#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NB: BAADA YA MPONYWAJI KUSIMAMA JUU MADHABAHUNI NA HATIMAYE KUSHUKA CHINI, KUANZIA PALE SASA MAMBO YA IBADA YALIPARANGANYIKA; USALAMA WA KIROHO KWENYE NYUMBA HIYO YA IBADA ULIPOTEA KUANZIA PALE
 
UPDATE: TUESDAY 13TH DECEMBER 2022
OMBI KUBWA KABISA ALILONALO MHUSIKA KWA SASA:
MR X ADHIBITIWE ILE ASIENDELEE KUHUJUMU TENA GARI LAKE
 
Mhusika anzidi kuomba msaada MR X adhibitiwe ili asiendelee kuhujumu gari la mhusika. Kwa sasa anashirikiana na watu walioko kwenye makazi ya mhusika, mmoja wao akiwa ni mlinzi wa usiku
 
DOKEZO MUHIMU KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A

Mafundisho ya Ibada ya J2 ya tarehe 11/12/2022 yalikuwa ni upanga ukatao kuwili, kwa muumini yeyote yule ambaye anaweza akawa kwa namna moja ama nyingine, analitumia JINA LA YESU kwa manufaa yake binafsi

Katika hili, Viongozi wote wa Kanisa A inabidi wawe waangalifu sana

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Joshua 1:5

“No one will be able to stand against you all the days of your life. As I was with Moses, so I will be with you; I will never leave you nor forsake you”.

Matthew 16:18

………..“And I tell you that you are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of Hades will not overcome it”.

In the war between falsehood and truth, falsehood wins the first battles and truth, the last
 
TUKIO JINGINE LA HUJUMA LAJIRUDIA TENA LEO KWENYE GARI LA MHUSIKA, NI HUJUMA, SIYO SHAMBULIO LA KIROHO

HATIMAYE MHUSIKA AMEFANIKIWA KUJUA AMBACHO KIMEKUWA KIKIPELEKEA KUFANYIKA HUJUMA KWENYE PARKING, GARI LAKE LINAPOKUWA LIMEPAKI JIRANI NA GARI NYINGINE KUBWA. Ni BAADA YA TUKIO JINGINE LA TATU LINALOFANANA NA MENGINE MAWILI YALIYOPITA HIVI KARIBUNI, KUJIRUDIA TENA LEO

ASUBUHI YA LEO, BAADA YA MHUSIKA KUWASILI OFISINI, ALIPAKI TENA JIRANI NA GARI KUBWA LA IDARA, NA KWENYE PARKING AMBAYO IMEJIFICHA KIASI KWA KAMERA KUWEZA KUONA PALE, JAPO NI NJIANI PIA. GARI KUBWA LILIKUWA UPANDE AMBAO LILIWEZA KULIZIBA GARI LA MHUSIKA KUTOKEA KUSHOTO

BY THE TIME MHUSIKA ANAONDOKA OFISINI LEO JIONI, CLUTCH IMEKUWA CHINI KIASI KWAMBA GIA ZINAANZA KULETA SHIDA KUINGIA.

BAHATI NZURI AMESHAIONA PATTERN NZIMA YA MATUKIO HAYA NAMNA YALIVYO, NA DETAILS ZAIDI ATAZILETA KWENU KWA KIREFU MUDA UJAO. MHUSIKA ATALAZIMIKA KURUDISHA TENA GARI GEREJI
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Hiyo hapo juu ni post ya jana Jumatano tarehe 14/12/2022. More is to come
 
MREJESHO MAALUM KUHUSIANA NA SWAL LA ALILOWAHI KUPENDEKEZA MHUSIKA KUHUSIANA NA BIBI AMBAYE HANA GARI KANISANI

MHUSIKA HAKUWAHI KUTOA AHADI HIYO NA WALA HATAITOA UNLESS UONGOZI WA KANISA A UNATOA TANGAZO LA KUMNUNULIA GARI BIBI. KWA HIYO MHUSIKA ATATOA MCHANGO HUO PALE TU LITAKAPOKUWA LIMETOLEWA TANGAZO LA KUMNUNULIA GARI BIBI, NA ATATOA KUASI HICHO ALICHOAHIDI NA KWA MFUMO ALIOWAHI KUUTAJA.

UP NEXT: KUHUSIANA NA HUJUMA ZA HIVI KARIBUNI KWENYE GAR LA MHUSIKA
 
USHAURI WA MUHIMU NA WA MSINGI SANA KWA WAUMINI WA KANISA A
I
WAPO ITATOKEA TENA KWENYE KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI KM-A AKAIBUKA NA MASWALA YA UZINZI NA /ULAWITI, BILA KUJALI KUWA MAMBO HAYO YAPO KWA UHALISIA WAKE AU YANATENGENEZEWA MAZINGIRA RUTUBISHI ILI YAWEPO, BASI KM-A ANASTAHILI KUWAPISHA WENGINE KWENYE MADHABAHU YA KANISA A, KANISA LITAKUWA LIMEMSHIINDA. HATUWEZI KUWA TUNAENDELEA KUONGELEA ULAWITI NA UZINZI TU MIAKA NENDA RUDI

NAOMBA SANA WAUMINI WA KSNISA A WENYE NIA NJEMA, WASIENDELEE KUSIKILIZA UPUMBAVU WOWOTE UNAOHUSIANA NA ULAWITI NA/ AU UZINZI. HAYA MAMBO KAMA KWELI YAPO, BASI NI YEYE MWENYEWE AMEKUWA AKIYAPALILIA. NA KAMA HAYAPO, BASI ANAYATENGENEZEA MAZINGIRA RUTUBISHI ILI YAWEPO

KM-A ASITUMIE UJANJA AMBAO NI CLASSICAL, WA KUWA UNATENGENEXA TATIZO ILI UWEZE KUENDELEA KUPATA UHALALI WA KUTUMIKA KANISANI.

KAMA ANAONA KUWA AMESHAKOSA UHALALI WA KUSIMAMA MADHBAHUNI, ASITENGENEZE MATATIZO YANAYOLENGA KUENDELEA KUMHALALISHA KUENDELEA KUSIMAMA MADHABAHUNI. HUYU MTU NI MTU HATARI SANA KWA UWEPOWA KANISA A.

KAMA UZINZI NA ULAWITI BADO UPO, BASI AWAPISHE WENGINE WANAOWEZA KUUSHUGHULIKIA KWA UKAMILIFU WAKE.

KM-A AWPISHE WENGINE WANAOWEZA KUUSHUGHULIKIA UZINZI NA ULAWITI, YEYE AONDOKE UMESHAMSHINDA

.BY THE WAY, KWENYE NYUMBA ZINGINE ZA IBADA ZINAZOFANANA NA KANISA A, HALI IMEKUWA IKOJE KWA MIAKA KDHAA SASA?
 
MAFUNDISHO YALIKUWA MAZURI MNO J2
YA LEO TAREHE 18/12/2022
 
MAPAMBIO PEKEE YALIIMBWA KWENYE IBADA YA KWANZA J2 YA TAREHE 18/12/2022. HAKUNA NYIMBO ZA SIFA KUTOKA KWENYE VITABU, ZILIZOIMBWA KWENYE IBADA HIYO
 
UPDATE: MONDAY 19TH DECEMBER 2022

KILE AMBACHO KILIKUWA NYUMA YA HUJUMA AMBAZO ZIMEKUWA ZIKIENDELEA KWENYE GARI LA MHUSIKA NA HIVYO KUPELEKEA MATENGENEZO MATATU MFULULIZO NDANI YA KIPINDI CHA KAMA WIKI MBILI HIVI


Kilichokuwa kikiendelea kuhusiana na matengenezo haya zilikuwa ni hujuma zilizokuwa zimelenga kumfanya mhusika apeleke gari gereji ili akazibue pia MRIJA WA KUPITISHA MAJI KIUTOKA KWENYE SUNROOF KWENDA CHINI KWENYE ARDHI, AMBAO ULISHAZIBWA NA KITU HIVYO KUPELEKEA MAJI KUTIRIRIKA NDANI YA GARI MVUA INAPOKUWA INANYESHA

Mfereji huu una unene wa kiasi kama kidole cha binadamu, na kitu pekee ambacho huwa kinapita humo ni maji au mchanganyiko wa maji na vumbi ambalo huwa linatua kwenye nje kwenye bodi ya gari

Mchanganyiko wa vitu hivi viwili hauwezi kusababisha kuziba kwa mrija wenye upana wa unene wa kidole cha mtu, ni impossible na siyo difficult. Kwa hiyo kuna kitu ambacho huwa kinawekwa humo kwenye mfereji na hivyo kupelekea mrija huo kuziba.

Kwa takribani miaka kumi sasa mrija huu umekuwa ukiwekewa vitu vya kuufanya uzibe gari inapokuwa imepaki kwenye maeneo matatu yafuatayo

  • Kwenye parking za Ofisini—MR X anahusika (hili linajielezea lenyewe na wala halihitaji maelezo ya ziada
  • Kanisani wakati Ibada zikiwa zinaendelea,, gari linapokuwa kwenye parking
  • Nyumbani usiku gari linapokuwa liko kwenye parking
NAMNA AMBAVYO MHUSIKA ANAONA UTARATIBU WA KUSAFISHA MRIJA HUO WA SUNROOF ULIVYOKUWA UMEDHANIWA KUWA UNGEWEZA KUTOKEA

Mpango halisi ulikuwa ni kwamba fundi ambaye ambaye angekabidhiwa kufanya kazi ya kuzibua mrija huo, akiwa anaendelea na kazi hiyo, ilikuwa afanyiwe hujuma za kijanja nza ktaalamu, na mtu mwingine ambaye si mfanyakazi wa pale gereji, a stranger from outside ambaye angekuwa yupo maeneo yale ya gereji akiwa ame-pose, possibly kama customer

Kwa hali hiyo, mpango mzima ulikuwa hivi ni kama ifuatavyo

  • Mhusika apeleke gari gereji kwa ajili ya matengenezo mengine tofauti na yale ya kuzibua mfereji wa sunroof
  • Akishafika gereji, mhusika aamue kuzibua pia mfererji wa sunroof kwa sababu umekuwa ukimsumbua siku nyingi, na hivyo amkabidhi kazi hiyo FUNDI A
  • FUNDI A akiwa yupo kazini, pasipo FUNDI A kujua chochote, a stranger from outside, au CUTSTOMER A, na ambaye ni mgeni aliyefika pale gereji kuja kutafuta huduma, amzunguke FUNDI A na kufanya kitu kwenye MFEREJI WA SUNROOF, pasipo FUNDI A kuwa na taarifa
Hii ndiyo plan aliyoiona mhusika kuhusiana na mrja huo wa sunroof

Baadhi tu ya watu waliokuwa wako coordinated kwenye mpango huu ni

  • MAMA JIRANI aliyehusika kwenye tukio la kwanza la hivi karibuni la hujuma ya gari
  • MR X aliyehusika na tukio la pili la hujuma kwenye gari
  • MLINZI ambaye huwa anaosha garipia
Ili kuwaepusha mafundi na mikasa isiyowahusu, kwa mara zote tatu ambazo mhusika amekuwa akipeleka gari gereji, aliamua kutowapa gari kwa ajili ya matengenezo ya MFEREJI WA SUNROOF. Badala yake, mhusika aliwapa mafundi hao wakayafanyia kazi matatizo yale tu ambayo yalikuwa yakitokana na hujuma

………………………..inaendelea
 
…………….inaendelea

BAADA YA TUKIO LA KWANZA LA HUJUMA KWENYE GARI LA MHUSIKA LILILOMHUSISHA MAMA JIRANI KUWA LIMEFANYIKA NA MHUSIKA KUPELEKA GARI GEREJI


Kwenye kipindi hiki cha hivi karibuni, mhusika alipeleka gari gereji kwa mara ya kwanza, J4 ya tarehe 29/11/2022 na kwa ajili ya tatizo dogo na ambalo lilifanyiwa matengenezo.

Hata hivyo, kwenye wiki iliyofuata baada ya hiyo, Ijumaa ya tarehe 02/12/2022, mhusika alibaini tena tatizo wakati wa jioni alipokuwa anaondoka ofisini kurudi nyumbani.
  • Ilikuwa ni baada ya gari kubwa la MR X kuwa limepaki jirani na gari la mhusika
  • Baada ya hapo, mhusika alipeleka tena gari gereji mwanzoni mwa wiki iliyofuata baada ya hiyo na pia ilifanyiwa marekebisho
Hata hivyo, ndani ya wiki hiyo hiyo ya matengezo ya pili, ilipofika J5 ya tarehe 14/12/2022, lilijitokeza tena tatizo jingine la gia kutokuingia vizuri, na ilipofika Alhamis ya tarehe 15/12/2022 mhusika alirudisha tena gari gereji.

  • Tatizo hili (la tatu) lilijitokeza baada ya gari kubwa la Idara kupaki jirani na gari la mhusika
  • Tatizo la kwanza lilijitokeza baada ya gari kubwa aina ya Costa, kuwa linalala kwenye parking za mahali anapoishi mhusika
KILICHOPELEKEA MHUSIKA ABAINI KUWA LENGO LA MATENGENEZO YA GARI LILIKUWA KWENYE MRIJA WA SUNROOF NA SI KWENYE HUJUMA ZILIZOKUWA ZIKIENDELEA KWENYE GARI:

NI MLINZI WA USIKU WA GARI


Huyu mlinzi wa usiku wa gari huwa ana kawaida ya kuosha gari pia
  • Tangu Julai 2021 (mwaka jana) mhusika alimuelekeza mlinzi kuwa anaosha gari pasipo kumwaga maji juu ya paa la gari
  • Ilikuwa ni baada ya mrija wa sunroof kuziba tena.
  • Mrija huu umekuwa ukiziba kila mwaka, especially mvua zinapoanza kunyesha
Tangu pale, mlinzi amekuwa akifuata maelekezo ya mhusika, isipokuwa kwenye J3 hiyo ya tarehe 12/12/2022 ambapo kwa mara ya kwanza, mlinzi alikiuka maelekezo hayo. Siku hiyo, mlinzi alimwaga maji juu ya paa ya gari na hivyo kupelekea maji kuvuja ndani ya gari na kulowanisha kiti chote cha upande wa dereva

BAADA YA MLINZI KUMWAGA MAJI NA KUPELEKEA KITI CHA DEREVA KULOWANA

Baada ya kulowanisha kiti cha dereva, mlinzi akawa yuko calculated.

Ikumbukwe kuwa hadi kufikia siku hiyo, mhusika alikuwa tayari ameshaenda gereji mara moja kutokana na hujuma ile ya kwanza ambayo mama jirani alihusika; na siku hiyo (ya kwanza alipoenda gereji), swala la mrija wa SUNROOF hakulishughulikia

  • Kwa hiyo, J3 hiyo, mlinzi alimfanyia timing mhusika
  • Mhusika akiwa anatoka ndani kwake juu anashuka chini ili akawashe gari ili alekee ofisini, mlinzi naye akawa anapandisha juu na hivyo kupelekea wawili hao kukutana kwenye veranda iliyo jirani kabisa na mlango wa nyumba ya mhusika
Baada ya kukuktana, wawili hao walisalimiana kwenye veranda hiyo huku wakiwa wanapeana nafasi za kila mmoja kumpisha mwenzake

Baada ya kusalimiana, huku wakiwa sasa tayari wameshapishana, mhusika akiwa anatembea akishuka ngazi kuelekea chini na mlinzi naye akiwa anatembea akipandisha juu, ndiyo pale sasa mlinzi akaongea akimpa taarifa mhusika kuwa ameosha gari lakini amelowanisha kiti cha dereva

Mhusika hakumjibu kitu isipokuwa aliendelea hadi kwenye parking akawasha gari na kuelekea ofisini, huku mlinzi naye wakati huo akitokomea na ngazi zinazoelkeea juu, akipandisha

Kilichoplekea mlinzi huyu kumpa taarifa mhusika kwa mtindo huo, ni kwa sababu alikuwa anakwepa kuonekana na watu akiwa anaongea na mhusika

  • Kawaida mlinzi huyu na mhusika, huwa wanaongea wakiwa ground floor ambapo ndiyo mara zote huwa wanafanyia maongezi yao
  • Still, mlinzi alikuwa anamkumbusha pia mhusika kuwa kwenye safari hii ya pili atakapokuwa ameenda gereji, anatakiwa akashughulikie pia MRIJA WA SUNROOF
  • Ni kwa sababu tayari gari ilikuwa na tatizo jingine jipya lililokuwa limejitokeza siku chache nyuma baada ya MR X kupaki jirani na gari la mhusika Ijumaa ya wiki iliyokuwa imepita
HITIMISHO

Baada ya matukio haya yote kuwa yamejiri, J4 ya tarehe 13/12/2022 mhusika alirudi tena garage kwa mara ya PILI na siku hiyo kwa mara nyingine tena aliamua kutokushughulika na MRIJA WA SUNROOF

Vile vile, Alhamis ya tarehe 15/12/2022 mhusiika alirudi tena garage kwa mara ya TATU na siku hiyo pia hakushughulika na MRIJA WA SUNROOF

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 22ND DECEMBER 2022

KWA MARA NYINGINE TENA, LEO MHUSIKA AMESHUHUDIA INCIDENCE NYINGINE YA MUHIMU MNO LAKINI AMBAYO AIDHA YALIKUWA NI MAIGIZO AU SEHEMU YA INCIDENCE HIYO YALIKUWA NI MAIGIZO


Details of the incidence withheld at the moment

Details zake atakuja kuzirejea baadaye mbele ya safari

Mhusika hata haelewi tunaelekea wapi sasa hivi kwenye baadhi ya mambo ambayo ni muhimu mno

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BY THE WAY;
AJALI ZILIKUWA KIMYA, NAONA ZIMEANZA TENA WIKI HII (ASOMAYE NA AFAHAMU)

 
UPDATE: FRIDAY, 23RD DECEMBER 2022

KHUHUSIANA NA TANGAZO LILILOTOLEWA J2 YA TAREHE 11/12/2022 KUWA IBADA YA SIKU YA J2 ILIYOKUWA INAFUATA (TAREHE 18/12/2022) INGEFANYIKIA KWENYE UKUMBI:

KUNA KITU MAALUMU KILIKUWA KINAENDELEA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA, NA AMBCHO NDIYO KILIPELEKEA TANGAZO HILO LA KANISANI KUTOLEWA


Ndani ya wiki hii, kuna kitu muhimu na cha pekee ambacho mhusika amekiona kikiwa kinaendelea kwenye mazingira ya ofisini. Kitu hicho kinaweza kuwa na uhusiano wa moja kwa moja na tangazo lililotolewa Kanisa A, J2 ya tarehe 11/12/2022

  • Tangazo hilo lilihusiana na kuhamishia kwenye ukumbi, Ibada ya J2 ya tarehe 18/12/2022
  • Hata hivyo, Ibada ya J2 ya tarehe 18/12/2022 ilifanyikia Kanisani kama kawaida, haikuhamishiwa kwenye ukumbi
Still, kwenye wiki hii, mhusika amebaini kitu cha pekee kikiwa kinaendelea kwenye mazingira ya ofisini, na ambacho details zake hawezi kuziongelea humu jukwaani

Anachotaka kusema hapa mhusika ni kwamba, for sure there was something going on kwenye mazingira ya ofisini wiki hii

Na kama kulikuwa na kitu ambacho kilikuwa kinaendelea mazingira ya ofisni ndani ya wiki hii, uwezekano mkubwa ni kwamba kitu hicho kilikuwa pia kiko synchronized na program nzima ambayo imekuwa ikiendelea Kanisani kuanzia J2 ya tarehe 11/12/2022; siku ambayo lilitolewa tangazo la kuhamishia Ibada kwenye ukumbi

  • Na ndiyo maana Ibada ya J2 ya tarehe 18/12/2022 kufuatia J2 ya tangazo hilo, ilitakiwa ifanyikie kwenye ukumbi
  • Kitendo cha Ibada hiyo kufanyikia kwenye ukumbi, kilikuwa kinatoa nafasi ya Madhabahu ya Kanisa A kubaki bila bughudha yoyote kwa muda wa wiki mbili nzima, yaani kuanzia J2 ya tarehe 18/12/2022; hadi J2 nyingine ya tarehe 25/12/202 (J2 ya Krismas) assuming Ibada ya J2 ya tarehe 18/12/2022 ingefanyikia kwenye ukumbi kama ilivyokuwa imetangazwa hapo awali
  • Kwa hiyo chances zilikuwa ni kwamba kwa muda wa wiki mbili nzima, madhabahu ya Kanisa A ingeendelea kubaki na upako wa J2 ya tarehe 11/12/2022; siku ambayo ulitolewa ushuhuda wa uponyaji wa masikio na hatimaye KM-A kuanzisha silaha nyingine ya maangamizi inayofanya kazi kupitia milango ya fahamu
Upako huu ndiyo ule uliotakiwa uendelee kubaki kwenye madhabahu ya Kanisa A hadi; J2 ya tarehe 25/12/2022 (siku ya Krismas), pasipo kupata bugudha yoyote kutoka kwenye upako mwingine unaotokana na waumini wa Kanisa A

Kwa hiyo upako wa ushuhuda huo wa uponyaji wa masikio, ndiyo ule uliotakiwa uendelee kubaki madhabahuni pasipo kuwa na hofu ya upako huo, kupeperushwa na UPAKO MWINGINE ambao ungetokana na IBADA YA WAUMINI WA KANISA A, AMBAYO INGEFANYIKA J2 YA TAREHE 18/12/2022

  • Ili kufanikisha hilo, kulikuwa na haja sasa ya Ibada ya J2 ya tarehe 18/12/2022 kufanyikia kwenye ukumbi na si Kanisani tena
  • Mbali na hilo, Ibada inapofanyikia kwenye Ukumbi, inakuwa ni rahisi zaidi kurusha mapepo mengine ya ziada ambayo yanahitajika zaidi Kanisani
Kwa hiyo, kwa kuhamishia Ibada kwenye Ukumbi

  • Mapepo yaliyokuwa tayari yamesharushwa madhabahuni J2 ya tarehe 11/12/2022 yangeendelea kuwepo madhabahuni bila bugudha yoyote kutoka kwa waumini wa Kanisa A
  • Mbali na hilo, mapepo mengine ya nyongeza yangeweza kurushwa kirahisi zaidi kwenye J2 nyingine iliyokuwa inafuata ya tarehe 18/12/2022 kwa sababu Ibada ingefanyikia kwenye ukumbi na si Kanisani
  • Zaidi ni kuwa ukizingatia kuwa ibada ya pili ya J2 ya tarehe 18/12/2022 ilikuwa ni Ibada ya ndoa, CONVOY MAALUMU ingeweza kuingia Kanisani hapo na kufanya OPERATION MAALUMU huku ikiwa imejichanganya na wageni waliokuwa wamefika Kanisani siku hiyo kwa ajili ya Ibada ya ndoa, na pasipo muumini yeyote wa Kanisa A kuistukia convoy hiyo
Ndiyo maana pamoja na uwepo wa Ibada ya ndoa J2 hiyo, bado uamuzi la kuhamishia Ibada kwenye UKUMBI ulifanyika na pasipo kujali uwepo wa Ibada hiyo maalumu

HITIMISHO


Mtu ambaye huwa anahusika na synchronization ya program za Kanisani na za ofisini kwa mhusika, ni MR X, akishirikiana na KM-A na wenzake

Kuhusiana na maelezo ya swala hili, mhusika anaweza kuwa hayuko sahihi iwapo tu hapakuwa na kitu chochote cha pekee kilichokuwa kikiendekea kwenye mazingira ya ofisni kwake wiki hii. Vinginevyo kama kilikuwepo, basi mhusika yuko sahihi katika kila alichiokiandika hapa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA PATTERN AMBAYO MHUSIKA AMESHAIONA KATI YA MASHAMBULIZI AMBAYO YAMEKUWA YAKIFANYIKA KWAKE NA RATIBA ZA SAFARI ZA MKUU WA MAJOR UNIT

Mara nyingi mashambulizi haya huwa yanatokea pale mkuu wa MAJOR UNIT anapokuwa amesafiri na hivyo kuwa amekaimisha nafasi yake kwa mtu mwingine

Mara nyingi mkuu wa MAJOR UNIT amekuwa akisafiri kwenye tarehe za karibia na mwisho wa mwezi, na kurudi tena kwenye tarehe za mwanzo wa mwezi kwenye mwezi unaofuata

Kwa hiyo kwenye tarehe za mwisho wa mwezi karibia na zile ambazo mshahara huwa unatoka, anakuwa hayupo ofisini; na mwezi huo wa safari ukishapita na kuanza mwezi mwingine, anakuwa amesharudi tena

Mara nyingi pattern za safari zake imekuwa hivyo. Once is an accident; twice a coincidence and thrice; a pattern

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 27TH DECEMBER 2022

KUHUSIANA NA MTOTO ALIYEZALIWA MWAKA 1990 AMBAYE MAISHA YAKE YAMEKUWA NI YA JELA KWA KIASI KIKUBWA NA AMBAYE BAADHI YA TAARIFA ZAKE ZIKO KWENYE POST HII HAPA #1,144

BAADA YA MHUSIKA KUUNGANISHA MATUKIO MUHIMHU YALIYOKUWA YAMESHAJIRI TANGU KIPINDI KIREFU NYUMA NA HATIMAYE KUGUNDUA KILICHOKUWA KIKIENDELEA JUU YA MTOTO HUYU; WASHUKIWA WAWILI KUWA WALIKUWA WAKIMPENYEZA MHUSIKA TAARIFA ZA SIRI WALIPATIKANA HUKO NYUMBANI KWAO, NA AMBAO KWA SASA WOTE WAMESHAPOTEZA MAISHA


Washukiwa hao walidhaniwa kuwa walikuwa wakimpenyezea mhusika taarifa za siri kuhusiana na mambo ya siri yalikuwa yakiendelea huko kijijini

  • Mmoja wa washukiwa hao alikuwa ni mdogo wake na mhusika, ambaye alipoteza maisha Julai 2020 na taarifa zake mhusika alizileta humu
  • Mwingine alikuwa ni mpwa wake na mhusika, ambaye naye pia alikuja kupoteza maisha mwaka uliofuata wa 2021, na taarifa zake pia zipo kwenye uzi huu
Wawili hawa walishukiwa kuwa walikuwa wakimpa taarifa za siri mhusika na hivyo kupelekea awe na ufahamu wa mambo ya siri nzito ambazo ilikuwa haiwezekani ayafahamu.

  • Hata hivyo kile ambacho walikuwa wanakisahau watu hawa na ambacho ni muhimu sana wakikumbuke kwa sasa ni kwamba kwa mara ya kwanza, mhusika alitoka kijijini kwao Januari 1986; na aliondoka kwenda kusoma, na si vinginevyo. Kwa hiyo hadi leo, ni miaka 36 imepita huku mhusika na wao wakiwa wanaishi katika mazingira yaliyotengana
  • Mhusika aliondoka kijijini kwenda kusoma na hakuondoka kwenda kucheza; hilo ndiyo walishalisahau kabisa hawa watu; inabidi wakumbushwe
KIONGOZI MKUU WA MIKAKATI HII TANGU KIPINDI HICHO HADI MUDA HUU; NI MTU MREFU KULIKO WOTE KWENYE UKOO

Kiongozi mkuu wa mikakati hii, possibly tangu mwaka 1989 au hata kabla ya mwaka huo, ni huyu mtu mrefu kuliko watu wote kwenye ukoo (tumwite MRF).

MRF alikuwa akishirikiana pia na watu kadhaa na kwa usiri wa hali ya juu sana,

Mmojawapo wa watu hao alikuwa ni kaka yake wa kuzaliwa tumbo moja, na ambaye alimshauri ahamie huku Dar es Salaam mwaka 2001 (tumwite KK-MRF) na kaka naye aliitikia wito huo na kuhamia huku

  • KK-MRF alikubali kuhamia huku na akaishi kwa mhusika kwa muda tu na baadaye, alihamia kwa mmojawapo wa staff-mate wa mhusika, na ambaye hakuwa ndugu yake
  • Staff mate wa mhusika alikuwa anaishi jirani tu na mahali mhusika anapoishi sasa, ila kwa sasa alishastaafu na kuhamia sehemu nyingine
Mwingine aliyekuwa akishirikiana na MRF, ni baba mzazi wa mtoto aliyezaliwa mwaka 1990 (MTT1990) ambaye huyu hadi sasa wako wote na wanaendelea kushirikina hadi leo.

Baada ya KK-MRF kuanza kuishi na mhusika, walishindwana namna ya kuishi, na hatimaye mhusika aliamua kumfukuza KK-MRF nyumbani kwake, mara baada ya mhusika kuwa ametoka likizo nyumbani kwao Mwanza

  • Mhusika alivyoenda likizo ya Desemba nyumbani aliwashirikisha MRF pamoja na mama yao (shangazi wa mhusika), namna KK-MRF alivyokuwa akiishi na hivyo mhusika kuwajulisha kuwa alikuwa anaelekea kushindwa kuishi na KK-MRF
  • Pasipo mhusika kujua, kumbe alikuwa anaelekea kutekeleza plan ambayo MRF na wenzake walikuwa wameipanga kipindi kirefu nyuma
Plan ilivyokuwa imewekwa ni kwamba KK-MRF hakuwa anatakiwa aishi nyumbani kwa mhusika kwa sababu alikuwa ameletwa kwa ajili ya mission maalum ambayo asingeweza kuitekeleza vyema kama angeendelea kuishi nyumbani kwa mhusika

  • Kwa hiyo plan hasa ilikuwa ni kwamba KK-MRF alitakiwa afikie tu kwa mhusika apoze miguu halafu baadaye aanze kufanya vituko ambavyo vilijulikana kuwa ni obvious mhusika asingeweza kuvivumilia, ili baada ya hapo mhusika achukue mwenyewe hatua ya kumfukuza KK-MRF nyumbani kwake
  • Baada ya KK-MRF kuwa ametekeleza mpango wa kumfanyia vituko mhusika ili amfukuze, ndiyo sasa atahamia kwenye sehemu nyingine maalum iliyokuwa imepangwa ambayo ilikuwa ni ndani ya maeneo ya ofisi za taasisi anayofanyia kazi mhusika
Plan hiyo ilitekelezwa vizuri na kwa ustadi wa hali ya juu na kilichotokea baada ya hapo ni kwamba kweli mhusika alimfukuza KK-MRF

Baada ya mhusika kumfukuza KK-MRF, ndiyo sasa akahamia tena kwenye mji mwingine, sehemu nyingine iliyo ndani ya eneo la taasisi anayofanyia kazi mhusika

Mhusika pasipo kujua, alimpiga chura teke kumwongezea nwendo kwa sababu hadi muda huo, mhusika alikuwa hajui ni nini kililkuwa kinaendelea

KUHUSIANA NA NDUGU WAWILI WA MHUSIKA WALIOWAHI KUPOTEZA MASIHA MIAKA YA 2020 NA 2021

Watu hao wawili waliowahi kupoteza maisha kwenye miaka iliyofuatana ya 2020 na 2021, mhusika tayari alishaleta taarifa zao humu jukwaani kupitia uzi huu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

………………………itaendelea
 
MACHACHE SANA YA YALE ALIYOYAONA MHUSIKA KANISANI JUMAPILI YA TAREHE 25TH DECEMBER 2022

MAELEZO YA UTANGULIZI:

UTAFITI AMBAO MHUSIKA TAYARI AMEISHAUFANYIA KAZI NA HIVYO KUUHAKIKI PASIPO SHAKA KUHUSIANA NA TAA ZA NYUMA ZA GARI LAKE ALIZOWAHI KUBADILISHA BAADA YA KUWA AMETOBOA ZILE ZA MWANZO


Ikitokea mhusika akaendesha gari kwa kutumia REVERSE GEAR akiwa ameeneo ya Kanisani; lazima mambo mawili yatokee

  • Lazima ASIMAME MADHABAHUNI, mtu yule aliyewahi kusababisha mhusika akabadilisha TAA ZA NYUMA ZA GARI LAKE
  • LAZIMA AJALI MBAYA YA BARARABANI ITOKEE NCHINI
“Ikumbukwe kuwa siku kadhaa nyuma kabla ya J2 iliyopita, mhusika alilazimika kubadilisha baadhi ya vifaa vinavyohusiana na “gearing mechanisms” za gari lake, baada ya kutokea matatizo kwenye gari lake, na ambayo kwa mara ya nyingine tena, yalikuwa propagated na MR X kutoke kwenye parking za ofisini

  • Ilikuwa ni baada ya MR X kupaki karibu na gari la mhusika ofisini na baada ya hapo lilitokea tatizo ambalo kwa kuanzia, lenyewe halikuhusiana na “gearing mechanisms”.
  • Hata hivyo, baada ya siku chache mbele, lilikuja kutokea sasa tatizo jingine ambalo lenyewe lililohusiana na “gearing mechanisms”
UHUSIANO KATI YA TAA ZA NYUMA ZA GARI LA MHUSIKA NA VIFAA VYA GEARING MECHANISMS VILIVYOWEKWA HIVI KARIBUNI KWENYE GARI LAKE

The fact is; ukiweka REVERSE GEAR, lazima taa za BRAKE ziwake


Kuna kipindi mhusika alilazimika kubadilisha taa za nyuma za gari, baada ya kupata ajali akiwa ndani ya uzio wa Kanisa

  • Ajali hiyo ilitokea baada ya mhusika kugonga gari nyingine kwa nyuma, alipokuwa akimpisha kwa kurudi nyuma, mhubiri wa Jumapili ya Krismas iliyopita
  • Ilikuwa ni baada ya kukutana naye karibu na geti, mhubiri akiwa anaingia na mhusika naye akiwa anatoka nje
Utafiti wa kiroho ambao hadi muda huu mhusika ameshauhakikisha ni kwamba, ikitokea mhusika akaendesha gari kwa REVERSE GEAR akiwa maeneo ya kanisani, kitendo ambacho huwa kinapelekea taa za BRAKE kuwaka (zile alizowahi kuweka baada ya kupata ajali na kutoboa zile za mwanzo),

  • Kwenye J2 hiyo, mtu huyu aliyewahi kusababisha mhusika kutoboa taa za nyuma za gari lake, lazima AIDHA awe ndiye MHUBIRI AU atasimama juu MADHABAHUNI KUONGEA JUU YA JAMBO FULANI kama vile kutoa tangazo
  • Baada ya pale, lazima pia kuna AJALI MBAYA itatokea nchini,
Kuna watu watano walifariki kwa ajali mbaya sana usiku wa J2 kuamkia J3 huko Mikumi. Hapo awali, mhusika alishawahi kudokeza kuhusiana na jambo hili kwenye post hii hapa #1,112 alipokuwa bado anaendelea na utafiti wake

Mbali na post hiyo, posts nyingine alizowahi kuongelea kuhusiana na taa za nyuma za gari ni hizi hapa #625 , #922 , #925 , #930

KILICHOTOKEA J2 ILIYOPITA BAADA YA MHUSIKA KUWASILI KANISANI:

UBABAISHAJI ULIFANYWA NA SHEMASI ALIYEKUWA KWENYE PARKING; HUKU AKIWA ANATENGENEZA NAFASI YA MR X KUJA KUPAKI NYUMA YA GARI LA MHUSIKA


Katika hali ya kawaida, kwa yalke ambaye tayari yameshajiri kati ya mhusika na MR X kuhusiana na migogoro ya kwenye parking

MR X asingeweza tena kupata guts za kupaki nyuma ya gari la mhusika, angeweza kutafuta sehemu nyingine kwa sababu parking zilikuwa bado zipo

Uwezekano mwingine ulikuwa ni kwamba MR X angeweza hata kumpisha mtu mwingine akapaki jirani na mhusika, halafu gari lake ndiyo likafuata baada ya gari nyingine katikati yao yeye na mhusika

Mbali na hilo, mhusika hakumbuki ni limi mara ya mwishio aliwahi kufika kanisani wakati wa Ibada ya kwanza na kukuta tayyari ikiwa imeshaanza, na wakati huo huo MR X akwa bado hajafika Kanisani

Kwa kipindi cha hivi karibuni kuanzia mwaka huu, karibia mara zote MR X amekuwa akimtangulia mhusika kufika knaisanifika

Kwa hivyo chances ni kwamba kuchelewa kwa MR X J2 iliyopita kulikopelekea mhusika afike Kanisani kabla yake (MR X), kulikuwa na kitu nyuma yake, na ndiyo maana alikuwepo pale SHEMASI aliyekuwa amejiandaa kutengeneza mazingira ya wawili hawa kupaki gari zao zikiwa zimefuatana, ya mhusika ikiwa mbele

Kwa hiyo J2 iliyopita, gari la MR X lilipaki nyuma ya gari la mhusika huku likiwa limeziface taa za BRAKE za gari la mhusika

Mpango huu wa kupaki kati ya mhusika na MR X kwa namna hii, uliratibiwa na SHEMASI ALIYEKUWA KWENYE PARKING J2 hiyo

KILE KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUINGIZA GARI KWENYE UZIO WA KANISA

Baada ya mhusika kuingia ndani ya uzio wa Kanisa, ulitokea ubabaishaji kwenye parking ambao ulipelekea mhusika alazimike kuendesha gari kwa REVERSE GEAR, kabla hajaondoka kwenye parking kuelekea ndani Kanisani

  • Bila kuwepo kwa ubabaishaji huo, mhusika alikuwa tayari ameshaegesha pasipo kutumia REVERSE GEAR; alikuwa amepaki gari vizuri tu na kufuatana na maelekezo ya awali ya SHEMASI
  • Ubabaishaji uliotoke ni kwamba awali SHEMASI alimwelekeza mhusika kupaki katika namna ambayo baadaye tena alikuja kubadilika na kusema kuwa si vile ambavyo alikuwa amemwelekeza kupaki
  • Baada ya mhusika kuwa amepaki kufuatana na maelekezo ya awali, SHEMASI huyo huyo alibadilisha tena maelekezo na kumtaka mhusika arudi nyuma (KWA REVERSE GEAR) na kupaki sehemu nyingine tofauti na pale alipokuwa ameelekeza awali, shemasi akidai kuwa mhusika hakupaki kama alivyokuwa amemwelekeza
Ubabaishaji huu ulifanywa na shemasi ambaye kwa kipindi cha J2 tatu mfululizo, mara zote mhusika amekuwa akikumbana naye kwenye parking za gari, ukiondoa J2 moja nyingine ya nne (ya mwanzo wa mwezi huu), ambayo yenyewe mhusika alipaki nje ya uzio wa Kanisa

  • Still, hata kwenye J2 hiyo ya mwanzo wa mwezi huu, mhusika na SHEMASI huyu walionana na kusalimiana nje kabla mhusika hajaingia ndani ya Kanisa
  • Wakati huo, SHEMASI alikuwa anatoka nje ya Kanisa na mhusika naye alikuwa anaelekea kwenye mlango wa kuingia ndani, Ibada iikiwa bado inaendelea
Ubabaishaji huu wa kurudisha gari kwa REVERSE GEAR, ulifanyika mbele ya shemasi mwingine wa kike anayemiliki gari aina ya HARRIER na ambaye awali, shemasi huyu naye aliwahi pia kutajwa kwenye tukio lililowahi kutolewa maelezo kwenye post hii hapa #1,113; post ambayo ilikuwa ni mwendelezo wa post hii hapa #1,112 (post ambayo tayari imeshatajwa hapo juu)

……………………..inaendelea
 
KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUFIKA KWENYE SEHEMU ALIYOTAKIWA KUPAKI GARI

Pale alimuona pia Shemasi wa kike akiwa anapaki pembezoni kushoto, sehemu ambayo kulikuwa pia na nafasi ya kupaki gari nyingine moja tu nyuma yake

  • Shemasi huyu alikuwa amekanyaga brake na hivyo taa za brake zilikuwa zinawaka
  • Ikumbukwe kuwa kwenye tukio lile la awali lililotokea August 7 2022, shemasi huyu huyu ndiye aliyekuwa anaendesha gari lake akielekea kwenye parking kwa kusimama simama njiani, huku mhusika naye akiwa anamfuata kwa nyuma
  • Kwa hiyo alikuwa anaendesha gari kwa kumuwashia washia TAA ZA BRAKE mhusika ili azione
  • J2 iliyopita, mhusika aliziona tena TAA ZA BRAKE za gari la SHEMASI zikiwa zimewaka
  • Baada ya Shemasi wa kike kuwa amepaki vizuri, shemasi wa kiume alimwelekeza mhusika aaweke gari lake nyuma ya lile la shemasi wa kike
  • Mhusika alifanya hivyo na baada ya kutulia kidogo kwenye gari akiwa anajiandaa, shemasi wa kiume alimsogelea mhusika na kumweleza kuwa alikuwa amekiuka maelekezo
  • Shemasi wa kiume alimtaka mhusika arudi nyuma na apaki kwenye sehemu iliyokuwa ni kulia kwa pale alipokuwa amepaki mwanzo, yaani apaki kwenye mstari wa katikati badala ya ule wa kushoto
Baada ya kusikia hayo, mhusika aliwasha tena gari, akaweka REVERSE GEAR na hivyo kupelekea TAA ZA BRAKE kuwaka

  • Mhusika alihamisha gari lake na kuliweka usawa wa pale shemasi alipohitaji gari iwekwe
  • Baada ya hapo mhusika aliondoka kwenye parking na kwenda kuingia ndani Kanisani kwa sababu Ibada ilikuwa tayari imeshaanza takribani dakika 20 zilizokuwa zimepita
Wakati huo MR X alikuwa bado hajafika na mhusika aliondoka akiacha hakuna gari nyingine iliyokuwa imepaki nyuma ya gari lake

BAADA YA IBADA KUMALIZIKA NA MHUSIKA KUELEKEA KWENYE PARKING

Mhusika alikuta nyuma yake kuna gari la MR X, na baada ya gari hilo, kulikuwa na gari jingine moja nyuma lile la MR X,

  • Nyuma ya gari lililokuwa nyuma ya gari la MR X hapakuwa na gari nyingine na kulikuwa na bararabra murua kabisa ya kutoka kuelekea nje ya uzio wa Kanisa.
  • Still, ilikuwa ni nafasi ambayo magari kadhaa yangeweza kupaki pale lakini kwa bahati mbaya ilikuwa wazi.
  • Nafasi hii inadhihirisha wazi ukweli kuwa bado MR X alikuwa ana option ya kupaki sehemu nyingine, assuming angekuwa amependelea kufanya hivyo
Akiwa anatoka nje ya uzio wa Kanisa, mhusika aliweka tena REVERSE GEAR,na TAA ZA BRAKE ziliwaka, huku nyuma yake kukiwa na MR X ambaye naye alikuwa anatoka kwa kutumia REVERSE GEA

Muda wote wa kutoka nje ya uzio, taa za BRAKE za gari la mhusika zikiwa zinamumulika MRX

KUHUSIANA NA HUYU MTU ALIYEWAHI KUSABABISHA MHUSIKA AKATOBOA TAA ZA NYUMA ZA GARI LAKE


Mhusika anashangaa kidogo kuhusiana na mtu huyu kung’ang’ania kukaa Kanisani akifanya upumbavu, wakati ni msomi mzuri anayeweza kutumika vizuri tu kwenye profession yake. Badala ya kuendelea kufanya kazi ambayo ni non profession kwake na ambayo imemshinda na pia hataki hata kuisomea, kwa nini asiondoke Kanisani akafanye kazi zingine kwa sababu ni msomi aliyebobea?.

Obvious kuna tatizo kubwa sana ambalo litakuwa lipo kichwani kwa mtu huyu.

Hujuma za mtu kwa nchi husika kutokea Kanisani, zina impact kubwa mno kuzidi hujuma nyingine yoyote ile. Ni kwa sababu hata Dunia nzima huwa inaendeshwa kutokea kwenye ulimwengu wa roho na si vinginevyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…