UPDATE: WEDNESDAY 07TH DECEMBER 2022
KWA WALE WALIO NA UELEWA WA MAMBO YA DATABASE:
BAADA YA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) KUANZA KUFANYA KAZI KWA KUTUMIA MTINDO WA DATABASE (DBMS):
KILE ALICHOKUWA AMEACHA NYUMA HAPO KANISA A KATIKA MUDA WOTE ULE AMBAO KIONGOZI HUYO ALIKUWA AMEENDA LIKIZO NDEFU NA KWA MARA YA KWANZA
Ikumbukwe kuwa
kwa mara ya kwanza mwaka huu KM-A ndiyo alichukua likizo na ambayo ilikuwa ni ndefu kiasi, jumla ya wiki 7
Kwa kuchukua likizo, KM alisababisha mabadiliko makubwa kwenye DBMS ya Kanisa A ambayo hayajawahi kuwepo katika kipindi chote cha nyuma kwa sababu hapo kabla, KM-A alikuwa hajawahi kuchukua likizo hata mara moja
Mabadiliko hayo ndiyo aliyokuwa anayafanyia kazi kwa kutumia WEAPON MPYA inayofanya kazi kupitia DBMS, kuona kama WEAPON hiyo mpya aliyoi-
devise itaweza kuja kufanya kazi vizuri
Kwa hiyo kwa kuchukua likizo, KM-A alikuwa anafanya kazi yakui-test weapon mpya tayari kwa kuja kuanza kuitumia
Kile ktendo tu cha yeye kuondoka Kanisa A na kusababisha mabadiliko kutokea, tayari WEAPON hiyo ilikuwa lLAUNCHED, na bila kujali yyeye alikuwa yuko wapi
Hata kama angekuwep maeneo yale yale ya Kanisani akiwa amejificha kwenye chumba kimojawapo Kanisani hapo, tayari WEAPON ilikuwa imeanza kazi
WEAPON hii ilihitaji mabadiliko tu kutokea kwenye DBMS ya Kanisa A na si vinginevyo na mlango huu ulihitaji DBMS ambayo haijawekwa wakfu tu; BASI
BAADA YA KM-A KURUDI KUTOKA LIKIZO, IMMEDIATELY ALIAMUA KUIITEST TENA WEAPON HIYO KWA NAMNA NYINGINE TENA
Aliporudi kutoka likizo, KM-A aliamua kui-
test weapon hiyo kwa kutumia kongamano kwanza
- J2 ya kwanza kabisa aliyokuwepo Kanisani baada ya kuwa amerudi kutoka likizo, ndiyo J2 ambayo lilitolewa tangazo na KAIMU KM-A kwamba kwenye wiki inayofuata, kungekuwepo Kongamano la JIMBO Kanisa A
- Kongamano la JIMBO ni EVENT kubwa mno ambayo katika hali ya kawaida, event hiyo isingeweza kutangazwa kwa kushtukiza hivyo
- Kwa mfano, mwezi Januari 2022, uliwahi kufanyika mkutano wa JIMBO wa wanaume tu hapo Kanisa A
- Mkutano huo ulianza kutangazwa wiki nne kabla ya siku iliyokuwa umepangwa ufanyike
Huu ulikuwa ni mkutano wa wanaume tu, wakati kwa safari hii, lilikuwa ni kongamano la waumini wote wa JIMBO zima
Kwa hiyo KM-A alirudi akiwa tayari amesha-
confirm POTENCY ya
weapon yake na kuamua kuanza kuifanyia majaribio kwenye Kongamano kwanza
Ikumbukwe kuwa KM-A alichukua likizo kuanzia tarehe 29/08/2022 baada ya zoezi la
SENSA YA WATU NA MAKAZI, na J2 yake ya kwanza kabisa kuwepo tena Kanisani baada ya likizo hiyo, ilikuwa ni J2 ya tarehe 16/10/2022
J2 hiyo ndiyo siku ambayo tangazo la Kongamano la jimbo lilitolewa
Kongamano hilo lilianza siku ya J5 ya tarehe 19/10/2022, na
mtumishi wa Mungu aliyesimama madhabahuni siku hiyo ya kwanza, kabla hajaanza kufundisha somo aliwauliza swali waumini akitaka kujua kuwa ni
wangapi walikuwepo pale ambao kabila lao ni wazaramo na haukutokea mkono hata mmoja
- Baada ya hapo, mtumishi alisema kuwa wazaramo bado hawajafikiwa lakini kwa upande mwingine, mtumishi huyo aidha kwa kujua au kwa kutokujua naye alikuwa tayari ameshaanza kufanya kazi kwenye database;
- Vile vile, kwenye siku ya pili iliyofuata, kabla mtumishi wa Mungu hajasimama kwa ajili ya neno la siku hiyo hajasimama madhabahuni, kuna mtumishi mwingine aliyekaribishwa kwa ajili ya kutoa sala kabla ya kuanza kwa mafundsiho ya siku hiyo
- Katika sala yake, mtumishi huyo aliomba akitaja kuwa kusanyiko la waumini hao lilikuwa liko kwenye UKUMBI
MARA TU BAADA YA KONGAMANO KUPITA: KM AZINDUA WEAPON NYINGINE MPYA MADHABAHUNI J2 YA TAREHE30/10/2022
J2 ya tarehe 30/10/2022 KM alisimama madhabahuni na ku-SELECT sample kutoka kwenye DBMS ya Kanisa A ambayo maelezo yake ya kina mhusika tayari alishayatoa humu. Sample hiyo ilikuwa
in part inawakilisha pia
, ORGNAISATION STRUCTURE /HIERARCH YA KANIDSA A
J2 ya iliyofuata ya tarehe 06/11/2022 KM alisimama tena kutoa matangazo ya wazinzi kwa makusudi maalumu mawili makubwa ambayo yalikuwa ni ku-renew weapon ya zamani na pia ku-divert attention ya waumini kutoka kwenye weapon mpya aliyokuwa ameizindua J2 ya wiki iliyokuwa imepita
BAADA YA HAYO YOTE KUWA YAMEFANYIKA
J2 iliyopita ya tarehe 04/12/2022, kulikuwa na sherehe iliyowahusu wachungaji wote Kanisani na ambayo kwa bahati mbaya matangazo yake hayakurushwa LIVE; sherehe ambyao iligeuza NYUMBA YA IBADA na KUWA UKUMBI
Ikumbukwe kuwa mpaka muda huu, hapo KANISA A tayari kuna ukumbi mpya ambao umetokana na KANISA LA ZAMANI, waumini wangeweza kuelekezwa wakageukia upande huo na KEKI zikakatwa na watu wakalishana kutokea hiuko, lakini haikuwa hivyo.
Kilikuwa ni kitendo tu cha nusu dakika, kwa kila muumini kugeuza uelekeo wa kiti chake na kuendelea kuwa sehemu hiyo hiyo aliyokaa, haikuwa hivyo
- KM-A na Mama walikata na kuilishana keki wakiwa mbele ya waumini, juu ya Madhabahu ya BWANa
- Keki ya sherehe ilipandishwa juu ya Madhabahu ya Bwana na kukatwa pale na hatimaye watu kulishana wakiwa pale juu Madhabahuni
Je, watumishi wengine kwenye nyumba za Ibada kule waliko, wanaweza kufanya kitu cha namna hii? Je ni sahihi?
Tuseme kwa mfano, je kwenye Madhabahu ya Bwana:
- KKKT Mbezi Beach, wanaweza kufanya kitu hiki?
- KKKT Azania Front, wanaweza kufanya kitu hiki?
- KKKT Kinondoni, wanaweza kufanya kitu hiki?
- Kwa Mzee wa Upako?
- TAG Majumba Sita?
- EAGT City Centre?
- EAGT Sinza?
Je ni sahihi?
Hapa mhusika amejaribu kuchagua mifano ya
BAADHI TU YA MADHABAHU ambazo alishahakikisha kuwa huwa zinapewa heshima zote zinazotakiwa kupewa MADHABAHU ZA BWANA
HITIMISHO
KWA KIFUPI SANA: KILE AMBACHO KIMEKUWA KIKIFANYIKA KWA KUTUMIA DATABASE
Pepo anarushwa kwenye
ANY CHANGES HAPPENING IN THE DATABASE at any time T
Kwa hiyo kukitokea badiliko lolote kwenye DATABASE, tayari pepo anakuwepo kwenye DATABASE YENYEWE na pia kwenye REPORTS ZA QUERRIES ZA DATABASE
Kwa hiyo basi, DATABASE ya waumini wa Kanisa A iliyokuwa imebaki Kanisani baada ya KM-A kuwa ameondoka (ameenda likizo), ndiyo iliyokuwa imebeba pepo, ikiwa ni pamoja na yule aliyekuwa amekaimishwa kushika mamlaka ya KM-A
Kwa hiyo, KAIMU KM-A, naye pia alikuwa amebeba pepo na hivyo waumini wote waliokuwa wamebaki KKANISA A baada ya KM-A kuondoka, wote walikuwa wamebeba mapepo kupitia kwenye DATABASE kwa kutumia mtindo huo
KWA MARA YA KWANZA KAIMU KM-A NAYE AMECHUKUA LIKIZO BAADA YA KM-A KURUDI KUTOKA LIKIZO
Baada ya KM-A kurudi kutoka likizo, KAIMU KM-A naye pia alichukua likizo na yeye ikiwa ni mara yake ya kwanza kuchukua likizo hiyo
J2 iliyopita ya tarehe 04/12/2022 ndiyo KAIMU Kanisani kwa mara ya kwanza tannu aarudi kutoka likizo
Huu ni utafiti wa kiroho na wa uhakika kabisa kutoka kwa mhusika na ambao muumini yeyote aliyejaa roho, anaweza akauthibitisha hata juu ya asilimia 100
Zaidi ni kuwa kilichofanyika J2 iliyopita ndani ya Kanisa wakati wa sherehe ya KM-A na wenzake, ilikuwa ni vioja, na ni kwa bahati nzuri tu kwamba hekima ilitumika na hivyo kupelekea vioja hivyo kuacha kuwekwa kwenye mtandao
MUBARIKIWE TENE NA BWANA