MACHACHE SANA YA YALE ALIYOYAONA MHUSIKA KANISANI JUMAPILI YA TAREHE 25TH DECEMBER 2022
MAELEZO YA UTANGULIZI:
UTAFITI AMBAO MHUSIKA TAYARI AMEISHAUFANYIA KAZI NA HIVYO KUUHAKIKI PASIPO SHAKA KUHUSIANA NA TAA ZA NYUMA ZA GARI LAKE ALIZOWAHI KUBADILISHA BAADA YA KUWA AMETOBOA ZILE ZA MWANZO
Ikitokea mhusika akaendesha gari kwa kutumia
REVERSE GEAR akiwa ameeneo ya Kanisani; lazima mambo mawili yatokee
- Lazima ASIMAME MADHABAHUNI, mtu yule aliyewahi kusababisha mhusika akabadilisha TAA ZA NYUMA ZA GARI LAKE
- LAZIMA AJALI MBAYA YA BARARABANI ITOKEE NCHINI
“Ikumbukwe kuwa siku kadhaa nyuma kabla ya J2 iliyopita, mhusika alilazimika kubadilisha baadhi ya vifaa vinavyohusiana na
“gearing mechanisms” za gari lake, baada ya kutokea matatizo kwenye gari lake, na ambayo kwa mara ya nyingine tena, yalikuwa
propagated na MR X kutoke kwenye parking za ofisini
- Ilikuwa ni baada ya MR X kupaki karibu na gari la mhusika ofisini na baada ya hapo lilitokea tatizo ambalo kwa kuanzia, lenyewe halikuhusiana na “gearing mechanisms”.
- Hata hivyo, baada ya siku chache mbele, lilikuja kutokea sasa tatizo jingine ambalo lenyewe lililohusiana na “gearing mechanisms”
UHUSIANO KATI YA TAA ZA NYUMA ZA GARI LA MHUSIKA NA VIFAA VYA GEARING MECHANISMS VILIVYOWEKWA HIVI KARIBUNI KWENYE GARI LAKE
The fact is; ukiweka REVERSE GEAR, lazima taa za BRAKE ziwake
Kuna kipindi mhusika alilazimika kubadilisha taa za nyuma za gari,
baada ya kupata ajali akiwa ndani ya uzio wa Kanisa
- Ajali hiyo ilitokea baada ya mhusika kugonga gari nyingine kwa nyuma, alipokuwa akimpisha kwa kurudi nyuma, mhubiri wa Jumapili ya Krismas iliyopita
- Ilikuwa ni baada ya kukutana naye karibu na geti, mhubiri akiwa anaingia na mhusika naye akiwa anatoka nje
Utafiti wa kiroho ambao hadi muda huu mhusika ameshauhakikisha ni kwamba, ikitokea mhusika akaendesha gari
kwa REVERSE GEAR akiwa maeneo ya kanisani, kitendo ambacho huwa kinapelekea
taa za BRAKE kuwaka (zile alizowahi kuweka baada ya kupata ajali na kutoboa zile za mwanzo),
- Kwenye J2 hiyo, mtu huyu aliyewahi kusababisha mhusika kutoboa taa za nyuma za gari lake, lazima AIDHA awe ndiye MHUBIRI AU atasimama juu MADHABAHUNI KUONGEA JUU YA JAMBO FULANI kama vile kutoa tangazo
- Baada ya pale, lazima pia kuna AJALI MBAYA itatokea nchini,
Kuna watu watano walifariki kwa ajali mbaya sana usiku wa J2 kuamkia J3 huko Mikumi. Hapo awali, mhusika alishawahi kudokeza kuhusiana na jambo hili kwenye post hii hapa
#1,112 alipokuwa bado anaendelea na utafiti wake
Mbali na post hiyo, posts nyingine alizowahi kuongelea kuhusiana na taa za nyuma za gari ni hizi hapa
#625 ,
#922 ,
#925 ,
#930
KILICHOTOKEA J2 ILIYOPITA BAADA YA MHUSIKA KUWASILI KANISANI:
UBABAISHAJI ULIFANYWA NA SHEMASI ALIYEKUWA KWENYE PARKING; HUKU AKIWA ANATENGENEZA NAFASI YA MR X KUJA KUPAKI NYUMA YA GARI LA MHUSIKA
Katika hali ya kawaida, kwa yalke ambaye tayari yameshajiri kati ya mhusika na MR X kuhusiana na migogoro ya kwenye parking
MR X asingeweza tena kupata
guts za kupaki nyuma ya gari la mhusika, angeweza kutafuta sehemu nyingine kwa sababu parking zilikuwa bado zipo
Uwezekano mwingine ulikuwa ni kwamba MR X angeweza hata kumpisha mtu mwingine akapaki jirani na mhusika, halafu gari lake ndiyo likafuata baada ya gari nyingine katikati yao yeye na mhusika
Mbali na hilo, mhusika hakumbuki ni limi mara ya mwishio aliwahi kufika kanisani wakati wa Ibada ya kwanza na kukuta tayyari ikiwa imeshaanza, na wakati huo huo MR X akwa bado hajafika Kanisani
Kwa kipindi cha hivi karibuni kuanzia mwaka huu, karibia mara zote MR X amekuwa akimtangulia mhusika kufika knaisanifika
Kwa hivyo chances ni kwamba kuchelewa kwa MR X J2 iliyopita kulikopelekea mhusika afike Kanisani kabla yake (MR X), kulikuwa na kitu nyuma yake, na ndiyo maana alikuwepo pale SHEMASI aliyekuwa amejiandaa kutengeneza mazingira ya wawili hawa kupaki gari zao zikiwa zimefuatana, ya mhusika ikiwa mbele
Kwa hiyo J2 iliyopita,
gari la MR X lilipaki nyuma ya gari la mhusika huku likiwa limeziface taa za BRAKE za gari la mhusika
Mpango huu wa kupaki kati ya mhusika na MR X kwa namna hii, uliratibiwa na SHEMASI ALIYEKUWA KWENYE PARKING J2 hiyo
KILE KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUINGIZA GARI KWENYE UZIO WA KANISA
Baada ya mhusika kuingia ndani ya uzio wa Kanisa,
ulitokea ubabaishaji kwenye parking ambao ulipelekea mhusika alazimike kuendesha gari kwa REVERSE GEAR, kabla hajaondoka kwenye parking kuelekea ndani Kanisani
- Bila kuwepo kwa ubabaishaji huo, mhusika alikuwa tayari ameshaegesha pasipo kutumia REVERSE GEAR; alikuwa amepaki gari vizuri tu na kufuatana na maelekezo ya awali ya SHEMASI
- Ubabaishaji uliotoke ni kwamba awali SHEMASI alimwelekeza mhusika kupaki katika namna ambayo baadaye tena alikuja kubadilika na kusema kuwa si vile ambavyo alikuwa amemwelekeza kupaki
- Baada ya mhusika kuwa amepaki kufuatana na maelekezo ya awali, SHEMASI huyo huyo alibadilisha tena maelekezo na kumtaka mhusika arudi nyuma (KWA REVERSE GEAR) na kupaki sehemu nyingine tofauti na pale alipokuwa ameelekeza awali, shemasi akidai kuwa mhusika hakupaki kama alivyokuwa amemwelekeza
Ubabaishaji huu ulifanywa na shemasi ambaye kwa kipindi cha J2 tatu mfululizo, mara zote mhusika amekuwa akikumbana naye kwenye parking za gari, ukiondoa J2 moja nyingine ya nne (ya mwanzo wa mwezi huu), ambayo yenyewe mhusika alipaki nje ya uzio wa Kanisa
- Still, hata kwenye J2 hiyo ya mwanzo wa mwezi huu, mhusika na SHEMASI huyu walionana na kusalimiana nje kabla mhusika hajaingia ndani ya Kanisa
- Wakati huo, SHEMASI alikuwa anatoka nje ya Kanisa na mhusika naye alikuwa anaelekea kwenye mlango wa kuingia ndani, Ibada iikiwa bado inaendelea
Ubabaishaji huu wa kurudisha gari kwa REVERSE GEAR, ulifanyika mbele ya shemasi mwingine wa kike anayemiliki gari aina ya HARRIER na ambaye awali, shemasi huyu naye aliwahi pia kutajwa kwenye tukio lililowahi kutolewa maelezo kwenye post hii hapa
#1,113; post ambayo ilikuwa ni mwendelezo wa post hii hapa
#1,112 (post ambayo tayari imeshatajwa hapo juu)
……………………..inaendelea