#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

AINA YA HUJUMA ILIYOFANYIKA KWENYE GARI LA MHUSIKA USIKU WA J3 KUAMKIA J4 ASUBUHI

Diesel filter ambayo mhusika kwa mara ya mwisho aliibadilisha mwezi Julai 2021 ilikuwa imechezewa na hivyo kupelekea transmission ya mafuta wakati wa START UP kuwa comrpromised

Kitu hiki kitakuwa kilifanyika usiku wa J3 kuamkia J4, gari aina ya Costa ilipokuwa imelala kwenye parking kwa mara ya kwanza ndani ya wiki

KILICHOTOKEA J4 ASUBUHI WAKATI MHUSIKA ANATAKA KUONDOKA KUELEKEA OFISINI


Wakati anatoka nje ili akawashe gari, binti wa mama jirani akawa yupo standby peke yake maeneno yale around na katika namna ambayo ilikuwa ikiashiria kuwa alikuwa hana la maana alilokuwa anafanya maeneo yale

  • Zaidi ilikuwa ni kumshuhudia mhusika ni nini kingemtokea pindi atakapokuwa anawasha gari
  • Binti huyu alishuhudia mhusika akiwa anahangaika na gari lakini kwa bahati nzuri liliweza ku-START
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona binti huyu akiwa katika hali ile kwenye maeneo ya parking
Binti huyu ni mgeni ila possibly ana zaidi ya miaka miwili tangu awasili nyumbani kwa mama jirani; na the fact kwamba huwa hasomi shule, kunaweza kukawa na possibility kwamba binti alishakabidhiwa kwa mlinzi wa usiku kwa ajili ya kuhakikiksha binti anamuweka kwenye nidhamu iliyo sahihi mliinzi, sawa na vile ambavyo mama jirani anamhitaji mlinzi huyo kuwa

BAADA YA PLAN B KUPITA J4, PLAN C YAFUATIA KUTOKEA OFISNI JANA J5 YA TAREHE 23/11/2022

…………………………inaendelea
 
BAADA YA PLAN B KUPITA J4, PLAN C ILIFUATIA KUTOKEA OFISNI JANA J5 YA TAREHE 23/11/2022

Jana J5 ya tarehe 23/11/2022, mhusika aliondoka nyumbani kuelekea ofisini akiacha umeme ukiwa umekatika, na alirudi nyumbani na kukuta umeme ukiwa bado umekatika. Na kwa sababu hadi anarudi alikuwa hajala alihitaji kwenda kutafuta chakula pia
  • Asubuhi hiyo wakati anawasili ofisini, huko nako pia umeme ulikuwa umekatika isipokuwa STANDBY generator ilikuwa inafanya kazi vizuri
  • Baada ya muda, kwenye around saa 6 mchana generator ilishiwa mafuta, na hivyo kukawa hakuna umeme ofisini pia
Mpaka muda wa karibia saa 9 mhusika anaondoka ofisini, umeme ulikuwa haupo ofisnini

Hata hivyo, kwenye mazingira ya aina hii, mara zote mhusika huwa ana uzoefu ufuatao na scenerio za aina hii

Ukiona generator ya umeme imeishiwa mafuta na ukakaa angalau masaa mawili pasipo kuwa generator limewashwa tena, au umeme kuwa umerudi maana yake ni kwamba
  • Unatakiwa uondoke maeneo ya ofisini na ukiondoka tu umeme unarudi au generator linaongezewa mafuta ya na kuwashhwa tena
  • Kwa hiyo ikitokea umetoka kidogo baada ya umeme kukatika halafu kwa bahati mbaya ukaenda ukafikwa na chovhote, kitakachofuata baada ya hapo ni maelezo kuwa “HUYU MTU ALIAMUA TU KUONDOKA MWENYEWE OFISINI ILA UMEME ULIKUWEPO OFISINI”
Na kweli watu wakiangalia mazingira wanaona ni kweli kabisa kuwa uliondoka huku umeme ukiwa upo ofisini, wakati kumbe uliondoka umeme ukiwa haupo isipokuwa ulirudi sekunde chache sana baada ya kuwa umeondoka

Kwa upande mwingine, usipoondoka ofisini ukawa upo unausubiria umeme muda wote, UMEME HUO HUWA HAURUDI, wala mafuta huwa hayaongezwi tena kwenye generator

Kwa hiyo tahadhari hapa huwa ni kwamba ukiamua kutoka kidogo ofisini kutokana na tatizo la ukosefu wa umeme, the only place unaweza ukaenda na ukaendelea kuwa safe, ni nyumbani tu na si sehemu nyingine ypyote ile. Kwenye mazingira hayo unatakiwa uende ukapaki na KUTULIA NYUMBANI, usijaribu kwenda mahali pengine popote pale

Na kama tuseme, utaamua kwenda popote pengine kutafuta chakula kwa sababu umeme unakuwa haupo, BASI USIENDE NA GARI, TEMBEA KWA MIGUU

Ukienda na gari, kunaweza kukawa na mtandao uliojipanga huko ukiwa unakusubiria, na huku ofisini umeme unakuwa umesharudi. Kikitokea kitu huko, walioko ofisini wanasema “aliamua kuondoka tu mazingira ya ofisini bila sababu yoyote kwa sababu awali umeme kweli ulikuwa umekatika lakini baadaye ulirudi na aliondoka umeme ukiwa tayari umesharudi”

BAADA YA MHUSIKA KURUDI NYUMBANI NA KUKUTA UMEME HAUJARUDI PIA


Baada ya muda mfupi kupita, mhusika aliamua kwenda kutafuta chakula kwa sababu alikuwa bado hajala
  • Mhusika aliamua kutembea kwa miguu, hakuchukua gari
  • Baada ya kupata chakula “take away”, alianza safari yake ya kurudi nyumbani
Akiwa anatembea pembezoni mwa barabara, baada ya kufika sehemu ambayo alitakiwa akatize barabara upande wa pili, mbele yake kidogo (upande huo wa pili) aliona gari Landcruiser Hardtop lenye namba za usajili za mfumo wa SU, likipiga breki na kusimama pembezoni mwa barabara

Baada ya mhusika kuvuka barabara na kuanza kutembea kuelekea mbele ilipokuwa limesimama gari hilo, mara baada ya kufika usawa wa gari hiyo, binti mmoja alishuka kwenye gari na kuanza kutembea akiwa anarudi kule alikotokea mhusika, na hapo hapo gari hilo lilianza kuondoka

  • Kwa mtu aliyekuwa ana-observe matendo ya gari hilo akiunganisha na safari ya mhusika, ilionekana kama gari hilo lilikuwa likimsun-biri mhusika kwa ajili ya jambo fulani na baada ya kufika eneo lilipokuwa limesimama, mhusika alikamilisha jambo kwa haraka haraka na kwa usiri na watu waliokuwa kwenye gari hilo na hivyo kupelekea gari hilo kuondoka
  • Mhusika alikuwa amebeba mkononi mfuko wa chakula cha take away
Gari hili lili-act kama namna iliyo sawa na walivyojaribu ku-act SECURITY GUARD pamoja na Profesa kwenye Ibada ya J2 ya tarehe 06/11/2022

UPNEXT: KILE AMBACHO MAMA JIRANI ALIKUWA TAYARI AMESHAFANYA TENA KABLA YA TUKIO HILI LA J4 WIKI HII
  • Alikifanya asubuhi ya J5 ya tarehe 07/09/2022 wakati mhusika alipokuwa anatoka nyumbani kuelekea ofisni
  • Mama jirani alikuwa ame-comouflage nje kwenye parking za gari, akimsubiri mhusika atoke nje ili amjulishe jambo ambalo (mama jirani) angeweza kwenda nyumbani kwake mhusika na kumtaafifu huko kwa sababu kipindi hicho walikuwepo pia wageni nyumbani kwa mhusika
  • Siku hii ndiyo siku ambayo barua ya likizo ya mhusika ilitoka, baada ya kuwa imechelewa kutoka
  • Ilionyesha kama mama jirani alikuwa na taaifa za barua hiyo kutoka siku hiyo
  • Siku hiyo wakati mhusika anatoka ofisini, alikuwa hajui kama barua yake ingeweza kutoka siku hiyo, ila ilionyesha kama mama huyu alikuwa na taarifa hizo
……………………..itaendelea tena
 
UPDATE: FRIDAY 25TH NOVEMBER 2022

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA MADA ILIYOPO HEWANI MUDA HUU

YALE YALIYOJIRI JANA SAA MOJA USIKU KATI YAKE NA MLINZI NA JIRANI AMBAYE ALIWAHI KUTIRIRISHA MAJI MACHAFU KUPITIA NYUMBANI KWA MHUSIKA


Mhusika huwa anakula mara moja kwa siku na kawaida huwa ni anakula muda mfupi baada saa moja jioni

Mara tu baada ya kuanza kula chakula jana usiku, alisikia mtu akigonga mlangoni. Wakati huo giza lilikuwa tayari limeshaingia na taa za nje zilikuwa tayari zimeshawaka

  • Baada ya hapo, mhusika aliamua kwenda kufungua mlango kujua ni nani alikuwa angonga
  • Baada ya kufungua mlango, mhusika aligongana uso kwa uso na mlinzi. Mlinzi huyu alidai kuwa mojawapo ya vioo vya gari la mhusika vilikuwa wazi na hivyo alimhitaji akafunge kioo hicho
Wakati mhusika anatoka kazini jana, alifika nyumbani kwenye mida ya saa 11:20 jioni na alihakikisha kuwa gari lake liko salama wakati analiacha kwenye parking ikiwa ni pamoja na kufunga vioo vyote

Ukiachana na tukio hili la jana, kwa siku za hivi karibuni, kuna siku ambayo mlinzi huyu huyu amewahi kumgongea mhusika na kwenye muda unaofana na huo wa jana, akimweleza kuwa mojawapo za lock za milango ya gari lake ilikuwa haijafungwa ilhali mhusika alikuwa amefunga vizuri lock zote.

  • Siku hiyo pia ilikuwa ni baada ya giza kuingia
  • Mhusika alitoka nje kwenda kufunga lock hiyo na wakati anatoka, njiani walikutana na huyu huyu jirani ambaye anamwongelea hapa
Kwenye tukio la jana, baada ya mhusika kuahirisha chakula kwa muda na kutoka nje ili akafunge dirisha, ghafla ilitokeza gari ngeni ikiwa imewasha taa na kuja kusimama pembezoni mwa gari la mhusika, usawa wa pale alipokuwa mhusika

  • Gari hiyo ilishusha kioo cha upande wa abiria
  • Mhusika alimuona jirani akiwa amekaa upande wa abiria,na bada ya hapo jirani alimsalimia mhusika na baada ya hapo, gari iliendelea tena hadi kwenye parking iliyokuwa wazi na ambayo gari la jirani huyu huwa linapaki
Baada ya hapo, mhusika alifunga kioo cha gari lake na kurudi ndani akaendelea kula chakula

KUHUSIANA NA HUJUMA ILIYOFANYIKA KWENYE GARI LA MHUSIKA J4 USIKU

Kuhusiana na hujuma iliyofanyika J4 usiku, mhusika alipeleka gari gereji ambako walimshauri abadilishe filter. Mhusika alinunua filter nyingine mpya kwenye duka lililo jirani na garage hiyo na hatimaye mafundi walimwekea filter hiyo mpya kwenye gari Lake

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UPNEXT: KILE AMBACHO MAMA JIRANI ALIKUWA TAYARI AMESHAFANYA TENA KABLA YA TUKIO HILI LA J4 WIKI HII
 
MAMA JIRANI NA MHUSIKA KWENYE TUKIO JINGINE LA NYUMA LILILOTOKEA SIKU AMBAYO BARUA YA LIKIZO YA MHUSIKA ILITOKA

J5 ya tarehe 07/09/2022 mhusika alipokuwa anatoka nyumbani kwake kuelekea ofisini, baada ya kufika kwenye sehemu aliyokuwa amepaki gari lake, mhusika alimuona mama jirani akiwa amesimama kwenye maegesho ya gari lake

  • Baada ya hapo, mama jirani alimfuata mhusika mahali alipokuwa na kuanza kumweleza kuwa amepata shida kubwa kidogo kwenye familia yake na hivyo alikuwa anahitjai msaada wa maombi
  • Baada ya mama jirani kuielezea shida hiyo, mhusika aliiona kuwa ni genuine walailikuwa haihitaji maswali isipokuwa kitu kimoja kilimpa shida kichwani kwake mhusika kwamba “ni kwa nini mama huyu hakuchukua jukumu la kufika nyumbani kwa mhusika kwenda kueleza shida hiyo kubwa
  • Zaidi mama jirani alimweleza mhusika kuwa shida hiyo ilikuwa imetokea siku kadhaa nyuma, possibly wiki nzima ilikuwa tayari imeshapita tangu shida hiyo itokee hadi kufikia siku hiyo ya maongezi yao
Mbali na maombi, shida hiyo ilikuwa pia inamhitaji mhusika kwa ridhaa yake mwenyewe, angalau kwenda mahali fulani (preferably siku hiyo hiyo aliyopewa taarifa), kwa ubinadamu ulivyo, kama njia mojawapo ya yeye kuonyesha response nzuri kwa familia nzima ya mama jirani, ukiachilia maombi yenyewe

Baada ya maongezi hayo mafupi ya mama jirani na mhusika, mhusika aliamua kupandisha juu na kurudi ndani nyumbani kwake kwenda kuwajulisha waliokuwepo, kile ambacho alikuwa ameelezwa na mama jirani

  • Baada ya hapo mhusika aliwasha gari lake na kuelekea ofisini
  • Siku hiyo ndiyo siku aliyoletewa barua ya majibu ya likizo yake alipokuwa amefika kazini na hivyo kupelekea kesho yake kuanza rasmi likizo yake
BARUA YA LIKIZO YA MHUSIKA UKIIHUSIANISHA NA MAONGEZI YA SIKU HIYO KATI YA MHUSIKA NA MAMA JIRANI

Baada ya mhusika kupata majibu ya likizo yake siku hiyo alianza kuyahusianaisha na tukio la maongezi yake na mama jirani asubuhi pale nyumbani kwao, kwenye parking za gari

  • Mhusika alianza kuona dalili kuwa possibly mama jirani alikuwa na taarifa za kutoka kwa barua hiyo ya likizo na alitaka mhusika afanye mizunguko mjini siku hiyo baada ya kutoka kazini, HUKU AKIWA TAYARI AMESHAANZA LIKIZO
  • Zaidi ni kuwa assuming kilichosemwa kwenye kipengele hiki kilichopita hapo juu kuhusiana na mama jirani kiko sahihi, mhusika aliona pia uwezekano wa kuwepo kwa mpango wa mama jirani kumfuatilia mhusika kule ambako angeweza kuelekea siku hiyo baada ya kutoka kazini
  • Kwa hiyo mama jirani alikuwa pia na nia ya kutengeneza mazingira ya kuonyesha kuwa maongezi waliyofanya asubuhi na mhusika ndiyo hayo yaliyopelekea yeye na mhusika waeze kuambatana bararani siku hiyo
  • Kwamba maonngezi hayo waliyofanya mhusika na mama jirani siku hiyo, yalikuwa na makubaliano ya kuwakutanisha wawili hawa mahali fulani pa faragha, baada ya mhusika kuwa ametoka kazini
Kwa kifupi, mhusika alianza ku-imagine maongezi yake ya siku hiyo na mama jirani kwenye mfumo huu…

“leo naanza likizo na hivyo tukutane mahali xxxxx nitakapokuwa nimetoka ofisini

Zaidi ni kwamba mhusika alikumbuka pia tukio la Kanisani la Desemba 2021, la binti ambaye waliwahi kugongana kwenye parking za gari na hatimaye kulazimika kuongea, na mara baada ya kuwa wameachana Kanisani siku hiyo, mhusika akiwa yupo njiani kurudi nyumbani kwake, aliamua kupitia kidogo maeneo ya Savei na baada ya muda mfupi tu, binti naye alitua eneo hilo hilo alipokuwepo mhusika na (binti) kupaki gari lake hapo

Sababu iliyopelekea mhusika kuwa na analysis ya aina hii kwa taarifa za mama jirani ni kwamba taarifa za mama jirani kwa mhusika:

  • STRICTLY zilitakiwa ziwe zimemfikia mhusika siku kadhaa nyuma kabla ya siku hiyo; assuming ni kweli kwamba mama jirani alikuwa anaona uzito wa kumpatia mhusika taarifa hizo
  • STRICTLY zilitakiwa ziwe zimfikie kwenye mazingira ya nyumbani kwake na kwa uwazi, na si kwa kificho kwenye parking za gari
Hii ni kutokana na ukweli kuwa tukio la mama jirani lilikuja kwenye familia yake kama emergence na lilikuwa limetokea siku kadhaa nyuma kabla ya siku ile ambayo mama jirani ALIMVIZIA mhusika kwenye parking na kumpa taarifa za tukio hilo

Kwa hiyo kilichotokea siku hiyo ni kwamba mama jirani alikuwa anatengeneza mazingira ya kuonyesha kuwa huwa ana kawaida ya kuwa na maongezi ya siri na mhusika.

Baada ya mhusika kutoka ofissini siku hiyo huku akiwa tayari ameshapata barua yake ya likizo, aliamua kutulia nyumbani kwake, hakwenda mahali popote siku hiyo

UWEZEKANO MKUBWA WA UWEPO WA MAIGIZO YALIYOPANGILIWA KWA USTADI WA HALI YA JUU KWENYE FAMILIA MBILI JIRANI NA MHUSIKA

Kadri siku zinavyozidi kupita, mhusika anazidi kuona dalili za pengine uwepo wa maigizo ambayo yanaweza kuwa yamepangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu kati ya majirani hawa wawili, mama jirani pamoja na huyu mwingine aliyekuwa kwenye gari jana usiku

Mhusika hawezi kuyaongelea maigizo hayo kwa sababu ni affairs zao wenyewe, isipokuwa pale tu watakapokuwa wamejaribu ku-trigger kum- involve tena kwenye upumbavu huo ambaio mara zote huwa hawezi kuuvumilia. Kwa tahadhari hii, mhusika anadhani kuwa hawatajaribu tena kufanya kosa la aina hiyo

Kunaweza kukawa na maigizo yanayoendelea huku yakiwa yamepangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu, kwenye familia hizi mbili

KUHUSIANA NA MABADILIKO YA VIFAA KWENYE GARI LA MHUSIKA KUFUATIA HUJUMA ZILIZOFANYIKA KWENYE GARI LAKE USIKU WA KUAMKIA J4 WIKI HII

Mhusika meshababadilisha filter ya gari lake baada ya kununua nyingine mpya kwenye duka jirani lililo karibu na garage ya pale walipo mafundi wa gari lake

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADA YA TUKIO LA J3 LA SALAAM ZA KWENYE PARKING KATI YA MHUSIKA, MAMA JIRANI NA KIJANA ALIYEKUWA NDANI YA HIACE; KUPITA

J5 na Alhamis zlilifuata tena salaam zingine za kwenye parking zinazoelekea kufanana na hizo za J3

Salaam za J5 zilikuwa kati ya mke wa jirani (tumwite mama jirani-2) ambaye mume wake ndiyo aliyekuja kusalimiana na mhusika jana usiku huku (mume wa jirani-2) akiwa kwenye gari, jana usiku

  • J5 hiyo, mhusika alirudi kutoka kazini na kumkuta mama huyu akiwa pamoja na mgeni wake kwenye parking wanaongea
  • Mgeni alikuwa yuko ndani ya gari huku mama jirani-2 akiwa yuko nje
  • Baada ya mhusika kufika eneo la parking, mgeni alianza kwanza kwa kumsalimia mhusika na hatimaye mama jirani-2 naye alifuatia
Baada ya salaam hizo za J5 kupita, Alhamisi jioni (jana jioni) ndiyo zikafuatia tena sasa zingine kati ya mume wa mama jirani-2 na mhusika ambazo nazo pia zilifanyikia kwenye parking

Ilikuwa ni baada ya mhusika kuwa ametoka nje. kufuatia kugongewa mlango na mlinzi na kujulishwa kuwa mojawapo ya madirisha ya milango ya gari lake lilikuwa wazi

Haya matukio yanaonekana kukaa shaghalabaghala tu lakini kwa undani wake, yanaweza kuwa na maana kubwa sana, hasa kwenye ulimwengu wa roho

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 28TH NOVEMBER 2022

COINCIDENCE YA MATUKIO MAWILI ASUBUHI YA LEO, MOJA LIMETOKEA NYUMBANI NA JINGINE OFISINI; SENIOR MSTAAFU WA KIKE ANAHUSIKA

TUKIO LA NYUMBANI


MLINZI WA GARI AMEPUNGUZA TENA UPEPO WA MATAIRI YA GARI LEO ASUBUHI


Alikuwa anasafisha matairi ya gari kwa kutumia maji ya kwenye ndoo, huku mvua kubwa ikiwa imenyesha mara mbili, gari iikiwa limepaki kwenye open space na bila kutembea baada ya mvua kunyesha

Gari halikuwa na uchafu wowote kwenye tairi kwa sababu mvua mbili kubwa zimeinyeshea gari mara mbili pasipo gari kuwa imetembea kwenda mahali popote pale

…………………….inaendelea
 
TUKIO LA OFISINI

Kwa kipindi kirefu sasa SMK amekuwa na tabia iliyokithiri ya kuwa anakuwa na appointment na wageni ambao mara nyingi sana huwa hawamkuti ofisini; na wala wanakuwa hawajui ofisi yake iko sehemu gani
  • Aidha wageni hao wanaonekana kuwa huwa hawana na mawasiliano naye ya simu
  • Kwa hali hiyo, wanapomkosa, (baadhi yao) badala yake huwa wanamvizia mhusika kwenye korido akiwa yuko njiani kuelekea ofisini kwake ili waongozane naye kuelekea ofisini kwa sababu ofisi zao ziko jirani
  • Baadhi ya ambao mhusika huwa haongozani nao, ni wale ambao huwa wanamkuta mhusika akiwa yupo ofisni kwake, na kumuuliza ofisi mahali ilipo ofisi ya SMKi
  • Still, kuna mmoja ambaye anaonekana ni ndugu wa karibu wa SMK, amefanana na mdogo wa SMK ambaye (mdogo wa SMK) waliwahi kusoma wote na mhusika Chuo cha Uhasibu
  • Huyu naye amekuwa na tabia hiyo ya kufika ofisini na kuanza kumuuliza mhusika habari za SMK
KILICHOTOKEA LEO ASUBUHI

Asubuhi ya leo wakati mhusika anaingia ofisini, kumekuwa na ugeni wa SMK uliohitaji mhusika aongozane nao kwenye korido kuelekea ofisini kwa SMK

  • Mhusika aligongana na ugeni huu kwenye usawa wa ngazi za kushuka au kupandisha juu, baada ya kumaliza ngazi ili akate kona kuelekea ofisini kwake
  • Wakati mhusika anaingia ndani ya jengo, mtu huyo alikuwa hatua kadhaa mbele akiwa anatembea taratibu, na alikuwa amebeba sanduku lenye matairi pamoja na begi dogo
  • Njiani kwenye ngazi kulikuwa pia na kundi la wanafunzi wengi tu waliokuwa wakishuka kwenye ngazi baada ya kumaliza kipindi kilichokuwa kwenye ghorofa ya pili
  • Baada ya mgeni huyu kufika usawa wa ngazi za kupandisha ghorofa ya pili, aliamua kusimama kwenye veranda usawa wa kamera na kumsubiri mhusika ambaye alikuwa nyuma, huku naye akiwa anakatiza kwenye kundi la wanafunzi wengi
  • Kuna signal ambayo inaonekana mgeni huyu alikuwa amepewa na MKUU WA MAJOR UNIT ya kuweza kumfahamu mhusika ni yupi (details za hili zitawajieni baadaye)
Baada ya mhusika kufika mahali alipokuwa amesimama mgeni huyu, wakiwa kwenye kundi la wanafunzi, mgeni huyu alimsemesha mhusika kwa kumuuliza mahali ilipo ofisi ya SMK, huku wawili hawa wakiwa wamesimama kwenye veranda ya usawa wa ngazi zile za kupandisha juu na za kushuka chini, chini ya kamera inaymulika korido la floor hiyo

  • Mhusika alimwelekeza mtu huyu ofisini kwa SMK huku yeye (mhusika) akikwepa kuongozana naye na hivyo kuamua kubaki kwenye veranda kwa muda kwanza
  • Chini ya veranda ulikuwa ni usawa ule ambao mhusika alikuwa amepaki gari lake ground floor
  • Baada ya kusimama hapo, huku chini yake akiwa analiona gari lake, mhusika aligundua kuwa upepo wa tairi la mbele kushoto ulikuwa pungufu ya ambavyo huwa unatakiwa kuwa siku zote
Mhusika akiwa bado yupo hapo kwenye veranda, kwa bahati nzuri au mbaya, mgeni naye alienda alikuwa anasubiria nje ya ofisi ya mwenyeji wake na pasipo kumpigia simu, na hatimaye mhusika aliamua kuelekea ofisini kwake na kumkuta mgeni akiwa yuko pale

Mgeni alimweleza mhusika kuwa hajamkuta mwenyeji wake, ambapo mhusika alimwelekeza apandishe juu Ofisi ya Mkuu wa Idara

Mpaka hapa, ilionekana kama, wakati mhusika anaongea na mgeni pale kwenye veranda, mhusika alimweleza mgeni kuwa “nenda unisubiri kidogo hap nje ya mlango wa ofisi yangu ninakuja”

Kipindi mhusika alipokuwa bado yupo kwenye veranda, alimuona MKUU WA IDARA akiwa chini anatokea kwenye parking, akiwa anakuja uelekeo wa geti kuu la jengo baada ya kuwa amepaki gari lake

Kwa hiyo baada ya hapo mhusika aliamua kuelekea ofisini na alimkuta mgeni jirani kabisa na geti kuu la kuingilia ofisini kwake (mhusika) ambapo kulia kwake pia ni mlango wa kuingia ofisni kwa SMK

Baada ya mgeni kumkuta SMK hayupo ndani ofisini kwake, aliamua kusuburia mlangoni, kitu ambacho kinaonyesha kuwa alikuwa anajua uelekeo wa mhusika ulikuwa ni upi; alitarajia kuwa lazima tu mhusika angeweza kuja uelekeo huo

Wakati mhusika anafika kwenye parking kwa mara ya kwanza alijikuta akiwa ameongozana na MKUU WA MAJOR UNIT (MJR), na hakumbuki mara ya mwisho coincidence ya yeye na MJR kuingia ofisini wakiwa wameongozana ilikuwa ni lini, possibly yaweza kuwa hata miaka mitano (5) iliyopita

Ni kwa mara ya kwanza pia mhusika alimuona MJR akiwa amepita njia (ya kuelekea ofisini) ambayo kawaida (MJR) huwa hapiti na ambayo mara zote mhusika huwa anapita

………………..inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEACHANA NA MGENI WA SMK, MGENI AKIWA ANAELEKEA OFISI YA MWI NA MHUSIKA NAYE KUINGIA NDANI OFISINI KWAKE

Baada ya mhusika kuwa ameingia ofisini kwake na kuweka begi la Laptop computer yake kwenye meza, muda huo huo aliamua kupandisha juu kwenda kuhakiki kama kweli mgeni yule alipandisha juu ofisini kwa MWI au alitoka nje ya jengo

Kabla hajamaliza ngazi za floor ya pili ili akakatize kona fupi na kuingia ofisini kwa MWI, hapo hapo kwenye ngazi alikutana na SMK akiwa ameambatana na mgeni wake wakiwa wanaonekana kama kutokea ofisini kwa MWI ndiyo; ila mhusika hawezi kusema kwa uhakika kuwa walikuwa wanatokea ofisi hiyo ya MWI kwa sababu alikutana nao kwenye ngazi

KUHISIANA NA TUKIO LA MLINZI WA GARI KUPUNGUZA UPEPO WA TAIRI ZA GARI ASUBUHI YA LEOI

Mwezi wa Saba mwaka huu, mlinzi huyu huyu aliwahi pia kupunguza upepo wa tairi moja, na hatimaye aliamua baadaye kutengeneza mazingira ya pancha ili ionekane kuwa tatizo lilikuwa ni pancha

Mlinzi huyu ndiye yule yule aliyekuwepo wakati injini ya gari inabadilishwa pamoja na vitu kadhaa kwenye gari

Mambo kadhaa ya msingi kwenye tukio hili la upepo wa matairi ya gari ni kwamba

  • Hapakuwa na haja ya kusafisha tairi za gari wakati mvua kubwa zimenyesha mara mbili; huku gari ikiwa imepaki kwenye open space bila kutembea.
  • Tairi hazikuwa na uchafu wowote na wala hakuna chochote kile kilichokuwa kichafu kwenye gari asubuhi ya leo
  • Kuna gari ya jirani ambayo kwa mara ya kwanza jana ilipaki kwenye sehemu ambayo siyo yake, ilipaki kwenye nafasi ya jirani MAJI MACHAFU
  • Ilipokuwa inatoka, ilipita karibu kabisa na huyu mlinzi alipokuwa anaoshea matairi ya gari.
  • Yaweza kuwa muungurumo wa gari hiyo ndiyo ulitumika kuizima ile sauti ya fyuuuuuu ya upepo uliokuwa ukitolewa kwenye matairi asubuhi hiyo; kwa sababu kulikuwa na watu wengine pia nje
Aidha, maji yaliyokuwa kwenye ndoo yaliyokuwa yakitumika kwa kumwagwa kwenye matairi ya gari, nayo pia yanaweza kuwa yalitumika kuzima sauti ya upepo huo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA OFISINI
BAADA YA SMK KURUDI OFISINI KWAKE AKIWA AMEAMBATANA NA MGENI WAKE, BAADA YA MUDA MFUPI MGENI MWINGINE TIENA WA PILI ALIKUJA NA KUJA KUINGIA OFISINI KWA SMK
BAADA YA MUDA UMEME ULIKATIKA HALAFU UKARUDI TENA BAADA YA KAMA DAKIKA 10 HIVI.
HAPA MHUSIKA ANAOMBA AWATANHIBISHE WASOMAJI WA TAARIFA HIXI KWAMBA KILA TUKIO LA KUKATIKA KWA UMEME WA JENGO ILIMO OFISI YA MHUSIKA HUWA LINA MAANA YAKE NYINGINE KUBWA MNO NYUMA YAKE
 
UPDATE: TUESDAY 29TH NOVEMBER 2022

MASWALI KWA WAUMINI WA KANISA A:

MOJA:
Kuna muumini yeyote wa Kanisa A ambaye alishabahatika kuona kikundi cha waumini wachache wakikusanyika karibu na mlango wa kutokea nje ya Kanisa mara tu baada ya Ibada ya pili kuisha, na ambao huwa wanakusanyika hapo kabla ya waumini wengi hawajatoka nje ya Kanisa?

MBILI: Na kama kuna muunmini ambaye alishawahi kukiona kikundi hicho, ameshakiona mara ngapi?

TATU: Na kama alishakiona, anadhani ni kwa nini kiikundi hicho huwa kinakusanyika haraka namna hiyo, kabla ya waumini wengi hawjatoka nje?

NNE: Je kwa nini huwa kinakusanyikia sehemu hiyo ya pembezoni mwa Kanisa? Je ni kukwepa Kamera ili kisionekane na Kamera zilizo ndani ya Kanisa?

TANO: Je kuna muumini ambaye alishawahi kusikia tangazo linalohusu kusanyiko la kikundi hicho likitolewa madhabahuni kutokana na umaalumu unaoonyeshwa, na pengine kujua madhumuni ya maombi ya kikundi hicho

SITA: Kwa nini kikundi hicho huwa kinakusanyika karibu na mlango na kwenye sehemu ambayo hakuna hata viti vya kukaa?

Mhusika ameshabahatika kukiona kikundi hicho mara mbili na sababu hasa ya kikundi hicho kuwa kinakusanyikia mlangoni na kwa haraka ya namna hiyo ni ili waumini wengi waweze kukiona kabla hawajatoka nje ya Kanisa na kurudi makwao. Lengo ni kwamba waumini wanatakiwa wakione kikundi hicho kabla hawajaondoka kurudi makwao

Scenerio hii inaangukia kwenye
scenario sawa na zile za J2 moja ambazo KM-A alimiwita madahabahuni kiongozi mwenzake ili ampandishie Biblia juu madhabahuni

Makundi haya yote ni SELECTION maalumu kutoka kwenye DATABASE ya Kanisa A

Mhusika atakuja na maelezo zaidi ya kina kuhusiana na swala hili, siku zijazo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 30TH NOVEMBER 2022

KWA WAUMINI WA KANISA A WENYE UELEWA WA MASWALA YA DATABASES

QUERRY ILIYOFANYIKA KWENYE DATABASE YA KANISA A J2 YA TAREHE 06/11/2022 NI HII HAPA

SELECT FROM
MAJINA YA WAUMINI WA KANISA A (MAJINA YAO, PICHA ZAO)”

WHEREMAJINA YA WAUMINI NI WAZINZI (MAJINA YAO, PICHA ZAO)”

OUTPUT=”MAJINA YA WAUMINI WAZINZI WA KANISA A (MAJINA YAO, PICHA ZAO)”

DELETE “MAJINA YA WAUMINI WAZINZI (MAJINA YAO, PICHA ZAO)”

UPDATE DATABASE🙁By using the statement) “Kuanzia sasa hawa siyo washiriki tena wa Kanisa A” (not an exact quote though)

This was a composite querry made of three consecutive commands: SELECT, DELETE and UPDATE

One can just try to figure out as to why in all previous cases, WANZINZI’s were not being DELETED from the Database of Kanisa A. It was only this (first) time that WANZINZI’s were deleted from the database


“……………Kwa hiyo kwa utaratibu wa sasa, PEPO ANARUSHWA KWENYE “ COMPLICATED CHAIN YA MAHUSIANO” YA VITU ILI ISIWE RAHISI KUMTOA…………………..”

  • Kwenye matukio mengine yote ya nyuma, waumini wazinzi walikuwa wanatengwa tu, walikuwa hawafutwi kwenye ushirika
  • Swala la tuseme labda muumini mzinzi kuonekana kuwa amehamishia mahudhurio ya Ibada kwenye Kanisa jingine lenye imani sawa na lile alilokuwapo mwanzo, bado lilikuwa halipelekei mtu huyo kufutwa ushirika kwenye Kanisa lile la mwanzo
MUUMINI PEKEE AMBAYE MHUSIKA ALIWAHI KUMSIKIA AKIFUTWA USHIRIKA HUKU AKIBAMBIKIZWA TUHUMA ZA UZINZI KWA KUTANGAZWA KUWA MZINZI:

MUUMINI HUYU ALIKUWA TAYARI AMESHAHAMA KANISA A HUKU AKIWA AMESHABADILISHA IMANI NA KUOLEWA


Kuna scenario moja tu ambayo mhusika anaikukumbuka ya muumini kuwahi kufutwa ushirika. Muumini huyo alitangazwa na KM-A kuwa amehamia kwenye imani nyingine na baada ya kuhamia huko, alipata mume na kufunga ndoa akiwa kenye imani hiyo mpya

  • Pamoja na kufutwa ushirika, muumini huyu alitangazwa pia kuwa ni mzinzi, kitu ambacho hakikuwa sahihi kwa sababu alikuwa tayari ameshafungishwa ndoa na watumishi wengine wa Mungu kwenye imani nyingine mpya alikokuwa amehamia
  • Kwa huyu ilikuwa ni sahihi kabisa kufutwa ushirika ila siyo kutangazwa kuwa mzinzi kwa sababu alikuwa amehamia kwenye imani nyingine na huko akaenda akapata mume na kufunga ndoa
Lakini kwa sababu kwa KM-A wengine wote ni wazinzi isipokuwa yeye aliye mtakatifu sana, pamoja na kuhamia kwenye imani nyingine na kufunga ndoa huko kwa kufuata misingi ya huko alikokuwa amehamia, bado alitangazwa mzinzi, ikiwa ni pamoja na kufutwa ushirika

Ilikuwa ni haki kabisa kwa muumini huyu kufutwa ushirika ila si kutangazwa mzinzi kwa sababu tayari alikuwa ameshakuwa kwenye mikono ya watumishi wengine wa Mungu na wakati anatangazwa kuwa mzinzi, tayari alikuwa ameshafunga ndoa kwenye Kanisa alilokuwa amehamia. Yaani kuna upumbavu mwingine unafanyika, hadi mtu unashindwa kuelewa kama unafanywa na watu wenye akili timamu

Huyu ndiye mshiriki pekee ambayo mhusika anakumbuka kuwahi kufutwa ushirika, kitu ambacho kilikuwa sahihi kumfuta ushirka ila si kumtangaza mzinzi

TUKIRUDI SASA KWENYE KILE KILICHOTOKEA J2 YA TAREHE 06/11/2022

Kwa hali hiyo, J2 ya terehe 06/11/2022, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa KM-A kusimama madhabahuni na kuwafuta ushirika waumini wazinzi. Kama sivyo, basi ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumsikia KM-A akiwafuta usirika waumini wazinzi

KM-A ANAFANYA KAZI KWA KUTUMIA DATABASES YA WATU NA MAKAZI, HASA HASA KWENYE NAMBA ZA USAJILI ZA MAGARI NA ZA SIMU

KM-A sasa hivi ana-operate kwa kutumia database, na mostly, anatumia sana database za usajili wa namba za simu na za magari

Baada ya mhusika kuwa amelifahamu jambo hili, ndiyo kwa mara ya kwanza ameweza kupata mwanga wa kwa nini namba za usajili za gari lake (mhusika), zinafanana exactly KWA TARAKIMU na namba za gari la jirani wa mhusika, huku zikitofautiana kwa mpangilio wa digit moja tu

Tuseme kwa mfano tarkimu za kwenye namba za usajili za gari la mhusika ni 98X, basi zile za gari la jirani ni X98

KILE AMBACHO ANAFANYA KM-A KWA SASA (NA AMBACHO NDICHO ALIFANYA MR X KWENYE SIKU MBILI ZA TAREHE 26 NA 27 MWEZI ULIOPITA)

Anachofanya KM-A ni kuchukua sample wakilishi tu kwa kutumia waumini kadhaa. Waumini hawa wanakuwa sasa ndiyo entities ambazo zina attributes kama vile (mke/ mme, gari, simu, watoto, kiwanja, shamba, cheo (mkurugenzi, kaimu mkurugenzi, n.k.), kazi, ofisi, idara ya ofisi, n.k)

Kwa hiyo akishapata kwa mfano watu ambao wana attributes kama hizi, kwa kutumia sample ya watu hawa anaweza kukava kila kitu kilicho kwenye DATABASE ya nchi nzima hadi ikiwa ni pamoja na ardhi ya nchi nzima kwa sababu, kwa mfano kiwanja anachomiliki mtu ni ARDHI

Queery hizi ndiyo kwa mara ya kwanza zimepelekea mhusika akajua kwa nini namba za usajili za gari lake, zimefanana exactly na za gari la jirani ambaye wanaishi block moja. Tuseme kwa mfano, namba (tarakimu) za gari la mhusika ni 98X wakati zile za gari la jirani ni X98

MAELEZO MAFUPI SANA YA NAMNA UTAALAMU HUU UNAVYOFANA KAZI KUPITIA KWENYE NAMBA ZA USAJILI ZA MAGARI

Tuchukulie mfano kuwa namba za usajili 98X za gari A inayomilikiwa na A zinafikia hatua zimeshashindikana kubebeshwa pepo na hivyo zinakuwa hazina pepo, ziko safi kabisa.

  • A mwenyewe amezuia namba za gari lake zisibebeshwe pepo
  • Vile vile namba za usajili zenye tarakimu X98 za gari B inayomilikiwa na B nazo pia zinakuwa hazina pepo, ziko safi kabisa.
  • A mwenyewe anakuwa amezuia pia namba za gari la jirani yake B zisibebeshwe pepo
Hapa A anakuwa amefanya kazi ya kuhakikisha kuwa namba za usajili za gari B (ambalo siyo lake) nazo pia hazina pepo kwa sababu:

  • Namba za gari la B zikibeba pepo, lazima na za gari lake A nazo pia zitabeba pepo kwa sababu kuna tarakimu au digits ambazo zimefanana kwenye namba za magari haya mawili yanayomilikwa na watu hawa wawili tofauti
  • Kwa hiyo kitakachofanyika ni kwamba, A ata-attempt kuzuia uwepo wa pepo kwenye namba za magari haya mawili na pengine magari mengine yaliyo kwenye eneo lake
Pamoja na zuio hilo la A, bado tarakimu X,9 na 8 zinakuwa pia kwenye namba za magari mengine yanayomilikiwa na watu wengine walioko sehemu mbali mbali za nchi na ambao si majirani na mhusika

Kwa hiyo kitakachofanyika baada ya A kuwa amezuia uwepo wa pepo kwenye tarakimu hizi, pepo huyo anahamishiwa kwenye MAHUSIANO YALIYOPO KATI YA TARAKIMU za magari haya, kwamba pepo anarushwa sasa kwenye magari yote yenye UHUSIANO wa kuchangia hizi tarakimu hizi tatu X, 9 na 8

Kwa hiyo mpaka hapa, pepo anarushwa sasa kwenye MAHUSIANO ya magari yote yenye tarakimu hizi kwenye namba zake za usajili na si KWENYE TARAKIMU ZENYEWE

Mpaka hapa, pepo anakuwa amewekwa kwenye DATABASE ya watu na makazi kwa sababu:

  • Gari A yenye namba za usajili zenye tarakimu X, 9 na 8 namilikiwa na A;
  • A anaishi block A sehemu A na anamiliki viwanja viwli viliyo kwenye mikoa miwlili, mkoa A na mkoa B
  • A anafnya kazi kweye organization A, ana office mate A mwenye watoto A, B, C, …….
Kwa ufupi hiki ndicho kinachofanyika na hii problem ambayo ku-resolve inabdi uingie kwenye database. Unatakiwa uingie kwenye database ili kuzuia pepo asiwepo kwenye chain hii ya MAHUSIANO. Pepo anakuwa amewekwa kwenye MAHUSIANO na SI KWENYE VITU vinavyotengeneza mahusiano hayo

HITIMISHO

Kwa maana nyingine ni kwamba pepo anaweza akarushwa kwenye MAHUSIANO yaliyopo kati ya KM-A na KAIMU KM-A, wakati KM-A au KAIMU KM-A kila mmoja anakuwa hana pepo alilobeba

Hii inatokea pale tu ambapo tuseme KM-A au KAIMU KM-A hawezi tena kuingia ndani ya nyumba ya Ibada au kusimama madhabahuni huku yeye mwenyewe akiwa amebeba mapepo, kutokana na UPAKO ULIOPO KWENYE NYUMBA YA IBADA KUWA HAURUHUSU TENA UWEPO WA HALI HIYO

KWENYE NYUMBA ZA IBADA ZENYE UPAKO WA KUTORUHUSU VITU PHYSICAL KUBEBA MAPEPO, MAPEPO YANAWEZA KUINGIZWA KWA KUPITIA MLANGO WA MAHUSIANO WA VITU AU WATU

Kwa hiyo kwa utaratibu wa sasa, PEPO ANARUSHWA KWENYE “ COMPLICATED CHAIN YA MAHUSIANO” YA VITU ILI ISIWE RAHISI KUMTOA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA “MTAALAMU WA IT” ANAYEHUSIKA NA MTANDAO WA JENGO ILIMO OFISI YA MHUSIKA

Mara ya mwisho mhusika ku-ineteract na ofisa huyu ilikuwa takribani mwaka mmoja uliopita


  • Ilikuwa ni baada ya mhusika kukosa mtandao kwa takribani wiki nzima
  • Baada ya mhusika kupeleka tatizo lake kwa mtaalamu huyu, baadaye ofisa huyu alituma mtu ambaye (aliyetumwa) alikuwa anamvizia mhusika akiwa yupo nje kwenye korido/ veranda, ili mhusika amchukue mtu huyu kutokea huko kwenye veranda na kumpelekea ofisini kwake ili akarekebishe mtandao
  • Aidha mtu huyo alikuwa hajatambulishwa kwa mhusika na mtaalamu wa IT, isipokuwa alikuwepo ofisni kwa mtaalamu wa IT mhusika na mtaalamu wa IT walipokuwa wanafanya maongezi yao
Baada ya kugundua mbinu za mtu huyo, mhusika aliamua kutoruhusu tena mtu huyo (aliyekuwa ametumwa) kuingia ofisini kwake (mhusika)

  • Still, pamoja na kutokumruhusu mtu huyo kufanya kazi ya kurekebisha mtandao, siku chache mbele mtandao wa mhusika ulirudi wenyewe na ukawa uko sawa pasipo kurekebishwa na mtu yeyote!
  • Tangu kipidi hicho, mtandao wa mhusika umeendelea kuwa sawa pasipo tatizo lolote hadi ilipofika Ijumaa ya wiki iliyopita tarehe 25/11/2022, ndiyo mtandao huo ulipokatika tena
Tangu Ijumaa hiyo hadi leo hii mtandao wa mhusika bado haujarudi

TANGU KIPINDI CHA TATIZO LILE LA ZAMANI, MTAALAMU WA IT NA MHUSIKA WAMEONANA TENA (KWA MARA YA KWANZA) IJUMAA HIYO TAJWA AMBAYO MTANDAO WA MHUSIKA ULIKATIKA TENA

Tangu mhusika na mtaalamu wa IT waonane kipindi cha tatizo lile la mwanzo, hawakuwahi kuonana tena ndani ya jengo ilimo ofisi ya mhusika hadi ilipofika Ijumaa ya tarehe 25/11/2022; siku ambayo mtandao wa mhusika ulikuwa umekatika tena kwa mara nyingine

  • Ijumaa hiyo, mhusika na mtaalamu wa IT walipishana kwenye ngazi; mhusika akiwa anapandisha juu floor ya pili na mtaalamu wa IT naye akiwa anashuka chini kwa kutmia ngazi hizo
  • Kwa hali hiyo, tangia siku ya tatizo la mtandao la awali, mhusika na mtaalamu wa IT hawakuwahi kuonana tena isipokuwa kwenye Ijumaa hiyo tajwa ambayo mtandao wa mhusika ulikuwa umekatika tena
Hata hivyo, baada ya Ijumaa hiyo kupita, mhusika alifanikiwa kumouna tena mtaalamu wa IT ndani ya jengo kwa mara ya pili, J3 asubuhi ya wiki hii tarehe 28/11/2022. Mtaalamu huyu alikuwa anatokea ndani ya OFISI JIRANI KABISA YA MKUU WA MAJOR UNIT; huku mhusika naye akiwa yupo jirani kbisa ndani ofisini kwake mlango wa ofisi yake ukiwa wazi

Tangu Ijumaa iliyopita hadi leo, mtandao wa mhusika haujarudi tena na ume-coincide na tukio hilo la kuonekana tena kwa mtaalamu wa IT ndani ya jengo ilimo ofisi ya mhusika, baada ya wawili hawa kuwa wamepitisha kipindi kirefu sana pasipo kuonana ndani ya jengo hilo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
“……………Kwa hiyo kwa utaratibu wa sasa, PEPO ANARUSHWA KWENYE “ COMPLICATED CHAIN YA MAHUSIANO” YA VITU ILI ISIWE RAHISI KUMTOA…………………..”

Kwa hiyo mtu anaweza aka-imagine inapotokea kuwa pengine kuna pepo kwenye chain ya mahusiano ya tuseme, nguo aliyoinunua Sokoni Makumbusho ambayo muuzaji wake aliinunua kwenye duka la reja reja liliko Sokoni Kariakoo, na mwenye duka la Kariakoo naye aliuziwa na muuzaji wa duka la jumla lililoko mtaa wa Mchikichini, na mwenye duka la mtaa wa mchikichini naye alliinunua nguo hiyo kwa jumla kutoka Bara la Ulaya, Uturuki
 
UPDATE: THURSDAY, 01 DECEMBER 2022

KILICHOKUWA KIMEJIFICHA NYUMA YA PAZIA KWENYE MATANGAZO YA KM-A WAKATI ANATOA MATANGAZO YA KUFUKUZA WAZINZI J2 YA TAREHE 06/11/2022
KM-A ALIKUWA TAYARI AMESHAHAMA KUTOKA KWENYE UTARATIBU WA ZAMANI WA KURUDI MADHABAHUNI KWA KUTUMIA MATANGAZO YA WAZINZI


KM-A alikuwa tayari ameshaaamua kuhama kwenye utaratibu wa kurudi madhabahuni kwa kutumia matangazo ya wazinzi, isipokuwa alikusudia mawazo ya waumini yaendelee kubaki huko ili wasije wakaugundua mapema utaratibu huu mpya wa sasa kabla hajautumia kwa muda aliuouhitaji
  • Kwa kufanya hivyo, KM-A alikusudia mpango wake huu mpya, angalau uwe FOOL PROOF kwa kipindi cha kumuwezesha kufanya kazi ya kutosha kama alivyohitaji
  • KM-A alijua kuwa ipo siku mtiindo wake huu mpya unaweza ukaja kujulikana na hivyo aliamua kuchukua tahadhari kwa kutumia matangazo ya wazinzi
Haipo CRIME MISSION duniani ambayo inaweza ikafanyika na ikawa 100% FOOL PROOF, haipo
 
BY THE WAY;
RATIBA YA KANISA A WIKI HII IKOJE? KUNA MAOMBI?

MHUSIKA HAKUWEPO JUMAPILI ILIYOPITA ILA KUNA DALILI ZINAANZA KUONYESHA KAMA RATIBA YA KANISA A WIKI HII NI MAOMBI!
 
UPDATE: SATURDAY, 03 DECEMBER 2022

KITU CHA PEKEE SANA AMBACHO MHUSIKA ANAMSHUKURU SANA MUNGU KWENYE SAKATA LA MAMBO HAYA AMBAYO YAMEKUWA YAKIENDELEA HAPO KANISA A

NI ILE HATUA YA MUNGU KUAMUA KUWATHIBITISHA WATANZANIA KUWA NI KWELI MAPEPO HUWA YANARUSHWA KUTOKA KANISA A


Ukweli kwamba mapepo huwa yanarushwa kutokea Kanisa A na kwamba kamanda wa program hiyo ni KM-A kwa sasa haupingiki tena na hivyo mpaka muda huu, hayupo tena mtu ambaye kwa namna yoyote ile, anaweza akapinga au akahoji ukweli kuwa mapepo yamekuwa yakirushwa kutoka Kanisa A

Kitu pekee kilichobaki kwa sasa ni Mungu naye kuanza sasa program yake ya KUWACHINJA WACHINJAJI WOTE PAMOJA NA WASHIRIKA WAO WALIOPO KANISA A ambao wamejivika ngozi ya uchungaji na uumini wa Mungu ilihali SI WACHUNGAJI WALA WAUMINI BALI WACHINJAJI

Mungu na Afanye kazi yake sawasawa kama inavyostahiki, katika jina la Yesu Kristo aliye Hai, Amina

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILE AMBACHO KIMEKUWA KIKIFANYWA NA KM-A KUPITIA MATANGAZO YA WALAWITI NA WAZINZI MADHABAHUNI

Nia ilikuwa siyo kuwarudi walawiti na wazinzi, bali kurusha pepo ambalo CARRIER wake wanakuwa ni WALAWITI NA WAZINZI popote pale walipo, ikiwa ni pamoja na wale waliomo makanisani

Kwa hiyo kila alipokuwa anasimama madhabahuni kutangaza matangazo yanayohusiana na watu hawa, alikuwa anarusha mapepo ambayo walawiti na wazinzi walikuwa wanayachukua kuanzia pale na hatimaye kuanza kuyasambaza kwa watu wengine wasiokuwa na sifa hizo

Kwa hiyo chini ya influence ya mapepo ya aina hii kila mahali, ndiyo sasa

  • KM-A aliweza kuendelea kusimama tena madhabahuni
  • Ajali mbaya za barabarani ziliendelea kutokea, zikiwemo COMPIOUND ACCIDENTS zilizokuwa zinatokea kwenye point moja siku moja huku zikihusisha vyombo vya usafiri zaidi ya kimoja
Inapotokea pepo hawa wameiishiwa nguvu au ikitokea wakawa wametoroka kwa kuzidiwa upako wa kwenye nyumba za Ibada, huwa wamekuwa wakirudishwa kwa kupitia Kanisa A kwa njia za mbalimbali zikiwemo baadhi yake ambazo mhusika tayari ameshazifanyia utafiti kama zilvyoainishwa hapa chini

Ikumbukwe kuwa kupotea kwa pepo hawa Kanisani maana yake ni kuishiwa pia nguvu kwa KM-A, za kupanda juu madhabahuni kwa ajili ya kuhubiri neno la Mungu siku za J2

  • Njia ya kwanza ni kwa kutumia maombi ambayo huwa yanayofanyika Kanisa A, hasa yale ya muda wa kuanzia siku tatu na kuendelea. Njia hii ikishindwa kuleta majawabu yanayohitajika, njia zingine zifuatazo huwa zinatumika
  • Njia ya pili ni kwa kutumia matangazo ya wazinzi kupitia madhabahuni.
  • Njia hii ya pili huwa ni lazima itumike in conjuction na watumishi wa Mungu ambao SIKU CHACHE ZILIZOPITA WANAKUWA WAMERUDI KUTOKA KWENYE SAFARI ZA MIKUTANO YA INJILI
Ndiyo maana kipindi kile cha awali, iliwahi kutokea mara mbili, kila ilipokuwa inatokea kwa mtumishi mmoja (fulani) wa Mungu, kuwa siku chache zilizopita amerudi kutoka kwenye mikutano ya injili, alikuwa anapewa nafasi na KM-A ya kusimama madhabahuni kuhubiri akikemea wazinzi

Baada ya hapo, J2 iliyokuwa inafuata, KM-A alikuwa anapanda juu madhabahuni kuanza kuhubiri

Kwa mhubiri huyu ambaye yeye alikuwa anapanda madhabahuni na kuanza kuhubiri kuhusu moja kwa moja kuhusiana na uzinzi, KM-A alikuwa halazimiki tena kutoa matangazo ya wazinzi baada ya mahubiri ya mtumishi huyo ISIPOKUWA TU KM-A huwa anafatoa matangazo hayo kwenye scenario hizi

  • Wanapokuwa wamesimama madhabahuni watumishi wengine ambao huwa wanapewa nafasi na wao kuhubiri mahubiri aidha ya KUMPONDA YESU au ya KUWAPONDA WAUMINI WA KANISA A, baada ya mahubiri ya aina hii lazima sasa KM-A asimame madhabahuni kutoa matangazo ya wazinzi
  • Hata hivyo, tofauti na ambavyo imekuwa siku zote nyuma, kitu hiki hakikufanyika J2 ya tarehe 30/10/2022 baada ya mahubiri yaliyokuwa yanamponda Yesu, isipokuwa matangazo ya uzinzi yalikuja kutoka J2 iliyofuata ya tarehe 06/11/2022
  • Mahubiri hayo hayakuambatana na matangazo ya uzinzi badala yake yaliambatana na matangazo ya ORGANISATION STRUCTURE
  • Ni kwa sababu J2 hiyo, KM-A aliamua ku-introduce weapon yake nyingine mpya kwenye madhabahu INAYOFANYA KAZI KWA KUTUMIA MFUMO WA DATABASE
Kwa hiyo kwenye J2 hiyo, matangazo ya wazinzi aliya-reserve kwa kuyatoa J2 iliyofuata

  • Baada ya J2 nyingie iliyofuata kuwadia, KM-A alitoa matangazo ya uzinzi na kuanzia pale sasa akaanza kusimama tena madhabahuni
  • ilikuwa ni baada ya kuwa amepotea tena madhabahuni kwa wiki kadhaa
Hapa KM-A alikuwa anacheza na saikolojia za waumini ili kuwapoteza lengo walio wajanja. Hapa alikuwa anaigiza pattern za matangazo ya uzinzi ya nyuma, ili watu waendelee ku-concentrate na matangazo ya wazinzi, na wakati huo wasiweze ku-concentrate na weapon yake mpya aliyokuwa amei-introduce madhabahuni J2 ya wiki iliyokuwa imepita

MTUMISHI WA MUNGU ALIYESIMAMA MADHABAHUNI J2 YA TAREHE 05/11/2022 ALIKUWA AMERUDI KUTOKA KWENYE MIKUTANO YA INJILI SIKU CHACHE KABLA

Mtumishi wa Mungu aliyesimama madhabahuni J2 ya tarehe 06/11/2022; muda mfupi alikuwa ametoka kwenye mikutano ya injili, na ndiyo maana baada ya mahubiri yake, yalifuatia matangazo ya wazinzi kutoka kwa KM-A.

  • Hapa sasa KM-A alikuwa ana-renew weapon ile ya zamani, huku akiendelea kuiificha ile mpya aliyokuwa ameizuindua J2 ya tarehe 30/11/2022
  • Ikumbukwe kuwa hadi J2 hiyo, KM-A alikuwa ana wiki zisizopungua 8 bila kusimama madhabahuni kufundisha neno la Mungu
Still, KM-A alikuwa na uwezo wa kusimama madhabahuni kuhubiri bila ya kuwa amefanya matangazo haya mawili kwa sababu pepo walikuwepo Kanisani; na kama walikuwa wametoka, basi walikuwa wanatoka kwa muda tu halafu wanarudi tena

Kwa hiyo trend RENEWAL YA MAPEO KANISA A imekuwa iko hivi:

  • Mapepo yakipotea kanisani, yanarudishwa kwa kutumia maombi hasa yale ya mfululizo wa siku kuanzia tatu na kuendelea
  • Ikitokea mapepo hayo yakashindwa kurudi kwa njia ya maombi, basi njia zingine hutumika ikiwemo mojawapo ambayo huhitaji uwepo wa MTUMISHI AMBAYE MUDA SI MREFU ANAKUWA AMETOKA SAFARI KWENYE MIKUTANO YA INJILI
  • Mtumishi huyu hutakiwa kusimama madhabahuni na kuhubiri mahubiri ambayo mara nyingi (siyo mara zote) yanakuwa ni negative kwa waumini, kama vile ya kuwashutumu waumini kwenye imani zao au ya KUMPONDA YESU
  • Mahubiri ya tarehe 06/11.2022 yalikuwa ni ya KUWAPONDA WAUMINI NA KUMSIFU KM-A huku Yesu akiachwa hewani. Hata hivyo mahubiri hayo hayakumponda Yesu
Baada ya mahubiri ya aina hiyo, KM-A naye sasa husimama tena madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo yake ya wazinzi na cycle nzima ya kurudisha mapepo Kanisani huwa imekamilika kuanzia pale

Baada ya matangazo ya wazinzi kutolewa, mapepo yanakuwa yamesharudi na ndiyo sasa KM-A ndiyo hupata tena nafasi ya kuanza kusimama madhabahuni na kuendelea na kazi yake

Bila kuwepo mapepo, KM-A huwa hawezi kusimama madhabahuni hata siku moja, na possibly kwenye baadhi ya instances chache, huwa hawezi kabisa hata kuwepo tu kwenye mazingira ya Kanisani

KITU CHA PEKEE ALICHOKIONA MHUSIKA SAFARI HII WAKATI KM-A ALIPOKUWA KWA MARA YA KWANZA AMEENDA LIKIZO

ALIONDOKA AKIACHA MAPEPO YAPO HAYAJAKIMBIA, NA ALIRUDI AKAKUTA MAPEPO BADO YAPO NA HIVYO ALIKUWA HAHITAJI KUTOA MATANGAZO YA WAZINZI ILI AWEZE KURUDI TENA MADHABAHUNI


Safari hii, KM-A alitoa matangazo ya wazinzi si kwa ajli ya yeye kumrudisha tena madhabahuni bali ilikuwa ni kwa nia ya kuleta confusion tu kwa baadhi ya waumini wa Kanisa A hasa wale ambao ni wajanja

Kilichopelekea KM-A atoe matangazo ya madhabahuni ya J2 mbili zilizofuatana, yaani yale ya ORGANISATION STRUCTRURE J2 ya kwanza na lile la WAZINZI J2 nyingine iliyofuata, nia ya matangazo yote haya mawili haikuwa kwa ajili ya yeye kumrudisha madhabahuni.

  • Kwa safari hii, KM-A alikuwa na uwezo wa kurudi madhabahuni pasipo kutoa matangazo hayo kwa sababu aliondoka akiacha mapepo yapo, na alirudi akakuta bado yapo
  • Kuna cases ambazo kwa muda fulani fulani tu mapepo hayo yalikuwa yanakimbia kwa muda kutokana na upako wa Ibada za waumini Kanisani, lakini hatimaye yalikuwa yanarudi tena au yanarudishwa tena
Kwa hiyo kilichopelekea KM-A atoe matangazo hayo ilikuwa ni sababu nyingine tofauti na zile za kurudi madhabahuni kama ambavyo amekuwa akifanya kwenye kipindi chaote cha nyuma

  • Kwa safari hii KM-A hakuwa anahitaji kutoa matangazo hayo ili aweze kurudi tena madhabahuni kama ilivyokuwa inakuwa kwenye cases zile za awali
  • KM-A aliondoka akiacha mapepo yapo isipokuwa wakati anarudi, kuna kitu alikuwa anahitaji kufanya na hivyo alilazimika ku-invoke weapon nyingine mpya kijanja, ili aweze kuanza kuitumia silently pasipo watu kumgundua
Weapon hiyo ndiyo ile aliyoi-invoke J2 ya tarehe 30/10/2022 na baada ya hapo J2 ya tarehe aka-renew weapon nyingine ya zamani kwa nia ya kuwapoteza watu lengo kutoka kwenye weapon ile ya mwanzo. Alitaka waumini walio wajanja wa-concentrate zaidi na weapon hii ya zamani

TAHADHARI KUBWA SANA KWA WAUMINI WA KANISA A NI KWAMBA WANATAKIWA WAWE MACHO SANA NA WAHUBIRI WANAOSIMAMA MADHABAHUNI BAADA YA KUWA WAMETOKA KWENYE MIKUTANO YA INJILI

MFANO MZURI TAYARI WANAO KUTOKA KWA MTUMISHI YULE WA ZAMANI ALIYEKUWA ANAPANDA MADHABAHUNI BAADA YA KUWA AMETOKA KWENYE MIKUTANO YA INJILI, AMBAYE KWA SASA HAYUPO AMESHAHAMISHWA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA MTUMISHI WA MUNGU ALIYESIMAMA MADHABAHUNI J2 YA TAREHE 06/11/2022

J2 hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mtumishi huyu kusimama madhabahuni kwa ajili ya kuhubiri maneno ya Mungu, ila mara ya pili kwake kusimama madhabahuni tangu waumini wa Kanisa A walipohamia kwenye Kanisa jipya

  • Mara ya kwanza mtumishi huyu kuwahi kusimama madhabahuni ilikuwa ni miezi kadhaa nyuma, baada ya kuwa ametoka kwenye mikutano ya injili
  • Ilikuwa ni kwenye J2 ya kwanza ya yeye kuwepo tena Kanisani, baada ya kuwa amerudi kutoka safari za kwenye mikutano ya injili
J2 hiyo, mtumishi huyu alikaribishwa kwa ajili kuendesha program ya kuonyesha picha za video kwa waumini, zilizokuwa zimerekodiwa kutoka kwenye matukio mbali mbali ya kwenye mikutano ya injili

  • Program hiyo ilikuwa imeandaliwa kwa dharura na viongozi wa kanisa J2 hiyo, kwa maana ya kuwa hapakuwa na tangazo lililokuwa limetolewa kabla kuhusiana na program hiyo
  • Hata hivyo ni kawaida kabisa kwa program za aina hii kuwepo Kanisani; kwa sababu si kila kinachofanyika kwenye J2 ya Ibada husika kinakuwa kimetolewa maelezo ya awali, isipokuwa kuna vitu vya msingi ambavyo ni lazima viwe vinetangzwa kwanza kabla ya kufanyika
  • Vitu hivyo ni kama kitendo cha kuhamisha Ibada kutoka Kanisa jipya kupeleka ukumbi wa Sulemain. Hicho ni lazima kiwe kimetangazwa kwenye J2 husika, unless kama kuhama huko ni kwa dharura
PAMOJA NA MAHUBIRI YA J2 YA TAREHE 06/11/2022 KUWAKUMBUSHA WAUMINI KUWA NA ADABU NDANI YA NYUMBA YA MUNGU; MAHUBIRI YALIKUWA YAKIWAPONDA WAUMINI WA KANISA A HUKU YAKIMSIFU SANA KM-A

Kwa kiwango kikubwa sana, mahubiri hayo yalikuwa yakiwaponda waumini wa Kanisa A na kumsifu KM-A na kwa sifa ambazo, mhusika huwa anaona kuwa KM-A halingani nazo. KM-A anazo sifa nyingi tu lakini kwa bahati mbaya, karibia mara zote, zile ambazo huwa zinatajwa kutokea madhabahuni huwa siyo zile amnazo anazo

  • Mbali na hilo, hata kama sifa hizo KM-A angekuwa anazo, bado inaleta shida kidogo kwa mtu mwenye akili timamu kuweza kuhimili kishindo cha sifa za kiwango cha juu namna hiyo, ilhali wakati huo huo waumini wako wote wanapondwa
  • Sifa za kiwango hiki na katika mazingira ya aina hiyo, zinaweza kukubalika tu na mtu ambaye kichwani kuna mgogoro mkubwa, nati nyingi zinakuwa zimelegea kichwani zinahitaji kukazwa upya
  • Kwa mtu aliye kawaida, kusifiwa kwa namna hiyo, assuming sifa hizo kweli anazo, kunaweza hata kukapeleka akakimbia na kutoka nje ya nyumba ya Ibada
Kwa upande mwingine wa shilling, Ibada hiyo ilikuwa ni ya kumsifu KM-A na kuwaponda waumini wa Kanisa A

Mfano hai uliwahi kumtokea mhusika alipokuwa yupo uhamishoni Kanisa A. Walikubaliana na kiongozi wake hapo Kanisa A kwamba yeye (mhusika) kimsingi huwa hapendi kutolewa matangazo Kanisani, bila kujali amefanya kitu gani

Kumbe kwa Kiongozi huyo ilieleweka kuwa pengine mhusika kwa kusema hivyo, alikuwa anatamani kuwa antolewa matangazo Kanisani. Kutokana na uelewa huo wa Kiongozi huyo, ilipelekea hatimaye kosa likaja kufanyika na hivyo mhusika kutangazwa Kanisani na kwa sababu ambayo haikuwa na maana yoyote. Kiongozi aliyetoa tanagazo hilo atakuwa alijifunza kitu kutokwa mhusika kuhusiana na tnagazo hilo, na possibly hatarudia tena kufanya kosa la aina hiyo. Zaidi Kiongozi huyo atakuwa alijifunza pia kitu kingine kikubwa kwamba wapo watu ambao akikuambia kitu, anachokuambia ndiyo hicho anchomaanisha na si vinginevyo; kwamba akikuambia A strictly anamanisha A na siyo B

HITIMISHO

Mtumishi huyu aliyekuwa anaporomosha maneno makali kutokea madhabahuni ya kuwaponda waumini huku akimfisfu KM-A, siku chache zilizopita kabla ya J2 hiyo, alikuwa ametoka kwenye mikutano ya injili

  • Pale mwisho kabisa wa mahubiri yake, aliamua kuwapa nafasi waumini wafanye toba kwa wale ambao wanaweza kuwa wametamka maneno mabaya kwa wengine; na hapa ndipo kosa lilipofanyikia tena J2 hiyo
  • Alichofanya mhusika ni kuamuru mbaraka wa pekee sana kwa wachungaji wote popote walipo na kuwalaani laana ya kifo viongozi wale wote wanaotenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwenye nyumba za Ibada, wale waliovaa ngozi za kondoo huku wakiwa ni mbwa mwitu
Kila kiongozi aliyepo Kanisa A anajua kutoka rohoni mwake kwamba yupo kwenye fungu gani katika ya mafungu haya mawili, na kila kiongozi atapokea sawasawa kabisa na amri ya maombi ya mhusika ya J2 hiyona si vinginevyo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 07TH DECEMBER 2022

KWA WALE WALIO NA UELEWA WA MAMBO YA DATABASE:

BAADA YA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) KUANZA KUFANYA KAZI KWA KUTUMIA MTINDO WA DATABASE (DBMS):

KILE ALICHOKUWA AMEACHA NYUMA HAPO KANISA A KATIKA MUDA WOTE ULE AMBAO KIONGOZI HUYO ALIKUWA AMEENDA LIKIZO NDEFU NA KWA MARA YA KWANZA


Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza mwaka huu KM-A ndiyo alichukua likizo na ambayo ilikuwa ni ndefu kiasi, jumla ya wiki 7

Kwa kuchukua likizo, KM alisababisha mabadiliko makubwa kwenye DBMS ya Kanisa A ambayo hayajawahi kuwepo katika kipindi chote cha nyuma kwa sababu hapo kabla, KM-A alikuwa hajawahi kuchukua likizo hata mara moja

Mabadiliko hayo ndiyo aliyokuwa anayafanyia kazi kwa kutumia WEAPON MPYA inayofanya kazi kupitia DBMS, kuona kama WEAPON hiyo mpya aliyoi-devise itaweza kuja kufanya kazi vizuri

Kwa hiyo kwa kuchukua likizo, KM-A alikuwa anafanya kazi yakui-test weapon mpya tayari kwa kuja kuanza kuitumia

Kile ktendo tu cha yeye kuondoka Kanisa A na kusababisha mabadiliko kutokea, tayari WEAPON hiyo ilikuwa lLAUNCHED, na bila kujali yyeye alikuwa yuko wapi

Hata kama angekuwep maeneo yale yale ya Kanisani akiwa amejificha kwenye chumba kimojawapo Kanisani hapo, tayari WEAPON ilikuwa imeanza kazi

WEAPON hii ilihitaji mabadiliko tu kutokea kwenye DBMS ya Kanisa A na si vinginevyo na mlango huu ulihitaji DBMS ambayo haijawekwa wakfu tu; BASI

BAADA YA KM-A KURUDI KUTOKA LIKIZO, IMMEDIATELY ALIAMUA KUIITEST TENA WEAPON HIYO KWA NAMNA NYINGINE TENA

Aliporudi kutoka likizo, KM-A aliamua kui-test weapon hiyo kwa kutumia kongamano kwanza

  • J2 ya kwanza kabisa aliyokuwepo Kanisani baada ya kuwa amerudi kutoka likizo, ndiyo J2 ambayo lilitolewa tangazo na KAIMU KM-A kwamba kwenye wiki inayofuata, kungekuwepo Kongamano la JIMBO Kanisa A
  • Kongamano la JIMBO ni EVENT kubwa mno ambayo katika hali ya kawaida, event hiyo isingeweza kutangazwa kwa kushtukiza hivyo
  • Kwa mfano, mwezi Januari 2022, uliwahi kufanyika mkutano wa JIMBO wa wanaume tu hapo Kanisa A
  • Mkutano huo ulianza kutangazwa wiki nne kabla ya siku iliyokuwa umepangwa ufanyike
Huu ulikuwa ni mkutano wa wanaume tu, wakati kwa safari hii, lilikuwa ni kongamano la waumini wote wa JIMBO zima

Kwa hiyo KM-A alirudi akiwa tayari amesha-confirm POTENCY ya weapon yake na kuamua kuanza kuifanyia majaribio kwenye Kongamano kwanza

Ikumbukwe kuwa KM-A alichukua likizo kuanzia tarehe 29/08/2022 baada ya zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, na J2 yake ya kwanza kabisa kuwepo tena Kanisani baada ya likizo hiyo, ilikuwa ni J2 ya tarehe 16/10/2022

J2 hiyo ndiyo siku ambayo tangazo la Kongamano la jimbo lilitolewa

Kongamano hilo lilianza siku ya J5 ya tarehe 19/10/2022, na mtumishi wa Mungu aliyesimama madhabahuni siku hiyo ya kwanza, kabla hajaanza kufundisha somo aliwauliza swali waumini akitaka kujua kuwa ni wangapi walikuwepo pale ambao kabila lao ni wazaramo na haukutokea mkono hata mmoja

  • Baada ya hapo, mtumishi alisema kuwa wazaramo bado hawajafikiwa lakini kwa upande mwingine, mtumishi huyo aidha kwa kujua au kwa kutokujua naye alikuwa tayari ameshaanza kufanya kazi kwenye database;
  • Vile vile, kwenye siku ya pili iliyofuata, kabla mtumishi wa Mungu hajasimama kwa ajili ya neno la siku hiyo hajasimama madhabahuni, kuna mtumishi mwingine aliyekaribishwa kwa ajili ya kutoa sala kabla ya kuanza kwa mafundsiho ya siku hiyo
  • Katika sala yake, mtumishi huyo aliomba akitaja kuwa kusanyiko la waumini hao lilikuwa liko kwenye UKUMBI
MARA TU BAADA YA KONGAMANO KUPITA: KM AZINDUA WEAPON NYINGINE MPYA MADHABAHUNI J2 YA TAREHE30/10/2022

J2 ya tarehe 30/10/2022 KM alisimama madhabahuni na ku-SELECT sample kutoka kwenye DBMS ya Kanisa A ambayo maelezo yake ya kina mhusika tayari alishayatoa humu. Sample hiyo ilikuwa in part inawakilisha pia, ORGNAISATION STRUCTURE /HIERARCH YA KANIDSA A

J2 ya iliyofuata ya tarehe 06/11/2022 KM alisimama tena kutoa matangazo ya wazinzi kwa makusudi maalumu mawili makubwa ambayo yalikuwa ni ku-renew weapon ya zamani na pia ku-divert attention ya waumini kutoka kwenye weapon mpya aliyokuwa ameizindua J2 ya wiki iliyokuwa imepita

BAADA YA HAYO YOTE KUWA YAMEFANYIKA

J2 iliyopita ya tarehe 04/12/2022, kulikuwa na sherehe iliyowahusu wachungaji wote Kanisani na ambayo kwa bahati mbaya matangazo yake hayakurushwa LIVE; sherehe ambyao iligeuza NYUMBA YA IBADA na KUWA UKUMBI

Ikumbukwe kuwa mpaka muda huu, hapo KANISA A tayari kuna ukumbi mpya ambao umetokana na KANISA LA ZAMANI, waumini wangeweza kuelekezwa wakageukia upande huo na KEKI zikakatwa na watu wakalishana kutokea hiuko, lakini haikuwa hivyo.

Kilikuwa ni kitendo tu cha nusu dakika, kwa kila muumini kugeuza uelekeo wa kiti chake na kuendelea kuwa sehemu hiyo hiyo aliyokaa, haikuwa hivyo

  • KM-A na Mama walikata na kuilishana keki wakiwa mbele ya waumini, juu ya Madhabahu ya BWANa
  • Keki ya sherehe ilipandishwa juu ya Madhabahu ya Bwana na kukatwa pale na hatimaye watu kulishana wakiwa pale juu Madhabahuni
Je, watumishi wengine kwenye nyumba za Ibada kule waliko, wanaweza kufanya kitu cha namna hii? Je ni sahihi?

Tuseme kwa mfano, je kwenye Madhabahu ya Bwana:

  • KKKT Mbezi Beach, wanaweza kufanya kitu hiki?
  • KKKT Azania Front, wanaweza kufanya kitu hiki?
  • KKKT Kinondoni, wanaweza kufanya kitu hiki?
  • Kwa Mzee wa Upako?
  • TAG Majumba Sita?
  • EAGT City Centre?
  • EAGT Sinza?
Je ni sahihi?

Hapa mhusika amejaribu kuchagua mifano ya BAADHI TU YA MADHABAHU ambazo alishahakikisha kuwa huwa zinapewa heshima zote zinazotakiwa kupewa MADHABAHU ZA BWANA

HITIMISHO

KWA KIFUPI SANA: KILE AMBACHO KIMEKUWA KIKIFANYIKA KWA KUTUMIA DATABASE


Pepo anarushwa kwenye ANY CHANGES HAPPENING IN THE DATABASE at any time T

Kwa hiyo kukitokea badiliko lolote kwenye DATABASE, tayari pepo anakuwepo kwenye DATABASE YENYEWE na pia kwenye REPORTS ZA QUERRIES ZA DATABASE

Kwa hiyo basi, DATABASE ya waumini wa Kanisa A iliyokuwa imebaki Kanisani baada ya KM-A kuwa ameondoka (ameenda likizo), ndiyo iliyokuwa imebeba pepo, ikiwa ni pamoja na yule aliyekuwa amekaimishwa kushika mamlaka ya KM-A

Kwa hiyo, KAIMU KM-A, naye pia alikuwa amebeba pepo na hivyo waumini wote waliokuwa wamebaki KKANISA A baada ya KM-A kuondoka, wote walikuwa wamebeba mapepo kupitia kwenye DATABASE kwa kutumia mtindo huo

KWA MARA YA KWANZA KAIMU KM-A NAYE AMECHUKUA LIKIZO BAADA YA KM-A KURUDI KUTOKA LIKIZO

Baada ya KM-A kurudi kutoka likizo, KAIMU KM-A naye pia alichukua likizo na yeye ikiwa ni mara yake ya kwanza kuchukua likizo hiyo

J2 iliyopita ya tarehe 04/12/2022 ndiyo KAIMU Kanisani kwa mara ya kwanza tannu aarudi kutoka likizo

Huu ni utafiti wa kiroho na wa uhakika kabisa kutoka kwa mhusika na ambao muumini yeyote aliyejaa roho, anaweza akauthibitisha hata juu ya asilimia 100

Zaidi ni kuwa kilichofanyika J2 iliyopita ndani ya Kanisa wakati wa sherehe ya KM-A na wenzake, ilikuwa ni vioja, na ni kwa bahati nzuri tu kwamba hekima ilitumika na hivyo kupelekea vioja hivyo kuacha kuwekwa kwenye mtandao

MUBARIKIWE TENE NA BWANA
 
Back
Top Bottom