#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOKA NJE YA GATE LA JENGO

Pale nje kwenye veranda, alimkuta SDOM akiwa amekaa kwenye veranda wakiwa pamoja na mmojawapo wa mabinti wawili waliokuwa wakitumia chumba jirani tangu J5. Mhusika alimjulisha SDOM kuwa chumba chake kilikuwa wazi na SDOM naye alijibu kuwa baadaye atapandisha juu ili akakifunge; na maongezi yao na SDOM yaliishia hapo

Akiwa anatembea kuendelea mbele akiwa kwenye veranda inayoshusha kuelekea basememet floor au kwenye parking zingine zilizo ng’ambo ya barabara

  • Mhusika alimuona tena yule binti mwingine wa pili, mmojawpo wa wawili ambao wamekuwa wakitumia chumba jirani tangu J5, ambaye mwenzake ndiye alikuwa yupo pampja na SDOM hapo nje wakiwa wamekaa kwenye veranda
  • Binti alikuwa anarudi kutoka mahali akielekea kwenye geti la lango kuu la kuingilia ndani ya jengo na kwa mwendo uliokuwa wa kasi kiidogo
  • Mbele yake tena, mhusika alimuona binti mrembo mwingine akiwa amesimama kwenye veranda ile ile aliyokuwa mhusika anapita, umbali kidogo kutoka pale walipokuwa wamekaa SDOM na mwenzake
  • Binti huyu alikuwa amesimama wakiwa pamoja na kijana fulani ambaye alionekana wazi kuwa hakuwa mfanyakazi kutokana na aina ya mavazi aliyokuwa amevaa muda huo
  • Bwana huyu alikuwa amevaa kanzu lakini bila kibaraghashia, na hivyo hakuonekana pia kama mtu ambaye alikuwa ametokea au anaelekea kwenye nyumba ya Ibada Msikitini
Mara ya mwisho kwa mhusika kuona mganga wa kienyeji maeneo ya ofisini, ilikuwa Septemba 2016 kwenye wiki ile iliyofuata baada ya wiki iliyokuwa imepita nyuma, kuwa limetokea tetemeko la Kagera ambalo lilimaliza watu kadhaa mkoani humo

…………………..inaendelea
 
BINTI HUYU MREMBO MWINGINE ALIKUWA NANI?

Tatizo la mhusika ni kwamba kila binti mrembo anataka amfahamu. Hii tabia ndiyo inayomgharimu kule kwenye himaya ya KM-A kiasi kwamba inapotokea mhusika anaanza kulalamikia matangazo ya ajabu madhabahuni, zinaanza kutengenezwa njama ili abambikiwe wake na watoto ambao siyo wake

Baada ya mhusika kuchekecha kumbukumbu zake kwa sekunde kadhaa kuhusu binti huyu hatinaye zilimpa majibu. Binti huyu alikuwa ni MWI (tumwite B-MWI) wa idara ile nyingine ambayo iliwahi kuungana na ile ya mhusika na kuunda MAJOR UNIT iliyopo sasa

Hadi siku hiyo, mhusika alikuwa amemuona binti huyo mara tatu

Mara ya kwanza aliwahi kumuona siku ya Ijumaa ya tarehe 05/03/2021 (mwaka jana) na kwenye tukio ambalo atalielezea hapo badaaye, na siku hiyo binti huyu alikuwa amevaa barakoa

Mara ya pili alimuona J4 ya tarehe 30/08/2022 (mwaka huu) ndani ya jengo la Central Administration (CA) kwenye ofisi iliyo karibu na masjala (tuiite ofisi XY). Mhusika alimuona binti huyu akiwa anatoka ndani ya ofisi hiyo na alikuwa ameambatana na mtu mwingine wa pili; mhusika yeye wakati huo akiwa yupo eneo la masjala karibu tu pale ilipo ofisi XY

Ilikuwa ni kwenye siku ambayo mhusika alilazimika kufuatilia majibu ya barua ya likizo yake ya mwaka huu baada ya kuonekana kuwa ingechelewa kutoka
  • Ofisi aliyokuwa akitoka binti huyu ndiyo ofisi ile ile ambayo, mhusika baada ya kurudi kutoka likizo ya mwaka huu, alielekezwa aende akaonane na mtu ofisini humo, siku ya J5 ya tarehe 7/10/2022, alipokuwa anafuatilia madai ya fedha zake ambazo hajalipwa
  • Kwa hiyo anachojaribu kuleleza hapa mhusika ni kwamba siku mhusika alipomuona binti huyu ndani ya jengo la CA akiingia kwenye ofisi XY, siku hiyo (mhusika) yeye hakuingia kwenye ofisi hiyo; na hapo ilikuwa ni kabla ya mhusika kuanza likizo yake ya mwaka 2022
Hata hivyo, baada ya mhusika kuanza na kumaliza likizo hiyo, alilazimika sasa kurudi tena jengo la CA kwa ajili ya kuripoti baada ya kurudi kutoka likizo na ndiyo siku aliyoweza kuingia kwenye ofisi XY.
  • Siku hiyo ya kuripoti, mhusika alilazimika vile vile kufuatilia madai ya fedha zake na hivyo kuelekezwa aende ofisi XY ambayo wiki kadhaa nyuma, kabla hajaanza likizo, ndiyo ofisi ambayo aliwahi kumuona B-MWI akiingia
  • Baada ya mhusika naye kuingia ndani ya ofisi siku hiyo, muda mfupi mwenye ofisi alimtaka radhi mgeni wake ili atoke nje kidogo akaongee na simu, na hicho kitendo ndicho kilipelekea wote wawili mgeni na mwenyeji watoke nje wakiwa wanamachi kwa pamoja mithili ya askari walioko kwenye kwata.
Siku hiyo, mwenyeji alitaka atoke nje ya ofisi akimwacha mgeni peke yake ofisini humo kwa sababu ambayo ilikuwa ni kwenda kuongea na mtu mwingine kupitia simu ya mkononi

Na mara ya tatu
mhusika kumuona binti huyu ilikuwa ni Ijumaa ya wiki hiki baada ya kuwa wameachana na SMK-2 kwenye ofisi zilizo jirani

MAELEZO YA NAMNA MHUSIKA ALIVYOWAHI KUMUONA B-MWI KWA MARA KWANZA IJUMAA YA TAREHE 05/03/2021 (MWAKA JANA)

……………inaendelea
 
MAELEZO YA NAMNA MHUSIKA ALIVYOWAHI KUMUONA B-MWI KWA MARA KWANZA IJUMAA YA TAREHE 05/03/2021 (MWAKA JANA)

ILIKUWA NI KWENYE SIKU YA IJUMAA NYINGINE AMBAYO KULIKUWA NA TUKIO JINGINE LILILOKUWA LIMEPANGWA KWA MHUSIKA; LILILOFANANA NA LA IJUMAA ILIYOPITA NA AMBALO LILIFELI PIA


Kwenye Ijumaa hiyo tajwa, kulikuwa kumepangwa pia tukio jingine kwa mhusika sawa na hili la Ijumaa ya wiki hii

  • Tofauti kidogo tu iliyopo kati ya matukio haya mawili ni kwamba hili la Ijumaa ya wiki hii lilikuwa limepangwa li-excute kupitia chumba cha jirani na ilipo ofisi ya mhusika, wakati la kipindi cha awali lilipangwa litokea ndani ya washroom za wanaume zilizoko ground floor
  • Plan ya tukio lenyewe ilikuwa ni kwamba iwapo mhusika angeenda kujisaidia haja ndogo kwenye muda wa kuanzia saa 9 na kuendelea na kama angeenda kwenye washrooms zilizoko ground floor.
  • likuwa ni kwenye wiki ya kwanza kabisa tangu wanafunzi waanze vacation yao fupi, kama kumbukumbu zake mhusika bado ziko sawa
Baada ya saa 9, kweli mhusika alihitaji kwenda washroom na badala ya kushuka chini, ground floor alipandisha juu floor ya pili. Kwa hiyo mpaka hapo “Plot” nzima ya siku hiyo ikawa imevurugika

Baada ya jaribio hilo kufeli, kumbe kulikuwa na PLAN B; PLAN ambayo nayo pia ilikuwa imepangwa i-execute siku hiyo hiyo ya Ijumaa au ikishindikana, kwenye J3 ya wiki iliyokuwa inayofuata ya tarehe 08/03/2021J3, yaani ndani ya wiki ya wanawake duniani

Plan B nayo pia ilishindwa ku-execute Ijumaa hiyo baada ya mhusika kushindwa kupuuzia tangazo la mdomoni la kikao lililotolewa muda mfupi tu baada ya PLAN A kufeli. Mhusika aliamua kuhudhuria kikao cha tangazo hilo ambalo maelezo yake yatafuata baadaye, kitendo kilichopelekea PLAN B nayo ishindwe ku-execute pia Ijumaa hiyo

J3 hiyo iliyotajwa hapo juu ilikuwa ndiyo siku ya kwanza kabisa kwenye wiki ya wanawake.

Ikumbukwe pia hapa kuwa tarehe hiyo hiyo kwa mwaka iuliokuwa umepita nyuma yaani ule wa 2020; tarehe hiyo iliangukia J2 na siku hiyo pia kulikuwa na tukio kwa mhusika, safari hii kutokea Kanisani. Ilikuwa ni J2 ya harusi ya mtoto wa KM-A) na mwalimu wa somo alikuwa ni huyu aliyesimama madhabahuni J2 ya tarehe 30/10/2022

PLAN B YAANZA KUFANYIWA KAZI SIKU HIYO HIYO YA IJUMAA MUDA MFUPI TU BAADA YA PLAN A KUFELI

Baada ya PLAN A kuvurugika:

Kwanza umeme ulikatika na kipindi hicho hapakuwa na STANDBY GENERATOR kwenye jengo

  • Baada ya umeme kukatika, Mkuu wa MAJOR UNIT (MJR) aliagiza mtu akawa anapita maofisini na kwenye korido akiwaambia watu washuke chiini Ground Floor kwa ajili ya kikao kifupi
  • Mhusika alishangaa kwa nini tangazo hilo lilitolewa kwa mdomo tu na si kwenye official channels za taasisi lakini alijibiwa kuwa lilikuwepo muda mrefu na lilikuwa limetolewa kupitia kwenye Whattsup
Mhusika alilazimika kuhudhuria kikao hicho pasipo kujua kkilikuwa kinahusu nini kwa sababu cicular ilikuwa imetoka kupitia Whattsup na yeye huwa hatumii Whattsup

  • Ndani ya kikao, ilijulikana kuwa ni kwa ajili ya kupiga kura za kumchagua Mkuu mpya wa Taasisi nyingine mpya ambayo iilikuwa tayari imeziunganisha taasisi zingine mbili ndogo zilizoko Nzega na Dodoma
  • Kulikuwa na wahusika kadhaa waliofika idarani kwa ajili ya utekelezaji wa zoezi hilo na ambao wote walikuwa wametoka nje ya Idara; mmojawapo akiwa ni B-MWI.
  • Kwa bahati mbaya B-MWI yeye alichelewa kidogo kufika kwenye kikao hicho na alipofika; alikuwa amevaa barakoa kwa ufasaha
…………………….inanedelea
 
UPDATE: MONDAY 14TH NOVEMBER 2022

BAADA YA B-MWI KUWASILI; ZOEZI LA UCHAGUZI LLIANZA


Zilipita takriban dakika 15-30 kusanyiko la watu likiwa linamsubiria B-MWI, kitu kilichoonyesha kama B-MWI alikuwa ameshtukizwa, hakuwa amejiandaa kwa hilo

Baada ya B-MWI kuwasili, zoezi la uchaguzi lilianza na mshindi alipatikana na hatimaye kutangazwa pale pale.

  • Mshindi huyu alitakiwa sasa akachuane na washindi wengine wawili kutoka kwenye taasisi zilizoko Nzega na Dodoma ili mshindi wa mwisho apatikane.
  • Mshindi aliyepatikana siku hiyo alikuwa anatoka kwenye Idara ya mhusika; na washiriki wote kwenye zoezi hilo walikuwa wametoka kwenye idara zote mbili za MAJOR UNIT iliyo chini ya MJR
  • Aliyeshinda uchaguzi huo siku hiyo, huwa wana shared ofisi na mzee mwingine part-timer ambaye (mzee) maelezo yake yatafuata baadaye
BAADA YA ZOEZI LA UCHAGUZI KUKAMILIKA YALIFUATIA MATANGAZO AMBAYO MOJAWAPO YA MATANGAZO LILIHUSIANA NA KUSANYIKO LA WATU KUTOKA IDARA ZOTE MBILI; J3 YA WILI ILIYOKUWA INAFUATA

Baada ya uchaguzi, tangazo lilitolewa kuwa watu wa Idara zote mbili wanaombwa kukusanyika tena J3 ya wiki iliyokuwa inafuata

  • Sababu zilizotolewa kuhusiana na kusanyiko hilo ni kwa wana idara wa idara zote mbili kufahamiana zaidi
  • Zaidi ilielezwa kuwa J3 tajwa ilikuwa ni mwanzo wa siku ya wanawake duniani na hivyo wanawake wote wa taasisi nzima wangekuwa na kusanyiko lao maalumu kwenye ukumbi mahali fulani ndani ya eneo la taasisi na ambapo TOP MANAGEMENT (TOM) ya taasisi wangehudhuria kusanyiko hilo la wanawake
Tangazo hilo lilitolewa na mama ambaye kwa sasa naye pia ni mstaafu, isipokuwa kipindi hicho alikuwa bdao hajastaafu, na alilitoa baada ya kuombwa na kukaribishwa na MKUUWA MAJOR UNIT (MJR)

BAADA YA J3 HIYO KUWADIA

J3 ya tarehe 08/03/2022 kusanyiko la wanawawke lilifanyika na TOM ilihudhuria kwenye kusanyiko hilo

Baada ya kusanyiko kuisha mida ya jioni, wanawake wa idara hizi mbili walirudi idarani kwa ajili ya kusanyiko jingine la wana idara

Akiwa kwenye kusanyiko hilo, mhusika alikoswa koswa kuwekewa kitu kwenye chakula (soda) alipokuwa amekaa kwenye meza moja na watu wawili ambao walikuwa ni

  • Mzee mmoja ambaye ni part-timer na ambaye ana shared office na staff yule aliyekuwa ameshinda uchaguzi wa Ijumaa ya wiki liyokuwa imepita
  • Mzee huyu anatokea eneo moja na KM-A au anakotokea mama aliyewahi kutoa tangazo la kusanyiko hilo kwenye Ijumaa ya wiki liyokuwa imepita
Wa pili waliyekuwa wamekaa naye meza moja, alikuwa ni swahiba wake na mhusika mwenyewe na ambaye awali, aliwahi kuwa dereva wa Mkuu wa Taasisi aliyetangulia kumaliza muda wake kipindi kilichopita na kumpisha huyu aliyepo sasa.

Baada ya siku hiyo, dereva huyu alihamishwa, na hayupo tena hadi leo. Kwa hiyo J3 hiyo ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa mhusika na dereva huyu kuonana na tangu pale hawajawhi kuonana hadi leo

Hata hivyo, kwenye kusanyiko hilo la pili idarani baada ya kusanyiko la wanawake, B-MWI hakuhudhuria; possibly alipata dharura baada ya kusanyiko la wanawake

KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUBAINI KUWA ALITAKA KUWEKEWA KITU KWENYE CHAKULA


Mhusika aliamua kuondoka kwenye kusanyiko hilo na kurudi ofisini, akaendelea na kazi zake zingine

  • Baada ya mhusika kurudi ofisini, umeme ulikatika tena J3 hiyo, kama ulivyowahi kukatika Ijumaa ya wiki iliyokuwa imepita.
  • Baada ya umeme kukatika tena, mhusika alifunga ofisi yake, akatoka nje na kwenda kuwasha gari lake akarudi nyumbani
BAADHI YA MAMBO MUHIMU YANAYOONYESHA MFANANO UNAOWEZA KUWA SIYO WA BAHATI MBAYA, AMBAO MHUSIKA AMESHAUBAINI KILA INAPOTOKEA AMEMUONA MAHALI B-MWI

SIKU MHUSIKA ALIPOMUONA B-MWI KWA MARA YA KWANZA


Siku ya kwanza kabisa ambayo mhusika alimuona B-MWI, ndiyo siku ambayo kulikuwa na “PLANS A&B”, na ambazo zilikuwa tayari zimeshafeli jioni ya siku hiyo ya Ijumaa ya tarehe 05/03/2021. Kwa hiyo, B-MWI aliwasili kwenye kikao cha uchaguzi siku hiyo, muda mfupi tu baada ya plans hizo mbili kuwa zime-abort

Baada ya “PLANS A&B” kufeli Ijumaa hiyo ya tarehe 05/03/2021, immediately planners waliamua kui-resolve failure hiyo kwa kutengeneza plan nyingine “PLAN C” ambayo nayo ilikuja kufeli tena siku ya J3 ya tarehe 08/03/2021; siku ya wanawake duniani

SIKU MHUSIKA ALIPOMUONA B-MWI KWA MARA YA PILI


Siku hiyo, mhusika alimuona B-MWI akitoka ofisi XY iliyo ndani ya jengo la CA, ofisi ambayo mhusika mwenyewe hakuingia siku hiyo; isipokuwa angeingia tu kama angeamua kufuatilia kitu kuhusiana na malipo ya fedha zake anazodai kwa sababu baada ya kurudi huko CA siku nyingine (siku ya mbele baada ya siku hiyo), mhusika alielekezwa kuingia kwenye ofisi XY hiyo na hivyo aliingia kwenye ofisi hiyo

  • Kwa hiyo mhusika alikuja kuingia kwenye ofisi XY siku aliporudi kutoka likizo na baada ya kuamua kufuatilia malipo ya fedha zake
  • Baada ya mhusika kuingia ofisi XY siku hiyo, mmiliki wa ofisi XY alitaka kumuacha mhusika peke yake kwenye ofisi hiyo kisa tu alikuwa anataka kwenda kuongea na simu ya mkononi
  • Wakati wa kipindi kile cha awali (kabla ya likizo), mhusika hakuingia ofisi XY kwa sababu alikuwa anafuatilia barua ya likizo ambayo ilikuwa imechelewa kutoka wakati muda wa kuanza kwa likizo hiyo ulikuwa umekaribia mno.
  • Kama mhusika angeamua kufuatilia pia madai ya fedha zake siku hiyo, obvious naye angeingia pia kwenye ofisi XY ambayo siku hiyo aliwahi kumuona B-MWI akitoka humo
MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA BARUA HIYO YA LIKIZO YA MHUSIKA ILIYOKUWA IMECHELEWA KUTOKA

B-MWI ndiye aliyekuwa anahusika kuipitisha barua hiyo, kabla haijamfikia mhusika mwenyewe Barua hii ndiyo ile iliyopelekea baadaye, mhusika kulazimika kuanza kuifuatilia jengo la CA, kabla hajamuona B-MWI akitoka ndani ya ofisi XY

  • Kwa hiyo aliyekuwa anatakiwa kuisaini barua ya likizo hiyo wakati huo kabla haijamfikia mhusika; na ambayo hadi muda huo wanaonana ilikuwa haijamfikia, alikuwa ni B-MWI
  • B-MWI alikuwa ameachiwa ofisi na MJR kama ACTING MJR, baada ya MJR kupata safari ya ghafla, safari ilyotokea ndani ya siku chache tu kabla ya kuwadia siku ya kuanza kwa likizo ya mhusika
………………..inaendelea
 
BARUA YA LIKIZO YA MHUSIKA ILIKUJA KUTOKA J5 YA TAREHE 07/09/2021; WAKATI TAREHE YA KUANZA KWA LIKIZO YA MHUSIKA ILIKUWA J3 YA WIKI HIYO

BARUA HIYO ILITOKA IKIWA HAIJASAINIWA NA B-MWI

Barua ya likizo ya mhusika ilikuja kutoka siku tatu baadaye ndani ya wiki ile ambayo mhusika alitakiwa kuwa ameshaanza likizo

  • Kwa hali hiyo, mhusika alilazimika kuwepo ofisini pia kwa siku za J3-J5 za wiki hiyo, akisubiria barua yake itoke
  • Barua hiyo ilikuja kutoka ikiwa haijasainiwa na B-MWI, ambaye ndiyo alikuwa ACTING MKUU WA MAJOR UNIT
  • Wala barua hiyo haikuwa imesainiwa na MKUU WA MAJOR UNIT mwenyewe kwa sababu yeye naye alikuwa amesafiri
  • Barua hiyo ilikuwa DIVERTED NA KUPITISHIWA KWENYE MAJOR UNIT NYINGINE
  • Siku ya J5 barua hiyo ilipotoka, MKUU WA MAJOR UNIT alirudi sasa kutoka safari akawa yupo ofisini; huku barua ya mhusika ikiwa haijasainiwa na yule aliyekuwa amemwachia ofisi kama kaimu wake
Kilichofanyika kwenye barua hiyo ni kwamba barua hiyo ilipelekwa kwa MKUU WAMAJOR UNIT nyingineambayo si ile ya mhusika, ambako mkuu huyo (wa major unit nyingie) aliisaini barua hiyo halafu baada ya hapo mhusika alipelekewa barua hiyo ofisini kwake na mtu badala ya kuwekewa kwenye pigeon hole yake (hii nchi kuna ki-nchi kingine kidogo kinaendelea ku-develop na kinaweza kuja kuwa na mamlaka ya ajabu sana huko mbele ya safari)

Kwa hiyo mhusika alilazimika kupoteza siku tatu za likizo yake na pia alianza likizo bila kulipwa fedha zake za likizo hiyo,, na ambazo hazijalipwa hadi leo

SIKU MHUSIKA ALIPOMUONA B-MWI KWA MARA YA TATU

Hii ilikuwa ni Ijumaa ya wiki jana tarehe 11/11/2022 na maelezo kamili kuhusiana na incidence ya namna mhusika alivyomuona B-MWI tayari ameshayatoa hapo juu; ikiwa ni pamoja na maelezo kwa ufasaha sana, ya tukio jingine linalofanana exactly na yale mawili ya mwanzo yaliyoambatana na kila incidence kwenye siku ambazo mhusika aliwahi kumuona B-MWI

Mtekelezaji mkuu wa tukio la Ijumaa iliyopita alikuwa ni SMK-2; mtu ambaye alikuwa ana kipindi kwenye chumba jirani na ofisi ya mhusika

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP-NEXT: DATABASE QUERRIES ZA MR X NA KM-A
 
BY THE WAY:

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA MADA ILIYOKUWA INAFUATA:

KUHUSIANA NA WAUMINI WALIOBAHATIKA KUSIMAMA MBELE JUU AU CHINI YA MADHABAHU YA KANISA A J2 YA TAREHE 06/11/2022


Ukiondoa KM-A mwenyewe pamoja na Kiongozi wa zamu J2 hiyo, wengine wote waliobaki (waliosimama mbele ya madhabahu, juu au chini ya madhabahu), ilikuwa ni mara yao ya kwanza kusimama kwenye madhabahu hiyo J2 hiyo

  • Hata hivyo mwalimu wa somo la siku hiyo, Kkipindi cha nyuma, alishawahi kusimama mara moja na ilikuwa ni kwenye J2 moja alipokuwa anawaonyesha waumini picha za mavuno ya waumini kupitia mikutano ya injili
  • Vinginevyo kwa upande wa kusimama madhabahuni kwa ajili ya kutoa neno ilikuwa ni mara ya kwanza pia kwa Kiongozi huyu
Hii ndiyo pattern nyingine iliyojidhihirisha kwenye madhabahu J2 ya tarehe 06/11/2022

KUHUSIANA NA UGENI WA MTOTO KWA MHUSIKA UKIUANGALIA KWA JICHO JINGINE KWA KUUHUSIANAISHA NA TUKIO ALILOKUMBANA NALO KWENYE PARKING WAKATI ALIPOKUWA ANATAKA KUONDOKA KANISANI

Uwezekano mkubwa ni kwamba kuna watu waliokuwa wamwelekeza mtoto huyo aende akamsalimie mhusika na baada ya hapo, asirudi tena kwao bali aende moja kwa moja kwa baba yake

  • Baba wa mtoto huyu ndiye Kiongozi yule aliyetoa huduma ya chakula cha uzima J2 hiyo
  • Baada ya mtoto huyo kufika kwa mhusika na hatimaye kuomba aende kwa baba yake, mhusika aliamua kumsindikiza mtoto huyo
  • Pamoja na kwamba mhusika hakumfikisha mtoto kwenye mikono ya baba yake, alimsindikiza hadi alipohakikisha kuwa baba ameshamuona mtoto, ndiyo pale alipoweza kuendekea na mambo mengine
Mtoto huyo atakuwa alitumwa kwa nia ya kuja hapo baadaye ku-prove, uhusiano mzuri usio na shaka kati ya mhusika na baba au familia ya mtoto

  • Hili lilifanyika kwa sababu baba ndiyo mtumishi aliyekuwa amesimama madhabahhuni J2 hiyo
  • Kwa hiyo chances ni kwamba waliokuwa wamemtuma mtoto kwa mhusika, walikuwa wanajua nini kilikuwa mbele yake (mhusika) J2 hiyo, Ibada itakapokuwa imemalizika
Na, iwapo kingeweza kumtokea chochote mhusika siku hiyo, cha kwanza kabisa kwa waumini wa KANISA A ilikuwani kujilizai swali NI NANI ALISIMAMA MADHABAHUNI KWA AJILI YA NENO J2 HIYO

KUHUSIANA NA KILE KILICHOKUWA KIMETOKEA J2 HIYO ASUBUHI SAA 2:53
AMBACHO MHUSIKA ALIKUWA HANA TAARIFA ZAKE HADI MUDA ALIPOKUWA ANAONDOKA KANISANI,


Ni ajali ya ndege iliyokuwa imetokea asubuhi saa 2:53. Kawaida mhusika huwa ha ratiba ya kusikiliza taarifa ya habari siku za J2 asubuhi kutokana na muda wake mwingi kuwa uko devoted kwa ajili ya maandalizi ya Ibada tu. Kwa hiyo J2 hiyo, mhusika aliondoka nyumbani dakika chache baada ya saa 4:00 asubuhi akiwa hana taarifa za nini kilikuwa kimetokea asubuhi hiyo

Assuming jaribio la hatari kwake lililokuwa limepangwa kutokea Kanisani, lingefanikiwa J2 hiyo baada ya Ibada kuwa imemalizika

  • Mhusika asingeweza kujua milele kwamba asubuhi ya siku hiyo kuliwahi kutoea ajali ya ndege
  • Kutokana na hali hiyo, Profesa pamoja na SG walikuwa wamejipanga katika namna ambayo mhusika alitakiwa asijue kabisa kilichokuwa kimetokea asubuhi siku hiyo
  • KUHUSIANA NA MATUKIO YA AJALI ZA MELI AMBAZO ZIMEKUWA ZIKIPATA AJALI NA KUBINUKA TUMBO JUU ZILIZOWAHI KUTOKEA HIVI KARIBUNI NA PIA AJALI ILE LA ZAMANI YA MV BUKOBA ILIYOTOKEA TAREHE 21/05/1996
Mtaaalamu mmoja mahiri (Phd Holder) staff-mate wa mhusika aliwahi kumdokeza mhusika kuwa kawaida meli ikipata ajali, huwa inazama kwenda chini hadi kutuua kwenye chini kwenye kina cha maji

  • Mtaalamu huyo alidai kuwa meli ikipata ajali huwa haibinuki tumbo juu na aliendelea akitoa mfano akasema kuwa huwezi ukakuta ndege imepata ajali halafu ikawa imegeuka mgongo chini matairi juu
  • Aliendelea akasema ukikuta ndege imepata ajali halafu imegeuka mgongo uko chini matairi yako juu, ujue kuna external force imekuwa applied kwenye ndege hiyo na kuipelekea ibinuke tumbo juu.
Kwa hiyo ukikuta ndege au meli imeanguka na imebinuka pale lazima kuwea na nyongeza ya kitu kingine na siyo ajali tu

MFANO WA MELI YA TITANIC ILIYOWAHI KUPATA AJALI MWAKA 1922

……………..inaendelea
 
MFANO WA MELI YA TITANIC ILIYOWAHI KUPATA AJALI MWAKA 1922

Mtaalamu alidai kuwa kama meli zingekuwa zimetengenezwa katika namna ambayo zinaweza kupata ajali na kubinuka, basi ajali za meli zingekuwa ni nyingi mno duniani

Mtaalamu alisema kuwa chini ya umbile la meli kuna sehemu ambayo ni hollow, na ndani ya sehemu hiyo kuna containers ambazo zimejazwa fluid kwa ajili yaku-provide bouyance ikiwa ni pamoja na kuipa balance meli ili iweze kukaa wima kwenye maji, na pia kuendelea kuwa wima (japo kiupande upande pasipo kuanguka), hata kama itakuwa inatembea kwenye mawimbi

Bouyance hiyo ya meli huwa inasadia vitu viwili

CHA KWANZA:

Meli pamoja na mizigo wake at full capacity, iweze kuwa na density (tungamo) ndogo kuliko ile ya maji na hivyo iweze kuelea huku ikiwa iko pamoja na uzito wa mzigo unaostahili kubebwa na meli hiyo.

Kwa hiyo ikitokea uzito wa mzigo umezidi kwenye meli na hivyo kupelekea kutokea kwa ajali, kawaida meli hiyo inatakiwa izame kwenda chini KAMA ILIVYOWAHI KUTOKEA KWA TITANIC, na siyo kubinuka tumbo juu

CHA PILI:


Containers zenye fluid ambazo ziko kwenye hollow space zinaifanya meli iweze ku-balance kulia na kushoto na hivyo kukaa wima. Ukiziondoa container hizo, hapo ndiyo meli inaweza kuanguka ubavu na/ au kubinuka tumbo juu.

Chukulia kwa mfano, tankers au malori yanayobeba mafuta. Tankers huwa zina vyumba vidogo vidogo ndani yake ambavyo kama visingekuwepo, malori yasingeweza kubeba mafuta. Ukiviondoa vyumba hivyo kwenye tankers za mafuta halafu ukajaza mafuta, tanker husika lazima liangukie upande wa kulia wa kushoto. Na kwa sababu tankers zenyewe huwa zinatembea nchi kavu, tanker hiyo haitaweza kubinuka mgongo chini tumbo juu. Assuming na zenyewe zingekuwa zinatembea zikiwa kwenye maji, tanker hiyo ingeliweza sasa kubinuka kwa namna hiyo

Kwa hiyo ukikuta meli imepata ajali imebinuka tumbo juu, big chances ni kwamba fluid iliyoko kwenye containes zilizo chini ya meli aidha ilivuja au ilikuwa tampered with kwa makusudi.

Vile vile ukikuta ndege imepata ajali ikabinuka tumbo juu mgongo chini, lazima kuwe na external workdone iliyotumika kuifanya ndege hiyo kuwa katika hali hiyo

HITIMISHO:
Kama huyu mtu alikuwa yuko sahihi, kuna haja ya kuyarejea pia matukio ya ajali za hivi karibuni za vyombo vya majini zilizokuwa zikitokea katika namna ambayo meli zilikuwa zinabinuka tumbo juu; hasa matukio yote ambayo yalitokea kipindi cha utawala wa Hayati JPM

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MFANANO ULIOPO KATI YA SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMK) (AMBAYE RESERVED PARKING YAKE ILIKUWA INATUMIWA SANA NA MR X SIKU ZA TAREHE 26-27/2022) NA PROFESA WA KANISA A

Kabla ya kustaafu kwao, wawili hawa wote waliwahi kushikilia nafasi zinazofanana kwenye Taasisi mbili tofauti zilizo jirani, na hivyo chances ni kwamba wanaweza kuwa wanafahamiana kwa karibu sana

Kwenye siku hizo mbili zilizotajwa hapo juu, MR X alikuwa anatumia sana RESERVED PARKING (RP) ya SMK, halafu baada ya hapo wiki iliyofuata ndiyo Profesa wa Kanisani akawa amesubiria mhusika kwenye PARKING nyingine ya Kanisani.

Mhusika hana uhakika sana lakini anadhani kuwa possibly hata parking ile ya Kanisani aliyotunia siku hiyo, nayo pia ilikuwa ni RESERVED PARKING (RP) kwa sababu mara nyingi magari ya viongozi ndiyo huwa yanapaki sehemu hiyo. Kwa hiyo hapa kuna uhusiano wa watu wawili (waliowahi kuwa na vyeo vinavyofanana) na RP za magari

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 15TH NOVEMBER 2022

BREAKING NEWS!!!!!
Yule mtu ambaye huwa anapita kumsalimia mhusika ambaye maelezo yake mhusika aliwahi kuyatoa humu jukwani kupitia post hizi hapa, #899 , #904, #950 ; amefika tena leo ofisini kwa mhusika; takribani dakika 40 ziilizopita

Mhusika aliamua kutokumpokea ofisini na wala hakumruhusu aingie ndani baada ya kuwa amegusa kitasa cha mlango, isipokuwa alitoka nje akamchukua wakaenda kuongea kwenye veranda.

Mhusika amemsihi sana asiwe anapita tena kumsalimia ofisini kwake na wamekubaliana katika hilo, na katika namna ambayo mhusika kabisa kuwa haitakuja kurudiwa tena
  • Baada ya hapo mhusika alirudi ofisini kwake, akimwacha pale kwenye veranda na baada ya muda mfupi, mhusika alimuona mgeni akirudi tena hadi kwenye ofisi ya MKUU WA MAJOR UNIT
  • Pale mwanzo wakati mgeni anakuja, alinyoosha moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya mhusika, akiipita ofisi ya MKUU WA MAJOR UNIT ambayo yenyewe iko mwanzoni
Baada ya mgeni kuwa amerudi tena na kuingia kwenye ofisi nyingine tena ile ya MKUU WA MAJOR UNIT, baada ya dakika kadhaa kupita, mhusika alimuona akiwa amembatana na MKUU WA MAJOR UNIT wakiwa wanaelekea usawa wa ngazi za kushuka au kupandisha juu na hajui waliekea wapi

Mgeni alikuwa amevaa kofia na alikuwa amebeba kibegi chembamba cheusi mkononi

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Waliohusika kwenye arrangemnet ya mgeni huyu ni watu wanne
  • MKUU WA MAJOR UNIT mwenyewe
  • Mkuu wa Idara
  • Mpigiwa Kura za siku ya Ijumaa ya tarehe 05/03/2021 (mwaka jana) ambaye alitakiwa kuwa kiongozi wa taasisi nyingine mbili zilizoko Nzega na Dodoma.
  • Mgeni mwingine aliyekuwa ameambata na na MWI ambaye alidai kuwa walisoma wote na MWI wakati siyo kweli. Sura za waliosoma na MWI mhusika anazifahamu, japo majina hawafahamu
This person was a stranger from outside, aliye-pretend kuwa walisoma wote na MWI mbele ya MWI mwenyewe, na hatimaye kuhitimu mwaka 2005. Huyu mtu hakusoma kwenye idara ya mhusika; sura yake ni ngeni kwenye macho ya mhusika, hajawahi kumuona hata mara moja. Leo ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa mhusika kumuona mtu huyo.

Mtu huyo alikuwa ameambatana na MWI pamoja na Mkuu wa Taasisi za Nzega

Wawili wa mwisho ndiyo walioshiriki kuandaa tukio, na hatimaye MKUU WA MAJOR UNIT kumalizia

Details zaidi zitawajieni baadaye
 
NAMNA HILI TUKIO LA LEO LEO LILIVYOTOKEA

Mhusika alipandisha juu kwenye washroom zilizo floor ya pili
  • Baada ya kutoka huko, aliamua kupumzika kwenye veranda karibu na ofisi ya MWI
  • Baada ya muda Mkuu wa Taasisi za Nzega na Dodoma (tumwite MND) alisogea mahali pale mhusika alipokuwa amesimama
  • Baada ya hapo, wawili hawa walisalimiana na hatimaye kuanza kubadilishana mawili matatu
Baada ya kuwa zimepita takribani dakika tano (5), MWI naye aliisogea pale akiwa ameambatana na mtu mwingine ambaye sura yake ilikuwa ngeni kabisa kwa mhusika

Baada ya mhusika kusalimiana tena na wawili hao, mgeni aliongea lugha ya kuzaliwa ya mhusika huku akijitambulisha mwenyewe kuwa alisoma nao wote wawili, yaani alisoma na MWI na MND

Dakika si nyingi baada ya watu hao kuwepo mahali pale pamoja na mhusika, waliondoka huku wakimwacha hapo mhusika peke yake. Baada ya hapo mhusika naye aliamua kurudi tena ofisini kwake muda huo huo

Baada ya kupita kama nusu saa hivi tangu mhusika aachane na watatu hao, mgeni mwingine ambaye huwa anapita kumsalimia mhusika ofisini ndiyo naye sasa aliingia

Zaidi ni kuwa asubuhi kwenye mida ya around saa 4:00, aliyewahi kuwa MWI 2006-2012 alifika ofisini kwa mhusika akiwa anamtafuta office mate ambaye alidhani kuwa yupo chumba jirani na ofisi ya mhusika, wakati mtu huyo huwa hatumii chumba hicho na mhusika hajawahi hata mara moja kumuona mtu huyo akiwa anafanyia kazi zake kwenye chumba hicho

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 16TH NOVEMBER 2022

KUHUSIANA NA “DATABASE QUERRIES” ZA MR X NA KM-A


Mhusika anawaomba wasomaji wasome post hii kwa kuunganisha na maelezo yaliko kweye post nyingine hizi hapa mbiili ambazo ni #1,206 na #1,226 moja ikiwa inahusiana na MR X na nyingine, KM-A

KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUHAKIKISHA KUWA “COMPOSITE” DATABASE QUERRIES ZILIKUWA ZINATUMIWA NA MR X NA KM-A KATIKA KUCHUJA SAMPLE YA WATU WANAOWAHITAJI KWA KAZI WANAYOIHITAJI:

FACT ILIYOJITOKEZA UPANDE KWA UPANDE WA MHUSIKA


Mhusika alinunua bidhaa “AA” dukani kabla ya Sensa ya watu na makazi kufanyika

Mhusika aliitunza kwaza bidhaa hiyo “AA” pasipo kuitumia kwa sababu alikuwa anamalizia bidhaa nyingine “BB” iliyo sawa na hiyo

  • By the time anakuja kuanza kuitumia bidhaa “BB” baada ya bidhaa “AA” kuwa imeisha, Sensa ya watu na makazi nayo ilikuwa tayari imeshapita
  • Bidhaa “BB” ni zao maarufu linalolimwa mikoa mikoa miwili hapa Tanzania (tuseme Mkoa Y na Mkoa Z)
MHUSIKA ALIANZA KUITUMIA BIDHAA “BB” BILA MATATIZO; LAKINI BAADAYE YALIJITOKEZA MAZINGIRA AMBAYO YALIPELEKEA BIDHAA HIYO KUMLETEA MATATIZO

Mhusika alianza kutumia bidhaa hiyo pasipo matatizo yoyote, na katika mazingira ambayo, walikuwepo pia watu ambao ni wenyeji wa mikoa hiyo miwili na hivyo alikuwa anaweza kui-nteract na watu wa mikoa hiyo mara kwa mara. Mpaka muda huo, bidhaa hii ilikuwa haijaweza kumletea matatizo yoyote

Hata hivyo, baada ya muda, bidhaa hiyo hiyo ilibadilika ghafla na kuanza kumletea matatizo


Kuona hivyo, mhusika aliamua kufanya utafiti huku wa mabadliko hayo huku akiendelea kuitumia bidhaa hiyo na hadi anaukamilisha alibaini mambo kadhaa kama yafuatayo

  • Mhusika alipoanza kuitumia bidhaa hiyo, tayari walikuwepo baadhi ya watu kwenye mazingira yake ya kila siku, wanaotoka mikoa hiyo miwili inayolima zao hilo, na ambao tayari walikuwa wameshaanza piilika pilika za kumshambulia kupitia bidhaa hiyo lakini walishindwa
  • Hawa walikuwa ni watu wale ambao wamekuwepo eneo mpja na mhusika wakati wa Sensa ya watu na Makazi ilipokuwa inafanyika
  • Baada ya waliokuwepo eneo moja na mhusika wakati wa Sensa ya watu na Makazi kushindwa, wakaanza kupatikana watu ambao ni wageni wanaotoka mkoani, wakiwa ni wenyeji wa mikoa hiyo miwili
  • Wageni hawa walikuwa wanafika ofisini kwa mhusika kwa ajili ya kuulizia kitu au jambo fulni
  • Kutokana na lafudhi zao, na wakati mwingine muonekano wao, mhusika aliweza kuwa-identify kuwa walikuwa wametoka mkoani na kwenye mikoa hiyo miwli kwa sababu lafudhi zao ziko unique kama zilivyo lafudhi za wasukuma
Kwa hiyo, baada ya utaalamu huu kuwa umefanyika, bdihaa “BB” ilianza kumletea matatizo mhusika

Mhusika aliendelea kukaa na bidhaa hiyo huku akiiendelea kutumia, na watu wa lafudhi hizi mbili nao pia waliendelea kuwa wana-interact naye kwa kubadilishana na wakati mwingine, baadhi yao kwa kujirudia wakiwa wanajua kuwa kwa sababu aliwaona mara moja tu, hawezi kuwakumbuka tena ikitokea wakarudi tena kwake kwa mara nyingine ya pili; huku siku kadhaa zikiwa zimepita tangu alipowaona kwa mara ya kwanza

Pale mwanzo mhusika alidhani pengine labda tatizo liko kwenye lafudhi zao na hivyo kuamua kushughulika nao kwa upande wa lafudhi zao

Still, tatizo liliendelea kuwepo

Baada ya hapo, mhusika aliamua kushughulika na maeneo ya mikoa linapolimwa zao hilo. Hapa tatizo lilionekana kama kuisha ila ilikuwa ni kwa muda tu

Baada ya muda, tatizo lilijirudia tena kadri wageni hawa walivyokuwa wakibadilikabadilika. Renewal ilifanyika kwa wageni wengine tena kuja na ambao walionekana kuwa wametokea huko huko mikaoni ambako zao hilo linalimwa. Tatizo lilirudi tena

Kwa hiyo pattern ikawa ni kwamba ukiliondoa tatizo, wanakuja watu wengine wageni kabisa machoni pako kutoka sehemu linakolimwa zao hilo, kwa nia ya ku-renew tatizo ili liendelee kuwepo

Alichokuja kukibaini mhusika ni kwamba bidhaa hilo lilikuwa liko linked na watu au maeneo linakolimwa kwa namna ambayo ni “a complicated chain”; kiasi kwamba watu wale waliokuwa wanakuja kwa ajili ya renew, walikuwa ni viwakilishi tu vya chain hiyo. Chain hiyo ilikuwa inaendana exactly na baadhi ya maswali yaliyokuwa yanaulizwa wakati wa Sensa ya watu na Makazi

Kwa waliosoma DBMS, mbinu iliyokuwa ikitumika hapa ilikuwa “composite SELECT querry” halafu baada ya hapo kinachotokana na querry hiyo ndiyo kinafanyikwa kazi

Unakemea pepo kwenye bidhaa “BB” anatoka kwa muda halafu baadaye anarudi tena kwa sababu makao yake halisi hayoko kwenye bidhaa “BB” bali tuseme yako kwa kiwanda A cha supplier A wa muuzaji A wa duka A lililoko mkoa A, aliyemuuzia muuzaji B mwingine wa duka B lilioko mkoa B

Kwa watu waliosoma DBMS, hii ni composite “SELECT querry” kutoka kwenye Database

Kwenye matukio mawili ambayo mhusika tayari ameshayatolea maelezo humu na ambayo yanawahusisha MR X na KM-A, wawili hawa walikuwa wanafanya kazi kwa kutumia SELECT QUERRY

HITIMISHO

Watu ambao wamekuwa wakitumika kwenye ubunifu huu, ni watu ambao mhusika alijiridhisha kuwa walikuwa wanatoka mikoani. Kwa hiyo SELECT querry hiyo ilikuwa inatumia pia condition hii “kwa kutumia mtu A aliyekuwa Mkoa X au Mkoa Y wakati zoezi la sensa ya watu na makazi linafanyika’ yaani wale tu ambao hawakuwepo maeneo aliyopo mhusika wakati zoezi la sensa ya watu na makazi lilipokuwa linafanyika.

Hii ilifanyika baada ya waliokuwepo kwenye eneo lake mhusika wakati wa zoezi la sensa, kushindwa kuzalisha matunda yaliyokuwa yanahitajika

MUBADRIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 17TH NOVEMBER 2022

CHA ZIADA KILICHOSABABISHA MSTAAFU KUFIKA OFISINI KWA MHUSIKA J4 YA TAREHE 15/11/2022 UKIACHILIA MBALI “NIMEPITA TU KUKUSALIMIA”


Ikumbukwe kuwa Ijumaa jioni ya wiki iliyopita (tarehe 11/11/2022) baada ya jaribio (kwa mhusika) la ofisini kufeli; mhusika aliondoka ofisini kwake na baada ya kuwa ametoka nje ya jengo, aliweza kukutana na watu kadhaa mmojawapo akiwa ni binti MWI aliyekuwa amesimama kwenye veranda, akiwa pamoja na mtu mmoja mwanaume aliyekuwa amevaa kanzu

  • Mwanamme huyu hakuonyesha dalili zozote za kuwa alikuwa ni mfanyakazi wa Taasisi, wala za muumini aliyekuwa ametoka/ anaelekea kwenye nyumba ya Ibada Msikitini
  • Mtu huyu alionekana kuwa alikuwa ni mgeni perce kwenye mazingira ya taasisi
BAADA YA SIKU HIYO YA IJUMAA KUPITA NA HATIMAYE KUANZA KWA WIKI NYINGINE AMBAYO NDIYO HII

J4 ya tarehe 15/11/2022 mhusika alikutana tena na MWI mwingine (safari hii MWI wa idara yake mhusika) huku naye pia akiwa ameambatana na mtu mwingine ambaye naye (mtu huyo) alionekana kuwa alikuwa ni mgeni pia kwenye taasisi

Kwa bahati mbaya sehemu aliyokuwa amesimama mhusika, haina Kamera yoyote inayomulika eneo hilo, tofauti na ilivyo kwenye veranda ya ghorofa ya kwanza ambako ndiko amezoea kupumzika siku zote.

  • Na hii ndiyo sababu kubwa iliyopelekea MWI akawa na confidence ya kusogea pale akiwa ameambatana na mtu stranger.
  • Mhusika alishangaa kidogo kuona MWI siku hiyo amekuwa exposed kiasi cha kuweza kuonekana kwenye veranda wakati kwa kawaida huwa hawezi kuonekana kirahisi namna hiyo.
  • Anaweza akawa yupo ofisini lakini usimuone kwa wiki kadhaa au mwezi mzima; hata ukiamua kumtafuta, huwezi kumpata
Zaidi ni kuwa mhusika alikuwa hajabaini kama sehemu hiyo aliyokuwa amesimama, hakuna Kamera inayomulika pale. Kuna Kamera moja tu ambayo ipo karibu na eneo hilo na huwa inamulika kwenye korido tu inayotengaisha ofisi zilizoko kwenye floor hiyo

  • Mtu huyu mgeni alijitambulisha mwenyewe kwa mhusika kuwa waliwahi kusoma darasa moja na MWI pamoja na Mkuu wa Taasisi zilizoko Nzega na Dodoma (MND) kitu ambacho hakikuwa kweli
  • J4 hiyo, wawili hawa (MWI na mgeni) walimkuta mhusika akiwa yupo nje kwenye veranda maeneo yaliyo karibu kabisa na ofisi ya MWI, akiwa anaongea na MND
TAFSIRI ILIYOJIDHIHIRISHA KUTOKANA NA MATENDO YA WATU HAWA KWENYE PILIKA PILIKA HIZI

Kile ambacho kimeshajidhihirsha hadi muda huu ni kuwa ROLE YA MGENI HUYU WA PILI aliyekuwa amembatana na MWI siku ya J4 wiki hii ni sawa na ROLE YA MGENI WA KWANZA aliyekuwa amembatana na MWI mwingine (B-MWI) siku ya IJUMAA ya wiki iliyokuwa imepita

Ni kwamba mhusika alipokuwa yupo kwenye veranda ya ghorofa ya pili, muda huo huo SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMK) naye alitoka ofisini kwake na kwenda kukaa kwenye veranda ya first floor ambapo mara zote mhusika ndiyo huwa anapendelea kusimama. Alikuwa yupo pale akijidai kama anaongea na mtu kwa simu.

  • Mara ya mwisho kwa mhusika kumona SMK akiwa eneo hilo alilokuwepo siku hiyo, ilikuwa ni mwishoni mwa mwaka 2018 au mwanzoni mwa mwaka 2019.
  • Kawaida, huwezi kumkuta SMK yuko maeneo yale; except kwa mara chache sana unaweza ukamuona akiwa anapita tu, na si kusimama kwa muda maeneo yale akiwa anafanya jambo fulani.
  • Ukimuona amesimama pale ujue kuna kitu MUHIMU anachokitafuta.
  • Hata siku ile ya mwisho alipowahi kuwepo maeneo yale mwaka 2018 au 2019, kulikuwa na kitu alikuwa anakihitaji kutoka kwa mhusika na alikipata
Akina mama watamsamehe mhusika katika hili lakini anaomba akiri kwa kinywa chake kwa kusema kwamba “WAPO PIA WANAWAKE AMBAO NI MAKATILI SANA DUNIANI”

Kwa hiyo, baada ya ROLE ya mgeni wa J4 kuwa “imebuma”, muda mfupi baadaye ndiyo yakafanyika mawasiliano sasa na mstaafu ambaye huwa anakuja kumsalimia mhusika ofisini, ambaye naye hakuchelewa kuwasili. Baada ya mstaafu huyo kufika maeneo ya ofisni alinyoosha moja kwa moja hadi ofisini kwa mhusika

Mstaafu huyu hakuwa amefika kwa ajili ya kumsalimia tu mhusika, bali alikuwa na package nyingine nyuma yake; alikuwa ana nia ya kurekebisha kile ambacho mgeni wa J4 hiyo alishindwa kuki-execute

Mara ya mwisho kwa mhusika kuona ugeni wa aina hii mazingira ya ofisini, ilikuwa ni kwenye wiki kufuatia wiki ile ambayo lilitokea tetemeko la Kagera la Septemba 2016

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 19TH NOVEMBER 2022

MHUSIKA AMESHAONA DALILI ZOTE ZA WATU KUTAKA KUINGIA NDANI NYUMBANI KWAKE, NA YEYE AKIWA YUPO NYUMBANI, ILA AKIWA KWENYE MAZINGIRA YA NJE


KWENYE HIKI kipindi cha ukosefu wa MAJI, MHUSIKA amebaini mbinu za watu WENYE mwelekeo wa kutaka kuingia NDANI NYUMBANI KWAKE, huku na yeye AKIWA YUPO kwenye MAZINGIRA YA NYUMBANI KWAKE, ILA akiwa yupo MAENEO ya Nje.

Kinachomshangaza ni kwamba kwa nini watu hawa wanasubiria awepo ndiyo na wao waingie BADALA ya KUINGIA kwenye muda ambao huwa YUKO mbali kama vile OFISINI. Trend hii ya watu hawa ameshai-observe TANGU kipindi KIREFU nyuma, na angalau jaribio la leo limefanyika kwa KUKATA UMEME Ili kum-scare asiendelee kufanya kazi NDANI, ATOKE NJE kidogo kwa ajili ya kupunga upepo.
Kawaida kwenye matukio ya aina hii, pale nje huwa anakuwepo pia mtu ambaye ni watchdog
KWENYE HILI SWALA LA UKOSEFU WA MAJI, MARA ZOTE NA KWA MIAKA YOTE, MHUSIKA HUWA ANAELEWA SAWIA SWALA HILI HUWA LINAAMBATANA NA MAMBO GANI KWAKE
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 22ND NOVEMBER 2022

TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA “KANISA B”, KANISA AMBALO MHUSIKA ALIWAHI KUABUDU KWENYE MIAKA YA 2014-2017 KABLA HAJARUDI TENA “KANISA A”


Huu utaratibu wa mhusika kuwa anaviziwa viziwa kwa matukio ya kipumbavu pindi anapokuwa yupo mazingira ya aidha ofisini, Kanisani au sehemu nyingine yoyote ile, ULIBUNIWA KANISA B na uliidhinishwa rasmi J2 YA TAREHE 11/09/2022, tarehe ambayo ni sawa na ile ambayo liliwahi kutokea ajali Marekani na kumaliza maelfu ya watu

  • Ikumbukwe kuwa Jumamosi ya tarehe 10/09/2016 kabla ya J2 tajwa, ndiyo lilitokea tetemeko la Kagera
  • Kwa hiyo wakati wa matangazo kwenye J2 YA TAREHE 11/09/2022 pale Kanisa B, lilitolewa tangazo moja tu lilikuwa linasemaLEO KUNA TANGAZO MOJA TU. NI SIKU YA MABOMU YA MAREKANI
HIili ndiyo tangazo pekee lililowahi kutolewa J2 hiyo

  • Baada ya tangazo hilo, kwenye wiki ya kuanzia J3 ya tarehe 12/09/2016 hadi Ijumaa ya tarehe 12/09/2016, ndiyo kwa mara ya kwanza mhusika aliwahi kukoswa koswa na matukio ya aina hii; mithili ya lile la Ijumaa ya wiki juzi ambalo tayari ameshalielezea humu jukwaani.
  • Kuanzia pale sasa matukio haya yalianza ku-operate hadi leo hii
Utartibu huu unaoendelea kutumika hadi muda huu, ni ubunifu kutoka Kanisa B. Ikumbukwe kuwa KANISA B linao watu wachache ambao huwa wanashughuika na upumbavu huu, isipokuwa hawa wa KANISA B ni majasiri zaidi ukilinganisha na wale wa KANISA A ambao wao ni wengi kuliko wa KANISA B

Kwa hiyo pepo la kuhusiana na upumbavu huu, lilirushwa kutoka KANISA B J2 ya tarehe 11/09/2016 kufuatia JUMAMOSI ILE AMBAYO LILITOKEA TETEMEKO LA KAGERA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kanisa A wapo wengi ila waoga, Kanisa B wapo wachache ila majasiri. Labda huyu Profesa wa juzi ndiyo yule ambaye atakuwa amewanyanyua kidogo Kanisa A; inabidi wampongeze kwa namna alivyokuwa amejitoa huku akiwa ame-comouflage kwenye gari ambayo huwa haitumii mara kwa mara,; na poassibly pengine haikuwa yake, ila alikuwa amieazima kutoka kwa mtu mwingine kwa kazi maalum

Kaka yake na huyu Profesa ndiye alikuwa Mkuu wa Shule kwenye shule ya Sekondari aliyowahi kusoma mhusika O-level; kwenye kipindi chote cha miaka minne ambayo mhusika alikuwepo akisoma kwenye shule hiyo
 
UPDATE: THURSDAY 24TH NOVEMBER 2022

HUJUMA NYINGINE TENA KWENYE GARI LA MHUSIKA WIKI HII:

MAMA JIRANI AMBAYE MHUSIKA ALIWAHI KUMWONGELEA KWENYE POST HII HAPA #724 AONYESHA DALILI ZOTE ZA KUHUSIKA NA TUKIO


Mahali pale anapoishi, mhusika amebaini kuwa magari mawili ambayo ni COSTA NA HIACE, kwa mara ya kwanza yamekuwa yakilala kwenye parking ndani ya wiki hii tu ya tukio, na possibly kwenye baadhi ya siku chache sana za wiki (jana) iliyopita

Mara ya mwisho mhusika kuona gari ngeni ikiwa imelala kwa mfululizo wa siku kadhaa kwenye parking za akiba ambazo huwa hazitumiwi na wenyeji wa pale anapoishi, ni takribani miaka mitatu iliyopita

Gari hiyo ilikuwa ni ya mtu ambaye aliwahi pia kuwa mwenyeji pale; mzee aliyewahi kuishi kwenye block hilo nyumba namba 12 ambayo kwa sasa haikaliwi na mtu

KUHUSIANA NA MAIGIZO YA MAMA JIRANI KABLA YA TUKIO LENYEWE LA HUJUMA KWENYE GARI LA MHUSIKA

Mama huyu jirani amehusika katika kuandaa maigizo hayo yaliyokusudiwa kuonyesha kuwa tukio la hujuma kwenye gari la mhusika ni la kiroho.

  • Kwa upande mwingine mama huyu alikuwa amejipiga kifua aonekane kuwa yeye ndiye mhusika wa tukio hilo (la hujuma kwenye gari la mhusika), ila kwenye ulimwengu wa roho
  • Hata hivyo kwa uzoefu wake mhusika, tukio hilo halikuwa shambulio la kiroho bali zilikuwa ni hujuma za kawaida kwenye ulimwengu wa mwili
  • Ulikuwa ni mpango mkakati ambao umekuwa ukiandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu kidogo tangu wiki kadhaa zilizopita, na ambao mhusika naye kwa upande wake amekuwa akiufutilia kwa karibu sana tangu kuanza kwa maandalizi yake.
Uzoefu wa kutosha kutoka kwenye matukio ya awali ya aina hii, mhusika tayari ameshaupata kutokea kwenye mazingira yake ya ofisini kwa kutumia tukio ambalo maelezo yake ya kina yatawajieni hivi pinde

Hapo awali, baadhi ya matukio ya hujuma za aina hii zilizokuwa zinafanywa kwa kuambatanisha na maigizo yenye kutaka kuonyesha kuwa kilichokuwa kikifanyaika si hujuma bali ni mashambulio ya kiroho, yalikuwa mara kwa mara yanafanywa kwa kupitia gari moja yenye namba STJ ambayo mara nyingi huwa inapaki jirani kabisa na jengo ilimo ofisi ya mhusika

Gari hiyo inamilikiwa na mojawapo ya ofisi iliyo kwenye jengo jingine ambalo liko jirani na lile la mhusika.

Namba za gari hii ni unique kwa sababu karibia magari yote kwenye taasisi yana namba za SU au DFP; na kwa hali hiyo magari yenye namba za mfumo wa ST ni machache sana

KILICHOKUWA KIKIFANYIKA KUPITIA GARI HII YENYE MFUMOWA NAMBA STJ

Sometimes gari hii ilikuwa inatokea kuonyesha dalili za ubovu wa betri kila ilipokuwa inapigwa START huku mhusika akiwa anashuhudia, na baada ya hapo, sasa siku kadhaa mbele betri ya gari la mhusika ilikuwa inapata matatizo na kupelekea kuharibika kabisa na kuwa written–off.

Maigizo ya aina hii (kwa kutumia gari hii) kwenye betri ya gari la mhusika, yameshafanyika mara mbili,

Kwa hiyo kuna baadhi ya matukio mengine ya matatizo ya betri ya gari la mhusika (ambayo baadhi yake anakiri kuwa yalikuwa ni ya kiroho, na baadhi yakiwa ni hujuma), ambayo gari hili lililotajwa hapo halikuwahi kuhusika

Gari hii ilikuwa inatumika kutengeneza maigizo, halafu baada ya maigizo hayo, hujuma zilikuwa zinafamyika kwenye Betri ya gari la mhusika, zikiwa zimekusudiwa kumfanya azione kuwa siyo hujuma bali ni mashambulio ya kiroho kupitia gari hilo lenye namba STJ

…………………inaendelea
 
NAMNA MAANDALIZI YA MAIGIZO KUELEKEA HUJUMA KWENYE GARI LA MHUSIKA YALIVYOFANYIKA

Yapata kama wiki mbili au tatu zilizopita, kwenye Jumamosi moja mhusika akiwa yupo nyumbani kwake, alisikia kelel za gari iliyokuwa ipo kwenye barabara kuu ya kuelekea Mwenge, gari hiyo ilikuwa usawa wa jengo analoishi mhusika.

Gari hiyo ilikuwa inapiga STARTkwa shida na hivyo ilikuwa na HARD START

Hata hivyo kilichomshangaza mhusikasiku hiyo ni kwamba, kila ilipokuwa inabahatika ku-STRART, mwenye gari alikuwa anaipiga “lesi” kadhaa halafu anaizima tena na hivyo kupelekea circle ya kupiga start–-kupiga lesi---- kuzima kuendelea kujiriudiarudia

Kitendo hiki kilichukua takribani dakika 7-10, na baada ya hapo mhusika hakuzisikia tena kelele za gari hiyo

BAADA YA SIKU KADHAA TANGU TUKIO HILO KUWA LIMEPITA

Kwenye J3 ya wiki hii tarehe 21/11/2022, mhusika akiwa amepaki sehemu tofauti na zilipo parking za ofisi yake, akiwa anataka kurudi nyumbani baada ya muda wa kazi, gari la mhusika lilipiga START kwa shida na kwa kuigiza kama lilivyowahi kufanya gari alilowahi kulisikia likiwa barabarani Jumamosi moja, siku kadhaa zilizokuwa zimepita

Baada ya gari kufanikiwa kupiga START, mhusika aliondoka hadi nyumbani na alipofika huko, alikuta mazingira ya “configuration” pale nje yako kama ifuatavyo

Kulikuwa na Hiace ikiwa imepaki pembezoni mwa parking, sehemu yake ya nyuma ikiwa iko kwenye nyasi na sehemu nyingine, ya mbele ikiwa ndani ya parking ambayo haina nyasi bali mchanga tu au udongo

Nyuma ya Hiace, kwenye sehemu jirani pembeni mwa basement floor (sehemu ambayo ni karibu tu na pale ilipokuwa imepaki Hiace), alikuwapo mama jirani akiwa amefungua maji ya bomba ambayo yalikuwa yanaendelea kuchururizika kutoka bombani

Mhusika aliiona hiace ikiwa tayari imepaki pale ilipokuwa, tangu alipokuwa bado yupo umbali kidogo kwenye akiwa bado yupo main road; kabla hajachepuka kutoka main road na kuchukua feeder road ya kuingia mahali pale anapoishi

Kwa hiyo Hiace hiyo ilikuwa imepaki pale angalau dakika kadhaa kabla ya mhusika kuwasili eneo hilo la parking

Bombani alpokuwepo mama jirani, kuna base ya zege ya mchangayiko wa mchanga na cement, na hiyo diyo base ya bomba la maji lililoko pale. Mama jirani alikuwa yupo amekaa kwenye base ya zege ya bomba hilo akiwa anaendelea na kufanya kazi zake



BAADA YA MHUSIKA KUWASILI MAENEO YA PARKING

  • Kwanza kabisa alimuona mama jirani
  • Baada ya kumuona mama jirani, muda huo huo ilitoka sauti kwenye gari ikiwa inamsalimia mama jirani aliyekuwa yupo bombani. Kumbe kulikuwa na mtu kwenye Hiace
  • Sauti hiyo iliyotoka kwenye sehemu ambayo kulikuwa na Hiace iliyokuwa imesimama partly kwenye nyasi na partly kwenye mchanga usiokuwa na nyasi na ilikuwa inaelekezwa kwa mtu aliyekuwa amekaa kwenye zege
Still, mhusika hakufanikiwa kumuona mtu huyo, possibly alikuwa ndani akiwa amejilaza kwenye viti vya gari

Baada ya mama jirani kusalimiwa na mtu aliyekuwa kwenye Hiace, pale pale mama jirani naye aliamua kumsalimia mhusika ambaye yeye alikuwa amesimama kwenye mcahanga ambappo kwa wakati uliwahi kuwa emefunikwa na lami

Kwa hiyo sauti nyingine ilitoka kwenye zege ikiwa imeelekezwa kwa mtu aliyekuwa amesimama kwenye mchanga ambao hapo awali uliwahi kuwa umefunikwa na lami

Kwa hiyo muda wote ambao mhusika aliiona Hiace akiwa bado yupo maini road kulikuwa na mtu ndani ya Hiace hiyo ambaye alikuwa hajapata nafasi ya kusaalimiana na mama aliyekuwa kwenye bomba la maji.

Mama huyu hakuwa amekuja pale bombani muda ule ambao mhusika alifika kwenye parking isipokuwa alionekana kuwa alikuwa pale angalau dakika kadhaa kabla ya mhusika kufika eneo la parking, na huyu mtu mwingine aliyekuwa kwenye Hiace naye pia alikuwa yupo pale dakika kadhaa kabla ya mhusika kuwasili

Kwa hiyo, pamoja na wawili hawa kuwepo maeneo yale, walikuwa bado hawajabahatika kusalimiana na walisalimiana tu baada ya mhusika kufika maeneo yale

…………………inaendelea
 
KILE KILICHOKUWA KIMETOKEA SIKU YA J2 KABLA YA J3 HIYO YA TUKIO LA MWENYE HIACE NA MAMA JIRANI; UKIKIHUSIANISHA NA TUKIO LA HIVI KARIBUNI LA KUKATWA TENA (KWA MUDA) MAJI NYUMBANI KWA MHUSIKA

Kilichokuwa kikiendelea J3 ya wiki hii ilikuwa ni mpango wa utekelezaji wa PLAN B, na PLAN A ilikuwa tayari imeshapita J2, yaani jana yake

NAMNA PLAN A ILIVYOKUWA

Tukirudi nyuma kidogo, ikumbukwe kuwa J2 ya tarehe 06/11/2022 mhusika alikumbwa na tukio la “Profesa” akiwa mazingira ya Kanisani

  • Baada ya tukio hilo, mhusika aliamua kupumzika kidogo nyumbani na tangia pale hadi leo hii, mhusika hajawahi kuhudhuria tena Ibada Kanisa A
  • Mhusika hajaacha kwenda kwenye Ibada Kanisa A na wala hana mpango wa kuhama Kanisa A, isipokuwa ameamua kupumzika kidogo
Kwa hiyo J2 ya kwanza ambayo mhusika hakuhudhuria Ibada Kanisa A ilikuwa ni ile ya tarehe 13/11/2022.

Baada ya kuonekana kuwa J2 hiyo mhusika hakuhudhuria Ibada Kanisani, ule mgao wa maji unaoendelea; kwake uligeuka na hivyo kupelekea maji kukatwa kabisa nyumbani kwake yakawa hayatoki tena.

Vile vile, kwenye bomba lile la nje pale alipokuwa amekaa mama jirani J3 ya wiki hii, maji yalikuwa yanatoka ila kwa pressure ndogo sana ya kuchuruzika, huku foleni ya vyombo vya maji ikiwa ipo pale muda wote na vyombo hivyo vikiwa havina maji muda wote

BAADA YA KUWADIA J2 NYINGINE YA TAREHE 20/11/2022 HUKU MAJI YAKIWA HAYATOKI NYUMBANI KWA MHUSIKA


Baada ya J2 nyingine ya tarehe 20/11/2022 kuwadia na mhusika kuonekana yupo tena mazingira ya nyumbani kwake pasipo kwenda Kanisani, huku maji yakiwa hayatoki nyumbani kwake kwa zaidi ya wiki, BOMBA LILE LA NJE LILISIKIKA KWA MARA YA KWANZA TENA LIKIWA LINATOA MAJI KWA PRESSURE KUBWA NA YA PEKEE SANA

Baada ya kusikia pressure hiyo, mhusika alitoka nje kwenda kuangalia “configuration” ya mazingira ikoje ili aweze kuchukua angalau ndoo moja apandishe ndani kwake. Yaani ile anatoka nje tu “muda huo huo umeme ulikatika” na bombani hapakuwa tena na foleni ya vyombo vya maji

Alipofika tu nje bahati nzuri kwamba alitupa jicho kwenye meta za umeme, umeme ukawa haupo

In less tha a 20s mhusika alifunga mlango wa nyumba yake akiacha umeme upo ndani, anashuka ngazi kufika ground floor anakuta umeme tayari haupo huku kukiwa na mtu akiwa anafua nguo, akiwa amekaa kwenye eneo la ground floor ambalo MARA ZOTE SIKU ZOTE watu wanaofua nguo huwa hawakai pale.

MARA ZOTE SIKU ZOTE watu wanaofua nguo nje huwa wanakaa basement floor karibu na pale lilipo bomba la maji

Configuration ya aina hii haikuwa ngeni kwa mhusika hasa kwenye kipindi ambacho amekuwa akihangaika na tatizo hili la maji kukatwa. Baada ya kuona hivyo mhusika alirudi ndani na kwenda kukaa na kuanza kufanya kitu kingine huku akivumilia joto lililokuwemo lililokuwa limesababishwa na hali ya umeme kukatika

Pale nje kwenye parking, gari karibia zote hazikuwepo, watu walikuwa wameenda Kanisani

Baada ya kurudi ndani, mhusika allienda akaandika post hii hapa #1,234 na kuiweka kwenye mtandao huu

Baada ya J2 hiyo kupita, J3 kesho yake ndiyo sasa utekelezaji wa PLAN B ukaanza, mama jirani akiwa anahusika

…………………….inaendelea
 
KILE KILICHOFANYIKA KWENYE PARKING KATI YA MWENYE HIACE NA MAMA JIRANI J3 YA WIKI HII

Wawili hawa walikuwa wanashughulika na ARDHI na vilivyo kwenye ardhi (mchanga, zege, cement, lami, n.k.); mithili ya MR X alivyowahi kufanya kwenye siku za tarehe 25-27/10/2022 kwenye jengo la ofisi zao yeye na mhusika

Shughuli hii ilikuwa na uhusiano wa maji kuanza kutoka tena kwa wingi nyumbani kwa mhusika jioni ya J2 ya tarehe 20/11/2022 (ndiyo maana mhusika huwa ana dhana kuwa pengine mama jirani huwa anayo namna ya control ya maji yale ambayo huwa yanaingia nyumbani kwa mhusika)

Kwa hiyo walikuwa wanashughulika na ardhi lakini indirectly walikuwa wanshughulika na maji yaliyoanza kutoka nyumbani kwa mhusika jioni J2 iliyokuwa imepita, baada ya maji hayo kuwa yamekatika kwa takribani wiki mbili

Kwa hiyo, shughuli hii waliyofanya wawili hawa siku hiyo ya J3, ni kweli ilikuwa ina-operate kutoka kwenye ulimwengu wa roho lakini haikuwa na uhusiano wowote ule na kilichokuja kutokea kwenye gari la mhusika J3 jioni na J2 asubuhi siku iliyofuata

Baada ya salaam kati ya mwenye Hiace na mama jirani J3, Hiace iliondoka kwenye eneo la parking na baadaye tena, Costa ndiyo ilikuja ikapaki kwenye sehemu ile ile ilipokuwa imepaki Hiace na kwa namna ile ile kama ilivyokuwa imepaki Hiace

  • Hata hivyo, siku hiyo, haikuwa mara ya kwanza kwa Hiace hiyo kuonekana imepaki hapo
  • Vile vile, haikuwa mara ya kwanza pia kwa Costa kuonekana imepaki mahali pale
Hadi leo hii, Costa hiyo bado inaendelea kupaki kila siku jioni na kulala pale, isipokuwa Hiace ilionekana mara ya mwisho J4 alfajiri kama kumbukumbu zake mhusika ziko sawa

AINA YA HUJUMA ILIYOFANYIKA KWENYE GARI LA MHUSIKA USIKU WA J3 KUAMKIA J4 ASUBUHI

……………………….inaendelea
 
Back
Top Bottom