#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: FRIDAY 16TH JUNE 2023

TUKIO JINGINE MUHIMU LILILOTOKEA MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA ALHAMIS YA TAREHE 08 JUNE 2023


Mhusika angeweza kuliweka tukio hili kwenye category ya BREAKING NEWS, assuming angekuwa na muda wa kuleta maelezo yake muda mfupi tu baada ya kuwa limetokea

Hata hivyo hakufanikiwa kufanya hivyo kwa sababu alikuwa bado anaendelea kulifanyia utafiti kwanza kujirdhisha kama lilikuwa ni tukio ambalo ni planned au coincidence tu

Kwa sasa hivi, mhusika anao uhakika kuwa tukio hilo halikuwa coincidence bali lilikuwa limepangwa, na mhusika wake ni kijana staff wa kiume kutoka kwenye ile idara nyingine ya MAJOR UNIT

Ni kijana yule ambaye huwa anavaa miwani muda wote na ambaye mara kwa mara huwa anaonekana sana kwenye mazingira ya idarani kwa mhusika

MFANANO KATI YA TUKIO HUSIKA NA TUKIO JINGINE LILILOWAHI KUTOKEA AWALI SIKU YA IJUMAA YA TAREHE 26/05/2023

Tukio hilo linashahibiana kidogo na lile ambalo mhusika aliwahi kuleta taarifa zake humu jukwaani kupitia post hii hapa #1,473 lililowa hi kutokea kwenye Ijumaa tajwa

Kwa ufafanuzi mzuri zaidi wa namna tukio hilo la awali lilivyowahi kutokea, wasomaji wanashauriwa kusoma kuanzia post hii hapa #1,472

Hili ni tukio la mwanzo ambalo mhusika alikumbana nalo ofisini kwa Mkuu wa Idara Ijumaa hiyo alipokuwa anarudisha Digital Projector; baada ya kuahirisha kipindi kufuatia wanafunzi kukosekana darasani baada ya kuwa wamesambaziwa ujumbe kabla ya kipindi kuwa kwa siku hiyo kipindi hicho kilikuwa kimeahirishwa, wakati in fact haikuwa hivyo

MAELEZO YA TUKIO LENYEWE (LA ALHAMIS YA TAREHE 08 JUNE 2023)

…………………..inaendelea
 
MAELEZO YA TUKIO LENYEWE (LA ALHAMIS YA TAREHE 08 JUNE 2023)

Kwenye siku husika, mhusika alistukia staff wawili wako jirani na mlango wa ofisi yake

  • Kama ilivyo kawaida, mlango wa ofisi ya mhusika ilikuwa wazi muda wote kwa sababu ofisi bado haina AC
  • Watu hawa walikuwa wanajaribu kufungua chumba jirani na ofisi ya mhusika, ambacho ni maabara ya MICROSCOPE
Baada ya kuwa wame-fumble na tundu la kitasa cha mlango kwa kutumia funguo walizokuwa nazo kwa sekunde kadhaa, waligundua kuwa funguo hizo zilikuwa haziwezi kufungua mlango huo

  • Hapo hapo waliamua kumpigia technical-staff ambaye huwa anashughulika na mambo ya IT, baada ya kuwa wamepata taarifa kuwa ndiye aliyekuwa na funguo za chumba hicho
  • Baada ya kuwa wameongea naye, mmojawapo wa staff hao aliamua kuondoka halafu huyu mwingine wa pili, muda huo huo ghafla aliingia ofisini kwa mhusika na kuweka kiboksi kwenye meza
  • Kiboksi hicho kilifanana kabisa na viboksi hivi ambayo huwa vinaambatana na smartphone mpya mtu anapokuwa amenunua kwa mara ya kwanza dukani
  • Kitendo cha staff huyu kuweka kiobksi hicho, kiIlikuwa ni cha ghafla mno na kwa haraka kidogo
  • Staff huyu alifanikiwa kukiweka kiboksi hicho, kwenye mojawapo ya meza ambayo huwa ipo karibu kabisa na mlango wa kuingilia ofisini kwa mhusika
Mbali na hilo, staff huyu alikiweka kiboksi hicho pasipo kuwa ameomba ridhaa ya kufanya hivyo kutoka kwa mhusika

  • Mbinu aliyotumia ni kuingia ghafla ofisini kwa mhusika na kukiweka kwenye meza na baada ya hapo kutoa taarifa tu akisema kuwa anakiweka hapo angerudi muda siyo mrefu
  • Wakati anaongea maneno ya kutoa taarifa kuwa angerudi hapo kuja kukichukua muda mrefu, tayari alikuwa ameshapiga hatua kadhaa ametoka nje ya ofisi ya mhusika; anatembea kwenye korido
Huyu alikuwa ni yule kijana staff kutoka kwenye idara ile nyingine ya MAJOR UNIT

  • Staff wa pili waliyekuwa pamoja naye, na ambaye kwa wakati huo, alikuwa tayari ameshaondoka, ni yule swahiba wa karibu wa mhusika ambaye huwa wanashirikiana kufundisha kozi moja
  • Swahiba huyu ndiyo yule aliyewahi kuhusika kwenye tukio jingine tena ambalo si la siku nyingi sana zilizopita, ambapo (swahiba) alifanikiwa kumuacha PEKE YAKE mhusika akiwa kwenye chumba cha MICROSCOPE
Siku hiyo, mhusika alikuwa ameingia kwenye chumba hicho yeye mwenyewe, baada ya kumuona staff huyo akiwa kwenye chumba hicho; na kilichokuwa hasa kimempelka humo ulikuwa ni UMBEA TU na si vinginevyo; tatizo mhusika huwa hatulii

…………………………..inaendelea
 
BAADA YA KIJANA STAFF KUWA AMEACHA KIBOKSI HICHO KWENYE MEZA OFISINI KWA MHUSIKA NA HATIMAYE KUONDOKA

Baada ya kijana kuondoka, mhusika alikisia muda ambao alidhani kuwa usingepita bila ya kijana huyo kuwa amerudi na kuja kukichuka kiboksi hicho, ukizingatia uharaka aliokuwa nao wakati anakiweka mezani

Baada ya muda aliokisia mhusika kupita pasipo kijana kuwa amerudi, huku yule mwenzake naye akiwa haonekani tena maeneo yale:

  • Mhusika aliamua kufunga ofisi na kuondoka kwenda kumtafuta kijana huyo
  • Mhusika alianzia ofisni kwa MWI lakini huko hakumkuta
  • Kutoka pale mhusika alielekea men’s washroom na wakati anafungua mlango tu; waligongana uso kwa uso na kijana huyo naye akiwa anatoka humo
Kitendo cha kijana kupatikana akiwa washroom ukizingatia muda uliokuwa umepita tangu pale alipoacha kiboksi kwenye meza, kulionyesha dalili kama kijana aliingia humo kujisaidia haja kubwa

  • Na kwa sababu walikutana na mhusika mlangoni kijana akiwa ndiyo anatoka, maana yake ulikuwa umepita muda mfupi tangu kijana huyo alipokuwa ame-flush choo, assuming kweli aliingia humo kujisaidia haja kubwa
  • Kutokana na ukweli huo, uwezekano mkubwa ulikuwa ni kwamba mhusika angekuta angalau kelele kidogo zile za kumalizia, za mojawapo ya sinks za vyoo, sink hiyo ikiwa iko kwenye process ya kumalizia kujaza maji tayari kwa ajili ya mteja mwingine ambaye angefuata.
Hata hivyo hali humo ndani haikuwa hivyo. Mhusika alikuta men’s room ikiwa iko kimya as if hapakuwa na mtu aliyekuwa ameingia humo

Baada ya hapo, mhusika na kijana waliongozana hadi ofisini kwake, kijana akachukua kiboksi chake

Wakati huo swahiba wa mhusika naye alikuwa amesharudi sasa baada ya kuwa amepata funguo, na alikuwa tayari yupo ndani ya chumba cha MICROSCOPE

IMPLICATION YA MATENDO YA STAFF HAWA WAWILI UKIHUSIANISHA NA KIBOKSI HICHO

Hadi kufikia muda huu, utafiti wake mhusika umeshamuonyesha pasipo shaka kuwa iwapo ingetokea akapata wazo la kukichukua kiboksi hicho kutoka ofisini kwake ili ampelekee mwenyewe baada ya mwenyewe kuwa amechelewa kurudi;

  • Mwenye kiobksi asingepatikana
  • Aliyekuwa pamoja na mwenye kiboksi naye vile vile asingepatikana
Na hatimaye, kiboksi hicho kingebadilika na kuwa ni mali ya mhusika mwenyewe na asingefanikiwa kupata nafasi ya kukanusha hilo

HITIMISHO

MFANANO WA TUKIO HILI NA LILE LA DIGITAL PROJECTOR IJUMAA YA DARASA LILIWAHI KUKOSEKANA


Iwapo tuseme mhusika angeamua kuiacha pasipo kumkabidhi mtu yoyote ofisini kwa MWI, Digital Projector aliyokuwa ameazima siku hiyo, kungepatikana Digital Projector nyingine tofauti na ile aliyokuwa amerudisha mhusika

Digital Projector hiyo ingehesabiwa kuwa ndiyo ile aliyorudisha yeye mhusika siku hiyo na asingefanikiwa kupata nafasi ya kukanusha hilo

UP NEXT:

MATUKIO MENGINE YENYE KUONYESHA MFANANO KIDOGO NA TUKIO HILI LA KIBOKSI; YALIYOKUWA TAYARI YAMESHATOKEA SIKU CHACHE KABLA YA SIKU HIYO

……………………inaendelea
 
MATUKIO MENGINE YENYE KUONYESHA MFANANO KIDOGO NA TUKIO HILI LA KIBOKSI; YALIYOKUWA TAYARI YAMESHATOKEA SIKU CHACHE KABLA YA SIKU HIYO

STAFF MPYA AU OFFICE MATE MPYA WA MHUSIKA, AMTAMBULISHA MHUSIKA KWA STAFF MWINGINE MPYA


Kwenye wiki ya pili na ambayo staff mpya au officemate (tumwite OM) wa mhusika, alianza rasmi kukaa ofisini wakiwa pamoja na mhusika:

  • J3 moja asubuhi OM alitoka kidogo ofisini na aliporudi, alikuwa ameambatana na mtu mwingine binti wa makamo, ila mgeni idarani kwao mhusika na OM
  • Binti huyu na mhusika wamekuwa wakifahamiana hata kabla ya siku hiyo kwa sababu binti aliwahi kusoma idarani kwa mhusika na kuhitimu masomo yake mwaka 2013
  • Hata hivyo, kwa mazingira ya uwepo wa binti huyo idarani siku hiyo, mhusika alikuwa hana taarifa zozote, mhusika alikuwa hajui kwa nini binti huyu alikuwepo idarani siku hiyo
OM AMTAMBULISHA BINTI KWA MHUSIKA

Baada ya salamu kati ya mhusika na binti, OM alisema kuwa binti huyo naye pia ni mwajiriwa mpya kwenye MAJOR UNIT, ila yeye yuko kwenye ile idara nyingine; yaani idara ya yule kijana mwenye kiboksi ambaye taarifa zake zimewajieni muda mfupi hapo juu

  • Zaidi OM alimtaarifu mhusika kuwa binti huyu atakuwa anakaa kwenye idara hii badala ya kule alikoajiriwa kwa sababu huko amekosa ofisi ya kukaa
  • Mhusika alijaribu kumuuliza OM swali kwamba kwa nini binti yeye hakuwa ametambulishwa na uongozi wa idara, wakati yeye (OM) alikuwa tayari ameshatambulishwa
  • OM alimjibu mhusika kuwa binti hajatambulishwa kwa sababu idara aliyoajiriwa siyo hii, sipokuwa huku amekuja kuhemea nafasi ya ofisi kukaa tu
  • OM alienda mbali zaidi kwa kumjulisha mhusika ofisi ambayo binti huyu atakuwa anaitumia; ofisi ambayo ipo hatua chache tu kutoka mahali ilipo ile ya mhusika
Baada ya hapo, maongezi yao yalikoma na binti aliiondoka na kwenda kuingia kwenye ofisi ambayo mhusika alielezwa na OM kuwa atakuwa anaitumia

Hiyo ilikuwa ni J3 moja asubuhi

  • Ilipofika mida ya alasiri J3 hiyo, possibly baada ya saa 8, binti alitoka ofisini kwake na kuingia ofisini kwa MKUU WA MAJOR UNIT (MMU)
  • Humo alikaa wakiongea na MMU kwa muda usiopungua saa moja na hatimaye binti alitoka humo na kurudi tena ofisini kwake
Siku hiyo ya J3 ikapita

KESHO YAKE J4.

BINTI AFIKA TENA OFISINI KWA MHUSIKA NA KUOMBA KUACHA HUMO KWA MUDA, HANDBAG YAKE NA KI-LAPTOP VILE SIZE NDOGO YA MWISHO


Wakati anafika binti alimkuta mhusika akiwa peke yake, OM alikuwa ametoka kidogo

  • Asubuhi hyio, binti aliomba kuacha mizigo yake kwa muda ofisini kwa mhusika na mhusika alimkubalia
  • Sababu iliyopelekea binti huyo kuacha mizigo yake ofisini kwa mhusika, alisema hakuwa na funguo za ofisi yake na hivyo ilibidi apandishe kwanza juu ofisini kwa MWI kwenda kuchukua funguo hizo
Baada ya binti kuacha mizigo yake hiyo na hatimaye kuondoka, mhusika alikisia muda ambao alidhani kuwa usingepita bila ya binti huyo kuwa amerudi na kuja kuchukua mizigo yake, ukizingatia uharaka uliokuwepo kwa sababu ilikuwa ni asubuhi; watu wote walikuwa tayari wameshaanza kazi

…………………….inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEKISIA MUDA AMBAO BINTI ANGEWEZA KURUDI BAADA YA KUWA AMEENDA KUCHUKUA FUNGUO OFISINI KWA MWI:

Binti hakuweza kurudi ndani ya muda huo, na mizigo yake iliendelea kuwepo ofisini kwa mhusika

  • OM naye alikuwa bado hajarudi ofisini
  • Baada ya hapo, mhusika aliamua kufunga ofisi na hatimaye kutoka kwenda kumtafuta binti
  • Alianzia ofisini kwa MWI lakini huko hakumkuta
Baada ya hapo alielekea chumba cha chai ambako huko alimkuta wakiwa wanapiga stori na binti mwingine staff, walikuwa wawili kwenye chumba cha chai

  • Mhusika aliambatana naye kutokea hapo hadi ofisini kwake na hatimaye kumkabidhi binti mzigo wake
  • Hadi binti anachukua mzigo wake, OM alikuwa bado hajarudi
Hiyo ilikuwa J4 ikapita

ILIPOFIKA TENA IJUMAA YA WIKI JUZI TAREHE 02/06/2023

OM akawa amepata dharula ya kiofisi ya kutokuwepo kwa muda kidogo kwenye kituo chake cha kazi

Kabla hajaondoka, OM akamuomba mhusika aache fomu za NHIF alizokuwa nazo ambazo zilikuwa ni kwa ajili ya binti, kwa sababu hadi safari ya OM inaiva, binti alikuwa ana kama siku mbili au tatu hajaonekana tena ofisini kwake

  • OM alimjulisha mhusika kuwa binti angekuja kuzichukua fomu hizo J3 ya tarehe 05/06/2023
  • Mhusika alizipokea fomu hizo na ilipofika J3 tajwa, binti alionekana tena ofisini na kuchukua fomu zake
  • Tofauti na ilivyokuwa kwenye siku ya mwanzo, J3 hiyo binti alikuja akiwa tayari ana funguo za ofisi, ila alipitilliza kwanza hadi ofisini kwa mhusika pasipo kufungua ofisi yake
Baada ya mhusika kukabidhi fomu, binti aliomba tena aache mizigo yake kwa muda pale ofisini ili akafungue ofisi kwanza

  • Mhusika alikubali na binti alienda akafungua ofisi na hatimaye kurudi tena kuja kuchukua mizigo yake
  • Wakati huo OM alikuwa tayari ameshasafiri
Ikumbukwe kuwa haya yote yametokea kwanza halafu ndiyo likafuata tukio la hivi karibuni la kiboksi cha kijana staff

  • Tukio la kwanza la binti kwa kiasi fulani linaonyesha mfanano na lile la kiboksi cha kijana
  • Tukio la pili la binti ilikuwa ni blending iliyokuwa imekusudiwa kujenga confidence ya mhusika kuendelea kuachiwa vitu vya watu wengine ofisini kwake
Kwa hiyo tukio la pili la binti lilikuwa limelenga kumtayarisha mhusika kisaikolojia kwa ajili ya tukio la kijana mwenye kiboksi

Mara ya mwisho binti alionekana ofisini ilikuwa J4 ya tarehe 06/06/2023 na hadi leo hii hajaonekana tena; possibly amesafiri

Ofisi ya binti ipo jirani tu na ile ya mhusika, ila iko jirani zaidi na ofisi ya MMU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 17TH JUNE 2023

UHUSIANO ULIOPO KATI YA “ATTEMPS” ZA MASHAMBULIZI NA CHUMBA CHA “MICROSCOPE”

KILE AMBACHO MHUSIKA AMESHAKIBAINI MPAKA MUDA HUU:

Facts ni kwamba:

  • Kuna uhusiano kati ya attempts za mashambulizi na uwepo wa mtu kwenye chumba cha Microscopes;
  • Kama si uwepo wa mtu, basi angalau inatakiwa kuwa mtu aliingia kwenye chumba hicho ndani ya muda fulani kabla ya attempts za shambulio kufanyika
Kwa hiyo ili “attempts” za shambulio ziweze kufanyika, lazima chumba cha Microscope kihusike

PILIKA PILIKA ZILIVYO IDARANI KWA MHUSIKA KWA SASA:

KATIBU MUHTASI WA MKUU WA IDARA (KMWI) YUKO KWENYE PILIKA PILIKA ZA MASWALA YA FWEDHA


Safari hii, KMWI yuko tena kwenye pilika pilika za maswala ya fwedha na katika namna ambayo inaonyesha kuwa tayari alisha-establish link na angalau mtu, kwenye tawi la Benki ya mhusika ambako mshahara wake huwa unapitia

Kama ingekuwa ni ugonjwa, kwenye maswala ya fwedha KMWI ni mgonjwa ambaye yuko permanently ICU na hana kabisa mpango wa kutoka kwenye chumba hicho

Anao wenzake anaoshirikiana nao

Details zaidi kuhusiana na swala hili zitafuata baadaye

VINGINEVYO HALI ILIVYO KWENYE MAZINGIRA YA NYUMBANI KWA MHUSIKA:

LILE SINK LA MAJI YA JIKONI LILILOWAHI KU-TREND KWA MATUKIO MENGI SANA
YA AJABU MWAKA JANA; LIMEZIBA TENA NA HALIWEZI KUZIBUKA

Mhusika anajua namna ambavyo sink hilo huwa linaziba

  • Kwa hali hiyo, mhusika hawezi kwenda kuita fundi wa kuja kulizibua kwa sababu kuna wakati huwa unafika linajizibua lenyewe kwa miujiza
  • Mhusika anazo nguvu za kutosha kuweza kulitumia sink hilo likiwa limeziba, na anakisia kuwa ataendelea kuwa na nguvu hizo kwa angalau miaka mingine 40 ijayo
Hana haja ya kuendelea kushughulika na upumbavu.

Hii mara zote hii huwa ni set-up ya jirani maji machafu.

Siku chache zilizopita, kwa siku kadhaa jirani huyu alianza tena mtindowake wa siku zote wa kutiririsha maji machafu kupitia jikoni kwa mhusika na mhusika hakumwambia chochote

Baada ya maji hayo kuacha kutirirkka, ndiyo sasa sink la maji ya jikoni likaziba

Tangu kipindi kile cha matukio yale ya mwaka jana, sink hilo lilikuwa halijawahi kuziba tena

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 19TH JUNE 2023
GOOD NEWS—CODE NYINGINE MUHIMU YAFUNGUKA!!!!

TUKIO LA TAKATAKA ZILIZOWAHI KUONYESHWA KWENYE TV ZIKIWA ZIMERUNDIKANA NDANI YA NYUMBA YA MTU HADI ZIKAPELEKEA KUJA KUZOLEWA NA LORI KUPELEKWA “JALALANI”


Tukio la takataka nyingi ziilizowahi kuonekana nyumbani kwa mtu mwaka jana, nalo pia lilikuwa ni la kutengeneza, na possibly takataka hizo zilianza kukusanywa kipindi kile statement ya “JALALANI” ilipotolewa

Statement hiyo ilirusha pepo kwenye majalala yote ya takataka na pia kwenye ORGANISATIONS zote, kupitia organization ile ambayo ilitajwa kuwa ni “JALALANI”

Kipindi takataka hizo zilipooonekana kwenye media, kilichokuwa kinafanyika kwa wakati huo ilikuwa ni some kind of RENEWAL mechanisms ya pepo huyo

Statement hiyo ilitolewa mwaka 2017 na takataka hizo zilikuja kuonekana mwaka 2022; miaka mitano baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT: MACHCAHE YA MUHIMU YALIYOJIRI KANISA A J2 YA TAREHE 18/06/2023
 
UPDATE: TUESDAY 20TH JUNE 2023

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA TAKATAKA ZILIZOWAHI KUKUTWA ZIMERUNDIKANA NDANI NYUMBANI KWA MTU


Baada ya mhusika kuliona tukio hilo kuwa halikuwa la kawaida, aliwahi kuweka post humu kwa lengo la kuja kulirejea tukio hilo hapo baadaye, given kwamba atakuwa amepata taarifa za ziada.

Post hiyo ni hii hapa #1,310

Vinginevyo posts zingine ambazo mhusika aliwahi kuliongelea tukio hilo ni hizi hapa #1,319 na #1,341

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Nukuu (quote) kutoka Post #1,310 ya tarehe 2 Januari 2023

".................Mhusika anaweka post hii hapa kama kumbukumbu, atakuja kuirejea huko mbele ya safari baada ya kuwa amekamilisha utafiti wake

HINT: Kwa wale walibahatika kuona tukio moja kwenye vyombo vya habari kuhusiana na mtu ambaye amekkuwa akiishi na takataka nyingi sana ndani ya nyumba na ambazo zimelazimika kuja kusombwa na lori, tukio hilo linawexa kuwa ni la kurengeneza

Kuna maswali mengi zaidi kwenye tukio hilo kuliko majibu.

  • Takataka hizo zilikuwa ni nyingi mno na zilikuwa kila mahali ndani ya nyumba, kiasi kwamba mtu anayeishi humo alikuwa hawezi ukawasha hata mshumaa
  • Ilisemekena kuwa zilikuwa zinatoa harufu huku nyumba hiyo ikiwa imezungukwa na wapangaji wengi mno
  • Takakataka hizo ni za miaka na miaka
  • Kuna wapanganji ambao wamekuwa wakiishi kwenye nyumba hiyo miaka na miaka, lakini hawakuweza kugundua kuwa kulikuwa na takataka nyumba jirani, ilhali takataka hizo zilikuwa zinatoa harufu
  • Takataka zilikuwa ni nyingi mno kiasi cha kuja kuchukuliwa na Lori kubwa
MOTIVE YA MHUSIKA NYUMA YA UTAFITI WA TUKIO LA TAKATAKA HIZI

Tukio la takataka hizi linaweza kuwa linafanana tu na lile la ubakaji wa watoto wa shule ambalo baadhi ya mashuhuda wake walionekana wakiwa wanashuhudia kubakwa kwa watoto hao
huku wakiwa wamejifunga kanga usoni..................."

Mwisho wa kunukuu
 
HALI ILIVYO TENA KWA SASA NDANI NYUMBANI KWAKE MHUSIKA
KITU KINGINE KIKUBWA ZAIDI KIMEFANYIKA KWENYE BOMBA LA MAJI YA JIKONI KWA MHUSIKA. NADHANI NI KATIKA KUJARIBU KUREKEBISHA TATIZO LILE LA AWALI AMBALO MAJI YALIKUWA YANAVUJA KUTOKA KWA JIRANI.

KWA SASA MAJI YANAVUJA HUMO HUMO NYUMBANI MWAKE MHUSIKA NA HIVYO ASIJE AKASEMA TENA KUWA YANAVUJA KUTOKA KWA JIRANI
 
UPDATE: THURSDAY 22TH JUNE 2023

USHAURI MAALUM KWA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) KUHUSIANA NA UHUSIANO AMBAO UMESHAJIDHIRISHA KATI YA AJALI ZA BARABANI NA WIKI ZA MAOMBI KANISANI HAPO


Mhusika anapenda kumshauri KM-A kuwa kwenye wiki ambayo kunakuwa na maombi ya mfungo wa siku kadhaa, KM-A awe anaweka pia ratiba ya kuombea ajali za barabarani

Ni kwa sababu ni karibia mara zote KM-A anapokuwa ametangaza maombi ya mfungo wa siku kadhaa, ajali za barabani zinatokea

Maombi yasipokuwepo, na ajali nazo zinakuwa hazipo; “a coincidence?”

Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali na kuua watu watano

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
COMING UP NEXT:
MHUSIKA AMELAZIMIKA KWENDA KUFANYIA KAZI NYUMBA IJUMAA YA LEO TAREHE 23 JUNE 2023 BAADA YA MAZINGIRA YA OFISINI KUWA TATANISHI TANGU IJUMAA YA WIKI ILIYOPITA
 
UPDATE: FRIDAY, 23RD JUNE 2023

MHUSIKA AMELAZIMIKA KWENDA KUFANYIA KAZI NYUMBA IJUMAA YA LEO TAREHE 23 JUNE 2023 BAADA YA MAZINGIRA YA OFISINI KUWA TATANISHI TANGU IJUMAA YA WIKI ILIYOPITA

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kuna wageni mafundi ndani ya jengo la idara wanafanya kazi na ambao inaelekea hakuna mtu mwingine anayewafahamu isipokuwa yule aliyewaleta tu

  • Mafundi hawa wanafanya kazi ya kubadilisha vibao vya namba kwenye ofisi ikiwa ni pamoja na vile vya majina ya wenye ofisi hizo, kwa kuweka vingine vipya
  • Kazi hiyo waliianza Ijumaa ya wiki iliyopita tarehe 16/06/2023; ila hadi kufikia jana Alhamis ya tarehe 15/06/2023, kazi hiyo ilikuwa haijakamailika na wanatarajia kuendeea nayo tena leo Ijumaa ya tarehe 23/06/2023
  • Ofisi zinazohusika na kuwekewa vibao hivyo vipya hazizdi 60 ndani ya jengo zima
  • Vibao hivyo vina uwezo wa kuwekwa katika namna ambayo si lazima mwenye ofisi awe yupo, vina uwezo wa kuwekwa hata kama mlango umefungwa na grill pia ikiwa imefungwa
UTAFITI WA MUDA MFUPI ALIOUFANYA MHUSIKA BAADA YA VIBAO HIVYO KUANZA KUWEKWA

Kwa utafiti wake mhusika ambao amekuwa akiufanya kwa chini chini, amejiridhiasha kuwa kwa sakafu iliyopo ofisi ya mhusika, vibao hivyo vimekuwa vikiwekwa kwenye ofisi pasipo wahusika wote wa ofisi hizo kuwepo ofisini

  • Kilichokuwa kinatokea ni kwamba aidha baadhi ya wahusika wa ofisi hizo walikuwa wamesafiri wakati vibao hivyo vinafungwa, au walikuwa wametoka kidogo na kufunga milango ya ofisi zao na hivyo baada ya kurudi, walikuta vibao hivyo vikiwa tayari vimeshawekwa
  • Kwenye sakafu hiyo, baadhi ya vibao viliwekwa Ijumaa wiki jana na vingine vimewekwa jana Alhamis ya wiki hii
Kwa siku ya jana Alhamis, ofisi ya mhusika iliwekewa namba peke jana na pasipo majina ya wenye ofisi (yeye pamoja na OM wake), na hatimaye mafundi hao walihamia tena kwenye ofisi zingine wakisema watakuja wamalizie leo

Mafundi hao wanfanya kazi kwa kurukaruka, hawana series inayojulika

Baadhi ya vibao vya majina ya wenye ofisi ambavyo mhusika alibahatika kuviona jana vikiwa bado havijawekwa,ni kibao cha jina la office mate (OM) wa mhusika lakini waliahirisha kukiweka hiyo jana na kusema watakuja kukiweka leo Ijumaa

OM amekuwepo ofisini tangu Ijumaa ya wiki iliyopita, amesharudi toka safari; na kwa kiasi kikubwa baadhi ya maelezo ya taarifa hizi yatahusika zaidi na matukio yanayomhusisha OM, baada ya kuwa amerudi kutoka safari

NDANI YA WIKI HII WAKATI AMBAO VIBAO HIVI VIMENDELEA TENA KUWEKWA NA MAFUNDI HAO

VIONGOZI WOTE MUHIMU WA IDARA PAMOJA NA MAJOR UNIT HAWAPO IDARANI


Mkuu wa Idara (MWI) hayupo tangu wiki hii ianze na hakuna notice ya absence aliyotoa kuwajulisha wafanyakazi idarani kama ilivyo kawaida yake

Mkuu wa Major Unit (MMU) naye pia hayupo na hakuna notice ya absence aliyotoa kuwajulisha wafanyakazi wenzake idarani kama ilivyo kawaida yake

Kwa mara ya mwisho, MMU yeye alionekana idarani J3 ya wiki hii

Katibu Muhtasi wa Mkuu wa Idara (KMWI) naye pia hayupo tangu J4 ya wiki hii na amekasimisha mamlaka yake kwa KMWI kutoka kwenye idara ile nyingine ya MAJOR UNIT

………………..inaendelea
 
MAELEZO KAMILI: MLOLONGO WA MATUKIO MUHIMU KUANZIA J2 YA TAREHE 11/06/2023 MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO KANISANI

Kama alivyowahi kudokeza hapo awali, mahubiri ya siku hiyo yalibadilika kichwa na hivyo kupelekea mahubiri hayo kuongelea swala la LOCATION

Baada ya Ibada kuu, matangazo mawili yalifuata ambayo nayo pia yaliongelea LOCATION
  • Tangazo la ajali ya familia ya “DR”; mahali ilipotangazwa ajali kutokea (LOCATION)
  • Tangazo jingine lilimhusu Kiongozi Msaidizi wa KM-A ambalo liliwahitaji Wazee wote wa Kanisa baada ya Ibada kukutana na kiongozi huyo sehemu ya upande wa kushoto wa Kanisa (LOCATION)
Haya ni baadhi ya ya matukio yaliyotokea Kanisani J2 hiyo

Hiyo wiki ikapita

MATUKIO MENGINE YALIYOTOKEA NDANI YA WIKI ILIYOFUATA YA KUANZIA TAREHE 12 HADI 18/06/2025

SIKU YA IJUMAA TAREHE 16/06/2025: MHUSIKA APOKEA UJUMBE MUHIMU KWA NJIA YA EMAIL, KUTOKA KWA KMWI


Ijumaa hiyo, mhusika alipokea ujumbe kwa njia ya email, uliotumwa kwake kwenye mida ya karibia na saa kumi kamili jioni

Ujumbe huo ilikuwa ni attachment ya barua iliyokuwa imeandikwa kutoka kwenye ngazi ya MAJOR UNIT, kuja idarani

Mambo kadhaa mhusika aliyaona kwenye barua hiyo na ambayo yalimchanganya kidogo

Barua hiyo ilionyesha kuwa MWI mwenyewe hakuwa ameiona sababu “haikuwa imeiandikwa maneno kwa mkono/ kalamu, ya kui-minute barua hiyo kwa KMWI na kwa staff wote wa idara

Mbali na hilo, barua hiyo haikuwa imegongwa mhuri wa RECEIVED wa kuonyesha ni lini ilipokelewa idarani, na hivyo haikuwa na maandishi ya mkono ya kuonyesha tarehe ambayo KMWI aliipokea barua hiyo kutoka ngazi ya MAJOR UNIT (MU)

Kwa hiyo kwa tafsri nyingine, pamoja na KMWI kuituma barua hiyo kama attachment email, naye vile vile hakuwa ameiona barua hiyo

Barua hiyo ilikuwa inaongelea taarifa za barua nyingine ya awali ambayo iliwahi kuandikwa tarehe 08/06/2023 ikitokea NGAZI ZA JUU kuja IDARANI kupitia MAJOR UNIT, ambayo taarifa zake (barua ya awali), zilionekana kuwa ngeni kwa mhusika kwa sababu hakuwahi kuiona barua hiyo

Zaidi ni kuwa taarifa za barua hiyo zilikuwa na uhusiano na maswala ya fedha pia na ilikuwa inahitaji baadhi ya details za mhusika kama vile

  • Majina yake kamili
  • Anwani yake
  • Taarifa za benki ambako mshahara wake huwa unapitia
  • Taarifa muhimu za ajira yake, n.k.
UHUSIANO WA TAARIFA HIZI NA DATABASE YA WATU NA MAKAZI

Tukikirudi kwenye upande wa DATABASE YA WATU NA MAKAZI, taarifa hzi zinaonekana kwenye database tajwa kama ATTRIBUTES na TURPLES, kwenye EMPLOYEE TABLE

Mbali na hilo, kwa kuzingatia maelezo kwenye barua ya sasa iliyokuwa imetoka MU, barua ya awali iliwahi kufika idarani kwa kufuata mlolongo huu

NGAZI ZA JUU>>>>>MAJOR UNIT>>>>IDARA
  • Barua hiyo ilikuwa imeandikwa siku hiyo hiyo ya tarehe 16/06/2023
  • Mpaka hapa, pamoja na mambo mengine yaliyokuwamo kwenye barua hiyo kutoka MU, contents zake zilikuwa zinagusia pia swala la ORGANISATION STRUCTURE, yaani NGAZI ZA JUU>>>>>MAJOR UNIT>>>>IDARA
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEONA TAARIFA ZINAZOCHANGANYA KIDOGO KWENYE BARUA HIYO IJUMAA HIYO

Muda huo huo, mhusika aliamua kwenda kuonana na KMWI ofisini kwake lakini kwa bahati mbaya, alimkuta akiwa anamalizia kufunga geti la ofisi kwa sababu muda wa masaa ya kazi ulikuwa tayari umepita. Ilikuwa ni dakika chache baada ya saa 10 kamili

Wakiwa wapo nje mlangoni, mhusika alimweleza KMWI kuwa angependa waongee J3 asubuhi ya wiki inayofuata, yaani J3 ya tarehe 16/06/2025:

Pamoja na mapungufu ya barua ambayo mhusika alikuwa ametumiwa na KMWI, nia yake hapa ilikuwa ni kuusoma kwanza waraka ule wa tarehe 08/06/2023 uliokuwa umetumwa kutoka NGAZI ZA JUU, ili aweze kujua ulikuwa umesema nini, kabla hajachukua hatua nyingine iliyokuwa inafuata

MLOLONGO WA MATUKIO MENGINE MUHIMU ZAIDI KUANZIA J3 HIYO TAJWA

NDIYO YALE YALIYOPELEKEA HASA TAARIFA HIZI KULETWA HUMU JUKWAANI


J3 asubuhi ya tarehe 16/06/2025 ilipofika, mhusika alifika ofisini kwa MWI akitaka kuongea na KMWI

Wakati huo, KMWI alikuwa anaongea na MR M, ambaye alikuwa yuko ndani ya kaunta ya ofisi, akiwa amesimama karibu pembeni kulia kwa meza ya KMWI

……………………….inaendelea
 
KMWI WAKIWA WANAONGEA NA MR M

Baada ya KMWI kumuona mhusika, ali-switch maongezi kutoka kwa MR M na kwenda kwa mhusika akimuuliza swali mhusika kuwa “nimekutumia barua nyingine kwenye email uneiona?”

Mhusika alijibu kuwa alikuwa bado hajasoma email huku wakati huo huo akiongezea kwa kumweleza KMWI kuwa anarudi ofisini kwenda kusoma email

Mhusika aliondoka ofisini kwa MWI huku akiwaacha KMWI na MR M wakiendelea na maongezi yao. Hiyo J3 ikapita

Kesho yake J4


Kuanzia kesho yake siku ya J4 hadi leo Ijumaa, KMWI hayupo ofisini, huku nafasi yake ikiwa imekasimishwa kwa KMWI wa kutoka kwenye ile idara nyingine ya MAJOR UNIT

BAADA YA MHUSIKA KURUDI OFISINI NA KUFUNGUA EMAIL NA HATIMAYE KUFUNGUA ATTACHMENT NA KUISOMA


Attachment iliyokuwa imetumwa na KMWI kwa mhusika J3 hiyo, ilikuwa ni ile barua ya awali iliyowahi kutumwa kutoka NGAZI ZA JUU, terehe 08/06/2023 ambayo mhusika hakuwahi kuiona

Barua hiyo ilionyesha kuwa ilikuwa imesainiwa na AFISA MKUU TAWALA, ila mhusika hana uhakika sana kama aliyeisani ni yeye kwa sababu hajawahi kuona document yoyote iliyosainiwa na AFISA MKUU TAWALA na hivyo haijui sahihi ya ofisa huyo mpya
  • Barua hiyo ilikuwa na maneno yale yale yaliyokuwa kwenye barua aliyopokea mhusika kutoka kwenye ngazi ya MU, kitu kilichoonyesha kuwa MU waliamua kuiandika upya barua hiyo kutoka NGAZI ZA JUU na hatimaye kuituma idarani
  • Barua hii nayo vile vile ilikuwa imebeba mambo yale yale kama yale yaliyokuwa yamemchanganya mhusika kwenye barua ya aliyokuwa ameipokea mwanzo kutoka ngazi ya MU
Barua hiyo
  • Iilionyesha kuwa MKUU WA MAJOR UNIT hakuwa ameiona; haikuwa minuted kutoka ofisini kwa MU kwenda ofisin kwa MWI
  • Mbali na hilo, barua hiyo haikuwa imegongwa mhuri wa RECEIVED wa kuonyesha ni lini ilipokelewa kwenye ngazi ya MU na hivyo haikuwa na maandishi ya mkono ya kuonyesha tarehe ambayo Katibu Muhtasi wa MU aliipokea barua hiyo kutoka NGAZI ZA JUU
Kutokana na maudhui ya barua hizi mbili kuwa sawa, taarifa zilizokuwepo kwenye barua hii ya pili zilikuwa ndiyo zile zile zilizokuwepo kwenye barua ile ya mwanzo
Na kwa mlolongo ambao barua hii ilikuwa imeufuata, ilikuwa imepanda na kushuka na hivyo ilikuwa imeshughulika na vyote viwili ORGANISATION STRUCTURE na ORGANISATION HIERARCHY
Hilo nalo likapita

TUKIO LA ATTRIBUTES NA TURPLES LAJIRUDIA TENA, SAFARI HII LIKIMHUSISHA OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA NA MFANYAKAZI KUTOKA TAASISI YA MIKOPO


Kama alivyodokeza hapo awali, OM wa mhusika alirejea ofisini Ijumaa ya wiki iliyopita

J2 iliyopita mhusika alikuwa Kanisani kama kawaida, na tukio moja lililotokea huko atakuja kuliongelea baadaye. Kwa sasa ngoja ashughulikie haya ya ofisini kwanza

Hadi kufikia J5 ya wiki hii, wote mhusika na OM wakajikuta wamekumbana na tukio jingine tena lililohusiana na mambo ya ATTRIBUTES na TURPLES za TABLES

  • Kwenye tukio hili mhusika hana uhakika sana kama OM wake alizungukwa au alishiriki akiwa anafahamu
  • Unless kama OM alizungukwa ila kama sivyo, basi OM atakuwa ameripoti ofisini akiwa na kitu kizito cha ziada ambacho bado amekificha ndani ya roho yake
Mbali na hilo, OM amehusika pia kwenye tukio jingine la mafundi wa kubandika vibao mlangoni lililotokea jana Alhamis ya tarehe 21/06/2023

……………………inaendelea
 
MAELEZO TUKIO LENYEWE

Ilikuwa ni J5 ya wiki hii tarehe 21/06/2023


Mhusika alitoka kidogo ofiisini na baada ya kurudi, alikuta OM naye pia ametoka kidogo

Baada ya dakika kadhaa, OM alirudi akiwa ameshika BUSINESS CARD mkononi. BUSINESS CARD ni kiwakilishi cha TABLE ambacho details zake ni ATTRIBUTES na TURPLES

Baada ya kuingia ofisini, OM alisogea karibu kidogo na mahali pale mhusika alipokuwa amekaa na hatimaye alimuuliza swali mhusika kama kuna mtu (mhusika) alimtuma kwake OM

Mhusika alimjibu OM kuwa hajafanya hivyo, na alitamani kutaka kujua ni nini kilikuwa kimemtokea kwa upande wake OM

Baada ya hapo, OM alianza kutoa maelezo yafuatayo kwamba

  • Dakika chache zilizokuwa zimepita, OM alikuwa amekutana na mtu ambaye taasisi yake inajihusisha na mambo ya mikopo na mtu huyo ndiye ambaye BUSINESS CARD yake alikuwa ameibeba mkononi
  • OM aliendelea akisema kuwa mtu huyo hawafahamiani lakini alimtaja OM kwa jina lake na hivyo kuhisi pengine ni yeye mhusika alikuwa amempa mtu huyo taarifa za OM
  • Mhusika alimweleza OM kuwa hajamtuma mtu yeyote kwake na alishangaa kidogo namna mtu huyo alivyoweza kujua details za OM
BAADA YA DAKIKA KADHAA KUPITA; MHUSIKA WA MIKOPO AWASILI OFISINI NA KUWAKUTA WOTE MHUSIKA NA OM

Safari hii mtu huyu alifika ofisini kwao akiwa anamhitaji mhusika achukue mkopo, na alikuwa ameshika BUSINESS CARD mkononi sawa na ile aliyokuwa amekuja nayo OM muda mfupi uliokuwa umepita

Ili kufupisha mambo, mhusika alimjibu mkopeshaji huyo kwa kumdanganya kuwa anao mkopo mwingine, ilhali mara ya mwisho mhusika alichukua mkopo ilikuwa mwaka 2009 na uliishia mwaka 2014

Tangia mwaka 2014 hadi leo, mhusika hajawahi kuchukua tena mkopo wowote mahali popote

…………………….inaendelea
 
BAADA YA MKOPESHAJI KUONEKANA OFISINI KWAO MHUSIKA NA OM

Mhusika alitamani kujua kutoka kwa mkopeshaji, namna alivyoweza kujua details za OM ilhali hawafahamiani

Mkopeshaji alimjibu mhusika kuwa kawaida wao huwa wanaanzia kwanza CENTRAL ADMINISTRATION ambako huwa wanapewa DETAILS za NEW EMPLOYEES na LOCATION zao halafu ndiyo wanaanza kuzunguka maofisini

Hapa tunapata vitu vingi tu baadhi yake vikiwa ni
  • CENTRAL ADMINISTRATION===employer TABLE
  • NEW EMPLOYEES===employee TABLE
  • DETAILS za NEW EMPLOYEES=== ATTRIBUTES and TURPLES za employee TABLE, n.k.
Details ni nyingi

NAMNA MAONGEZI KATI YA MKOPESHAJI NA OM YALIVYOKUWA

Kwenye maongezi yao, OM na mkopeshaji, walikubaliana kwamba OM kama mwajiriwa mpya, atachukua mkopo hivi karibuni

Hilo likapita

TUKIO LA MAFUNDI WA KUWEKA VIBAO MLANGONI JANA ALHAMISI TAREHE 22/06/2023

Mafundi hawa wamekuwa wakifanya kazi kwa kurukaruka, na hadi jana mida ya saa kumi kasoro, walikuwa wanaanza sasa kuelekea ilipo ofisi ya mhusika

Hadi muda huo, mafundi hawa walikuwa wanaendelea kufunga vibao kwenye ofisi za watu amba hawakuwepo maofisini

Baada ya kuona hivyo, mhusika aliwajulisha mafundi hao kuwa baada ya saa kumi, atakuwa anaondoka ofisini na hivyo ingekuwa vyema kama wangefika na kufunga ofisini kwake kabla muda haujapaita; kwa sababu yeye akiondoka na kufunga ofisi, hawataweza tena kupata namna ya kufunga vibao hivyo kwenye mlango wa ofisi yake kama wanavyofanya kwenye ofisi za wengine, kutokana na nature ya mlango wa ofisi yake ilivyo
  • Baada ya hapo, mafundi hao walisogea na kuanza kufanya kazi kwenye mlango wake
  • Wakati mhusika anaongea na mafundi hao, OM alikuwa hayupo ofisini, alikuwa ana muda pasipo kuwepo ofisini
Ghafla OM aliingia huku akiwa amebuni mradi wa ghafla wa kuanza kufanya muda huo, huku mafundi hao wakiwa wanaendelea na kazi yao ya kufunga vibao

OM alikuwa anataka kuanza kupanga files zilizowahi kulazwa juu ya meza na wafanyakzai wa usafi kwa kuzihamisha kutoka juu ya meza na kuziweka juu ya shelves zilizomo ofisini humo

Ni kweli awali files hizo zilikuwa juu ya shelves lakini wafanyakazi wa usafi waliwahi kuzishusha na kuziweka juu ya meza, na tangia pale hawakuwahi kuzirudisha tena juu ya shelves

Hapo awali, mara zote mhusika amekuwa akimsisitiza OM kazi ya kupanga files hizo siyo kazi yake, ni ya watoto wanaofanya kazi ya usafi

Kwa hiyo kwa kifupi, OM alikuwa anahitaji sasa kuanzia pale aanze naye kushughulika na faili hizo huku mafundi wa kuweka vibao nao wakiwa wanaendelea na kazi yao

Hata hivyo, mafundi hao waliishia kufunga kibao cha namba ya ofisi tu na hatimaye kuhamia tena sehemu nyingine wakisema kuwa vibao vya majina wangekuja kufunga leo asubuhi

TAARIFA NYINGINE MUHIMU KUHUSIANA NA WATU WAWILI SMKE NA OM

Hadi kufikia muda huu, OM na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) wameonana mara moja tu kwenye siku zile za mwanzo kabla OM hajasafiri.

Kuna coincidence ya pekee sana iliyojitokeza kati ya watu hawa wawili kwamba OM anapokuwa yupo ofisini, SMKE anakuwa hayupo; na vile vile SMKE akiwa yupo ofisini, OM anakuwa hayupo ofisini

SMKE akiondoka ofisini, OM anarudi ofisini. Tangu OM arudi kutoka safari, hawajawahi kuonana na SMKE

Mbali na hilo, tangu OM arudi kutoka safarini, mhusika hajawahi kumuona akiwa anaongea na wale aliokuwa amesafiri nao na ambao ni wafanyakazi wenzake kwenye section. Mara chache sana utamkuta yupo na staff wale wanaohusika na vibao vya milango

Vinginevyo vifaa vya kazi vilivyokuwa wamesafiri navyo, vilirudishwa J4 ya wiki hii na stori yake itafuata baadaye. Yalirudi maboksi bila nyundo na chuma

NYUMDO na CHUMA
vimewekwa kwenye LOCATION nyingine

………………………..itaendelea tena
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
VINGINEVYO JANA MHUSIKA ALIPATA UGENI MBILI SPECIAL
UGENI WA KWANZA ULIKUWA WA STAFF ALIYEHUSIKA WA VIBAO AMBAYE ALIKUWA AMEAMBATANA NA WATOTO WAKE WANNE

UGENI WA PILI ULIKUWA NI WA MKUU WA IDARA ALIYEWAHI KUHUDUMU KATI YA 2015 NA 2016.
UGENI WA KWANZA ULIMKUTA OM AKIWA YUPO OFISINI WAKATI ILE WA PILI HAUKUMKUTA.
KABLA HAUJAENDA OFISINI KWA MHUSIKA, UGENI WA KWANZA ULIKUWA UMEANZIA KWA MR X
MHUSIKA HAKUMBUKI NI LINI MARA YA MWISHO ALITEMBELEWA NA MGENI WA PILI ILA ANACHOKUMBUKA NI KWAMBA MARA YA MWISHO WALIONANA NA KUONGEA MWISHONI MWA DESEMBA 2022
 
HINT MUHIMU SANA KWA WATU AMBAO WANAPENDA KUENDELEA KUWA MAHASIMU WA MHUSIKA:
WANAPOKUWA WAPO KWENYE PILIKA PILIKA AMBAZO WANAPENDA ZIWE FOOL PROOF KWA MHUSIKA, WANATAKIWA WAHAKIKISHE KABISA KUWA HAWAWASHIRIKISHI WATOTO
 
UPDATE: SATURDAY, 23RD JUNE 2023

MATUKIO MENGINE MAWILI YASIYO YA KAWAIDA AMABAYO YAMEFANYWA NA HIVI KARIBUNI NA MAFUNDI WENGINE NDANI NYUMBANI KWA MHUSIKA WAKISHIRIKIANA NA OFISA WA NYUMBA


Kwa sasa, kuna ukarabati WA NJE YA JENGO unaoendelea kwenye jengo analoishi mhusika

Hata hivyo kwenye J2 mbili mfululizo zilizopita, OFISA WA NYUMBA (OWN) amekuwa akishirikiana na mafundi vibarua katika namna ambayo mafundi hao wanatengeneza mazingira ya kuingia NDANI NYUMBANI KWA MHUSIKA na mbaya zaidi, J2 ya tarehe 11/06/2023 mafundi hao WALIFANIKIWA KUINGIA NDANI KWA MHUSIKA YEYE AKIWA HAYUPO, ALIKUWA YUPO KANISANI

Vile vile kwenye J2 hiyo, mafundi hao waliingia ndani tena ndani nyumbani kwake mara baada ya kuwa amerudi kutoka kanisani

NAMNA MAFUNDI HAO WALIVYOFANIKIWA KUINGIA NDANI YA NYUMBANI KWA MHUSIKA BILA MHUSIKA KUWEPO BAADA YA KUWA WAMEPEWA RUHUSA HIYO NA OFISA WA NYUMBA

Mafundi hao walipanda juu kwa kutumia ngazi za kupandishia juu wakati wanafanya kazi zao, ambazo kwa wakati huo walikuwa bado wanaendelea kuziweka

Baada ya kuingia ndani, walining’ininza kizingiti cha kushikilia ngazi KWA MUDA kutokea ndani nyumbani kwa mhusika, kizingiti ambacho baadaye walikuja kukitoa tena na hatimaye kuurudishia ubao sehemu yake, KWA KUUPIGILIA NA MISUMARI

  • Kizingiti hicho walikiweka kwa kuuondoa ubao uliowahi kuwekwa zamani kwa ajili ya kuziba kwenye sehemu ya SLAB ILIYOWAHI KUANGUKA
  • Ubao huo ni ule uliopo upande wa pili ambako ghorofa lina-face bararabara ya kuelekea Savei
  • Kwa hiyo baada ya mhusika kurudi kutoka Kanisani J2 hiyo, alikuta nyumba yake iko wazi kwenye sehemu ile ya slab lilowahi kuanguka, na humo ndani kwake kulikuwa na mbao za mafundi zikiwa zimeshikilia ngazi kutokea humo ndani nyumbani kwake
Awali, ubao huo uliwahi kueegeshwa tu na kukaa sawa bila kuanguka, hapakuwa na misumari iliyokuwa imeushikilia

Baada ya mafundi kuwa wameurudishia ubao huo, ilionekana kama hapakuwa na kitu chochote walichofanya kupitia kwenye uwazi huo, na hadi sasa inaonekana hivyo kuonekana kama

ZOEZI LA KIZINGITI KUWEKWA KUPITIA NDANI NYUMBANI KWA MHUISIKA LILIFANYWA KWA MAKUSUDI, HALIKUWA LA LAZIMA


Hiki kitu kilifanywa kwa makusudi kwa maana kwamba hapakuwa na haja ya mafundi hao kuutoa ubao unaoziba sehemu ya slab lililowahi kuanguka na hatimaye kuingia ndani nyumbani kwa mhusika
Hii ni kutokana na ukweli kuwa kwenye sehemu zingine za jengo husika ambako SLABS hazikuwahi kuanguka, mafundi hao hao walikuwa wamefanikiwa kyuweka ngazi hizo bila kutumia utaratibu huo
Mbali na hilo, mafundi hao walitumwa na OFISA WA NYUMBA kufanya kazi hiyo siku ya J2 na kwenye sehemu ambayo ni ya upande ule wa barabara ili watu wasiweze kuona kilichokuwa kinafanyika siku hiyo nyumbani kwa mhusika

  • Iikuwa ni J2 ya kwanza kabisa ambayo mhusika aliwakuta mafundi hao wakiwa wapo site
  • Hapo kabla mafundi hawa walikuwa waanfanya kazi siku za wiki tu halafu J2 wanapumzika
Hilo likawa tukio la kwanza.
Tukio jingine la mafundi kuingia ndani nyumbani kwa mhusika, pili lilifanyika tena J2 iliyofuata ya tarehe 18/06/2023, baada ya kuwa wametumwa tena na OFISA WA NYUMBA
Tofauti na lile la kwanza hili la pili mhusika ana wasiwasi nalo kidogo kwa kudhani kwamba kuna uwezekano kitu cha ziada kilifanyika kwenye tukio hili pasipo mhusika kufahamu
………inaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…