#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Waswahili tunapenda kuandika maelezo meengi mpaka unasahau. Nimeishia mistari michache,,,kwaheri baba.
 
UPDATE: MONDAY 15th FEBRUARY 2021



KWENYE HILI SAKATA LA MGOGORO UNAOENDELEA KANISA A, WA MKUU WA KANISA A KUENDELEA KUGOMBEA MADHABAHU YA BWANA NA MMILIKI WA MADHABAHU HIYO AMBAYE NI MUNGU:

HATIMATE MFANANO WA KIPEKEE WAJITOKEZA KATI YA MMOJAWAPO WA WAONGOZAJI WA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A)


Ni kwamba kuna waimbaji ambao huwa wanaongoza Ibada zote za Kusifu na Kuabudu, na kati ya waimbaji hao, huwa wapo tena baadhi yao ambao huwa wanawaongoza waimbaji wengine ndani ya kikundi hicho. Kwa hiyo mmojawapo wa waongozaji wa uimbaji kwenye kikundi hiki ndiyo amepelekea kuonekana mfanano wa kipekee kama ambavyo maelezo yake yametolewa hapa chini

Mfanano huu wa kipekee unamhusisha tena Kiongozi Mkuu (KM-A) na mmojawapo wa waongozaji wa Ibada za Kusifu na Kuabudu kwamba kwa kipindi kirefu sasa, kumekuwa na mfanano wa kipekee kati ya watu hawa wawili. Kiongozi huyu wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu, tumwite MUIMBAJI-A (MBJ-A), ni yule aliyeongoza kipindi cha Ibada hiyo kwenye Ibada ya J2 ya tarehe 14/02/2021. Mfanano huu umejitokeza kwa namna ya pekee kwamba

  • Kwa kipindi kirefu sana, kila ibada ya kusifu na kuabudu inayotokea kuongozwa na MBJ-A mhubiri anayesimama madhababhuni siku hiyo anakuwa ni KM-A
  • MBJ-A anapokuwa ameongoza Ibada hiyo ya uimbaji kwenye J2 husika, mhubiri wa siku hiyo lazima awe ni KM-A
Msomaji anaombwa asichanganye mambo kidogo hapa kwa sababu hii inamaanisha pia kuwa

  • SI MARA ZOTE anapokuwa amesimama madhabahuni KM-A kuhubiri, kiongozi wa uimbaji anakuwa ni MBJ-A isipokuwa:
  • Kwa kipindi kirefu sasa MARA ZOTE MBJ-A anapokuwa ameongoza Ibada ya kusifu na kuabudu, MHUBIRI ANAYESIMAMA MADHABAHUNI LAZIMA ANAKUWA NI KM-A


KIPINDI MFANANO HUU ULIPOANZA KUJITOKEZA

Mfanano huu ulianza kujitokeza kipindi kile yalipoanza mahubiri ya uzinzi

  • Baada ya KM-A kuwa amepotea madhabahuni kwa kipindi kirefu kwa mara ya kwanza, halafu hatimaye akarudi kiongozi mwingine kutoka kwenye mikutano ya injili na kuhubiri mahubiri ya uzinzi, KM-A alirejea tena madhabahuni
  • Siku ya J2 hiyo husika KM-A aliporejea tena madhabahuni, muongozaji wa Ibada ya kusifu na kuabudu alikuwa MBJ-A
  • Halikadhalika, KM-A alipopotea madhabahuni tena kwa mara ya pili, na hatimaye kiongozi mhubiri wa uzinzi, naye kurudi tena kutoka kwenye mikutano ya injili, akafanya kazi yake madhabahuni na hatimaye kupelekea KM-A kurejea tena madhabahuni. Siku ya J2 hiyo husika, kiongozi wa Ibada ya kusifu na kuabdu alikuwa tena MBJ-A
Mpaka hapa, haya ni matukio mawili yanayoonyesha mfanano wa kipekee na mhusika hana kumbukumbu tena tangu kipindi hicho hadi sasa, ya kumuona MBJ-A akiwa ameongoza Ibada ambayo mtu aliyewahi kusimama madhabahuni ni mwingine tofauti na KM-A

Vile vile mhusika hana kumbukumbu ya nani aliongoza Ibada ya kusifu na kuabdu, J2 ile ya tukio la tatu ambalo nabii aliwahi kusimama madhabahuni badala ya mhubiri wa uzinzi, na hatimaye kupelekea KM-A kurejea tena madhabahuni.

Hata hivyo mhusika ana kumbukumbu zingine za nyongeza, nzuri zaidi na zilizobeba uthibitisho thabiti kuhusiana na mfanano huu wa kipekee katika ya MBJ-A, na KM-A, kuanzia pale ambapo Ibada zilihamia kwa muda kwenye Kanisa Jipya, almaarufu kama Jengo Jipya; hadi leo

BAADA YA IBADA KUHAMIA KWA MUDA KWENYE KANISA JIPYA, NA HATIMAYE KURUDISHWA TENA KWENYE KANISA LA ZAMANI HADI LEO

Ibada ya mwisho iliyofanyikia kwenye Kanisa Jipya, iliongozwa na watu hawa wawili, MBJ-A aliongoza Ibada ya Kusifu na Kuabudu, na KM-A alisimama madhabahuni siku hiyo

Siku hiyo KM-A alipata shida sana kuongoza Ibada, akashindwa kuhubiri kitu kilichopelekea kuita watu wapite mbele madhabahuni. Aliwaita watu madhabahuni lakini inaonyesha sakafu hiyo walipokuwa wamesimama, haikuwa na response kama sakafu ile ya kwenye kanisa la zamani.

  • Tofauti na sakafu ya Kanisa jipya ambayo yenyewe ni homogeneous kwa kanisa lote, sakafu ya kanisa la zamani ipo tofauti kulingana na eneo la sehemu ya kanisa.
  • Kanisa la zamani lina sakafu special mbele ya madhabahu, ambayo iko tofauti na sakafu ya kanisa lote, na ambayo imetandazwa cement mahali pale tu ambapo huwa waumini wanasimama wanapokuwa wameitwa kupita mbele madhabahuni.
  • Sehemu hiyo imewekwa sakafu special ya cement, tena ile inayoteleza kiasi, na ni sakafu ambayo iko tofauti na sehemu nyingine ya nyumba hiyo ya Ibada
  • Sehemu nyingine yote iliyobaki ya Kanisa la zamani, na ambayo huwa wanakaa waumnini wote, imetengenezwa kwa vitofali vidogovidgo, tofauti na ile iliyopo mbele ya madhabahu ambapo waumini huwa wanasimama, ambayo yenyewe imesakafiwa kwa sement.
Kwa hiyo kwenye kanisa jipya mgawanyo wa aina huu wa sakafu haupo na hivyo kuna sakafu ya aina moja tu ndani ya kanisa zima

Hapo awali, hata viongozi wote nao pia walikuwa wanakaa upande wa waumini wakiwa wameface madhabahu sawa na waumini wengine, lakini baadaye siku za hivi karibuni, walibadilisha mkao na kuwa wanakaa pembezoni mwa sakafu hiyo, na hivyo wao kutokui-face madhabahu moja kwa moja kwa sababu inakuwa iko mbele kulia mwa sehemu ambayo wao walihamia na kuwa wanakaa. Mpangilio wa ukaaji huu uko hivyo hadi leo hii

Kwa hiyo tukirudi tena kwenye mada yetu, ni kwamba siku Ibada ya mwisho ilipoongozwa na watu hawa wawili, ilipelekea kutokuwa sawa kama ambavyo Ibada zote huwa zinakuwa siku zote. Siku hiyo ilipelekea hadi KM-A kumuomba tena MBJ-A arudi madhabahuni na aimbishe wimbo wa “KIJITO CHA UTAKASO” na MBJ-A aliitikia wito huo. Baada ya siku hiyo sasa ndiyo Ibada zikahamishwa tena kwenye Kanisa Jipya na Kurudi Kanisa la zamani mpaka leo hii



BAADA YA IBADA KURUDISHWA TENA KWENYE KANISA LA ZAMANI KUANZIA MWISHONI MWA APRIL 2020

Rekodi alizonazo mhusika kwa kipindi chote ambacho Ibada zilirudishwa kwenye Kanisa la zamani, ni kwamba tangia pale hakuna Ibada yoyote ambayo MBJ-A amewahi kuongoza halafu mhubiri wake akawa siyo KM-A. Ibada zote ambazo amewahi kuongoza MBJ-A tangu pale, zote mhubiri wake amekuwa ni KM-A, japo si kila Ibada aliyosimama madhabahuni KM imekuwa ikiongozwa na MBJ-A, kama ilivyoelezwa hapo awali

Huu mfanano ni wa kipekee sana kma ule wa kiongozi wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu aliyewahi kuongoza Ibada mara moja tu halafu usiku wa siku hiyo mhusika akapata msiba. Huyu naye hakuwa ameongoza Ibada hii kwa kipindi kirefu sana kabla na baada ya hapo hajawahi kufanya hivyo tena hadi leo. Yaani tangu mwishoni mwa Julai 2020, kiongozi huyu hajawahi tena kuongoza Ibada hiyo hadi leo



HITIMISHO

Kuna J2 mbili zilizofuatana mfululizo ambazo mhusika aliwahi kukosa kuwepo Kanisani kwa bahati mbaya tu na. hizi ni J2 ya tarehe 29/12/2020 (ya mwisho wa mwaka) na iliyofuata ya tarehe 06/01/2021 (ya mwanzo wa mwaka) Hata hivyo ana uhakika kuwa kwenye J2 hizi zote, mhubiri wake hakuwa KM-A kwa sababu ile ya mwisho wa mwaka ratiba ilibadilika ndani ya wiki kukawa na mgeni kutoka nje na Ibada ikawa ni moja, na nyingine iliyofuata ya mwanzo wa mwaka, iliambatana na sherehe maalumu ya kuwapongeza viongozi kwa hiyo Ibada hiyo nayo ikapelekea kuwa na Ibada moja na hivyo si KM-A aliyewahi kuhudumu kwenye Ibada hizo

Unless kama MBJ-A aliwahi kuhudumu kwenye Ibada za Kusifu na Kuabdudu za J2 hizo tajwa hapo juu; vinginevyo kama hakufanya hivyo, basi tangu Ibada zirudi tena kwenye kanisa la zamani, hakuna Ibada ambayo MBJ-A amewahi kuhudumu NA MHUBIRI WA SIKU HIYO AKAWA SIYO KM-A



Hata hivyo kuna dalili kama waiongozaji wa aina hii wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu wako wawili, ambao huwa wako matched na KM-A. Huwa wanapokezana katika namna ambayo waumini walio wengi hawawezi kugunddua kirahisi kuwa wao ndiyo watu pekee, the only chosen, ambao huwa wanahudumu Ibada pamoja na KM-A. Hata hivyo hili asingependa kuliongelea sana kwa sababu uhakika zaidi hana, tofauti ni haya aliyoyaongelea awalii

Zaidi ni kuwa tangu mgogoro huu wa madhabahu ya Kanisa A uanze, kwa mara ya kwanza J2 ya tarehe 14/02/2021 MK-A hakuweza kusimama madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo, hakuwa na matangazo siku hiyo. Au pengine labda hakuona haja kwa sababu tayari alikuwa amesimama kwa ajili ya kutoa neno. Hata hivyo hapo kabla, alikuwa anasimama kutoa matangazo hata kama siku hiyo alikuwa amesimama pia kutoa neno madhabahuni

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 16th FEBRUARY 2021



KWENYE HILI SAKATA LA MGOGORO UNAOENDELEA KANISA A, WA MKUU WA KANISA A KUENDELEA KUGOMBEA MADHABAHU YA BWANA NA MMILIKI WA MADHABAHU HIYO AMBAYE NI MUNGU:

HATIMATE MFANANO WA KIPEKEE WAJITOKEZA KATI YA MMOJAWAPO WA WAONGOZAJI WA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A)


Ni kwamba kuna waimbaji ambao huwa wanaongoza Ibada zote za Kusifu na Kuabudu, na kati ya waimbaji hao, huwa wapo tena baadhi yao ambao huwa wanawaongoza waimbaji wengine ndani ya kikundi hicho. Kwa hiyo mmojawapo wa waongozaji wa uimbaji kwenye kikundi hiki ndiyo amepelekea kuonekana mfanano wa kipekee kama ambavyo maelezo yake yametolewa hapa chini

Mfanano huu wa kipekee unamhusisha tena Kiongozi Mkuu (KM-A) na mmojawapo wa waongozaji wa Ibada za Kusifu na Kuabudu kwamba kwa kipindi kirefu sasa, kumekuwa na mfanano wa kipekee kati ya watu hawa wawili. Kiongozi huyu wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu, tumwite MUIMBAJI-A (MBJ-A), ni yule aliyeongoza kipindi cha Ibada hiyo kwenye Ibada ya J2 ya tarehe 14/02/2021. Mfanano huu umejitokeza kwa namna ya pekee kwamba

  • Kwa kipindi kirefu sana, kila ibada ya kusifu na kuabudu inayotokea kuongozwa na MBJ-A mhubiri anayesimama madhababhuni siku hiyo anakuwa ni KM-A
  • MBJ-A anapokuwa ameongoza Ibada hiyo ya uimbaji kwenye J2 husika, mhubiri wa siku hiyo lazima awe ni KM-A
Msomaji anaombwa asichanganye mambo kidogo hapa kwa sababu hii inamaanisha pia kuwa

  • SI MARA ZOTE anapokuwa amesimama madhabahuni KM-A kuhubiri, kiongozi wa uimbaji anakuwa ni MBJ-A isipokuwa:
  • Kwa kipindi kirefu sasa MARA ZOTE MBJ-A anapokuwa ameongoza Ibada ya kusifu na kuabudu, MHUBIRI ANAYESIMAMA MADHABAHUNI LAZIMA ANAKUWA NI KM-A

KIPINDI MFANANO HUU ULIPOANZA KUJITOKEZA

Mfanano huu ulianza kujitokeza kipindi kile yalipoanza mahubiri ya uzinzi

  • Baada ya KM-A kuwa amepotea madhabahuni kwa kipindi kirefu kwa mara ya kwanza, halafu hatimaye akarudi kiongozi mwingine kutoka kwenye mikutano ya injili na kuhubiri mahubiri ya uzinzi, KM-A alirejea tena madhabahuni
  • Siku ya J2 hiyo husika KM-A aliporejea tena madhabahuni, muongozaji wa Ibada ya kusifu na kuabudu alikuwa MBJ-A
  • Halikadhalika, KM-A alipopotea madhabahuni tena kwa mara ya pili, na hatimaye kiongozi mhubiri wa uzinzi, naye kurudi tena kutoka kwenye mikutano ya injili, akafanya kazi yake madhabahuni na hatimaye kupelekea KM-A kurejea tena madhabahuni. Siku ya J2 hiyo husika, kiongozi wa Ibada ya kusifu na kuabdu alikuwa tena MBJ-A
Mpaka hapa, haya ni matukio mawili yanayoonyesha mfanano wa kipekee na mhusika hana kumbukumbu tena tangu kipindi hicho hadi sasa, ya kumuona MBJ-A akiwa ameongoza Ibada ambayo mtu aliyewahi kusimama madhabahuni ni mwingine tofauti na KM-A

Vile vile mhusika hana kumbukumbu ya nani aliongoza Ibada ya kusifu na kuabdu, J2 ile ya tukio la tatu ambalo nabii aliwahi kusimama madhabahunibadala ya mhubiri wa uzinzi, na hatimaye kupelekea KM-A kurejea tena madhabahuni.

Hata hivyo mhusika ana kumbukumbu zingine za nyongeza, nzuri zaidi na zilizobeba uthibitisho thabiti kuhusiana na mfanano huu wa kipekee katika ya MBJ-A, na KM-A, kuanzia pale ambapo Ibada zilihamia kwa muda kwenye Kanisa Jipya, almaarufu kama Jengo Jipya; hadi leo

BAADA YA IBADA KUHAMIA KWA MUDA KWENYE KANISA JIPYA, NA HATIMAYE KURUDISHWA TENA KWENYE KANISA LA ZAMANI HADI LEO

Ibada ya mwisho iliyofanyikia kwenye Kanisa Jipya, iliongozwa na watu hawa wawili, MBJ-A aliongoza Ibada ya Kusifu na Kuabudu, na KM-A alisimama madhabahuni siku hiyo

Siku hiyo KM-A alipata shida sana kuongoza Ibada, akashindwa kuhubiri kitu kilichopelekea kuita watu wapite mbele madhabahuni. Aliwaita watu madhabahuni lakini inaonyesha sakafu hiyo walipokuwa wamesimama, haikuwa na response kama sakafu ile ya kwenye kanisa la zamani.

  • Tofauti na sakafu ya Kanisa jipya ambayo yenyewe ni homogeneous kwa kanisa lote, sakafu ya kanisa la zamani ipo tofauti kulingana na eneo la sehemu ya kanisa.
  • Kanisa la zamani lina sakafu special mbele ya madhabahu, ambayo iko tofauti na sakafu ya kanisa lote, na ambayo imetandazwa cement mahali pale tu ambapo huwa waumini wanasimama wanapokuwa wameitwa kupita mbele madhabahuni.
  • Sehemu hiyo imewekwa sakafu special ya cement, tena ile inayoteleza kiasi, na ni sakafu ambayo iko tofauti na sehemu nyingine ya nyumba hiyo ya Ibada
  • Sehemu nyingine yote iliyobaki ya Kanisa la zamani, na ambayo huwa wanakaa waumnini wote, imetengenezwa kwa vitofali vidogovidgo, tofauti na ile iliyopo mbele ya madhabahu ambapo waumini huwa wanasimama, ambayo yenyewe imesakafiwa kwa sement.
Kwa hiyo kwenye kanisa jipya mgawanyo wa aina huu wa sakafu haupo na hivyo kuna sakafu ya aina moja tu ndani ya kanisa zima

Hapo awali, hata viongozi wote nao pia walikuwa wanakaa upande wa waumini wakiwa wameface madhabahu sawa na waumini wengine, lakini baadaye siku za hivi karibuni, walibadilisha mkao na kuwa wanakaa pembezoni mwa sakafu hiyo, na hivyo wao kutokui-face madhabahu moja kwa moja kwa sababu inakuwa iko mbele kulia mwa sehemu ambayo wao walihamia na kuwa wanakaa. Mpangilio wa ukaaji huu uko hivyo hadi leo hii

Kwa hiyo tukirudi tena kwenye mada yetu, ni kwamba siku Ibada ya mwisho ilipoongozwa na watu hawa wawili, ilipelekea kutokuwa sawa kama ambavyo Ibada zote huwa zinakuwa siku zote. Siku hiyo ilipelekea hadi KM-A kumuomba tena MBJ-A arudi madhabahuni na aimbishe wimbo wa “KIJITO CHA UTAKASO” na MBJ-A aliitikia wito huo. Baada ya siku hiyo sasa ndiyo Ibada zikahamishwa tena kwenye Kanisa Jipya na Kurudi Kanisa la zamani mpaka leo hii



BAADA YA IBADA KURUDISHWA TENA KWENYE KANISA LA ZAMANI KUANZIA MWISHONI MWA APRIL 2020

Rekodi alizonazo mhusika kwa kipindi chote ambacho Ibada zilirudishwa kwenye Kanisa la zamani, ni kwamba tangia pale hakuna Ibada yoyote ambayo MBJ-A amewahi kuongoza halafu mhubiri wake akawa siyo KM-A. Ibada zote ambazo amewahi kuongoza MBJ-A tangu pale, zote mhubiri wake amekuwa ni KM-A, japo si kila Ibada aliyosimama madhabahuni KM imekuwa ikiongozwa na MBJ-A, kama ilivyoelezwa hapo awali

Huu mfanano ni wa kipekee sana kma ule wa kiongozi wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu aliyewahi kuongoza Ibada mara moja tu halafu usiku wa siku hiyo mhusika akapata msiba. Huyu naye hakuwa ameongoza Ibada hii kwa kipindi kirefu sana kabla na baada ya hapo hajawahi kufanya hivyo tena hadi leo. Yaani tangu mwishoni mwa Julai 2020, kiongozi huyu hajawahi tena kuongoza Ibada hiyo hadi leo



HITIMISHO

Kuna J2 mbili zilizofuatana mfululizo ambazo mhusika aliwahi kukosa kuwepo Kanisani kwa bahati mbaya tu na. hizi ni J2 ya tarehe 29/12/2020 (ya mwisho wa mwaka) na iliyofuata ya tarehe 06/01/2021 (ya mwanzo wa mwaka) Hata hivyo ana uhakika kuwa kwenye J2 hizi zote, mhubiri wake hakuwa KM-A kwa sababu ile ya mwisho wa mwaka ratiba ilibadilika ndani ya wiki kukawa na mgeni kutoka nje na Ibada ikawa ni moja, na nyingine iliyofuata ya mwanzo wa mwaka, iliambatana na sherehe maalumu ya kuwapongeza viongozi kwa hiyo Ibada hiyo nayo ikapelekea kuwa na Ibada moja na hivyo si KM-A aliyewahi kuhudumu kwenye Ibada hizo

Unless kama MBJ-A aliwahi kuhudumu kwenye Ibada za Kusifu na Kuabdudu za J2 hizo tajwa hapo juu; vinginevyo kama hakufanya hivyo, basi tangu Ibada zirudi tena kwenye kanisa la zamani, hakuna Ibada ambayo MBJ-A amewahi kuhudumu NA MHUBIRI WA SIKU HIYO AKAWA SIYO KM-A



Hata hivyo kuna dalili kama waiongozaji wa aina hii wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu wako wawili, ambao huwa wako matched na KM-A. Huwa wanapokezana katika namna ambayo waumini walio wengi hawawezi kugunddua kirahisi kuwa wao ndiyo watu pekee, the only chosen, ambao huwa wanahudumu Ibada pamoja na KM-A. Hata hivyo hili asingependa kuliongelea sana kwa sababu uhakika zaidi hana, tofauti ni haya aliyoyaongelea awalii

Zaidi ni kuwa tangu mgogoro huu wa madhabahu ya Kanisa A uanze, kwa mara ya kwanza J2 ya tarehe 14/02/2021 MK-A hakuweza kusimama madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo, hakuwa na matangazo siku hiyo. Au pengine labda hakuona haja kwa sababu tayari alikuwa amesimama kwa ajili ya kutoa neno. Hata hivyo hapo kabla, alikuwa anasimama kutoa matangazo hata kama siku hiyo alikuwa amesimama pia kutoa neno madhabahuni

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 18th FEBRUARY 2021

KIONGOZI MKUU KANISA A


Kwa wale waliokuwa makini, akiwa yuko madhababhuni anaomba, watakuwa wamemsikia akitamka maneno yanayoshahibiana na haya “kutupa kuzimu au kurudisha kuzimu nguvu au malaka ya giza”

Kiongozi huyu bado nawaangusha sana waumini wake. Hizi statement in za kuruhusu uwepo wa mapepo kwa sababu kuzimu ndiyo kule yaliko makazi yao. Pepo kawida ukitaka kumuondoa humuondoi kwa kuumrudisha kuzimu au kwa kumtupa kuzimu, bali unamytekekteza kwa damu ya Yesu.

“Haya naomba waliokaa tusimame”. Wajinga ndiyo waliwao

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 19h FEBRUARY 2021

MATENDO YANAYOFANYWA NA KIONGOZI MKUU KANISA A NA TAFSIRI YAKE KWENYE ULIMWENGU WA ROHO UKIHUSIANISHA NA MATUKIO MAKUBWA YANAYOENDELEA KUIKUMBA NCHI YETU KWA WAKATI HUU

Kwenye ulimwengu war roho,
matukio yoyote yale yasiyokuwa mazuri huwa yanaweza kupata mwanya wa kujipenyeza pale tu ambapo baadhi ya nyumba za Ibada zinakuwa hazijasimama kwenye zamu yake kama inavyostahili.

Na kwa haya yanayoendelea ndani ya nchi yetu kwa muda huu, tafsri yake kwenye ulimengu wa roho ni kwamba KM-A pamoja na kundi lake wanahusika moja kwa moja na matukio haya na si vinginevyo

  • Kwenye tafsri katika ulimwengu wa roho, hili halina ubishi kwamba mojawapo ya wahusika wakubwa katika haya yanayoendelea ni KM-A na kundi lake
  • Hata hivyo hoja hii ikichukuliwa kwenye upande mwingine wa ulimwengu wa kisayansi, haina mashiko hata kidogo, ni kisingizio cha kutaka kumlaumu mtu kwa matukio ya asili ambayo hayana uhusiano wowote na mtu yeyote yule
Kwa hiyo, kwenye ulimwengu wa roho, tafsiri yake iko kama hivyo ilivyoelelezwa hapo juu, kwamba KM-A na wenzake pamoja na kundi lao dogo ndani ya Kanisa A, wanahusika moja kwa moja na matukio haya, na hizi ni facts za ulimwengu wa roho na wala haziwezi kuchukuliwa kuwa ni lawama ambazo hazina msingi wowote

Na kwa sababu KM-A huwa anatumia maombi kama njia mojawapo ya kupenyeza mambo yake anapokuwa anachakachua mambo kwa kutumia madhabahu ya Bwana, hapa sasa nadhani atakuwa amefurahi muno, meno yote 48 nje kwa sababu kuna maombi yametangazwa tena. Amepata fursa nyingine adhimu kwa ajili ya kupitishia mambo yake nyeti humo humo kwenye maombi haya yaliyotangazwa

Kwa nyongeza tu ni kwamba mhusika kwa sasa anamfahanu zaidi KM-A na katika kiwango ambacho baada ya namna ambavyo KM-A anajifahamu yeye mwenyewe, inaweza kuwa mtu mwingine anayefuata katika kumfahamu, ni mhusika

Ni kweli kabisa kuwa KM-A kwa sasa atakuwa anachekelea meno yote 48 nje. Huyu mtu kama angekuwa mtumishi halisi wa Mungu, asingeweza kupata angalau hata zile tuhuma tu za haya yote yanayoendelea, yaani hata kule kupata tuhuma za namna hii tu asingeweza kupata



POLENI SANA WATANZANIA WOTE WENYE MAPENZI MEMA KWA MAJONZI HAYA MAKUBWA. MUSSA NA HARUNI WETU BADO TUNAO, NA MUNGU WETU NAYE PIA BADO YUPO PAMOJA NASI

……………“TUMTANGULIZENI MUNGU KATIKA MAMBO YOTE TUTASHINDA”…………….



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 19h FEBRUARY 2021

USHAURI KWA KIONGOZI MKUU KANISA A


Kwamba mtu umeshathibitika kabisa kuwa unatumika na mamlaka za giza, wewe mwenyewe unajua hilo na watu wameshathibitisha beyond reasonable doubt kwamba unatumika huko, why not surrender God’s Altar halafu ukaenda huko unakopenda utumike? Mungu atakavyokuja kukutandika hatimaye

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
KM-A
Desemba 06, 2020 ilikuwa ni sikukuu ya viongozi. Baada ya hapo J2 ya wiki iliyofuata KM-A alisimama madhabahuni kuwashukuru waumini kwa ajili ya siku hiyo ya sikukuu, na bila aibu akasema kuwa kuna waumini wameendelea kumtia moyo na kumwambia azidi kusonga mbele. Na kweli anazidi kusonga mbele, nadhani kila muumini wa Kanisa A kwa sasa ana ushuhuda wa uhakika zaidi kuhusiana na swala la KM-A kusonga mbele. Ni mwanajeshi yuko vitani, anasonga mbele akiwa anampiga adui kisawaswa
 
Coming up next.......

UPDATE:FRIDAY 26 FEBRUARY 2021

MATUKIO MAKUBWA YASIYOKUWA YA KAWAIDA AMBAYO YALISHAWAHI KUMPATA MHUSIKA AKIWA NDANI YA NCHI NA AMBAYO YALIPELEKEA AWE ANAADIKIWA BARUA NA MAMLAKA ZA JUU KAZINI KWAKE, ZA KUMTUHUMU KUWA ANAELEKEA KUUGUA UGONJWA WA KICHAA


Ni maelezo ya kina yakielezea matukio mbalimbali/ kadhaa yaliyopelekea mhusika kuwekwa kwenye kundi hilo la watu wanaokaribia kuugua ugonjwa wa kichaa, baada ya mhusika kuwa amekumbana na matukio hayo na hatimaye kumpelekea kutoa taarifa za matukio hayo, ambapo ilibidi uongozi wa juu wa taasisi anayofanyia kazi, kumwelekeza kuziwasilisha kwa mtu sahihi ndani ya tasisi hiyo, na hatimaye alifanya hivyo.

Mara ya kwanza kwa yeye kuwasilisha taarifa hizi ilikuwa Februari 2016, na tukio la kwanza alilowahi kulibaini kwa mara ya kwanza PAPO KWA PAPO lilitokea Novemba 2010 akiwa safarini kusini mwa Tanzania. Hii inamaanisha kuwa kuna matukio mengine alikuja kuyabaini lakini yakiwa yameshapita, yaani alikuja kuyajua baadaye tayari yakiwa yamepita. Mfano mzuri wa matukio ya aina hii ni kama lile la MR Y, ambalo alitakiwa akafanye kazi kusini mwa tanzania lakini hatimaye kazi hiyo iliota mbawa na katika mazingira yasiyoeleweka, kwa hiyo akawa ameshindwa kwenda kufanya kazi hiyo

Matukio haya anayaleta mbele ya umma katika ile hali ya kujaribu kutafuta mtizamo kutoka jicho la pili kutoka kwa watu wengine ambao ni public. Nia hasa ya kuleta matukio haya mbele ya umma ni katika kujaribu kuupa umma nao, nafasi ya kuweza ku-judge kama tuhuma dhidi ya mhusika kuelekea kuwa na kichaa zilikuwa ni sahihi ama la

Na mpaka hapa, wasomaji wa uzi huu inabidi wakubaliane na mwandishi kuwa anayeandika taarifa hizi na mhusika, ni watu wawili toafuti. Hii ni kwa wale wanaodai kuwa anayeandika ndiyo mhusika mwenyewe. Hiki kitu hakiwezekani kwa sababu mtu ambaye amewahi hata kule kutuhumiwa tu kuwa ana uwezekano wa kuugua kichaa, hata kama kweli hicho kichaa hana, bado hawezi kuandika taarifa za namna hii na katika mtindo huu, haiwezekani

Kwa hiyo hapa wasomaji inabidi wakubaliane na mwandishi kuwa anayenadika na anayesimuliwa, ni watu wawili tofauti, japo si lazima kwamba kila msomaji inabidi achukue msimamo huu, ni ushauri tu

Stay tuned

MUBARIKIWE TENE NA BWANA
 
UPDATE:FRIDAY 26 FEBRUARY 2021

………………….inaendelea

MATUKIO MAKUBWA YASIYOKUWA YA KAWAIDA AMBAYO YALISHAWAHI KUMPATA MHUSIKA AKIWA NDANI YA NCHI NA AMBAYO YALIPELEKEA AWE ANAANDIKIWA BARUA NA MAMLAKA ZA JUU KAZINI KWAKE, ZA KUMTUHUMU KUWA ANAELEKEA KUUGUA UGONJWA WA KICHAA


  • Mara ya mwisho mhusika aliandikiwa barua ya kumtuhumu kuwa anaweza kuwa ni mgonjwa wa kichaa, ilikuwa mnamo Septemba 2019
  • Hii ilikuwa ni barua ya pili iliyomfikia ikiwa imebeba tuhuma za namna hii
  • Barua hii iliyotajwa hapa juu, ilikuja ikiwa pia imeambatana na barua nyingine ya pili, iliyokuwa ikimdai mhusika pango la nyumba la zaidi ya takribani TZS 2,000,000/=
  • Ile ya kwanza kabisa yeynyewe iliaindikwa mnamo Februari 2016 na iliambata na ile release ya kumfutia tuhuma mhusika kwa tuhuma zilizokuwa zikimkabili tangu May 2014
  • Barua hizi zote zilikuwa zinanakiliwa (copied) kwa mtu ambaye mhusika aliwahi kufanya maongezi naye kuhusiana na matukio haya atakayoyaeleza humu, na yale yote ambayo tayari amaeshayaeleza humu
  • Huyu mtu ni yule ambaye mhusika alielekezwa na uongozi wa juu wa taasisi, akatoe taarifa kwake, na possibly, uongozi nao sasa ukawa unapata feedback kutoka kwake baada ya hapo
Unless uongozi huu wa juu wa tasisis ulikuwa unabuni hali ya kiafya ya mhusika, the chances ni kwamba huyu mtu aliyekuwa anapokea taarifa moja kwa moja kutoka kwa mhusika, ndiye anaweza kuwa alizishauri mamlaka hizo kuwa mhusika anaelekea kuugua ugonjwa wa kichaa

Huyu ni mtu ambaye mamlaka za juu za ofisini kwa mhusika, zilimwamini na hatimaye kumwelekeza mhusika ampelekee maelezo yake, zenyewe zikiwa zimetanabaisha kuwa hazikuwa katika nafasi nzuri ya kupokea maelezo hayo moja kwa moja isipokuwa possibly kwa kupitia mtu huyo ziliyekuwa zimemuanisha

Kwa hiyo barua zote zenye tuhuma ya ukichaa wa mhusika zilizofuata baada ya mhusika kuwa ameshawasilisha maelezo yake yote kwa mtu huyu, zilikuwa zinakuwa copied kwa mtu huyu, kwa sasa tumwite “SPECIALST”



TUHUMA ZA MAANDISHI KUHUSIANA NA MHUSIKA KUELEKEA KUUGUA UGONJWA WA KICHAA


Barua ya pili iliyoipata mhusika ikimtuhumu kuelekea kuugua kichaa, ilikuja kwake kama majibu ya barua yake aliyowahi kuiandika kwa mamlaka za juu ofisini kwake. Barua hiyo iliyopata majibu ya aina hii, aliiandika baada ya kuwa ameona dalili fulani za hatari kwenye msimu unaofanana na huo alioandika barua hiyo (mwaka 2019), ila msimu huo uliokuwa umechukua mazingira hayo ya hatari ukiwa ni ule wa mwaka uliokuwa umepita nyuma yake, yaani 2018

  • Yaani kuna kitu alikuwa amejifunza ndani ya mwaka 2018 katika kipindi ambacho wanafunzi walikuwa likizo, ambacho kilipelekea aandike barua mwaka 2019 kwenye msimu unaofanana na ule wa mwaka 2018
  • Barua hiyo ilikuwa inahusu yeye kuruhusiwa kufanyia kazi nyumbani, baada ya wanafunzi kuwa wameondoka mazingira ya ofisini, au baada ya kuwa wamefunga, mpaka pale watakapokuwa wamerudi tena ndiyo arejee tena kwa kufanyia kazi ofisini kama ilivyo siku zote
Ni kwamba hali hiyo ya kutokuwepo wanafunzi katika mazingira ya ofisini, mara zote ilikuwa inapelekea mazingira hayo kuwa na watu wachache sana, ikiwa ni pamoja na baadhi ya watu kuonekana wakipangilia matukio kadha wa kadha ambayo hayakuwa mazuri kwake. Hiki ndicho kilichompelekea akaandika barua ya kuzishauri mamlaka za juu kazini, kumruhusu kuwa anafanyia kazi nyumbani kwanza, mpaka pale ambapo wanafunzi wangekuwa wamerudi kutoka likizo

Kwa hiyo, mwaka huo wa 2019 wakati anaandika barua hiyo,

  • Ilikuwa ni kipindi kile kile kama kile cha mwaka 2018 kilichowahi kumpa tahadhari fulani, kipindi ambacho wanafunzi tayari walikuwa wameshafunga na hapakuwa na watu wengi mazingira ya ofisini
  • Baadhi ya wafanyakazi nao pia walikuwa aidha wako likizo, au wako field pamoja na wanafunzi
Msomaji hapa inabidi akumbuke dokezo alilowahi kulitoa mhusika huko nyuma kuwa kwa MARA NYINGI SANA, MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWAIDA AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIKUMBANA NAYO KATIKA MAZINGIRA YA OFISINI, YAMEKUWA YAKITOKEA WAKATI WANAFUNZI WANAPOKUWA WAKO LILKIZO



MATUKIO AMBAYO MHUSIKA ATAYAONGELEA KWENYE MADA HII


Ni baadhi tu ya matukio yaliyotukia akiwa ndani ya nchi, na aidha ndani ya kituo chake cha kazi au nje ya kituo. Matukio ya nje ya kituo cha kazi yanajumuisha yale ambayo alikuwa anakuwa yuko safarini, kwa safari za binafsi au hata za kikazi pia.



TUKIO LA KWANZA NOVEMBA 2010. NJE YA KITUO CHA KAZI, SAFARI BINAFSI.

Ikumbukwe kuwa mengi ya matukio haya ni yale aliyoweza kuyabaini papo kwa papo, au mda mfupi tu baada ya kuwa yametokea. Tukio la kwanza kabisa aliloweza kulibaini kwa mara ya kwanza, alikumbana nalo mnamo Novemba 2010 akiwa safarini

  • Alikuwa safarini, akisafiri kwenda kutafuta tiba ya waganga wa jadi, aliyokuwa amesisitizwa na jamaa yake wa karibu sana, baada ya kuwa akimtembela nyumbani kwake mara kwa mara
  • Tiba hiyo ilikuwa akaitafute maeneo ya kusini mwa Tanzania
Hatimaye kweli mhusika aliamua kutekeleza ushauri huo ambao alishauriwa na jamaa yake wa karibu (siyo ndugu yake)



KILICHOPELEKEA USHAURI HUO KUTOKA KWA JAMAA HUYO WA KARIBU NA MHUSIKA

Ni kwamba mhusika hajawahi hata siku moja kwenda kwa waganga wa kienyejei tangu azaliwe
. Kwa hiyo huyu mtu ambaye ni jamaa yake wa karibu sana, alikuwa akifika nyumbani kwa mhusika mara kwa mara na kumweleza kuwa yeye amefanya makosa makubwa sana kutokuwa na tabia ya kwenda kwa waganga wa kienyeji.

Ushauri huu aliupuuzia kwa kipindi fulani lakini kadri muda ulivyokuwa unakwenda, hatimaye aliamua kuufanyia kazi, akaamua kuondoka nyumbani akiwa anaelekea Sumbawanga, ili akapewe dawa ya kinga pamoja na mambo mengine atakayoshauriwa huko, yote katika kujaribu kufanikisha maisha ili yawe superb. Zaidi alikuwa amejengewa dhana moja kichwani kwamba “wenzako wote huwa wanafanya hivyo”

Kwa hiyo mhusika alichomoka siku moja akiwa anaelekea Sumbawanga, kwa ushauri wa jamaa yake wa karibu sana ila ambaye si ndugu yake

Mpaka hapa, msomaji inabidi akumbuke pia kuwa, tukio la mwaka 2008 lililowahi kumhusisha MR Y. ambalo mhusika aliwahi kuahidiwa kazi ya kwenda kufanya halafu ikakosekana, kazi hiyo nayo ilikuwa ifanyikie huko huko mikoa ya Kusini



……………………….inaendelea
 
UPDATE:FRIDAY 26 FEBRUARY 2021


………………….inaendelea

TUKIO LA KWANZA NOVEMBA 2010
. NJE YA KITUO CHA KAZI, SAFARI BINAFSI.

  • Ilikuwa ni katika kipindi ambacho wanafunzi walikuwa bado wako likizo
  • Mhusika naye alikuwa likizo pia
Safari hii ilianzia nyumbani kwake jioni moja, akaenda akalala Morogoro Stand ya Msanvu. Akiwa Ubungo Bus Terminal, alionana na jamaa yake mwingine wa karibu sana, ambaye huyu naye anafahamiana pia na yule wa mwanzo ambaye ndiyo alikuwa mshauri wa safari hiyo ya mhusika

  • Huyu jamaa wa pili naye alikuwa anaelekea Morogoro, na makazi yake yeye ni pale pale stand ya Bus Msanvu
  • Waliondoka wote na mhusika hadi Morogoro, wakala chakula cha jioni nyumbani kwa huyu jamaa mwingine wa Morogoro, na hatimaye mhusika alisindikizwa na mwenyeji wake kuelekea kwenye Guest aliyokuwa amefikia hapo hapo karibu na stand.
  • Kesho yake asubuhi mhusika aliondoka asubuhi na mapema, hakumuaga mwenyeji wake asubuhi hiyo, na wala huyu mwingine aliyekuwa amemshauri kwa ajili ya safari hiyo, naye pia hakuwa amemuaga.
Hatimaye gari husika iliwasili ikiwa inatoke Dar es Salaam na mhusika alipanda. Tatizo lililotokea hapo ni kwamba, gari aliyokuwa amekatiwa ticketi haikuja, ilikuja gari nyingine. Kwa hiyo mhusika akapandishwa kwenye gari ambayo hakuwa amekata tiketi yake, na alipojaribu kwenda kukaa kwenye seat number ya tiketi aliyokuwa nayo, japo kwa gari tofauti, seat hiyo ikaonekana kuwa ina mtu mwingine. Mhusika ilibidi ajibane sehemu kwanza na baada ya gari kuwa imeondoka Mrogoro, wahusika walimpatia kiti cha kwenye safu ya nyuma kabisa dirishani, upande wa kulia mwa gari

Ikumbukwe pia kuwa kabla ya hapo, baada ya gari kuwa imetoka stand ya Msamvu, ilienda ikapaki tena mjini mahali fulani kama kwenye garage hivi kwa takribani dakika 45

  • Ilikuwa ni kwa ajili ya matengenezo ya mlango ulikokuwa unaleta matatizo ya kujifungua wenyewe, yaani automatic door
  • Wakiwa hapo, baadhi wa wasafiri ilibdi washuke kwenye gari, mhusika akiwa mmoja wao
  • Katika pilika pilika za hapa na pale, mhusika akawa amebahatika kuongea na mtu mmoja ambaye baadaye alikuja kumfahamu kwa majina ya DEUSDEDITH KAMBI (tumwite DK)
  • Huyu mtu alikuwa ameambatana na binti mwingine mdogo wake ambaye naye, baadaye mhusika alikuja kumfahamu kwa majina ya LYDIA KAMBI
  • Kwa muda wote wakiwa wako safarini, watu hawa wawili hakuweza kuwa karibu nao, isipokuwa tu pale waliposhuka kwenye Basi kwenye usiku wa masaa ya saa moja kuelekea saa mbili, na hatimaye watatu hawa kuelekea kwenye nyumba ya kulala wageni hapo mjini Tunduma
  • Wakiwa wanajisajili kwenye daftari la wageni ndiyo mhusika aliweza kujua majina yao hayo, ilikuwa ni wakati DK alipokuwa akifanya usajili wa majina hayo
Tukirudi tena pale tuliposhia, ni kwamba basi lililazimika kupata matengenezo ya dharula pale Mororgoro kabla ya kuanza safari, na hapo ndipo mhusika na DK walipokutana. DK alidai kuwa yeye anaelekea Sumbawanga na ndiyo kwao. Mhusika naye akamweleza DK kuwa anaelekea huko huko kutafuta tiba ambayo alikuwa amelekezwa, na ndiyo hapo DK alipomhakikishia mhusika kuwa anao uwezo wa kumsaidia kumpeleka sehemu sahihi kwa sababu yeye ni mwenyeji huko na hadi jamaa zake wa karibu huwa ni wataalamu wa kufanya kazi hiyo. Kwa hiyo kuanzia pale DK na mhusika walikubaliana kuwa watashuka wote Tunduma halafu kesho yake ndiyo wataanza safari ya kuelekea Sumbawanga. Kwa hiyo waliondoka wote mpaka Tunduma, wakafika kwenye guest, DK akiwa anasajili majina kwenye kitabu ndiyo mhusika akaweza kujua majina yao. Vinginevyo muda wote wa mchana watatu hawa hawakuwa na mawasiliano kwa sababu walikaa viti vya mbali mbali, na hata wakati wa chakula cha mchana pale Kitonga, hawakuweza kuwa pamoja.

Zaidi ni kuwa wakati wa chakula cha mchana pale Kitonga, mhusika alikuja kustukia gari aliyokuwa akisafiria imeshapakia abira na kuondoka bila ya yeye kuwa na taarifa, almanusura imwache

  • Wala hakuwa amesikia tangazo lolote lile kuhusiana na gari hilo kutaka kuondoka au kuwaandaa abiria kwa ajli ya kuondoka
  • Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kunusurika kuachwa na gari katika safari zake zote alizowahi kufanya, maisha yake yote
  • Anachokumbuka yeye ni kuwa gari hiyo haikuwahi kutoa tangazo la kuondoka pale hotelini na possibly iliondoka mapema zaidi takribani dakika 10 kabla ya muda uliokuwa umeterajiwa kuwa ingeweza kukaa pale
Mpaka hapa, msomaji inabidi akumbuke kuwa hata tiketi aliyokuwa anasafiria mhusika ndani ya gari hilo, haikuwa ya gari hiyo. Kwa hiyo kama gari hiyo angefanikiwa kumuacha pale Kitonga, tiketi aliyokuwa nayo mhusika nayo bado tena ilikuwa inaonyesha kuwa hakuwa kwenye gari hiyo. Kwa hiyo chochote kile ambacho kingeweza kumtokea baada ya pale, gari hiyo iliyokuwa imemfiksha hapo Kitonga, ilikuwa haihusiki. Ni kwa sababu hakuwa na tgiketi ya gari hiyo

Kwa bahati nzuri mhusika aliiwahi gari hiyo kwa umbali wa takribani mita 100 kutokea sehemu ya chakula, akapanda na hatimaye usiku wakafanikiwa kuwasili Tunduma salama, akachukua taxi akiwa na wenyeji hao wawili na wakaelekea kwenye guest ambayo DK alipendekeza kwa sababu yeye ni mwenyeji pia pale Tunduma

Haya ndiyo baadhi tu ya maelezo anayoweza kusimulia MTU ANAYETUHUMIWA KUUGUA UGONJWA WA KICHAA, na simulizi iliyotokea zaidi ya miaka 10 iliyopita





………inaendelea
 
Unajua mtu akishatoa maelezo kwa watu halafu akawa anapata tuhuma za kuwa anaelekea kuwa kichaa, si inabidi ayatoe tena sasa maelezo hayo kwenye public ili nayo pia iweze kuyapima na kuona kama kweli mtu husika wa maelezeo hayo anaelekea kuwa na kichaa ama la, si ndiyo?
 
UPDATE:FRIDAY 26 FEBRUARY 2021


TUKIO LA KWANZA NOVEMBA 2010
. NJE YA KITUO CHA KAZI, SAFARI BINAFSI.

………………….inaendelea



BAADA YA KUWASILI TUNDUMA


  • Walilala kwenye guest moja
  • Kesho yake asubuhi baada ya chai, DK akaonekana kuwa hana mpango wowote wa safari yoyote
  • Maelezo yakawa mengi na yenye kutia mashaka
Hapa sasa DK alikuwa tayari ameshaanza mkakati wa wa kum-scare mhusika ili waachane, kila mtu achukue hamsini zake, na alifanikiwa

Baada ya hapo mhusika akawa ameanza kupata sense mpya, akarudi mpaka kwa mtu ambaye alikuwa kila mara anakuja nyumbani kwake kumhamasisha afanye safari ya kwenda kwa waganga wa kienyeji. Vile vile hapo hapo kwa mara ya kwanza akaanza, kumtilia mashaka mtu huyo kuwa uwezekano mkubwa alikuwa ana nia mbaya, lakini muda huo akiwa tayari yuko Tunduma, tna akajua kabisa kuwa kama mgtu huyo akweli atakuwa alikuwa na nia mbya, basi kulikuwa na mtandao tayari uliokuwa umeshajiseti kote alikotoka na atakakokuwa anaelekea, kwa wakati huo

The worst of all, simu alikuwa ameamua kuiacha nyumbani, hakuwa na simu muda wote wa safari hiyo

  • Hii ilitokana na ukweli kuwa kuna mtandao wa watu ulikuwa umejipanga wakiwemo ndugu zake wa karibu sana waliokuwa wakiamua kuanza kumbip, wanambip mfululizo asubuhi mpaka jioni
  • Kwa hiyo yeye kwa akili yake ya kipindi kabla hajafika Tunduma, aliamua kuiacha simu ili kuwachenga hao
  • Hata hivyo baada ya kuwa amefika Tunduma, na hatimaye kutengana na DK, alibaini kuwa hawa waliokuwa wakimbip mfuluizo, wao ndiyo walikuwa wamefanikisha lengo lao na si yeye kudhani kuwa alifamiksha lengo lake la kuwachenga
Baada ya DK kuonyesha kutokuwa na mpango wowote wa safari, alichofanya mhusika ni kumuaga DK akimdanganya kwamba inabidi atoke kidogo aende mahali fulani kutafuta kitu sokoni halafu atarudi baadaye, kitu ambacho DK hakuona kigeni kwa sababu ndicho alichokuwa akikitarajia. Yale yote aliyokuwa DK ameyafanya alijua kuwa yatapelekea reaction hiyo kwa mhusika

Mhusika alimuaga DK na kunyoosha moja kwa moja kurudi stend ya magari minibus za kurudi Mbeya. Pale stendi ya basi akakata ticket ya Mbeya. Alipofika Mbeya akakata tena ticket ya Iringa. Wakati huo sasa ameamua kurudi nyumbani Dar es Salaam, na ameshacanel kila kitu na safari hiyo haipo tena.

Kwa bahati nzuri au mbaya, siku hiyo hakufanikiwa kufika Iringa, isipokuwa aliishia njiani mahali fulani kwenye kituo cha Polisi alipofika kwa ajili ya kujisalimisha usalama wake na baada ya hapo yalifuata mahojiano ambayo yalichukua takribani siku tatu. Yalianza usiku wa siku ya Ijumaa ambayo ndiyo siku aliyowasili mahali hapo kwa ajili ya kupata msaada na yaliisha Jumapili mchana

  • Siku anafika kituoni hapo, alikuwa na kiu ya maji lakini hakupewa maji, alinyimwa
  • Kumbe mamlaka zilikuwa zimehofia kuwa zinaweza kumpa maji ya kunywa, halafu kumbe alikokuwa ametoka, amepewa kitu kingine cha aajbu halafu akapoteza maisha
  • Mahesabu ya haraka haraka baada ya hapo ingekuwa ni yale maji aliyopewa kunywa baada ya kufika kituoni ndiyo yangekuwa chanzo cha mtu kupoteza maisha
Hii ndiyo intellijensia ya kipekee aliyokuja kuigundua na iliyotumika wakati akiwa hapo kituoni. Kwa hiyo maji ya kunywa alikuja kupewa baadaye sana, kesho yake baada ya kituo kuwa kimejirdhisha kuwa alikuwa hana tatizo jingine lolote, na yalikuwa ni maji ambayo hakunywa yeye tu bali watu wengine pia waliokuwapo kituoni hapo. Polisi walichukua tahadhari hiyo kwa kudhania kuwa pengine anaweza akawa alikuwa amefika mahali pale akiwa na tatizo jingine zaidi ya lile ambalo lilipelekea awepo pale akiwa analitolea maelezo yake. Zaidi pia ni kuwa pale kituoni, Polisi walibaini kuwa ticket zote za magari aliyokuwa anasafiria, ambazo alikuwa akiziweka kwenye begi lake dogo alilokuwa nalo, zilikuwa zinaibiwa pasipo yeye mwenyewe kujua, hapakuwa na tiketi hata moja ndani ya begi hilo, zote zilikuwa zimeibiwa. Hii ilikuwa ikifanyika kwa ajili ya kuficha identity ya magari aliyokuwa akisfairia, just in case of anything. Ikumbukwe pia kuwa hata basi lile alilokuwa ametoka nalo Dar es Salaam, nalo pia hakuwa amepewa ticket yake, kwa hiy hakuwa na ticket yake isipokuwa ya basi jingine ambalo hakuwa amesafiri nalo



Haya ndiyo baadhi tu ya maelezo anayoweza kusimulia MTU ANAYETUHUMIWA KUUGUA UGONJWA WA KICHAA, na simulizi iliyotokea zaidi ya miaka 10 iliyopita



……………….inaendelea
 
Aisee.
Hizi code ni nzito mno.

Anyways twende mpaka mwisho. Kuna jambo kubwa umeliongea hapa.

Mungu akulinde
 
………………….inaendelea



BAADA YA KUWA AMEKAA KITUONI KWA MUDA WA TAKRIBANI SIKU TATU


Allingia kituoni Ijumaa jioni, akatoka Jumapili mchana kwenye mida kama ya saa saba hivi

Kabla hajatoka kituoni, mahojiano yakiwa tayari yameisha, aliitwa ofisini kwa Mkuu wa Kituo. Mkuu huyo alimuuliza mhusika maswali mawili

Unataka nikusaidie nini? Mhusika alijibu kuwa naomba sasa uniruhusu niendelee na safari yangu ya kurdui Dar es salaam. Mkuu huyo alimuuliza swali jingine tena kuwa “Kuna tatizo lolote labda ambalo umepata katika kipindi chote ulipokuwa upo hapa kituoni? Mhusika alijibu hapana, kwa maana ile ya hapana na si vinginevyo, kitu ambacho hata yeye mkuu wa kituo aliyeuliza sawli, alionekana wazi kabisa kukubaliana nacho kwamba hiyo hapana aliyojibu mhusika ilimaanisha hapana kweli na si vinginevyo

Baada ya hapo, mhusika aliruhusiwa kutoka kituoni hapo. Kitu cha peke na hawa watu ni kwamba unaingia kwao ukiwa umeomba kuingia ila kutoka sasa inakuwa ni kwa amri yao. Wanakuruhusu tu pale watakapoona kuwa kile ulichodai kuwa kipo, hakipo tena au wamekifanyia kazi kwa kiwango wanachoridhika nacho wao wenyewe.. Katika maisha yake, mhusika alitamani sana kuwa mmoja wao lakini hakubatika

Kwa hiyo mhusika alitoka hapo kituoni siku hiyo, akapanda gari mpaka Iringa mjini na kulala pale, halafu kesho yake akapanda gari na kurudi Dar es Salaam

Wakati anaanza safari yake hii, aliondoka nyumbani J5 jioni akaenda akalala Morogoro, Alhamis akaenda hadi Tunduma na kulala huko, Ijumaa akarudi hadi Kituo cha Polisi mahali fulani na kukaa kituoni hapo hadi J2 mchana, na J2 hiyo tena akafanikiwa kufika na kulala Iringa, hatimahye J3 akawa amewasili tena nyumbani kwake

Kumbe huku nyuma huyu jamaa yake aliyekuwa akimhamasisha mara kwa mara aende kwa waganga wa kienyeji, alikuwa anapita kila siku maeneo anayoishi mhusika, yaani kuanzia J5 mpaka siku anarudi, na siku zote kuanzia J5 hadi J2, nyumbani kwake kulikuwa giza. Alikuja kushangaa baada ya J3 usiku kuona taa zinawaka, ikabidi kesho yake J4 asubuhi alifika mahali pale kuja kuangalia ni nani hasa aliyekuja hapo na kuwasha taa hizo nyumbani kwa mtu ambaye yeye alikuwa ana uhakika kabisa kuwa hawezi kuwa yupo tena duniani



Cha muhimu zaidi kwenye tukio hili ni kwamba mpaka hapa, mhusika sasa aliamua kuacha kufanya safari za binafsi ikiwa ni pamoja na kutokwenda likizo nyumbani kwao Mwanza. Kwa hiyo kuanzia hapa mhusika akawa anafanya safari zile ambazo ni za kiofisi tu, za kwake binasfi akawa amezisitisha kabisa kuanzia pale



Haya ndiyo baadhi tu ya maelezo anayoweza kusimulia MTU ANAYETUHUMIWA KUUGUA UGONJWA WA KICHAA, na simulizi iliyotokea zaidi ya miaka 10 iliyopita

TUKIO LA KWANZA LINAISHIA HAPA, ILA KWA KIFUPI SANA





TUKIO LA PILI; SAFARI YA KIKAZI MWEZI MEI 2012


  • Hili lilitokea mnamo May 2012
  • Lilitokea katika muda ambao mhusika alikuwa tayari ameshafanya safari nyingine nyingi tu za kikazi, na baada ya kuwa ameshakumbana na tukio lake la kwanza akiwa kwenye safari ya binafsi mnamo Noovemba 2010
  • Mhusika alikuwa safarini akitokea mikoani alikokuwa ameenda kukagua na kuchukua data za kupima Matetemeko ya Ardhi
  • Alikuwa anatumia usafiri wa basi
  • Basi hilo lilipta breakdown maeneo ya dakwa na kuonyesha dalili kuwa lingeweza kuondoka pale usiku sana au pengine hata kulala pale
Hili ndiyo tukio ambalo mama wa kiroho wa mhusika aliwahi kuhusika kwenye mtandao wa kujua mhusika alipokuwa yupo kwa kumtumia ujumbe mfupi wa sms. Baada ya mambo kuwa yameharibika mhusika akiwa yuko maeneo ya Dakawa Morogoro, mama wa kiroho akawa hapokei simu wala kuujibu sms. Ni baada ya mhusika kumjulisha kuwa alikuwa katika mazingira ya kutatanisha, yeye alidahni kuwa mama huyu angeweza kuwa wa msaada sana hasa katika mazingira hayo kumbe hapana, ila haikuwa hivyo



………………..itaendelea

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

 
UPDATE: SATURDAY 27/02/2021
Hi guyz!
Something new is on its way towards the pages of this thread. You all stay tuned once again
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…