILI YA MWAKA 2006

Kwa kifupi, misiba hii nayo pia ilitanguliwa na msiba wa mototo mchanga aliyezaliwa Julai 2006 akiwa na tatizo la moyo.

Mtoto huyu:

  • Alikuwa ni mtoto wa ndugu yake wa karibu sana na mhusika
  • Alilazimika kupewa referral kutoka Mwanza (Dr. Mujuni Kataraiya) na kuja Dar es Salaam (Dr. Rwakatare) kwa sababu kipindi hicho Dr, Rwakatare ndiye pekee alikuwa na kifaa cha kupima watoto wenye tatizo hilo kwa hapa nchini
  • Alifikia nyumbani kwa mhusika, akiwa na mama yake mzazi
Akiwa anaendelea na vipimo pamoja na matibabu kutoka kwa Dr Rwakatare, baada ya siku si nyingi, mama mzazi wa motto alitoa ushauri wa mtoto huyo kupelekwa Kanisani kwa ajli ya maombezi

  • Mhusika alikubaliana na wazo hilo na kushauri mtoto huyo wampeleke kKanisani wa Askofu Mkuu Zacharia Kakobe
  • Ni kwa sababu kipindi hicho Askofu huyu alikuwa anarusha matangazo LIVE na watu wengi sana walikuwa wanaonekana kwenye TV wakishuhudia uponyaji wa Mungu kutokea Kanisani kwake
Hata hivyo mhusika aliamua kuwashirikisha pia majirani ambao walikuwepo maeneo hayo na ambao walikuwa wanasali Kanisa A, (ndipo ambapo mhusika anabudu kwa sasa)

  • Kipindi hicho mhusika yeye alikuwa bado hajawa muumini wa dhehebu hilo, na alikuwa ameshaanguka, ila alikuwa midway between Christianity na Paganism
  • Aliamua kuwashirikisha kwa sababu waumini hao, baadhi yao walikuwa tayari wameshakuwa msaada wa kiroho kwa mtoto tangu siku anawasili nyumnbani kwa mhusika
  • Mhusika aliamua kuwaona majirani jBlock la jirani, ambalo lenyewe lilikuwa na watu watatu waliokuwa wanaabudu Kanida A
  • Vile vile, Block analoishi mhusika nalo pia lilikuwa na familia mbili zilizokuwa zinaabudu Kanisa A
  • Block jingine tena la tatu lilikuwa na familia moja ambayo ilikuwa inaabudu Kanisa A, na ambayo hadi hivi leo, ipo na inaendelea kuabudu kwenye Kanisa hilo
  • Familia hii ambayo bado ipo mpaka leo, ndiyo ile ya mama huyu ambaye hapo awali, mhuiska alimwelezea kama mama ambaye amekuwa akijipambanua kamai mama wa kiroho (hii ni kwa kipindi cha baadaye au cha hivi karibuni na siyo kwa wakati huo kwa sababu kipindi hicho mhusika alikuwa bado hajawa muumin wa Kanisa hilo) wa mhusika, lakini kumbe ndani rohoni, mama huyu hakuwa hivyo
Mhusika baada ya kwenda kuwaona waumini hao (watatu) waliokuwa wakiishi kwenye block mojawapo jirani naye na ambao walikuwa ni familia mbili (mme, mke, na dada wa mke mtu)

  • Baba wa familia hizo familia alishauri mtoto asipelekwe kwa Askofu Mkuu Zachria Kakobe, bali apelekwe Kanisa A, wanapoabudu wao (kanisa linaloongozwa na mtu ambaye mhusika anamtaja kama Kiongozi Mkuu
  • Siku mhusika na mama mwenye mtoto wanashauriiana kumpeleka mtoto kwenye maombezi, ilikuwa ilikuwa ni Jumamosi, na kesho yake ilipofika waumini majirani wanaoabudu Kanisa A walimchukua mama na mtoto na kueleleka Kanisa A, sawa na ushauri wa baba jirani muumini wa Kanisa hilo, na ambaye alikuwa pia ni Mzee wa Kanisa, Kanisani hapo
  • Mhusika yeye hakwenda Kanisani siku hiyo, haikuwa kawaida yake kipindi hicho
  • Hawa majirani waliotoa msaada wa kupeleka mtoto kwenye maombi, kwa sasa nadhani wanaabudu Changanyikeni, walibadilisha makazi na hivyo ikawa siyo convenient tena kwa wao kuendelea kuhudhuria Ibada za Kanisa A
  • Vile vile walishabadilisha makazi baada ya kuwa wamestaafu utmishi wa Umma. Kwa hiyo, kwa sasa si majirani zake tena na mhusika
Huyu mtoto alienda akafanyiwa maombii Kanisani hapo lakini kwa bahati mbaya alikuja akapoteza maisha, siku kadhaa mbele akiwa njiani safarini kutokea Dar es salaam kurudi Mwanza

Baada ya hapo siku kadhaa mbele yake ndiyo tena wazee wawili ambao ni Baba Mkubwa na Baba Mlezi wa mhusika, nao wakatangulia mbele ya haki kwa kupishana umbali wa takribani mwezi mmoja tu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

MwiH
elly obedy
 
UPDATE-2: MONDAY 03 AUGUST 2020

UJANJA WA KUTUMIA SECRET CODE YENYE UHUSIANO NA MAANDIKO MATAKATIFU ANAYOSOMA MLENGWA/ MSHAMBULIWA

“SECRET CODE BY INTERCEPTION OF THE HOLY SCRIPTURES”


Mhusika pasipo kuwachosha sana wasomaji, anawaomba wapitie kidogo tu mpangilio wa mafungu ya maandiko matakatifu ya Biblia yaliyoonyesjha hapa chini kwenye habari hii

  • Anachotaka mhusika wasomaji wafuatilie katika maelezo haya ni ule mpangilio tu wa mafungu ya Biblia wa kila Kitabu ulivyokaa, na si kwamba mtu inabidi ayasome mafungu hayo kwenye bBiblia, hapana
  • Ni zoezi linalomhitaji mtu awe anajua kusoma na kuandika tu zikiwemo namba au tarakimu, na si lazima awe mtu ambaye ni mkristo au mtu aliyebobea kwenye maandiko matakatifu ya Biblia, hapana


Tuchukulie kwa mfano mafungu haya hapa chini ambayo yametoka kwenye Kitabu cha Zaburi

Zaburi 118: 5-7; 13

Zaburi 118: 1-4

Zaburi 118: 8-12

Zaburi 118: 14-29

Msomaji akiyaangalia kwa umakini, atagundua kuwa mafungu ya juu yaliyopigiwa mstari, yamezingirwa na mafungu yaliyoko chini yake ambayo hayajapigiwa mstari.

Hii ni kama kusema kwamba mafungu ya Zaburi 118: 5-7; 13 yamezingirwa na mafungu mengine ya Kitabu cha Zaburi hiyo hiyo ya 118 kama ifuatavyo:

  • Zaburi 118: 5-7 ni mafungu ambayo yamezingirwa na mafungu ya Zaburi 118: 1-4 na Zaburi 118:8-12, yaani juu ya mafungu hayo kuna Zaburi 118: 1-4 (au fungu moja la Zaburi 118:4) na chini yake kuna mafungu ya Zaburi 118:8-12 ukiondoa fungu la 13
  • Vile vile Zaburi 118: 13, chini yake kuna mafungu ya Zaburi 118: 14-29 (au fungu moja la Zaburi 118:14)
Haya mafungu ukiyaunganisha kwa pamoja, yanatengeneza mfululizo au mwendelezo wa mafungu Zaburi 118:1-14 kwa ufupi au Zaburi 118:1-29 kwa urefu, pasipo fungu lolote la Zaburi 118: 5-7; 13 kuwa limekosekana kwenye mzingo husika.

Hii inamaanisha kuwa mafungu yote ya Zaburi 118: 5-7; 13 yamo ndani ya mzingo huo wa Zaburi 118:1-14 au Zaburi 118:1-29

Mpaka hapa sasa mhusika anaomba atoe ufunguo ufuatao, kwamba:

  • Mafungu yote yatakayoonekana kwenye kila fungu husika hapa chini yakiwa yamepigiwa mstari, ni mafungu ambayo mhusika alikuwa ameyahifadhi (au kuya-BOOKMARK) kwenye Biblia ya kwenye smartphone yake, kabla hajakutana na mtumishi wa Mungu
  • Biblia aliyotumia mhusika inajulikana kama SWAHILI BIBLE OFFLINE
  • Ni Bibllia ya kwenye simu ambayo ina feature hiyo ya kuhifadhi mafungu kwa mtindo huo
  • Mafungu yanapohifadhiwa, maandishi yake yanaendelea kuwa yanafanana na ya Biblia yenyewe, ila kichwa cha fungu kinakuwa kwenye rangi ya blue, kikiwa chini ya fungu hilo na kimepigiwa mstari
  • Yaani tuseme mtu akifadhi fungu la Mathay0 23:24 linalosomeka “Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia”. Tuchukulie mfano sasa fungu hili hapa juu likihifadhiwa litaonekana kama ifuatavyo:

  • "Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia"
  • Mathayo 23:24
ANACHOTAKA SASA MHUSIKA KUWAELEZA WASOMAJI KUHUSIANA NA MAELEZO HAYO HAPO JUU

Ni kwamba wakati fulani mwaka 2018 (nadhani ilikuwa Julai au August 2018), mhusika akiwa Kanisani kwake (Kanisa A), J2 moja Kiongozi Mkuu akasimama madhabahuni na kumkaribisha mtumishi wa Mungu ambaye alikuwa ni mgeni mahali pale, kwa ajili ya huduma ya Ibada ya siku hiyo.

  • Mtumishi huyo alivyokaribishwa, alijitambulisha jina na mambo mengine kadha wa kadha
  • Baada ya hapo aliuliza swali kwa waumini wote akisema “wangapi wananifahamu’?
  • Baadhi ya waumini walinyosha mikono kuonyesha kuwa wanamfahamu, mmoja wao alikuwa ni mhusika
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona mtumishi huyu akiwa Kanisa A, lakini ilikuwa ni ya pili kwa mhusika kupokea huduma kutoka kwa mtumishi huyo, kwani mara ya kwanza aliwahi kukutana naye wakati akiwa uhamishoni Kanisa B
  • Huko ndiyo aliwahi kumuona na kupokea huduma kutoka kwa mtumishi huyo kwa mara ya kwanza
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika, kuona mtumishi anasimama madhabahuni na kutoa namba yake ya simu kwa waumini wote, akikaribisha wahitaji. Huu ni moyo wa kiepekee sana wa utumishi
Mtumishi huyu baadaye alisimama madhabahuni na kutoa huduma ya baraka sana, na alipokuwa anahitimisha, alitoa namba yake ya simu kwa waumini wote, iwapo kungekuwa na yeyote baada ya hapo, ambaye angeweza kuhitaji msaada kutoka kwake.

Mhusika naye alichukua namba ya mtumishi huyo kwa sababu kulikuwa na mambo mengi tu na ya msingi ambayo yalikuwa yanamtatiza na alipensa sana kuyajua, ila alikuwa na uhakika kabisa kuwa Kiongozi Mkuu na kundi lake wasingeweza kumsaidia. Uhakika huo alikuwa nao kwa sababu karibia yote yaliyokuwa yanamtatiza, ni mambo ya msingi na ambayo mhusika alitakiwa awe ameyafundishwa kipindi akiwa kwenye darasa la waongofu wapya, lakini haikuwahi kufanyika. Hivyo, hadi inafikia kipindi hiki cha ujio wa mtumishi huyu, mhusika alikuwa tayari ameshajua sababu ya kwa nini mambo hayo ambayo alistahili kufundishwa, hakufundishwa, wakati mmojawapo wa walimu waliohusika na kufundisha darasa hilo, alikuwa ni Kiongozi Mkuu mwenyewe



RARE COINCIDENCE ALIYOIGUNDUA KWENYE MAFUNGU YA BIBLIA ALIYOPEWA NA MTUMISHI HUYO, BAADA YA MHUSIKA KUMKARIBISHA MTUMISHI HUYO NYUMBANI KWAKE

  • Zilipita siku kdhaa tokea J2 ya huduma ya mtumishi huyu, ndipo mhusika alipoamua kumpigia mtumishi huyu ili kupata msaada wake
  • Ilikuwa ni ndani ya wiki iliyofuata baada ya J2 husika ambayo mtumishi alitoa huduma Kanisa A
  • Mhusika alifanikiwa kumkaribisha mtumishi huyu nyumbani kwake na alifika kwa ajili ya huduma iliyokuwa inahitajika
  • Maelezo ya kina namna mtumishi huyu alivyofanikiwa kufika nyumnbani kwa mhusika na kutoa huduma, mhusika atayatoa kwenye sehemu itakayofuata
  • Mtumishi baada ya huduma, alimpatia mhusika mafungu kwa ajili ya Ibada za mbele au maombi ambayo mojawapo ya mafungu hayo ilikuwa ni Zaburi 118: 5-7; 13
Na kwa sababu mhusika alikuwa ameshajijengea tabia ya kuhifadhi baadhi ya mafungu, au kuya-bookmark, safari hii tena aliamua kufanya hivyo, ila haikuwa ndani ya siku hiyo hiyo ambayo mtumishi alifika nyumbani kwake. Nadhani ilipita angalau wiki akiwa ameyaandika kama text kwenye simu yake, na ndipo baadaye sasa alipoamua kuya-bookmark siku moja akiwa ofisini.

Hata hivyo, kabla hajaya-bookmark, aliamuoa kujirdihisha kwanza kama hajawahi ku-bookmark mafungu kama hayo kabla. Kwa hiyo alichofanya ni kuangalia mafungu husika, tuseme kama yanatoka labda kitabu cha Zaburi, alikuwa anaenda kwenye bookmarks na kuanza ku-scroll mpaka pale zilipo bookmark za kitabu hicho, kuona kama alishawahi kuweka mojawapo ya mafungu aliyopewa na mtumishi huyo ama la. Kwa kuanzia, alianza na hilo la Zaburi 118: 5-7; 13 ambalo ndiyo lilikuwa la kwanza kwenye list aliyokuwa ametajiwa na mtumishi.

Mhusika alipojaribu kuangalia Bookmarks zake alizotengeneza mwenyewe kutoka kwenye kitabu cha Zaburi, aligundua kuwa mafungu hayo hajawahi kuya-bookmark, isipokuwa alikuwa na bookmarks zifuatazo kwenye sura hiyo ya Zaburi: Zaburi 118: 1-4; Zaburi 118: 8-12; Zaburi 118: 14-29

Alipoangalia vizuri akagundua tena kuwa mtumishi alimpa mafungu ambayo akiyaunganisha na ya kwake, yanatengeneza mwendelezo na kutengeneza mfululizo wa mafungu ya Zaburi 118: 1-29 bila kuruka fungu lolote, kiasi kwamba mafungu yale yote ambayo alikuwa ameyaruka kwenye sura hiyo ya Zaburi, ndiyo yale aliyopewa na mtumishi wa Mungu huyo

Mafungu mengine aliyopewa ni kama yanavyoonekana hapa chini. Yale yaliyo juu yakiwa yamepigiwa mistari, ndiyo aliyopewa na mtumishi wa Mungu, na yalio chini yake ndiyo yalikuwemo kwenye bookmarks za Biblia yake

Kumbuka kuwa:

  • Bookmarks hizo mhusika alikuwa amezitengeneza siku nyingi kabla ya siku ya mtumishi kuja kuhudumu Kanisa A
  • Baada ya mhusika kugundua hilo, akaanza tena kufuatilia mafungu aliyokuwa akitumia Kiongozi Mkuu wakati wa Ibada, na ndipo alipogundua kuwa kulikuwa na mchezo unafanyika
  • Akagundua kuwa Kiongozi Mkuu aliwahi kutumia mtindo huo huo kabla wakati anafundisha kwa kipindi kirefu sana some lenye kichwa SISI NI WATU WA NENO, somo ambalo alifundisha kwa mfululizo na kwa kipindi kirefu sana cha takribani zaidi ya miezi mitatau
  • Vile vile wakati huo, alikuwa anafundisha somo lenye kichwa UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU, ambalo alifundisha kwa takribani wiki mbili au zaidi ya hapo
  • Ushahidi wa mafungu haya upo kwa kila somo tajwa hapo juu
Tukiwa tunaishia hapa kwa leo, msomaji unaombwa uyaangalie mafungu mengine yailyotolewa na mtumishi wa Mungu kwa mhusika, ukilinganisha nay yale yaliyo chini yake ambayo ndiyo mhusika alikutwa tayari anayo kwenye bookmarks zake



Mafungu yote yaliyopigiwa mstari ni kutoka kwa mtumishi wa Mungu na yaliyo chini yake ni kutoka kwenye bookmarks za mhusika.

Baadhi ya mafungu haya hapa chini, yana utofauti kidogo na kile nilichoeleza hapo juu kwa maana kuwa hayatengenezi ule mfululizo wa sura nzima. Maelezo ya kina ya mafungu haya yatafuata baadaye ila ukianglia vizuri ni kwamba katika kila set ya mafungu, mara nyingi kama siyo zote, mafungu kutoka kwenye bookmarks za mhusika yanakuwa yamezingira mafungu yale yaliyotolewa na mtumishi wa Mungu kwa mhusika



Zaburi 118: 5-7; 13

Zaburi 118: 1-4

Zaburi 118: 8-12

Zaburi 118: 14-29



Zaburi 121: 1-9

Zaburi 121: 1-8



Yeremia 23:29


Yeremia 23:23

Yeremia 29:7



Waebrania 10:38


Waebrania 10:31

Waebrania 12:1





Yakobo 4:5-6


Yakobo 4:1-3

Yakobo 4:7-8



Warumi 10:17


Warumi 10:9

Warumi 11:33



UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU

SUNDAY 1



Mathayo 23:23


Mathayo 19:14

Mathayo 23:24



2Wakorintho 5:14


2Wakorintho 5:15

2Wakorintho 5:17



1Yohana 4:16


2Petro 1;16

1Yohana 4:17



Yohana 7:37; 8:46; 10:30

Yohana 5:29

Yohana 8:32

Yohana 10:10

Yohana 11:21-27



Luka 18:12



Mambo ya Walawi 27: 30-32



Mathayo 5:17


Malaki 4:6

Mathayo 6:21



1Wakorintho 16:1

1Wakorintho 15:50

2Wakorintho 3:2



Malaki 3:10


Zakaria 9:9

Malaki 4:2-6



Waebrania 7:1-9


Waebrania 6:8

Waebrania 10:24





SUNDAY 2 (Haya yanahusiana na somo la UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU, LA KIONGOZI MKUU)

Yohana 14:15


Yohana 11:27

Yohana 14:17

……………………………………………………………………………



YATAENDELEA. MBARIKIWE TENA NA BWANA


MwiH
elly obedy
 
Unaona vingi sana lakini inabidi uandike vichache sana, ambavyo kawaida ndiyo vinakuwa na ushahidi
 
UPDATE: TUESDAY, 04 AUGUST 2020



UJANJA WA KUTUMIA SECRET CODE YENYE UHUSIANO NA MAANDIKO MATAKATIFU ANAYOSOMA MLENGWA/ MSHAMBULIWA

“SECRET CODE BY INTERCEPTION OF THE HOLY SCRIPTURES”




Inaendelea………………………..



Kabla hatujaendelea mbele, tuangalie kidogo swala kuhusiana na Bookmarks alizokuwa ametengeneza mhusika. Ni kwamba bookmarks hizi zilikuwa na tabia ya kujipanga kulingana na mpangilio wa Vitabu husika vinakotoka, ndani ya kitabu cha Maandiko Matakatifu yenyewe, yaani Biblia. Kwa walio wakristo, wanajua fika kabisa kuwa Biblia inaanza na Kitabu cha Mwanzo, na kumalizia na cha Ufunuo, na katikati yake baadhi ya vitabu vyake ni kama vile Malaki na Mathayo. Kwa hiyo tuseme uki-bookmark mafungu kutoka kwenye vitabu hivi vine vilivytajwa hapa, bila kujali ulianza ku-bookmark fungu kutoka kwenye kitabu kipi na lini, bookmarks hizo lazima nazo zitajipanga kwa kufuata mpangilio wa namna ile ile ambayo vitabu vyake vimepangana ndani ya Biblia. Kwa mfano uki-bookmark mafungu kutoka kwenye vitabu hivi vine vilivyotajwa hapa juu, na tuseme labda ulianza na bookmark ya kutoka kwenye kitabu cha Mathayo juzi halafu leo ukamalizia na bookmark kutoka kitabu cha Mwanzo, bookmarks hizo lazima zitajipanga kwa kufuata mpangilo wa vitabu namna ulivyoo ndani ya Biblia ambao ni:

Mwanzo-------Malaki----Mathayo----Ufunuo

Na si kwa kufuata muda au siku ambayo fungu husika uliliweka kwenye bookmark

Tukirudi sasa tena kwenye mafungu yetu yale ya kutoka kitabu cha Zaburi 118 ambayo mhusika alipewa na mtumishi wa Mungu, tunaona kuwa kwenye sura hii, mhusika:

  • Alikuwa na mafungu ya 1-4
  • hakuwa na mafungu ya 5-7; mafungu haya aliongezewa na mtumishi wa Mungu
  • Alikuwa na mafungu ya 8-12
  • hakuwa na fungu la 13; fungu hili nalo pia aliongezewa na mtumishi wa Mungu
  • Alikuwa na mafungu ya 14-29
Kwa hiyo alipewa mafungu ya 5-7 na la 13 ili kutengeneza mwendelezo wa mafungu kuanzia la 1-29 ili atakapokuwa anasoma kupitia bookmarks hizo, ijulikane kuwa anasoma Zaburi 118 sura yote!

Motive ya waliotengeneza mkakati huu ilikuwa ni kuhakikisha kuwa wana ufahamu wa angalau baadhi (kama si yote) ya mafungu ambayo mhusika huwa anasoma kutoka kwenye bbokmarks za maandiko matakatifu hayo, ili waweze kufanya monitoring yao kwa msomaji huyo kwa kutumia njia ambazo wanazijua vizuri wao wenyewe

Mpaka hapa sasa, msomaji anaombwa angalie comments za mhuiska katika kila set ya mafungu yaliyopo hapa chini

Zaburi 118: 5-7; 13

Zaburi 118: 1-4

Zaburi 118: 8-12

Zaburi 118: 14-29

Haya hapa juu tayari ameshayatolea maelezo yake kwa kina

Zaburi 121: 1-9

Zaburi 121: 1-8

Kwenye sura hii ya 121, mhusika alikuwa ame-bookmark mafungu yote na sura hii nzima ina mafungu manane (8) tu na sio tisa (9) kama mtumishi wa Mungu alivyokuwa amemtajia.

Hapa mhusika anaona kama mtumishi wa Mungu alifanya kosa la makusudi la kutaja mafungu tisa badala ya nane, ili kumfanya mhusika aone kuwa mtumishi alikuwa anayataja mafungu hayo kwa kuyachagua wakati huo huo aliokuwa akiyataja na si kwamba alikuwa ameyaandaa kichwani kabla, na hivyo kupelekea kufanya kosa hilo. Unajua kisaikolojia, kitu kama ni rahisi na umekiandaa kabla kwa kuhakikisha kuwa umekiweka kichwani sawasawa, siyo rahisi kukikosea. Kitu cha namna hiyo unakikosea tu pale ambapo unaweza ukahitaji kukitoa kwa kushtukiza. Kwa hiyo hapa mtumishi alifanya hivi kuonyesha kuwa hakuwa amejipanga au kujiandaa kwa ajli ya kutaja mafungu hayo



Yeremia 23:29

Yeremia 23:23

Yeremia 29:7

Hapa mhusika anaonyesha kuwa kwenye bookmarks zake, kwenye kitabu hiki alikuwa na mafungu hayo ya Yeremia 23:23 na Yeremia 29:7, ambayo katikati ya mafungu hayo (in between and not necessarlily midway) kuna fungu la Yeremia 23:29. Kwa hiyo fungu la Yeremia 23:23 liko juu na lile la Yeremia 23:29 liko chini ya fungu alilopewa na mtumishi, yaani Yeremia 23:27

Kitu muhimu cha kukumbuka kwenye maelezo haya ni kwamba tukichukulia kwa mfano kundi la mafungu hayo hapo juu kutoka kwenye kitabu cha Yeremia, haimaanishi kuwa mhusika alikuwa na mafungu mawili tu kwenye kitabu hiki, hapana, bali inamaanisha kuwa kwenye kitabu hicho, (yawezekana) alikuwa nayo mafungu mengine juu ya Yermia 23:23 na chini ya Yermia 29:27, isipokuwa mafungu haya mawili tajwa hapa ndiyo yalipakana kwa karibu sana (closest neighbour verses) na fungu lile ambalo mhusika alipewa na mtumishi wa Mungu



Waebrania 10:38

Waebrania 10:31

Waebrania 12:1

Hapa vile vile, Waebrania 10:31, ni fungu ambalo liko juu na Waebrania 12:1 liko chini ya fungu lile alilopewa na mtumishi, yaani Waebrania 10:38



Yakobo 4:5-6


Yakobo 4:1-3

Yakobo 4:7-8

Hapa mhusika alipewa mafungu ya Yakobo 4:5-6 ili kutengeneza mfululizo wa mafungu ya Yakobo 4:1-8. Hata hivyo hii siyo sura nzima ya Yakobo 4 kwa sababu sura nzina ina mafungu 17



Warumi 10:17


Warumi 10:9

Warumi 11:33

Kwa mafungu haya vile vile, Warumi 10:9, ni fungu ambalo liko juu na Warumi 11:33 ni fungu ambalo liko chini ya fungu alilopewa na mtumishi, yaani Warumi 10:17

Mafungu ya mtumishi kwenda kwa mhusika yanaishia hapa

Kwa hiyo, mafungu haya yanaonyesha sifa kuu tatu ambazo ni AIDHA:

  • Yalikuwa yanaongezeka kwenye bookmarks za mhusika ili kukamilisha SURA NZIMA; bookmarks ambazo hapo awali zilikuwa zinamfanya aisome sura hiyo kwa vipande vipande tu au kwa kuruka baadhi ya mistari. Mfano mzuri kwa kisa cha namna hii unaonekana kwenye Zaburi 118:1-8 ambayo ni sura nzima ya Zaburi 118
AU:

  • Yalikuwa yanaongezeka kwenye bookmarks za mhusika ili kutengeneza mfululizo wa mafungu kwenye SEHEMU TU YA SURA NZIMA; bookmarks ambazo hapo awali zilikuwa zinamfanya aisome sura hiyo kwa vipande vipande tu au kwa kuruka baadhi ya mistari. Mfano mzuri kwa kisa cha namna hii unaonekana kwenye Yakobo 4: 1-8 ambayo ni sehemu tu ya sura nzima ya Yakobo 4
AU:

  • Yalikuwa yanaongezeka kwenye bookmarks za mhusika ili kuyagawa mafungu aliyokuwa anasoma mhusika kwenye SEHEMU KUU MBILI, YA JUU NA YA CHINI; bookmarks ambazo hapo awali zilikuwa zinamfanya aisome sura hiyo kwa vipande vipande tu au kwa kuruka baadhi ya mistari. Mfano mzuri kwa kisa cha namna hii unaonekana kwenye mafungu mengine yote yaliyoonyeshwa hapo juu, ukiondoa mafungu ya makundi mawili tu; yaani Yakobo 4: 1-8 na zaburi 118


MAFUNGU MENGINE YA MAANDIKO MATAKATIFU KUTOKA KWA KIONGOZI MKUU, YALIYOWAHI KUONYESHA MFANANO NA BOOKMARKS ZA MHUSIKA KWA NAMNA KAMA ILIYOANISHWA HAPO JUU,

Yafuatayo sasa, ni mafungu ambayo Kiongozi Mkuu aliwahi kuyatumia kwa ajili ya mafundisho kwenye Ibada za Jumapili, ambayo nayo vilevile yamewekwa katika mtindo sawa na ule ambao umeainishwa hapo juu, na yakiwa yanaangukia kwenye angalau sifa mojawapo ya sifa tatu ambazo zimeweza kuainishwa hapo hapo juu hivi punde



KICHWA CHA SOMO: UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU

MAHUBIRI JUMAPILI-WIKI YA 1

MHUBIRI:KIONGOZI MKUU

Mathayo 23:23


Mathayo 19:14

Mathayo 23:24



2Wakorintho 5:14


2Wakorintho 5:15

2Wakorintho 5:17



1Yohana 4:16


2Petro 1;16

1Yohana 4:17



Yohana 7:37; 8:46; 10:30

Yohana 5:29

Yohana 8:32

Yohana 10:10

Yohana 11:21-27



Luka 18:12

Kwenye sura hii ya Luka 18, mhusika hakuwa na fungu lolote kwenye bookmarks zake



Mambo ya Walawi 27: 30-32

Kwenye sura hii Mambo ya Walawi 27, mhusika vilevile hakuwa na fungu lolote kwenye bookmarks zake



Mathayo 5:17


Malaki 4:6

Mathayo 6:21



1Wakorintho 16:1

1Wakorintho 15:50

2Wakorintho 3:2



Malaki 3:10


Zakaria 9:9

Malaki 4:2-6



Waebrania 7:1-9


Waebrania 6:8

Waebrania 10:24





KICHWA CHA SOMO: UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU

MAHUBIRI JUMAPILI-WIKI YA 2

MHUBIRI:KIONGOZI MKUU



Yohana 14:15


Yohana 11:27

Yohana 14:17



Itaendelea…………………………………………….



MUBARIKIWE TENA NA BWANA​


MwiH
elly obedy
 
ANGALIZO MUHIMU

Mhusika anazidi kuwasisitiza waumini wote wa nyumba ya Ibada ambapo huwa anaabudu, yaani Kanisa A, kwamba wawe waangalifu sana na mtumishi wa Mungu anayeweza kusimama madhabahuni na kuanza kufundisha maandiko matakatifu bila kuwa ameomba. Yeye (mhusika) alikuja kubaini kuwa kuna tatizo katika hilo baada ya kuwa amepatwa na madhara ya kitendo hicho, na hata hivi majuzi ameyaona kwa mara nyingine tena. Whether mtumishi wa Mungu anajibainisha kuwa yeye ana upako wa kuomba mara moja kwa siku ama la, please do not buy such stories! Ukweli ni kuwa, kwenye mambo haya ya kiroho, kitu kama kipo na hakijawahi kukudhuru, utakuwa unakiona kinaendelea kufanyika na wala huna habari kama kipo, hadi watu wanaweza kukuliza "ulishawahi kuona kitu hiki na hiki kinafanyika mahali ulipo?", halafu wewe utajibu hapana. Na hapana hiyo utaitoa ukiwa unamanisha hapana kweli na si vinginevyo, halafu kumbe kipo kinafanyika ila hujawahi kuwa attention nacho kwa sababu hakijawahi kuwa na madhara kwako. Kikishakuwa na madhara kwako ndiyo hapo utakapoanza kujua kuwa kipo na kuanza kukifuatilia.



Kwa mfano katika hili kwa sasa, mhusika ana uhakika kabisa kuwa kuna idadi kubwa ya waumini, hata zaidi ya asilimia tisini(90%) ambao wapo Kanisan hata kwa zaidi ya miaka 10 na ushee, na miaka yote hiyo wanahudhuria Kanisani lakini hawajawahi ku-notice kwamba kuna baadhi (wachache sana) ya watumishi wa Mungu ambao huwa wanasimama madhabahuni na kuanza kufundisha maneno ya Mungu bila kuomba. Ni kwa sababu hawajawahi kupatwa na madhara ya kitendo hicho; Wangekuwa wameshapatwa na madhara yake, wangekuwa wameshaking'amua miaka mingi nyuma. Au pengine walishapatwa na madhara yake ila hawakuweza kujua kuwa tatizo lilikuwa ni hilo.

Katika hili, mhusika anawasihi sana waumini wasikubaliane na ujinga huo. Kama mtu ana upako wa kuomba mara moja tu kwa siku, basi inawezekana hata akawa na upako wa kufanya hivyo hata kwa mwaka mzima. Sasa kama ni hivyo, si auombee tu hata mwaka mzima halafu awe anaendelea tu bila maombi. Bibilia yenyewe imesema OMBENI BILA KUKOMA (1Thesalonike 5:17).



By the way, kama maandiko matakatifu yamesisitiza kuwa TUOMBE BILA KUKOMA; inampunguzia nini mtumishi wa Mungu kusimama madhabahuni na kuomba tena, hata kama anao huo upako wa kuomba mara moja kwa siku? Kwani Biblia, imesema MSIOMBE SANA? Au kuomba mara kwa mara kuna madhara, halafu kutokuomba mara kwa mara ndiko hakuna madhara? Kwa nini mtu uamue kujipunja mbaraka ambao Mungu ameutunuku kwako uuchukue hata kwa zaidi ya uwezo wako unavyoweza kuruhusu?



Pamoja na uchanga wa kiroho mhusika alionao, yeye anaamini kuwa KENYE ULIMWENGU WA ROHO, KILA SEKUNDE INAYOKUJA MBELE HUWA NI TOFAUTI KABISA NA SEKUNDE MOJA NYINGINE ILIYPOITA NYUMA YAKE



Mhusika anakumbuka pia kuwa, kwenye miaka ya 2013, aliwahi kuona mtumishi kukaribishwa hapo Kanisa A, akawa anafundisha maandiko matakatifu kwa MAIGIZO HADI AKAFIKIA HATUA YA KUWA ANAKULA MAYAI YALIYOPIKWA AKIWA MBELE YA MADHABAHU. Details za mtumishi huyo anazo kiusahihi zaidi kwa sasa, ila hawezi tena kuziongelea, maana hazihusiani na mada inayoendelea kwa wakati huu
 
UPDATE: WEDNESDAY, 05 AUGUST 2020



UJANJA WA KUTUMIA SECRET CODE YENYE UHUSIANO NA MAANDIKO MATAKATIFU ANAYOSOMA MLENGWA/ MSHAMBULIWA

“SECRET CODE BY INTERCEPTION OF THE HOLY SCRIPTURES”




Inaendelea………………………..

KICHWA CHA SOMO: UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU

MAHUBIRI JUMAPILI-WIKI YA 2

MHUBIRI: KIONGOZI MKUU




Mpaka hapa mhusika anazidi kuwakumbusha wasomaji kuwa kuna viporo vitatu ambavyo mpaka muda huu, bado hajavitolea maelezo ya msingi, ambavyo ni:

  • Namna mtumishi wa Mungu ambaye maelezo yake ameyatoa hapo juu, alivyoweza kufika nyumbani kwa mhusika
  • Namna mtumishi huyo alivyoweza kuwa na aina fulani ya ufahamu wa mafungu ya Biblia ambayo mhusika alikuwa ameyahifadhi (ameya-bookmark) kwenye smart phone yake (mhusika)
  • Namna Kiongozi Mkuu (ambaye maelezo yake yanafuata hapa chini) naye alivyoweza kuwa na aina fulani ya ufahamu wa mafungu ya Biblia ambayo mhusika alikuwa ameyahifadhi kwenye smart phone yake
Mafungu yanayofuata hapa chini, ni yale aliyowahi kuyatumia Kiongozi Mkuu wakati akiwa anafundisha somo lenye kichwa UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU . Maelezo yake yanafana na yale ya mafungu yaliyopita, hapo. Labda kwa kukumbushia tu ni kwamba, mafungu yanayoonekan juu na yamepigiwa mstari, ni kutoka kwa Kiongozi Mkuu na yaliyo chini, ni kutoka kwenye bookmarks za mhusika



Yohana 14:15

Yohana 11:27

Yohana 14:17

Labda kwa kukumbushia tu ni kwamba, hapa fungu la Yohana 14:15 (kutoka kwa Kiongozi Mkuu), lipo katikati (in between) ya mafungu ya Yohana 11:27 na Yohana 14:17 (mafungu kuoka kwenye bookmarks za mhusika)



Mathayo 23:23

Fungu hili maelezo yake tayari yameshatollewa hapo juu kwenye sehemu iliyotanguilia



Wagalatia 5:6; 13

2Wakorintho 10:5

Wagalatia 5:22



Luka 18:12

Luka 14:26

Yohana 1:12

Kumekuwa na oversight wenye maelezo yaliyotangulia hapo juu kwamba sura hii Luka 18 hakuwa na fungu lolote kwenye bookmarks zake. Ni kweli sura hiyo haikuwa na fungu lolote, ila mafungu yaliyoonyeshwa hapo juu yapo kwenye bookmarks za mhusika na ndiyo mafungu yanayolizingira fungu tajwa hapo juu lililopigiwa mstari



Waebrania 7:8-9

Waebrania 6:4-8

Waebrania 10:25



Mambo ya Walawi 27: 30-33


Fungu hili nalo vile vile maelezo yake tayari yameshatollewa hapo juu kwenye sehemu iliyotanguilia



Kumbukumbu la Torati 14:22


Kumbukumbu la Torati 11:18-25

Kumbukumbu la Torati 19:14



Malaki 3:10

Zakaria 9:9

Malaki 4:2-6



Kumbukumbu la Torati 26:13-15


Kumbukumbu la Torati 19:14

Kumbukumbu la Torati 29:29



Waebrania 11:4


Waebrania 10:31

Waebrania 12:1



Waefeso 2:13


Waefeso 2:5-6

Waefeso 3:17-20



Kutoka 26:30


Kutoka 7:12

Kutoka 30:29



Hesabu 20:8-12


Hesabu 14:24

Hesabu 23:19



2Samweli 6:1-9


Hapa vile vile mhusika hakuwa na mafungu kwenye bookarks zake yaliyokuwa yamepakana na fungu hili



Kumbukumbu la Torati 31:9

Kumbukumbu la Torati 31:3-8

1Samweli 2:25

Mafungu haya hapa juu (yaliyopigiwa misitari) ndiyo yale aliyowahi kutumia Kiongozi Mkuu wakati anafundisha somo la UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU, na yaliyo chini yake ndiyo yale ambayo mhusika aliwahi kuwa nayo kwenye bookmarks zake, na ambayo anayo mpaka leo

Somo hili la UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU, alilifundisha baada ya kuwa huko nyuma, amefundisha somo jingine lenye kichwa kisemacho SISI NI WATU WA NENO, mwaka 2017, ambalo maelezo yake yanafuata hapa chini. Na kwa sababu somo hilo alilifundisha kwa kipindi kirefu, mwandishi atafupisha maelezo yake kwa kutumia mafungu makuu mawili ambayo kiongozi huyo aliyatumia kwa kipindi chote hicho, lakini yakiwa na ushahidi unaojitosheleza kabisa kuweza kumpa msomaji mwanga uliokusudiwa. Somo hili alilifundisha kwa kipindi cha takribani miezi mitatu, akiwa anatumia mafungu makuu mawili ambayo ni Zaburi 119:130 na Wakolosai 3:16; akiwa anayasoma kwa lugha mbili tofauti, Kiingereza na Kiswahili, na Kiswahili nacho pia akitumia matoleo mawili ya Biblia

Somo hili alilifundisha mwanzoni mwanzoni mwa kipindi kile ambacho mhusika ndiyo alikuwa amerudi kutoka Kanisa B



FUNGU KUU_1: Zaburi 119:130 (Psalms 119:30)

  • Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahamisha mjinga. (kutoka kwenye Biblia aliyokuwa akiita, ya KISWAHILI CHA KAWAIDA)
  • Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu (kutoka kwenye Biblia aliyokuwa akiita ni ya KISWAHILi MORORO, ambayo ilikuwa ni Biblia Habari Njema (BHN Version))
  • The unfolding of your words gives light, it gives understanding to the simple) (kutoka kwenye English Version Bible, New International Version (NIV) Bible Bible)


FUNGU KUU_2: Wakosai 3:16

Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

Zaidi ni kuwa Kiongozi Mkuu:

  • Alikuwa anafundisha kwa kutumia version za Biblia hizo tatu
  • Mafungu haya makuu mawili, yaani Zaburi 119:130 na Wakolosai 3:16, alikuwa anayasoma kwa kutumia version zote hizo tatu
MFANANO WA MAFUNGU HAYA MAKUU MAWILI YALIYOTAJWA HAPA, NA MAFUNGU ALIYOKUWA ANASOMA MHUSIKA KWA KIPINDI HICHO

Kwa kipindi hicho, mhusika yeye:

  • Alikuwa anasoma Zaburi 119 sura yote, kila siku
  • Alikuwa anasoma Wakolosai 3:1-17 kila siku. Hii sura alikuwa haIsoii yote kwa sababu sura nzima ina mafungu 25, na Kiongozi Mkuu alikuwa anatumia fungu moja tu katika haya, lile la 16
  • Alikuwa anatumia Biblia ya Kiswahili cha kawaida pamoja na BHN version, na NIV kwa Biblia ya Kiingereza
  • Alikuwa anatumia version tatu za Biblia, ambazo ndiyo zile zile alkuja kuanza kuzitumia Kiongozi Mkuu alipoamua kuanza kufundisha somo la SISI NI WATU WA NENO
Mpaka hapa sasa msomaji ataona kuwa Kiongozi Mkuu:

  • Alifundisha somo la SISI NI WATU WA NENO, kwa kusoma mafungu makuu kutoka kwenye matoleo matatu ya Biblia ambayo matoleo hayo ndiyo yale yale mhusika alikuwa anatumia pia
  • Alikuwa anaikata (intercept) Zaburi 119 kwa kutumia fungu la 130, ambayo ndiyo ilikuwa sura ya kila siku ya mhusika, na ina jumla ya mafungu 176
  • Alikuwa anaikata (intercept) Wakoloasai 3:1-17; kwa kutumia fungu la 16, ambayo nayo ilikuwa ni kipande cha sura ambacho mhusika alikuwa anakisoma kila siku
Katika hali ya kawaida, mtu angedhani kuwa kwa somo lenye kichwa SISI NI WATU WA NENO, fungu moja la Wakolosai 3:17, ndiyo lingekuwa fungu linalofaa zaidi kwa somo lenye kichwa hicho, kuliko hata lile la Wakolosai 3:16, ambalo Kiongozi Mkuu anatumia. Vinginevyo mtu angeweza kuyachukua yote mawili kwa pamoja, au angeweza kuchukua fungu la 17 na kuacha lile la 16 ila si kuchukua la 16 halafu ukaacha la 17. Msomaji anaweza kuyaangalia mafungu haya mawili kutoka sura hiyo ya Wakolosai 3

Wakolosai 3:16

Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

Wakolosai 3:17

Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.

Mpaka hapa, mhusika anajaribu kuonyesha kuwa kwa somo lenye kichwa hicho, katika hali ya kawaida, Kiongozi Mkuu angeweza kuchukua fungu la 17 pekee au angeweza kuchukua mafungu yote mawili, la 16 na la 17 lakini si kuchukua la 16 halafu ukaacha lile la 17

Msoamaji anazidi kukumbushwa kuwa Wakolosai 3 ina mafungu 25 ambayo kati ya hayo mhusika alikuwa anasoma mafungu 1-17, na Kiongozi Mkuu naye alikuwa anfundisha somo kwa muda mrefu akitumia fungu la 16 tu, akitumia matoleo (versions) matatu ya Biblia ambazo ni hii ya kawaida pamoja na BHN na NIV English Version. Matoleo hayo hayo pia ndiyo aliyokuwa anayatumia mhusika katika program yake ya Bible Study zake za kila siku.



……….Itaendelea

MwiH
elly obedy
 
Kwa hiyo mkutano wa dharura wa J2 ya tarehe 26 April 2020 ulikuwa na mpango mkakati wa kutaka kuzima haya yote yasijulikane. Haya yaliyo na ushahidi ambayo mhusika anaweza kuyaleta kwenu, ni kama asilimia 10 tu ya mambo yote. Zaidi ya asilimia 90 hayana ushahidi wa kimwili, yanakuwa na ushahidi wa kiroho tu ambao ukiwaeleza watu wengine lazima wakuone wewe ni chizi, ila yanakuwa yapo yanafanyika na interpretation yake kwako inakuwa iko sahihi kabisa, lakiin hamna namna ambayo unaweza ukayaeleza kwa watu wengine na wakakuelewa.

Baada ya mada inayohusiana na Kiongozi Mkuu, tutahamia kwa "mama wa kiroho". Kwa muonekano wa nje, ni sawa tu na Malaika! Specialisation yake kubwa yeye ni kwenye Gari la mhusika. Mashambulio yote ambayo huwa yanafanyika kwenye gari la mhusika, yeye ndiyo Engineer.
Kwa hili, ushahidi wa "mama wa kiroho" upo wa kutosha na mpaka hadi kuusaza.
Mashambulio haya nayo huwa yanafanyika usiku wa J2 kuamkia j3. Wahusika wengine ni Kiongozi Mkuu, Kiongozi X na Mhubiri wa Uzinzi (mhusika wa manunuzi ya Sanitizer)
 
UPDATE: THURSDAY, 06 AUGUST 2020



UJANJA WA KUTUMIA SECRET CODE YENYE UHUSIANO NA MAANDIKO MATAKATIFU ANAYOSOMA MLENGWA/ MSHAMBULIWA

“SECRET CODE BY INTERCEPTION OF THE HOLY SCRIPTURES”




Inaendelea………………………..



KICHWA CHA SOMO
: SISI NI WATU WA NENO

MWALIMU: KIONGOZI MKUU

MAFUNGU MAKUU: Zaburi 119:30; Wakolosai 3:16

SIKU ZA MAFUNDISHO KWA WIKI: J5 NA J2



Kwa kifupi, somo hili lenye kichwa SISI NI WATU WA NENO

  • Lilifundishwa na Kiongozi Mkuu (KM) peke yake
  • Lilifundishwa mfululizo kwa muda usiopungua miezi mitatu, kwa siku zote za Ibada za katikati ya wiki, yaani siku za J5
  • Wakati linaanza, lilikuwa linafundishwa siku za J5 tu, lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi kwenda mbele, lilihamia pia kwenye siku za Ibada kuu, yaani J2
  • Katika kipindi chote cha ufundishwaji wa somo hilo, J5 zote zilikuwa dedicated kwa ajili yake, na ilikuwa si rahisi kuona J5 imeingiliwa na kitu kingine tofauti na somo hilo
  • Baada ya kuwa limehamia siku za J2 pia; pale ilipotokea kwenye mojawapo ya J2 hizo kuingiliwa tuseme na ratiba tofauti iliyopelekea somo hilo lisisfundishwe J2 hiyo, waumini walikumbushwa kwa tangazo maalum kuwa wasikose kuhudhuria mafundisho ya maandiko matakatifu siku ya J5 wiki inayofuata kwa sababu kuna somo zuri sana linaendelea lenye kichwa SISI NI WATU WA NENO
  • Ilifikia hadi J2 moja kiongozi mmoja wakati akihamasisha waumini wahudhurie J5 inayofuata kwa ajili ya somo hilo (ilikuwa ni mojawapo ya J2 ambazo siku hiyo halikuwa limefundishwa, ratiba ya J2 iliingiliwa na kitu kingine), aliuliza swali akisema nani anaweza akataja kichwa cha somo zuri linaloendela ambalo linafundishwa kila J5 na KM.
  • Swali hilo lilijibiwa na Mama Kionozi X (mke wa Kiongozi X), alinyosha mkono na kusimama akataja kichwa cha somo mbele ya waumini wote Kanisani akisema kuwa somo hilo lina kichwa kinachosema SISI NI WATU WA NENO
Mpaka hapa mhusika anapenda kubainisha tena mambo kadhaa kwenye somo hili la SISI NI WATU WA NENO

  • Ni somo peke ambalo anakumbuka kulishuhudia likifundishwa kwa kuanza na siku za J5, halafu baadaye kadri siku zilivyokuwa zinasonga, likaingia taratibu tena hadi kwenye siku za Ibada kuu, yaani J2
  • Kawaida, masomo ya J5 huwa yako tofauti na masomo ya Ibada kuu za J2 kwa sababu walio wengi huwa hawahudhurii Ibada za J5 na hivyo mtumishi anapoamua kufundisha somo moja kwa siku zote hizo mbili ndani ya wiki, inabidi awe anarudia kufundisha hivyo inabidi awe analifundisha mara mbili, yaani siku yaJ5 na ya J2 pia
Kwa uelewa alionao mhusika kwa wakati huu, ni kwamba somo hilo kuhamia siku za J2 pia kunamaanisha kuwa kulikuwa na maneno (SECRET CODES) ambayo ilikuwa inabidi yakaziwe sana kwenye somo hilo kwa kurudiwa rudiwa

  • Ndiyo somo pekee ambalo hadi leo, mhusika amewahi kushuhudia likifundishwa kwa kipindi kirefu sana, tangu arudi kutoka uhamishoni Kanisa B
  • Ndiyo somo pekee ambalo hadi leo, mhusika amewahi kushuhuidia likiifanya ratiba ya J5 ya mafundisho kuendelea kuwa ya mafundisho pasipo kubadilishwa au kuingiliwa na kitu kingine chochote vile kama vile maombi; kwa kipindi kirefu sana tangu amearudi kutoka uhamishoni Kanisa B.
Mhusika anasema hivyo kwa sababu, baada ya ratiba ya somo hilo kuisha, mafundisho ya J5 yamekuwa yakitokea kwa nadra sana. Mara nyingi ratiba yake imekuwa ikifunikwa na maombi, wakati maombi nayo pia yanayo siku yake ambayo huwa ni Ijumaa ya kila wiki

  • Mhusika anakisia kuwa kwa wastani, uwiano uliopo kwa sasa kati ya maombi na mafundisho ya J5, unaweza ukawa ni 1:5, yaani siku moja ya mafundisho ya J5 kwa wiki, kwa siku tano za maombi ya IJUMAA kwa wiki, na bila uwepo wa mafundisho ya J5 kwenye wiki hiyo inayohusika na maombi
  • Mhusika anakiri kuwa hakuwahi KABLA, na wala hajawahi BAADA, kumuona tena KM akifundisha somo kwa kutumia matoleo (versions) matatu ya Biblia kufundisha somo jingine lolote lile
Ni kweli kuwa hapo kabla, mhusika alishawahi kumuona KM anafundisha somo kwa kipindi kirefu kinacholingana na/ kukaribiana na hicho, lakini hakuwa amewahi kumouna akifundisha maandiko matakatifu ya biblia kwa kutumia version zaidi ya moja ya Biblia



MFUATANO WA MATUKIO HAYA MATATU NAMNA ULIVYOKUWA

Hapa mhusika anapenda amletee msemaji, mfuatano wa matukio haya matatu, yaani yale mawili ya session za KM kwa masomo mawili aliyowahi kufundisha yenye vichwa SISI NI WATU WA NENO na UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU, ukiongezea na lile la mtumishi (mgeni) wa Mungu aliyewahi kumtembelea mhusika nyumbani kwake na kumpatia mafungu kwa ajili Ibada za mbele. Hili ni muhimu wasomaji walifahamu ili hapo baadaye, waweze kujua NI LINI MHUSIKA ALIWEZA KUBAINI PATTERN HIYO KWENYE MAFUNGU HAYO YA MAANDIKO MATAKATIFU, KAMA ALIYOIELEZEA HAPO JUU

Mlolongo wa matukio haya umekaa kama ifuatavyo:

Tukio lililotangulia yote ni hili la ufundishwaji wa somo llenye kichwa SISI NI WATU WA NENO ambalo LILIFUNDISHWA MWAKA 2017, muda si mrefu baada ya mhusika kuwa amerudi kutoka uhamishoni Kanisa B

  • Kipindi somo hilo linafundishwa, mhusika alikuwa bado hajabaini pattern yoyote kwenye mafungu ya maandiko hayo matakatifu, na vile vile hakufanikiwa kufanya hivyo hadi kipindi somo linamalizika
  • Kwa hiyo pattern ya mafungu ya maandiko matakatifu aliyoielezea hapo juu, alikuja akaibani baadaye, somo hilo likiwa tayari limeshafundishwa na kumalizika miezi kadhaa nyuma
Tukio lilofuatia ni mhusika kutembelewa na mtumishi mgeni wa Mungu, na kupewa mafungu kwa ajili ya ibada za mbele.

  • Hii ilitokea baada ya mhusika kuwa amemkaribisha mtumishi huyo wa Mungu, nyumbani kwake
  • Hata katika kipindi hiki, mhusika hakuweza kuiona pattern hiyo ya maandiko matakatifu isipokuwa alikuja akaiona baadaye wiki kadhaa mbele, na katika kipindi ambacho mtumishi mgeni alikuwa tayari ameshaondoka
  • Kipindi mhusika anaiona pattern hiyo, ndiyo wakati ule ule sasa KM alikuwa anafundisha tena somo jingine la pili lenye kichwa UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU. Hii ilikuwa kwenye angalau August 2018
  • Mpaka wakati huu, ulikuwa taryari umeshapita mwaka na zaidi tangu kipindi KM afundishe somo lake la kwanza lenye kichwa SISI NI WATU WA NENO


HITIMISHO

Mpaka hapa, msomaji atabaini kuwa mhusika alianza akabaini kwanza pattern kwenye mafungu aliyopewa na mtumishi (mgeni) wa Mungu. Baada ya hapo, akaanza tena kufuatilia kwa makini mafungu aliyokuwa anatumia KM wakati anafundisha somo hili la UPENDO KATIKA UTUMISHI WETU, na hatimaye tena, alirudi nyuma kwenye somo la zamani la SISI NI WATU WA NEO, ambalo KM aliwahi kulifundisha kipindi kirefu nyuma, zaidi ya mwaka mmoja uliokuwa umepita

Baada ya mhusika kurudi nyuma na kulifanyia uchunguzi somo hilo ndiyo sasa akagundua tena kuwa mafungu makuu ya somo hilo, yaani Zaburi 119:130 na Wakolosai 3:16, mbali na kuwa mafumgu makuu ya somo hilo, yalikuwa vilevile yanatumika kama SECRET CODES



NEXT:
namna mafungu yaliyo kwenye bookmarks za Biblia ya mhusika, yalivyoweza kujulikana na mahasimu wake hawa akiwemo KM

……………..Itaendelea

MUBARIKIWE TENA NA BWANA, Yeremia 33:3

MwiH
elly obedy
 
MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA SECRET CODE "JENGO JIPYA"

Mhusika hana uhakika sana ila yeye anaamini kuwa kiroho, ukishaliita Kanisa Jipya kama JENGO JIPYA implication yake hapa ni kwamba

  • KANISA LA ZAMANI nalo linageuka na kuwa JENGO LA ZAMANI
  • Pepo huwa anaweza akapata uhalali, au akapewa uhalali wa kukaa kwenye jengo lolote lile ambalo si nyumba ya Ibada
  • Neno JENGO LA ZAMANI halimaanishi Kanisa au nyumba ya Ibada, na hivyo pepo anaweza akaona ni halalai, au anaweza akapewa uhalalli, wa kukaa kwenye jengo hilo
  • Pepo hawezi kukaa kihalali kwenye nyumba ya Ibada au Kanisa kwa sababu si mahala ambapo anastahili kuwepo
  • Pepo akishapewa uhalali wa kuwepo mahali fulani, hata kama hastahili kuwepo pale, kumtoa moja kwa moja na asirudi tena huwa ni kazi kubwa sana, na especially pale panapokuwa kuna ma-agent wanafanya kazi ya kuhakikisha kuwa anaendekea kuwepo mahali pale
  • Hapa inahitaji watu ambao ni wazoefu sana kwenye mambo haya ya kiroho
Hicho ndicho kinachoendelezwa na kikundi cha watu wachache sana hapo Kanisa A kwa sasa, wkishirikiana na viongozzi wote.

Kwa hiyo huu upumbavu unaoendelea Kanisa A, unafanywa na kikundi kidogo sana cha washiriki, wakishirikiana na viongozi wakuu wote. Kwa upande wa viongozi, wao wote wanahusika na ushahidi katika hili upo wa kutosha na kusaza

KUHUSU DRUMS ZA MZIKI WAKATI WA IBADA ZA KUSIFU NA KUABUDU

Mhusika atawaletea pia ushahidi wa kwa nini Drums zikishirikishwa kwenye upigaji wa vyombo wakati wa Ibada, wakati mwingine zinaweza kutumika kuhujumu Ibada. Na katika hili nalo pia, ushahidi anao wa kutosha na kusaza. Jambo hili alilibaini kipindi akiwa uhamishoni Kanisa B, mwaka 2016 kwenye wiki ya Wanaume



IBADA ZINAVYOENDESHWA KWA SASA KANISA A

Kwa sasa hivi, kuna pattern nyingine tena imeshajitokeza Kanisa A, kwamba tangu kuanza kwa Corona, nyimbo za sifa (za kitabuni) ni kama haziimbwi. Mara chache sana kuskia wimbo wa sifa unaimbwa kwenye Ibada, kiasi kwamba karibia asilimia 95% ya nyimbo kwenye Ibada ni mapambio tu, na ni kawaida sana kwa sasa Ibada ikaanza mwanzo hadi mwisho kwa mapambio tu



MUBARIKIWE TENA NA BWANA



Wakolosai 3: 15-17

15 Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.

16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

17 Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.
 
Ile ku scrow down tu nije nikujibu nimechoka. Hivi kuna mtu kweli amesoma vyote hivi ??!!
 
Ile ku scrow down tu nije nikujibu nimechoka. Hivi kuna mtu kweli amesoma vyote hivi ??!!

Hii thread mtu kuifuatilia na kuisoma yote inabidi awe na kitu kinachomgusa, vinginevyo hawezi. Unaweza uka-copy na ku-paste kwenye MS_word halafu ukawa unasoma kidogo kidogo ukiwa offline. Tulioanza nao pamoja ndiyo wale wanaoendelea kuifuatilia vizuri hadi muda huu. Hata hivyo nakushauri uisome yote kwa sababu ni kisa cha kweli, na matukio yake mengine bado yanaendelea kutokea mpaka muda huu wewe ukiwa unaendelea kusoma thred hii. Ni thread iliyo na mambo yaliyopita na yaliyopo, na inamhusu kila Mtanzania mwenye nia njema na aliyechoka kuona upumbavu ukiendelea kufanyika.

Unajaua inabdi tufikie mahali, tuache kabisa uchakachuaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…