KILICHOPELEKEA WANAUME KUGAWIWA MAKARATASI HAYO SIYO ULE MBARAKA AMBAO KM-A ALIWAOMBA WASHIRIKI
Makaratasi yaliletwa ili wanaume WAGUSE na pia KUONA, picha iliyokuwapo kwenye makaratasi hayo na si vinginevyo
Mbali na hilo, PROJECTOR isingeweza kutumika kuwaonyesha wanaume picha husika kwa sababu ili kuweza kuiona picha hiyo kwa kutumia PROJECTOR, KM-A angelazimika KUSIMAMA JUU MADHABAHUNI ilhali hadi muda mfupi kabla KM-A hajatoa
hard copies za picha hiyo kwa wanaume, MADHABAHU YA JUU ILIKUWA NI
NO GO ZONE kwake na hivyo isingeweza kumruhusu KM-A kupata kile alichokuwa anakihitaji
- Kwa upande mwingine kama soft copy document hiyo ingeweza kuonyeshwa kutokea kwenye PROJECTOR, isingeweza kutoa mwanya wa watu kugusa, wangeweza kuona tu
- Muhimu hapa ambacho mhusika anataka watu waelewe ni kwamba kitendo cha MADHABAHU YA JUU kuwa NO GO ZONE kwa KM-A haimaanishi kuwa KM-A alikuwa hawezi kabisa kupanda kwenye madhabahu hiyo isipokuwa ni kwamba MADHABAHU hiyo isingeweza kumruhusu kufanya kile alichokuwa anapenda kufanya
BAADA YA WANAUME KUWA WAMESIKIA, WAMEONA NA WAMEGUSA
Pale mwishoni mwa Ibada ya pili, KM-A ndiyo akatoa tangazo kuwa J2 ijayo ya tarehe 04/05/2023, kutakuwa na chakula kwa ajili ya wazazi wa
watoto wote; J2 ambayo itakuwa ni sikukuu ya
watoto
- Kwa hiyo J2 ijayo, watoto wote na wazazi wote watakula chakula Kanisani
- Hapa KM-A atakuwa anamalizia sasa milango miwili iliyobaki ambayo ni KUONJA NA KUNUSA
ALTERNATIVELY; KM-A angeweza kuandaa MEZA YA BWANA lakini MEZA YA BWANA watoto huwa hawashiriki na pia huwa haina harufu kwa hiyo KUNUSA kusingeweza kufanyiwa kazi
KINGINE KILICHOKUWA NYUMA YA PAZIA YA TANGAZO HILO LA KM-A
Tangazo la KM-A lilifanana pia na tangazo la wale
maProfesa wawili waliowahi kutoa tangazo la ushiriki wa mbaraka, miezi michache iliyopita huku umeme ukikatika mara mbili
Tangazo la KM-A nalo pia lilikuwa na mambo yafuatayo
- TIME INTERVAL (mwezi mmoja)
- Duration of time (within the repayment period) between first and last deposits
- INSTALLMENTS
- Equal amount of each deposit made within the time interval
- SUM OF INSTALLMENTS
- The total amount of all equal deposits made within the interval
- REPAYMENT PERIODS (mwezi mmoja)
- The tally between installments and time, falling within the time interval
- NUMBER OF REPAYMENTS (single repayment)
- The number installments paid within the repayment period, etc
USHAHIDI WA SIKU ZA NYUMA AMBAO MHUSIKA ALISHAWAHI KUULETA HUMU JUKWAANI UKIHUSIANA NA SWALA LA KM-A KUHUSIKA NA MASHAMBULIZI YA WATU KUPITIA MILANGO MITANO YA FAHAMU
Zifuatazo hapa chini ni baadhi tu ya posts za nyuma ambazo mhusika alishawahi kuongelea matukio ya KM-A kushughulika na mashambulizi ya watu kupitia milango mitano ya fahamu; post ya kwanza kabisa ikiwa ni hii yenye namba
#423 na zingine mbili zilizokuja kufuata baada ya hiyo ya kwanza. Posts hiz ni
#423,
#1,160 .
#1,279
BAADA YA KIKAO CHA WANAUME KUMALIZIKA ASUBUHI HIYO
Mhusika aliamua kuelekea UKUMBI WA SULEIMAN na huko walienda wakakutana na kusalimiana na MRS X
Wakati huo
, MRS X alikuwa pamoja na rafiki yake mhusika ambaye (rafiki) mhusika alim
hug rafiki wake huyo kwa kofi la
tano za juu, muda mfupi mara baada tu ya mhusika kuwa ameingia ndani Kanisani
- Kipindi alipokuwa bado yupo kwenye kikao cha wanaume, mhusika alimuona MRS X alikita mara moja eneo lile la wanaume na baada ya muda mfupi aliondoka
- Zaidi ya salamu, MRS X alimshukuru pia mhusika kwa zawadi ya watoto rafiki zake na (MRS X) alimjulisha mhusika kuwa zawadi hiyo, alishaifanyia kazi.
Hii ni zawadi ambayo mhusika aliwapatia rafiki zake mwezi uliopita na
aliikabidhi kwa baba yao MR X wakiwa mazingira ya ofisini ili awapelekee
BAADA YA MHUSIKA KUTOKA NJE YA UZIO WA KANISA NA KUCHUKUA GARI LAKE NA HATIMAYE KULIINGIZA NDANI YA UZIO WA KANISA
Safari hii mhusika aliamua kupaki jirani na gari la MR X kwa sababu aliona parking nzuri iliyokuwa jirani kabisa na ukuta wa uzio wa Kanisa; mahali ambapo jirani yake kulikuwa na gari la MR X
- Wakati anamanuva ili aweze kupaki hapo, mhusika hakuweza kufahamu kama MR X alikuwa yupo ndani ya gari hilo
- Baada ya kupaki, alimuona MR X akiwa ndani ya gari hilo, na wakati mhusika anashuka kwenye gari lake, MR X naye alishuka pia
Hapo walisalimiana ila hawakuongea kwa sababu MR X alikuwa tayari sasa ameshashuka kutoka kwenye gari na alikuwa yuko hai hai akielekea usawa wa UKUMBI WA SULEMAIN
Hata hivyo mhusika alipata nafasi ya kumuuliza MR X kuwa rafiki yake (mhusika) yule wa pili alikuwa wapi kwa sababu hadi muda huo alikuwa hajamuona na MR X alijibu kwa kifupi tu huku akiwa anapiga hatua akisema kuwa alikuwepo
Alichokuja kukiona baadaye mhusika kwenye matukio haya mawili ya kukutana na MRS X na MR X J2 hiyo ni kwamba haikuwa
coincidence
Hadi kufikia muda huo mhusika anapaki gari lake ndani ya uzio wa Kanisa, katika hali ya kawaida, MR X alitakiwa kuwa ameshaondoka Kanisani lakini bado alikuwepo
MR X alikuwa ameotea kuwa mhusika angeweza kupaki pale kwa sababu hata J2 iliyokuwa imepita nyuma, mhusika alipaki hapo
KILE ALICHOKIBANI KWENYE KITENDO CHA YEYE (MHUSIKA) KUONGOZANA NA PROFESA KUTOKEA UBUNGO INTERCHANGE
Mbali na hayo, mhusika alikuja kugundua pia kuwa kitendo cha yeye kuambatana na Profesa kutokea pale kwenye Ubungo
Interchange, hakikuwa
coincidence
- Kuanzia pale kwenye interchange hadi wanafika kwenye usawa wa lango la geti la Kanisa, Profesa alikuwa anafanya kazi kwa kutumia vioo vya gari akili-scan gari la mhusika kwa sababu alikuwa yuko mbele ya mhusika
- Walipofika Kanisani, Profesa akatoa taarifa ya kile alichokuwa amekiona kwenye shughuli yake yak u-scan kwa KM-A possibly kwamba vioo havikuwa sawa na hivyo IMMEDIATE RENEWAL ilikuwa inahitajika
- Baada ya kusikia hivyo, KM-A akaamua kufanya kile alichofanya, ambacho mhusika ameshakileleza hapo juu
NDANI YA WIKI HII KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOKA KANISANI
Kwa mshangao mkubwa mhusika aligundua kwa mara ya kwanza kwamba NDIYE YEYE ambaye
huwa anatumika na hivyo KUSABABISHA MATATIZO KWENYE “MICROCOPES ZA KENYE MAABARA YA MR X”
Utaratibu wa ku-
infect MICROSCOPES hizo huwa unafanyika kupitia MACHO YA MHUSIKA na huwa inafanyika kama ifuatavyo,
sawa kama ilivyofanyika J2 iliyopita kwa kutumia tangazo la KM-A
- Pepo huwa linarushwa kwenye MACHO kama lilivyorushwa J2 iliyopita
- Likisharushwa, mhusika naye analibeba na ndiyo anakuwa na ruhusa pekee ya kulisambaza kwenye maeneo mengine ambayo amezuia uwepo wa mapepo kama vile ofisini kwake
Kwa hiyo akishafika ofisini, mhusika anaanza kusambaza pepo bila kujua kwenye chumba cha MICROSCOPES kilicho jirani na ofisi yake na MICROSCOPES hizo zinachukua pepo kuanzia pale
Baada ya hapo, watu wanakuwa wanakuja na kuongea naye, huku wakiwa wanaangalia au KUCHUNGULIA kwenye chumba hicho cha MICROSCOPES ambacho kuta zake ni za vioo;
SAWIA KAMA WALIVYOWAHI KUFANYA VIONGOZI WAKUU WA TAASISI WALIOWAHI KUTEMBELEA MAABARA
Mbali na ho, wengine huja na kuingia humo na kuanza kufanya kazi, wakishughulika na
lens za
microscopes hizo
Wengi wa wanafunzi huja humo kufanya kazi na kuyachukua mapepo hayo pasipo kujua, na hatimaye kuanza kuyasambaza kwa watu wengine baada ya hapo
Still, wachache wao huja humo kwa ajili ya kuyachukua na kuyapeleka kwingine
- Kwa mfano kwa kipindi cha hivi karibuni kukmekuwepo kijana ambaye ameletwa na MFD (Mfanyakazi kutoka Dodoma-MFD) kutokea mtaani, ambaye amekuwa akiingia humo mara kwa mara)
- Huyu kijana anao pia uwezo wa kujua kama MAPEPO bado wapo kwenye MICROSCOPES HIZO au wameshatoroka na hivyo kuweza kutoa ripoti
MR X alimsubiria mhusika kwenye parking ili aweze kuchukua kitu kutoka kwake, na kitu hicho kinahusiana na MICROSCOPES pia. “ALLOW” COMMAND kwenye MICROSOPES hizo kwa mazingira ya ofisini inakuwa inamilikiwa mhusika tu kwa sababu yeye ndiye anayezuia yasiwepo, isipokuwa kwa KUZIDIWA MBINU NA UTAALAMU, mhusika naye hulazimishwa kuyabeba mwenyewe na hivyo naye pia kuwa mmojawapo wa wasambazaji
…………………………itaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA