#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
UPDATE: TUESDAY 26th JANUARY 2021

NYONGEZA MUHIMU


Hili swala la kukosekana kwa simu za mezani (extension) ofisini ndiyo hilo linalopelekea baadhi ya mambo kama:

  • Mtu anapata promotion halafu mwisho wa mwezi anagundua kuwa mashahara wake haujaongezeka
  • Baada ya hapo, anajaribu kufuatilia kwa baadhi ya wahusika walioko ngazi za chini halafu wahusika hao wanamushauri aende akaonane kwanza na Afisa Rasilimali Watu
  • Na kwa sababu hakuna simu za mezani, inabidi kweli (iwapo kama kweli anahitaji mshahara huo uongezeke), mtu huyo aidha aache kazi zake, anyanyuke kutoka ofisini kwake kuelekea ofisi husika au asiende halafu mshahara uendelee kubaki ule ule pamoja na ukweli kwamba amepewa promotion
Na kwa bahati nzuri au mbaya, mtu huyu anamua kutokufutilia maofisini, na hali hii inapelekea kweli mshahara huo kuendelea kubaki uleule tangia Julai 2012 kupitia Novemba 2017 (muda wa promotion) na hadi leo hii January 2021

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 27th JANUARY 2021

MBINU MBADALA NA ILE ILIYOTAJWA HAPO JUU, ZINAZOTUMIKA KUMUWEKEA MITEGO YA KUMNASA MHUSIKA KWA SASA




Wakishamuona kuwa ha-respond kwenye mtego wao mmoja wa kufuatilia jambo moja, wanatengeneza mtego mwingine, ili aanze kufuatilia jambo jingine mbadala. Kwa mfano, mtego mmojawapo ni kwa sasa ni ule unaohuisana na umeme na maji. Na kwa huu mtego mpya wa unaohusiana na umeme, details zake ni kama ifuatavyo:

Wamepunguza umeme nyumbani kwake kwenye baadhi ya phase na kusababisha Micro-Wave isiweze kufanya kazi. You can imagine namna situation ilivyo ngumu kwake kwamnmba anaishi kwa maisha ya micro-wave tangu mwaka 2006

  • Mara zote huwa wanatengeneza mitego yao pindi wanafunzi wanapokkuwa wako–off. Ili anapokuwa anafanya ufutiliaji, pasiwepo na mashahidi wengi kwenye mazingira ya kazi
  • Kwa hali hiyo yeye naye pia alishatengeneza counter strategy, kwamba akipatwa na tatizo wanafunzi wakiwa hawapo, huwa anavumilia kiasi cha kuwasubiria wanafunzi hao mpaka pale watakaporudi tena ndiyo naye anaanza tena kufuatilia tatizo hilo
  • Mara ya kwanza alifanya ufuatiliaji ofisini kwa ajili ya swala hili la umeme mwanzoni mwa Desemba, muda mfupi tu baada ya wanafunzi kuwa wamerudi
  • Alipewa ahadi za kuridhisha sana lakini baada ya hapo, uliwekwa mtego wa kijinga na alipoukwepa, hakupata response nyingine tena mpaka sikukuu za Christmas na mwaka mpya zinaingia
  • Na kwa sababu wakati huo wanafunzi walikuwa wameshaondoka tena kwa ajili ya sikukuu, aliacha kufuatilia swala hilo akisubiri warudi tena
  • Jumanne ya wiki jana ya tarehe 20/01/2020, ndiyo alirudi tena kwa ajili ya ufuatiliaji wa swala hilo pamoja ikiwa ni pamoja na lile la zamani la maji
  • Alikutana na mitego ya kijinga details zake hawezi kuzidisclose humu jukwaani
  • Baada ya hapo, alirudi ofisini kwake na ndiyo akakuta nako kulikuwa tayari kuna mtu alikuwa anamtafuta kwa ajili ya ukarabati ambao ulitakiwa kuanzia ofisini kwake, details zake ameshazitoa kwa kirefu kwenye posts zilizopita hapo juu hivi karibuni
  • Haya matukio yanaonyesha coincidence “if A, then not B. If not A, then B


HITIMISHO


Walipunguza umeme nyumbani kwake kwenye baadhi ya phase tu tangu mwaka jana mwezi wa tisa mara tu baada ya wanafunzi kuwa wameondoka

Kwa hiyo mpaka muda huu, ameshajaribu kufuatilia swala hili la umeme mara mbili kwa wahusika ofisini, na kila akienda anaenda kukutana na mitego ya ajabu ajabu pamoja na response nzuri sana, halafu baada ya hapo inakuwa kimya. Ukimya huu unamaanisha kuwa anatakiwa arudi tena kufuatilia kwa mara nyingine ili akakutane na mtego mwingine tena watakaokuwa wameutengeneza kwa matarajio yao kuwa pengine labda huo unaweza ukafanakiwa

Na haya yote yametokea baada ya kuwa ameacha kufautailia maslahi yake ofisi ya rasilimali watu na kwingineko



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-2: WEDNESDAY 27th JANUARY 2021

LEO MHUSIKA AMEBAHATIKA KUFIKA TENA KWENYE BANK ZOTE MBILI, BANK A NA BANK B

BANK A


  • Hii ndiyo Benki yake ya zamani, ambayo ameshafunga akaunti zake zote
  • Hata hivyo kuna muamala alikuwa anahitajika kuUfanya kwenye benki hiyo kwa ajili ya mtu mwingine
  • Katika harakati hizo, amefanikiwa pia kuonana na “banker special” aliyekuwa mara zote akimptia salio la akunti yake kwenye Benki hiyo
  • Mara ya mwisho mhusika kufanya muamala kwenye akaunti yake na benki hiyo ilikuwa April 2020
  • Siku hiyo alikuta akaunti yake imezuiliwa kutoa fedha kaunta, ikabidi teller aliyekuwa dirishani siku hiyo, aombe authorization kutoka kwa mtu mwingine
  • Teller alimpa mhusika kikaratasi na kumwelekeza mtu wa kumpelekea kwa ajili ya kutoa hiyo authorization, na mtu huyo alikuwa ndiyo huyu “special banker”
  • Mhusika leo alijaribu kuongea naye kwa ufupi sana kutaka kujua tu ni nini kilikuwa kimetokea kwenye akaunti yake siku hiyo hadi ikapelekea huyu banker aombwe kutoa authorisatin
  • Banker amejibu kwa kusema kuwa hata hakumbuki chochote kile cha siku hiyo


KULE BANK B

  • Hajaonana na yeyote yule kati ya wale wahusika ambao walikuwa special kwa ajili ya kumpatia salio la akaunti yake
  • Zaidi alitaka kuonana na yule aliyetuma mtu kumjulisha mhusika kuwa kulikuwa na barua yake, lakinI inaonyesha mtu huyo alikuwa yuko bize sana
  • Huyu naye ndiyo mmojawapo wa waliokuwa wakimpatia salio mhusika mara kwa mara hapo BB
Zaidi ni kuwa barua ile aliyoitiwa mhusika mwezi jana, hakuikuta, ameambiwa kuwa haipo



HITIMISHO

Huyu mtu kutoka mamlaka ya mapato, aliyebuni mfumo wa wafanyakazi wote kuwa na TIN amefanya ubunifu wa kupongezwa sana. Ameokoa haki za watu wengi muno, bila yeye mwenyewe kujua



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NEXT: KITU KINGINE AMBACHO SIYO CHA KAWAIDA, ALICHOFANYA HUYU MFANYAKAZI WA BENKI B WAKATI MHUSIKA AKIWA HAPO BENKI LEO.

Ni yule ambaye aliwahi kumuitia barua ya majibu mhusika, au kutaka kumtumia watu wampelekee barua hiyo ofisini kwake.

Anaonekana kama huwa haishiwi plans, kama alichofanya leo haikuwa coincidence ya kawaida tu!
 
UPDATE: THURSDAY 28th JANUARY 2021

TAREHE 27 JANUARI 2021 MHUSIKA ALIPOKUWA YUKO BANK B (BB)


ALIOMBWA KUKUTANA NA “SPECIAL BANKER” SEHEMU TOFAUTI NA ZILE AMBAZO KWAIDA BANKERS HUWA WANAKUTANA NA WATEJA WAO KWA AMONGEZI MAALUMU, KAMA VILE CUSTOMER SERVICE (CS)

Siku hiyo mhusika alifika kwenye dawati la CS la BB na kuomba salio.

  • Kwa mara ya kwanza alihudumiwa na mtu mwingine tofauti, na hapakuwa na matatizo ya mtandao siku hiyo
  • Mhusika aliulizia pia kuhusu barua yake aliyowahi kuitiwa siku kadhaa nyuma, na alitumwa mtoto kutoka pale na kuingia ndani kusikoonekana kwa ajili kwenda kuichukua na kuileta
Baada ya hapo, zilipita takriban dakika thelathini mtoto hajarudi, na baada ya mhusika kuulizia aliambiwa kuwa barua hiyo haipo

BAADA YA MHUSIKA KUJULISHWA NA WATU WA CS KUWA BARUA HIYO HAIKUWEPO

  • Aliwauliza watu wa CS kama ‘fulani” yaani yule “special banker” alikuwepo kazini siku hiyo
  • CS walimjibu kwa kumwambia kuwa “ndiye tuliyekuwa tunaongea naye kwenye simu sasa hivi”
  • Mhusika aliwaomba wamuombe aje CS ili waongee pale
  • CS walimpigia simu tena na kumweleza ombi la mteja
  • Special Banker (SB) huyo aliwajibu kwa kuwaeleza kuwa inabidi mteja asogee sehemu kule ndani wakongee huko
Hapa ndipo tatizo lilipoanzia kwa sababu:

  • Sehemu aliyoshauri SB waonane na mteja siyo sehemu rasmi kwa maongezi na wateja mahali hapo
  • Benki ni sehemu ambayo ni sensitive, kiasi kwamba SB anajua fika kabisa kuwa mteja kawaida hatakiwi kuonekana sehemu nyingine yoyote tofauti na sehemu zile za kawaida tu ambazo yuko authorized
  • Kawaida mteja yoyote yule kwenye Benki yoyote ile, anatakiwa kuonekana CS au kwenye sehemu ya kusubiria kuelekea kwenye counters za walipa/ wapokea fedha
  • Sehemu nyingine maalumu hapo BB kwa mteja yeyote mwenye jambo muhimu na anayetakiwa kuonana na wahudumu wa Benki, ni kwenye ofisi iliyoko mkabala na dawati la CS, yenye vioo vinavyoonyesha wazi watu wanaokuwa wamekaa humo wakifanya maongezi yao ya faragha,
  • Mara zote mhusika alipokuwa ana jambo muhimu, amekuwa akikutana amekuwa akikutana na baadhi ya wafanyakazi wa Benki hiyo, ndani ya ofisi hii aliyoitaja hapa, baadhi yao akiwa ni meneja wa tawi hilo pamoja na wasaidizi wake wote
  • Mhusika hajawahi kukutana na mtu mwingine yeyote kwenye BB tofauti na sehemu hizi alizozitaja hapa
Kwa hiyo mara zote, mhusika amekuwa akikutana na watu wa BB kwenye sehemu special kwa ajili ya wateja, ikiwemo siku ya kwanza alipofika mahali pale kwa mara ya kwanza kabisa kwa ajili ya kufungua akaunti zake

Sasa SB safari hii yeye alitaka akutane na mteja tofauti na sehemu hiyo, tena ndani ya Benki, mahali ambapo ni sensitive, na kwa mteja ambaye hamjui zaidi ya kuwa wanakutana naye pale benki tu. Zaidi ni kuwa mteja alikuwa ameomba kuonana na SB sehemu shahiki kabisa ambayo ni CS kwa sababu hapakuwa na usiri wowote wa maongezi kati ya hawa wawili. Yeye mhusika alitamani waongee wakiwa CS na watu wote waliokuwa pale wasikie maongezi yao. Huyu SB yeye hakutaka hicho kitu kifanyike.

Mhusika anajaribu kujiiuliza mpaka muda huu kwamba huyu mama alikuwa na mpango gani, ukizingatia kuwa hata ile barua aliyowahi kumuitia nayo pia ilikuwa tayari uimeshayeyuka?



HITIMISHO

Mhusika hakuweza kuridhia ushauri huo na hivyo aliamua kuondoka mahali pale pasipo kuonana na SB huyo. Kwa hiyo mpaka muda huu inaonyesha kama hela yake iliyowahi kukaa Benki kwa muda wa zaidi ya miezi minane, aidha haijalipwa kabisa riba, au kama imelipwa basi itakuwa ni kiasi cha TZS 400,000/= tofauti na makubaliano ya kiasi cha riba walichowekeana wakati mteja anafungua akaunti hiyo mwaka 2018

Kawaida alikuwa anadai kiasi kisichopungua million mbili na nusu, kwa riba waliyokubaliana kwenye mkataba wa akaunti hiyo. Vinginevyo kama hela hiyo ingekuwa imewekwa kwenye FDR, basi angestahili kulipwa malipo ya takribani shillingi million sita (TZS 6,000,000/=)



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-2: THURSDAY 28th JANUARY 2021

MBINU ILIYOTUMIWA NA SB WA BENKI (BB) INAFANANA NA ZILE ZINAZOENDELEA KUTUMIKA OFISINI, NA PIA ZILE ZILIZOWAHI KUTUMIKA KANISANI, KWA MHUISKA


Alichofanya huyu SB wa BB ni sawa na kile ambacho wanafanya kwa sasa, baadhi ya watu wa ofisini kwa mhusika:

  • Waliowahi kumkatia maji tangu Novemba 2018
  • Walioamua kupunguza umeme kwenye baadhi ya phase ndani ya nyumba anayoishi, tangu mwanzoni mwa Septemba 2020,
  • Ambao wamekuwa wakishikilia sehemu ya maslahi yake
Hawa wote wamekuwa wakitumia mbinu noja pindi wanapokuwa “wamem-set” kwenye pilika pilika za kufuatilia msaada anaouhitaji kutoka kwao. Mbinu hizi wanaambukizana kama magonjwa ya kuambukiza, yaani communicable diseases

Hata hivyo, “mastermind” wa mbinu hii wapo Kanisa B, king wao akiwa Mzee wa Kanisa B (MZK-B). Tutarudi kwao tena hivi karibuni, baada ya kuwa tumeachana nao kwa takribani wiki mbili sasa. Wiki ijayo tutarudi kwao tena



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 1ST FEBRUARY 2021

KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:


KAMA MATUKIO HAYA YALIYOTOKEA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI YATAKUWA SIYO CINCIDENCES, BASI LAZIMA YATAKUWA NI MAIGIZO YALIYOKUWA YAMEPANGILIWA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU SANA

Kama matukio hayo yatakuwa siyo coincidences bali yalipangwa, basi wahusika wakuu watakuwa ni wafuatao

NAMBA MOJA: Kiongozi Mkuu

  • Huyu ndiye alianza kwa kufungua milango wakati anafundisha somo la hivi karibuni lililokuwa linahusu nafsi, roho na mwili pamoja na milango mitano ya fahamu (macho, pua, masikio, ngozi, ulimi)
  • Alikuwa anafundisha kwa kutumia watu aliokuwa anawasimamisha mbele ya madhabahu muda wote akiwa anafundisha somo hilo
Baada ya kufundisha somo hilo, alipotea madhabahuni, kwa maana ya kuwa hakuwahi kusimama tena madhabahuni kwenye siku za Jumapili kwa ajili ya kufundisha maandiko matakatifu.
Hapo sasa akawa tayari ameshamliza kazi moja ya kufungua mashambulizi ya kiroho kwa baadhi ya waumini kupitia viungo hivyo vya waumini (milango mitano ya fahamu), ikiwa ni pamoja na mashambulizi kwa kupitia nafsi (akili, fikra mawazo)

Baada ya hapo tena, ndiyo sasa baadhi ya waumini wakatokea kulalamikia kuona visivyostahili kuonekana.

Kama kweli vitu hivi walivyovilalamikia vilikuwa ni halisi na si malalamiko ya hewani tu, basi inaonekana kama vilikuwa vimepangwa. Vilianza kufanyiwa kazi siku Kiongozi Mkuu alipoanza kufundisha somo tajwa hapo juu. Somo hilio lilikuwa limekusudiwa kufungua milango ya kuwashambulia watu kwa njia ya milango hiyo mitano ya fahamu, yaani

  • Macho-kuona
  • Pua-kunusa
  • Masikio-Kusikia
  • Ngozi-uzinzi (feeling) ikiwa ni pamoja na joto (ubaridi, umoto) unashambulia kupitia ngozi ya mwanadamu
  • Ulimi-ladha, kuonja kupitia ulimi ikiwa ni ni pamoja na kula chakula
Kwa hiyo mapando yote yalifanyikia kule kweye picha za ajabu, kama kweli zilikuwepo. Na ndiyo sababu Kiongozi Mkuu hakuwa amehudhuria

NAMBA MBILI: Mhubiri wa uzinzi


Inaonekana kama kilichokuwa kinaendelea yalikuwa ni maigizo yaliyokuwa yamelenga kuja kuruhusu baadaye Kiongozi Mkuu kutoa tangazo la uzinzi akiwa amesimama madhabahuni

Inaonyesha kama ni maigizo kama ya wale waliowahi kubadilisha imani halafu KM akaja akawatangaza kama wazinzi, kama na hayo nayo yalikuwa ni maigizo pia

Maelezo ya kina kuhusu huyu mtu Mhubiri wa Uzinzi yatafuata baadaye. Anaonekana kama anawatoa kafara watoto wake kwa kuwa anawadhalilisha Kanisani

Maigizo hayo yamehitimishwa na Kiongozi Mkuu kwa kusimama madhabahuni na kutoa tangazo la uzinzi



NAMBA TATU: “MR X”


Huyu ndiye aliyemhamasisha mhusika kwa ajili ya mchango wa harusi, na alitoa

  • Mr X alikuwa mmojawapo wa wanakamati wa kamati ya harusi hiyo ambayo mshiriki mmojawapo amefukuzwa ushiriki na harusi hiyo kufutwa kabisa kuwa haitakuwepo tena kwa sababu ya uzinzi
  • Inaonyesha kama ili kutekeleza mkakati huu wa kutoa tangazo hilo la uzinzi madhabahuni, sadaka pia ilikuwa inahitajika pia
  • Na kama ni hivyo basi michango iliyotolewa na waumini kwa ajili ya harusi hiyo ndiyo imefanya kazi ya sadaka iliyohitajika kwa KM kusimama madhabahuni na kutoa tangazo hilo la uzinzi


HITIMISHO

Kama matukio haya siyo coincidences za kawaida tu, basi watu hawa wanaelekea kubaya, yaani Kiongozi Mkuu na watu wake

Mwandishi wenu atarudi kwa ajili ya maelezo ya kina zaidi, ila inaonyesha kama ambacho kimekuwa kikiendelea kanisani, ni maigizo matupu

Maelezo ya kina zaidi na yenye ufafanuzi murua yatafuata baadaye, possibly siku nyingine




EBR. 6:4-6 SUV


Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
Li kitu lirefu
Afu anaongelea feni mara switch mara sanitizer.....feni hulipii umeme wewe mikono inakuwashia nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah..
Endelea endelea mbele mkuu,
Me natafuta hedex hapa
 
Baada ya kusoma full thread asee,
Mkuu uandishi wako changamoto.
Ukijumlisha na codes pamoja na coded message ndo balaa lnakua kubwa.
Nikiri nmeelewa like 25% tu na niseme siulizi swali lolote inatoshaaaa!!!
Pole kwa jamaa mhusika tho hadi sasa tunajua ni wewe mwenywe na pole kwa mods maana thread kama hii hata kuedit hawawezi..
Alamsik!
 
There is a thin line between the story and the story teller, Just like lies and the lier! They all goes together, The nuktas is just there to soldfy (nukta).
 
Naendelea kusoma, inaonyesha Mhusika ni mtu mkorofi sana, yaani mtu mmoja tu anataka apange kanisa liendeshwe vipi

Hata kama amegundua kuna ushirikina kanisani sasa kwahiyo yeye alijua makanisa yana utakatifu? Mbona ni kawaida tu makanisa na waendeshaji kuwa washirikina?

Mhusika ni mtu wa kupenda sana haki, asiyeweza kukaa kimya jambo ambalo sio baya lakini kwa bahati mbaya hapa duniani watu wa namna hii hupata tabu sana

Ndio sababu kuna watu hukaa kimya, sio lazima useme kila unachokiona, maamuzi sahihi ni kuachana na jambo hilo kama linakukera sana

Najua Mhusika hawezi kuachana na dini basi ataendelea kupata tabu maana kote atakoenda salama yake ni kukaa kimya, ama sivyo ni kibano kila kona na hivyo asitulilie
 
Halii. Watu wakafanyie ushirikina kwingine, siyo Kanisani. Na ninavyomuona, kwa hili ana uwezo wa kulisimamia kwenye ulimwengu wa roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…