#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: MONDAY, 22ND MAY 2023

PATTERN/ COINCIDENCE NYINGINE MUHIMU ALIYOIBAINI MHUSIKA JANA J2 WAKATI ANASILIKILZA MATUKIO YA WIKI KWEYE TV


Mmojawapo wa key persons/ players (mfanyabiashara) kwenye SAKATA LA KARIAKOO, ni mtu mwenye asili moja na kundi la watu wenye asili moja waliopo kwenye mazingira ya ofisini kwa mhusika, ambao mhusika alishawahi kuwaongelea humu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA SWALA LA KM-A KUENDELEA KURUSHA MAPEPO KWENYE DATABASE YA WATU NA MAKAZI

USHAHIDI MUHIMU KUTOKA KWENYE POST HII YA NYUMA #1,177 ; AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KULETA MAELEZO YAKE HUMU


Kwenye post hiyo tajwa, mbali na kushughulika na Organization Structure/ Hierarchy, KM-A alikuwa pia anachagua KEYS ZA DATABASE

Alikuwa anachagua FOREIGN KEYS (FK) kwa ajili ya mahusiano ya nje ya Kanisa, na alikava karibia TITLES zote ambazo zipo pia nje ya mazingira ya Kanisani.

Ikumbukwe kuwa kwenye presentation ya ghafla ya ushiriki wa mbaraka, iliyowahi kufanyika miezi kadhaa iliyopita na hatimaye UMEME KUKATIKA MARA MBILI

  • Presenters wa presentation hiyo walikuwa ni ma-Profesa wawili ambao kila mmoja wao alipokuwa anafanya presentation, umeme ulikatika
  • Mmojawapo wa presenters hao alikuwa ni yule aliyewahi kuchaguliwa kama FK kupitia post iliyotajwa hapo juu
  • Mwingine wa pili alikuwa ni staff-mate wa mhusika
Siku hiyo presenters hao walishughulika na baadhi ya mambo kama installments na SUM OF INSTALLMENTS, kama mhusika alivyowahi kueleza kwenye post zake za nyuma

  • Hadi kufikia siku ya presentation hiyo, KM alikuwa tayari amesharusha pepo kwanye KEYS ZA DATABASE, na alikuwa amefanya hivyo siku alipokuwa anafanya uchaguzi wa KEYS hizo
  • KEYS hizo alizichagua kwenye J2 ile iliyofuata baada ya kumalizika kwa kongamano lililowahi kufanyika mwishoni mwa mwaka jana
Vile vile hadi kufikia siku hiyo, KM-A alikuwa pia tayari amesharusha pepo kwenye QUERRIES ZA DATABASE kama mhusika anavyotoa maelezo yake hapa chini

BAADA YA KM-A KUWA AMERUSHA PEPO KWENYE KEYS ZA DATABASE, ALIHAMIA KWENYE QUERRIES ZA DATABASE

Baada ya tukio la kuchagua FK, kwenye matangazo yake ya J2 iliyofuata, KM-A aliwataka wazazi wote wa watoto waliopo hapo Kanisa A wakutane naye kwenye Jumamosi ya wiki iliyokuwa inafuata baada ya tangazo hilo kutolewa

Baada ya kuwa amekutana na kundi hilo, KM-A alitoa tangazo jingine tena J2 iliyofuata, safari hii akiwachagua viongozi wote Kanisani hapo kukutana naye kwenye Jumamosi nyingine ya wiki iliyokuwa inafuata

Hadi kufikia hapa, baada ya kukutana na kundi hili la pili, KM akawa amerusha pepo kwenye QUERRIES ZA DATABASE pia, kiwakilishi cha querries hizo kikiwa kinatokana na SELECT QUERRY kupitia makundi hayo mawili ya waumini wa Kanisa A, makundi aliyowahi kuyachagua kwenye siku hizo mbili za kwenye wiki mbili tofauti

BAADA YA KUWA AMERUSHA PEPO KWENYE SELECT QUERRY; KM-A AKAANZA KUWA ANA-RENEW QUERRIES KWA KUTUMIA MAKUNDI YA WAGENI WANAOFIKA J2 KANISANI HAPO KWA AJILI YA IBADA

Kuanzia pale KM-A akawa sasa ana –RENEW pepo kwenye QUERRIES ZA DATABASE kwa kutumia kundi la wageni wanaofika kila J2 kwa ajili ya Ibada Kanisani hapo, pale inapokuwa imetokea KEYS za ndani ya Kanisa zimefeli kufanya kazi

  • KM-A akatengeneza utaratibu wa kuwa anawaomba wageni waondoke kwanza kabla ya waumini wengine ambao ni wenyeji, muda mfupi tu kabla ya Ibada kufungwa
  • Utaratibu ni kwamba wageni wanaondoka kwanza na waumini wengine ambao ni wenyeji wanabaki kwa ajili ya kufunga Ibada
  • Kwenye J2 husika ya aina hii, wageni wao wanakuwa hawahusiki kwenye kufunga Ibada
Kwa kufanya hivyo KM-A akawa anaendelea ku-RENEW PEPO KWENYE QUERRIES ZA DATABASE kwa kutumia SELECT QUERRY ambayo imekuwa iki-ACT kwenye kundi la wageni wanaofika Kanisani hapo

Hadi J2 ya jana tarehe 21/05/2023; RENEWAL hiyo ilifanyika

Mbali na hayo, kwenye J2 moja ndani ya mwaka huu, KM-A aliwafukuza baadhi ya waumini wachache kwa tuhuma za uzinzi, huku akiwafuta kwenye kabisa kwenye daftari la Kanisa akisema “kuanzia leo, hawa siyo waumini wa Kanisa A”

Zaidi KM alienda mbali kwa ku-display PICHA ZA SURA ZAO digitally

Kwa kutoa picha za sura za waumini hao, KM alikuwa anashughulika na TABLES; yaani ATTRUBTES and TURPLES za TABLES

……………………..itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 23RD MAY 2023

“KEYS”
NYINGINE AMBAZO KM-A ALIWAHI KUZICHAGUA SIKU YA J2 HUSIKA


Mbali na kuchagua “KEY” ya PROFESA siku hiyo KM-A alichagua pia KEYS zingine kama DR, MR, MRS, PASTOR n.k huku miongoni mwa watu wawili aliowatumia kwenye uchaguzi wa KEYS hizo wakiwa wanandoa MR and MRS; au mke na mume wake

Kwa hiyo keys zote hizi zikiwemo na nyingine ambazo hazijatwajwa hapa, zilirushiwa mapepo J2 hiyo

Baada ya kupita wiki chache tena, kwenye J2 moja, mhubiri aliyekuwa amesimama madhabahuni akifundisha neno la Mungu, akatoa ushuhuda wa mtu aliyekuwa amepokea uponyaji Kanisani hapo kutokana na Uziwi, yaani alikuwa kiziwi

  • Mhubiri alimwita muumini huyo na kumpandisha juu madhabahuni mahubiri yalipokuwa yanaendelea, ili muumini huyo aweze kutoa ushuhuda mbele ya waumini wote, juu ya uponyaji ambao alikuwa ameupokea
  • Mhubiri alieleza pia kuwa mtu huyo aliyepokea uponyaji wa masikio, aliletwa kanisani hapo na muumini ambaye wakati wa uchaguzi wa keys za KM-A, mtu huo aliwakilisha ile title ya MRS, yaani yule mke wa mtu
BAADA YA WIKI CHACHE KUPITA MBELE; COINCIDENCE NYINGINE IKAJITOKEZA TENA

Safari hii, Macho ya Nchi
yalianza kutumia rasmi title ya DR

BAADA YA HAYA YOTE KUWA YAMETOKEA, HIVI KARIBUNI TENA NDANI YA MWAKA HUU


Matukio ni mengi ila kitu kingine kikubwa ni kwamba baada ya haya yote kuwa yamepita, tukio jingine ambalo ni notable ni kwamba kwenye J2 moja ndani ya mwaka huu, KM-A alisimama tena madhabahuni kutangaza maombi yaliyohusiana na mambo ya ushoga/ ulawiti, naombi hayo yakiwa yamesimamia kwenye fungu la 1 Kor 6:9-10 ambalo alilisoma mbele ya Kanisa zima.

Fungu linasema hivi:

“Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.”

  • Kabla hajasoma fungu hilo, KM-A alieleza kuwa kilichokuwa kimemsukuma kutangaza maombi hayo ni baada ya kusikia kuwa kuna mtu DR ambaye taarifa zake zilikuwa zimeenea mtandaoni; huyu ndiye aliyepelekea KM-A akatangaza
  • KM-A alikuwa anamaanisha DR yule ambaye tetesi zake zilienea mtandaoni kuwa alisema anayo orodha ya mashoga ambayo anaweza kuwakabdihi Serikali
Zilikuwa ni tetesi tu za kwenye mitandao, na possible DR huyu hakuwa ametamka maneno hayo, alikuwa ansingiziwa

Hata hivyo, kilichodhihirka wazi hapa ni kuwa nia kubwa ya KM-A J2 hiyo ilikuwa ni kuhakikisha kuwa ametamka neno DR akiwa amesimama madhabahuni.

Huyu kiongozi mstaafu aliyekuwa ametajwa kuhusina na teteis hizo za mitandaoni na ambaye anaheshimika sana nchini, atakuwa alitumika tu kama chambo

Coincidence nyingine moja muhimu iliyojitokeza hapa kwenye tukio hili la DR ni kwamba tangazo la KM-A lili-base kwenye taarifa ziliokuwa kwenye mitandao. Vile vile tukio la ajali ya ndege lilitabiriwa kwenye mitandao kwanza halafu ndiyo likatokea

Kwa hiyo kama taarifa hizi zilikuwa ziko pre-prepared kwa ajili ya tukio fulani la mbele lilokuwa limepangwa kutokea, basi mtandao utakuwa ulitumika kwenye matukio yote haya mawili; yaani lile la ajali ya ndege na hili la KM-A kutangaza maombi kwa ajili ya kuombea ushoga

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwenye mafungu haya ya Maandiko Matakatifu; KM-A alikuwa na mafungu ya kwenye Biblia
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.”

Natamani sana ningekuwa na mamlaka nao hao viongozi anaotumika chini yao
 
UPDATE: WEDNESDAY, 24th MAY 2023

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MAOMBI YA USHOGA YALIYOTAJWA HAPO JUU

Premises za KM-A ilikuwa ni kutokana na tetesi zilizokuwa zimesambaa mitanadaoni kuwa kuna DR ametoa taarifa hizo

Watu wote wenye akili timamu huwa hawafanyii kazi tetesi isipokuwa wakati mwingine, tetesi zinaweza kuwa-trigger tu kuingia kwenye uchunguzi; assuming zinaoonyesha muelekeo fulani unaoweza kumvutia mtu mwenye akili timamu kufanya uchunguzi; ila siyo ku-ACT

Mbali na hilo, DR aliyetajwa kuwa alihusika kusema kuwa anazo taarifa hizo na anaweza kuipatia Serikali
  • Ni kiongozi mstaafu maarufu na ambaye amestaafu muda siyo mrefu, kiasi kwamba hadi sasa, huwezi ukamtofautisha kiongozi huyo na Serikali iliyopo madarakani; kuna mstari mwembamba mno kati yake na Serikali
  • Kutokana na hilo, assuming ana taarifa muhimu kwa ajili ya Serikali, kiongozi huyu hana haja ya kutoa taarifa hizo mitandaoni, kwa sababu anao uwezo wa kwenda “White House” muda wowote anaohitaji kwa ajili ya kuwasilisha chochote alinacho anachoona kuwa kinafaa kuwasilishwa huko
  • Mbali na hilo, kiongozi huyo anao pia uwezo wa kupiga simu Serikalini kwa watu wanaohusika na chochote kile na hatimaye kuwapa taarifa yoyote aliyonayo, na hivyo hahitaji kutoa taarifa alizonazo kupitia mitandaoni
Kwa hiyo chances kubwa ni kwamba title DR ya kiongozi huyu inaweza kuwa ilitumika kwa ajili ya kutimiza mahitaji ya wajanja wachache kama akina KM-A

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 25th MAY 2023

MAELEZO KUHUSIANA NA WATU WAWILI AMBAO NI MR M NA KATIBU MHUTASI WA MKUU WA IDARA (KMWI)

HAWA NI MOJAWAPO YA WAHUSIKA WA HUJUMA KWENYE BAADHI YA VIPINDI VYA HIVI KARIBUNI VYA MASOMO KATI YA MHUSIKA NA WANAFUNZI WAKE

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kuna hujuma zimeanza kufanyika kwenye baadhi ya vipindi anavyohusika navyo mhusika, kitu ambacho kinasikitisha kidogo kwa sababu pamoja na kwamba hujuma hizi zimekuwa zikimlenga mhusika mwenyewe; kwa undani, wake zinawaendea wanafunzi moja kwa moja kwa sababu hao ndiyo wateja wa Taasisi

MOTIVE YA AWALI ILIYO NYUMA YA HUJUMA HIZI

Motive ya awali nyuma ya hujuma hizi inasababishwa na FUNGUO ikiwa ni pamoja na VITASA vya milango; na maelezo yake kwa kina yatafuata huko mwisho. UBAO wa kuandikia nao vile vile unahusika pia

Alichokibaini kwenye utafiti wake, mhusika anatakiwa awe anaagusagusa funguo na vitasa vya milango tofauti tofauti, hali inayopelekea kwenye darasa la siku hii apewe funguo za kitasa hiki na kwenye darasa linalofuata tena siku nyingine, apewe funguo za kitasa kingine

MFANANO WA HIKI AMBACHO KIMEFANYIKA OFISINI, NA MATUKIO MENGINE AMBAYO YALIWAHI KUFANYIKIA KANISANI MWAKA JANA

Hali hii iliyojitokeza ofisini, ilishawahi kujitokeza hata pia Kanisani kipindi fulani

Kwenye kipindi hicho, mhusika alikuwa anatakiwa awe anagusa gusa viti tofauti tofauti; kwa kubadilisha position za kukaa.

  • Kwa kanisani, mbinu iliyokuwa inatumika na kumsababisha ahame kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, ni ku-corrupt sauti za speakers kwenye eneo analokuwa amekaa na hivyo kupelekea asisikie vizuri kinachosemwa kutokea madhabahuni
  • Kitu hiki kilikuwa kinafanyika wakati ule wa matangazo, baada ya Ibada kuu kuwa imehitimishwa; na maelezo ya kina kuhusiana na swala hili mhusika alishawahi kuyaleta humu jukwaani
UTAFITI WA MHUSIKA KUHUSIANA NA SWALA HILI LA VITASA NA FUNGUO

Utafiti aliuofanya mhusika mpaka muda huu, umeshaonyesha kuwa kuna SPRITUAL PROGRAMMING ambayo ilikuwa tayari imeshafanyika, na possibly ilikuja kufanyika tena upya wiki juzi siku ya kubadilisha vitasa, kiasi kwamba kwa sasa, FUNGUO (na hivyo vitasa vyake) zilizotajwa kwenye mafungu yafuatayo hapa chini, zina uhusiano mkubwa kwenye ulimwengu wa roho na hivyo ziko IDENTICAL

  • Funguo za milango ya nyumba/ ofisi/ majengo na hivyo VITASA VYAKE
  • Funguo za milango ya magari na hivyo VITASA VYAKE na START BUTTONS zake pia
  • Funguo za DATABASE (DBMS) (hapa bado hajafanikiwa kujua vitasa vya funguo za DBMS ni nini)
Kwenye ulimwengu wa roho, funguo kutoka kwenye makundi haya matatu ziko IDENTICAL, ni kitu kimoja

Ikumbukwe pia kuwa funguo za DBMS kama zilivyo kwenye DBMS yenyewe, ni majina ya watu au ya vitu ila kwenye ulimwengu halisi, ni WATU AU VITU kwa sababu hizi ni ENTITIES za DBMS ambazo kwenye ulimwengu halisi, huwa zina manifest kama REAL PHYSICAL WORLD OBJECTS

MAELEZO YA HUJUMA MBILI ALIZOKUMBANA NAZO MHUSIKA KATIKA KIPINDI HIKI AMBACHO AMEKUWA AKIENDELEA NA MADARASA YAKE

Hujuma ya kwanza ilifanyika J3 ya tarehe 17/04/2023 na mhusika wake mkuu alikuwa ni Katibu Muhtasi wa Mkuu wa Idara (KMWI)

Hujuma nyingine ya pili ilifanyika tena J3 ya wiki hii tarehe 22/05/2023 huku wahusika wake wakiwa ni wafuatao

  • KMWI mwenyewe kama ilivyo kawaida
  • Senior Mstaafu wa Kiume mwingine (tumwite SMME-2) ambaye kwenye siku za J3 asubuhi, amekuwa akifundisha vipindi kwa kutumia darasa lililo KULIA (tuliite DARASA KULIA), likiwa liko mkabala (adjacent) na lie ambalo mhusika amekuwa akilitumia kwenye siku hiyo hiyo ya J3
  • MR M
  • Kijana aliyekuwa amekasimishwa mamlaka ofisini kwa KMWI J3 ya tarehe 22/05/2023, baada ya KMWI mwenyewe kutokuwepo ofisini hapo muda ule ambao mhusika alifika ofisini hapo kwa ajili ya kuchukua funguo za darasa
Kwa hiyo darasa lile ambalo mhusika amekuwa akilitumia liko KUSHOTO ((tuliite DARASA KUSHOTO) wakati lile ambalo limekuwa likitumiwa na SMME-2 liko upande wa kulia

KUHUSIANA NA DARASA HILO AMBALO MHUSIKA AMEKUWA AKILITUMIA

ALILAZIMIKA KULITUMIA BAADA YA KULIKUTA J3 YA TAREHE 17/04/2023 LIKIWA LIKO WAZI NA HIVYO SI DARASA LILE AMBALO VIPINDI VYAKE VIMEPANGIWA HUMO


Kitu muhimu cha kukumbuka hapa ni kwamba darasa ambalo mhusika amekuwa akilitumia kwa J3 zote kuanzia ile ya tarehe 17/04, si lile ambalo vipindi vyake vimepangiwa humo isipokuwa kuna hali fulani tu iliyojitokeza J3 hiyo na hivyo kupelekea akalazimika kutumia darasa hilo

MAELEZO KUHUSIANA NA HUJUMA YA KWANZA:

J3 YA TAREHE 17/04/2023 SAA 2:00 ASUBUHI


J3 hiyo, mhusika alifika ofisini kwa MWI akiwa anahitaji funguo za kwenye darasa ambalo kipindi chake kilikuwa kimepangiwa na hivyo kuomba kuazima funguo hizo

  • KMWI alimjibu mhusika kuwa funguo zilikuwepo isipokuwa siku hizi hazifungui tena mlango huo
  • Baada ya kusikia hivyo, mhusika aliomba funguo za chumba kingine cha maabara ya MR X ili akafundishie humo, lakini nazo hazikupatikana
Wakat maongezi kati ya mhusika na KMWI yanaanza, KMWI alikuwa nje ya ofisi yake kwa sababu ndani ya ofisi, alikuwemo mtoto wa usafi akifanya usafi

  • Mtoto huyo alikuwa ametimua vumbi jingi ofisini humo kwa sababu alikuwa anafagia carpet kwa kutumia fagio hizi zenye nyuzi za katani
  • Possibly machine ya kunyonya vumbi kwenye carpet ilikuwa na tatizo
  • Kwa hiyo kulikuwa na vumbi jingi lilikuwa limetimka ofisi nzima kiasi kwamba ilikuwa ni bora zaidi kutokufanya usafi siku hiyo, kuliko kufanya kwa kutumia fagio ambayo ilikuwa imetimua vumbi la ajabu mno ofisini humo
Mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho aliwahi kuona usafi wa aina hiyo ukiwa unafanyika. Ni kweli kwamba usafi wa aina hiyo huwa unajitokeza mara moja moja ila ni very rare

Kutokana na hali hiyo kutimka kwa vumbi huko ndiko kulikokuwa kumepelekea KMWI awe nje ya ofisi yake, na mhusika naye pia kutokuingia humo kwa sababu mwenye ofisi alikuwa yupo nje, hali iliyopelekea wawili hawa kufanyia maongezi yao nje ya ofisi kwenye veranda

Hata hivyo kuna kipindi vumbi lilitulia na KMWI aliingia ndani akijibaraguza kutafuta funguo zile za chumba cha maabara ya MR X ambazo mhusika ali-opt kuomba baada ya kukosekana zile za darasa la kawaida alilokuwa amepangiwa, ambazo nazo pia hazikuweza kupatikana siku hiyo

Hata hivyo, kuna darasa lilikuwa wazi maeneo yale karibu, huku likiwa linaonyesha dalili ya kutokuwepo na kipindi, na mhusika aliamua kuingia humo na wanafunzi wake

Katika hali ya kawaida, siyo kawaida sana kwa darasa kuwa liko wazi bila kipindi hasa kwenye mida ya kuanzia saa 2:00 asubuhi

DARASA LA KUSHOTO LAENDELEA KUWA WAZI TANGU HAPO ISIPOKUWA J3 YA WIKI HII TAREHE 22/05/2023; SMME-2 ALIPOAMUA KUBADILISHA DARASA NA KUHAMISHIA KIPINDI CHAKE HUMO


Tangu pale, darasa hili liliendelea kuwa wazi kwenye J3 zote hadi ilipofika J3 ya wiki hii tarehe 22/05/2023 ndiyo lilipata tena watumiaji

J3 hiyo, SMME-2 alihama kutoka darasa la KULIA na kuingia darasa la KUSHOTO; lile ambalo mhusika amekuwa akilitumia, huku akiacha darasa la KULIA likiwa halina viti vya kutosha kukaa wanafunzi

Hapa kinaongezeka kitu kingine kwamba kilichokuwa kimemhamisha SMME kutoka KULIA kwenda KUSHOTO, ni ule UBAO WA KUANDIKIA ambao mhusika amekuwa akiutumia kwa wiki kadhaa kwenye lile darasa la KUSHOTO

Mbali na hilo, viti navyo vilikuwa vimehamishwa pia kutoka kwenye darasa la KULIA ili mhusika asilitumie tena siku hiyo, akatumie darasa jingine na ubao mwingine; na hivyo funguo zingine na vitasa vingine vya milango

Hapa ikumbukwe kuwa

  • Wakati SMME-2 anatumia darasa la KULIA, viti vilikuwa vinatosha kwa wanafunzi aliokuwa nao; na wakati huo huo mhusika naye alikuwa anatumia darasa la KULIA, huku viti vikiwa vinatosha
  • Viti hivi huwa havihamishwi kupelekwa sehemu nyingine nje ya madarasa hayo mawilii, isipokuwa vinaweza kuhamishwa tu kutoka darasa la kushoto kwenda la kulia, au kutoka la kulia kwenda la kushoto
  • Idadi ya viti katika kila darasa huwa iko swa kwa sababu madarasa hayo yako IDENTICAL, yanalingana dimensions na kila kitu
…………………..inaendelea
 
Kwa hiyo J3 ya tarehe 22/05/2023, SMME-2 aliamua kuhamia darasa la kushoto, huku akichukua viti vingi kwenye darasa la KULIA na kuliacha halina viti vya kutosha

Kwa J3 zote zilizokuwa zimepita nyuma, viti vilikuwa vinawatosha wanafunzi wamadarasa hayo mawili na kwa idadi ile ile ya wanafunzi,

BAADA YA MHUSIKA KUONA VITI HAVITOSHI KWENYE DARASA HILO AMBALO LIKO JIRANI KABISA NA OFISI YA MKUU WA IDARA, ALIAMUA KUINGIA OFISI YA MWI KUOMBA FUNGUO ZA DARASA RASMI LA KIPINDI HICHO


Tukirudi nyuma kidogo, baada ya darasa la J3 ya tarehe 17/04/2023 kukosa funguo za chumba kwa madai kuwa zilizokuwepo ofisini kwa MWI zilikuwa haziwezi kufungua chumba hicho, kuna session nyingine ya wanafunzi walewale ila kundi jingine la pili, ambao wao waliwahi kufanya kipindi chao na mhusika kwenye darasa hilo IJUMAA ya tarehe 14/04/2023

  • Siku hiyo mhusika alilikuta darasa hilo likiwa tayari limefunguliwa kwa sababu kipindi hicho kilianza saa 3 asubuhi
  • Hawa kundi jingine la J3 kipindi kinaanza saa 2:00
  • Possibly waliokuwa wamefungua darasa hilo ni wenye ofisi zinazoshare lango kuu na darasa hilo
  • Yupo pia staff ambaye ni special kwa ajili ya kufungua madarasa yote
Baada ya weekend kupita, ilipofika J3 ya tarehe 17/04/2023 ndiyo ikajulikana kuwa funguo za darasa hilo hazifungui tena na hivyo mhusika alitakiwa possibly, awe anaazima funguo za mmojawapo wa watu ambao ofisi zao zina-share geti kuu na darasa hilo

Mhusika hakuweza kufanya hivyo kwa sababu kuu mbili

  • MOSI: Kuna mtu ambaye huwa yuko responsible kufungua madarasa, na muda mfupi tu kabla ya saa 12:00 kamili asubuhi
  • PILI: Kopi za funguo za vyumba vyote idarani huwa zipo ofisini kwa MWI na hivyo watu hawalazimiki kuazimana funguo zao wenyewe unless kama mtu amependa mwenyewe kuazima funguo kutoka kwa staff mwingine
Kwa hiyo, baada ya darasa la J3 ya tarehe 17/04/2023 kufanyikia kwenye darasa la KUSHOTO, kundi jingine la wale wa Ijumaa ya tarehe 21/04/2023 walibahatika kufanyia tena kwenye darasa rasmi, lile ambalo J3 ya wiki hiyo funguo zake zilikuwa haziwezi kufungua

Kwa hiyo madarasa haya mawili ya kozi moja ila kwa siku tofauti, yakawa yanafanyia vipindi vyake kwenye madarasa mawili tofauti, huku kwenye ratiba kuu yakiwa ni darasa moja lililopangiwa chumba kimoja kwa siku mbili za wiki za J3 na IJUMAA

  • Ijumaa hiyo, mhusika alilikuta darasa hilo likiwa limefungwa, lakini alipoenda ofisini kwa MWI kuomba funguo zake (ambazo J3 ya wiki hiyo tu zilikuwa zilisemekana kuwa hazifungui), mhusika alibahatika kupewa funguo hizo na ziliweza kufungua darasa pasipo tatizo lolote
  • Mhusika alipewa funguo hizo kwa maelekezo kuwa akimaliza kipindi azirudishe kwa MWI na alifanya hivyo
  • Kawaida, mtu anapochukua funguo husainishwa isipokuwa kwa siku hiyo KMWI alizichomoa tu kutoka kwenye droo na kumkabidhi mhusika
Baada ya kuona hivyo, mhusika alilazimika kuzirudisha funguo hizo ukizingatia masharti yaliyokuwa yamewekwa nyuma yake

Vinginevyo mhusika asingependelea sana kuzirudisha funguo hizo Ijumaa hiyo kwa sababu J3 ya wiki iliyokuwa mbele alikuwa na session nyingine na wanafunzi wa kundi la pili na kwenye chumba hicho hico

  • Hata hivyo mhusika alipendelea zaidi kuzirudisha funguo hizo kwa sababu kitendo cha KMWI kumkabidhi mhusika funguo hizo pasipo kumsainisha popote, kulitoa taswira ya kama mhusika hakutakiwa kuacha ushahidi wa kuazima funguo ofisini kwa MWI siku hiyo
  • Mhusika alizirudisha funguo Ijumaa hiyo na ilipofika J3 ya wiki iliyofuata, alikuta darasa hilo likiwa limefungwa huku lile la KUSHOTO likiwa wazi na likiwa tupu
  • J3 hiyo, mhusika alifanyia kipindi chake tena kwenye darasa la kushoto, badala ya lile la kwenye ratiba kuu
  • Vile vile J3 ya tarehe 15/05/2023 darasa la mhusika na wanafunzi wake lilifanyikia humo, safari hii akiwakuta wanafunzi wakiwa tayari wameshakaa humo wakimsubiri, kuonyesha kuwa walikuwa wameshaanza kulizoea darasa baada ya kuonekana kuwa limekuwa liko wazi kwa wiki kadhaa sasa
Hata hivyo, ilipofika J3 ya wiki hii tarehe 22/05/2023 ndiyo pale mhusika alipokutana na kingingi kwenye darasa hilo la KUSHOTO, huku lile la KULIA likiwa liko wazi; ila pasipokuwa na viti vya kutosha

Hapo mhusika aliamua kuingia ofisini kwa MWI kuchukua funguo za darasa lile la wale wa Ijumaa ambalo ndiyo liko rasmi kwenye ratiba kuu

Hata hivyo kwa bahati mbaya, funguo hizo nazo hazikupatikana tena siku hiyo huku KMWI akiwa hayupo ofisini; alikuwa amekasimisha mamlaka yake kwa mtu wingine

Ilikuwa ni mara ya pili sasa funguo hizo kukosekana, mara ya kwanza ikiwa ni J3 ile ya tarehe 17/04/2023

Baada ya kukosekana funguo, aliyekuwepo ofisini alitoa ushauri kuwa mhusika akatumie CONFERENCE ROOM (CR) kama mbadala, kwa sababu funguo zake ndiyo zilizokuwepo hapo ofisini J3 hiyo

  • Mhusika alikubali kuchukua funguo hizo na kwenda kufungua CR na kuendelea na darasa lake humo
  • Safari hii tena, hakuna mahali mhusika alisainishwa kuonyesha kuwa alikuwa amechukua funguo ofisini kwa MWI
Baada ya darasa la mhusika kuisha, ikaonekana tena kuwa MR M naye alikuwa na darasa na wanafunzi hao hao na hivyo alipenda kuendelea nao akiwa humo humo CR na hivyo alizihitaji funguo hizo

  • Ujumbe huu mhusika alupata kutoka wa mwakilishi wa darasa (MD) au class representative
  • Darasa la MR M halikuwa scheduled kufanyikia humo kwa sababu CR huwa haipo kwenye ratiba ya vyumba vya kufundishia
Funguo hizo alimkabidhi MD na baada ya hapo aliondoka kuelekea ofisini kwa MWI kuwajulisha kuwa funguo alikuwa amezikabidhi kwa MR M

Ilikuwa ni mara ya pili kwa mhusika na MD kufanya maongezi

………………………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 27TH MAY 2023

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA TENA NA MAELEZO YAKE KUHUSIANA NA MR M………………

MUHIMU YALIYOJIRI KUANZIA J2 YA WIKI ILIYOPITA (KANISANI) HADI IJUMAA YA WIKI HII (OFISINI) TAREHE 26/05/2023


Tukianza na yale yaliyojiri siku ya Ijumaa mhusika alipokuwa yupo ofisini

Mhusika aliingia ofisini Ijumaa asubuhi huku akiwa na darasa la masaa mawili lilokuwa linatarajiwa kuanza saa 3:00 kamili na kumalizika saa 5:00 kamili asubuhi

WANAFUNZI WAFANYIWA HUJUMA NYINGINE KUBWA ZAIDI IJUMAA HII:

DARASA LA MASAA MAWILI IJUMAA YA TAREHE 26/05/2023 LASHINDIKANA KUFANYIKA BAADA YA WANAFUNZI WOTE KUTOKUFIKA KWENYE CHUMBA CHA MHADHARA


Wanafunzi hao hawakuweza kufika kwenye darasa hilo la Ijumaa baada ya kuwa wamesambaziwa ujumbe ndani ya wiki kuwa darasa hilo la Ijumaa halitakuwepo

Mara ya mwisho mhusika alikuwa na wanafunzi hao J3 ya tarehe 22/05/2023 kwenye kile chumba cha mikutano ambacho mhusika tayari ameshatoa maelezo yake hapo juu

  • Hili lilikuwa ni kundi lile la J3
  • Kundi jingine la Ijumaa lenyewe lilimaliza sessions zake wiki iliyopita, na hivyo vipindi vya Ijumaa ya kuanzia wiki hii, kuchukuliwa na kundi la J3 ili liweze kumaliza haraka kwa sababu kundi hili bado liko nyuma
  • Kwa hiyo kuanzia wiki hii kundi la J3 lilkatakiwa kuwa linakutana mara mbili kwa wiki badala ya mara moja kama ambavyo imekuwa tangu mwanzo
MAELEZO KWA UFUPI KUHUSIANA NA MAKUNDI HAYA MAWILI

Makundi haya mawili yote ni darasa moja ambalo limegawanyika kwenye sehemu mbili kwa muda kutokana na nafasi za madarasa kuwa hazitoshi au hazilingani na uwingi wa wanafunzi

  • Vinginevyo kama nafasi isingekuwa ni tatizo, makundi haya mawili yote ni darasa moja ambalo lilitakiwa kuwa linakutana siku mbili kwa wiki, ambazo ni J3 na Ijumaa
  • Baada ya kugawanyika makundi mawili, kundi la Ijmaa limefanikiwa kumaliza haraka zaidi kuliko lile la J3
  • Vile vile, baada ya kundi la Ijumaa kumaliza, nafasi ya Ijumaa ikawa imebaki wazi na hivyo kutoa mwanya kwa kundi la J3 kupata nafasi nyingine ya kuwa linakutana kwa siku ya Ijumaa pia
Kwa hiyo mara ya mwisho mhusika alikutana na kundi hili ilikuwa ni J3 ya wiki hii na siku hiyo alilijulisha kuwa angekutana nalo tena siku ya Ijumaa, baada ya wenzao wa Ijumaa kuwa wamemaliza sessions zao na hivyo kuacha nafasi hiyo wazi kwa ajil yao kundi la J3

Baada ya mhusika kuachana na kundi la J3 siku hiyo na kwa makubaliano kuwa angekutana nalo tena siku ya Ijumaa, kundi hilo halikuweza kuonekana darasani, baada ya kuwa limesambaziwa ujumbe kuwa darasa la Ijumaa halipo

Mtu aliyesambaza ujumbe huo na hivyo kupelekea darasa hilo kutofanyika, bado mhusika hajamfahamiu vizuri

KABLA MHUSIKA HAJAFAHAMAMU KUWA WANAFUNZI WASINGEFIKA DARASANI ASUBUHI HIYO KUTOKANA NA KUWA WALIKUWA TAYARI WAMESHASAMBAZIWA UJUMBE KUWA DARASA LA IJUMAA LISINGEKUWEPO

Alifika ofisini kwa MWI na kuazima Projector kwa kusaini kwenye daftari la kumbukumbu

  • Aliyekabidhi Projector kwa mhusika, ni mfanyakazi yule ambaye J3 yake alikuwa amemkabidhi mhusika funguo za chumba cha mikutano ili akafundishie humo
  • Baada ya wanafunzi kutokufika kwenye chumba cha mihadhara Ijumaa hiyo, muda huo huo mhusika aliamua kuirudisha projector aliyokuwa ameazima, ofisini kwa MWI, na hapo ndipo mhusika alipoanza kuona kile ambacho kilikuwa NYUMA YA PLAN YA TUKIO LA WANAFUNZI KUSAMBAZIWA UJUMBE WA KUWADANGANYA KUWA DARASA LA IJUMAA HIYO LISINGEKUWEPO; UJUMBE ULIOKUWA UMEPELEKEA WANAFUNZI HAO KUTOKUFIKA DARASANI ASUBUHI HIYO
……………………..inaendelea
 
WAKATI ANARUDISHA PROJECTOR:

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEINGIA NDANI OFISI YA MKUU KWA IDARA


Pale nje ya counter alimkuta staff mwingine akiwa aanasini kitabu cha mahudhurio ya wafanyakazi na alikuwa yuko peke yake ofisini hapo

  • Mfanyakazi huyu ni yule ambaye aliwahi kupata matatizo ya kiafya siku za nyuma zaidi ya muongo mmoja uliopita ila kwa sasa afya yake iko vizuri
  • Kule ndani ya ofisi ya MWI hapakuwa na mtu hata mmoja, wenyeji wote hawakuwepo
  • Kwa hiyo, aliyesababisha ofisi hiyo iendelee kuwa wazi, ni huyu mfanyakazi aliyekuwa anasaini kwenye daftari la mahudgrurio ya wafanyakazi
Zilikuwa zimepita takribani dakika 20 hivi kutoka muda mhusika alipoazima projector hadi muda huo alipokuwa anairudisha teana ofisini hapo

COINCIDENCE MUHIMU WAKATI MHUSIKA ANARUDISHA PROJECTOR OFISINI KWA MWI

MHUSIKA AGONGANA NA MTU MWINGINE A OFISINI HAPO NA ASIYEMFAHAMU, NAYE PIA AKIWA ANARUDISHA PROJECTOR


Wakati mhusika anaingia ofisini hapo na kumkuta mfanyakazi mwenzake akiwa anasaini kwenye daftari la mahudhurio, mtu mwingine ambaye mhusika hakumfahamu, naye aliingia akiwa anamfuata mhusika kwa nyuma, naye pia alikuwa anarudisha

  • Kwa juu juu, mtu huyu alionekana kuwa ni mwanafunzi aliyekuwa ametumwa na mwalimu wake, kurudisha projector hiyo kwa niaba ya mwalimu
  • Possibly alikuwa amechelewa kidogo kuirudisha Projector hiyo kwa sababu ilionekana kuwa darasa lililokuwa linatumia projector hiyo, liliisha kwenye muda ambao ulikuwa ni around saa tatu na nusu (9:30 a.m.)
Vinginevyo, kwa darasa ambalo lingekuwa limeisha kwenye dakika 5 kabla ya kukamilika kwa saa husika (saa 2, saa 3, saa 4….),

  • Projector hiyo iliyokuwa imebebwa na mtu aliyeonekana kuwa ni mwanafunzi, ilitakiwa kuwa imesharudishwa ofisini hapo angalau dakika 20 zilizokuwa zimepita
  • Kwa hali hiyo kama projector hiyo ingekuwa imerudishwa katika muda ulio sahihi, hapangekuwa na uwezekano wa mhusika kugongana na mtu huyo aliyekuwa amerudisha projector hiyo ofisini hapo kwa MWI
Kwa hiyo kuna hali iliyojionyesha kwa mhusika kuwa the purpoted student aliyekuwa amerudisha projector ofisini kwa MWI, alikuwa ame-synchronize muda wake wa kurudisha projector hiyo baada ya kujua kuwa mhusika angeridisha projector hapo kwa MWI muda unaoendana na aliokuwa ameukisia

HITIMISHO

Kitendo cha the purpoted student kurudisha projector huku akiwa ame-synchronize muda wake na ule wa mhusika, kinaonyesha dhahiri kuwa kuahirishwa kwa darasa la mhusika kutokana na wanafunzi kukosekana darasani, kulikuwa pre-planned

Kutokana na hali aliyoikuta mhusika ofisini hapo kwa MWI kwamba wahusika wote hawakuwepo ofisini, mhusika aliamua kutokuiacha projector hiyo hapo bali aliibeba na kuwafuata wahusika chumba cha chai kilicho jirani na ofifi hiyo na kwenda kuwakabidhi projector hiyo

Kwenye swalal hili la projector, uhakika alionao mhusika ni kuwa angeweza kuiacha projector hiyo hapo ofisini kwa MWI pasipo kumkabidhi mtu yoyote na wenyeji wangeweza kurudi ofisini na kuikuta ipo haijachukuliwa au kuibiwa na mtu yoyote, isipokuwa kile ambacho hakuwa na uhakika nacho ni wenyeji wa ofisi kurudi na kuikuta projector hiyo ikiwa ni salama kwa mazingira ya ofisi hiyo na watu wengine waliokuwa wapo karibu.

Kwa mhusika kuiacha peke yake ofisini hapo, chances ni kwamba projector hiyo ingeweza ku-compromise usalama wa ofisi hiyo na pengine hata wa jengo zima, na mtu ambaye angekuwa moja kwa moja responsible na shida hiyo ni mhusika mwenyewe
..........................inaendelea
 
TUKIO LA PROJECTOR OFISINI UKILIHUSIANISHA NA TUKIO JINGINE LILILOTOKEA KANISANI J2 YA WIKI ILIYOPITA TAREHE 21/05//2023 WAKATI WA IBADA YA PILI

Wakati wa Ibada ya pili, mara tu baada ya Kiongozi wa zamu kufungua Ibada kwa sala, kiongozi huyu alianza kuwasisitiza waumini wajaze nafasi za viti vilivyo wazi kati yao

Kawaida kwa Ibada ya pili, waumini huwa siyo wengi, kiasi kwamba viti vingi huwa vinabaki wazi na hivyo swala la kuwasisitiza waumini wa Ibada hiyo kukaa kwa kubanana, huwa halina mantiki ya kushughulika na viti vya kukaa waumini kwa sababu viti huwa viko ziada, huku waumini wakiwa ni wachache kuliko viti

Kwa hiyo, mantiki ya kuwapanga waumini kukaa kwa karibu karibu wakati wa Ibada ya pili huwa haina uhusiano na viti bali mambo kadhaa yafuatayo kama yalivyoorodheshwa hapa chini

  • Huwa ni maandalizi kwa ajili ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) atakapokuwa amepanda juu madhabahuni kwa ajili ya kutoa matangazo yake ambayo karibia mara zote lazima yawe yameambatana na sehemu ya fulani ya upumbavu
  • Kwa hiyo kuwapanga waumini wa Ibada ya pili kukaa kwa kubananabanana ilhali wakati wa Ibada hiyo viti huwa ni vingi kuliko waumini, huwa ni sehemu ya maandalizi ya kutekelezwa kwa upumbavu wa KM-A
  • KM-A akishapanda madhabahuni, huwa ana kawaida ya kuwaomba waumini kufanya mojawapo ya mambo kadhaa yafuatayo ambayo ni mojawapo ya njia zake ambazo huwa anazitumia kuhakikisha kuwa waumini wote kwenye Ibada husika, wamechukua mapepo anayoyarusha kutokea madhabahunu
  • KM-A huwa anawaomba waumini aidha kusemezana wao kwa wao, maneno yake aliyotunga na kuwaomba wayatamke au kwa kuwaomba kugusana
Mambo haya huwa anayafanya pindi anapokuwa amesimama juu madhababuni, baadhi yake tu yakiwa ni kama vile

  • “Mgeukie alliye kulia na kushoto kwako mpe tano za juu…………………”
  • “Mgeukie alliye kulia na kushoto kwako mwambie…………………”
  • Vinginevyo kwa upande wake yeye mhusika kama binafsi; yeye mara nyingi amekuwa akitakiwa abadilishe position ili kiti alichokuwepo awali kitumike na mtu mwingine na akatumie kiti kingine tena
  • Mbali na hilo, waumini huwa watakiwa kufanya hivyo ili kubadilisha LOCATION na hivyo swala hili huwa linahusika na LOCATION pia
Katika hili, kile ambacho mhusika alishakibaini pasipo shaka ni kwamba vitu vyote ambavyo huwa anavigusa anapokuwa yupo mazingira ya Kanisani, huwa vinageuka kuwa Almasi kwa warusha mapepo Kanisani kama KM-A

Na mengine mengi yanayofanana na haya

Sasa mambo haya huwa hayawezi kutendeka kama anavyotaka inapokuwa imetokea waumini wamekaa kwa magap kwa sababu continuation kati yao huwa inakuwa compromised na hivyo KM-A kushindwa kupata kile ambacho huwa anakuwa amekihitaji.

  • Kwa hiyo ili kuweza kuwakava waumini wote continuation ni muhimu na hivyo inabidi magap kati ya viti walivyokaa yasiwepo
  • Kwa hali hiyo Kiongozi wa zamu J2 iliyopita, alifanya tena utaratibu huu, huku mhusika mwenyewe akiwa na udhuru na hivyo yeye hakuweza kubadilisha nafasi yake aliyokuwa amekaa
Mbali na hilo, kwa sasa mhusika ameshachoka kabisa na upumbavu wa viongozi wa Kanisa A kwa sababu imefikia hatua sasa wameshaanza kufanya mambo kama hawana akili timamu. Viongozi hawa wengi wao wana akili timamu isipokuwa ni malicious; kidogo labda KM-A ndiyo huwa anaonyesha dalili kwa mbali kama ana shida kidogo kichwani lakini possibly inaweza kuwa ni asili yake na hivyo hata yeye anaweza kuwa yuko timamu kichwani

BAADA YA WAUMINI KUPANGWA ILI KUZIBA MA-GAP KATI YAO HUKU MHUSIKA AKISHINDWA KUBADILISHA NAFASI YAKE; MGENI AINGIA KWENYE IBADA AKIWA NA BEGI DOGO

Muda si mrefu wakati Ibada ya Kusifu na Kuabudu ilipokuwa inaendelea, kijana wa kiume mgeni kabisa Kanisani hapo, alifika na kuja kukaa kkwenye kiti kilichokuwa mbele ya mhusika, akiwa na begi dogo ila kubwa kiasi kama haya ya kubebea Laptop

  • Huu mtindo haukuwa mara ya kwanza kufanyika, mhusika alishawahi kuuona tena kanisani hapo takribani miaka miwili iliyopita na madhara yake anayafahamu
  • Kuona hivyo, mhusika aliamua kubadilisha nafasi ya kiti chake na kwenda kukaa sehemu nyingine
Hata hivyo kubadilisha nafasi kwa mhusika hakukuondoa tatizo lote kwa sababu the fact kwamba kijana mwenye begi alifika na kukaa karibu na mhusika, mtu mmoja mahali fulani angeweza kusema kuwa,

…………“nilimuona mhusika akipewa kitu fulani na mgeni aliyefika Kanisani akiwa na begi na baada ya hapo, aliamua kubadilisha kiti na kwenda kukaa sehemu nyingine. Kabla ya hapo, pamoja na msisitizo wa Kiongozi wa zamu, mhusika bado aligoma kubadilisha nafasi pamoja yake kwa sababu kuna mtu alikuwa anamsubiria

KICHWA CHA SOMO J2 HIYO

Kichwa cha somo J2 hiyo kilihusiana na mpinga Kristo na Ibada ilikuwa ni fupi sana.

  • Kwenye J2 zote ambazo KM-A huwa anakuwa hayupo, Ibada huwa ni fupi sana; na haijulikani ni kwa nini
  • Msemaji ailidai kuwa mpinga Kristo atapigana na watakatifu na atawashida kwa sababu atakuwa ameruhusiwa na Kristo
Baada ya mpinga Kristo kuwa ameshinda watakatifu, haikusemwa ni nini kitatokea, waumini waliachwa hewani

Tukio hili la mgeni wa Kanisani na tukio la Projector ofisini kwa mhusika ni rare coincidence

Tukio la Kiongozi wa zamu Kanisani J2 iliyopita kuwaomba waumini wabadilishe LOCATION zao ili kuziba magap kati yao na lile la IJUMAA ofisini kwa mhusika kwa wafanyakazi wa ofisi ya MWI kuwakuta wamebadilisha LOCATION zao wakati mhusika alipokuwa anarudisha Projector, is a rare coincidence too…..

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NAMNA RATIBA YA KM-A ILIVYOKUWA KWENYE J2 HIZI MBILI ZILIZOFUATANA UKIIHUSIANISHA NA “LOCATION”: J2 ZA TAREHE 21 NA 28/05/2023

Kwenye J2 zote hizi mbili, KM-A naye pia alikuwa amebadilisha LOCATION

  • J2 ya tarehe 21/05/2023 hakuwepo Kanisani na hivyo alikuwa wamebadilisha LOCATION
  • Zaidi ni kuwa waumini wa Ibada ya pili hawakujulishwa J2 hiyo kwa nini KM-A hakuwepo Kanisani
  • Vile vile, J2 ya tarehe 28/05/2023 alibadilisha LOCATION tena kwa sababu alikuwepo Kanisani ilhali J2 iliyokuwa imepita nyuma hakuwepo
Hata hivyo, hii haimaanishi kuwa KM-A hatakiwi kutokuwepo Kanisani au hatakiwi kurudi baada ya kutokuwepo Kanisani; hapana

Issue hapa ni kwamba ndani ya siku hizi tajwa, zimejitokeza coincidences nyingi mno ambazo ziko linked na mashambulizi kupitia DATABASE YA WATU NA MAKAZI, na mojawapo ya milango iliyokuwa inatumika na mashambulizi hayo ni LOCATION

Zaidi ni kuwa mbali na KM-A, mtumishi yule aliyewahi kusimama madhabahuni J2 ya tarehe 21/05/2023, naye vile vile alikuwa amebadilisha LOCATION; akiwa anatokea kwenye mikutano ya Injili

Video fupi iliyoonyeshwa Kanisani J2 ya tarehe 14/05/2023 (J2 kabla ya ile ambayo mtumishi huyo alisimama madhaabahun) wakati wa matangazo ya Kiongozi wa zamu, ilimuonyesha mtumishi huyo akiwa yuko kwenye mikutano ya Injili

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Dr anasingiziwa wakati amechukuliwa picha akiongea mubashara? Huu uzi nikiusoma, napata hisia ya ama mimi nimechanganyikiwa au mleta uzi amechanfanyikiwa.
 
Dr anasingiziwa wakati amechukuliwa picha akiongea mubashara? Huu uzi nikiusoma, napata hisia ya ama mimi nimechanganyikiwa au mleta uzi amechanfanyikiwa.
Tafadhali naomba usome tu, usichangie. Kama una hoja simply PM!
By the way, source ya aliyeleta taatifa za DR ilikuwa ni mitandao ya jamii. Kama ulimuona anaongea ni wewe ila si yule aliyeleta taarifa za DR; yeye alisema source yake ilikuwa ni mitandao ya jamii
 
UPDATE: TUESDAY, 31ST MAY 2023

BREAKING NEWS!!!!!!

KWA WAUMINI WA KANISA A: KUHUSIANA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A

KWA WAUMINI WA KANISA WALIOKUWEPO KANISANI J2 YA TAREHE 28/05/2023

VILIVYOKUWA NYUMA YA PAZIA YA TANGAZO LA KM-A LA MKUTANO MFUPI WA DHARURA KATI YAKE (KM-A) NA WANAUME, ALIUOITISHA J2 HIYO YA TAREHE 28/05/2023 BAADA YA KILA IBADA KUMALIZIKA

Kikubwa zaidi
kilichokuwa kimefichwa nyuma ya tangazo hilo ni kwamba KM-A alikuwa anashughulika na milango ya fahamu ambayo ni MACHO, MASIKIO, NGOZI, ULIMI NA PUA

Kwa J2 hiyo pekee, KM-A ali-kava milango mitatu ya fahamu ambayo ni
  • Macho
  • Masikio
  • Ngozi
Hadi hapo KM-A akwa amebakiza milango mingine miwili ambayo ni PUA NA ULIMI

TANGAZO LA CHAKULA KWA KANISA ZIMA J2 IJAYO YA TAREHE 04/06/2023 LILILOTOLEWA NA KM-A J2 HIYO


Kwenye Ibada ya J2 ijayo, KM-A anatarajia ku-kava tena kwa kutumia waumini wote au kanisa zima, kuanzia watoto hadi watu wazima, ile milango mingine miwili ya fahamu iliyobaki, ambayo ni ULIMI na PUA

  • Kuna chakula kwa ajili ya watu wote Kanisani J2 ijayo, chakula ambacho ni special offer ya KM-A
  • Motive behind the offer ni kwamba baada ya Ibada J2 hiyo, KM-A anataka kuongea na wazazi kuhusiana na mambo ya watoto kwa sababu hali siyo nzuri sana kwa watoto hawa wanapokuwa huko nje ya Kanisa !!!!
Mhusika hakumbuki exactly ni lini mara ya mwisho Kanisa A kuliwahi kuwepo chakula kwa ajili ya Kanisa zima

Anachokumbuka ni kwamba kwenye aidha Pasaka au sikukuu ya watoto ya mwaka 2018, kulikuwa na kinywaji (soda) kwa Kanisa zima na kilinywewa kwenye Kanisa Jipya wakati huo liilikuwa bado halijaanza kutumika

Kwa ufupi tu ni kwamba, tangu mhusika aanze kuabudu Kanisa A, hajawahi kuona chakula cha Kanisa zima; ni mara yake ya kwanza

SEHEMU ALIYOKUWA AMESIMAMA KM-A WAKATI ANATOA TANGAZO J2 ILIYOPITA


Wakati anatoa tangazo lake KM-A, alikuwa amesimama kwenye sakafu CHINI YA MADHABAHU, na baada ya tangazo hilo, ALIPANDISHA JUU YA MADHABAHU, wakati wa Ibada ya pili, kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu

KILE AMBACHO KILISHAWAHI KUFANYWA NA KM-A HUKO NYUMA MWAKA 2020 KUHUSIANA NA MILANGO MITANO YA FAHAMU


Kwa walio na kumbukumbu nzuri, kipindi kile cha mwanzo mwaka 2020 wakati KM-A alipokuwa anaandaa shambulizi lake kupitia milango ya fahamu kwa mara ya kwanza, alianzia CHINI MADHABAHUNI akiwa anafundisha somo la katikati ya wiki, ambalo baadayae alilihamishia hata kwenye siku za J2

  • Kwa hiyo kwa siku za katikati ya wiki, KM-A likuwa anafundisha somo hilo akiwa amesimama CHINI MADHABAHUNI, na kwa siku za J2 alikuwa akilifundisha kwa kutumia sehemu zote mbili, ile iliyo chini mbele ya madhabahu, na sehemu ya kawaida ya JUU YA MADHABAHU
  • Ni kwa sababu alikuwa anafundisha somo hilo kwa kutumia vijana wawili kama mifano (demonstration) ya fundisho lake ambao wao (vijana) kwa muda wote wa Ibada, walikuwa wanasimama mbele CHINI YA MADHABAHU
  • Kwa kutumia vijana hao wawiili, KM-A alikuwa akifanya mazoezi ya kupandisha juu madhabahuni wakati akiendelea kufundisha
Baada ya kuona zoezi lake la kupandisha JUU MADHABAHUNI limefanikiwa, baadhi ya waumini ndiyo wakakaribishwa kwenye part Desemba 2020

  • Huko wakaenda KULA na KUNYWA na pia KUONA vilevile.
  • Hapo KM-A alikuwa sasa ana-test tu potency ya WEAPON yake mpya kuona kama inafanya kazi vizuri kwa sababu wakati huo tayari alikuwa ameshakava milango yote mitano ya fahamu
Baada ya hapo waumini waliobahatikia kuhudhuria hafla, walirudisha feedback za malalamiko yao Kanisani na kuaznia pale ndiyo KM-A aliweza tena kupandisha juu madhabahuni

Tofauti na kipindi hicho, safari hii hakufanikiwa kukamilisha milango yote ya fahamu kwa mpigo kwenye J2 moja, possibly kwa kuogopa kuwa PLAN yake ingeweza kwenda viral, na hivyo alibakiza PUA na ULIMI ambavyo hivyo viwili atashughulika navyo J2 ijayo

KUHUSIANA NA SEMINA YA PENYTEKOSTE ILIYOFANYIKA KWENYE WIKI ILIYOISHIA J2 YA TAREHE 28/05/2023

Mhusika hakuwepo kwenye Semina ya Pentekoste iliyofanyika ndani ya wiki iliyoishia J2 tajwa ya tarehe 28/05/2023 lakini indicationa aliyonayo kichwani ni kwamba wakati wa semina hiyo, madhabahu ya juu ilikuwa haitumiki kwa sababu ilikuwa imeshajulikana kuwa ni NO GO ZONE wakati huo, isipokuwa madhabahu ile ya chini tu

………………………..inaendelea
 
BAADHI TU YA MAMBO MUHIMU YALIYOJIRI J2 HIYO YA TAREHE 28/05/2023

Mhusika aliingia Kanisani dakika chache baada ya saa 4:00 asubuhi na kukuta waumini wa Ibada ya kwanza bado hawajaanza kutoka

Kabla hajafika Kanisani, kutokea pale kwenye mataa ya Ubungo Interchange hadi kwenye lango la geti la Kanisa, mhusika waliongozana na Profesa yule mwenye gari aina ya Vanguard ya siku zote; Profesa akiwa yupo mbele na mhusika akiwa nyuma

Walipofika Kanisani, mhusika alipitiliza kwenda kutafuta parking ya muda nje na hapo ndipo walipopotezana tena na Profesa

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEPAKI GARI LAKE NJE KWA MUDA

Hadi kufikia muda huo, Ibada ya kwanza ilikuwa imeshahitimishwa na waumini wa Ibada ya kwanza walikuwa wanaanza sasa kutoka nje

Akiwa tayari yupo ndani ya uzio wa Kanisa mhusika alinyoosha moja kwa moja hadi ndani ya nyumba ya Ibada

  • Mule ndani Kanisani alikutana na sauti ya KM-A akiwatangazia waumini wanaume wote wa Ibada ya kwanza, kukusanyika upande wa kushoto wa Kanisa au wa kulia kwa madhabahu
  • Pamoja na kwamba mhusika alihudhuria Ibada ya plii, aliona kama itakuwa ni misbehavior kidogo kuacha kuhudhuria kikao cha wanaume kwa wakati huo na kusubiri kile cha Ibada ya pili, wakati tangazo limetoka wakati akiwa tayari ameshafika Kanisani
Mhusika alisogea kwenye viti vya upande ule kilipokuwepo Kikao, na kabla hajakaa aliwaona watoto wawili rafiki zake wakiwa eneo hilo, mmoja wao akiwa ni yule rafiki yake wa siku zote, mtoto wa MR X

  • Kama ilivyo kawaida yake, mhusika aliwahug kila mmoja wao kwa kofi la “tano za juu za KM-A” la viganja vya mikono yake, marafiki zake hao
  • Huyu mtoto wa MR X alikuwa peke yake bila yule mwingine mdogo wake; kawaida mara nyingi huwa hawaachani
  • Mhusika alimuuliza rafiki mtoto wa MR X kuwa mwenzake alikuwa wapi
Baada ya hapo mhusika alitafuta kiti akakaa na kuanza kusikiliza kile ambacho KM-A alikuwa amewaitia wanaume

KM-A AANZA KUTOA MAUDHUI YA MKUTANO HUO MFUPI WA DHARURA; MAUDHUI ILIYOKUWA NA MANTIKI KUBWA TU

Mantiki ya tangazo la KM-A haikuwa ya kutiliwa mashaka yoyote na hivyo tangazo lake halikuwa na tatizo lolote kwa sababu lilikuwa ni la ushiriki wa mmojawapo ya mibaraka ambayo huwa inajitokeza mara kwa mara kwenye mazingira ya kila Kanisa

Kwa hiyo tangazo lilikuwa ni zuri na lenye mantiki kiubwa

NAMNA TANGAZO LILIVYOKUWA LIMEANDALIWA NA NAMNA LILIVYOTOLEWA (TANGAZO ADMINISTRATION)

KM-A alisema kuwa kwa muda huo tangazo hilo linawahusu wanaume tu kwa kuanzia, ila baadaye litakwenda hadi kwa akina mama pia

Hata hivyo tatizo kwenye tangazo lilianza kuonekana kidogo kutokea kwenye namna ambavyo KM-A alikuwa ameli-administer kutokana na mambo kadhaa kama ifuatavyo

  • Pamoja na kwamba ushiriki wa mbaraka ulikuwa unawahusu waumini wote; kwa siku hiyo KM-A alikuwa ameamua kuanza na wanaume pekee kwanza
  • Kulikuwa pia na kopi ya picha iliyokuwa imekuwa printed kwa kopi nyingi kiasi kwenye karatasi (hard copies) ambayo ilikuwa ndiyo kiambatanisho ambacho KM-A alikiletta kwa wanaume kama ushahidi ili waweze kushiriki mbaraka huo pasipo shaka yoyote
  • Kopi hizo zilikuwa ni picha ya Kanisa linaloendelea kujengwa mahali fulani muda huu, Kanisa ambalo ni afflliate ya Kanisa A kwa maana kuwa Kanisa hilo na Kanisa A yote yako chini ya Organisation moja
  • Picha hizo zilikuwa ni nyingi na kila mwanaume aliyekuwepo kwenye kikao hicho aliweza kupewa karatasi yenye picha na kuona picha iliyokuwa kwenye karatasi hiyo, na hatimaye kuirudisha kwa wahuska
Mmojawapo wa waumini waliokuwa wakiwasambazia wanaume document hiyo ni MR X

  • Kwa hiyo kila mwanaume aliyekuwepo kwenye kikao hicho, ALIGUSA na pia KUONA, document iliyokuwa imeletwa kwenye kikao hicho na KM-A
  • Mbali na hilo, kila mwanaume alikuwa anatumia MASIKIO kusikia kile kilichokuwa kinasemwa na KM-A kwenye kikao hicho
Muda wote wa kikao hicho, KM-alikuwa amesimama mbele upande wa kushoto wa CHINI YA MADHABAHU

KUTOKANA NA UZOEFU WAKE MHUSIKA WA NAMNA AMBAVYO WAUMINI WA KANISA A WAMEKUWA WAKISHIRIKI MIBARAKA MBALIMBALI


Kwa namna ambvyo mhusika amekuwa akiwafahamu waumini wa Kanisa A kwenye upande wa ushiriki wa mibaraka, hapakuwa na haja ya KM-A kuleta ushahidi wa hard copies kwa ajili ya kuwafanya wanaume waamini kuhusiana na mbaraka huo kwa sababu kadhaa zifuatazo

  • Kwenye ushiriki wa mibaraka hii midogo midogo, karibia mara zote KM-A amekuwa akiongea kwa maneno tu na waumini wote wanaitikia kwa kile anachowaeleza, hawajawahi kum-doubt hata siku moja
  • Mbali na hilo, kiasi kinachohitajika kwenye mbaraka huo, si kikubwa sana ukilinganisha na moyo na uwezo wa waumini wa Kanisa A katika kushiriki kwenye mibaraka
  • Still, PROJECTORS pamoja na TV SCREENS ikiwa ni pamoja na TARGET SCREEN moja kubwa, vyote vilikuwepo na vilikuwa vinafanya kazi kama kawaida
Kutokana na sababu hizo zilizotajwa hapo juu, hapakuwa na haja ya KM-A kuwaletea wanaume lundo la makaratasi yenye picha na kuwagawia, ikiwa kama ushahidi wa wao kuweza kuvutwa kushiriki kwenye mbaraka huo; hii ilikuwa ni misuse of resources

Hata hivyo kwa utafiti wake mhusika, mambo kadhaa yafuatayo ndiyo yaliyoplekea KM-A akaja na lundo la makaratasi hayo na si kwa ajli ya tangazo alilokuwa nalo.

Kwa hiyo tangazo la mbaraka halikuwa na uhusiano na makaratasi hayo ya KM-A bali lilitumika kama kava tu ya yeye kuweza kuleta makaratasi hayo kwa wanaume

…………………..inaendelea
 
KILICHOPELEKEA WANAUME KUGAWIWA MAKARATASI HAYO SIYO ULE MBARAKA AMBAO KM-A ALIWAOMBA WASHIRIKI

Makaratasi yaliletwa ili wanaume WAGUSE na pia KUONA, picha iliyokuwapo kwenye makaratasi hayo na si vinginevyo

Mbali na hilo, PROJECTOR isingeweza kutumika kuwaonyesha wanaume picha husika kwa sababu ili kuweza kuiona picha hiyo kwa kutumia PROJECTOR, KM-A angelazimika KUSIMAMA JUU MADHABAHUNI ilhali hadi muda mfupi kabla KM-A hajatoa hard copies za picha hiyo kwa wanaume, MADHABAHU YA JUU ILIKUWA NI NO GO ZONE kwake na hivyo isingeweza kumruhusu KM-A kupata kile alichokuwa anakihitaji

  • Kwa upande mwingine kama soft copy document hiyo ingeweza kuonyeshwa kutokea kwenye PROJECTOR, isingeweza kutoa mwanya wa watu kugusa, wangeweza kuona tu
  • Muhimu hapa ambacho mhusika anataka watu waelewe ni kwamba kitendo cha MADHABAHU YA JUU kuwa NO GO ZONE kwa KM-A haimaanishi kuwa KM-A alikuwa hawezi kabisa kupanda kwenye madhabahu hiyo isipokuwa ni kwamba MADHABAHU hiyo isingeweza kumruhusu kufanya kile alichokuwa anapenda kufanya
BAADA YA WANAUME KUWA WAMESIKIA, WAMEONA NA WAMEGUSA

Pale mwishoni mwa Ibada ya pili, KM-A ndiyo akatoa tangazo kuwa J2 ijayo ya tarehe 04/05/2023, kutakuwa na chakula kwa ajili ya wazazi wa watoto wote; J2 ambayo itakuwa ni sikukuu ya watoto

  • Kwa hiyo J2 ijayo, watoto wote na wazazi wote watakula chakula Kanisani
  • Hapa KM-A atakuwa anamalizia sasa milango miwili iliyobaki ambayo ni KUONJA NA KUNUSA
ALTERNATIVELY; KM-A angeweza kuandaa MEZA YA BWANA lakini MEZA YA BWANA watoto huwa hawashiriki na pia huwa haina harufu kwa hiyo KUNUSA kusingeweza kufanyiwa kazi

KINGINE KILICHOKUWA NYUMA YA PAZIA YA TANGAZO HILO LA KM-A

Tangazo la KM-A lilifanana pia na tangazo la wale maProfesa wawili waliowahi kutoa tangazo la ushiriki wa mbaraka, miezi michache iliyopita huku umeme ukikatika mara mbili

Tangazo la KM-A nalo pia lilikuwa na mambo yafuatayo

  • TIME INTERVAL (mwezi mmoja)
  • Duration of time (within the repayment period) between first and last deposits
  • INSTALLMENTS
  • Equal amount of each deposit made within the time interval
  • SUM OF INSTALLMENTS
  • The total amount of all equal deposits made within the interval
  • REPAYMENT PERIODS (mwezi mmoja)
  • The tally between installments and time, falling within the time interval
  • NUMBER OF REPAYMENTS (single repayment)
  • The number installments paid within the repayment period, etc
USHAHIDI WA SIKU ZA NYUMA AMBAO MHUSIKA ALISHAWAHI KUULETA HUMU JUKWAANI UKIHUSIANA NA SWALA LA KM-A KUHUSIKA NA MASHAMBULIZI YA WATU KUPITIA MILANGO MITANO YA FAHAMU

Zifuatazo hapa chini ni baadhi tu ya posts za nyuma ambazo mhusika alishawahi kuongelea matukio ya KM-A kushughulika na mashambulizi ya watu kupitia milango mitano ya fahamu; post ya kwanza kabisa ikiwa ni hii yenye namba #423 na zingine mbili zilizokuja kufuata baada ya hiyo ya kwanza. Posts hiz ni #423, #1,160 . #1,279

BAADA YA KIKAO CHA WANAUME KUMALIZIKA ASUBUHI HIYO

Mhusika aliamua kuelekea UKUMBI WA SULEIMAN na huko walienda wakakutana na kusalimiana na MRS X

Wakati huo, MRS X alikuwa pamoja na rafiki yake mhusika ambaye (rafiki) mhusika alimhug rafiki wake huyo kwa kofi la tano za juu, muda mfupi mara baada tu ya mhusika kuwa ameingia ndani Kanisani

  • Kipindi alipokuwa bado yupo kwenye kikao cha wanaume, mhusika alimuona MRS X alikita mara moja eneo lile la wanaume na baada ya muda mfupi aliondoka
  • Zaidi ya salamu, MRS X alimshukuru pia mhusika kwa zawadi ya watoto rafiki zake na (MRS X) alimjulisha mhusika kuwa zawadi hiyo, alishaifanyia kazi.
Hii ni zawadi ambayo mhusika aliwapatia rafiki zake mwezi uliopita na aliikabidhi kwa baba yao MR X wakiwa mazingira ya ofisini ili awapelekee

BAADA YA MHUSIKA KUTOKA NJE YA UZIO WA KANISA NA KUCHUKUA GARI LAKE NA HATIMAYE KULIINGIZA NDANI YA UZIO WA KANISA


Safari hii mhusika aliamua kupaki jirani na gari la MR X kwa sababu aliona parking nzuri iliyokuwa jirani kabisa na ukuta wa uzio wa Kanisa; mahali ambapo jirani yake kulikuwa na gari la MR X

  • Wakati anamanuva ili aweze kupaki hapo, mhusika hakuweza kufahamu kama MR X alikuwa yupo ndani ya gari hilo
  • Baada ya kupaki, alimuona MR X akiwa ndani ya gari hilo, na wakati mhusika anashuka kwenye gari lake, MR X naye alishuka pia
Hapo walisalimiana ila hawakuongea kwa sababu MR X alikuwa tayari sasa ameshashuka kutoka kwenye gari na alikuwa yuko hai hai akielekea usawa wa UKUMBI WA SULEMAIN

Hata hivyo mhusika alipata nafasi ya kumuuliza MR X kuwa rafiki yake (mhusika) yule wa pili alikuwa wapi kwa sababu hadi muda huo alikuwa hajamuona na MR X alijibu kwa kifupi tu huku akiwa anapiga hatua akisema kuwa alikuwepo

Alichokuja kukiona baadaye mhusika kwenye matukio haya mawili ya kukutana na MRS X na MR X J2 hiyo ni kwamba haikuwa coincidence

Hadi kufikia muda huo mhusika anapaki gari lake ndani ya uzio wa Kanisa, katika hali ya kawaida, MR X alitakiwa kuwa ameshaondoka Kanisani lakini bado alikuwepo

MR X alikuwa ameotea kuwa mhusika angeweza kupaki pale kwa sababu hata J2 iliyokuwa imepita nyuma, mhusika alipaki hapo

KILE ALICHOKIBANI KWENYE KITENDO CHA YEYE (MHUSIKA) KUONGOZANA NA PROFESA KUTOKEA UBUNGO INTERCHANGE

Mbali na hayo, mhusika alikuja kugundua pia kuwa kitendo cha yeye kuambatana na Profesa kutokea pale kwenye Ubungo Interchange, hakikuwa coincidence

  • Kuanzia pale kwenye interchange hadi wanafika kwenye usawa wa lango la geti la Kanisa, Profesa alikuwa anafanya kazi kwa kutumia vioo vya gari akili-scan gari la mhusika kwa sababu alikuwa yuko mbele ya mhusika
  • Walipofika Kanisani, Profesa akatoa taarifa ya kile alichokuwa amekiona kwenye shughuli yake yak u-scan kwa KM-A possibly kwamba vioo havikuwa sawa na hivyo IMMEDIATE RENEWAL ilikuwa inahitajika
  • Baada ya kusikia hivyo, KM-A akaamua kufanya kile alichofanya, ambacho mhusika ameshakileleza hapo juu
NDANI YA WIKI HII KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOKA KANISANI

Kwa mshangao mkubwa mhusika aligundua kwa mara ya kwanza kwamba NDIYE YEYE ambaye huwa anatumika na hivyo KUSABABISHA MATATIZO KWENYE “MICROCOPES ZA KENYE MAABARA YA MR X”

Utaratibu wa ku-infect MICROSCOPES hizo huwa unafanyika kupitia MACHO YA MHUSIKA na huwa inafanyika kama ifuatavyo, sawa kama ilivyofanyika J2 iliyopita kwa kutumia tangazo la KM-A

  • Pepo huwa linarushwa kwenye MACHO kama lilivyorushwa J2 iliyopita
  • Likisharushwa, mhusika naye analibeba na ndiyo anakuwa na ruhusa pekee ya kulisambaza kwenye maeneo mengine ambayo amezuia uwepo wa mapepo kama vile ofisini kwake
Kwa hiyo akishafika ofisini, mhusika anaanza kusambaza pepo bila kujua kwenye chumba cha MICROSCOPES kilicho jirani na ofisi yake na MICROSCOPES hizo zinachukua pepo kuanzia pale

Baada ya hapo, watu wanakuwa wanakuja na kuongea naye, huku wakiwa wanaangalia au KUCHUNGULIA kwenye chumba hicho cha MICROSCOPES ambacho kuta zake ni za vioo; SAWIA KAMA WALIVYOWAHI KUFANYA VIONGOZI WAKUU WA TAASISI WALIOWAHI KUTEMBELEA MAABARA

Mbali na ho, wengine huja na kuingia humo na kuanza kufanya kazi, wakishughulika na lens za microscopes hizo

Wengi wa wanafunzi huja humo kufanya kazi na kuyachukua mapepo hayo pasipo kujua, na hatimaye kuanza kuyasambaza kwa watu wengine baada ya hapo

Still, wachache wao huja humo kwa ajili ya kuyachukua na kuyapeleka kwingine

  • Kwa mfano kwa kipindi cha hivi karibuni kukmekuwepo kijana ambaye ameletwa na MFD (Mfanyakazi kutoka Dodoma-MFD) kutokea mtaani, ambaye amekuwa akiingia humo mara kwa mara)
  • Huyu kijana anao pia uwezo wa kujua kama MAPEPO bado wapo kwenye MICROSCOPES HIZO au wameshatoroka na hivyo kuweza kutoa ripoti
MR X alimsubiria mhusika kwenye parking ili aweze kuchukua kitu kutoka kwake, na kitu hicho kinahusiana na MICROSCOPES pia. “ALLOW” COMMAND kwenye MICROSOPES hizo kwa mazingira ya ofisini inakuwa inamilikiwa mhusika tu kwa sababu yeye ndiye anayezuia yasiwepo, isipokuwa kwa KUZIDIWA MBINU NA UTAALAMU, mhusika naye hulazimishwa kuyabeba mwenyewe na hivyo naye pia kuwa mmojawapo wa wasambazaji

…………………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…