#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

CHANCES NI KWAMBA YAWEZEKANA HATA KAIMU KM-A NAYE PIA ALIONDOKA KIMYA KIMYA, HAKUAGA KANISANI

Ikumbukwe kuwa kabla ya J2 ya tarehe 04/12/2022, mara nyingine ya mwisho aliyokuwepo mhusika Kanisani ilikuwa ni J2 ile ya tarehe 06/11/2022, J2 ya tukio

Kutoka J2 hii hadi J2 ya wiki jana, ni interval ya wiki nne au siku 28

Kwenye J2 ya wiki hii iliyopita, yaani tarehe 06/11/2022 KAIMU KM-A alitajawa kuwa alikuwa ameenda likizo ya wiki kadhaa kitu ambacho kinaashiria kuwa aidha alianza likizo J3 ya tarehe 07/11/2022 au kwenye siku nyingine yoyote iliyofuata baada ya siku hiyo

Na kama alianza likizo J3 hiyo au baada ya hapo, basi tangazo la likizo yake hiyo halikutolewa madhabahuni J2 ya tarehe 06/11/2022 kwa sababu J2 hiyo mhusika alikuwepo Kanisani na pia KM-A naye alikuwepo Kanisani J2 hiyo, alikuwa bado hajaanza likizo

  • Unless kama tangazo hilo lilitolewa J2 ya tarehe 13/11/2022 na baada ya hapo, KAIMU KM-A kuanza likizo yake baada ya tarehe 13/11
  • Kama KAIMU KM-A tuseme alianza likizo J3 ya tarehe 07/11/2022, basi tangazo la likizo yake litakuwa lilikuja kutolewa kwenye J2 iliyofuata huku yeye akiwa tayari ameshaanza likizo
Just in case, kwa nini matangazo haya ya kwenda likizo kwa viongozi hawa yasitolewe kabla hawajaenda likizo, huku na wao wenyewe wakiwa bado wapo Kanisani hawajasafiri?

“In the war between falsehood and truth, falsehood wins the first battles and truth, the last”
 
NEXT:
WATU WANAOTUMIA TITLES ZA PROF NA DR WANAHITAJI KUOMBEWA KWA NGUVU KUBWA MNO; TAYARI KIONGOZI MKUU WA KANISA A AMESHAWASHUSHIA RUNGU ZITO MNO TANGU J2
YA TAREHE 30/10/2022. HASA HASA WALE WANAOTUMIA TITLES ZA DR KWA SABABU BAADHI YAO NDIO WAOMIILIKI MACHO YA NCHI YETU
 
UPDATE: THURSDAY, 08TH DECEMBER 2022

WATU WENYE TITLES ZA DR NA PROF WANAHITAJI KUOMBEWA KWA NAMNA YA KIPEKEE SANA


Kwa kukumbushia tu kuhusiana na kile ambacho kilifanyika kwenye madhabahu ya Kanisa A J2 ya tarehe 30/10/2022 wakati wa matangazo ya KM-A

Baadhi ya titles ambazo KM-A alizikava siku hiyo kwenye matangazo lake zilikuwa ni MR, MRS (MAMA), DR, PROFESSOR, PASTOR,…..

  • Matangazo haya yalifanyika kwenye J2 ya kwanza kabisa kufuatia wiki ya Kongamano la Jimbo
  • Kongamano la jimbo lilichukua watu kutoka sehemu mbalimbali na kwenye mikoa kadhaa ya Tanzania Bara, na hivyo ilikuwa ni sample ya kutosha kabisa kwa KM-A kuweza kufanyia majaribio kwa silaha yake mpya ambayo alikuwa tayariameiandaa
Baada ya kuifanyia majaribio silaha yake kupitia kongamano hilo, ndiyo sasa akaamua kuja kui-launch rasmi Madhabahuni J2 ya tarehe 30/10/2022 mbele ya waumini wa Kanisa A, huku akihusisha pia titles za DR na PROF

KILE KINACHOPELEKEA MHUSIKA KUSHAURI MAOMBI ZAIDI KWENYE TITLES HIZI MBILI, NA HASA ILE YA DR

CHRONOLOGY OF IMPORTANT PAST EVENTS

…………..inaendelea
 
CHRONOLOGY OF IMPORTANT EVENTS

Hadi kufikia leo hii, Macho ya Nchi yetu yamekuwa yakitumia title ya DR kwa muda wa miezi sabini na mitano (75) au takribani miaka sita na nusu, mara ya kwanza ikiwa ni Oktoba 2014

CHRONOLOGY OF EVENTS


Kuanzia Oktoba 2014 hadi Oktoba 2015, Macho ya Nchi yalianza kutumia title ya DR na ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kabisa kwa Macho ya Nchi yetu kutumia title hii

  • Macho ya Nchi yaliendelea kutumia title hiyo pia hata baada ya Oktoba 2015 kabla ya title hiyo kuja kuwa replaced na tilte nyingine tofauti, mnamo March 2021
  • Title hii tofauti iliyoanza kutumika March 2021, imedumu kwa takribani miezi 21
  • Hivyo kwa bahati nzuri, kwa kipindi cha hivi karibuni Macho ya Nchi yameanza kutumia tena title ya DR kuanzia J5 ya wiki jana tarehe 30/11/2022, MUDA WA WIKI MOJA KAMILI SASA
  • Destination ya matumizi ya title hii mpya ni hadi Oktoba 2030, takribani miaka minane (8) ijayo mbele
Hatuwezi kujua pengine hata baada ya 2030, Macho ya Nchi yanaweza kuendelea kutumia title hiyo hiyo ya DR

Kwa hali hiyo, title hii inahitaji maombi ya ziada, ukilinganisha na zile zingine na ukiunganisha na COINCIDENCE hii hapa chini iliyowahi kutokea kwenye kipindi kilichopita kwamba:

  • Kwenye kipindi hicho (kilichopita), title hii iliishia njiani, haikuukamilisha mwendo
  • Mbali na hilo, a business mogul person (RIP), ambaye naye alikuwa ni mtu muhimu mno kwa Nchi yetu, almost naye sawa tu na wale wenye Macho ya Nchi, naye pia aliishia njiani, miaka kadhaa mbele, mara baada tu ya yeye naye kuanza kuitumia title hii
Kwa hiyo chances ni kwamba title hii inaweza kuwa ina mashambulizi ya kipekee sana kwenye ulimwengu wa roho na possibly wakati wa matangazo yake J2 ya tarehe 30/10/2022, KM-A alikuwa amelenga zaidi kwenye title hii ya DR kuliko kwenye zile zingine

  • Ikumbukwe kuwa mhubiri wa siku hiyo alikuwa yule kijana ambaye alikuwa akimponda YESU kwa kutumia jina la Joshua
  • Mhubiri huyu huyu ndiye ambaye kwenye kipindi cha miezi kadhaa nyuma, aliwahi pia kuyatolea mfano mamlaka ya mwenye Macho ya Nchi akiyalinganisha na mamlaka za SHETANI, clip ambayo ilinyofolewa ghafla kwenye mahubiri ya siku hiyo yaliyokuwa yanakuwa steamed live kwenye mtandao
BAADHI TU YA YALE YALIYOWAHI KUTOKEA MWAKA 2014 KUHUSIANA NA MASWALA HAYA AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIYALETA HUMU JUKWAANI

Mbali na haya aliyoyaelezea hapa, mhusika anapenda kuwakumbusha wasomaji kwamba mara ya kwanza kabisa kwa yeye kuyaweka kwenye maandishi kwa njia ya barua, mambo haya ambayo amekuwa akiyaleta humu jukwaani, ilikuwa ni March 2013 ila hakufanikiwa kujibiwa maombi yake.

Barua hiyo ilikuwa ni ya maombi kwa mamlka za juu, kwenye maswala kadhaa aliyokuwa ameyaona ya msingi na ambayo yallikuwa yanahusiana moja kwa moja na usalama wake (physical security)

  • Baada ya kukosa majibu kutoka kwa mamlaka alizokuwa ameziandikia, mhusika alirudia tena kuandika barua nyingine ya kukumbushia Novemba 2013 lakini hata wakati huo pia hakupata majibu pia
  • Ilipofika May 2014, mamlaka alizokuwa ameziandikia barua, zilimwandikia mhusika barua mpya ambayo ilikuwa haijibu barua zake za awali, bali ya tuhuma, na iliyokuwa ikimhitaji aiijibu ndani ya muda wa wiki mbili
Barua hiyo ilikuwa inamhitaji pia aweze kufika kwenye kikao cha nidhamu kwa muda ambao ungepangwa baadaye baada ya kuwa amewasilisha majibu yake

Awali, kabla ya mhusika hajaziandikia barua mamlaka za juu, kulikuwa na mpango uliokuwa ukiendelea kimya kimya kwa kutumia tuhuma za vikao vya mdomoni

Tuhuma kutoka kwenye vikao hivyo ndiyo zile ambazo zilikuwa hatimaye zimelengwa kuja kutumika sasa kama ushahdi wa kumuadhibu mhusika ikiwa ni pamoja na minutes za vikao, ila pasipo kuwepo ushahidi wowote wa maandishi

Baadhi tu ya ma-engineers wa mpango huu walikuwa ni SENIOR MSTAAFU WA KIUMEambaye wakati huo alikuwa bado hajastaafu, pamoja na MKUU WA IDARA, ambaye kwa sasa hayupo kwenye taasisi. Alishahama baada ya kuwa amepata uteuzi kwenye kipindi cha awamu iliyopita na hivyo kulazimika kuhamia rasmi kwenye mhimili mwingine wa dola

Kutoka May 2014 hadi Oktoba 2014 ni interval ya miezi mitano tu

HITIMISHO

Mhusika ana wasiwasi kwamba hili swala la mwaka 2014 lina uwezekano wa kufanana na hili la sasa ambalo amekuwa akidai maslahi yake tangu mwaka 2015 ambayo hayajalipwa hadi leo hii. Pengine na hili la sasa nalo pia anatakiwa aendelee kuandika barua za kukumbushia

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA HII KADHIA YA WATU KUJIDAI KUWA NI WATUMISHI WA MUNGU HUKU WAKITUMIA NAFASI HIYO KURUSHA MAPEPO KUTOKEA KANISANI

Mtu yeyote anayerusha mapepo Kanisani kupitia Madhabahu ya Bwana huwa hafanyi hivyo akiwa anashughulika na mtu bali Nchi, na chances zinaweza kuwa ni kwamba aidha mtu huyo ni mlafi wa pesa au siyo raia wa Nchi, ni saboteur kutoka nchi nyingine
 
UPDATE: FRIDAY, 09TH DECEMBER 2022

MR X
ALIFANYA KITU CHA HUJUMA KWENYE GARI LA MHUSIKA JANA ALHAMIS YA TAREHE 08TH DECEMBER 2022, BAADA YA KUWA ANABADILISHABADILISHA PARKING ZA GARI LAKE NA HATIMAYE KWENDA KUPAKI JIRANI KABISA NA GARI LA MHUSIKA


MR X alikuwa akibadilisha badilisha parking za gari lake jana Alhamis ya tarehe 08/12/2022. Hadi mhusika anondoka ofisini, MR X alikuwa ameshaenda kupaki jirani na gari la mhusika, kulia kwake.

Mbali na gari hilo la MR X, kwenye parking za jirani na jengo la ofisi ambapo mhusika alipaki siku hiyo, limekuwepo pia gari jingine geni KUBWA SANA na ambalo limekuwa likipaki kwa mara ya kwanza na kwa mfululizo ndani ya wiki hii yote, ambalo nalo laweza kuwa lilitumika pia kama shield ya kuongeza uficho wa kile kilichofanyika jana kwenye gari la mhusika. Ni kwa sababu gari hilo limekuwa likipaki kwenye uelekeo ule ambao unaweza kumficha mtu asione vizuri ni nini ambacho kinaendelea kwenye parking za gari

  • Kawaida hujuma hizi huwa zinafanyika siku ya Ijumaa au siku yoyote ambayo inakuwa ni mwanzo wa weekend
  • Lazima gari kubwa liwe limepaki jirani na gari la mhusika
Mpango huu uliokamilishwa jana Alhamis, ulianza kuratibiwa wiki chache nyuma (wiki moja au mbili zilizopita) lakini mhusikaaliubaini na kuu-intercept na kupelekea kushindwa kukamilika

  • Ilikuwa ni kwenye siku moja ya Ijumaa ambayo gari la mzee yule msataafu (part timer) alyewahi kumkosakosa mhusika kumuwekea kitu kwenye chakula, alipaki jirani na gari la mhusika.
  • Ijumaa hii tajwa, Ilikuwa ni mara ya kwanza tena kwa mzee huyu, kupaki jirani na gari la mhusika tangu kipindi kile cha nyuma miezi kadhaa iliyopita, alipowahi kupaki jirani na gari hiyo. Siku hiyo, gari la mhusika lilipata tatizo la gia
  • Kwa hiyo baada ya mhusika kuona mzee huyu amepaki jirani, aliustukia mpango huo na hivyo kutoka na kwenda kulihamisha gari lake na kulipaki sehemu nyingine
  • Siku hiyo mzee huyu naye pia alikuwa amepaki kulia kwa gari la mhusika
TATIZO ALILOLIONA MHUSIKA JANA BAADA YA MR X KWENDA KUPAKI JIRANI NA GARI LA MHUSIKA; PROLONGED ENGINE STARTING CYCLE

Jana wakati mhusika anatoka ofisini kurudi nyumbani, kwa mara ya kwanza, gari lake lilipiga start kwa ku-prolong starting cycle tofauti na ambavyo huwa linapiga siku zote.

  • Hadi muda huu, starting cycle hiyo inazidi kuwa inaongezeka kidogo kidogo na taratibu, na POSSIBLY, itaongezeka zaidi J2 atakapokuwa anatoka Kanisani; na chances ni kwamba J3 asubuhi linaweza lisipige kabisa
  • Kwenye matukio ya aina hii, kawaida MR X huwa anaanzisha ofisini halafu walioko Kanisani wanakwenda kumalizia
  • Kanisani huwa wanamalizia MHUSIKA ANAPOKUWA AMEHUDHURIA IBADA ZA KWANZA
KAWAIDA MR X HUWA ANAANZISHA HALAFU WALIOKO KANISANI WANAMALIZIA

NAMNA RATIBA ZA IBADA ZA KANISA A ZILIVYO KWA WIKI ZOTE ZILIZOBAKI NDANI YA MWAKA HUU WA 2022


J2 zote zilizobaki kwa mwaka huu, mhusika analazimika kuhudhuria Ibada za kwanza tu kwa sababu ratiba inaonyesha kuwa J2 mbili zinazofuata zitakuwa ni Ibada za ndoa na ambazo; huwa zinafanyika kwenye Ibada ya pili ambayo yeye ndiyo huwa ana kawaida ya kuhudhuria

  • Vile vile, Ibada ya wiki ya J2 ya mwisho itakuwa ni Christmas na ambayo yenyewe kawaida mara zote utaratibu wake huwa ni Ibada moja
  • Kawaida mhusika alishashindwa kuwa anahudhuria Ibada za ndoa kwa sababu, kwenye Ibada hizo huwa kuna mchanganyiko wa watu kutoka sehemu mbalimbali
  • Vile vile, mpango huu wa ndoa kuwa zinafanyika wakati wa Ibada ya pili, uliasisiwa katika kipindi ambacho kulikuwa na kundi la viongozi wa Kanisa A wakiongozwa na KM-A mwenyewe, waliokuwa wanamwinda mhusika ili waweze kumsahmbulia kupitia loopohole za uwepo wa watu wageni Kanisani
Zaidi ni kuwa viongozi wa Kanisa A huwa wanaendesha Ibada hizo si kama Ibada bali kama sherehe

  • Kwa hiyo kwa Ibada zote zilizobaki mwaka huu, mhusika atabadilisha ratiba na kuhudhuria Ibada za kwanza.
  • Kwenye siku za Ibada za aina hii ndiyo zile ambazo hujuma huwa zinafanyika kwenye gari lake kutokea Kanisani
Kwa hiyo MR X tayari ameshaanzisha kutokea ofisini halafu wale walioko kule Kanisani watamalizia wakati wa Ibada za kwanza

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA MARA NYINGINE TENA MHUSIKA ANAOMBA MSAADA KUHUSIANA NA HUJUMA ZA MR X KWENYE GARI LAKE MHUSIKA

Hujuma za mara kwa mara za MR X kwenye gari la mhusika, ndiyo zile zilizopelekea hadi muda huu, mhusika naye kuwa yuko somehow rough kama alivyo MR X, japo si kwa kiwango sawa na kile cha MR X

MR X
amezaliwa hivyo, na anachofanya ni inborn na natural kwake kiasi kwamba kwa yeye hana namna nyingine anayoweza akafanya tofauti na ambavyo anafanya sasa. Ana wivu ule wa AGAPE na ambao ni classical, possibly wivu ambao uliwahi kuwepo millennia kadhaa Kabla ya Yesu Kuzaliwa

  • MR X ndiye amekuwa mara kwa mara, akihujumu AC ya gari la mhusika tangu liliponunuliwa kutoka Ulaya mwaka 2013.
  • Sasa mtu hawezi akawa smart wakati anaendesha gari ambalo halina AC. Mpaka sasa, gari la mhusika halina AC na kukosa AC huko kumesababishwa na hujuma za mara kwa mara mtu huyu huyu mmoja MR X akishirikiana na wenzake walioko Kanisani
  • Mhusika anaweza akawa hayuko smart kwa muuonekano wake kwa wengune ila na yeye huwa anapenda angalau ajione yuko smart bila kujali wengine wanamuonaje
Tatizo huwa linakuja pale inapotokea mhusika amevaa suti halafu yuko full kiyoyozi kwenye gari lake, hapo sasa MR X ndiyo huwa anaumia kuliko kawaida. Unajua namna ile ambayo mtu anaumia hadi uliyemuumiza unagundua kuwa umeumiza mtu pamoja na jitihada zote za muumiaji kujaribu kuficha maumivu aliyonayo kwako. Unaumiaje kutoka kwa mtu ambaye mumekutana tu njiani haumfahamu? Ni upumbavu wa hali ya juu sana

Kwa hili mhusika anaomba kama kuna uwezekano, MR X awe INTERVENED ili AKOME MILELE kufanya tena hujuma kwenye gari la mhusika

KUHISANA NA RATIBA YA KANISANI KWA IBADA ZILIZO MBELE


Kuhusiana na ratiba ya Kanisani kwa wiki hii na nyingine zijazo, mhusika alikuta matangazo tayari yameshatoka na hivyo aliipata ratiba hiyo kutoka kwa MR X.

Mhusika analiongelea swala hili la ratiba kwa sababu MR X anao pia hata uwezo wa kumdanganya mhusika ratiba kwa kusudi lake (MR X) maalumu, ili mhusika aende Kanisani katika muda ambao siyo sahihi. Hajawahi kufanya hivyo lakini uwezekano wa MR X kufanya hivyo, mhusika hawezi pia kuuondoa moja kwa moja. Kwa mfano, Ratiba ya Kanisani ya wiki iliyopita mhusika hakuweza kuipata kutoka kwa MR X baada ya MR X kudai kuwa naye hakuwa anaifahamu kwa sababu alikuwa amesafiri

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA WATU WALIOKUWA WAKI-ENGINEER MPANGO WA MHUSIKA KUFUKUZWA KAZI KUANZIA MWAKA 2013

Hawa na SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMK) ambaye kwa wakati huo alikuwa bado hajastaafu, pamoja na Mkuu wa Idara (MWI) wa kipindi hicho, ambaye naye kwa sasa hayupo mazingira ya ofisini

Huyu MWI ndiyo yule aliyepata uteuzi, baada ya mteule mmoja kushindwa kuapa siku ya kuapishwa Baraza jipya la Mawaziri mwishoni mwaka 2020

Kwa wale ambao wangependa kujikumbusha, taarifa za tukio hilo ziko hapa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

au hapa kwenye site hii hapa ya youtube






MWI huyu huyu ndiye yule aliyewahi kusababisha mhusika kushushwa cheo mwaka 2014 na hadi leo, mhusika hajawahi kupanda tena

Kushushwa kwa cheo huko ndiko kulisababisha mhusika kulazimika kuwa na madai ambayo mpaka muda huu hayajalipwa; kwa sababu hakuwahi kukubaliana na kushushwa huko

Pamoja na mhusika kupewa taarifa mwezi August 2022 kuwa madai hayo yalikuwa yanashughulikiwa, hadi muda huu ni kimya na hajapata tena taarifa zingine za nyongeza kuhusiana na madai hayo.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NB: HIVI HII ISSUE YA MTU KUSHINDWA KUAPA, HAITAKIWI KUINGIA KWENYE GUINESS WORLD OF RECORDS KWELI?

UPNEXT: MWENDELEZO WA WA MAMBO YA AWALI AMBAYO MHUSIKA HAKUYAMALIZA, ALIISHIA NJIANI
 
UPDATE: SATURDAY 10TH NOVEMBER 2022

NAMNA AMBAVYO MHUSIKA NALIONA KONGAMANO LILILOFANYIKA KANISA A HIVI KARIBUNI OKTOBA 2022

KUHUSIANA NA MTUMISHI WA MUNGU ALIYEHUDUMU KUANZIA SIKU YA ALHAMIS NA KUENDELEA HADI SIKU YA MWISHO YA KONGAMANO


Uwezekano mkubwa ni kwamba Mtumishi huyu atakuwa alikuwa amekaribishwa kwenye Kongamano hilo na viongozi wengine amnabi si wa Kanisa A

Viongozi wanaorusha mapepo Kanisani kama wanavyofanya wale wa Kanisa A, hawana hadhi ya kuweza kualika mtumishi wa Mungu mwenye hadhi ya huyo aliyehudmu kwenye Kongamano hilo. Mtumishi huyo atakuwa alikuwa amealikwa na viongozi wengine wa Kanisa, tofauti na wale wa Kanisa A
 
UPDATE: SUNDAY 11TH NOVEMBER 2022

MAFUNDISHO YA IBADA YA KWANZA KANISA A JUMAPILI YA LEO


Yamekuwa ni mafundisho mazuri sana, iwapo tu hapatakuja kugundulika kitu kingine tofauti nyuma ya mafundisho mbele ya safari

Huyu mwalimu siku akija kubahatika kukaa kwenye mikono safi na salama, atakuwa mwalimu mzuri sana.

Mtu hatari kabisa kuzidi wote hapo KANISA A, ni huyu anayeendelea kutoa matangazo ya kuhamishia Ibada kwenye UKUMBI WA SULEMAIN. Huyu mtu ikitokea akahama Kanisa A, kuna uwezekano yakatokea mabadiliko makubwa sana kwenye Ibada, possibly hata KM-A anaweza akabadilika. Huyu mtu ni hatari mno



MAMBO MAWILI MUHIMU KUHUSIANA NA TAARIFA ZA IBADA KUHAMISHIWA UKUMBI WA SULEMANI J2 IJAYO

Tangazo la kuhamishia Ibada kwenye UKUMBI WA SULEMANI wiki ijayo halikutolewa kwa waumini isipokuwa mtoa matangazo amesikika akiwatangazia vijana kuwa itabdi wahamishe viti kutoka kwenye Kanisa jipya kwa sababu J2 IJAYO IBADA ITAFANYIKIA KWENYE UKUMBI WA SULEMAIN.

  • Hata hivyo taarifa zilimefika kwa waumini isipokuwa inaonyesha kama kuna uoga wa aina fulani wa namna viongozi wanavyotoa matangazo ya kuhamishia Ibada kwenye ukumbi huo
  • Still, mwenye kutoa matangazo ya kuhamishia Ibada huko amekuwa ni mtu yule yule mmoja siku zote. Sijui kama hii ni coincidence tu au ni pattern
Tangu Ibada zihamishiwe kwenye Kanisa jipya takribani mwaka mmoja sasa, ni mtu mmoja tu ambaye amekuwa akihusika na matukio yote ya kuhamisha tena Ibada hizo kutoka kwenye Kainsa jipya na kuzirudisha tena kule kwa zamani

Vile vile, ni mtu huyo huyo aliyewahi kutamka tu akiwa madhabahuni kuwa Kanisa la zamani limeshabadilika na kuitwa UMKUMBI WA SULEMAIN, huku J2 hiyo akiwa amehamishia tena Ibada huko na pasipo taarifa rasmi kwa waumini

Ningekuwa na mamlaka na mtu huyu, ningehakikisha kuwa huyu hayupo kwanza Kanisa A , halafu mengine ndiyo yanafuata

BY THE WAY, KAMA ILIKUWA INAJULIKANA KUWA KANISA LA ZAMANI BADO LITAENDELEA KUTUMIKA KAMA KANISA, KULIKUWA NA HAJA GANI YA KULIBADILISHA JINA NA KULIITA UKUMBI, HUKU LIKIWA BADO LINAENDELEA KUTUMIKA KAMA KANISA?

Mhusika ni mgumu sana kumchukia mtu lakini kwa hapa anaomba akiri kuwa kwa sasa, HUYU MTU AMESHAMCHUKIA, amelazimika kumchukia. Ni mjinga sana

NA KWA NINI SAA UKUMBI HUO HAUTUMIKI KAMA UKUMBI NA BADALA YAKE NYUMBA YA BWANA NDIYO INAANZA KUWA INAGEUZWA NA KUTUMIKA KAMA UKUMBI TENA, UKIZINGATIA YALE YALIYOTOKEA JUMAPILI ILIYOPITA?

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU SANA KUHUSIANA NA YALE YANAYOENDELEA HAPO KANISA A

Itellijensia ya “Crime” (if any) yoyote inayoweza kuwa inafanyika hapo Kanisa A, mikakati yake huwa inafanyika hasa usiku wakati wa Ibada za mikesha

  • Kwenye Ibada za mikesha, watu wanaweza kupeana taarifa na hata kusambaziana kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine pasipo kuwasiliana kwa simu
  • Mawasiliano ya simu yanaweza yakabeba codes tu ambazo wamekubaliana kuzitumia ili waweze kuonana, ila mawasiliano yao kamili ni kwa njia ya mdomo kwa mdomo wakati wa Ibada za mikesha
Mawasiliano mengine ya mdomo kwa mdomo huwa yanafanyikia kwenye mikutano ya injili, hasa mikutano ile ya siku kadhaa inayofanyikia mikoani
 
Unawezaje kubadilisha Kanisa na kuliita UKUMBI, ilhali unajua kuwa utaendelea kulitumia kama Kanisa?
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA HUYU KIONGOZI ALIYETOA TANGAZO LA
KUHAMISHIA IBADA KWENYE PAGALE J2 IJAYO, HANA UBINADMU KABISA


KUNA MUUMINI MMOJA AMBAYE ANAFUNGA NDOA SIKU HIYO, KITU AMBACHO NI KUMBUKUMBU YAKE MUUMINI YA ONCE AND FOR ALL KATIKA MAISHA YAKE YOTE

HILI JITU LENYEWE HALIJALIONA HILO NA BADALA YAKE LIMEAMUA KUHAMISHA IBADA BADALA YA NDOA YA MUUMINI KUFUNGIWA KWENYE KANISA JIPYA NA LINALOPENDEZA, LENYEWE LIMEIHAMISHA IKAFUNGIWE KWENYE PAGALE. HAYO MATENGENEZO KWENYE KANISA JIPYA, NI MATENGENEZO GANI YA EMERGENCE KIASI KWAMBA HADI YAMEPELEKEAADI NDOA YA WAUMINI KUHAMISHIWA KWENYE PAGALE?

KWA NINI MATENGENEZO HAYO YASISUBIRIE NDOA IKAPITA KWANZA HALAFU NDIYO MATENFENEZO YAKAFANYIKA?

YAANI KATIKA KUNDI LA VIONGOZI WOTE WA KANISA A, HAKUNA HATA MMOJA ALIYEONA KUWA JAMBO HILI LINA KASORO KUBWA?

PRIORITY KUBWA SANA YA VIONGOZI WA KANISA A NI KURUSHA MAPEPO TU KANISANI NA SI VINGINEVYO
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA KIONGOZI ALYEFUNDUSHA SOMO LA LEO

HUYU MTU ATAKUJA KUWA KIONGOZI MZURI MNO IWAPO TU ATAKUJA KUBAHATIKA KUKUTANA NA MIKONO SALAMA:; ISIPOKUWA KAMA ITATOKEA KWA BAHATI MBAYA ASIWEZE KUKUTANA NA BAHTI HIYO, BASI YEYE NDIYE ATAKAYEKUJA KUWA WA HATARI ZAIDI KUWAZIDI HATA WALE ALIO PAMOJA NAO SASA WASIOKUWA NA MIKONO SALAMA
 
GARI LAKE MHUSIKA BADO LINALETA SHIDA KWENYE KUPIGA START; KAZI YA OFISINI YA MR X IJUMAA ILIYOPITA. MHUSIKA ATAENDELEA KUWALETEA UPDATES KUHUSIANA NA SWALA HILI
 
UPDATE: MONDAY 12TH DECEMBER 2022

MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI KANISA A J2 YA TAREHE 11/12/2022 AMBAYO MHUSIKA AMESHAYAONA NA KUYAHAKIKI HADI MUDA HUU


Ibada ya Kusifu na Kuabudu ilianza na kumalizika pasipo tatizo lolote; ilikuwa safi kabisa.
  • Tatizo pekee ambalo mhusika ameshaliona kwenye Ibada zote za aina hii kwa sasa, ni uimbaji wa mapambio tu mfululizo, pasipo kuchanganya na NYIMBO ZA SIFA KUTOKA KWENYE VITABU
  • Hili limeshakuwa tatizo la siku zote na halikuwa la J2 iliyopita tu
Mbali na hayo, Mafundisho wakati wa Ibada kuu nayo pia yalikuwa mazuri na hayakuwa na tatizo lolote

TATIZO LILIKUWA WAPI J2 HIYO?

Tatizo lilikuja kuanzia pale mtumishi aliyekuwa amesimama madhabahuni kwa ajili ya kuhubiri, kabla hajahitimisha mahubiri yake, kumuita mtu na kumpandisha juu madhabahuni ili aweze kushuhudia uponyaji wa masikio kupitia Jina la Yesu


Pale ndipo ulipozinduliwa mpango mwingine mpya unaoshughulika na milango ya fahamu ya mwanadamu, yaani macho, masikio, pua mdomo, ngozi na masikio

Kwa hiyo kitendo cha mtu huyo kupandishwa juu madhabahuni, ilikuwa ni RENEWAL YA WEAPON nyingine inayofanya kazi kupitia milango mitano ya fahamu ya wanadamu

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona mtu anapandishwa juu madhabahuni kushuhudia uponyaji wakati wa mahubiri, tangu aanze kuabudu Kanisa A mwaka 2011
  • Mhusika ameshawaona wengi mno waliowahi kushuhudia uponyaji ila huwa wanashuhudia kwa wakati maalumu na si katika muda wa Ibada kuu ambao mhubiri anakuwa bado yupo madhabahuni anaendelea kufundisha neo la Mungu
  • Utaraibu huu uliotumika hapa, ulikuwa ni mpya kidogo
Zaidi ni kwamba ilikuwa inatosha kwa mhubiri kumsimamisha kwa muda tu MPONYWAJI kutokea mahali pale alipokuwa amekaa na hatimaye waumini kumuona, halafu baada ya hapo yeye (mhubiri) akaeleza machahe tu kuhusiana na MPONYWAJI huyo

Mbali na hilo, baada ya machcahe kutoka kwa mhubiri, MPONYWAJI huyu angetengewa sasa muda maalumu kwa ajili ya kuja kutoa ushuhuda wake mbele ya Kanisa zima, kama ambavyo huwa inakuwa siku zote kwa waponywaji wengine wote

Mponywaji huyu alisemekena pia kuwa aliletwa Kanisani hapo (na hatimaye kupokea uponyaji huo), na mmojawapo wa watu waliowahi kupandishwa juu madhabahuni J2 ya tarehe 30/10/2022

KILICHOTOKEA BAADA YA RENEWAL YA WEAPON KUPITIA MILANGO YA FAHAMU KUWA IMEFANYIKA MADHABAHUNI

Baada ya mhubiri kushuka chini, Kiongozi wa zamu alipandisha juu madhabahuni na kuanza kuita makundi ya watu wa aina mbalimbali ili waweze kupita mbele ya madhabahu. Hapo sasa Kiongozi huyu akawa anashughulika na MACHO ya waumini, kwa kuanzia

Baada ya hapo, wakati wa matangazo, Kiongozi wa Zamu akawatangazia vijana wote kuwa watatakiwa kuhamisha viti vyote na kuvipeleka kwenye UKUMBI WA SULEMANI, ambako Ibada ya J2 ya wiki itafanyikia

  • Iwapo vijana walifanya kitendo hicho wakati wa Ibada ya pili, basi waatakuwa waliGUSA viti vyote vinavyokaliwa na waumini wa Kanisa A na hivyo walitekeleza kitu kwenye mlango wa fahamu wa KUGUSA
  • Mbali nahilo, Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) aliposimama wakati wa kutoa matangazo, aliwaambia waumini KUGEUKIANA NA KUPEANA MIKONO, huku akiwalekeza maeno ya kuambiana kati yao, na waumini walifanya hivyo
HITIMISHO

Tangazo la Kiongozi wa Zamu kuhusiana na Ibada kuhamishiwa UKUMBI WA SULEMANI J2 ijayo wakati siku hiyo kuna tukio jingine muhimu la Ibada ya ndoa ya muumini, LILIKUWA NI CHANGA LA MACHO LILOKUWA LIMELENGA KUWAZIBA MACHO WAUMINI WA KANISA A WASIWEZE KUJUA NINI KILIKUWA KIMEFANYIKA KWENYE MADHABAHU WAKATI WA IBADA J2 HIYO.

Kile kilichokuwa kinatafutwa kupitia tangazo hilo ilikuwa ni kuhakikisha kuwa zoezi la kuhamisha viti linafanyika na kufanikiwa, na pia kuhakikisha kuwa angalau VITI VYOTE VILIVYOPO KANISANI VITAGUSWA NA MIKONO YA WATU WATAKAOKUWA WAMEHUDHURIA IBADA YA PILI J2 HIYO

Muhimu zaidi kwenye swala hili ni kuwa, mhusika anaomba aeleweke kuwa hapingani na ukweli kuwa muumini huyu atakuwa amepokea uponyaji wa masikio kutoka Kanisa A, hapana isipokuwa anachosema ni kwamba SWALA LA MUUINI HUYU KUPOKEA UPONYAJI, LIMEKUJA KUTUMIKA TENA KAMA LOOPHOLE YA KU-LAUNCH WEAPON NYINGINE KUPITIA MADHABAHU YA KANISA A; HUKU MUUMINI HUYO AKIWA AIDHA ANAJUA AU HAJUI

Na kama alikuwa hajui, basi alikuwa anatumika

Hawa viongozi wa Kanisa A kwa sasa wamefikia hatua ambayo wanafanya vitu vya ajabu hadi wanatia huruma

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
PAMOJA NA MAFUNDISHO MAZURI YA MWALIMU WA J2 ILIYOPITA, TATIZO KUBWA AMBALO MHUSIKA AMEKUWA AKILIONA KWENYE KILA FUNDISHO LINALOTOKA KINYWANI KWA MWALIMU HUYU

Kwa cases ambazo mhusika hana malalamiko (yaani ukiondoa zile ambao mhusika ameshawahi kumlalamikia mwalimu) kuhusiana na mafundisho ya mwalimu huyu; mwalimu huyu huwa anafundsha watu wa pande zote mbili kwa namna mbili zifuatazo, kwamba

  • Ukitaka kufanya tofauti na mamlaka za mbinguni unafanya vipi/ mamlaka zilizo tofauti na mamlaka za mbinguni zikoje
  • Unapokuwa unataka kufanya sawa sawa na mamlaka za mbinguni, unafanya vipi/ mamlaka za mbinguni zikoje
Mambo haya mawili kwa muunganiko wake, ndiyo kasoro pekee iliyokuwapo kwenye somo lake la J2 iliyopita

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…