#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

TUKIO LA PILI JUMAPILI YA TAREHE 18/06/2023

HILI LILIFANYWA KWA USHIRIKIANO WA OFISA WA NYUMBA PAMOJA NA JIRANI WA MHUSIKA ANAYEISHI NYUMBA ILIYO CHINI YA MHUSIKA, WING YA PILI YA JENGO


Huyu jirani waliyeshirikiana naye anaonekana kama yupo nyumbani siku zote ila hapendi ajulikane kama yupo

Kwa hali hiyo ameamua kutokutumia gari ili aonekane kama hayupo ukizingatia ukweli kuwa haonekani mara kwa mara

Kuna swala jingine la watu kupaki magari na kutokuyatumia, ambayo ni topic nyingine ndefu.

Topic hii mhusika atakuja kuitolea maelezo huko mbele ya safari. NI MAIGIZO lakini yenye maana fulani kubwa

NAMNA MAFUNDI WALIVYOFANIKIWA KUINGIA TENA NDANI NYUMBANI KWA MHUSIKA

J2 hiyo mhusika akiwa ametokea Kanisani, baada ya kumaliza kula, aliamua kwenda kupumzika kidogo chumbani kwake.

  • Baada ya kuwa zimepiata takribani dakika 45, musika alisikia mlango wake ukiwa unagongwa kwa nguvu sana
  • Mhusika alidhani kuwa pengine labda walikuwa ni watoto rafiki zake; wakati mwingine huwa wanakuja kumgongea wakiwa wamekosea balance ya nguvu inayohitajika kwa ajili ya kugonga mlango
  • Hapo mhusika alitoka chumbani na kwenda kufungua mlango
Ni kweli mtoto rafiki yake alikuwepo mlangoni, ila waliokuwa wanagonga mlango walikuwa ni mafundi wa J2 hiyo

Mafundi hao walikuwa wametumwa na OFISA WA NYUMBA na walihitaji kuweka mota (mchnganyiko wa cement, maji na mchanga) kwenye sehemu ya juu ya dirisha la kwanza kabisa upande wa kushoto kama unaingia ndani nyumbani kwa mhusika

Mafundi hao walisema kuwa fundi mwenzao aliyekuwa anafanya kazi nje alikuwa ame-recommend sehemu hiyo ya ndani ya nyumba ya mhusika, iwekewe mota halafu ndiyo aweze kuendelea vizuri na kazi yake kule nje

  • Mhusika aliwaruhusu mafundi wakaingia na kuweka mota hiyo
  • Wakati wanafanya kazi hiyo, yeye alikuwa yuko busy anaongea na rafiki yake kutoka nyumba jirani ambayo baba mwenye nyumba anasemekana kuwa hayupo; kitu ambacho mhusika ana mashaka nacho
Kuna mpango wa watu kupaki gari isitembee na mpango huo una maana yake kubwa sana kwenye maswala ya LOCATION

Fundi aliyeingia mara ya pili kwa ajili ya kuweka mota ndani nyumbani kwa mhusika, ni yule ambaye huwa anaongea Kiswahili kwa lafudhi kama ya watu wa kule nyumbani kwetu Kigoma; Waha

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

COMING UP NEXT:
MATUKIO YA HIVI KARIBUNI YA OFISINI
…………………….inaendelea
 
KITU KINGINE CHA HIVI KARIBUNI ALICHOWAHI KUFANYA OFISA WA NYUMBA KWA MHUSIKA

Mnamo April 2021, Serikali ilitangaza msamaha wa kodi wa asilimia moja (1%) kwenye mishahara ya wafanyakazi kuanzia Julai mosi 2021

Baada ya hapo, ilipofika mwishoni mwa mwezi April 2021, mhusika aligundua upungufu wa kiasi kama cha shillingi elfu sitini (60,000/=) kwenye mshahara wake

  • Kwa hiyo pamoja na punguzo la asilimia moja kwenye kodi, ilipofika Julai mosi 2021, bado mshahara wa mhusika uliendelea kuwa mdogo ukilinganisha na ule aliokuwa ameupata March 2021 na kurudi nyuma
  • Hadi muda huu, mshahara anaopata mhusika ni mdogo kuliko ule aliowahi kuupata kwenye hiyo miezi ya nyuma ya kutokea March 2021 na kurudi nyuma
Baada ya kuona hivyo, mhusika aliamua kukausha, hakufuatilia kwa kuzingatia kuwa hata mshahara ambao amekuwa akilipwa kutokea kipindi kirefu nyuma, umekuwa ukiambatana na kasoro kubwa nyingi kwenye viwango vyake

BAADA YA JULAI 2021, MHUSIKA AKUTA BARUA IMECHOMEKWA MLANGONI KWAKE NA OFISA YA NYUMBA IKIELEZEA MAKATO HAYO MAPYA YA MWAKA 2021 KWENYE MSHAHARA WAKE

Barua hiyo ilililetwa kwa mkono na OFISA WA NYUMBA na hatimaye kuchomekwa kupitia mlangoni mida ya jioni baada ya giza kuingia, na alikuwa ameisani yeye OWN

  • Mhusika hakuwepo nyumbani wakati barua hiyo inachomekwa
  • Barua hiyo ilikuwa inamjulisha mhusika kuwa kwenye mshahara wake kuna makato mapya yalianzishwa tangu April 2021 kama gharama kwa ajili ya usafi wa mazingira
Kwa hiyo kuanzia pale makato hayo yanaendelea kwenye mshahara wa mhusika hadi leo na hivyo kusababisha kiwango anachopata hadi leo kuwa ni kidogo ukilinganisha na kile alichowahi kukipata kuanzia miezi ya March 2021 na kurudi nyuma

BAADA YA TAASISI KUSITISHA KUTOA SALARY SLIPS, MHUSIKA AMEKUWA HAPATI SALARY SLIPS TANGU MWAKA 2016

Taasisi iliwahi kusitisha mfumo wa kutoa salary slips lakini haikuwahi kutoa waraka uliolekeza ni wapi mahali sahihi ambapo wafanyakazi wanaweza kuzipata salary slips hizo

Kwa hiyo kilichotokea baada ya hapo ni wafanyakazi kuwa wanapewa maelekezo ya mdomoni tu kutoka idarani kwamba ili mtu aweze kupata salary slip, inabidi akawaone watu wa LOSSON ambao ndiyo walisemekana kuwa na maelekezo sahihi

  • Mara ya kwanza mhusika alienda kuwaona watu wa LOSSON na alipewa website ambayo haikuwa sahihi kwa hiyo akawa ana-print SALARY SLIPS (SS) ambazo zilikwa feki. Salary Slips hizo zipo anazo hadi leo kama ushahidi
  • Hadi kufikia mwaka 2019, mhusika akawa ameligundua hilo na akarudi tena kwa watu wa LOSSON
Safari hii walimkwepa sana, ilikuwa ni vigumu mno kuwakuta ofisini ila hatimaye alikuja kubatika kumkuta mtu mmoja ofisini siku moja

  • Mtu huyo wa LOSSON safari hii hakumpatia mhusika website kwa ajili ya ku-print SS bali alimpa namba ya simu ya mtu aliyesemekana kuwa ndiye anahusika na mambo ya SS huko Wizara ya Fedha
  • Kwa hiyo ofisa huyo alimshauri mhusika ampigie mtu huyo wa Wizara ya Fedha
Mhusika alifanya hivyo ila safari hii akiwa tayari ameshachukua tahadhari kubwa

  • Baada ya mhusika kumpigia. ofisa huyo ali-respond kwa kumsajili mhusika kwenye website ya ku-print SS
  • Still, SS hizo nazo pia zikawa ni feki na hivyo kupelekea mhusika kutokuwa na anapata NET PAY tu isiyokuwa imeambatana SS yoyote
USHAURI KWA TAASISI ZOTE ZA UMMA KATIKA HILI

Katika hili mhusika alikuwa anshauri kama kuna uwezekano, NGAZI ZA JUU zitoe waraka wa kuwaelekeza mahali ambapo wafanyakazi wanaweza ku-print SS na si kupata amelekezo ya mdomo kutoka kwa watu wa LOSSON au kwa mtu mwingine yeyote yule

Yaweza pia kuwa NGAZI ZA JUU tayari zilishawahi kutoa waraka huo huko nyuma ila mamlaka husika idarani ndiyo ambazo hazikuweza kumpa mhusika nafasi ya kuweza kuuona

Kwa hiyo kwa kifupi, OFISA WA NYUMBA pamoja na MAAFISA TAWALA wawili waliopita kabla ya huyu aliyepo sasa, ni viongozi wake mhusika ambao wamefanya mambo makubwa sana kwake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA SWALA LA SALARY SLIP:

KILICHOPELEKA MHUSIKA AKAGUNGUA KUWA SALALRY SLIPS ALIZOKUWA ANAPRINT ZILIKUWA FEKI


Ilikuwa ni baada ya website aliyokuwa ana-print SS hizo kusitishwa ghafla na kupotea kabisa kwenye mtandao hadi leo; na aliyesababisha website hiyo kupotea alikuwa pia ni mhusika mwenyewe

NAMNA MHUSIKA ALIVYOSABABISHA WEBSITE HIYO KUPOTEA

Siku moja mhusika alikuwa ameandika barua kwenda ngazi za juu na alihitaji kui-print kupitia printer ya ofisi ya MWI

Wakati huo huo kulikuwa na mtu aliyekuwa amewekwa standby ili kuiba nakala ya barua ambayo mhusika alikuwa ameandika kwa nia ya maudhui yake kujulikana kabla

  • Wakati mhusika anaprint barua hiyo, mtu aliyekuwa ameandaliwa kweli alifanikiwa kuiiba barua husika na kwa bahati mbaya, USB flash aliyokuwa ametumia mhusika ilikuwa imebeba pia files ambazo zilikuwa ni print outs za Salary Slips (SS) zake
  • Kwa hali hiyo wakati anatekeleza jukumu lake, mwizi wa nakala ya barua alifanikiwa kuiba pia nakala za SS.
Baada ya hapo taarifa zilienda na kuanzia mwezi huo, website hiyo ya SS haikuweza kupatikana tena hewani hadi leo

KILICHOKUWA KIMEDHANIWA AWALI NA WATENGENEZA WEBSITE HIYO YA SS

Waliokuwa wameitengeneza hawakuwa wameweka option ya ku-print SS isipokuwa kuangalia tu.

Mbali na hilo, watu hao walikuwa na dhana kwamba mhusika ni layman tu na hivyo asingeweza kujua namna nyingine ya ku-print SS kutoka kwenye website hiyo

Kwa hiyo baada ya kuwa wamegundua alikuwa na uwezo wa kuzi-print na kuwa nazo kama ushahidi ndiyo walipoamua kuisitisha website hiyo

UP NEXT:
KUHUSIANA NA MAUDHUI YA MOJAWAPO YA BARUA AMBAZO MHUSIKA ALITUMIWA KWENYE EMAIL NA KMWI
 
KUHUSIANA NA MAUDHUI YA MOJAWAPO YA BARUA AMBAZO MHUSIKA ALITUMIWA KWENYE EMAIL NA KMWI

Barua ya kwanza iliyokuwa imetoka kwenye ngazi ya MAJOR UNIT, ilikuwa imesainiwa na Ofisa ambaye hapo awali alikuwa ameanza kujulikana kama HR ila baadaye alikuja kutambulishwa na MKUU WA MAJOR UNIT kama Administrative Officer

Ile ya pili iliyokuwa imetoka NGAZI ZA JUU, ilikuwa na requirement moja ya ziada kwamba details za mhusika zilizokuwa zinahitajika, alihitajika azipeleke kwa watu wa Benki kwanza ili wakazi-certify baada ya yeye kuwa amezisaini; na baada ya hapo sasa ndiyo azirudishe tena idarani na kuzikabidhi kwa KMWI

Haya yote ukiunganisha na tukio la Alhamis ofisini la office mate (OM) kuingia ofisini akiwa amebeba business card ya watu wa maswala ya mikopo, kuna uwezekanao kwamba kulikuwa na plot ya kumtengezea mhusika mazingira ya kuwa alikuwa ana mkopo ambao alishawahi kukopa na hivyo alikuwa anadaiwa na kupelekea mshahara wake kuwa na makato Benki. Hii ndiyo sababu kwamba kwenye barua ya pili kulikuwa na requirement ya mhusika kupeleka details zake benki.

HUKO BENKI

Huko benki kuna watu angalau wawili ambao mhusika ana uhakika nao kuwa wanaweza kushirikiana na KMWI katika hili; detail zao atazitoa muda siyo mrefu na taarifa zao nyingine tayari zimo humu jukwani, alishawahi kuwaongelea

KUHUSIANA NA FORM ZA NHIF ALIZOACHIWA MHUSIKA NA OM KWA AJILI YA KUMKABIDHI BINTI WIKI ILIYOKUWA INAFUATA

Mbali na hilo, wiki chache zilizopita wakati OM anasafiri kikazi, aliwahi kumkabidhi mhusika form za NHIF kwa ajili ya kuja kumpatia binti kutoka idara ile nyingine, J3 ya wiki iliyokuwa inafuata

Hapa pia yanaonekana mazingira ya kutaka kuonyesha kuwa mhusika tayari alikuwa na link na mfuko husika, assuming anything ingetokea kwake, tuseme labda J2, kabla ya binti kuja kuzichukua form hizo J3 ya wiki iliyofuata
………………………inaendelea
 
WAFANYAKAZI WAWILI WANAOWEZA KUTOA TAARIFA SAHIHI KWENYE TAWI LA BENKI YA MHUSIKA

KUHUSIANA NA MFANYAKAZI WA KWANZA


Ni huyu ambaye taarifa zake ziliwahi kuwajieni humu kupitia post hii #325

  • Huyu aliwahi pia kumpatia mhusika risiti ya FDR ya million 90 lakini ikawa inamsumbua usiku nyumbani akalazimika kuipiga picha na kuichana
  • Baada ya kuichana, soft copies za risiti hiyo zikaibiwa ofisini na nyumbani pia, isipokuwa kwenye smartphone tu, hicho ndicho kilichomuokoa
Nukuu ya baadhi tu ya maelezo kuhusiana na mtu huyu ni kama ilivyo hapa chini

“…………………………….ANOTHER NOTABLE AND INTERESTING INCIDENCE

Kuna J2 moja siku moja hivi karibuni mhuiska alibahatika kumuona wa nail akiwa anatoka Kanisani, mmojawapo wa wafanyakazi wa BB Mama huyu alikuwa amehudhuria bada ya asubuhi hapo Kanisani A

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza na ya mwisho kwa mhusika kumuona mama huyu kanisani hapo
  • Katika kipindi cha miaka yote ambacho mhusika amekuwa akiabudu mahali pale (tangu mwaka 2011), hakuwa amewahi kumuona mama huyo Kanisani hapo hata siku moja.
  • Huyu mama ndiyo yule aliyempa hivi karibuni mhusika risiti nyingine ya FDR (mwezi April 2020) ambayo ameshindwa kukaa nayo nyumbani kwake, ameipiga picha na kubaki na soft copy yake tu.
Baada ya hapo. siku moja mhusika akiwa BB, alibahatika tena kukutana na huyu mama na akajaribu kumuuliza kama naye pia ni muumini wa Kanisa A siku zote.

  • Mama huyu alikanusha akasema yeye huwa anaabudu Kimara kwa Mchungaji mwingine ambaye ni swahiba wa karinu sana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa A
  • Alieleza zaidi kuwa siku alipoonekana Kanisani A, alikuwa ameamua kuabudu pale kwa sababu baada ya hapo alikuwa anatakiwa kuwa ofisini.
  • Kwa hiyo siku hiyo alikuwa yuko njiani kuelekea kazini na hivyo aliona ni zaidi convenient kwake kuabudu mahali pale siku ile badala ya kule ambako huwa anaabudu siku zote
  • Hata hivyo mhusika hana uhakika sana kama mama huyu anaweza akawa hata ameabudu kwa safari zinazoweza kuzidi idadi ya mbili kwa mwaka uliopita wa 2020
  • Ni kwa sababu inaonekana kama convenience ya mama huyu kuabdu mahali pale akiwa yuko njiani kuelekea ofisini ipo kwenye baadhi tu ya siku ambazo zinaweza kuwa ni chache sana
  • Vinginevyo mhusika angekuwa amemuona tena kwa sababu ni siku zenye idadi ya kutosha zimepita tangu alipomuona kwa mara ya kwanza
  • Kwa hiyo, tangu siku hiyo mhusika alipomuona mama huyu Kanisani A, hajawahi tena kumuona mahali pale hadi leo
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza lakini pia ya mwisho pia kwa mhusika kumuona mama huyu mahali pale.
  • Ilikuwa ni mwaka jana, miezi kadhaa baada ya mkutano ule wa wanaume wa tarehe 26 April 2020 kuwa umepita
…………………………………..”

Mwisho wa kunukuu

KUHUSIANA NA MFANYAKAZI WA PILI


Huyu wa pili taarifa zake zipo kwenye baadhi ya maelezo yaliyopo kwenye post hii hapa #306

Code zilizowahi kutumika kwenye post hiyo:

  • BB==Benki B, tawi la mhusika ambalo huwa anapitishia mshahara wake
  • PA===Principal Amount ambayo ilikuwa ni million 85 (85,000,000/=)
Huyu mfanyakazi wa pili jina lake la ubini linafanana pia na jina la kigogo mmoja mstaafu aliyewahi kuwa mwajiriwa kwenye taasisi ya mhusika

Nukuu kutoka kwenye baadhi ya maelezo yaliyopo kwenye post hiyo

“……………………..MWANZO WA MATUKIO YA UHUSIKA WA MFANYAKAZI HUYU WA BB, PURPOTEDLY TO BE A POTENTIAL THREAT

  • Kwa kuzingatia ukweli kuwa mhusika alifungua FDR ya mwka mmoja kwenye BB kuanzia mwishoni mwa August 2018, hivyo ilipofika mwishoni mwa August 2019, akaunti hiyo ikawa imeiva na kuwa ime-expire vilevile
  • Siku kadhaa kabla ya kuiva kwa akaunti hiyo, mhusika alifika Benki na kutoa notification ya kukumbushia pesa zake, yaani Principal Amount (PA) pamoja na riba zoe kwa pamoja, zingizwe moja kwa moja kwenye akaunti yake ya akiba, siku ya hiyo hiyo ya kuiva kwa akaunti hiyo, na si ninginevyo
Hata hivyo, baada ya siku ya kuiva kwa akaunti kuwadia, yaani siku ya 366 tangu siku ya kufunguliwa kwa akaunti hiyo, maelekezo ya mhusika hayakuzingatiwa, na mtu aliyehusika na ukiukaji wa taratibu hizi ndiye huyu ambaye maelezo yake yamesababisha mlolongo wa taarifa yote hii

  • Ni kwamba siku hiyo jjioni yake mfanyakazi huyu wa BB aliingiza riba tu (bila PA), tena riba iliyokuwa pungufu, kwenye akaunti ya akiba ya mhusika
  • Riba aliyoingiza ilikuwa pungufu kwa PA ya million tano (5,000,000/=), yaani PA tajwa hiyo riba yake ya mwaka mzima haikuingizwa, ilikuwa inakosekana
  • Na kwa sababu alipost riba iliyokuwa pungufu, alitarajia pia kuingiza PA (kwa muda ambao alikuwa ameupanga yeye kuwa ukifika ndiyo ataingiza PA hiyo) ambayo nayo ingekuwa pungufu pia, ila safari hii kwa kiasi hicho cha shilling million tano
  • Baada ya kuona hivyo mhusika alienda BB na kuonana na mfanyakazi husika aliyekuwa amefanya muamla huo na kumpa clarifications ya mapungufu yaliyokuwa yamejitokeza
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika na mfanyakazi huyo kuonana na kuongea
  • Mfanyakazi huyu aliyakubali marekebisho yote na kukubali kuyashughulikia haraka iwezekanavyo, kwa kuongeza kiasi cha riba kilichoonekana kupungua na pia kuingiza PA haraka iwezekanavyo kwenye akaunti ya akiba ya mhusika kwa sababu kwa wakati huo FDR tayari ilikuwa imesha-expire na mwenye pesa alikuwa haelewi wakati huo pesa yake hiyo ilikuwa iko kwenye akaunti gani ndani ya taasisi hiyo ya fedha
  • Na kama hela hiyo ilikuwa labda tuseme kwenye suspense akaunti, mhusika bado anajiuliza hadi leo kuwa, hiyo suspense account ilikuwa ni ya aina gani
Baada ya mhusika kuachana na mfanyakazi huyo, muda mfupi baadaye mhusika alipokea notification ya kuingizwa kwenye akaunti yake ya akiba, kiasi cha riba ile iliyokuwa imepungua, ila safari hii tena bila PA.

Mhusika hakumbuki ni siku ngapi zilipita bila ya PA hiyo kuwa posted kwenye aacount yake ya akiba, ila anachokumbuka zaidi ni kwamba:

Baada ya siku kadhaa kupita, ilibidi arudi tena BB kuonana na mfanyakazi huyo kujua ni nini kilipelekea aache kupost tena PA hiyo kwenye aacount ya akiba ya mhusika na pasipokuwa na notification ya aina yoyote kama walivyokubaliana siku walipoonana kwa mara ya kwanza hapo benki, ukizingatia kuwa namba ya simu ya mhusika ilikuwepo kwenye kila jalada lake lililopo hapo benki. Kwa hiyo mhusika aliamini kuwa kama kungekuwa na sababu ya msingi ya ucheleweshaji wa fedha hizo, mfanyakazi HUYO ANGEWEZA KUMTUMIA MWENYE FEDHA SMS AU HATA KUMPIGIA kumjulisha kitu kilichokuwa kinakwamisha fedha hizo kuingia kwenye akaunti ya mteja wake. (Kuna maelezo mengine yenye uhusiano na haya yaliyoandikwa hapa kwa herufi kubwa, yatafuata huko baadaye)

Baada ya mhusika kufika benki, mfanyakazi huyo alitoa maelezo ya udhuru wa mambo mawili kama yafuatavyo, kwamba”


  • Authorisation order ya kutoa fedha kutoka kwenye FDR ya mteja na kuziingiza kwenye savings account yake, inayotoka kwa mteja kwenda benki, bado ilikuwa haitoshi kufanya mfanyakazi huyo ahamishe pesa kutoka kwenye account XXXXXXX?????? (ambayo sasa kwa kipindi hiki account hii haikuwa FDR ya mteja mwenye fedha maana FDR iilikuwa tayari imesha--expire siku kadhaa nyuma)
  • Kawaida mteja anatakiwa ajaze withdrawal slip pamoja na deposit slip azitoe mwenyewe kwenye FDR yake na kuziingiza mwenyewe kwenye Savings Account yake
Assuming kweli utaratibu pekee unaokubalika ki-benki ulikuwa ndiyo huu ambao mfanyakazi huyu aiuelezeea kwa mhusika, msomaji inabdi akumbuke kuwa,

  • Mfanyakazi aliyekuwa anatoa maelezo haya kwa mhusika ndiyo yeye yule yule waliyekutana na mhusika kwa ajili ya ku-clear discrepancy iliyokuwa imejitokeza kwenye kiasi cha riba ambacho mwanzoni kiliwahi kuingizwa kwenye account ya mteja kikiwa pungufu
  • Kama utaratibu pekee wa kibenki kwa ajili ya PA ya mteja kuingizwa kwenye Savings account yake kweli ulikuwa uko hivyo, mfanyakazi huyu alitakiwa aliseme hilo mapema siku mteja alipofika hapo benki akiwa anataka PA iingizwe kwenye Saningd Account yake, na wakati huo FDR ikiwa tayari imesha-expire
  • Mfanyakazi huyu hakulisema hilo siku hiyo, na mteja alipoondoka mfanyakazi huyu haku-post tena PA kwenye aaccount yake kama walivyokubaliana, na pia alikaa kimya
  • Assuming kweli mfanyakazi huyu alikuwa yuko sahihi siku hiyo, na tuseme pengine labda alijisahau kumjulisha mteja utaratibu sahihi na kujikuta amemwacha akaondoka, bado hakuchukua hatua ya kumpigia hata simu mteja huyo kumjulisha kuwa utaratibu wa kuingiza fedha hizo kwenye savings account yake ulikuwa haujakamilika, na kwamba mteja alitakiwa kurudi tena benki kwa ajili ya kuweka sawa utaratibu huo. Hata hili nlo pia, mfanyakazi huyu hakufanya
Kwa hiyo siku mhusika alipofika Benki kwa ajli ya kufuatilia kwa mara nyingine tena swala hili la PA iliyokuwa imegoma kuingia kwenye akaunti yake ya akiba, alifuata maelekezo yaliyotolewa na mfanyakazi huyo na hatimaye hela hiyo iliingia kwenye account stahiki siku hiyo.

……………………..”

Mwisho wa nukuu ya kwanza

Nukuu nyingine ya pili

“……………………………KILICHOTOKEA HIVI KARIBUNI KUHUSIANA NA MFANYAKAZI HUYU AMBAYE HABARI ZAKE ZINAELEZWA HUMU


Wiki jana (wiki ya Christmas), siku ya Jumatano au Alhamis, mhusika alistukia anapokea sms kutoka benki

  • Sms haikutoka kwa mfanyakzi anayeongelewa hapa. Ila possibly kwa hawa watoto ambao huwa wanakuwa wapo customer service (CS)
  • Ilisomeka ikiwa inaonyesha kama mfanyakazi wa CS alikuwa ameagizwa kumwandikia mteja ujumbe huo
  • Ujumbe ulikuwa unamuomba mteja aende Benki akachukue barua ya majibu yake kuhusiana na madai yake ya riba hiyo ya miezi minane ambayo imeongelewa hapo juu
  • Sms pia ilisisitiza kuwa kama mteja hana nafasi, basi awajulishe ili wao watume mtu wa kumpelekea mteja huyo majibu ya barua yake, ofisini kwake
…………………………………”

Mwisho wa nukuu ya pili

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
OFFICE MATE NA MKOPESHAJI WALIKUBALIANA KWAMBA OM CHUKUE MKOPO. TAASISI INAYOTOA MIKOPO INAITWA FANIKIWA
 
UPDATE: SUNDAY 25TH JUNE 2023

KWA WAUMINI WA KANISA A

DOKEZO MUHIMU
KUHUSIANA NA MOJAWAPO YA MATANGAZO YALIYOTOLEWA J2 ILIYOPITA YA TAREHE 18/06/2025:

TANGAZO LILILOHUSU WAHUDUMU IKIWA NI PAMOJA NA WAUMINI WOTE, KUONDOKA KUTOKEA KANISANI HAPO J2 ILIYOPITA, WAKIWA PAMOJA NA SADAKA ILIYOKUSANYWA J2 HIYO; KWENDA KUHUDUMU KWENYE MINISTRY YA BCIC MBEZI BEACH


Hata hivyo, J2 ya leo tarehe 25 Juni 2025, tangazo la huduma hiyo ya BCIC Mbezi Beach kama lilivyotolewa J2 iliyopita, limebadilika na kuonyesha kuwa huduma husika iko viwanja vya TANGANYIKA PARKERS

Huduma iliyotangazwa J2 iliyopita ilikuwa si ya TANGANYIKA PARKERS bali ya BCIC Mbezi Beach, na ndiyo kwenye LOCATION hiyo ambako sadaka ya J2 iliyopita, ilitangazwa kuwa ingepelekwa

  • Unless kama huduma hiyo baadaye iilihama kutoka BCIC Mbezi beach kwenda TANGANYIKA PARKERS, au ilimalizika na hatimaye waumini wa Kanisa A kujiunga na huduma nyingine tena iliyoko TANGANYIKA PARKERS
  • Mhusika analo neno la kuongea kuhusiana na tangazo la huduma hiyo ya BCIC Mbezi Beach, kwa sababu ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika, kumuona KM-A akipeleka huduma kwenye Ministry ambayo ina operate indepent na Organisation ya Kanisa analoongoza yeye
Mara zote KM-A amekuwa akipeleka mkono wa huduma aidha ndani ya Organisation yake au kwenye Organisation nyingine zilizo na affliation na Organistaion ya Kanisa analoongoza yeye, kama vile KKKT ila si kwenye Minisstry

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona KM-A anapeleka huduma kwemye Ministry huku huduma hiyo ikiwa tayari imeambatana na sadaka special

Ikumbukwe kuwa tangazo la awali la sadaka hii ndiyo ile walilowahi kunong’onezana KINARA WA MATANGAZO (KWM) na KIONGOZI WA ZAMU wakati wa matangazo ya J2 ya tarehe 11/06/2023, pale KWM alipoanda juu madhabahuni kwenda kutoa tangazo la ajali

Hii inaonyesha kuwa KM-A alikuwa amekwepa kuitangaza sadaka hiyo

KM-A anaonekana kuwa na affliation fulani kwenye Ministry hiyo, affliation ambayo kabla ya sadaka kutolewa, alikuwa hataki ijulikane na waumini na ndiyo maana tangazo la sadaka yake alikuwa amelikwepa

Habari zaidi zitawajieni kuanzia kesho

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 27TH JUNE 2023

HALI ILIVYO KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA:

KUNA DALILI ZINAZOONYESHA WAZI KUWA KUNA USIRI FULANI UNAOENDELEA KATI YA MKUU WA IDARA (MWI) NA OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA


Office Mate (OM) wa mhusika yupo ofisini isipokuwa tatizo tu ni kwamba anaonyesha hali ya kuwa na wasiwasi muda wote na anajaribu kuwakwepa baadhi ya watu ili wasimuone kama yupo ofisini, kitu kilichopelekea hadi akabadilisha sehemu ya kukaa

Kwa siku ya leo, mkuu wa Idara alisogea maeneo ya ofisi lakini walipishana na OM nje kwenye korido, ila karibu na mlango wa kutokea ofisini

Baada ya kurudi kutoka safari, OM amebadilisha nafasi ya kukaa na hivyo kwa sasa anakaa sehemu ambayo si rahisi sana watu kumuona, ukilinganisha na nafasi ile aliyokuwa anakaa kabla hajasafiri

Uhakika ni kwamba kuna kitu ambacho kinaendelea idarani kati ya Mkuu wa Idara na Office mate wa mhusika ila mhusika bado hajajua ni kitu gani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UWEZEKANO WA KUWA KUNA HUJUMA NYINGINE TENA ILIFANYWA KWA WANAFUNZI JANA J3 YA TAREHE 27/06/2023
KAMA ILIVYO KAWAIDA, KWA SIKU ZA J3 NA IJUMAA, WANAFUNZI WANATAKIWA KUWEPO CHUMBA CHA MICROSCOPE.
J3 YA WIKI JUZI WALIKUEPO KUANZIA SAA 1 HADI SAA, SIKU AMVAYO OFFICE MATE WA MHUSIKA HAKUWEPO, ALIKUWA BADO HAJARUDI. IJUMAA YA WIKI HIYO HIYO WANAFUNZI HAO WALITAKIWA KUWEPO TENA CHUMBA CHA MICROSCOPE KUANZIA SAA 3 MPAKA SAA 6 LAKINI HAWAKUWEPO, OFFICE MATE WA MHUSIKA ALIRUDI OFISINI SIKU HIYO KUTOKA SAFARI. J3 YA WIKI JANA VILEVILE WANAFUNZI HAWAKUWEPO, OFFICE MATE ALIKUWEPO OFISINI. IJUMAA YA WIKI JANA, MHUSIKA ALIKIMBIA OFISINI NA KWENDA KUFANYIA KAZI NYUMBANI ILA HANA UHAKIKA KAMA WANAFUNZI WALIKUWEPO KWENYE CHUMBA HICHO.
JANA J3 WANAFUNZI HAO HAWAKUWEPO PIIA, OFFICE MATE ALIKUWEPOMOFISINI
CHUMBA CHA MICROSCOPE NI CHUMBA KILICHO JIRANI NA OFISI YAO MHUSIKA NA OM KIASI KWAMBA WANAFUNZI WANAPOKUWA WAPO CHUMBA CHA MICROSCOPE HUWA WANAWEZA KUONA KWENYE OFISI YA MHUSIKA.

KWENYE SIKU HIYO YA JANA VILEVILE, OM ALIPANGA YALE MAFILE ALIYOKUWA ANATAMANI KUYAPANGA, ALISEMA ALIAMBIWA NA MKUU WA IDARA. MAFAILI HAYO ALYAPANGA KWA KUSHIRIKIANA NA MFANYAKAZI WA USAFI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:THURSDAY 29THJUNE 023
GOOD NEWS AND BREAKING NEWS,
!!! CODE YA NAMNA LILIVYORUSHWA PEPO LA KWENYYE DATABASE YA WATU NA MAKAZI HATJMAYE NAYO YAFUNGUKA PIA


WAHuSIKA NI MAMA JIRANI WAWILI, MMOJA YULE WA SIKU ZOTE AMBAYE ANSIDHI BLOCK MOJA N.A. MHUSIKA. MAMA MWINGINE WA PILI (tumwite MM2) ANAISHI BLOCK JINGINE LILILOKO KARIBU NA PUMP YA MAJI

1. MM2 NDIYE PIA MTU AMBAYE WALIWAHI KUKUTANA NA MHUSIKA KWENYE TUKIO LA ZAMANI KIDOGO LA MSIBA KWENYE MAKAZI YA STAFF MATE WA MHUSIKA, MKUU WA MAJOR UNIT, MSIBA AMBAO MHUSIKA HAKUWAFAHAMU WATU WOTE WALIOKUWRPO HAPO ISIPOKUWA MM2 NA MUME WAKE TU. STAFF WENGINE WOTE WA IDARANI HAWAKUWEP KWENYE MSIBA HUO, LAKINI NA OFISINI NAKO PIA VILE VILE HAWAKUWEPO, OFISI ZAO ZILIKUWA ZIMEFUNGWA

2. KUHUSIANA NA TUKIO HILI LA HIVI KARIBUNI, SJKU HIYO, MAMA JIRANI NA MM2 WANAONEKANA WALIAMUA KUCHUKUA ADVANTAGE KWA KUTUMIA TUKIO JINGINE LA MSIBA ULIOKUWA UMETOKEA KWENYE MOJAWAPO YA FAMILIA ZA MAJIRANI ZAKE NA MHUSIKA (SI KWENYE FAMILIA ILE YA MAMA JIRANI)

3. KWA KIFUPI TU NI KWAMBA MM2 ANAYO GARI NDOGO SALOON INAYOFANANA GARI NYINGINE SALOON YA MR X

4.TUKIO LA HIVI KARIBUNI LA MSIBA LILITOKEA MWEZI OKTOBA MWAKA JANA

5. MNAMO TAREHE 23 NA 24 NOVEMBA 2022 SIKU ZA J5 NA ALHAMIS, MR X ALIFIKA OFISINI AKIWA AMEAMBATANA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA

6. MR X ANAZO GARI MBILI LAKINI KWA KIPINDI CHA MIEZI KADHAA NYUMA ALIKUWA AMEAMUA KUWA ANATUMIA GARI ILE INAYOFANANA NA YA JIRANI WA MHUSIKA MM2

7. GARI HII SI ILE AMBAYO HUWA ANAITUMIA SIKU ZOTE, ISIPOKUWA KWA KIPINDI HICHO, MR X ALIKUWA AMECHUKUA MUDA MREFU KIASI AKIWA ANATUMIA GARI HIYO

8. MTU MWINGINE BOSS XXX ALIYEWAHI KUFIKA OFISINI KWA MHUSIKA SIKU MOJA AKIWA ANAHITAJI MSAADA WA KUFANYIWA LOCATION ZA DATA ZA MATETEMEKO YA ARDHI, YEYE SIKU HIYO ALIRUSHA PEPO KWENYE LOCATION TU NA KUISHIA PALE.

9. KWA HIYO HADI KUFIKIA MUDA HUO AMBAPO ILIKUWA NI MWISHONI MWA AUGUST 2023, DATABASE NZIMA ILIKUWA BADO HAIJAFANYIWA KAZI.

10. HATA HIVYO KUFIKIA MWEZI OKTOBA, MAMA JIRANI NDIYO AKAWA AMEPATA NAFASI NYINGINE YA PILI, BAADA YA KUWA AMEIKOSA NAFASI YA KWANZA MWEZI SEPTEMBA 2022 NA KWENYE SIKU AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA ANATARAJIA KUANZA LIKIZO YAKE YA MWAKA
TAARIFA KAMILI INAFUATA
 
Q
CODE YA PEPO LA KWENYE DATABASE YA WATU NA MAKAZI
PLOT:

ILIKUWA NI J3 MOJA ASUBUHI MWANZONI MWA SEPTEMBA 2022 MHUSIKA AKIWA YUPO KWENYE PARKING ZA GARI ANAELEKEA KAZINI. VILE VILE ILIKUWA NI SIKU YAKE YA KWANZA YA LIKIZO ILA ALIKUWA BADO HAJAPATA BARUA YAKE YA LIKIZO NA HIVYO ALIKUWA ANAENDA OFISINI KWENDA KUIFUATILIA
MAMA JIRANI NAYE ALIKUWEPO KWENYE PARKING ASUBUHI HIYO UMBALI KIDOGO KUTOKEA PALE ALIPOKUWAPO MHUSIKA

1. GHAFLA MAMA JIRANI ALIAMUA KUELEKEA MAHALI ALIPOKUWA AMESIMAMA MHUSIKA, KWENYE GARI LA MHUSIKA.

2. MAMA JIRANI ALIMWELEZA MHUSIKA KUWA MUME WAKE ALIKUWA NI MGONJWA TAABANI, AMELAZWA ICU BAADA YA KUPIGWA STROKE

3. MAMA ALIENDELEA KWA KUSEMA KUWA MUME ALIKUWA HATA HAONGEI NA ALIMALIZIA KWA KUMHITAJI MHUSIKA AMUWEKE KWENYE MAOMBI.

MHUSIKA ALIMKUBALI ILA KWA MASHAKA KIDOGO KWA SABABU UMBALI WA UHUSIANO ULIOKUWEPO KATI YA UZITO WA TAARIFA KUTOKA KWA MAMA JIRANI NA LOCATION WALIYOKUWEPO AMBAYO MAMA JIRANI ALIKUWA AMEAMUA KUITUMIA KUFIKISHA TAARIFA HIZO KWA MHUSIKA, UILIKUWA NI KAMA KATI YA MBINGU NA ARDHI.
AIDHA MAMA JIRANI ANGEWEZA KUPELEKA TAARIFA HIYO NYUMBANI KWA MHUSIKA, AU ANGEPOTEZEA NA KUACHA KABISA KUMJULISHA MHUSIKA CHOCHOTE

4. TANGU PALE MHUSIKA AKAWA AMEANZA KUPATA WASIWASI NA TAARIFA HIZO NA HIVYO KUAMUA KUANZA KUFUATILIA KUONA NINI KINGINE TENA KITATOKEA HUKO MBELEU YA SAFARI

5. BAADA YA J3 HIYO KUPITA, J2 ILIYOFUATA NDANI YA WIKI HIYO HIYO, MHUSIKA AKIWA ANATOKEA KANISANI AKAKUTA KUNDI KUBWA LA WATU KWA MAMA JIRANI, MGONJWA ALIKUWA TAYARI AMEPATA NAFUU NA KURUDISHWA NYUMBANI. NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WALIKUWA WAMEKUJA KUMUONA

6. SAFARI HII TENA MHUSIKA HAKWENDA KUUNGANA NA KUNDI LA WATU HAO, ALIAMUA KUKAUSHA
BAADA YA HAPO, ZILIPITA TENA WIKII KADHAA MBELE


7. NDIPO J2 MOJA MHUSIKA ALIPORUDI KUTOKA KANISANI, BAADA YA KUMALIZA KULA NDIPO GHAFLA ALIPOONA KUPITIA DIRISHANI, MAGARI MENGI YAKIWA YAMEPAKI JIRANI NA GHOROFA ANALOISHI NA KWENYE SEHEMU AMBAZO SI ZA PARKING

8. AKIWA ANAJARIBU KUFUNGUA MLANGO ATOKE NJE ILI AONE KULIKUWA KUMETOKEA NINI UKIZINGATIA KUWA HUWA NI MMBEA AMBAYE HUWA HAPITWI NA JAMBO, PALE KARIBU KABISA NA MLANGO WA NYUMBA YAKE, MHUSIKA ALIWAONA MABINTI WAWILI WAGENI, WAREMBO WEUPE AMBAO WALIKUWA NJE KWENYE NGAZI.

9. MHUSIKA ALIWAULIZA KUWA KULIKUWA NA NINI NA MAGARI YALIKUWA YAMEJAA GHAFLA, NA WAREMBO HAO WALIMJIBU KUWA KULIKUWA KUMETOKEA MSIBA NYUMBA YA JIRANI.

9. MABINTI WAO HAWAKUWA KWENYE MSIBA BALI WAILIKUWA NI WAGENI WA MAMA JIRANI NA WALIBAHATIKA TU KUGONGANA NA MHUSIKA PALE KARINU NA NGAZI ZA MLANGONI KWAKE
BAADA YA MAONGEZI HAYO MAFUPI NA MABINTI HAO, MHUSIKA HAKUWAONA TENA. ILIKUWA NI MARA YAKE YA KWANZA NA YA MWISHO KUWAONA MABINTI HAO
.................INAENDELEA
 
BAADA YA MHUSIKA KUJULISHWA KUWA KULIKUWA NA MSIBA NYUMBA JIRANI
1. MUDA HUO HUO MHUSIKA ALIAMUA KWENDA KUTOA MKONO WA POLE
AKINA MAMA WENGI WALIKUWA WAMEKAA NDANI WAKIWA PAMOJA NA MAMA MWENYE NYUMBA, ISIPOKUWA MAMA JIRANI

2. MMOJAWAPO WA WANAWAKE HAO ALIKUWA NI MM2

3. KATI YA AKINA MAMA HAO, SAFARI TENA MM2 ALIKUWA NI MTU PEKEE AMBAYE MHUSIKA ALIWEZA KUMFAHAMU, UKIONDOA MAMA MWENYE NYUMBA

4. HISTORIA ILIJIRUDIA TENA KATI YA MHUSIKA NA MM2 MITHILI YA SIKU YA TUKIO LILE LA ZAMANI LA MSIBA WA NYUMBANI KWA STAFFMATE WA MHUSIKA
5. MSIBA HAUKUWA UMEWEKA HEMA BALI ULIKUWA UPO KWENYE PARKING ZILIZO CHINI YA GHOROFA NA WANAUME WOTE WALIKUWA WAMEKAA HUKO.

6.HUKO MHUSIKA ALIENDA AKAMKUTA PIA MAMA JIRANI AKIWA AMEKAA, NA MARA TU BAADA YA MHUSIKA KUINGIA, MAMA JIRANI ALIONDOKA.

7. HAPA LENGO LA MAMA JIRANI HAWA WAWILI LILIKUWA LIMEKAMILIKA SASA, WALITAKIWA KU-ACT KWENYE ROLE YA KEYS KWA KUTUMIA BAADHI YA ATTRIBUTES ZAO

8. MM2 KUPITIA ATTRIBUTES MBILI AMBAZO NI UJIRANI NA MHUSIKA PAMOJA NA GARI LAKE KUFANANA NA LILE LA MR X

KWENYE MSIBA HUO, MJIRANI WENGINE WOTE IHAWAKUWEPO ISIPOKUWA MHUSIKA NA MAMA JIRANI TU

OFISA WA NYUMBA HAKUWEPO KWENYE MSIBA HUO

MAJIRANI WENGINE NA AMBAO WANA ASILI MOJA AU UKARIBU SANA NA FAMILIA YA MM2, NAO VILE VILE HAWAKUEPO, WOTE MUME NA MKE

MAJIRANI WENGINE KUTOKA MAGHOROFA MAWILI AMBAYO YAKO JIRANI ZAIDI KULIKO LILE LA MM2 AMBALO LENYEWE NI LA MBALI ZAIDI, NAO VILE VILE HAWAKUWEPO.

KWA UJUMLA MSIBA HUO ULIHUDHURIWA NA MAJIRANI WATATU TU WAKIWEMO, MHUSIKA MWENYEWE, MM2 NA MAMA JIRANI

MUHIMU ZAIDI CHA KUKUMBUKA KUHUSIANA NA TUKIO HILI
IKUMBUKWE KUWA KWENYE MWEZI ULIOFUATA WAKATI MR X ANAONEKANA MAENEO YA OFISINI AKIWA PAMOJA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA HUKU AKIWA ANATUMIA GARI LILE LINAUOFANANA NA LA MM2
1. JANA YAKE KUNA MTU ALIKUWA AMETABIRI KUPITIA MTANDAO, KUTOKEA KWA AJALI YA NDEGE

2. J2 YA WIKI YA UTABIRI HUO, KWELI AJALI YA NDEGE ILITOKEA

3. IKUMBUKWE PIA KUWA PEPO LINAPOKUWA LIMERUSHWA KWENYE DATABASE YA WATU NA,. MAKAZI, LINA-AFFECT DATABASES ZOTE KUANZIA KWENYE NGAZI YA FAMILIA HADI NGAZI YA DUNIA

PEPO NI KAMA TETEMEKO LA ARDHI. MWAMBA WA ARDHI NI MMOJA N.A. .HIVYO TETEMEKO LIKITIKISA TUSEME MAREKANI, LINAKUWA PIA LIMETIKISA KILA MAHALI DUNIANI. TOFAUTI YAKE KWENYE SEHEMU MBALIMBALI DIUNIANI INAKUWA NI KWENYE KILE KIWANGO CHA MTIKISIKO TU NA SI VINGINEVYO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWENYE MASWALA HAYA YANAYOENDELEA UPANDE WA MHUSIKA:
PATTERN NYINGINE TENA YAANZA KUJITOKEZA YA WAHUSIKA KUWA NA ASILI YA KUTOKA MKOA MMOJA, TOFAUTI NA ULE WA KWANZA


WATU HAWA WENYE ASILI MOJA WANAONEKANA PIA KWENYE MATUKIO YOTE MATATU YA MISIBA ISIYOHUDHURIWA KABISA NA MAJIRANI AU KUHUDHURIWA NA MAJIRANI WACHACHE

TUKIO LA KWANZA LA MSIBA WA AINA HII, MHUSIKA ALIWAHI KUKUMBANA NALO MNAMO SEPTEMBA 2017. MHUSIKA WA MSIBA HUO ANATOKA MKOA UNAOHUSIKA KWENYE MAELEZO HAYA

1. HUYU PIA NI MTU MUHIMU KWENYE TAARIFA HIZI KWA SABABU NDIYO YULE AMBAYE ALIANZA KUZIPOKEA TAARIFA ZILIZOANDIKWA HUMU KWA AJILI YA KUZIPELEKA KWENYE MAMLAKA HUSIKA.

2. MHUSIKA ALIWAHI KUELEKEZWA NA MWAJIRI WAKE, YAANI UONGOZI WA NDAZI ZA JUU WA TAASISI, KUMPELEKEA MTU HUYU TAARIFA ALIZOKUWA NAZO

3. BAADA YA MHUSIKA KUWA ANAMPELEKEA MTU HUYU TAARIFA ALIZOKUWA NAZO, HATIMAYE BAADA YA MUDA MREFU KUWA UMEPITA, ALIKUJA KUBAINI KUWA ZILIKUWA TAARIFA HIZO ZILIKUWA ZINAFANYIWA KAZI KINYUME NA YEYE, KWA NIA YA KUMUANGAMIZA.

4. KUANZIA PALE MHUSIKA ALIAMUA KUWA ANALETA TAARIFA HIZI HUMU JUKWAANI BADALA YA KUMPELEKEA MTU ALIYEKUWA AMEELEKEZWA NA UONGOZI WA TAASISI
.................INAENDELEA
 
TUKIO LA PILI:
HILI LILIKUWA NI LA MSIBA WA NYUMBANI KWAKE NA MKUU WA MAJOR UNIT. WATU WAWILI PEKEE AMBAO MHUSIKA ALIKUTANA NAO NA KUWAFAHAMU KWENYE MSIBA HUO WALIKUWA NI MAJIRANI ZAKE MM2 NA MUME WAKE
MUME WAKE MM2 ANATOKA MKOA HUO

TUKIO LA TATU
NI HILI LA MSIBA ULIOTOKEA HIVI KARIBUNI OKTOBA 2022. JIRANI MM2 NI MWANAMAMA PEKEE AMBAYE MHUSIKA ALIMFAHAMU KWENYE MSIBA HUO, UKIONFOA MAMA JIRANI

KWA SASA, HUKO OFISINI KWA MHUSIKA NAKO VILEVILE
PATTERN YA WATU KUTOKA MKOA HUO INAONEKANA MAZINGIRA YA OFISINI PIA

1. MWAJIRIWA MPYA OFFICE MATE WA MHUSIKA ANATOKEA MKOA HUO

2. MWAJIRIWA MWINGINE MPYA AMBAYE AMEKABIDHIWA CHUMBA CHA KUHIFADHI DOCUMENTS ZAKE JIRANI NA OFISI YA MHUSIKA, NAYE PIA ANATOKEA MKOA HUO

3. KATIBU MUHTASI ALIYEPO OFISINI MUDA HUU AMBAYE ALIKASIMISHWA MAMLAKA NA KMWI BAADA YA OFISA HUYU KUSAFIRI AKIWA ANATOKEA KWENYE IDARA ILE NYINGINE, NAYE PIA ANATOKEA MKOA HUO

4. SENIOR STAFF MWINGINE AMBAYE NAYE ALIWAHI KUFANYA TUKIO SIKU ZA HIVI KARIBUNI ALIPOKUWAA AMETEMBELEA OFISI JIRANI YA SENIOR MSTAAFU WA KIKE, NAYE VILE VILE ANATOKA MKOA HUO.

HUYU NI YULE AMBAYE YUKO KWENYE IDARA ILE NYINGINE.

SIKU HYO WALIPISHANA NA MHUSIKA BILA KUSALIMIANA, PAMOJA NA MHUSIKA KUMPA SALAMU

HII NDIYO PATTERN ILIYOPO KWA SASA NA INACHSNGANYA KIDOGO MITHILI YA WATU KUSHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA CONTRACT NA AGREEMENT

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 1ST JULY 2023
KUHUSIANA NA VIPINDI VYA WANAFUNZI KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPE KILICHO JIRANI NA OFISI YAO MHUSIKA NA OFFICE MATE WAKE


KATIKA HALI YA KAWAIDA, TANGU MHUSIKA ALIPOHITIMISHA MADARASA YAKE, KUANZIA PALE SASA WANAFUNZI WALITAKIWA KWA KILA WIKI, KUWA WANAKUWEPO CHUMBA CHA MICROSCOPES KWA KUFUATA RATIBA HII

SIKU ZA J3: SAA MOJA KAMILI HADI SAA NNE KAMILI
SIKU ZA IJUMAA SAA TATU KAMILI HADI SAA SITA KAMILI


HATA HIVYO JANA IJUMAA DARASA HILO HALIKUWEPO TENA..

TANGU OFFICE MATE WA MHUSIKA ARIPOTI NA KUANZA KUKAA OFISINI PAMOJA NA MHUSIKA, MADARASA HAYO YA WANAFUNZI YAMEKUFA, HAYAFANYIKI TENA KULINGANA N.A. RATIBA KUU
WANAFUNZI HAO HAWAJAWAHI TENA KUONEKANA CHUMBA CHA MICROSCOPE KATIKA MUDA AMBAO OFFICE MATE WA MHUSIKA AMEKUWEPO MAZINGIRA YA OFISINI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
HADI KUFIKIA KIPINDI HIKI,TAYARI OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA AMESHAFANIKIWA KUCHOMEKA FLASH DISK YAKE KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA

KITU KINGINE AMBACHO OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA ALIFANYA SIKU YA IJUMAA YA TAREHE 24/06/2023, AMBACHO AWALI MHUSIKA ALIKUWA AMEKI-IGNORE, NI KWAMBA WAKATI MAFUNDI WA KUWEKA VIBAO MLANGONI WALIPOANZA KUFANYA KAZI HIYO KWENYE MLANGO WA OFISI YAO MHUSIKA NA OM WAKE;

1. OM ALIFANIKIWA KUCHOMEKA FLASH DISK YAKE KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA

2. ILIKUWA NI BAADA YA OM KUHITAJI KUPATIWA SOFTWARE YA KJCHAKATA DATA ZA MATETEMEKO YA ARDHI AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA NAYO KWENYE DISC, NA WAKATI HUO HUO SOFTWARE HIYO HAIPO KWENYE MITANDAO NA HIVYO MTU HAWEZI KUI-DOWMLOAD KUTOKA KWENYE MTANDAO

MBALI NA HILO KINGINE KILICHOPLELEKEA UTARATIBU WA KUCHOMEKA FLASH DISK KUTUMIKA NI KWMBA, LAPTOP YA OM ALIYOKUWA NAYO SIKU HIYO HAIKUWA NA DISC DRIVE NA HIVYO NJIA PEKEE ILIYOKUWEPO KWAKE NI KUICHUKUA SOFWARE HIYO KUTOKA KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA KWA KUTUMIA FLASH DISK

SOFTWARE HIYO INAITWA NANOMETRICS
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWAWAUMINI WA KANIS A A:
MASWALI MACHACHE MUHIMU YA KUJIULZA


1. KWA NINI J2 YA LEO, KM-A AlLIKWEPA KUTOA TANGAZO LA MSIBA MKUBWA ULIOTOKEA KANISANI WIKI HII KWA AJALI, NA BADALA YAKE KUMWACHIA KIONGOZI JUNIOR?

2. KWA NINI KM-A ALIKWEPA KUTOA TANGAZO LA AJALI YA DR J2 YA TAREHE 11/06/2023 NA BADALA YAKE KUMWACHIA KIONGOZI MWANAMIZI?

3. KWA NINI KWENYE J2 HIYO TAJWA AMBAYO ILIKUWA NI SIKUKUU YA WATOTO, WATOTO WALIVLISHWA NGUO NYEUSI ZA KUASHIRIA MSIBA, NA VILE VILE SIKU HIYO HYIO MTU ALIPANDA MADHABAHUNI KUTANGAZA AJALI?

4. HAYA YOTE UKIUNGANISHA SASA NA HILI TUKIO LA MSIBA MKUBWA KANISANI WIKI HII ULIOTOKANA NA AJALI, JE HIZI ZINAWEZA KUWA NI COINCIDENCES TU AU KUNA MATUKIO YALIYOKUWA YANARATIBIWA KUTOKEA MADHABAHUNI YAKIWA YANATABIRI KUTOKEA MSIBA WA AJALI NA AMBAO KWELI UMETOKEA?

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 3RD JULY 2023
KUHUSIANA NA DARASA LA WANAFUNZI AMBALO HUWA LINAFANYIKA KILA WIKI SIKU ZA J3 NA IUJMAA KWENYE CHUMBA KILICHO JIRANI NA OFISI YAO MHUSIKA NA OFFICE MATE (OM) WAKE


Kwa siku ya leo J3, darasa hilo lilitakiwa kuanza saa moja kamili na kumalizika saa nne kamili
Hata leo pia, darasa hilo halipo tena.
Kwa ujumla hadi kufikia leo hii n kwa mhula huu, darasa hilo limeshafanyika mara moja tu na ilikuwa katika wiki ile ambayo OM wa mhusika alisafiri.
Kwa siku zote ambazo OM wa mhusika amekuwepo, darasa hilo halijawahi kufanyika na hivyo wanafunzi hao wote hawajawahi kuwaoona mhusika OM akiwa wapo ofisini
pamoja
Wanachojua wananfunzi hao hadi muda huu ni kwamba mhusika yupo ofisini peke yake, hana office mate
n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA KWEPA ZINAZOENDELEA KUFANYWA NA KM-A HUKO KANISA A

Ndani ya kipindi hiki cha wiki hizi chache sana,

KWEPA YA KWANZA

Jana J2 ya tarehe 02/07/2023, KM-A amekwepa kutoa tangazo la msiba mkubwa uliotokea Kanisani kwa ajali

  • Aidha ilionekana pia kuwa hata Ibada za siku za katikati ya wiki zilizoangukia kwenye wiki ya msiba huo, KM-A hakuzihamishia kwenye msiba
  • Kawaida msiba unapokuwa umetokea Kanisani, Ibada za siku za katikati ya wiki ndani ya wiki hiyo ya msiba, huwa zinahamishiwa kwenye makazi msiba ulipo isipokuwa zile za J2 tu
KWEPA YA PILI

Mbali na hilo KM-A alikwepa kutoa tangazo lililohusiana na ajali ya familia mbili za DR

Jana J2 ya tarehe 02/07/2023 wahanga wa ajali hiyo walionekqna Kanisani kwa mara ya kwanza

Hata hivyo KM-A hakutoa tangazo lolote lililohusina na waumini hao la aidha kuwaandaa waumini wa Kanisa A kwa ajili ya kuja kuwapa mkono wa pole hapo baadaye, kufutia waumini hao kunusurika kwenye ajali mbaya, au la angalau kuwakaribisha tu wahanga hao mbele ya hadhira ya waumini ili waweze kushuhudia matendo makuu ya namna Mungu alivyowaokoa na ajlai hiyo

  • Kama ambavyo mhusika aliwahi kudokeza hivi karibuni, kawaida waumini wa Kanisa A wanapokuwa wamepatwa na dharula kubwa, KM- huwa anasimama kutangaza dharula hiyo ikiwa ni pamoja na kuwaomba waumini watoe mkono wa pole kwa wahamga wa dharula husika
  • Kwa wahanga wa safari hii, bado haijwa hivyo na mhusika bado anayo matarajio kuwa kuna siku ambayo haiko mbali, KM-A atapata nafasi ya kuongelea swala la wahanga wa ajali hiyo mbele ya waumini wote wa Kanisa A
KWEPA YA TATU

Kama ambayo mhusika ameshawahi kudokeza hapo awali, KM-A vile vile amekwepa kutoa tangazo lililohusiana na sadaka iliyokuwa inatakiwa kenda nje ya Kanisa

KM-A alikuja tu kuiongelea sadaka hiyo ilipowadia siku ya kukusanywa kwake na hivyo kuanzia pale, kuwajulisha waumini kuwa sadaka hiyo ilitakiwa kwenda wapi

MBAL NA HAYA YOTE

J2 ya tarehe 04/06/2023 siku ya sikukuu ya watoto, Kiongozi mwandamizi alisimama madhabahuni na kuwaomba waumini WASIMAME kwa ajili ya KUOMBEA AJALI

  • Siku hiyo watoto walikuwa wamevalishwa mavazi ya meusi chini hadi juu ambayo ni mavazi rasmi kwa ajili ya misiba
  • Mbali na hilo baadhi yao vile vile walitumika madhabahuni kwa matendo ambayo hayakuwa mazuri sana kwa waumini
  • Kuanzia J2 hiyo, hazijapita hata wiki tatu msiba mkubwa unaotokana na ajali, umetokea Kanisani
Kubwa zaidi, jana J2 vile vile, kwa sababu ambayo haijulikani, kwa mara ya kwanza wakati wa matangazo yake, KM-A aliwaomba waumini KUSIMAMA NA KUOMBEA AJALI alipokuwa amesimama madhabahuni

Sababu hasa ya maombi hayo maalum kwa ajili ya AJALI TU haijulikani kwa sababu wasafiri wote huwa wanaombewa kwenye Ibada ya kwanza, na wakati mwingine hata kwenye Ibada ya pili na katika muda maalumu wakati wa matangzao ya Kiongozi wa Zamu na si katika ule muda wa matangazo ya KM-A

Kwa hiyo jana J2, KM-A alisimama madhabahuni na kutengeneza sababu yake maalum kwa ajili ya kuombea ajali, sawa kama ilivyofanyika kwenye J2 ya awali ya tarehe 04/06/2023

Mwandishi wenu atarudi tena siku nyingine ili kuwaletea maelezo ya kina, kuhusiana na swala la sadaka ambayo KM-A alikuwa anakwepa kuitangaza mwenyewe

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

COMING UP NEXT:
NAMNA MTANDAO WA KU-RENEW MAPEPO KWENYE CHUMBA CHA MICROCPES UNAVYORATIBIWA KWA USHIRIKIANO WA WATU WALIOKO KANISANI NA WALIOPO OFISINI KWA MHUSIKA

Mhusika ameshakusanya ushahidi wa kutosha katika hili na wahusika wa mtandao huu wapo wakiwa wamebeba ushahidi kwenye miili yao na ambao hauna namna ambao unaweza ukafichika, upo kwenye viungo vya miili yako.
Wapo sehemu zote, Kanisani na ofisini
Kwenye baadhi ya matukio, viungo vya miili vimekuwa vikitumika ku-renew mapepo kwenye MICROSCOPES zilizopo kwenye chumba cha Microscopes

Wasomaji watafurahi kusoma maelezo ya ushahidi huo

………………….stay tuned
 
Back
Top Bottom