#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KWA HALI HIYO BASI; HALIPO NENO NDANI YA MAANDIKO MATAKATIFU BIBLIA AMBALO HALINA PUMZI YA MUNGU; NA HIVYO BASI
  • Kila neno lenye pumzi ya mungu lafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya watu makosa yao
  • Si kila neno lenye pumzi ya mungu linamhusu muumini; mengine yanamhusu shetani
  • Whether neno lenye pumzi ya mungu linamhusu muumini au shetani; bado neno hilo linafaa kwa ajili ya kumfundisha muumini au kumuonya; au vyote viwili
 
MAELEZO KUHUSIANA NA SAFARI NYINGINE NNE (4) ZA KIOFISI AMBAZO MHUSIKA HAJAWAHI KUZITOLEA MAELEZO YAKE HUMU JUKWAANI

Kati ya safari hizi ambazo jumla yake ni nne; tatu aliwahi kuzifanya na nyingine moja ambayo ilikuwa ni ya nje; hakuifanya

Safari tatu za ndani zilikuwa ni mandatory wakati ile moja ya nje; ilikuwa ni optional; na ndiyo maana hiyo ali-opt kutokuifanya

  • Kati ya hizi, safari mojawapo ailiifanya Novemba 2007 (ndani ya nchi) na alitumia siku zisizozidi saba (7)
  • Nyingine tena ya pili aliifanya April 2008 na ilichukua muda wa wiki nne (4)
Safari hizi mbili zote zilikuwa zinahusisha sehemu moja ambayo ilikuwa ni mgodini ambako alitakiwa kwenda kufanya kazi kwa siku hizo tajwa

  • Safari ya tatu aliifanya March 2011; nayo pia ilikuwa ni ndani ya nchi.
  • Safari ya nne ilikuwa ni ya nje ya nchi na kwa muda wa takribani mwezi mmoja.
  • Safari hii ilikuwa scheduled kuanza ndani ya mwezi wa June 2012 na kumalizikia ndani ya mwezi wa July 2012
Kitu muhimu kwenye muda wa safari hii ya nje ya nchi; ni kwamba mwishoni mwa June 2012, Mkuu wa Idara aliyekuwepo kipindi hicho alikuwa anamalizia kipindi chake cha pili cha miaka mitatu na Julai mosi 2012; Mkuu wa Idara mwingine mpya alikuwa anaingia madarakani

Kwa hiyo kama angefanikiwa kuifanya safari hii; mhusika angeondoka nchini huku akiacha idarani kwake kukiwa na Mkuu wa Idara A (MIA) na wa zamani, na angerudi nchini na kukuta tena idarani kwake tayari kulishakuwa na Mkuu wa Idara mwingine B (MIB) ambaye ni mpya; huyu akiwa alishaingia madarakani/ ofisini tangu Julai mosi 2012

YALE AMBAYO YALIKUWA TAYARI YAMESHAJIRI KABLA YA SAFARI HIZI KUFANYIKA:

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kabla ya kuendelea zaidi ni kwamba safari zilizokuja baadaye kudhihirka kwake kwamba zilikuwa na kasoro kubwa kuhusiana na usalama wake, ni zile ambazo aliwahi kuzifanya kuanzia mwaka 2007 na kuendelea. Hata hivyo kwa mara ya kwanza kabisa mhusika kuweza kugundua utata kwenye safari hizo ilikuwa ni mwaka 2010; yaani miaka mitattu baadaye

Kwa hiyo anachojaribu kukisema hapa ni kuwa safari zenye utata zilikuwa zimeshaanza tangu mwaka 2007 isipokuwa yeye mhusika alikuja kuugundua utata huo kwa mara ya kwanza Novemba 2010

……………………….inaendelea
 
YALE AMBAYO YALIKUWA TAYARI YAMESHAJIRI KABLA YA SAFARI HIZI KUFANYIKA:

……………………….inaendelea


Desemba 2006; SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) alipanda ngazi na kufikia cheo cha pili kwa ukubwa; kwenye taasisi nzima

Maana yake ni kwamba ukimwondoa overall Mkuu wa Taaisi; aliyekuwa anafuata baada ya huyo alikuwa ni SMME

Ikumbukwe pia kuwa SMME na mhusika wanafanya kazi idara moja

MABADILIKO MUHIMU YALIYOTOKEA KUHUSIANA NA MIONGOZO YA SAFARI ZA KIKAZI BAADA YA SMME KUPANDA CHEO

Hapo kabla; safari zote za kiofisi nje ya Dar es Salaam na zisizozidi siku tatu (3); authorisation yake ilikuwa inafanyika kwenye MAJOR UNIT; unit ambayo inakuwa na idara kadhaa chini yake

Safari zingine zote zaidi ya siku tatu; authorization yake ilikuwa inafanyikia Central Administration (CA); ambako ndiko SMME alikuwa amehamia baada ya kuwa amepanda cheo

Kwa hiyo baada ya SMME kuhamia CA; utaratibu huu ulibadilishwa ila kwa bahati mbaya mhusika hakufanikiwa kupata sekula ya mabadiliko hayo na hivyo hakuweza kuyafahamu kwa ushahidi wa maandishi hadi siku ya safari yake Novemba 2007, takribani mwaka mmoja kamili baada ya mabadiliko hayo kuwa yamefanyika

MABADILIKO YALIYOTOKEA KUANZIA MWAKA 2007

K mabadiliko hayo, mkuu wa MAJOR UNIT alipewa mamlaka ya ku-authorise siku chini ya saba (7) badala ya zile tatu za awali

Central Admimnistrarion ikawa ina-authorise siku kuanziasaba (7) na kuendelea

Wakati SMME anapanda cheo, SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMME) kutoka idarani kwa mhusika, ndiye aliyekuwa Mkuu mpya wa MAJOR UNIT aliyekuwa ameingia madarakani takribani nusu mwaka uliokuwa umepita nyuma (Julai 2006)

Huyu sasa ndiye aliyekuwa ameongezewa mamlaka ya ku-authorise siku chini ya saba (7) badala ya zile tatu (3) za awali kuanzia January 2017

Chini ya Mkuu huyu wa MAJOR UNIT; wakati huo kulikuwa pia na Mkuu wa Idara (MWI) yule ambaye aliwahi kutawala kwenye kipindi cha kuanzia mwaka 2006-2012

SAFARI YA KWANZA YA KUELEKEA KWENYE MGODI YAWADIA; NVEMBA 2007

Ikumbukwe kuwa safari zote mbili, ile ya Novemba 2017 na nyingine ya April, 2018 zote zilikuwa ni za kuelekea sehemu moja; mgodini

Kwenye safari hii ya kwanza, kiilichokuwa kinampeleka mhusika mgodini ilikuwa ni simple training ya kifaa ambacho mgodi huo ulikuwa umekikodi kutoka kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika. Kwa hiyo kwenye safari hii ya kwanza; mhusika ilibidi awapelekee kifaa hicho na hatimaye kukiacha huko baada ya kuwa ame-train pia watu wa kukitumia huko mgodini, ili baadaye waendelee kukitumia wao wenyewe kulingana na muda wa makubaliano kati yao na Taasi ya mhusika

Kwa hiyo kabla hajaondoka, ikamlazimu sasa mhusika kujaza ruhusa ambayo siku zake zilikuwa ni saba (7) na ambayo katika hali ya kawaida; authoruisation yake ilitakiwa itoke CA

Mkuu wa Idara (MWI) idarani kwa mhusika ndiye aliyekuwa hasa anahusika na kukodisha kifaa hicho, na ndiye pia aliyekuwa anahusika kupitisha na ku-forward ruhusa ya safari ya mhusika, kwenda ngazi inayofuata

MWI alimshauri mhusika ajaze ruhusa halafu ai-address kwa Mkuu wa MAJOR UNIT; au SMKE kwa jina binafsi

  • Hapa ilikuwa ni baada ya MWI kumhakikishia mhusika kuwa utaratibu mpya wa sasa (ule ambao ulianza kutumika baada ya SMME kuhamia CA); authorization ya ruhusa kwa siku 7 inafanyikia kwenye MAJOR UNIT
  • Mhusika alijaza ruhusa hiyo halafu baadaye akai-lodge kwa MWI lakini hadi siku anaondoka, ruhusa yake ilikuwa bado haijarudi kutoka kwa Mkuu wa MAJOR UNIT au SMME
  • Pamoja na ruhusa hiyo kuwa ilichelewa kutoka, MWI alimpa mhusika go-ahead akimhakikishia kuwa ruhusa yake haiwezi kuwa na matatizo yoyote; na kwamba itakapokuwa imetoka halafu wataiweka kwenye pigeon hole yake ataikuta siku anarudi
  • Wakati huo mhusika alikuwa ameshapeleka kifaa chake DAHACO, alikuwa anasafiri nacho kwa ndege mpaka Mwanza halafu tena kwa ndege kutoka Mwanza hadi Ngara Airport
Mhusika alifanikiwa kuondoka na hatimaye kuwasili salama mgodini akiwa na kifaa hicho; na hatimaye tena kuanza training yake ya siku saba

……………………itaendelea
 
UPDATE: THURSDAY 15TH JUNE 2022

BREAKING NEWS-1:


KILE AMBACHO KILIFANYIKA HASA KWENYE J2 MBILI ZILIZOPITA; J2 YA WIKI JANA NA ILE YA WIKI JUZI:

CODE ZINAZOTUMIA MAJINA (NOUNS), NDIYO ZINAZOTUMIKA KURUSHIA MAPEPO MAJINA HAYO (NOUNS), “NOUNS” HIZO ZINAPOKUWA ZIMETAMKWA KUTOKEA MADHABAHUNI


  • Code hizi zilitumiwa na KM-A J2 ya wiki juzi wakati alipokuwa anatoa matangazo
  • Code hizo hizo zikaja zikatumika tena J2 ya wiki jana wakati wa mahubiri ya Kiongozi Junior aliyekuwa amesimama madhabahuni
  • Baadhi ya code hizo; mhusika tayari ameshazitaja hapo juu, ila kuna nyingine mbili muhimu ambazo zimeongezeka
  • Kwa maelezo ya ziada ni kuwa kuna siku KM-A aliwahi kuwaomba waumini walio na Biblia wanyooshe mikono; watu wakanyoosha mikono; na watu wengi sana walinyoosha mikono, mhusika akiwa mmoja wao
Kabla ya kuendelea zaidi, wasomaji wanaombwa warejee post hii hapa #650 ambayo maelezo yake ndiyo yanayohusiana na J2 hiyo ya nyuma ambayo KM-A aliwahi kuuliza swali kwa waumini “wangapi wana Biblia”

Siku hiyo, alirusha mapepo kwenye Biblia zote, za karatasi na za kidigtali
 
BREAKING NEWS-2:
MREJESHO KUHUSIANA NA CLIP YA UTANI ULIOFANYWA NA KM-A KWENYE IBADA YA PILI J2 YA TAREHE 05/06/2022 AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA ANAENDELEA KUITAFUTA

Mpaka muda huu; mhusika amebaini kuwa:

Kuna BAADHI ya maneno yanayokosekana kwenye video za mahubiri yaliyoko mtandaoni; ukilinganisha na yale ambayo yalisikika LIVE kanisani wakati wa Ibada.


Baadhi ya maneno yafuatayo ambayo yaliwahi kusikika LIVE wakati wa Ibada; hayapo kwenye video iliyopo mtandaoni muda huu

Kwenye Ibada ya PILI J2 ya tarehe 05/06/2012; KM-A alisikika akifanya utani kuhusu fungu la Yohana 3:16 akisema “kwa maana jinisi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili kila amwaminiye…… apate magari na majumba….n.k.

Maneno kuhusiana na utani huu hayapo tena kwenye video ambayo mhusika alii-download kutoka mtandaoni kwa ajili ya kusikiliza mafundisho ya Ibada hiyo

Mbali na hilo, kwenye Ibada ya PILI ya Jumapili ya tarehe 12/06/2012; mhubiri akiwa anasifia mamlaka za shetani, alienda mbali zaidi hadi akafikia hatua ya kumlinganisha mfalme shetani kama Rais wa nchi; wakati anatoa ufafanuzi juu ya utii wa watu kwa mfalme wao;

  • Mhubiri alikuwa anasema kwamba huwezi kumpinga mfalme vinginevyo ukimpinga, inabidi uwe na namna ya kufanya.
  • Katika hili; mhubiri alienda mbali zaidi hadi kufikia hatua ya kutaja JINA LA RASI WA NCHI (jina kapuni)
Maneno haya kwa sasa YOTE HAYAPO kwenye video ya Ibada ya pili

ISIPOKUWA:

Maneno haya ya kumsifu mfalme shetani yapo kwenye video ya Ibada ya kwanza
; ila Rais hajatolewa mfano na kuna kipande ambacho kinaonekana dhahiri kabisa kuwa kimefanyiwa editing

Kwenye post hiyo hapo juu BREAKING NEWS-1 ambapo mhusika alikuwa anataka kuongelea NOUNS zingine mbili zaidi,. mojawapo ya NOUNS hizo ilikuwa ni “Wakuu wa wilaya na mikoa” iliyotajwa kwenye tangazo la KM-A J2 ya tarehe 05/06/2022 kwenye Ibada ya pili; na NOUN ya pili ilikuwa iwe ni neno RAIS pamoja na JINA LAKE kama ambavyo mhusika alilisikia JINA HILO likitajwa kwenye Ibada ya pili J2 ya tarehe 12/06/2022

NOUNS hizi “Rais” pamoja na “jina la Rais ambalo lilitajwa” kwa sasa vyote vimesha-sublime; havipo tena kwenye video zilizopo mtandaoni za Ibada ya J2 ya tarehe 12/06/2022

Kwenye videos hizi zilizoko mtandaoni, kuna kitu kikubwa kinafanyika na wamiliki wa videos hizo

……………………………itaendelea
 
KWA HIYO KUNA BAADHI YA SEHEMU AMBAZO ZINASIKIKA WAKATI WA IBADA, IBADA IKIWA IKO LIVE LAKINI BAADAYE ZINAKUWA HAZIPO KWENYE VIDEO INAYOKUWA IPO MTANDAONI
 
MELEZO YA KINA KUHUSIANA NA NOUNS AMBAZO MHUSIKA AMESHAZITAJA HAPO JUU

WAKATI WA MATANGAZO YA IBADA YA KWANZA J2 YA TAREHE 05/06/2012


KM-A anasikika akisema kuwa watoto wanahitaji pia mapazia na vioo vya madirisha….halafu hapo hapo tena akasema hiyo tuiache kwanza

Mpaka hapa, hii inaonyesha kuwa hakuwa amedhamiria kutaja vioo vya madirisha na mapazia; hali inayoashiria kuwa “ilikuwa ni vigumu sana (japo pia si kwamba ilikuwa haiwezekani kabisa) kwake kurudia kosa hilo la kutaja vioo vya madirisha na mapazia wakati wa matangazo hayo ya Ibada ya pili

VILE VILE WAKATI WA MATANGAZO KWENYE IBADA YA PILI J2 YA TAREHE 05/06/2012

KM-A amerudia tena kusema kosa hilo hilo alilolisitisha wakati wa Ibada ya kwanza. Amerudia kusema tena “na pia wanahitaji mapazia, …. halafu akaendelea akasema hiyo tuiache kwanza

Kitu ambacho hakukitaja kwenye Ibada ya pili ni vioo vya madirisha; ila ametaja mapazia tu

Mpaka hapa, mfanano wa maneno haya kwa kiwango hiki, inaonyesha dhahiri kabisa kuwa

Alikuwa amedhamiria kuyangaza hivyo kama alivyoyatangaza kwenye Ibada zote mbili, vinginevyo kama dhamira isingekuwepo; KM-A asingeweza kukosea kwa kuyarudia tena kwenye ibada ya pili; na ukizingatia kuwa alikuwa anayasoma kutoka kwenye karatasi

Yale maneno ya mwanzo yanayosema “na pia wanahitaji…….halafu baada ya hapo ndiyo linafuata neno MAPAZIA, yalikuwa yanatosha kabisa kumfanya asilitaje neno MAPAZIA

……………………..inaendelea
 
WAKATI WA MAHUBIRI YA IBADA YA KWANZA NA YA PILI; J2 YA TAREHE 12/06/2012; KAMA YALIVYO KWENYE VIDEOS ALIZONAZO MHUSIKA

Kuna NOUNS kadhaa ambazo zimetajwa, mwanzoni kabisa mwa mahubiri, na pasipokuwa na ulazima wowote NOUNS hizo ni Biblia, note book, daftari; pale waumini walipokuwa wanahamasishwa kuchukua Biblia na note book zao.

Hivi kuna haja kweli ya kuwakumbusha hivyo waumini ambao ni watu wazima na ambao wamekuja na Biblia, note book na dafatari zao pasipo kuwa wamekumbushwa na mtu yeyote?

NAMNA MUUNDO WA MAHUBIRI YA J2 HIYO ULIVYOKUWA


Mahubiri ylikuwa na fungu kuu ambalo baada ya kusomwa, maelezo yake hayakufuata; fungu kuu liliachwa hewani kwanza

Badala yake mahubiri yalianza kumwongelea Shetani kwanza kwa sifa kemkem na kwa kutumia kichwa kingine “NGUVU ZA GIZA” tofauti na kile kilichokuwa kimetajwa awali

KWA UREFU SANA, FUNDISHO HILO, LILIGEUKIA KWA SHETANI KWANZA LIKIWA LIMEJIKITA KWENYE KICHWA “NGUVU ZA GIZA”

Mhubiri alianza kwa kusema kuwa anapozungumzia nguvu za giza; kimsingi anazungumzia juu ya utendaji wa Shetani na majeshi au mawakala wake akibainisha mambo kadhaa muhimu kama ifuatavyo

Ufalme wa giza ni ufalme ambao

  • Umekamilika na wenye mamlaka kamili
  • Unaotenda kazi hata sasa (yaani hata wakati ambao mhubiri alikuwa amesimama madhabahuni)
Mhubiri alikiri kuwa hata pale alipokuwepo, ufalme wa shetani ulikuwepo mahali mahali ukiwa unafanya kazi akiongezea kuwa ndani ya ufalme huo wa shetani; kuna falme mkuu ambaye ni yeye mwenyewe shetani

Mhubiri aliendelea kwa kumfafanua shetani kuwa anajulikana pia kama

Mkuu wa ulimwengu
  • Ibilisi
  • adui
  • mfalme wa uwezo wa anga
  • Mwenye nguvu
  • mfalme mkuu
  • mungu wa dunia hii
  • mfalme wa uwezo wa anga
  • nyoka wa zanmani
Baada ya hapo, ulifuata mlolongo wa mafungu ya Biblia kuthibitisha yaliyosemwa hapo juu

Kwa hiyo kuanzia pale, kichwa cha somo kiliachwa kwanza, yakafululiza mafungu yanayoelezea sifa na nguvu za shetani; namna shetani alivyo powerful

Baada ya hapo, mhubiri alienda tena mbali zaidi kwa kutoa maelezo yanayohusiana na shetani akiwataja mawakala wake kuwa ni wachawi, waganga, washirikina, matambiko, ramli, ibada za mizimu , kafara, n.k.

Akamalizia kwa kusema kuwa shughuli hizi zote chafu na mbaya zinafanywa na ufalme huu

Zaidi aliongezea kwa kusema kuwa mawakala wengine wa ufalme huu ni majeshi ya pepo wabaya na wakuu wa giza huku mfalme mkuu wa ufalme wa giza akiwa anatenda kazi pamoja nao
SOMO LIKIWA BADO LINAENDELEA KUJIKITA JUU YA UWEZO NA MAMLAKA YA NGUVU ZA GIZA
………………………….inaendelea
 
MKAKATI MKUU WA UFALME HUU; KAMA AMBAVYO MAFUNDISHO YA J2 HIYO YALIVYOKUWA YAKIUELEZEA

Kuua; kuchinja na kuharibu
maisha ya watu wa Mungu

Hapa mafungu kadhaa yakafuata tena kwa kusomwa kuthibitisha nguvu za shetani juu ya hili

Baada ya hapo, yakafuata maelezo kuwa mfalme siku zote huwa ana mamlaka juu ya watu anaowatawala. Neno la mfalme huwa halipingwi. Ukipinga kiholela neno la mfalme ambaye uko chini yake unaweza kufanywa chochote

Na hapa ndipo pale kilipotajwa cheo cha Rais (NOUN) ikiwa pamoja na jina lake halisi (NOUN) kama mfano, CLIP AMBAYO maneno yake (bila cheo na jina la Rais) yapo kwenye video ya Ibada ya kwanza iliyopo mtandaoni, lakini manemo hayo (pamoja na cheo na jina la Rais) havipo kabisa kwenye video ya Ibada ya pili iliyopo mtandaoni.

Jina na cheo cha Rais; vyote mhusika alivisikia vikitajwa wakati wa Ibada ya pili na kwa hali hiyo, vilisikika na waumini wote wa Ibada ya pili

Hapa mafungu mengine yalitajwa tena (mafungu yale tu ambayo ni negative)

  • Ninyi ni wa baba yenu Ibilisi; na tamaa za baba yenu
  • Pepo mchafu anasema ….nitairudia nuyumba yangu.
Ikumbukwe kuwa hapa waliokuwa wanaofundishwa haya SI WAONGOFU WAPYA BALI WAUMINI WALIOKOMAA NA WANAOYAJUA YOTE YALIYOKUWA YAKISEMWA KWAO TANGU MIAKA MINGI NYUMA; HUKU KICHWA CHA SOMO HILO KIKIWA “NGUVU ZA GIZA HAZINA MAMLAKA TENA JUU YANGU”

…………….inaendelea
 
KILE AMBACHO MHUSIKA ANA UHAKIKA KILIPELEKEA SOMO LENYE KICHWA HICHO KUFUNDISHWA KWA WAUMINI WA KANISA A

Ukweli ni kuwa kile ambacho waumini walio wengi kwenye makanisa mengi hawakielewei vizuri ukiavhilia mbali waumini wa Kanisa A ni uwezo walionao kiroho juu ya mamlaka ya nguvu za giza

Kwa hali hiyo, hapakuwa na haja ya kupindisha somo hilo na kuanza tena kuwafundisha waumini ukuu na uweza wa mamlaka ya nguvu za giza; na ambao tayari wanaufahamu kwa kina


Still, umuhimu wa ufahamu wa waumini wa Kanisa A juu ya mamlaka ya nguvu za giza, kwa namna yoyote ile, ulikuwa hauwezi kulingana na kile ambacho mtumishi wa siku hiyo alikuwa amedhamiria kukifundisha na hatimaye kukitelekeza na kuanza kuongelea kitu ambacho ni opposite kabisa na kilichokuwa hakiendani na somo la siku hiyo

Baada ya hapo; mtumishi alirudi kwenye mafungu yafuatayo hapa chini, akidokeza kuwa: “Haya yalikuwa ni maneo ya Yesu mwenyewe alipokuwa anazungumza na wayahudi”

  • Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.
  • Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo? Ni kwa sababu ninyi hamwezi kulisikia neno langu.


Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

Mafungu mengine yaliyofuata haya hapa

  • Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika, asipate.
  • Halafu husema, Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka; hata akija, aiona tupu, imefagiwa, na kupambwa.
  • Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.
Kwa kiasi kkikubwa, mahubiri haya yaliwahusu zadi watu ambao bado hawajamwamini Mungu

Je, haya mafungu yalitiririshwa kwa wingi huu kwa kusudi gani, ukizingatia kuwa yalikuwa hayaendani kabisa na kichwa cha somo la siku hiyo?

……………….itaendelea

 
UPDATE: FRIDAY 17TH JUNE 2022

BAADHI TU YA “NOUNS” MUHIMU ZILIZOTAJWA KUTOKEA MADHABAHUNI KWENYE J2 MBILI MFULULIZO ZILIZOPITA KUFUATIA WIKI HII


Kwenye J2 mbili mfululizo zilizopita kufuatia wiki hii, baadhi ya “nouns” zilizotamkwa kutokea madhabahuni ni kama ifuatavyo

  • Wakuu wa wilaya na mikoa
  • Rais pamoja na jina lake (sehemu hii/clip hii haipo kwenye video, ilitolewa)
  • Huyu wa pili alitajwa wakati ufalme wa shetani unasifiwa, kwa maelezo kuwa mfalme huwa hapingwi na ukimpinga basi inabidi uwe na mahali pa kuegemea
  • Baada ya hapo ndiyo ukatolewa mfano kwa waumini kwamba wajaribu ku-imagine kama mtu akimpinga Rais ambaye wako chini yake
  • Hapa mhubiri alienda mbali zaidi hadi akataja jina la Rais husika
Nouns nyingine zilizotajwa (na kwa clip ambayo nayo pia imeshatolewa pia) ni

  • Majumba, magari, ………
  • Hizi zilitajwa wakati KM-A alipokuwa anachakachua fungu la Yohana 3:16; “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda Ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili…..tupate magari, majumba….”
BAADA YA MAGARI KUWA YAMETAJWA KWENYE IBADA HIYO J2 HIYO

Kilichotokea baada ya J2 hiyo, magari hayo yaliyotajwa nayo yakaanza ku-respond tena kwa ajali kuanzia pale yalipotajwa
  • Pamoja na kwamba ajali zilikuwa zimenyamaza; tangu magari yalipotajwa, ndani ya wiki hiyo pekee ziliweza kutokea ajali nne
  • Ajali tatu zilitokea kwenye siku moja na kwenye point moja huko Iringa, na nyingine moja ilitokea siku iliyofuata
  • Sill jana Alhamis ya tarehe 16/06/2022 imetokea tena ajali nyingine ya Basi la Abiria huko Kishapu Shinyanga na kupelekea watu watano kupoteza maisha
Mhusika anapenda kutoa ushauri kwa watumishi wa Mungu wale walio halisi walioitwa kwa jina lake, wakemee kwa nguvu hatari hii itoweke milele katika Jina la Yesu

KUHUSIANA NA MAFUNDISHO YA IBADA ZOTE MBILI ZA J2 TAREHE 12/06/2022: KILICHOKUWA KINAFUNDISHWA NI UWEZO NA UKUU WA NGUVU ZA MAMLAKA YA GIZA

“Key words” anazoanza nazo mhubiri kwenye fundisho hilo ni NGUVU ZA MAMLAKA YA GIZA na si kichwa cha somo alichokuwa amekiandaa

Kwa anavyoona yeye mhusika, mafundisho hayo yanaonekana wazi kabisa kuwa yalikuwa na maudhui ya KUMSIFU SHETANI ila kwa kutumia Maandiko Matakatifu ya Biblia, japo KICHWA CHA SOMO kilikuwa hakisemi hivyo.

Mbaya zaidi ni kwamba, ilifikia hatua shetani akasifiwa hadi kufananishwa na Rais wa nchi

MAFUNDISHO MENGINE YA AINA HII YA KUMSIFU SHETANI AMBAYO MHUSIKA ALISHAWAHI KUKUMBANA NAYO KIPINDI KIREFU NYUMA NA YALIYOWAHI KUPELEKEA AKAONDOKA KWENYE IBADA MOJAWAPO YA IBADA ZAKE PASIPO IBADA KUWA IMEMALIZIKA

Haya yalitokea kati ya mwaka 2017 na 2018 kipindi mhusika ndiyo amerudi tu kutoka uhamishoni Kanisa B
  • Mafundisho haya yalikuwa yanaendeshwa na KM-A kwenye mojawapo ya wiki kwa Ibada za jioni za katikati ya wiki
  • Mafundisho haya yalifanyika ndani ya wiki moja kwenye siku za kuanzia J5 hadi Ijumaa
  • Mhusika alihudhuria siku ya kwanza ambayo ilikuwa ni J5 na kumaliza kipindi chote siku hiyo
  • Kesho yake Alhamis; mhusika aliishia njiani, hakumaliza Ibada
  • Kutokana na kile alichokuwa amekisiaka jana; immediately mafundisho ya siku ya pili yalipoanza; mhusika aliamua kuondoka kwenye Ibada
Hata hivyo, pasipo mhusika mwenyewe kujua, kumbe KM-A naye alikuwa amestuka pia kuwa KUNA UWEZEKANO MHUSIKA AKAGUNDUA HILA NYUMA YA SOMO HILO na hivyo kuamua kulikimbia somo kwenye mojawapo ya siku za Ibada

Kuotkana na hali hiyo, KM-A naye alikuwa kumbe tayari ameshaandaa plan ya kujihami; just in case kwenye mojawapo ya siku hizo, mhusika ataamua kuondoka kwenye mafundisho ya somo hilo. Na kwa hili mhusika anamsifu KM-A kwa kuwa PRECISE; kwa sababu kweli ilikuja kutokea exactly kama alivyokuwa amebashiri

KILICHOTOKEA SIKU HIYO YA PILI YA IBADA YA MAFUNDISHO YA KUMSIFU SHETANI, BAADA YA MHUSIKA KUSITISHA IBADA

Baada ya kuwasha gari na kutoka nje ya geti la Kanisa; mhusika alinyoosha moja ka moja kupitia njia ile ambayo siku zote alikuwa anajulikana kuwa huwa anapita
  • Kabla hajaenda mbali; alipofika sehemu fulani karibu tu na maeneo hayo ya Kanisa kwenye kona; upande wa kulia kwake alimuona mrembo ambaye naye pia alikuwa ni muumini wa Kanisa A
  • Mrembo huyu alikuwa anatembea upande ule ambao kawaida kwenye sehemu hiyo walipokutania, watembea kwa miguu huwa hawapiti huko
  • Ilikuwa ni kwenye kona kiasi kwamba mtu anapokuwa anatembea pembezoni mwa bararbara na kwa upande aliokuwa mrembo huyo; mtu huyo hawezi kabisa kuiona gari yoyote inayokuja kutokea mbele na anayoweza kukutana nayo kwenye kona hiyo
Still; upande ule mwingine ambao mrembo huyo alikuwa ameacha kupita; ndiyo ilikuwa sehemu nzuri sana na pekee kabisa ambayo mtu anayetembea kwa miguu, anaweza kuiona vizuri gari inayokuja mbele yake na hivyo kuipisha vizuri

Kwa upande ule aliokuwa anatembea mrembo huyo, ilikuwa ni shida kubwa kuweza kuipisha gari iliyokuwa inakuja mbele; angeweza hata kusababisha ajali; ukizingatia kuwa alikuwa ni mrembo

Mhusika aliamua kumpungia tu mrembo huyo na kumpita; japo wanafahamiana kwa karibu sana na pia huwa wanaongea lugha moja kuzaliwa

Iwapo kama mhusika angesimama pale kumsalimia mrembo huyo; ilikuwa sasa ichukuliwe kuwa siku hiyo, hakuwa amekimbia somo la KUMSIFU SHETANI; bali ALITOROKA KWENYE IBADA AKIWA ANAWAHI MAHALI KWENDA KUKUTANA NA MREMBO HUYO

Hawapo watu waoga dunini kama mhusika, especially kwenye kesi hizi za yeye kupelekwa kwa viongozi wa dini au kanisa. Kesi hizi za kupelekwa kwa Viongozi wa Kanisa; alizikwepa tangu akiwa yupo uhamishoni Kanisa B;

Kule kulikuwa na watu wakorofi sana; na kila walipokuwa wanasuka mtego wa kesi, yeye alikuwa anaugundua mtego huo kabla halafu anawawahi kwenda kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa “B” na mara zote alikuwa anashinda kesi

HITIMISHO


Whether yaliyosemwa hapa yote yako sahihi au ni baadhi yake tu; THE FACT IS

  • Kiongozi junior aliyesimama madhabahuni J2 ya tarehe 12/05/2022 ndiyo trainee mtiifu sana kwa KM-A na huyu ndiyo atakuja kuwa hatari zaidi kuzmidi KM-A mwenyewe
  • Huyu junior anafuata exactly kama KM-A alivyo na atakuja kumzidi kwa kiasi kikubwa sana; kama haitatokea bahati ya kumrudi na kumrejesha kwenye utu akawa binadamu wa kawaida
Kwa ujumla tu ni kwamba kila anchofanya, anakuwa maekichukua exactly kutoka kwa KM-A

Bado yapo mengine mengi yatafuta baadaye

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:
MAELEZO KUHUSIANA NA SAFARI NYINGINE NNE (4) ZA KIOFISI AMBAZO MHUSIKA HAJAWAHI KUZITOLEA MAELEZO YAKE HUMU JUKWAANI

......................inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #1,043
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEFIKA MGODINI; PALE KATIKATI YA WIKI

MHUSIKA AKAPOKEA E-MAIL KUTOKA KWA MKUU WA IDARA IKIMHITAJI ARUDI HARAKA SANA OFISINI KWA SABABU RUHUSA YAKE ILIKUWA IMEKWAMA; HAIKUPITISHWA


Kwa ufahamu wake wa muda huu, mhusika alishajiridhisha pasipo shaka kabisa kuwa hii ndiyo trick ambayo walikuwa wameiandaa kwa mhusika kupitia safari hiyo; watu hawa watatu, yaani Mkuu wa Idara (MWI), Senior Mstaafu wa Kike (SMKE) pamoja na Senior Mstaafu wa Kiume (SMME)

  • SMKE ndiye alikuwa Mkuu wa MAJOR UNIT; unit kubwa inayobeba idara kadhaa chini yake
  • SMKE ndiye pia mtu ambaye ruhusa ya mhusika ilikuwa imekuwa addressed kama mtu final ili aipitishe
Kwa upande mwingine, SMME naye alikuwa ni TOP SECOND kwenye Central Administartion ya taasisi nzima. Mbali na hayo, watu wote hawa watatu; walikuwa wako idara moja na mhusika

MAZINGIRA YALIVYOKUWA KULE MGODINI MHUSIKA ALIKOENDA KUFANYA KAZI

Gari nyingi walizokuwa wanatumia ni Landcruser hard top; na condition mojawapo kubwa kabisa ukiwa unatumia gari ilikuwa ni kwamba ukitoka na gari; unaporudi hakikisha kuwa unaipki halafu switch ya gari huichomoi kwenye starter bali unaiacha pale ikiwa inaning’ininia

Hii ilikuwa ni kwa ajili ya urahisi wakati wa emergence; kwamba ikitokea tuseme kwa bahati mbaya ”local talebans” wakatembelea mgodi; basi iwe rahisi kwao kuchukua magari kirahisi possibly pasipo kusababisha madhara kwa binadamu. Hili ni somo ambalo wafanyakazi wa mgodi huo walikuwa kujifunza huko nyuma baada ya kutembelewa na “local talebans” ambao kama wangefanikiwa kupata magari kirahisi, wasingesababisha madhara yale ambayo waliyasababisha siku hiyo. Madhara makubwa waliyosababisha siku hiyo yalitoka na harakati zao kuhitaji funguo za gari

Kwa wakati huo, huo ndiyo ulikuwa usalama wa sehemu ambayo MWI, SMKE na SMME walim-trick mhusika kwenda kufanya kazi na kupelekea akaondoka pasipo ruhusa ya ofisi; aliondoka kinyemela

MUDA AMBAO MHUSIKA ALIIPATA E-MAIL YA KUMTAKA ARUDI OFISINI HARAKA SANA HUKU AKIWA TAYARI AMESHAANZA KUFANYA KAZI HUKO MGODINI

Kabla wiki haijaisha, pale katikati ya wiki akiwa tayari anaendelea na kazi huko mgodini ndiyo mhusika alipokea e-mail kutoka kwa MWI ikimhitaji arudi haraka sana ofisini kwa sababu huku nyuma ofisini SMKE alishindwa ku-approve ruhusa ya safari hiyo

Wakati anapata email hii, ilikuwa ni katikati ya wiki possibly siku yake ya tatu au ya nne tangu alipowasili mgodini

SABABU ZILIZOPELEKEA RUHUSA YA MHUSIKA KUSHINDWA KUPITISHWA

Ni ambiguity iliyokuwa imejitokeza kutokana na mabadiliko yaliyokuwa yametokea baada ya SMME kuingia madarakani akiwa TOP SECOND kwenye taasisi nzima

Ruhusa kuanzia siku saba (7); approval yake ilikuwa inatoka Central Administration; na chini ya pale, approval yake ilikuwa inatoka kwenye MAJOR UNIT

  • Kama mkuu wa MAJOR UNIT; SMKE alishindwa kuipitisha ruhusa ya mhusika kwa sababu kwa mabadiliko yaliyokuwa yamatokea, SMKE alikuwa na uwezo wa kupitisha ruhusa ya siku zisizozidi saba (7)
  • Ruhusa ya mhusika ilikuwa ni ya siku saba (7) na hivyo ilitakiwa iwe channeled kwenda Central Administration na si kwenye MAJOR UNIT iliyokuwa chini ya SMKE
SMKE alikuwa sahihi kabisa 100%

Still; MWI yeye alijua kuwa approval ya siku saba (7) inatoka kwenye MAJOR UNIT au kwa SMKE na zaidi ya siku saba (7); Cental Administration. Hapa inaonyesha kuwa possibly MWI na SMKE hawakuwa na mawasiliano mazuri sana katika hili

Hata hivyo ukizingatia ufahamu alionao mhusika muda huu, tatitzo lililokuwepo ni kwamba hawa watatu; yaani MWI, SMKE na SMME walikuwa wame-pre plan itokee hivyo; MWI akiwa central katika ku-execute plan hiyo

KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUTAKIWA KURUDI OFISNI HARAKA

Huko mgodini alikuwepo mtu Boss Y na ambaye aliamua kuwasiliana na immediate boss mwingine wa mhusika (Boss Z) ofisini kwa mhusika, na wakakubalina kuwa Boss Z ajaze ruhusa nyingine kwa niaba ya mhusika na haraka sana ai-channel kwenda Central Administration ikawe approved; ili badla yake mhusika asirudi ofisini kama MWI alivyokuwa amemhitaji, bali aendelee na kazi huko

Plan hii ilikuwa suggested na watu hawa waili wakimshirikisha mhusika pia; pending approval ya MWI, ambaye naye pia hatimaye alikuja kui-approve

Mhusika hana uhakika sana kama kuna ruhusa iliwahi kujazwa kwa ajili yake kwa safari hiyo, ila kilichotokea tu ni kwamba baada ya hapo, laliendellea na kazi zake huko mgodini hadi wiki nzima ikaisha. Baada ya hapo alifanikiwa kurudi salama ofisini; huku kifaa cha kazi alichowahi kwenfda nacho akikiacha huko kikiendekea na kazi kwa sababu chenyewe kilikuwa hired

………………inaendelea
 
SAFARI NYINGINE YA PILI YA KIOFISI KWENDA KUFANYA KAZI KWENYE MGODI HUO HUO AMBAYO ALIPOKARIBIA KUSAFIRI, SAFARI HIYO ILIBADILIKA KUTOKA KUWA YA KIOFISI NA KUWA YA BINAFSI

PLOT
(stori za kwenye uzi huu, hazitofautiani sana na zile za kwenye movie; kwa hiyo ni sahihi pia kutumia maneno yanayotumika kuelezea movie)

Plot yenyewe ilikuwa hivi

Baada ya miezi kadhaa kupita tangu mhusika arudi kutoka mgodini, Boss Y ambaye yeye alikuwa anafanya kazi kwenye mgodi husika; alifanya tena mawasiliano na MWI ofisini kwa mhusika; akimweleza kwamba walihitaji mhusika arudi tena mgodini; ila safari hii siyo kwenda ku-train watu bali kufanya kazi

  • Baada ya hapo MWI alimwita mhusika ofisi ya MWI na kumjulisha taarifa hizi na mhusika alizipokea kwa furaha; kwa sababu mpaka muda huo, alikuwa hajajua ni nini kilikuwa kinaendelea
  • Mbali na hilo, mhusika ni bonge la mzururaji; anapenda safari utafikiri ni mtoto mdogo
  • MWI alienda mbali zaidi akimweleza mhusika kuwa kwa sababu anaenda kufanya kazi kwenye taasisi nyingine kama hired professional, mbali na malipo yake yeye mhusika kama vile per diem ambayo wenye mgodi huo watalazimika kumlipa, bado pia watalazimika kuilipa taasisi na katika rate ambazo taasisi ilishazianisha tayari kwenye CONSULTANCY POLICY (CP) yake
  • Zaidi, MWI alimuonyesha mhusika rate hizo ambazo zilikuwa zimeainishwa kwenye kijitabu kidogo kinachoitwa CONSULTANCY POLICY (CP)
  • Rate hizo zilikuwa juu kiasi ila si kihivyo kwa taasisi ambayo ni mgodi, ila kwa taasisi nyingine ambayo si mgodi, rate hizo zillikuwa juu sana
  • MWI alimjulisha pia mhusika kuwa pamoja na malipo yake yeye binafsi; bado pia atakuwa na percent ya kuchukua kutoka kwenye kile kitakacholipwa na mgodi huo kwenye taasisi kulingana na CP ya tasisi inavyosema kwa sababu yeye ndiye anayepelekea hela hizo zilipwe kwenye taasisi
Kwa kifupi tu ni kwamba maelezo ya MWI kwa mhusika yalikuwa ni mengi kiasi na yote yalikuwa ni mazuri sana

Baada ya siku za safari kuwa zimekaribia; mhusika alitumiwa tiketi mbili za ndege, moja kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza, na nyingie Mwanza-Ngara

KABLA MHUSIKA HAJASAFIRI KUELEKEA HUKO MGODINI HUKU AKWA TAYARI AMESHATUMIWA TIKETI ZA NDEGE:

MWI AMSHAURI MHUSIKA AENDE KULE MGODINI AKAFANYE KAZI KAMA MTU BINAFSI NA SI KWA NIABA YA TAASISI NA HIVYO KUPELEKEA SAFARI KUWA YA BINAFSI NA SI YA KIOFISI TENA

MWI alimwita mhusika kwenye ofisi yake nyingine binafsi (siyo ya ofisi ya MWI) na kumjulisha kuwa wenye mgodi walikuwa wamelalamika juu ya malipo makubwa ambayo watatakiwa kuyafanya kwenye taasisi na hivyo wameshauri mhusika aende akafanye nao kazi kama mtu binafsi kupunguza gharama; ili gharama pekee kwao iwe ni ile tu inayotokana na malipo watakayomlipa yeye

Zaidi MWI alimweleza mhusika kuwa ili plan hii iweze kufanikiwa, inabidi achukue likizo yake ya mwaka na hivyo muda huo ndiyo akautumie kufanya kazi hiyo

Ikumbukwe kuwa hapa tayari sasa mhusika alikuwa na tiketi mbili za ndege Ngara Airport na kutokea pale kuelekea mgodini; ilikuwa asafiri kwa kutumia gari la mgodi likiwa pamoja na ESCORT ya security guards ambao nao pia ni wafanyakazi wa mgodi huo

  • Ikumbukwe kuwa kwa safari hii mhusika na MWI walikuwa wanaongea wakiwa kwenye ofisi binafsi ya MWI tofauti na ilivyokuwa kwa maongezi yale ya awali
  • Maongezi ya awali waliyafanya wakiwa kwenye ofisi ya MWI
Kwenye maongezi haya kati yake na MWI; bado vile vile mhusika hakuona chochote kisiccho cha kawaida kati yake na MWI na hivyo aliupokea ushauri huo; ukizingatia kuwa tayari mgodi ulikuwa umeshaingia gharama kwa ajili ya usafiri

Mhusika aliamua kuomba ruhusa na hatimaye kusafiri na kukaa huko mgodini muda wa wiki nne. Baada ya muda huo kupita; mhusika alirudi salama ofisini na kuendelea na kazi zake zingine

……………………inaendelea
 
BAADA YA SIKU KADHAA KUPITA; AKIWA TAYARI AMESHARUDI KUTOKA MGODINI MHUSIKA AKASIKIA TETESI KUTOKA KWA BOSS Z

Mhusika hana uhakika na taarifa hizi ila ni malalamiko ambayo aliwahi kuyapokea kutoka kwa Boss Z

  • Boss Z ndiye yule ambaye aliwahi kujaza ruhusa kwa niaba ya mhusika kwenye safari ile ya kwanza;
  • Huyu alilalamika kuwa MWI alikuwa amepokea pesa zaidi ya TZS 10,000,000/= kwa kazi aliyokuwa ameenda kufanya mhusika mgodini na yeye MWI hajamptia Boss Z hata senti tano
  • Kwa kuangalia namna mazingira ya kazi hiyo yalivyokuwa kabla ya safari hiyo kufanyika hadi kufikia ikabadilika na kuwa binafsi badala ya kiofisi; katika hili mhusika naye akawa yuko prompted kuamini kwamba pengine kulikuwa na ukweli kwenye tetesi hizo kutoka kwa Boss Z
HITIMISHO

Kitu kikubwa zaidi na cha pekee sana ambacho baadaye mhusika alikuja kukibaini ni kuwa safari ya kwanza ya mhusika ilikuwa ni PLAN A iliyotengenezwa na MWI, SMKE na SMME wakitarajia kuwa ingeweza ku-excute.

Baada ya plan hiyo kushindwa kuzaa matunda waliyoyahitaji, ndiyo wakawa wame-devise tena PLAN B kwa kutumia safari ya pili, ambayo nayo kwa bahati nzuri haikuweza kuwazalia matunda waliyoyahitaji

MUBARIKIWE TENA NA BWANA



UP NEXT:SAFARI YA TATU


Safari hii mhusika aliifanya kwa kutumia usafiri wa ndege. Ilikuwa ni ya kiofisi na ambayo alienda akaifanya kwenye kisiwa kimojawapo kilichopo nchini

PLOT

Aliyehusika na safari hii ni MWI yule yule aliyehusika na kazi mbili zilizotajwa hao juu

Kabla ya mhusika kusafiri, kazi hii nayo pia ilipata mabadiliko; na kwa hali hiyo mhusika na MWI walilazimika kufanya maongezi mara mbili kuhusiana na kazi hiyo



SEHEMU MBILI AMBAZO MHUSIKA NA MWI WALIZITUMIA KUFANYA MAONGEZI KUHUSIANA NA KAZI HIYO


Kabla ya mabadiliko, mhusika na MWI waliongea kuhusiana na kazi hii wakiwa ofisIni kwa MWI huku wakiwahusisha pia watu ambao walikuwa wameleta kazi hiyo

Baada ya mabadiliko, MWI alimwita mhusika kwenye chumba cha chai na kufanya maongezi yao wakiwa humo, huku watu waliokuwa wameleta kazi hiyo wakihusika pia kwenye maongezi hayo

………………………….inaendelea
 
UPDATE: 18TH JUNE 2022

MAMBO KADHAA YA MSINGI AMBAYO MHUSIKA INABIDI AYAONGEZEE AU AYAKUMBUSHIE KUHUSIANA NA MASWALA MBALIMBALI YALIYOHUSIANA NA SAFARI ZAKE AMBAYO KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI AMEKUWA AKIYAONGELEA KULINGANA NA MAELEZO YALIYOPO HAPO JUU

KUHUSIANA NA SAFARI YA KWANZA KABISA YA KIGAMBONI MWAKA 2011 AMBAYO ILIKUWA NI YA UKARIBISHO/ YA BINAFSI


Kwa kile alichokiona yeye kuhusiana na safari hiyo

  • Kwenye safari hiyo ilikuwa ni lazima avuke kwa kutumia MV Kigamboni au meli nyingine ambayo ingekuwepo kwenye kivuko siku hiyo
  • Kutokana na hali hiyo, meli hiyo ambayo mhusika angepanda kwa ajili ya kuvuka nayo siku hiyo, isingeweza kuvuka ng’ambo ya pili aidha wakati wa kwenda au ule wa kurudi
Meli hiyo isingeweza kuvuka siku hiyo bila kujali ingekuwa imebeba na watu wengine wangapi mbali na mhusika



KUHUSIANA NA SAFARI YA PILI YA KIGAMBONI MWAKA 2017 AMBAYO ILIKUWA YA KIOFISI NA AMBAYO HAKUIFANYA


Kwa safari hii hana mhusika hana uhakika sana ni nini hasa kingetokea na kwa namna gani ila uhakika alionao usio na shaka kuwa lazima kulikuwa na kitu kingemtokea

  • Yaweza kuwa pengine “original plot au PLAN A” kuhusiana naye kwenye safari hii ilikuwa pia iwe sawa na ile ya safari ya awali (mwaka 2011)
  • Hata hivyo, yaweza pia kuwa pengine “original plot au PLAN A” ilikuwa tofauti na ile aliyotajwa hapo juu; na kwamba pengine kingemtokea kitu fulani kule porini wakiwa wapo wanaendelea kufanya kazi
  • Na kama kusingetokea kitu porini, basi PLAN A iliyotajwa kwenye kipengele cha kwamza ingeweza kufanya kazi; safari hii sasa kama PLAN B
Ikumbukwe kuwa kwenye mkutano huo, kulikuwa na mtu kutoka Msumbiji na ambaye alikuwa anaonekana dhhiri kabisa kama si mshiriki halali; yule aliyekuwa anafanya kazi kwa kupiga picha screenshot za computer

KATI YA MIKUTANO MINGINE MINGI YA AINA HIYO AMBAYO KATIKA KIPINDI CHOTE MHUSIKA ALIWAHI KUHUDHURIA, NI MIKUTANO MIWILI TU AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KUKUTANA NA WASHIRIKI KUTOKA MSUMBIJI

Kwenye mikutano mingi kadhaa ya aina hiyo ambayo mhusika aliwahi kushiriki, washiriki kutoka Msumbiji walikuwa hawapo, na nchi hiyo haikuwa mojawapo ya washiriki kwenye mikutano ya aina hii

Kwenye huu mkutano uliofanyika hapa nchini mwaka 2017 na ulioambatana na safari ya kwenda Kigamboni

  • Ilikuwa ni mara ya pili kwa mhusika kukutana na mshiriki kutoka Msumbiji.
  • Mara ya kwanza mhusika kuwahi kukutana na mshitriki wa kutoka nchi hii na kwenye mkutano wa aina hii, ilikuwa ni mwaka 2009 na ilikuwa nje ya nchi
Ilikuwa ni kwenye mkutano ule ambao Boss X na mhusika walisafiri wote pamoja kwa mara ya kwanza kwenda nje ya nchi

Safari nyingine hii ya mwaka 2009 mhusika alishaiongelea kwa kina humu jukwani;

  • Ndiyo safari ile ambayo kwa bahati mbaya, pesa ya mkutano huo ilikuwa posted kwenda nchi jirani badala ya kuwa posted kuja kwa Boss X
  • Pesa hiyo kama ingekuwa posted kuja kwa Boss X; basi mkutano huo ungefanyikia nchini; Boss X na mhusika wasingelazimika kusafiri nje ya nchi
Kwa jicho la mbali, hapa mtu anaweza kuona kuwa safari ya Boss X na mhusika kwenda nje ya nchi mwaka 2009:

  • Ilikuwa ni PLAN B lakini kuna kitu kilipelekea ikabadilika na kuwa kuwa PLAN A
  • PLAN B ikawa sasa ni ule mkutano wa ndani ya nchi wa mwaka 2017; just in case PLAN A itashindwa ku-excute; basi PLAN B ije iwe implemented kwa mkutano huo kufanyikia ndani ya nchi
Plans zote hizi mbili zilikuwa devised na vile vile kuwa revised wakati wa kipindi hicho cha mwaka 2009

Mkutano ule wa mwaka 2009 uliofanyikia nje ya nchi; ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Boss X na mhusika kusafiri wakiwa wote kwenda nje ya nchi, na ilikuwa ni kwa mara ya kwanza pia kwa mhusika kukutana na mshiriki kutoka Msumbiji

Baada ya hapo, mhusika alikuja kukutana tena na mshiriki wa kutoka Msumbiji na kwa mara ya pili, kwenye mkutano wa mwaka 2017 uliofanyika ndani ya nchi

Kwa hiyo ni mikutano kati ya mikutano mingi kadhaa ya aina hii ambayo mhusika aliwahi kushiriki. Ni mikutano miwili hii pekee ambayo aliwahi kukutana na washiriki kutoka msumbiji.

Mikutano mingine yote ya aina hii aliyowahi kushiriki, haikuwahi kuwa na washiriki kutoka kwenye nchi hiyo

…………………inaendelea

UP NEXT:


KUHUSIANA NA MREMBO WALIYEKUTANA NAYE KWENYE “CHOBISI” JIONI MOJA MHUSIKA AKIWA ANAKIMBIA SOMO LENYE MAUDHUI YA KUMSIFU SHETANI LILILOKUWA LIKIFUNDISHWA NA KM-A
 
KUHUSIANA NA MREMBO WALIYEKUTANA NAYE KWENYE “CHOBISI” JIONI MOJA MHUSIKA AKIWA ANAKIMBIA SOMO LENYE MAUDHUI YA KUMSIFU SHETANI LILILOKUWA LIKIFUNDISHWA NA KM-A

Mambo mawili makubwa mhusika anayaona hapa na hayo ndiyo yalipelekea mrembo huyu akamfanyia timing mhusika kwenye chobisi hiyo

MOJA: Chobisi hiyo ilikuwa upande wa kushoto wa mhusika kwenye kona iliyo pembezoni kabisa mwa kanisa jingine lililo jirani na Kanisa A.

Iwapo kama mhusika angesimama pale na kuanza kuongea na mrembo huyo, wale wote waliokuwa wanakuja kutokea usawa ule ambao mhusika alikuwa ametokea, wasingeweza kumuona mrembo huyo isipokuwa tu:

  • Wangeweza kumuona tu baada ya kuwa wameshakata kona na kuwa wapo mbele kidogo ya pale mhusika na mrembo huyo wangekuwa wamesimama wakiongea
  • Configuration hii ya mahali pale; ingepelekea wawili hawa kuonekana na observers kuwa walipanga kukutana hapo ili waweze kupngea kwa kificho, hali ambayo inge-confirm theory ya kwamba mhusika alitoroka Ibada Kanisani akimuwahi mrembo huyo ili waongee
  • Hapo baadaye, kitu hiki kingeweza kupelekea mhusika kuwa liable kwa kuhojiwa na viongozi wake wa Kanisa kuhusiana na tabia hii ya kuwa anachomoka chomoka kwenye Ibada kama mtoto mdogo; Ibada zikiwa zinaendelaa
PILI: Kwa upande mwingine, upande ule wa pili ambao mrembo huyu alichagua kuacha kupita huko lakini ukiwa ndiyo upande sahihi kabisa ambao watembea kwa miguu wote mara zote huwa wanapitia huko mahali pale:

  • Ulikuwa ni upande ambao kwa wakati huo, kioo cha upande wa dereva wa gari la mhusika kilikuwa hakifunguki na mrembo huyu naye alikuwa anajua hilo
  • Kioo hicho kilikuwa kimepata hitilafu miezi kadhaa nyuma na hivyo kukipelekea kikawa hakiwezi tena kufunguka.
Kwa hali hiyo, mrembo huyu alijua fika kuwa kwa kukutana na mhusika mahali pale yeye akiwa anatembelea upande huo ambao watu wote huwa wanapita; chances ni kwamba mhusika angeweza kumpungia tu na kumpita; ilhali kumbe angeweza kusimama just in case kioo hicho kingekuwa kinaweza kufunguka

Mbali na hilo, upande huo huo alioacha kupita mrembo huyo ulikuwa pia:

  • Hau-support mazingira ya watu wawili kuonekana kuwa wanaongea kwa kificho mahali pale kwa sababu aliyekuwa kwenye gari angekuwa yuko upande mmoja wa bararabra na yule aliyekuwa anatembea; upande mwingine wa pili barabara
  • Mbali na hilo; kwa kutenganishwa na barabara kati yao, wawili hawa wasingeweza kuongea kwa muda wa kutosha kiasi cha kuweza kuonekana na idadi ya kutosha ya watu wliokuwa wakipita njia; hiyo
Kwa hiyo iwapo binti huyu angekuwa ameamua kupita upande sahihi wa bararabara na ikatokea mhusika akasimama pale na kuanza kuongea naye; basi wawili hawa wangeonekana kuwa ni watu wawili tu wanaofahamiana na wanaosalimiana tu kwa mbali na pasipokuwa na kitu kingine chochote kile cha ziada

Zaidi ni kuwa binti huyu akiwa anaelekea Kanisani kwa muda huo, alionekana dhahiri kuwa alikuwa anatokea njia ambayo mara zote huwa hapiti njia hiyo; haikuwa njia ya kutokea uelekeo wa sehemu ambayo alikuwa anaishi na kwa hali hiyo alionekana kuwa hakuwa anatokea nyumbani kwao isipokuwa mahali pengine tu

UP NEXT:

KUHUSIANA NA BAADHI YA MAFUNDISHO POTOFU YANAYOENDELEA KANISA-A NA AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIYAPIGIA KELELE KWA KIPINDI KIREFU SASA
 
KUHUSIANA NA BAADHI YA MAFUNDISHO POTOFU YANAYOENDELEA KANISA-A AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIYAPIGIA KELELE KWA KIPINDI KIREFU SASA

Mafundisho ya aina hii mhusika anakiri kuwa hajawahi kuyasikia kutoka kwa mtumishi mwingine yeyote yule muhimu isipokuwa kutoka kwa viongozi hawa wawili ambao amewataja humu; KM-A pamoja na mfuasi wake kiongozi juior

Mtumishi mwingine wa tatu ni yule aliyewahi kusimama madhabahuni siku za hivi karibuni na kusema kuwa Biblia ina baadhi ya mafungu ya shetani

The worst thing with these scenerios ni kwamba hawa watu wanaoendesha mafundisho ya aina hii hapo Kanisa A wanaonekana kupata external back-up kwa sasa. Kuna mahali pameshaibuka utetezi wa chini chini; kile wanachokifanya kinaanza kutetewa na kuhalalishwa

SABABU INAYOPELEKEA WANAFAIKIWA KUFANYA MAMBO YALIYO KINYUME LAKINI KWA KUTUMIA MADHABAHU YA BWANA

Kile wanachofanya watumishi hawa, ni kutengeneza mazingira ambayo husababisha Roho Mtakatifu (RM) aondoka

Huyu RM ndiyo kiongozi wa Kanisa, aliyeshuka siku ya Pentekoste baada ya Yesu kupaa mbinguni. Kwa hali utendaji wa kazi zote za Mungu hapa duniani, unafanyika kwa kupitia Roho wake Mtakatifu tu na si vinginevyo

  • Roho Mtakatifu (RM) ni jina mojawapo ya nafsi ya Mungu; Mungu siyo jina bali ni cheo
  • RM akiudhiwa huwa hachukui mamlaka ya kutoa adhabu directly au kuwa-discipline waumini; kwa kutumia adhabu isipokuwa akiudhiwa anaweza kutoa adhabu indirectly kwa kondoka pale yalipofanyika yaliyopelekea audhike na hivyo kupelekea ulinzi wake UNAOSTAHILI KUWEPO MAHALI PALE, kutokuwepo tena.
  • Kwa hiyo adahabu pekee anayoweaa kutoa RM ni kuondoka sehemu ya maudhi au kwa muumini aliyefanya maudhi, na hakuna adhabu niyingine anayoweza kuitoa toafuti na hii
Kwa hiyo, RM yeye huwa anatoa adhabu indirectly kwa kuondoka mahali na hivyo kupelekea ulinzi wake kutokuwepo tena mahali hapo

Kwa upande mwingine, BWANA ni jina jingine la nafsi nyingine ya Mungu ambayo si RM, na huyu ndiye huwa anachukua mamlaka ya kuadhibu directly

BWANA yeye japo yupo kila mahali, anaishi Mbinguni. Baada ya Yesu kupaa Mbinguni; baada ya siku kadhaa kupita, RM ndiyo naye alishuka sasa kutoka Mbinguni siku ya Pentekoste na hivyo mamlaka mengine yote hapa duniani kuwa chini ya RM


  • BWANA ndiye aliyekuja kuichoma Sodoma na Gomora wakati wa Lutu; na huyo BWANA aliyeshuka siku hiyo alikuwa ni YESU
  • BWANA ndiye pia aliteketeza dhabihu ya Nabii Eliya mbele ya manabii wa mungu Baali.
Siku hiyo, baada ya dhabihu ya Nabii Eliya kuteketea kwa moto, watu walisikika wakisema BWANA ndiye Mungu, BWANA ndiye Mungu…………………

Hapa ilikuwa ni baada ya manabii wa baali kudai kuwa mungu wao Baali ndiye Mungu wa kweli na si BWANA; yule Mungu wa Eliya

HITIMISHO

Ukifanya uchakachuaji kwenye madhabahu ya BWANA kanisani, RM lazima aondoke muda huo huo wakati uchakachuaji huo unafanyika. Kitakachokuja kutokea baada ya hapo ni kwamba; baadaye BWANA atakuja kwa ajili ya kutoa adhabu kuhusiana na uchakachuaji huo ila ni katika muda ambao mimi na wewe hatuwezi kujua ni lini. Inaweza ikawa muda huo huo, kesho yake, au hata mwakani; lakini uhakika ni kuwa lazima ashuke kwa ajili ya kazi hio kama alivyoshuka kwenye adhabu nyingine zote ambazo zilishawahi kutokea.

Mungu anapokuwa ameshuka kwa ajili kuadhibu; huwa anakuja akiwa anatumia jina BWANA, huwa haji akiwa anatumiaina YESU au la RM, hapana; huwa anashuka kama BWANA

Naomba BWANA awe anashuka muda huo huo uchakachuaji unapokuwa umefanyika kwenye Madhabahu ya BWANA Kanisa A; ni katika jina la Yesu; Amen.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:SAFARI YA TATU


…………………….inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #1,054
 
UPDATE: 20TH JUNE 2022

KABLA HAJAENDELEA TENA NA MADA YA SAFARI ZAKE ZA KIOFISI

MAMBO MAWILI MAKUBWA YALIYOMUUMIZA SANA MHUSIKA HAPO KANISA A, NA AMBAYO ANAWATAKA VIONGOZI WA KANISA WAMWITE NA KUYAKANUSHA MBELE YAKE KAMA WANAONA KUWA ANAWASINGIZIA

MOSI
: Ni kuchakachuliwa kwa fungu la Yohana 3:16 na KM-A kwenye Ibada ya pili ya J2 ya tarehe 05/06/2022 na hatimaye sehemu ya video ya uchakuaji huo kufutwa kwenye video ambayo mpaka muda huu ipo kwenye mtandao

PILI: Ni kufutwa kwa sehemu ya video yenye mafundisho ya kumsifu shetani kwenye Ibada ya pili J2 ya tarehe 12/06/2022 ambapo ufalme wa shetani ulisifiwa kwa kumithilishwa na mamlaka ya Rais kwenye nchi yake ambapo mhubiri alienda mbali zaidi hadi kufikia hatua ya kutaja jina la Rais husika ambaye utawala wake ndani ya nchi yake, ulitumika kama mfano kuelezea mamlaka ya ufalme wa shetani namna ulivyo

Kikubwa kinachomuumiza zaidi mhusika hasa katika swala hili la pili; ni mamlaka za utawala wa nchi kulinganishwa na malmlaka za utawala wa shetani, huku mwenye mamlaka ya nchi akitajwa kwa jina lake halisi. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ni miezi kadhaa tu imepita nyuma, tangu nchi impoteze kiongozi wa nchi; experience mbaya kabisa na ya kwanza kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu.

Cha kusikitisha, zaidi hapo hapo anakuja kuibuka tena mtu kwa kava ya utumishi wa Mungu akiwa amechakachua madhabahu ya BWANA na kuamua kutoa ulinganifu wa utawala wa shetani na utawala wa mkuu wan chi yetu

Mhusika anawataka viongozi wa Kanisa A wamwite ili kumhoji katika hili, kama wanaona kuwa anawasingizia. Ni kwa sababu video clips za haya anayoyasema hapa, hazipo zimeondolewa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:SAFARI YA TATU

…………………….inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #1,054
 
SAFARI YA TATU-MARCH 2011

“MAELEZO YA UTANGULIZI”


Watu watatu wageni kutoka nje ya taasisi, walifika kwenye taasisi wakiwa wanahitaji kufanya kazi na taasisi anayofanyia kazi mhusika

Watu hawa walifika na kupokelewa kwenye ‘MAJOR UNIT” nyingine, (tuiite MAJOR UNTI–B (MU-B)) ndani ya taasisi; tofauti na ile ya mhusika (hapa ya mhusika tuiite MAJOR UNIT –A (MU-A)); na kwa hali hiyo walifikia kwenye idara nyingine kabisa tofauti na ile ya mhusika

Walipofika huko MU-B; wageni hao waliwaelekezwa idarani kwa mhusika; na waliambatana na staff mmoja kutoka huko MU-B (tumwite stMU-B) ambaye katika maongezi yao na yeye walipokuwa bado wako huko MU-B (kabla hawajaelekezwa ofisini kwa mhusika) waliweza kum-earmark kujiridhisha kuwa stMU-B alikuwa anaweza kuifanya vizuri kazi yao kwa kushirikiana na mhusika

Sababu pekee iliyopelekea watu hawa kuelekezwa idarani kwa mhusika ni baada ya kifaa walichohitaji kwa ajili ya kazi; kuonekana kuwa hakikuwepo huko walikokuwa wamefikia; huku stMU-B waliyekutana naye huko, naye pia akiwahakikishia kuwa alikuwa nao uwezo wa kuifanya kazi isipokuwa tu alikuwa ana-miss kifaa cha kazi

Kwa hiyo baada ya hapo, stMU-B aliamua kuwaleta wageni hawa hadi idarani kwa mhusika; na baada ya kikao kifupi kati ya wageni hao na Mkuu wa Idara (MWI), stMU-B pamoja na mhusika mwenyewe, kikao hicho kilikubaliana mambo kadhaa kama yalivyoainishwa hapa chini.

Hii ilikuwa ni baada ya wageni hao kujiridhisha kuwa, kifaa walichokuwa wanakihitaji kwa kazi hiyo, ndiyo hasa kile ambacho kilikuwepo idarani kwa mhusika

Baada ya uhakiki wa kifaa hicho cha kazi; kikao kikiwa kinaongozwa na MWI ndani ofisini kwa Mkuu wa Idara wa idara ile ya mhusika; kikao hicho hatimaye kilikubaliana mambo kadhaa kama ifuatavyo hapa chini

  • stMU-B na mhusika wataenda wote pamoja wakafanye kazi hiyo wote wawili; na kwa malipo kulingana na CONSULTANCY POLICY ya taasisi
  • Kifaa cha kazi watasafiri nacho kwa njia ya ndege kwenda site kwa ajili ya kazi hiyo
  • Mhusika na stMU-B watalipiwa usafiri wa kwenda na kurudi ikiwa ni pamoja na malazi na chakula; huku wakiwa wanaishi kwenye hostel ambayo ni ghorofa
  • Ghorofa hilo lilishakodiwa na taasisi hiyo (yenye kuhitaji huduma) na huwa wanishi humo wafanyakazi wake ambao tayari wako huko wakiendelea na kazi
Zaidi ya hayo ni kuwa stMU-B na mhusika walikuwa wanafahamiana tangu kipindi kirefu nyuma, ila tu hawakuwa wamewahi kufanya kazi pamoja. Mbali na hilo, stMU-B na mhusika wanaongea lugha moja ya kuzaliwa

Wageni waliohitaji huduma ya kazi walikuwa watatu, na mmojawapo wa watu hao na ambaye ndiye alikuwa anaonekana kuwa ni boss wa wale wengine wawili; alikuwa na jina la ubini linalofanana na la mmojawapo wa viongozi wa Taasisi ya mhusika

Kwa wakati huo kiongozi huyu ambaye jina lake la ubini lilifanana jina la mgeni huyu alikuwa anafanya kazi kwenye MAJOR UNIT nyingine (tuiite MAJOR UNIT C; MU-C), lakini wakati anateuliwa kwenda kufanya kazi huko MU-C, alitokea MU-B, unit ile ambayo stMU-B alikiwa anafanyia kazi na ambako ndiko wageni hawa walikuwa wamefikia na kupokelewa

Hata hivyo, kiongozi huyu aliyekuwa kwa wakati huo anafanya kazi MU-C, bado alikuwa anahesabika kuwa sehemu yake ya kazi ni MU-B, na hadi leo hii bado anahesabika kuwa ni wa MU-B

Ilipofika Desemba 2015, kiongozi huyu alitoka huko MU-C na kuhamia Centra Administarion (CA) baada ya kuwa amepanda ngazi na kuwa miongoni mwa viongozi wanaoshikilia nafasi zile tatu za mwanzo kabisa katika taasisi, yeye akiwa ni wa tatu kutoka kwenye ngazi ya kiongozi wa taasisi nzima; na hadi leo yuko huko akiwa kwenye nafasi hiyo

Kwa hiyo stMU-B na kiongozi huyu; (aliyetajwa hapa kuwa jina lake la ubini lilifanana na lile la mgeni aliyekuwa ameleta kazi kwenye taasisi); wawili hawa wote walikuwa wanafanya kazi kwenye MAJOR UNIT moja, yaani MU-B; isipokuwa tu kwa wakati huo kiongozi huyu yeye alikuwa yuko MU-C kama mtawala kule

“PLOT”

Mambo yote haya yalitokea mwishoni mwa mwezi wa pili mwaka 2011, na kazi husika ilianza kufanyika mwezi uliofuata, yaani March 2011

Baada ya wageni hawa kuondoka siku hiyo huku nyuma wakiwa makubaliano ya model ya namna kazi yao itakavyofanyika; baada ya siku kadhaa kupita; mgeni yule mwenye kufanana jina na kiongozi wa MU-C; (tumwite MG-MF), alirudi tena idarani, na safari akiwa tena ameambatana na watu wengine wawili

  • Mmojawapo kati ya watu hao aliokuwa ameambatana nao alikuwa ni yule waliyekuja naye mara ya kwanza
  • Mwingine wa pili alikuwa ni mpya; hakuwa yule ambaye alikuja mara ya pili
  • Huyu mpya aliyekuwa amekuja wkati wa safari hii ya pili, naye alionekana kuwa ndiye boss wa MG-MF; na hivyo boss wao wote waliokuwa wamewahi kuja mara ya kwanza
Kwa hiyo mara ya kwanza MG-MF aliwahi kuja akiwa ameambatana na surbordinates wake wawili, ila kwa safari ya pili naye alikuja akiwa ameambatana na boss wake mmoja

WALIPOFIKA IDARANI: SAFARI HII MAZUNGUMZO YAFANYIKIA CHUMBA CHA CHAI NA SI OFISINI KWA MKUU WA IDARA KAMA ILIVYOKUWA KWENYE MAZUNGUMZO YALE YA AWALI

……………………..inaendelea
 
WAGENI WALIPORUDI MARA YA PILI IDARANI: SAFARI HII MAZUNGUMZO YALIFANYIKIA CHUMBA CHA CHAI NA SI OFISINI KWA MKUU WA IDARA KAMA ILIVYOKUWA KWENYE YALE YA AWALI

Wageni waliporudi kwa mara ya pili idarani kwa mhusika, waliambatana pia na Boss mwingine wa juu zaidi, na mazungumzo yalifanyikia kwenye chumba cha chai badala ya ofisini kwa MWI.

Wageni hawa walirudi idarani kwa lengo la kuujulisha uongozi wa idara kuwa kulikuwa na mabdiliko kwenye model ya utendaji wa kazi tofauti na walivyokuwa wamekubaliana katika kikao kile cha awalli

KILE KILICHOSEMEKANA KUPELEKEA MABADILIKO YA MODEL YA UTENDAJI WA KAZI HIYO

  • Wageni hao walikuwa wamebainI kuwa wamiliki wa kifaa cha kufanyia kazi ni idara ya mhusika iliyoko kwenye MU-A
  • Kutokana na hali hiyo, katika kujaribu kupunguza gharama, hawakuaona tena haja ya kumchukua mfanyakazi mwingine kutoka MU-B, yaani stMU-B kwa sababu idara yake si ile iliyokuwa ikmiliki kifaa kilichotakiwa kwenda kufanya kazi
  • Kutokana na point mbili hapo juu, uongozi wa taasisi iliyokuwa imeleta kazi idarani kwa mhusika, ulifikia uamuzi wa kuwa mhusika pekee (kutoka MU-A) ndiyo aende akafanye kazi hiyo akiwa peke yake bila kuambatana na stMU-B kutoka (MU-B); kwa sababu MU-B hawakuwa na kifaa cha kazi
  • Zaidi wageni walidai kuwa malipo ya kazi hiyo yasifanyike kulingana na CONSULTANCY POLICY ya taasisi kwa sababu rate za taasisi ziko juu mno kitu kilichopelekea malipo hayo kuwa makubwa mno kwao
  • Kwa hali hiyo walikuwa wamemuomba MWI kuruhusu kazi hiyo ifanyike kwa malipo ambayo yako kwenye discounted rate tofauti na zile za taasisi ambazo ziko kwenye kijitabu kidogo cha CONSULTANCY POLICY
Mpaka hapa mhusika akawa ameshindwa kuwaelewa hawa watu; lakini MWI alionekana kuafikiana nao na hivyo kwa sababu ilikuwa ni kazi ya ki-ofisi na malipo ya mhusika yalikuwa yako sawa na yanayoendana na rate za serikali; mhusika alikubali kwenda kufanya kazi hiyo

Still mpaka hapo, bado mhusika alizidi kusisitiza waende wakafanye kazi wawili pamoja na stMU-B; kuondoa picha ya mhusika kuonekana kama alimzunguka stMU-B kwa kukosa kifaa cha kazi, wakati stMU-B ndiye aliyeipokea kazi kwa mara ya kwanza na kuileta kwa mhusika

Wageni hawa bado walishindwa kuafikiana na hoja hii ya mhusika

Baada ya kikao, mhusika alijaribu kumpigia simu stMU-B kumuuliza ni nini kilitokea kwake baada ya kikao cha kwanza;

stMU-B akawa analalamika tu akisema hata yeye haelewi nini kilitokea, huku akilaani kuikosa kazi hiyo ilikuwa na hela nyingi

Zaidi stMU-B alisema kuwa alijaribu sana kuwaomba wenye kazi kwa kutumia njia zote ili wamruhusu kwenda kufanya kazi hiyo lakini waligoma kabisa kumsikiliza

Baada ya haya yote kuwa yametokea; hatimaye siku ya siku ilifika, mhusika akaondoka kwenda kufanya kazi hiyo akiwa peke yake; kwa usafiri wa ndege

  • Safarini waliambatana na MG-MF hadi kwenye site ya kazi
  • Baada ya kufika huko, kesho yake MG-MF alirudi Dar es Salaam na hakuonekana tena huko hadi siku mhusika anatoka huko
Hata hivyo, mhusika alishindwa kuifanya kazi hiyo kutokana na kuwa katika mazingira ya hatari sana na ambayo alikuwa hajawahi kuyaona tangu aanze kufanya kazi; details zake ambazo hawezi kuziweka humu

  • Bada ya kushindwa kufanya kazi, alitafuta kampuni nyingine; akawapa kifaa na wakafanya kazi hiyo
  • Kazi ilikuwa ni ya Serikali na ambayo Serikali walikuwa wame-sub-contract kwa mkandarasi; na huyo mkandarasi naye ndiyo alifika idarani kwa mhusika kwa ajlli yak ku-subcontract ki-sehemu cha kazi hiyo
  • Vile vile, makazi aliyoyakuta huko mhusika halikuwa ghorofa la wafanyakazi, bali ilikuwa ni nyumba ambayo hapo awali, iliwahi kutumika kama ya wageni; hiyo ndiyo nyumba ambayo ilikuwa imekodiwa na kampuni
  • Zaidi ni kuwa kulikuwa na baadhi ya wafanyakazi wengine kutoka nje ya nchi (Afrika kaskazini) na ambao nao pia walikuwa wanaishi kwenye hostel hiyo. Wafanyakazi hawa karibia wote walikuwa wanatumia baadhi ya bidhaa ambazo haziruhusiwi hapa nchini
Kwa ujumla tu mazingira ya kazi yalikuwa ni ya hatari sana

Baada ya wiki kadhaa kupita, kifaa cha kazi kiliharibika na mhusika ndiyo akapata nafasi ya kurudi ofisini tena. Na hapo ndiyo akawa amepata tena nafasi ya kuja kuonana tena na MG-MF waliyesafiri pamoja siku anakwenda kwenye site ya kazi hiyo. Tangu siku walipokuwa wamachana site ya kazi, MG-MF na mhusika hawakuwa wamewahi kuonana tena hadi siku hiyo ilipowadia

…………………………..inaendelea
 
Back
Top Bottom