#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

BREAKING NEWS!!!

KWA WAUMINI WA KANISA A WALIOKUWEPO KWENYE IBADA YA J2 YA LEO

CLIP YA USHUHUDA WA KWANZA KABISA ILIYOKUWA IKIWAHUSU MUME NA MKE, HAIPO KWENYE VIDEO AMBAYO ILIKUWA LIVE KWENYE MTANDAO WAKATI WA IBADA YA LEO


Hii ni clip iliyokuwa inamwongelea mwanaume mzinzi aliyekuwa akizini na Secretary wake Kazini, kiasi cha mwanaume huyo kuamua kumtaliki mkewe. Mshuhudiaji hakumtaja mwanaume kama mzinzi, isipokuwa alanza kwa kusema kuwa walikubaliana kutalikiana na mkewe na mwanamke alikubali kwa masharti kuwa kila siku asubuhi mwanaume atakuwa anambeba mke na kumpeleka kwenye gari wakati wa kwenda kazini. Mwanaume alikubali kufanya hivyo na baada ya siku 30 mwanaume alimkuta mke akiwa chumbani amelala na amekufa; huku siku hiyo kazini ikiwa ndiyo aliyoachana na Secretary wake

Clip hii haipo tena kwenye mtandao; na ndiyo ile iliyokuwa imebeba ushuhuda wa kwanza kabisa kwenye Ibada ya J2 ya leo

Maelezo ya kina yatafuata kesho

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

………………………….itaendelea
 
UPDATE: MONDAY 06TH MARCH 2023

BAADA YA MHUSIKA KUSHINDWA KUAMINI KUWA CLIP ILIYOONGELEA MFANO WA MUME NA MKE WALIOAMUA KUTALIKIANA; WAKATI WA IBADA KUU YA J2 YA TAREHE 05/03/2023 HAIPO KWENYE MTANDAO:

LEO TENA MHUSIKA AMEAMUA KUISIKILIZA VIDEO ILIYOKO KWENYE MTANDAO, NA CLIP HIYO BADO HAIPO KWENYE MTANDAO, IMEONDOLEWA


Baada ya mhusika kuihakiki clip hiyo na kujiridhisha kuwa haipo, maelezo ya kina kidogo kuhusiana na kilichosemwa wakati wa Ibada kwenye clip hiyo yanafuata muda siyo mrefu

……………………….inaendelea
 
……………………..maelezo ya clip ilyoondolewa mtandaoni

MAELEZO YA USHUHUDA WA MUME NA MKE WALIOAMUA KUTALIKIANA; KAMA ULIVYOWASILISHWA KWENYE IBADA KUU YA SIKUKUU YA WANAWAKE J2 YA TAREHE 05/03/2023


Ikumbukwe kuwa ushuhuda huu kwa sasa haupo tena kwenye mtandao; umeshafutwa

Ushuhuda huu ulikuwa ni wa mfano (hypothetical) na ulibeba maudhui kama ilivyo hapa chini; kwamba

  • Mahali fulani kuliishi watu wawili waliokuwa kwenye ndoa, na ilifikia muda mume akaamua kumtaliki mke wake
  • Katika kufikia muafka huo, mke alimpa masharti mume kwamba ili waweze kutalikiana, inabidi kwanza mume afanye kazi ya kuwa anambeba mke na kumpeleka kwenye gari, kila siku asubuhi wakati mke anataka kutoka nyumbani kuelekea kazini kwa muda wa siku 30 mfululizo, na mume alikubali sharti hilo
  • Baada ya hapo, mume alianza kufanya kazi hiyo ya kuwa anambeba mke wake kama walivyokuwa wamekubaliana
  • Ilipofika siku ya mwisho yaani siku ya 30, mtoto wao mmoja aliwaona wakiwa wamebabana, na alifurahia akashangilia akisema “leo baba ameamua kumbeba mama”
Baada ya baba kuhuhudia shangwe hiyo kutoka kwa mtoto, baba alipata tafakuri kichwani iliyopelekea aone kuwa uamuzi wake aliokuwa amechukua wa kumtaliki mke wake haukuwa sahihi

BAADA YA BABA KUGUNDUA KUWA UAMUZI WA KUMTALIKI MKE WAKE HAUKUWA SAHIHI; KWENYE SIKU YA MWISHO YA KUMBEBA MKE WAKE (SIKU YA 30)

Baada ya mume kufika kazini siku hiyo, alienda akavunja mahusiano yake ya kimapenzi na Sekretari wake kazini; kwa maana hiyo kumbe mume huyo alikuwa ni MZINZI, japo mshuhudiaji hakuwa amemtaja kama MZINZI.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa mwanzoni mwa hadithi yake, mshuhudiaji hakuwa amemtaja Sekretari wa ofisini kama chanzo cha ndoa ya wanandoa hao kuvunjika; bali alianza tu kwa kusema kuwa mme aliamua kumtaliki mke wake, bila kutaja sababu ya kwa nini mume aliamua kuchukua hatua hiyo)

………………………inaendelea
 
BAADA YA MUME KURUDI NYUMBANI BAADA YA KUTOKA OFISINI HUKU AKIWA AMEVUNJA MAHUSIANO YAKE YA UZINZI NA SEKRETARI WA OFISINI

Alirudi nyumbani siku hiyo lakini hakumkuta mke wake

Alimtafuta kila mahali ndani ya nyumba kwenye sehemu zote ambazo huwa ana kawaida ya kuwepo lakini hakumpata

Baadaye aliamua kuingia ndani kwenye chumba cha kulala na huko alimkuta akiwa amelala kwenye kitanda

Baada ya kumwangalia vizuri aligundua kuwa alikuwa tayari ameshaaga dunia

Mfano huu ulibeba viwalkilishi kadhaa baadhi yake tu ni kama vifuatavyo
  • Wanaume (wakiwakilishwa na mume aliyeamua kutoa talaka)
  • Wanawake wote (wakiwakilishwa na mke aliyekubali kutalikiwa)
  • Watalaka wote (wakiwakilishwa na mme huyu na mke wake)
  • Wanadoa wote (wakiwakilishwa na mume na mke hawa)
  • Wazinzi wote (wakiwakilishwa na Boss mume na Sekrtari wake)
  • Watoto wote (wakiwakilishwa na mtoto aliyeshangilia baada ya kuwaona baba na mama wakiwa wamebebana)
  • Baba wazazi wote
  • Mama wazazi wote
  • Wafanyakazi wote (mume, mke Sekretari)
  • Makazi ya watu wote (yakiwakilishwa na nyumba waliyokuwa wanaishi wanafamilia hawa)
  • Maofisi yote (yakiwakilishwa sehemu walizokuwa wanafanyia kazi mume na mke hawa)
  • Mazingira ya ndani ya nyumbani (sehemu ambazo mume alimtafuta mke na kumkosa kama vile sebuleni, jikoni, n.k)
  • Professionals wote (wakiwakilshwa na Sekretari, mume na mke)
  • Professions zote (zikiwakilishwa na Usekretari)
  • Wafanyakazi wote
  • Vyumba vya kulala (alimokuwa amelelala mke)
  • Vitanda vyote vya kulalia
  • Magodoro yote;
  • Wafu/ marehemu wote (mke aliyefariki)
Mfano huu ulikuwa unahusiana na UZINZI, na kule mwisho mshuhudiaji ametoa shuhuda zingine tena za UZINZI safari hii ukiwa unaowahusishai watoto wadogo

Mambo ya kuongelea kwenye Ibada hiyo ni mengi ila kwa sasa haya yanatosha

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
UPNEXT:
YALE YALIYOJIRI BAADA YA MHUSIKA KUTOKA NJE YA NYUMBA YA IBADA; KIPINDI SHUHUDA ZAIIDI ZA UZINZI KWA AWAMU NYINGINE ZILZOHUSIANA NA UZINZI WA WATOTO ZILPOKUWA ZINAENDELEA

MAELEZO KUHIUSIANA NA ASKARI MZEE WA HAPO KANISA A;
 
MAELEZO KUHUSIANA NA ASKARI MZEE (tumwite ASMZ) WA HAPO KANISA A

Kwenye tukio la Kanisani mwezi Oktoba mwaka jana (J2 ile ya ajali ya ndege), mhusika aliwahi kudokeza kuwa mmojawapo wa watu ambao wamekuwa wakimvizia kwa ajili ya maongezi ambayo yamekuwa yakiashiria kama ni ya faragha kati yake mhusika na wao; pindi mhusika anapokuwa aidha anaingia au anatoka nje ya uzio wa Kanisa; na anapokuwa yupo kwenye maeneo ya getini, ni huyu ASMZ

  • Baada ya mhusika kuwa amezitoa taarifa hizi kipindi hicho, ASMZ hakuishia pale bali alijiongeza tena kidogo kwa angalau mara moja zaidi; kwenye J2 nyingine ya mwezi uliofuata
  • Kwenye mwezi uliofuata (Desemba 2022), ASMZ alimvizia tena mhusika na kuongea naye; safari hii ikiwa ni mara baada tu ya mhusika kuwa ametoka nje ya uzio wa Kanisa
  • Siku hiyo, mhusika akiwa yupo kwenye harakati za kunyoosha gari barabarani ili aondoke Kanisani; mara baada ya Ibada ya pili kuwa imemalizika, ASMZ naye alikuwepo pale nje ya geti karibu na uzio wa Kanisa, akijaribu kuongoza magari yaliyokuwa yanatoka; na hapo ndipo ASMZ alipopata tena fursa nyingine ya kuongea na mhusika ikiwa ni pamoja na kusalimiana naye
Baada ya siku hiyo, ASMZ na mhusika hawakubahatika kuonana tena mazingira ya Kanisani hadi ilipofika J2 ya wiki jana tarehe 05/03/2023.

Kwa hiyo kabla ya J2 iliyopita, mara ya mwisho mhusika na ASMZ walionana ilikuwa ni mwaka jana 2022

MAZINGIRA YALIYOPLEKEA ASMZ NA MHUSIKA KUONANA KWA KARIBU J2 YA TAREHE 05/03/2023

Kwenye J2 hii tajwa, mhusika na ASMZ walionana mara mbili
; mara ya kwanza ikiwa ni asubuhi kabla ya mhusika kuingia kwenye Ibada, na mara ya pili ni baada ya mhusika kutoka nje ya Ibada baada ya shuhuda zilizohusiana na UZINZI kuwa zimekuwa dominant kwenye madhabahu ya Kanisa A

  • Wakati anaingia, mhusika alimkuta ASMZ usawa wa maeneo ya parking zilizo ndani ya uzio wa Kanisa na karibu kabisa na mahali mhusika alipobahatika kupata nafasi ya kupaki gari lake; jirani kiasi na ghorofa jingine lile la Makao Makuu.
  • Mahali pale ni sehemu iliyo ndani ya uzio wa Kanisa, umbali wa kutosha kutoka usawa wa geti la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa A
  • ASMZ alikuwa maeneo yale akiongea na mtu mwingine ambaye naye alionekana ndiyo alikuwa anaingia kwenye Ibada muda huo, japo maongezi yao yalichukua muda kidogo kwa sababu Ibada ilikuwa tayari imeshaanza
Mhusika alifika kwenye parking mahali pale na kuwakuta ASMZ wakiongea na mwenzke, na hatimaye alipaki gari lake na kutoka, akawasalimia huku akiwapungia kwa sababu walikuwa umbali kiasi, na baada ya hapo alianza kuelekea kwenye Ibada; huku akiwaacha wakiwa bado wako pale wanaendelea na maongezi yao

Ilionyesha kama muumini aliyekuwa anaongea na ASMZ, alikuwa ameamua kufanya hivyo ili kum-“keep company” ASMZ kwa muda fulani waliokuwa wameutarajia; au pengine ni stori tu zilikuwa zimenoga

  • Baada ya salaam hizo, mhusika alinyoosha moja kwa moja hadi kwenye mlango wa nyuma wa kuingilia kwenye nyumba ya Ibada
  • Baada ya kuingia ndani ya nyumba Ibada; mhusika alielekezwa na mmojawapo wa mashemasi wa kike, kwenye kiti kilichokuwa karibu pale ila baada ya kukisogelea aligundua kuwa kiti hicho kilikuwa tayari kina mtu
  • Kabla mhusika hajaamua kuelekea sehemu nyingine; shemasi mwingine tena wa kike alimfuata mhusika na kumwelekeza kwenda kukaa kwenye kiti kingine kwenye safu ya viti vilivyokuwa mbele, na jirani kabisa na safu ya viti vile ambavyo huwa wanakaa viongozi
Mhusika alienda akapata nafasi kwenye kiti hicho na hivyo kukaa pale kulingana na maelekezo ya shemasi wa pili

MAFUNDISHO YA IBADA KUU YAKIWA YANAENDELEA: BAADA YA SHUHUDA ZA UZINZI KUANZA TENA, MHUSIKA ALIAMUA KUSITISHA IBADA NA HIVYO KUTOKA NJE YA NYUMBA YA IBADA

Ibada kuu ikiwa inaendelea huku shuhuda za UZINZI zikiwa zinaonyesha dalili zote za kutamalaki, ndiyo pale mhusika alipoamua kutoka nje ya Ibada, akiwa na lengo la kwenda kuwasha gari lake na kuondoka arudi nyumbani. Hata hivyo baada ya kufika kwenye sehemu alipokuwa amepaki, aligundua kuwa kuna gari zingine mbili zillizokuwa zimefanikiwa kupaki pale baada ya yeye na ambazo zilikuwa zimemziba kiasi na hivyo ilikuwa haiwezekani tena kutoka. Pale pale mhusika alighairi kuondoka Kanisani

Muda huo huo, baada ya mhusika kuwa ametupa jicho kwenye eneo lile ambalo huwa wanakaa askari karibu na gate; aliona kundi la watu wakiwa wako pale; mmoja wao akiwa ni ASMZ. Mhusika aliamua kuelekea pale na hivyo kuanza kubadilishana mawili matatu na watu hao baada ya kufika pale

…………………….inaencdelea
 
BAADA YA KUWA ZIMEPITA KAMA DAKIKA TAKRIBAN 3-5 MHUSIKA AKIWA YUKO PALE; MAONGEZI YAKIWA YANAENDELEA

Ghafla tu maongezi hayo yalibadilika na hapo mhusika alisimsikia mtu mmoja pale akimwambia ASMZ kuwa “mchukue huyu hapa wakaonngee naye kilugha”; huku hiyo “huyu hapa” ikimaanisha mhusika mwenyewe

  • Mhusika hata hakumbuki kusikia chanzo cha maongezi yaliyopelekea statement kama hiyo kutolewa
  • Hapo sasa ni mtu alikuwa anamshauri ASMZ kwamba ASMZ amchuke mhusika ili mhusika aende akaongee na mtu mwingine kwa kilugha
Mpaka hapo mhusika alikuwa hajaelewa ni vipi maongezi waliyokuwa wanaongea yalifika hapo

Huku mhusika akiwa hata hajajua ni mtu gani aliyekuwa anaongelewa, hapo hapo mhusika alimgeukia ASMZ na kumuuliza kuwa “kwani mtu huyo anaweza kuongea kilugha tu Kiswahi hapana”?

  • ASMZ alijibu kuwa mtu huyo anaweza kuongea Kiswahili
  • Baada ya jibu hilo, maongezi yao yaliishia hapo, ASMZ akaondoka na baada ya muda, mhusika naye aliondoka na kurudi tena Ibadani, safari hii akienda kukaa kwenye sehemu ambayo siku kadhaa zilizopita ilitangazwa kuwa ni UKUMBI WA SULEMANI
Mhusika aliendelea kuwepo Kanisani hadi Ibada ilipofungwa na hatimaye kuwasha gari lake na kurudi nyumbani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 07TH MARCH 2023

HITIMISHO KUHUSIANA NA YALE YALIYOKUWA YAKIENDELEA KANISANI J2 ILIYOPITA


Kuna uwezekano kuwa maudhui iliyotolewa wakati wa Ibada Kuuu, ilikuwa imepangwa hivyo makusudi ili kum-scare mhusika achomoke kwenye Ibada

Baada ya mhusika kuwa ame-respond kama ilivyokuwa imetarajiwa, ndiyo kukaanza utekelezaji wa plan nyingine sasa iliyotakiwa kufauata immediately na ambayo kwa bahati mbaya haikuweza kufanikiwa.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa

  • Kama isingekuwa hivyo, basi mojawapo ya ile clips muhimu za mifano iliyotumika wakati wa mafundisho ya Ibada kuu isingenyofolewa
  • Askari Mzee (ASMZ) asingekuwa na pilika pilika alizozionyesha kwa mhusika; kuanzia ile asubuhi mhusika alipokiwa anaingia ndani ya uzio wa Kanisa hadi pale alipotoka nje ya Ibada na hatimaye kumkuta ASMZ akiwa yupo usawa wa getini akiongea na baadhi ya waumini waliokuwa maeneo yale; ukizingatia kuwa hata siku ya mwisho ya ASMZ kuonekana mazingira ya kanisani ambayo ilikuwa ni mwaka jana; alionekana pia akiwa anaongea kitu na mhusika
MUDA HUO HUO WAKATI HAYA YALIPOKUWA YANAENDELEA HUKO KANISANI J2 HIYO; HUKO OFISINI KWA MHUSIKA NAKO:

VIFAA VILIVYOKUWA VIMETOWEKA GHAFLA OFISINI KWAKE NA AMBAVYO VILICHUKLIWA KATIKA MUDA AMBAO SI WA MASAA YA KIOFISI, VILIKUWA VIMEREJESHWA NA ALIVIKUTA OFISINI J3 ASUBUHI; HUKU VIKIWA VIMEAMBATANISHWA NA KIFAA KINGINE CHA NYONGEZA AMBACHO KATIKA HALI YA KAWAIDA HUWA HAKIWEZI KUKAA PEKE; MARA ZOTE HUWA NI LAZIMA KIAMBATANE NA MWENZAKE


Vifaa vilivyokuwa vimetoweka ghafla, vilikuwa vimesharejeshwa tena ofisini kwa mhusika huku vikiwa vimeambatanishwa na chuma ambacho kiliwahi kuazimwa na Mnunuzi wa Gari (MWG); chuma ambacho mara zote huwa kinambatana na nyundo kwa maana kuwa at any time t; chuma na nyundo huwa vinatakiwa kuwa mahali pamoja kwa sababu nyundo huwa haiwezi kutumika tena bila uwepo wa chuma hicho
  • Mhusika aliondoka ofisini Ijumaa jioni, vifaa hivyo vikiwa havijarudishwa na ilipofika J3 asubuhi, mhusika alivikuta vifaa hivyo vikiwa vimerejeshwa tena ofisini
  • Safari hii, vilikuwa vimeambatanishwa na chuma kidogo kinene cha umbo la mraba ambacho huwa kinawekwa chini kwenye ardhi na hatimaye kupigwa kwa nyudo kubwa yenye uzito wa kilo zinazokariba 10, lengo likiwa ni ku-simulate mitikisiko midogo au matetemeko madogo ya juu ya ardhi
Mara zote chuma hiki huwa kinaambatana na nyundo ile ambayo huwa inatumika kukipiga ili kiweze kusababisha mitikikisiko ya kwenye ardhi
  • Nyundo hiyo ndiyo ile iliyowahi kuazimwa na MWG na siku anaiazima, ndiyo siku aliyokichukua pia chuma hicho
  • Kwa hiyo chuma peke yake bila nyundo kilibadilisha LOCATION kabla ya J2 iliyopita
  • Kabla ya J2, vyote chuma na nyumdo vilikuwa kwenye LOCATION moja
Vifaa hivi vilirudishwa kati ya Ijumaa usiku na Jumamosi; na hvyo J2 vilikuwa tayari vipo ofisini kwa mhusika, huku chuma ambacho mara zote huwa kinaambatana na nyundo hiyo kikiwa kimebadilisha LOCATION; na nyundo ambayo mara zote huwa inaambatana na chuma hicho nayo ikiwa mebaki kwenye LOCATION nyingine

Baada ya vifaa hivyo kuwa vimechukuliwa ofisini na katika muda ambao si wa kiofisi; usiku wa J3 kuamkia J4 ya tarehe 14/02/2023, hapa katikati kuna tetesi ziliibuka kuwa MR X ndiyo alihusika na kuondoka kwa vifaa hivyo; lakini mhusika hakuzitilia nmaanani tetesi hizo kwa sababu MR X yeye huwa anahusika ku-authorise tu vifaa kutoka nje na hivyo si rahisi aka-authorise vifaa kutoka nje ya ofisi katika muda ambao umejificha

Kuna watu waliohusika kuchukua vifaa hivyo kinyemela ofisini na katika hili hawatakiwi kumsingizia MR X

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 9TH MARCH 2023

KUHUSIANA NA PAMBO LA KIBUYU KIDOGO CHENYE UMBO LA NANE AMBACHO KIMEVALISHWA SAHANGA; OFISINI KWA MKUU WA MAJOR UNIT (MMU)


Kuweka rekodi sawa, kibuyu hiki kipo ofisini kwa MMU tangu mwishoni mwa mwaka 2017 takribani miaka sita sasa, na takribani miaka mitatu tangu MMU abadilike kutoka kuwa Mkuu wa Idara na kuwa MMU

BAADHI YA MATUKIO MUHIMU YANAYOAMBATANA NA OFISI YENYE PAMBO LA KIBUYU HIKI

Kawaida MMU alitakiwa kuwa awe ameshahamishia kazi zake za kiutawala kwenye ofisi nyingine ya kiutawala na ambayo ni kubwa zaidi (more spacious) kuliko ofisi binafsi aliyonayo sasa; kama ilivyo kawaida kwa MAJOR UNITS zingine zilizo ndani ya Taasisi. Kawaida kutokana na hadhi ikiwa ni pamoja na ukubwa wake, MAJOR UNITS zote huwa zina ofisi ambazo kwa muonekanao tu, huwa zinajitambulisha zenyewe kuwa ofisi hizo ni za MAJOR UNITS na siyo Idara

Kwa bahati mbaya kwa MMU bado haijawa hivyo hadi muda huu; tangu achukue mamlaka hayo mwezi Julai 2020

NAMNA AMBAVYO MMU AMEKUWA AKITEKELEZA MAJUKUMU YAKE YA KIUTAWALA KUPITIA OFISI NDOGO YA BINAFSI ALIYONAYO

Ni kwamba kuna watu wamekuwa wakichukua mafaili kutoka ofisi moja yalikohifadhiwa na kumpelekea mafaili hayo ofisini kwake, na hatimaye watu hao kuyachukua tena mafaili hayo na kuyarudisha kule walikokuwa wameyatoa

  • Kwa safari zilizo nyingi, kuna binti ambaye amekuwa akifanya kazi hiyo ya kupeleka mafaili ofisini kwa MMU na hatimaye tena kuyarudisha kule alikoyatoa
  • Binti huyu ni yule ambaye aliwahi kwa mara ya kwanza, kuingia chumba jirani na ofisi ya mhusika Novemba mwaka jana huku akiwa amepakata faili kifuani na ambaye taarifa zake ziko kwenye sehemu ya maelezo yaliyoko kwenye post hii hapa #1,220.
Mhusika hana uhakika kama binti huyu ni mwajiriwa au ni mmojawapo wa interns tu ambao huwa wanakuwepo mazingira ya ofisini

COINCIDENCE YA MATUKIO KATI YA OFISI YA MMU NA CHUMBA KILICHO JIRANI NA OFISI YA MHUSIKA; CHENYE DARUBINI (MICROSCOPES)

MAELEZO YA UTANGULIZI


Mnamo Oktoba/ Novemba 2017, MMU akiwa bado ni Mkuu wa Idara; aliwahi siku moja asubuhi kutoa taarifa za mdomoni tu kuwa Mkuu wa Taasisi (wa kipindi hicho, ambaye alistaafu Desemba 2007), atakuwa anapita kwenye maabara siku hiyo

  • Hapakuwa na waraka wowote uliotolewa kuhusiana na ugeni huo
  • Vile vile, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kusikia kitu hiki tangu aajiriwe kwenye taasisi kwa sababu hapo kabla, hakuwahi hata mara moja kuona Mkuu wa Taasisi (tumiwte MKUU) akiwa anapita kwenye maabara.
  • Mbali na hilo, hadi kufikia wakati huo, MKUU huyu alikuwa tayari ameshakaa madarakani miaka 10 na kipindi hicho alipoamua kupita kwenye maabara, ulikuwa ni mwaka wake wa 11
  • Katika miaka yake yote 10 ile ya mwanzo MKUU huyu hakuwa amewahi kupita kwenye maabara
Kwa hiyo, baada ya MMU (au MKUU wa Idara kwa kipindi hicho) kutoa taarifa idarani kwake kuwa MKUU atakuwa anapita kwenye maabara siku hiyo; maandalizi yalifanyika na muda ulipofka, kweli MKUU huyo alipita siku hiyo.

MKUU hakuingia ndani ya chumba cha darubini kilicho jirani na ofisi ya mhusika bali alichungulia tu kwa kupitia madirisha yenye vioo

Baada ya ugeni huo kupita, hapakuwa pamewahi kutokea tena kiongozi wa juu aliyeweza kupata nafasi ya kupita kwenye maabara, hadi ilipofikia tena mwaka 2021 mwishoni au 2022 mwanzoni. Kwenye awamu hii ya pili Afisa Tawala aliyekuwepo wakati huo (alistaafu Desemba 2022) naye pia kwa mara ya kwanza aliamua kupita kwenye maabara.

  • Huyu naye vile vile, taarifa za ujio wake zilitolewa kwa mdomo tu, hapakuwa na waraka wowote ulliokuwa umetolewa juu ya ugeni huo
  • Mbali na hilo, huyu naye vile vile, alifika na kuchungulia tu kwa kupitia madirisha yenye vioo; kwenye kile chumba cha darubini kilicho jirani na ofisi ya mhusika, kama alivyofanya yule wa mwanzo, hakuingia humo
GENI (VISTS) NYINGINE ZA HIVI KARIBUNI SANA KWENYE CHUMBA HICHO HICHO CHA DARUBINI, ZINAZOSHAHIBIANA NA HIZI ZILIZOELEZWA HAPO JUU:

UGENI WA AFISA TAWALA MSTAAFU


Miezi kadhaa iliyopita mwishoni mwa mwaka jana (kabla ya Novemba 2022), Afisa Tawala mstaafu (alistaafu Desemba 2014) naye pia alipita na kuchungulia kwenye chumba hicho, baada ya kufika ofisini kwa mhusika akiwa anaulizia ofisni kwa Senior Mstaafu wa Kike (SMK)

SMK alikuwepo ofisini siku hiyo na Afisa mstaafu huyu anapajua ofisini kwa SMK kwa sababu siku hiyo ilikuwa ni mara ya pili sasa kwa mhusika, kumpokea ofisa huyu akiwa anaelekea ofisini kwa SMK, na katika kipindi ambacho hakizidi miaka miwili au mitatu. Kwa hiyo siyo rahisi sana kwamba ofisa huyu alikuwa tayari ameshapasahu ofisini kwa SMK kiasi kwamba alihitaji aanzie ofisini kwa mhusika kwanza kwa maelekezo zaidi

BAADA YA TUKIO LA BINTI MKUU WA IDARA (BMW) MWEZI NOVEMBA WAKA JANA: UGENI WA AFISA UTAFITII MSTAAFU AKIWA NA MMU

Ilikuwa siku moja kwenye masaa ya baada ya saa 10 jioni, ofisa mstaafu mwingine ambaye aliwahi kuwa ni Afisa Utatifiti (alistaafu Desemba 2018), naye pia alifika na kuchungulia kwenye chumba hicho cha darubini

  • Huyu yeye aliambatana na mtu mmoja mgeni, pamoja na Mkuu wa Major Unit (MMU) mwenyewe kama mwenyeji wao
  • MMU ndiye aliyekuwa anawapitisha wageni hao wawili kwenye maabara siku hiyo
Katika utafiti wake mpaka muda huu, mhusika ameshajiridhisha kuwa wafuatao wamekuwa wakifika/ waliwahi kufika kwa lengo hilo la kuchungulia kwenye chumba hicho cha darubini

  • BIBI MUUZA VITABU
  • Mstaafu yule ambaye amekuwa akipita mara kwa mara kumsalimia mhusika ofisini huku akisema; “nimepita tu kukusalimia”
  • Binti aliyeongelewa kwenye post hii #1,220 isipokuwa tofauti pekee ni kwamba yeye hakuchungulia ila aliingia humo ikiwa ni mara yake ya kwanza kuingia kwenye chumba hicho
  • Mkuu wa Idara aliyewahi kutawala miaka ya 2006-2012. Huyu aliwahi kufika mara moja na kuchungulia kwenye chumba hicho, huku akimtafuta mtu ambaye kwa kipindi hicho, alikuwa hajawahi kuonekana akiwa kwenye chumba hicho
MMU

Mbali na haya yote, wiki iliyopita, MMU mwenyewe kwa mara nyingine tena alitengeneza mazingira yaliyosababisha achungulie tena kwenye chumba hicho.

Tangu achungulie humo kipindi alipokuwa ana wageni wale wawili mwishoni mwa mwaka jana, alikuwa hajawahi kuonekana tena akichungulia humo, na wala hana kawaida ya kusogea maeneo yale kwa sababu ofisi yake iko mbali kidogo na chumba hicho

KITU PEKEE KUUHUSIANA NA WATOTO WA KAMPUNI ZA USAFI

Kitu kingine cha pekee kuhusiana na chumba cha darubini ni kwamba karibia mara zote, chumba hicho kimekuwa kikifanyiwa usafi na watoto hao kila wanapkuwa wametoka kufanya usafi kwenye ofisi ya MMU, kiasi kwamba siku watoto wakionekana wanafanya usafi ofisini kwa MMU, baada ya hapo ni lazima wakafanye usafi kwenye chumba cha darubini

HITIMISHO

Mbali na yale yaliyoelezwa hapo juu, swala la MMU kutokuwa na ofisi inayohusika na mambo ya kiutawala, kumepelekea frequency kubwa ya watu kuingia na kutoka ofisini humo pindi wanapokuwa wamepeleka mafaili, pasipo ulazima wowote;

Mbali na hilo, ugeni wa kwanza kabisa wa kwenye maabara ulifanyika baada ya kibuyu hicho kilichovalishwa shanga kuwepo ofisini kwa MMU

Kutokana na hali hiyo, matukio haya yaliyoelezwa hapo juu, yana viashiria fulani vinavyoonyesha kuwa japo si wote ambao wamekuwa wakichungulia kwenye chumba cha darubini wamekuwa wakitokea ofisini kwa MMU; kuna uhusiano kati ya watu kuchungulia kwenye maabara ya darubini, na kitu fulani ambacho kipo ofisini kwa MMU, possibly kibuyu kilichoelezewa hapo juu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SPECIAL CASE CASE SCENERIO:

WATU WANAOONEKANA KUWA WANA ASILI MOJA; YAANI WANATOKA MKOA MMOJA, NA AMBAO WAKO COORDINATED; HUKU WAKIWA WANATOKEA KWENYE IDARA MBILI TOFAUTI NDANI YA TAASISI ANAYOFANYIA KAZI MHUSIKA

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kabla ya mwaka 1984, idara ya mhusika iliwahi kuwa ni section tu ndani ya Idara nyingine mama ndani ya tasisi ambayo (idara mama) hadi muda huu, bado ipo ikiwa inaendelea kuwa na autonomy kama idara ya kawaida

Kwenye zile geni (vists) mbili za mwanzo kabisa za kwenye maabara kuanzia ugeni ule wa mwaka 2017; Mkuu wa Idara hii nyingine (idara mama) naye pia alikuwa anakuwepo kwenye misafara hiyo na alikuwa pia anachungulia kwenye maabara ya darubini

COINCIDENCE YA PEKEE KWENYE IDARA HIZI MBILI

Kitu cha pekee ambacho mhusika ameshakiona mpaka muda huu ni kuwa kuna watu waliopo kwenye idara yake (mhusika) ambao asili yao ni moja, na ambao wanaonekama wako coordinated na watu wenye asili hiyo hiyo, ila walioko kwenye idara ile nyingine (idara mama) iliyowahi kuizaa idara ya mhusika

Uhusiano uliouona ni kwamba kwenye idara ya mhusika kunaonekana kama kwa sasa kuna kundi kubwa kiasi la watu wakiwa wamedominate kwenye baadhi ya kada; mmoja wao akiwa ni Katibu Mhutasi wa Mkuu wa Idara KMWI, ambao asili yao wanatoka mkoa mmoja

Dominance ya watu hawa, inaweza ikaingia possibly hadi kwenye wigo wa wafanyakazi wa kampuni ya usafi wanaofanya kazi idarani kwa mhusika, ambao hawa wao ni waajiriwa wa Taasisi nyingine tofauti na ile ya mhusika

Watu hawa kutoka mkoa mmoja, wanaonekana wako coordinated na watu wengine wa kutoka mkoa huo huo, ambao wako kwenye ile idara mama, idara ambayo mkuu wake wa Idara aliwahi kuwepo kwenye ile misafara miwili ya mwanzo ya kuchungulia kwenye chumba cha darubini

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA UGENI WA KWENYE MAABARA WA AFISA TAWALA ALIYESTAAFU MWAKA JANA DESEMBA 2022
SIKU OFISA HUYU ALIPOKUWA ANAPITA KWENYE MAABARA, NDIYO SIKU HIYO HIYO MTU MSTAAFU AMBAYE AMEKUWA NA KAWAIDA YA KUPITA OFISINI KWA MHUSIKA KUMSALIMIA, MSTAAFU HUYO ALIPITA TENA OFISINI KWA MHUSIKA SIKU HIYO
 
UPDATE:FRIDAY, 10TH MARCH 2023

COINCIDENCE NYINGINE KWENYE IDARA YA MHUSIKA NA INAYOHUSIANA PIA NA WATU WENYE ASILI MOJA, WANAOTOKA MKOA MMOJA SAWA NA WALE AMBAO TAYARI AMESHAWAONGELEA KWENYE POST ILIYOPO HAPO JUU

MAELEZO YA UTANGULIZI: KUHUSIANA NA KATIBU MHUTASI MKUU WA IDARA (WA MWANZO KABISA) KIPINDI MHUSIKA ANAAJIRIWA IDARANI


Kuanzia kipindi mhusika anaajiriwa idarani, kuliwahi kuwepo na Katibu Muhtasi ambaye aliwahi kukaa idarani kwa kipindi cha miaka 15, yaani kuanzia mwaka 2000 hadi mwaka 2015

Baadaye, Katibu Mhutasi huyu alikuja kuhamishwa mwaka 2015, baada ya Afisa Tawala mwigine kuingia madarakani Desemba 2014, ambaye (ofisa huyo) ndiye huyu aliyestaafu mwaka jana Desemba 2022

BAADA YA KATIBU MUHTASI WA MWANZO KUHAMISHWA MWAKA 2015; MAKATIBU MUHTASI WALIOFUATIA HADI LEO NI WATATU NA WOTE WANA ASILI MOJA, WANATOKA MKOA MMOJA

Baada ya Sekretari yule wa mwanzo kuhamishwa, maSekretari wengine watatu waliomfuatia wote wana asili moja kwa maana kuwa ni wenyeji wa mkoa mmoja kwa kuzaliwa

Kwa hali hiyo, masekretari hawa wanaangukia pia kwenye makundi yale mawili yaliyo kwenye idara mbili tofauti ambayo mhusika ameshayaongelea kwenye post iliyopo hapo juu

Kitu cha pekee sana kwenye makundi ya maSekretari hawa watatu ni kwamba KILA MMOJA WAO AMEWAHI ANGALAU KUHUSIKA NA TUKIO LA HATARI SANA KWA MHUSIKA, NDANI YA JENGOI LA OFISI, huku muasisi wa matukio hayo akiwa ni yule aliyewahi kushika ofisi mara baada tu ya Sekretari aliyewahi kukaa miaka 15 kuwa amehamishwa

MAELEZO MAFUPI TU KUHUSIANA NA KATIBU MUHTASI ALIYEWAHI KUSHIKA NAFASI MWANZO, MARA BAADA YA YULE ALIYEKAA MUDA MREFU KUWA AMEHAMISHWA

Huyu ni yule aliyewahi kuingia mwanzo baada ya yule mwenyeji aliyewahi kukaa kipindi cha miaka 15 kuwa amehamishwa

  • Vile vile, sekretari huyu ndiye ambaye ilisemekana kuwa mtoto wake aliwahi kumshambulia Mkuu wa Idara wa kipindi hicho na kupelekea Mkuu huyo aruke kutoa juu ghorofa ya kwanza hadi chini na kuumia kiwiko, taarifa ambazo mhusika alishawahi kuzileta kwa kina humu hukwaani kupitia post hii hapa #502
  • Siku ya shambulio lenyewe, mshambuliaji huyo hakuweza kujulikana alikuwa nani; isipokuwa kwenye siku nyingine miezi kadhaa mbele (januari 20116), baada ya mshambuliaji kurudi tena idarani safari hii akiwa kama raia mwema; kwa lengo la kuja kumsalimia mama yake mzazi idarani
  • Mama aliyekuja kusalimiwa, ndiyo alikuwa Katibu Muhtasi wa kipindi hicho wa Mkuu wa Idara na akiwa ndiye mama mzazi wa mtu huyo
Kilichotkea siku hiyo ni kwamba mshambuliwa (Mkuu wa Idara) alimtambua mshambuliaji huyo na muda huo huo kuamuru watu wamchukue kumpelekea Kituo cha Polisi muda, mhusika akiwa mmoja wa walioamuriwa kumpelekea mtuhumiwa huyo Kituo cha Polisi

  • Mbali na hilo, siku hiyo, mabishano makali yaliibuka kati ya Mkuu wa Idara na Katibu Muhtasi kuhusiana na mtu huyo; huku mhusika akiwa yupo pale anashuhudia mabishano hayo
  • Alichokiona mhusika siku hiyo ni kwamba Sekretari na Mkuu wa Idara pamoja na mgeni; walikuwa wamenia mamoja; na possibly mgeni alikuwa amekuja akiwa na silaha siku hiyo
Vile vile siku hiyo, wakati mhusika anapandisha juu, chumba jirani na ofisi yake kulikuwa na watu

HITIMISHO

Lengo la mhusika hapa si kuanza kurudia tena kuelezea tukio hilo la zamani isipokuwa anachojaribu kusema hapa ni kwamba; baada ya Sekretari yule wa mwanzo kuhamishwa idarani, alifuatia Sekretari mwingine ambaye mtoto wake ndiyo huyo aliyewahi kuwa na tukio la aina yake kwenye idara ya mhusika

  • Baada ya Sekretari (S-1) huyu mwenye mtoto wa tukio kuhamishwa, alifuatia Sekretari mwingine tena (S-2) naye pia akiwa na asili sawa na huyo aliyewahi kuhamishwa
  • Ilipofika mwaka 2017, Sekretari huyu (S-2) alistaafu, na baada ya hapo aliletwa Sekretari mwingine (S-3) ambaye ndiyo yupo hadi muda huu, naye pia akiwa na asili sawa na ile ya wale wawili wa mwanzo
Na wote hawa watatu KILA MMOJA WAO AMEHUSIKA ANGALAU NA TUKIO LA HATARI SANA KWA MHUSIKA NA LILISILOWEZAA KUTILIWA SHAKA NDANI YA JENGO ILIMO OFISI YA MHUSIKA; HUKU MUASISI WA MATUKIO HAYO AKIWA NI YULE MTANGULIZI WAO

Kwa hiyo kuna masekretari watatu wameshafuata baada ya yule wa mwanzo aliyekaa miaka 15, na wote wakiwa wana asili ya kutoka mkoa mmoja na ambao katika kila kipindi cha uhudumu wa kila mmoja wao, mhusika amekuwa akikumbwa na matukio ya hatari NDANI YA JENGO LA IDARA, huku matukio hayo yakiwa ymeasisiwa na yule wa kwanza, mtangulizi wao wote watatu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU KWA WAUMINI WA KANIS A:
KUNA DALILI ZINAZOONYESHA KUWA KUNA KIKUNDI CHA WATU KIMESHAANZA KUWA NA RATIBA YA MOMBI YA KISIRISIR PALE KANISANI. KIKUNDI HICHO KINAUNDWA NA BAADHI YA VIONGOZI NA AMBAO J2 YA LEO WAMETANGAZIANA KUKUTANA TENA J4 YA WIKI KESHO, TANGAZO AMBALO HALIKUWA LIMEORODHESHWA KATI YA YALE YA LIYOKUWA YANASOMEKA KWENYE RATIBA ILIYOKUWA IMEONYESHWA KWENYE SMARTSCREEN.
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIENI KESHO
MUBARIKIWE TENA N.A. BWANA
 
UPDATE:MONDAY, 13TH MARCH 2023

YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIENDELEA KANISA A KWENYE KILELE CHA SIKUKUU YA WANAWAKE NA BAADA YA HAPO

UWEZEAKANO MKUBWA NI KWAMBA BADO “NCHI NZIMA” INAENDELEA KUCHEZESHWA MZIKI WA NGOMA INAYOPIGWA KUTOKA KANISA A

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kufuatia utafiti wake ambao mhusika ameendelea kuufanya baada ya tukio la kufutwa LIVE CLIP ya sehemu ya mahubiri yaliyotolewa Kanisa A J2 ya kilele cha sherehe ya wanawake tarehe 05/03/2023; mambo kadhaa yamekuja kuibuka tena baadaye na hivyo kuonyesha kuwa kufutwa kwa sehemu hiyo ya mahubiri kuna kitu kikubwa zaidi nyuma yake, tofauti na mhusika alivyokuwa akidhani kablai

Ikumbukwe kuwa clip hiyo ilihusiana na “MAHUSIANO” ya aina zote; tuseme kwa mfano mahusiano kati ya watu kuanzia majumbani kwao kwenye ngazi ya familia hadi maofisini; kwa waajiri na waajiriwa

UHUSIANO KATI YA CLIP YA MAHUBIRI YALIYOFUTWA AMBAYO ILIRUSHA PEPO KWENYE “MAHUSIANO YA AINA ZOTE “J2 YA TAREHE 05/03/2023; NA KUTENGULIWA NAFASI YA KIONGOZI NDANI YA WIKI HIYO YA WANWAKE

Katika hali ya kawaida na kama ambavyo imekuwa kawaida siku zote hapo Kanisa A; clip iliyofutwa ilirusha pepo kuanzia J2 hiyo; kwenye MAHUSIANO ya aina zote.

Baada ya pepo kuwa amerushwa kwenye MAHUSIANO wiki hiyo, ndani ya wiki iliyofuata, kuna kiongozi alitenguliwa; ambaye obvious utenguzi wake ulitokana na MAHUSIANO yake kuwa katika hali isiyoridhisha na mamlaka ya uteuzi wake

Mbali na hilo, kiongozi aliyetenguliwa ameonekana pia kwenye mitandao ya jamii akiwa anafanya tukio la kipekee sana lililohusina na MAHUSIANO yake na mamlaka za uteuzi wake

  • Tukio hilo limekuwa ni la kipekee mno ikizingatiwa kuwa lilikuwa ni la kuigiza na hivyo la kupanga pia
  • Ikumbukwe kuwa hii siyo mara ya kwanza mhusika kuleta humu taarifa za matukio yanayoonekana kuwa ni ya kupangiliwa au kuigizwa na yenye nia ya kurusha mapepo ndani ya nchi.
  • Tukio la maigizo haya nalo pia haliwezi kuwa mbali na ukweli huo ukizingatia kuwa lilikuwa ni purely planned.
  • Kwa hali hiyo, inaonyesha kuwa mhusika mkuu wa igizo hilo alikuwa na clues za nini kilikuwa kinaendelea, isipokuwa wale ambao walikuwa pamoja naye walitumika tu; hasa wale Askari Polisi
Tukio hili lilikuwa ni la kupanga, na linaangukia pia kwenye yale matukio kadhaa ambayo mhusika ameshawahi kuyaleta humu jukwaani.



BAADA YA UTENGUZI: MANENO YALIYOTAMKWA NA MTENGULIWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI PINDI ALIPOKUWA ANAKABIDHI OFISI; UKIYAHUSIANISHA NA MANENO YALIYOTAMKWA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A J2 YA TAREHE 05/03/2023

Mahubiri ya J2 tajwa hapo juu yalianza kwa mfano ilioongelea ‘MAHUSIANO” ya watu wazima na kwa clip ambayo muda mfupi baadaye ilifutwa mtanadaoni; na hivyo mahubiri hayo yalirusha pepo kwenye MAHUSIANO

  • Mbali na hilo, kule mwishoni mahubiri hayo yaliongelea tena ‘MAHUSIANO” ya watoto wadogo kwenye mambo ya ulawiti/ uzinzi
  • Mambo haya yalitajwa na mhubiri wakati akiwa anahubiri kwenye WIKI YA WANAWAKE, hapo Kanisa A
Mambo yote haya mawili, MAHUSIANO NA ULAWITI ndiyo yale ambayo yamekuja kujitokeza tena baadaye, baada ya J2 ile ya mahubiri na hivyo kuuteka mjadala wa watu NCHI NZIMA hasa kwenye mitandao ya jamii

Ilikuwa ni baada ya kiongozi kutenguliwa uteuzi wake ndani ya WIKI YA WANAWAKE

Japo inaweza kuwa si sababu ya kutenguliwa kwake, kwa kuanzia, kiongozi huyo ameonekana mtandaoni akijishughulika na MAHUSIANO KATI YAKE NA MWAJIRI WAKE na kwa namna ambayo ni ya kipekee sana

  • Baada ya hapo, utenguzi ulifuata na wakati alipokuwa anakabidhi ofisi, kiongozi huyo amesikika kupitia vyombo vya habari, akijikita kwenye maongezi ya ULAWITI NA UBAKAJI wa watoto; sawia kabisa na mhubiri wa SIKU YA WANAWAKE Kanisa A alivyofanya
  • Kwa hiyo maneno yaliyotamkwa Madhabahuni kwenye mahubiri ya J2 tajwa hapo Kanisa A, yameonekana kushahibiana tena na IGIZO la kiongozi huyu ikiwa ni pamoja na maneno yake (kiongozi), huku mambo yote haya yakiwa yamefanyika ndani ya wiki ya wanawake; kwa maana kuwa hata IGIZO nalo pia lilifanyika chini ya kivulli cha wiki ya wanawake
Kiongozi huyu ameonekana aki-trend kwa tukio la kipekee sana kwenye mitandao ya jamii; NDANI YA WIKI YA SIKUKUU YA WANANWAKE

HITIMISHO

Bila kujali ni sababu ipi hasa iliyopelekea kuchukuliwa hatua ya utenguzi wa kiongozi huyo, lakini kitu ambacho ni very obvious ni kwamba MAHUSIANO kati yake na mamlaka ya uteuzi wake yalikuwa compromised na yeye mwenyewe na katika namna ambayo ilikuwa very unnecessary”, ukizingatia ugumu wa ajira ulivyo nchini mwetu; na kwa tukio ambalo lilikuwa ni purely planned

BAADHI TU YA MAMBO YANAYOPLEKEA TUKIO/ IGIZO HILO KUWA NA SIFA ZA KIPEKEE SANA


Tukio la maigizo ya kiongozi aliyetenguliwa linakuwa ni la kipekee sana ukizingatia baadhi tu mambo muhimu yafuatayo

  • Lilikuwa ni la kuigiza
  • Possibly, liilikuwa ni la kwanza kabisa kuwahi kuigizwa na kiongozi wa ngazi ya juu kiasi hicho katika historia ya Taifa letu, ambaye mamlaka ya uteuzi wake ni “Macho ya Nchi”
  • Lingeweza kufanyika pasipo muigizaji kuwa yeye au kuwa ni kiongozi kwa sababu mtu yeyote angeweza kuigiza nafasi hiyo for the sake demonstration ikiwa ni pamoja na kufikisha ujumbe uliohitajika kwa hadhira
Hadi hapa, ukizingatia mambo haya mawili, inaonyesha wazi kuwa ilikuwa ni lazima muigizaji wa tukio hilo awe ni yeye kiongozi mwenyewe kwa sababu baada ya hapo, utenguzi wake ulikuwa umetarajiwa na ambao baada kuwa umefanyika, ulikuwa unampa tena nafasi nyingine ya kuongea kitu kuhusiana na UBAKAJI NA ULAWITI pindi atakapokuwa anakabidhi ofisi kwa kiongozi mwingine

Kwa upande mwingine, assuming kuwa kweli tukio hilo ndiyo lile lililopelekea mamlaka za uteuzi kuchukua hatua dhidi ya muigizaji; basi ni obvious kwamba muigizaji hakuwa ameomba ruhusa ya kufanya hivyo kutoka kwenye mamlaka za uteuzi wake

  • Na kama hakuwa ameomba ruhusa; hatua hii inalifanya tukio hili kuwa la pekee sana kwa sababu muigizaji alikuwa na siku chache mno ofisini tangu akasimishwe mamlaka ya ofisi hiyo na mamlaka za uteuzi
  • Hii inaonyesha kuwa chances ni kwamba muigizaji alikuwa amejiandaa na consequences za igizo hilo na ambazo baada ya kuwa zimetokea, hazikuja kwake by surprise
  • Na kama muigizaji alikuwa amejiandaa na matokeo hasi ya igizo hilo, basi ni obvious kuwa igizo hilo lilikuwa na kitu kingine cha ziada nyuma yake na ambacho ndiyo kilikuwa motive halisi ya muigizaji
Tukio hili ni la kipekee sana kwa sababu ni vigumu sana “for a newly employed employee, na ambaye ana siku kadhaa tu ofisini, kuweza kufanya kitu kikubwa cha aina hii na pasipo kuwa amepata authorization kutoka kwenye mamlaka zilizo juu yake

TAHADHARI MUHIMU KUHUSIANA NA UTITIRI WA UVUMI WA MATUKIO HAYA YA ULAWITI NA UBAKAJI

Ni ukweli usiopingika kabisa kuwa matukio haya ya ulawiti na ubakaji yapo ila to some extent yanakuwa amplified na watu ambao hawana nia njema na nchi yetu; kwa watu hao kuendelea kubuni matukio yao mengine ya nyongeza ambayo ni ya kutengeneza au kuigiza; huku matukio hayo nayo pia yakiwa yamebeba effects zilzo sawa na yale ambayo ni halisi

  • Lengo la watu hao ni kuongeza idadi ya matukio haya na hivyo kuifanya Serikali iweze kujitafakari kwa hatua ambazo tayari imekuwa ikizichukua na kuzitumia katika kushughulika na matukio haya
  • Kwa maoni yake yeye mhusika, tahadhari anayoomba kuitoa hapa kwa Serikali ni kwamba nabidi Serikali wawe waangalifu sana kwa HATUA MPYA ambazo wanaanza kuzichukua katika kushughuulika na matukio ya aina hii
Mbali na hayo, tahadhari nyingine kubwa sana ni hii: KANISA A; KANISA A; KANISA A; KANISA A; KANISA A; KANISA A;……………………

Hatua tuseme ya Serikali kufuta shule za boarding kwa watoto wenye age group fulani, kunaweza kukaja kukazalisha matatizo mengine kadhaa yakiwemo makubwa mawili ambayo obvious, mojawapo ni kuazalisha wimbi la walezi wa nyongeza majumbani wenye utashi wa kunyonga watoto pindi wazazi wao wanapokuwa wapo makazini, ambalo ndiyo baya zaidi

  • Walezi wa aina hii wanaoweza kuwa wananyonga watoto, wanaweza kupangwa, in as much the same way kama ambavyo matukio ya sasa ya nyngeza ya ubakaji na ulawiti yamekuwa yakipangwa
  • Kuna uwezekano kuwa wale ambao wamekuwa wakipanga matukio haya ya nyongeza (ambayo si halisi), wanajaribu kui-prompt Serikali ili ione kuwa ni bora zaidi kufuta shule za boarding kwa watoto wadogo badala ya kuizacha, halafu ikishazifuta, Serikali hiyo hiyo kakabiliane tena na plan B ya maadui ambayo ilishaandaliwa siku nyingi; plan ambayo kwa sasa wao (Serikali) wanaweza kuwa hawaijui na wala kuwa na idea kama ipo
ASSUMING HAWA WANAOZIDI KU-AMPLIFY MATUKIO YA UBAKAJI NA ULAWITI WA WATOTO; WANA MPANGO WA KUICHONGANISHA SERIKALI NA WANACHI

Mbali na hayo, kati ya vitu ambavyo kwa mara ya kwanza Serikali ya awamu ya sita inaonekana inaweza kuja kuchonganishwa sana na wananchi na kuingia nao kwenye mgogoro mkubwa, ni hlili la kufuta boarding za watoto


Ni ukweli usiopingika kabisa kwamba kwa rika fulani za watoto, kukaa boarding ni lazima tu huwa wanakosa baadhi ya mambo muhimu ambayo walitakiwa kuyapata kupitia familia zao kupitia kwa wazazi au walezi wao.

Still, ukifanya ulinganifu wa mchanganuo kati ya kile ambacho watoto hawa huwa wanakikosa kwa kukaa boarding na ulinzi na usalama ambao huwa wanaupata wakiwa shuleni boarding mikononi mwa mikono salama mno ya walimu wao, kile wanachokosa na ambacho walitakiwa kukipata kwenye mazingira ya nyumbani is by far much less ukilinganisha na ulinzi wanaoupata watoto hao pindi wanapokuwa wapo mazingira ya shuleni na walimu wao

Katika hili; kama waTanzania, tunahitaji tena kuwaombea sana Wizara Ya Elimu ili waweze kutembea tena na Mungu katika kiwango ambacho wamekuwa wakitembea naye siku zote

TAHADHARI MUHIMU SANA:
KANISA A; KANISA A; KANISA A; KANISA A; KANISA A; KANISA A;……………………

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA IGIZO LA KIONGOZI KWENYE SIKU YA SIKUKUU YA WANAWAKE

Kwa kile alichokiona yeye (mhusika) ni kwamba IGIZO hilo ndiyo lile lililopelekea sehemu ya yale mahubiri yaliyowahi kufanyika Kanisa A, ikafutwa kwenye mtandao, kabla ya IGIZO hilo kuwa limefanyika

Chances ni kwamba ilitarajiwa kuwa pengine IGIZO la kiongozi huyo lingeweza kuwa fool proof, na kwamba nia hasa kwa wahusika ilikuwa ni kuendelea na utekelezaji wa IGIZO hilo irrespective of the situation

Kwa hiyo angalau ilitakiwa sasa sehemu ya mafundisho yaliyokuwa yametolewa Kanisa A na ambayo yalihusiana na IGIZO hilo kutokuwepo kwenye mtandao ili siku likifanyika, isiwe rahisi kwa mtu kugundua uhusiano kati yake na mfano uliotolewa Kanisa A kwenye J2 ya wiki ya wanawake wakati wa mahubiri
 
KINGINE KILICHOFANYIKA KANISA A J2 YA TAREHE 12/03/2023 NA KILICHOHUSIANA NA MAHUSIANO YALIYOTANGAZWA RASMI MADHABAHUNI KUPITIA MAHUBIRI YA J2 YA TAREHE 05/03/2023

MR X
ALIRUDI KANISANI NA KUSHIRIKI IBADA YA PILI J2 YA TAREHE 12/03/2023 KWA NIA YA KUJA KU-RENEW “MAHUSIANO” YAKE YA OFISINI NA MHUSIKA; KUTOKEA KANISANI

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kawaida MR X huwa anahudhuria Ibada ya kwanza; na mhusika huwa anahudhuria Ibada ya pili

  • Kwa J2 iliyopita ya tarehe 12/03/2023, MR X naye pia alikuwepo kwenye Ibada ya pili
  • Ulipowadia wakati wa matangazo kuna tangazo maalumu lilitolewa kuwa wanaume wote walikuwa wanahitajika kubaki kwa muda mara tu baada ya Ibada ya pili kumalizika
  • Baada ya Ibada kumalizika wanaume walibaki na ilionekana kuwa maudhui ya tangazo hilo ilikuwa imebebwa na Kiongozi ambaye alikuwa ni MR X
Kwa hiyo aidha MR X alirudi Kanisani J2 hiyo kwa ajili ya kuja kusubiria kutoa tangazo hilo au alikuwa amelazimika kuhudhuria Ibada ya pili tofauti na ilivyo kawaida yake siku zote, kutokana na tangazo hilo

MAUDHUI YA TANGAZO LENYEWE: LILIKUWA NI TANGAZO LA KAWAIDA NA HIVYO HALIKUHITAJI KUTANGAZWA NA MR X

Japo ni kweli kuwa tangazo hilo liliwahusu wanaume pekee, still tangazo hilo lingeweza kutangazwa kwa kutumia mfumo ule wa kawaida wa siku zote; wa matangazo kutangazwa mbele ya waumini wote kutokea madhabahuni; kutokana na ukweli kwamba halikuwa limebeba kitu chochote cha ziada kiasi cha kupelekea lisiweze kusomwa na kusikika na waumini wengine wa Kanisa A

  • Hata hivyo, baada ya tangazo la MR X kumalizika, ilionekana kuwa kulikuwa na tangazo jingine la dharura, lililowahitaji wanaume kushiriki mbaraka wa faraja na fedha, kwa muumini ambaye alikuwa yuko mahtuti hospitalini, akiwa hajiwezi
  • Kwa namna shuhuda wa hali ya mgonjwa alivyotoa maelezo, ilionyesha wazi kabisa kuwa muumini huyo alikuwa na uhitaji wa hali ya juu sana
  • Kutokana na hali hiyo, kwa upande wake, mhusika aliona kuwa haikuwa busara hata kidgoo kwa tangazo hilo kutolewa kwenye kikundi cha waumini wachache wanaume na muumini mwingine wa kawaida, bali tangazo hilo lilikuwa na hadhi ya kutolewa na KM-A mwenyewe na mbele ya waumini wote kwa ajli ya waumini kuweza kushiriki kwenye mbaraka huwa wa kutoa msaada wa fedha ikiwa ni pamoja na faraja kwa mgonjwa huyo
Kitu pekee alichokuwa amefanya KM-A kama mchango wake kwenye kikao hicho ni kuwakumbusha na kuwahamasisha wanaume wakutane mara baada ya tu ya Ibada ya pili kuwa imemalizika; huku akiwa amewasimamia, na baada ya hapo alipotea hakuonekana tena kwenye kikao hicho; achilia mbali kwamba kulikuwa pia na swala jingine la mgonjwa mahututi aliyekuwa yuko hospitalini anahitaji msaada

Inasikitisha kwamba muumini wake KM-A yuko mahtuti kiasi kile kama taarifa zake zilivyokuwa zikielezwa, na taarifa hizo zipo Kanisani ofisini kwake, na hapo hapo tena KM-A mwenyewe ndiyo anaona ni busara kwa kikundi fulani tu cha waumini kupata taarifa hizo, ilhali mhitaji yuko mahtuti na anahitaji msaada mkubwa!!!

Kama ndivyo basi ubinadamu wa KM-A upo Sayari ya Mars na bado haujaanza hata kufikiria safari ya kuja huku duniani; na kwa kutumia usafiri ambao kasi yake ni sawa na ile ya kinyonga

ALICHOKIONA YEYE BINAFSI MHUSIKA KWA UPANDE WAKE BAADA YA MKUTANO HUO WA WANAUME NA MR X

Kwa upande wa mhusika, MR X alikuwa anafanya kazi kupitia MAHUSIANO, na hapo Kanisani alikuwepo J2 hiyo akiwa amesimama kwenye madhabahu ya MAHUSIANO, iliyokuwa imeasisiwa J2 ya tarehe 05/03/2023 kwenye J2 ya kilele cha sikukuu ya wanawake

Kuanzia pale MR X alikuwa anahitaji kuitumia madhabahu hiyo kwenye MAHUSIANO kati yake yeye na mhusika, si kwenye mazingira ya kanisani tu bali ya ofisni pia

  • Siku hiyo, MR X alikuwa anafanya kazi kama alivyowahi kufanya mwezi Oktoba mwaka jana kwenye zile siku mbili ambazo rafiki zake na mhusika, yaani watoto wa MR X, walimtembelea mhusika ofisini kwa siku mbili mfululizo za J5 na Alhamis; yaani Oktoba 26 na 27 mwaka 2022
  • MR X alikuwa kwenye mkakati wa aina hiyo kwa mhusika, yaani kama huo ulioelezwa hapo juu aliowahi kuufanya kwenye siku mbili za mwezi Oktoba 2022
Fact ni kwamba hapakuwa na haja ya tangazo hilo la MR X kutolewa kwa upekee huo kwa sababu lilikuwa ni la kawaida na hivyo lilistahili kusomwa na kusikika na waumini wote wa Kanisa A wakatiwa Ibada kuu

  • Aidha swala la kushiriki mbaraka na faraja kwa mgonjwa ndiyo lilikuwa na VERY HIGH PRIORITY ya kusikika na Kanisa zima na KM-A mwenyewe ndiyo alitakiwa ahusike na tangazo hilo
  • Still hata kama si kwa taarifa za mgonjwa huyo kutolewa na KM-A kwa Kanisa zima, basi angalau KM-A alitakiwa aendelee kuwepo kwenye kikao hicho huku akiwahamasisha waumini kuweza kutoa msadaa zaidi kwa ajili ya mgonjwa huyo
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 14TH MARCH 2023

MAUDHUI YA MKUTANO WA DHARURA WA WANAUME ULIOITISHWA NA MR X KANISANI J2 YA TAREHE 12/03/2023

MAELEZO YA UTANGULIZI:

MR X NI KIONGOZI KANISANI ILA SI KWENYE CHAMA CHA WANAUME


Awali ya yote ni kweli kwamba MR X ni Kiongozi Kanisani ila kwenye ngazi zingine na si kwenye ngazi yoyote inayohusiana na chama cha wanaume

Na kwa sababu MR X si kiongozi wa chama cha wanaume, hapakuwa na haja ya yeye kuitisha mkutano wa dharura kiasi cha kumlazimu awepo kwenye Ibada ya pili ambayo kawaida yeye huwa hahudhurii; na wakati huo huo viongozi wa chama husika wakiwa wote hawapo kwenye mkutano huo

Viongozi halisi wa chama cha wanaume hawakuwa wamesafiri; ila wote hawakuwepo Kanisani

MAUDHUI YA MKUTANO

Maudhui ya tangazo la dharura la MR X
, ambaye naye pia ni staff-mate wa mhusika, ilifanana kabisa na maudhui ya tangazo jingine nalo pia likiwa ni la dharura, ambalo lilitolewa hivi karibuni na staff-mate mwingine wa mhusika; huku maudhui za matangazo yote mawili zikiwa zinahusiana na mbaraka unaohusiana na maswala ya fedha

Maudhui ile ya kwanza, ni ile iliyowahi kuwasilishwa J2 ambayo umeme ulikatika mara mbili na ambayo taarifa zake ziliwahi kuwajieni kupitia kwenye post hii hapa #1,342

Tofauti pekee iliyojitokeza kati ya kile kilichowasilishwa na staff-mate wa kwanza wa mhusika na kile kilichowasilishwa na staff-mate wa pili wa mhusika, yaani MR X, ni kwamba yule wa mwanzo aliwasilisha maudhui yake kwa kutumia maneno na maandishi wakati MR X yeye alitumia maneno tu bila maandishi

Kwa hiyo, kutokana na mfanano huu, maudhui ya tangazo la dharura la MR X J2 iliyopita nayo vile vile ilibeba mambo kadhaa yafuatayo
TIME INREVAL
Duration of time (within the repayment period) between first and last deposits

INSTALLMENTS
Equal amount of each deposit made within the time interval

SUM OF INSTALLMENTS
The total amount of all equal deposits made within the interval

REPAYMENT PERIODS
The tally between installments and time, falling within the time interval

NUMBER OF REPAYMENTS
The number installments paid within the repayment period, etc

MAUDHUI YA TANGAZO LA MR X J2 YA TAREHE 12/03/2023

ALIWAITA WANAUME ILI KUWAKUMBUSHA KUTOA MCHANGO WA SHS 5,000/= KILA MWEZI, AMBAO JUMLA YAKE NI SHS 60,000/= KWA MWAKA MZIMA

KUHUSIANA NA SOMO REFU LA KM-A LINALOENDELEA HADI MUDA HUU; LINALOHUSIANA NA MASWALA YA VIPATO VYA WAUMINI IKIWA NI PAMOJA NA MISHAHARA YAO

Kwa takribani miezi miwili sasa au zaidi, KM-A amekuwa akipanda madhabahunakiendelea na somo lake linaloongelea maswala ya mishahara na vipato vya watu

Ni kwa nia njema tu kwamba inabidi kweli waumini waendelee kukumbushwa kuhusiana na maswala ya Zaka na Sadaka isipokuwa muda aliotumia umekuwa mrefu kiasi, kiasi kwamba tayari umeshaenda kwenye extreme.

Mbali na hilo, kwa sababu kawaida masomo ya aina hiyo huwa siyo marefu sana, ili kuendelea kulifundisha kwa kutumia muda ambao ni mrefu kiasi, KM-A amekuwa akilazimika wakati mwingine kuwa anarudia rudia kufundisha yale ambayo tayari anakuwa ameshayafundisha kupitia mafundisho ya wiki zilizopita nyuma

Zaidi ni kuwa KM-A amekuwa akifundisha somo hilo katika namna ambayo ina faida zaidi kwa waongofu wapya ambao hawajui kabisa kwamba sadaka nini, ilhali, waongofu wapya huwa wanafundishwa somo hilo kwenye vipindi vyao ambavyo huwa vinafanyika kila kila wiki Alhamisi jioni. Vipindi hivyo ni kwa ajili ya kuwaandaa waongofu hao ili waweze kuelekea kwenye ushiriki kamili uliokomaa

HITIMISHO
Always MR X huwa anaonekana kama kutokukubaliana na SPRITUAL FACT kwamba pale nyumbani kwake anaishi na kuwatunza, rafiki zake na mhusika, na siku atakapokuja kukubaliana nayo; it’ll be too late for him to catch the train. This is a last warning to him!
Ule ugeni wa rafiki zake mhusika ofisini kwake mwezi Oktoba 2022!!!!

UPNEXT: TAKRIBANI MIAKA MIWILI IMEPITA SASA, KWA MUDA WOTE ULIOPITA NYUMA MR X ALIWAHI KUWA KIONGOZI KWENYE CHOMBO MUHIMU CHA TAASISI AMBACHO KAMA ANGEKUWA HANA NIA MBAYA; MADAI YA SIKU NYINGI YA MHUSIKA YANGEKUWA YAMESHALIPWA
 
TAKRIBANI MIAKA MIWILI IMEPITA SASA, KWA MUDA WOTE ULIOPITA NYUMA MR X ALIWAHI KUWA KIONGOZI KWENYE CHOMBO MUHIMU CHA TAASISI AMBACHO KAMA ANGEKUWA HANA NIA MBAYA; MADAI YA SIKU NYINGI YA MHUSIKA YANGEKUWA YAMESHALIPWA

MAELEZO YA UTANGULIZI: MR X NA MGENI MSTAAFU MAZINGIRA YA OFISINI; AMBAYE (MGENI) ALIKUWA BADO ANA MAMLAKA YA KUSHUGHULIKIA MADAI YA WALE AMBAO BADO HAWAJASTAAFU AKIWEMO MHUSIKA


MR X akiwa bado yupo kwenye nafasi hiyo ya maamuzi, Ilifikia kipindi akaenda akatafuta mtu mtaani ambaye ni mstaafu na kumleta ofisini kwa ajili ya kikao na baadhi ya wafanyakazi wa idara.

Mstaafu huyu ndiyo yule ambaye huwa anafika mara kwa mara ofisini kwa mhusika na kumweleza mhusika kuwa “nimepita tu kukusalimia”

  • Ilikuwa ni kwenye wiki ya kwanza ambayo wanafunzi walikuwa tayari wameshaondoka kwa ajili ya break fupi ya mwezi wa tatu
  • Baada ya MR X kuwa amempata mtu huyo, alimleta hadi ofisini
  • Baada ya hapo MR X alifika ofisini kwa mhusika na kumjulisa kuwa kungekuwa na kikao na mstaafu huyo siku hiyo
Mhusika likubali kuhudhuria kikao hicho, na agenda kubwa aliyokuwa amekuja nayo mstaafu huyo siku hiyo ni kwamba alikuwa karibia anakamilisha mchakato wa kushughulikia maslahi ya wafanyakazi, ikiwa ni pamoja na yale ya mhusika tayari kwa madai hayo kulipwa kupitia kwenye akaunti zao

  • Mstaafu huyu alikuwa amebeba pia orodha ya majina ya wafanyakazi wadai ikiwa iko tallied na kiasi cha fedha wanachotakiwa kulipwa immediately, baada ya mstaafu huyu kuwa amekamilisha mchakato wa kushughulikia madai hayo
  • Mbali na hayo, mstaafu huyu aliwaomba wafanyakazi waliokuwepo kwenye kikao hicho, kuangalia majina yao kwenye orodha aliyokuwa nayo ili waweze kujua ni kiasi gani cha fedha kilichoonyeshwa kama kiasi wanachostahili kulipwa
  • Kwa upande wake yeye mhusika, jibu lake kwa mstaafu huyo lilikuwa moja; kwamba madai yake yeye yalikuwa yako kwenye category tofauti kabisa na madai ya mfanyakazi mwingine yeyote yule na hivyo alimjulisha mstaafu huyo kwamba madai yake yeye (mhusika) atayashughulikia mwenyewe kupitia viongozi wa Taasisi na si vinginevyo
Zaidi ni kuwa kutokana na jibu alilolitoa mhusika kwa mstaafu huyo, hapakuwa sasa na haja ya mhusika kuiona tena ile orodha ya majina yaliyokuwa tallied na viwango vya fedha za wadai, na hivyo mhusika hakuiangalia orodha hiyo

Siku hiyo ikapita

NDAI YA MUDA HUO WA LIKIZO YA WANAFUNZI, MSTAAFU AONEKANA TENA MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA

Baada ya siku chache mbele kuwa zimepita wanafunzi wakiwa bado wako likizo, ilitokea siku moja tena mhusika na mstaafu wakagongana nje ya ofisi kwenye parking za gari.

  • Kwa mujibu wa maelezo yake kwa mhusika, siku hiyo mstaafu alikuwa anatoka ndani ya jengo la mojawapo ya idara alikokuwa ameenda kuongea na baadhi ya wafanyakazi wadai ambao nao pia madai yao alikuwa anayashughulikia; huku mhusika naye akiwa anataka kuelekea nyumbani
  • Mbali na mstaafu huyu, Mnunuzi wa Gari (MWG) naye alikuwepo pia maeneo yale, kitu kilichopelekea mhusika abaini kwa kugongana kwa mhusika na mstaafu huyo siku hiyo hapo kwenye parking haikuwa bahati mbaya, bali kulikuwa pia na mchango wa kutosha tu wa MWG.
Hii ni kutokana na ukweli kuwa mhusika anamfahamu vizuri sana MWG

Baada ya mhusika kusalimiana na mstaafu na hatimaye kubadilishana mawili matatu kuhusiana na safari zao jioni hiyo, ilionekana mstaafu alikuwa anaelekea uelekeo ule ule ambao mhusika alikuwa pia anaelekea; na kwa bahati mbaya mstaafu hakuwa amekuja na gari. Baada ya maongezo hayo, mhusika alimchukua mstaafu huyu na kwenda kumuacha maeneo karibu na sehemu anayoishi

Siku hiyo nayo ikapita tena; huku mhusika akiwa amesoma somo kutoka kwenye maongezi kati yake na mstaafu huyo kuwa hadi kufikia siku hiyo, mstaafu huyo alikuwa bado ana idea kwamba pengine jibu alilolitoa mhusika kwenye siku ile ya kikao ofisini kilichowahi kuitishwa na MR X, angeweza kulibadilisha

……………………..inaendelea
 
BAADA YA MIEZI MICHACHE KUWA IMEPITA TANGU MHUSIKA WAONANE NA MSTAAFU KWA MARA YA MWISHO

Siku moja, baada ya mhusika kuwa ameingia chumba cha chai, aliwakuta humo watu wawili wakiwa kwenye maongezi yaliyokuwa yanaifagilia sana Serikali ya JPM (RIP) namna ambavyo ilikuwa imechukua hatua za kuwajali wafanyakazi kwa kuwalipa malimbikizo yao ya mishahara

Mmojawapo wa watu hao alikuwa ni MKUU WA MAJOR UNIT (MMU), huku mwingine akiwa ni mstaafu ambaye alikuwa amestaafu kitambo kiasi cha kuweza kulipwa maslahi yake yote, ila alikuwa bado anaendelea kuwepo akifanya kazi kwa mkataba

Kilichomtatiza mhusika kwenye maongezi ya watu hao, ni kwamba yule mstaafu alidai kuwa amekuta amewekwa million 50 kwenye akaunti yake Benki, ilhali alikuwa ameshastaafu na hivyo the fact ilikuwa ni kwamba aidha hakuwa kabisa hana madai yoyote ya malimbikizo au kama alikuwa nayo, basi yaikuwa kidogo mno kiasi kwamba yasingeweza kufikia hata million 10

Hiyo siku nayo ikapita tena

BAADA YA MIEZI KADHAA MBELE KUPITA; SAFARI HII WANAFUNZI WAKIWA PIA KWENYE LIKIZO NYINGINE TENA

UCHAGUZI WA DHARULA KU-REPLACE NAFASI YA MR X; WAITISHWA NA KUFANYIKIA IDARANI KWA MHUSIKA; MSIMAMIZI WA UCHAGUZI HUO AKIWA NI KIONGOZI ALIYEFIKA AKITOKEA NGAZI YA JUU YA TAASISI NA AMBAYE HADI SIKU HIYO, MHUSIKA ALIKUWA AKIMFAHAMU KUWA NI FOREIGNER


Kwenye uchaguzi huo, nafasi ya MR X ilichukuliwa na Mnunuzi wa Gari (MWG)

Msimamizi wa uchaguzi huo alikuwa ni kiongozi wa ngazi za juu ambaye walisoma wote na mhusika, na ambaye wakati wanasoma, alikuwa ni raia wa Uganda. Yawezekana kuwa kiongozi huyu alishabadilisha status kwa kutumia legal cases kama vile ndoa au mambo mengine yanayofanana na hayo

ASUBUHI KABLA YA UCJAGUZI KUFANYIKA SIKU HIYO:

MWG ALIFIKA OFISINI KWA MHUSIKA NA KUMPA TAARIFA ZA UWEPO WA UCHAGUZI HIUO IKIWA NI PAMOJA NA KUMDANGANYA PIA


Kabla mhusika hajafahamu kama siku hiyo kutakuwa na uchaguzi, asubuhi hiyo MWG (ambaye ndiye alikuja kuchukua nafasi ya MR X baada ya uchaguzi), alifika ofisini kwa mhusika na kumjulisha kuwa kungekuwa na uchaguzi siku hiyo na hivyo yeye ni mmojawapo wa wagombea

  • MWG aliendelea mbele akimdanganya mhusika kuwa uchaguzi huo kwa ajili nafasi ya uwakilishi kwenye Chama cha Wafanyakazi
  • Kwa hiyo MWG alifika ofisini kwa mhusika kuomba kura kutoka kwa mhusika kwenye uchaguzi huo
Mhusika alikubali kumpa kura MWG na maongezi yao yaliishia pale

MUDA ULIOKUWA UMEPANGWA KWA AJILI YA UCHAGUZI ULIPOWADIA SIKU HIYO

Student mate wa mhusika alifika kwenye kituo cha uchaguzi, na akawataka radhi wanaIdara kwa udharula uliokuwa umejitokeza katika kutafuta mtu wa ku-replace nafasi ya MR X

Zaidi msimamizi wa uchaguzi alitangaza jina la nafasi iliyokuwa inatakiwa kujazwa kuwa ni ya kwenye Baraza la Wafanyakazi, na si kwenye Chama cha Wafanayakazi kama MWG alivyokuwa amedai asubuhi yake alipokuwa ameenda ofisini kwa mhusika, nafasi ambayo awali ilikuwa inashikiliwa na MR X

Baada ya hapo, msimamizi aliomba watu wajitokeze, na immediately mtu mmoja alijitokeza ambaye ni MWG na hapo hapo kupata support ya wanaIdara

Ndiyo kuanzia pale hadi leo, muwakilishi wa idara hiyo kwenye chombo hicho akawa amekuwa ni MWG;

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 15TH MARCH 2023

HITIMISHO:


MFANANO KATI YA KILE KILICHOKUWA KINAENDELEA KWENYE MKUTANO WA DHARURA WA KANISANI ULIOITISHWA NA MR X; NA KILE AMBACHO MR X ALIWAHI KUKIFANYA KWENYE MAZINGIRA YA OFISNI KWENYE SIKU MBILI ZA J5 NA ALHAMIS ZA TAREHE 26 NA 27 OKTOBA 2023


Mbali na yale ambayo mhusika aliwahi kuyasema kupitita post hii #1,216 kuhusiana na MR X, hadi muda huu, utafiti wake mhusika kuhusiana na matukio ya MR X kwenye siku hizo mbili umeshamthibitishia tena mambo mengine mapya kadhaa yafuatayo

  • MR X alikuwa anafanya kazi pia kwenye ardhi kwa kutumia LOCATION na ndiyo mana kwenye maelezo ya post hiyo tajwa, mhusika amedokeza kuwa MR X alikuwa mara zote anatumia parking moja ile ile kupaki gari lake, alikuwa habadilishi parking
  • MR X alikuwa nahitaji kupata kiasi fulani cha fedha kutoka kwa mhusika siku hiyo ili akakitumie kwenye mchakato wa kuziba au ku-block kitu fulani muhimu kilichokuwa kinatarajiwa kumfikia mhusika na ambacho possibly, hadi kufikia muda huo kilikuwa kimeshakuwa tayari
Vivyo hivyo kwenye mkutano wa J2 iliyopita, MR X alikuwa anafanya kazi katika namna ambayo ni sawa na alivyowahi kufanya kwenye hizo siku mbili za kipindi cha awali, safari hii akiwa anashirikiana na KM-A pamoja na viongozi wawili wa chama cha wanaume Kanisani

Kwa kifupi tu ni kwamba, J2 hiyo MR X na KM-A walikuwa wanashughulika na yale maslahi ya mhusika anayodai ofisini ambayo hayajalipwa hadi muda huu; shughuli ambayo ilizinduliwa rasmi na yule staff-mate mwingine wa mhusika aliyefanya presentation ya dharura kwenye J2 ambayo umeme ulikatika mara mbili

NAMNA AMBAVYO PLAN YA MR X IMEKUWA KWA KIPINDI KIREFU SASA; KUHUSIANA NA HILI SWALA LA KU-BLOCK MASLAHI YA MHUSIKA

Kwenye swala hili, kwa kipindi kirefu sana MR X amekuwa akishirikiana sana na Afisa Tawala aliyestaafu Desemba 2022


Ikumbukwe kuwa kwa kipindi cha miaka mingi sana iliyopita kabla ya kumuachia nafasi yake MWG, MR X amekuwa ni mmojawapo wa watu ambao ni decision makers kwenye organ muhimu sana ya taasisi. Ni miaka michache tu iliyopita ndiyo MR X aliamua kumuachia nafasi hiyo Mnunuzi wa Gari (MWG)

Baada ya kuwa amejiondoa kwenye nafasi hiyo, kitendo hicho kilimpa nafasi nzuri ya kuficha rekodi yake ya nyuma kuhusiana na mchakato wa maslahi ya mhusika, na ndiyo sasa kuanzia pale akaja na plan yake mpya hii ya KUENDELEA KU-BLOCK KABISA MASLAHI HAYO, HUKU AKIWA YUKO KWENYE MKAKATI WA KUMTEGA MLIPUKO MHUSIKA KWA KUSHIRIKIANA NA WASHIRIKA WAKE (wasomaji wanaombwa wamsamehe mhusika kwa kutumia maneno makali hapa lakini hana namna nyingine ambayo anaweza aka-present vizuri fact hii)

Kwa kifupi tu ni kwamba muasisi wa attempts za matukio ya milipuko ya ofisni ni MR X, na tukio la kwanza kabisa ambalo MR X aliwahi kuhusika, mhusika alishawahi kulitolea maelezo yake kupitia post hii hapa #121

Tukio hilo lilikuwa ni la ndani ya jengo la idara ilimo ofisi ya mhusika na siku hiyo walishirikiana na Mkuu wa Idara Mstaafu aliyewahi kuhudumu kwenye kipindi cha miaka ya 2006-2012

  • MILIPUKO HIYO (tuiite kwa kifupi Plan ya Milipuko-PYM) imekuwa ikiandaliwa mara kwa mara kwenye mojawapo ya mazingira ambayo mhusika huwa anakuwepo, mazingira ambayo hasa ni ya nyumbani, ofisini au Kanisani
  • Kwa mazingira ya ofisni na Kanisani, mhusika hana haja ya kueleza zaidi kwa sababu kuna posts nyingi tu za nyuma ambazo zinathibitisha hilo
Kwa mazingira ya nyumbani, maelezo yafuatayo hapa chini, yanaeilezea kwa kifupi sana set-up ya PYM, mama jirani akiwa ni mhusika mkuu wa plan hiyo

SET UP HIVI KARIBUNI KABISA YA PYM KWENYE MAZINGIRA AMBAYO MHUSIKA ANAISHI

Kwenye mazingira ya nyumbani, hadi kufikia muda huu utafiti wake mhusika umemthibitishia kuwa set-up mpya ya PYM iliasisiwa kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa mwezi Septemba 2022 (mwaka jana) na mama jirani, siku ambayo mama huyu alimvizia mhusika nje kwenye parking, na kulingana na maelezo ambayo mhusika aliwahi kuyaleta humu jukwaani kupitia post hii hapa #1,244

  • Siku hiyo, mama jirani alikuwa anafanya kazi kwa kutumia LOCATION pia na ndiyo maana alimsubiria mhusika nje kwenye parking.
  • Mbali na hilo, kitu ambacho mama jirani alikuwa amepanga kumweleza mhusika siku hiyo, hakikuwa halisi bali yalikuwa ni maigizo ambayo yaliuwa yamepangiliwa kwa ustadi wa hali ya juu sana
  • Kutokana na hali hiyo, haikuwa rahisi sana kwa mama jirani kumweleza mhusika tukio hlo kwenye mazingira ya ndani nyumbani kwake mhusika au nyumbani kwake mama jirani ili at least kuifanya plan hiyo iweze kuwa fool proof
Mbali na hilo, ukizingatia vile vile kuwa plan hiyo inafanya kazi vizuri zaidi kwa kutumia LOCATION, kulikuwa na uwezekano pia wa uzinduzi wa PYM ya mama jirani kutokufanya kazi vizuri kwenye LOCATION nyingine ndani ya nyumba ya mhusika, ukilinganisha na LOCATION ile ya nje kwenye parking

Kutokana na hali hiyo, ilikuwa ni busara zaidi kwa mama jirani kumsubiria mhusika nje kwenye parking na hatimaye kumpa taarifa alizokuwa amekusudia kumpa, badala ya kumpelekea ndani nyumbani kwake

KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUGUNDUA KUWA KULIKUWA NA SET-UP YA PYM MAZINGIRA YA NYUMBANI

Kutokana na kuasisiwa kwa set-up hiyo, mhusika amelazimika kuwa anafanya mazoezi malaini ndani nyumbani kwake, badala ya yale ya kukimbia nje au uwanjani

  • Ni baada ya mhusika kugundua kuwa kulikuwa na maandalizi ya shambulio zito lililokuwa limeandaliwa na mama jirani kupitia mwanya wa mazoezi hayo ambayo mhusika angeyafanya nje
  • Chances ni kwamba kulikuwa na mtu ambaye alikuwa ameandaliwa kuiingia ndani nyumbani kwa mhusika, na katika muda ambao mhusika angekuwa yuko mazingira ya nje akiwa anafanya mazoezi
Kutokana na hali hiyo, mhusika ameamua kufanya mazoezi ya kawaida tu ndani nyumbani kwake

Maelezo kamili kuhusiana na plan hii ya nyumbani yatawajieni siku nyingine

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

………………..inaendelea
 
KITU MUHIMU KUHUSIANA NA TAARIFA HIZI ZA MR X

Ikumbukwe kuwa taarifa hizi kuhusiana na MR X kwa siku zilizowahi kupita nyuma za J5 na Alhamis (tarehe 26 na 27 Oktoba 2022 mwaka jana) ni nyongeza kwenye taarifa ile ya awali kwa maana kuwa wakati taarifa ya awali inawajia wasomaji, hii ya sasa ilikuwa nado inaendelea kufanyiwa utafiti

BY THE WAY:

MHUSIKA AKIWA ANASOMA O-LEVEL; MKUU WA SHULE ALIWAHI KUWACHKESHA WANAFUNZI SIKU MOJA WALIPOKUWA WAPO PARADE GROUND


Siku hiyo MKUU alikuja parade akiwa amefura; wanafunzi walikuwa wamefanya kitu kikamsirisha sana, hadi alikuwa anatia huruma.

Baada ya kuwa ame-address issue iliyopelekea awe katika mood aliyokuwa nayo siku hiyo alimalizia kwa kusema

“UNAJUA KUNA MAJITU MENGINE YANAWEZA HATA KUJISADIA HAJA KUBWA HAPA PARADE GROUND PROVIDED TU HAKUNA MTU ANAYELIONA”

Wazungu nao wana msemo wao unasema hivi: “Man’s real character is what he would do if he knew he wouldn’t be found”

MR X akishajua kuwa hawezi kujulikana au hakuna anayemuona, hapo sasa ndiyo huwa anakuwa katika ubora wake halisi kabisa ule ambao ni NATURLA KABISA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…