#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NAMNA MTANDAO WA KU-RENEW MAPEPO KWENYE CHUMBA CHA MICROCPES UNAVYORATIBIWA KWA USHIRIKIANO WA WATU WALIOKO KANISANI NA WALIOPO MAENEO YA OFISINI KWA MHUSIKA

A: MAELEZO YA UTANGULIZI


Renewal hiyo huwa inafanyika kwa kupitia vioo au lenses za vifaa husika kama vile Microscopes au vile vya IMAGING DEVICES zingine kama vile

  • DRIVING MIRRORS
  • SIDE MIRRORS
  • PHOTOCOPIER MACHINES,
  • SCANNING MACHINES
  • CAMERAS
  • MEDICAL IMAGING DEVICES, na list ni ndefu
Mhuska alishawahi kutoa list ya vifaa hivyo hapo kabla kupitia post hii hapa #1,339

Condition muhimu hapa ni kwamba RENEWAL HIYO HUWA INAFANYIKA MARA BAADA YA KUWA LIMERUSHWA UPYA, PEPO KWENYE SENSORY ORGANS (SO) ikiwa ni pamoja na MACHO; na kawaida pepo hilo huwa linarushwa KUTOKEA KANISANI chini ya usimamizi wa KM-A

Kwa hiyo pepo linapoRUSHWA UPYA,kwenye SO, kwenye MACHO ya binadamu, pepo hilo huwa linaelekezwa KWENYE LENS ZA MACHO

LENS ZA MACHO kama lensi za vifaa vingine, zina PROPERTIES ambazo zinafanana na LENS ZA IMAGING DEVICES

Kwa kifupi sana, LENS ZOTE ikiwa ni pamoja na BAADHI YA VIOO huwa zina tabia kama zilivyoainishwa hapa chini, japo kwa upande wa VIOO, si vioo vyote vina tabia ZOTE hizi, ila VIOO VYOTE vina mojawapo ya tabia hizi

MATERIAL (glass)

Hii ni material ambayo imetumika kwa ajili ya kutengenezea lens husika ambayo kawaida huwa ni glass


Ikumbukwe kuwa glass huwa inatengenezwa kwa kutumia mawe meupe au mchanga mweupe

FOCAL LENGTH

The distance between the centre of a lens or curved mirror and its focus

The equivalent distance in a compound lens or telescope


Huu ni umbali ambao lens husika inaweza kuona picha isiyokuwa na tatizo kwenye resolution yake

CENTRE OF CURVATURE

The centre of a circle which passes through a curve at a given point and has the same tangent and curvature at that point

RADIUS OF CURVATURE

The radius of a circle which touches a curve at a given point and has the same tangent and curvature at that point

PRINCIPAL AXIS

  • A straight line that passes through the pole and centre of curvature of a spherical mirror
  • An imaginary line passing through the centers of two spheres of which the spherical lens is a part is known as the principal axis
POLE

  • The centre of the spherical refracting surface of the lens is called the pole.
  • It is the point where the principal axis meets the surface of the lens. Optical Centre. The point on the principal axis at the centre of the lens is called the optical centre.
PRINCIPAL FOCUS

The point on the axis of a lens or mirror to which parallel rays of light converge or from which they appear to diverge after refraction or reflection

OBJECT

Kitu kinachomulikwa na lens au kioo

IMAGE

Taswira ya kitu baada ya kitu hicho kuwa kimemulikwa na lens au kuonekana kwenye kioo

OBJECT DISTANCE

Umbali kutoka kwenye lens au kioo kwenda kwenye kitu husika kinachomulikwa na lens au kuonekana kwenye kioo

IMAGE DISTANCES

Umbali kutoka kwenye lens au kioo kwenda kwenye taswira husika iliyotokea

MAGNIFICATION

Uhusiano wa ukubwa wa maumbo uliopo kati ya kitu na taswira yake

KUHUSIANA NA ORODHA YA BAADHI TU YA IMAGING DEVICES

Baadhi tu ya maelezo muhimu kutoka kwenye post iliyotajwa hapo juu ( #1,339 )ni haya hapa

“…………………………………………Mbali na hilo, code hii inafanya kazi pia kwenye imaging devices zote kama vile Cameras, Digital Projectors, Office Scanners, Office Printers etc, ikiwa ni pamoja na zile ambazo ni medical kama vile:

  • X-rays.
  • CT (computed tomography) scan
  • MRI (magnetic resonance imaging)
  • Ultrasound
  • Nuclear medicine imaging, including positron nemission-tomography (PET)
  • Radiography
    Magnetic resonance imaging
  • Nuclear medicine
  • Ultrasound
  • Elastography
  • Photoacoustic imaging
  • Tomography
    Echocardiography
  • Functional near-infrared spectroscopy
  • Magnetic particle imaging
Njia zingine za kisasa zaidi zinazofanana na hizi ni kama vile

  • Diffuse optical tomography
  • Elastography
  • Electrical impedance tomography
  • Optoacoustic imaging
  • Ophthalmology
  • A-scan
  • B-scan
  • Corneal topography
  • Optical coherence tomography
  • Scanning laser ophthalmoscopy
……………………………………….”

Mwisho wa kunukuu

Baadhi tu ya wahusika wakuu kwenye mchakato huu wa kurusha mapepo kwenye LENS ZA MACHO ni wale WAPIGA PICHA WANAOPIGA PICHA KANISANI WAKATI WA IBADAI

B: MAELEZO KAMILI: RENEWAL AND DISTRIBUTION

Pepo huwa linalazimika kurushwa upya, baada ya lile lililokuwepo awali, kushindwa kuhimili vishindo vya wakati huu na hivyo kupelekea kutoroka

  • Baada ya kutoroka, renewal ya pepo huyo inabidi ifanyike, possibly kwa kutumia tekniki nyingine mpya na ambayo ni advanced zaidi
  • Baada ya renewal kuwa imefanyika, inabidi sasa usambazaji uanze kufanyika kwa kutumia mtu au kitu chochote kilicho na properties au ATTRIBUTES zinazofanana na mojawapo ya zile za lens
WATU NA MAKUNDI YAO HUSIKA

USAMBAZAJI NA RENEWAL: KUNDI LA KWANZA LENYE WATU NANE


Hapa ndiyo pale viungo vya miili ya wanadamu vinapotumika

  • Kwenye idara ya mhusika wapo wanne
  • Kwenye idara nyingine ambayo kabla ya idara ya mhusika kuwa idara ilikuwa iko hosted kama section (tuiite HOST IDARA) kuna watu watatu akiwemo MKUU WA IDARA (MWI) HIYO
  • Kuna mtu mmoja mwingine tena yuko kwenye idara nyingine ambayo iko karibu na barabara ya kuelekea Mwenge, jengo liko karibu na benki
  • Kati ya hawa, kundi la watu wawili walioko kwenye idara ya mhusika, viungo vyao vimefanana na viungo vya wengine wawili walioko nje ya idara ya mhusika, hawa wa idara za nje wakiwa wanatokea kwenye idara mbili tofauti
  • Wengine wawili waliobaki kwenye idara ya mhusika, viungo vyao vimefanana tena na vya wengine wawili waliobaki waliopo kwenye HOST IDARA ambao ni MWI mwenyewe na mtu mwingine mmoja
Hawa wote wanatumia viungo ambavyo vina CURVATURES sehemu ya gotini au kutokea sehemu ya gotini kwenda chini kwenye nyayo za miguu yao

  • Miguu hiyo aidha ina curvatures za kuelekea ndani sehemu ya magoti yao, au za kuelekea nje kwenye sehemu ya magoti yao
  • Kati ya hawa wanne waliopo kwenye idara ya mhusika, wawili kati yao wana mguu mmoja wa kulia ulio na CURVE ya kuelekea ndani kwenye sehemu ya goti, wakati wawili wengine wana miguu iliyo na CURVE zilizotoka nje kwenye sehemu ya magoti yao
Vile vile, mtu mmoja aliye kwenye HOST IDARA, ana mguu wa kulia uliopinda sehemu ya goti kuelekea ndani, mguu unaofanana EXACTLY na hawa wawili walioko kwenye idara ya mhusika, ukiongeza na yule mwingine tena wa tatu aliyeko kwenye idara iliyo karibu na barabara ya kuelekea Mwenge

Huyu mwenye mguu wa kulia wa aina hii aliyeko kwenye HOST IDARA, pia ni kiongozi wa chama maarufu sana cha wafanyakazi ndani ya Taasisi

USAMBAZAJI NA RENEWAL: KUNDI LA PILI LENYE IDADI YA WATU WATATU


Kwenye kundi hili la usambazaji, wapo pia wengine wawili ambao wao hawaanguki kwenye makundi yaliyotajwa hapo juu, ila yupo pia mwingine wa tatu tena ambaye yeye miguu yake imepinda kwa kutoka nje ila yeye si mfanyakazi, anatokea mtaani

Huyu wa tatu amnbaye si mfanyakazi kwenye mojawapo ya maongezi yake na mhusika, aliwahi kudai kuwa ni mwanafuzni aliyehitimu masomo yake hapo idarani mwaka jana

  • Kwenye kundi hili, yupo pia MKUU WA MAJOR UNIT NYINGINE ambayo iko hosted kwenye jengo la idara ya mhusika
  • Vile vile kuna mama MHASIBU ambaye huwa anaonekana mara baada ya wenye CURVATURES na/ FOCUS kuwa wamefanya kazi, na karibia mara nyingi huwa anaonekana kwenye tarehe za mwisho wa mwezi
  • Mama huyu huwa anaonekana mara kwa mara akiwa anaelekea kwenye ofisi hizo za MKUU WA MAJOR UNIT NYINGINE, angalau kila mwisho wa mwezi
Huyu kiiijana mwingine wa tatu aliyewahi kusema kuwa anatokea mtaani, kwa wiki kadhaa zilizopita, amekuwa akikitumia chumba cha MICROSCOPES akidai kuwa alikuwa yuko chini ya uangalizi wa mfanyakazi aliyetokea Dodoma (MFD)

USAMBAZAJI NA RENEWAL KUNDI LA TATU LINA WATU WAWILI

MMOJA YUPO IDARANI NA MWINGINE NJE YA IDARA KWENYE MAKAZI ANAYOISHI MHUSIKA


Yupo mtu mmoja kwenye idara ya mhusika ambaye yeye anashughulika na kipengele cha FOCUS tu na hivyo yeye kiungo anachotumia ni macho yenyewe

  • Macho yake yana deviations kidogo na hivyo ana kitu kinachoitwa SQUINT
  • SQUINT is a permanent deviation in the direction of the gaze of one eye.
  • Huyu ana ALLIANCE wake huko kwenye makazi anayoishi mhusika, akiwa ni binti mdogo wa kazi wa nyumba jirani kwenye makazi hayo ya mhusika
Hawa wawili macho yao yamefanana kwa mtindo huo, japo si EXACTLY kama wale wa miguu ya kulia iliyopinda kwa ndani kwenye sehemu ya magoti yao

Wale wa miguu iliyopinda kwa ndani, CURVATURES zao zimefanana EXACTLY; tofauti yao inakuja kwenye morphology tu, kwamba maumbo yao kwa ujumla ndiyo yale yaliyo tofauti

Mhusika hana uhakika kama list hii ndiyo yote lakini kwa utafiti wake wa uhakika na wa muda wa kutosha, hawa ndiyo wale ambao amewabaini mpaka muda huu, baada ya kuwa wameonyesha pattern isiyokuwa na shaka

Maelezo mengine zaidiyanafuata

…………………..inaendelea
 
CURRENT NEWS
Kuna watu wa ajabu ajabu muda huu wameanza kutumwa kuingia ofisini kwa mhusika. Muda siyo mrefu uliopita, mhusika amewazuia watu wawili wa ajabu ajabu waliokuwa wnataka kuingia ofisini kwake, ila kwa sababu ambayo ilikuwa inaonekana kuwa ni ya msingi
 
IDENTITIES ZA WAHUSIKA WA KILA KUNDI

KUNDI LA KWANZA: CURVATURES ZA KUELEKEA NDANI KUTOKEA MAGOTINI


Hawa ni wale ambao kila mmoja wao, mguu wao mmoja tu wa kulia umepinda kwenye sehemu ya magoti kwa kuelekea ndani, na hawa ndiyo CURVATURES zao zimefanana EXACTLY. Kama ilivyoelezwa hapo awali, hawa idadi yao ni wannne

Wafanyakazi wawili wapo idarani kwa mhusika

  • Mmoja wao ni officemate wa mnunuzi wa gari kwenye ofisi ambayo ipo kwenye floor moja na ile ya mhusika
  • Mwingine wa pili ni yule ambaye anahusika na chumba cha MICROSCOPES kwa sasa, possibly wakiwa wanashirikiana na MR X
  • Huyu wa pili, ofisi yake ipo First Floor kama unaelekea kwenye ukumbi wa mikutano, jirani na darasa ambalo lina archive ya mawe ya kufundishia wanafunzi
Wafanyakazi wengine wawili waliobaki wapo kwenye idara nyingine mbili tofauti

Mmojawapo wa watu hawa yupo kwenye HOST IDARA

  • Huyu ni yule kiongozi wa chama maarufu cha wafanyakazi kwenye Taasisi
  • Mwingine yuko kwenye idara iliyo kwenye barabara ya kuelekea Mwenge, karibu na benki
Ingekuwa ni jeshini kwamba hawa watu ukaamua kuwaweka parade, mfanano uliopo kwenye miguu yao ni wa kushangaza sana

Na wote hawa wanne, wamefanana kwenye mguu mmoja tu yaani ule wa kulia!!

KUNDI LA PILI: CURVATURES ZINAZOTOKA NJE KUTOKEA MAGOTINI


Hawa jumla yao ni watano

Wawili wao wapo kwenye idara ya mhusika, na wengine wawili wapo kwenye HOST IDARA, ukiondoa yule kijana wa mtaani

WALE WALIOPO IDARANI KWA MHUSIKA

Ni binti mmoja mfanyakazi mpya aliyeajiriwa hivi karibuni; wakiwa wawili pamoja na yule ambaye kwa sasa ni officemate wa mhusika

Mbali na huyo, kuna binti mwingine tena ambaye yeye mbali na kuwa staffmate wa mhusika, pia ni jirani wa mhusika kwenye makazi yao, wanaishi block zilizo jirani

WALIOPO KWENYE HOST IDARA


Waliopo kwenye HOST IDARA ni Mkuu wa HOST IDARA mwenyewe pamoja na SENIOR STAFF mwingine wa idara hiyo,

Senior huyu ndiyo yule ambaye asili yake inaangukia kwenye kundi la watu ambao mhusika aliwahi kuwataja kuwa wanatokea mkoa mmoja na Katibu Muhtasi wa Mkuu wa Idara ya mhusika (KMWI)

Mtu wa tano kwenye kundi hili ni yule kijana wa mtaani ambaye yeye CURVARURES zake somehow kama ziko kwenye EXTREMES kidogo

Taarifa za kijana huyu zinapatikana kwa mfanyakazi wa kutokea Dodoma (MFD)

KUNDI LA TATU


Hili lina watu wawili ambao ni mama mhasibu pamoja na MKUU WA MAJOR UNIT NYINGINE

  • Mama mhasibu huwa anaonekana kutokea maeneo ya Central Administration
  • Aidha yuko huko au alishahamishiwa kwenye ofisi hiyo ya MAJOR UNIT
Mhusika hajajua exactly mama mhasibu anashughulika na nini, isipokuwa MKUU WA MAJOR UNITI NYINGINE yeye anashughulika na PRINCIPALS mbili kwenye LENS ambazo ni

  • PRINCIPAL FOCUS na
  • PRINCIPAL AXIS
KUNDI LA NNE: SQUINT EYES

Kwa idarani, kundi hili linatengenezwa na mtu mmoja tu akiungana na binti mdogo wa kazi kule nyumbani kwenye nyumba iliyo jirani na ile ya mhusika

NAMNA USAMBAZAJI HUU IKIWA NI PAMOJA NA RENEWAL INAVYOFANYIKA

Pepo likisharushwa kutokea Kanisani siku za J2 wakati wa Ibada
, kwenye wiki inayofuata kuanzia J3, hawa waliopo idarani kwa mhusika wanatengeneza sababu genuine na zisizoweza kutiliwa mashaka, za kuingia au kuchungulia tu kwenye chumba cha MICROSCOPES, isipokuwa mmoja wao tu ambaye ni office mate wa mnunuzi wa gari; huyu yeye huwa hafanyi hivyo

Office mate wa mnunuzi wa gari yeye huwa hachungulii wala kuingia kwenye chumba cha microscopes, isipokuwa huwa anafanya timing tu ya kugongana na mhusika kwenye korido au kwenye veranda, mhusika anapokuwa ametoka nje ya ofisi yake

Walioko nje ya idara no vile vile huwa wanafanya timing kwa mhusika anapokuwa yupo nje kwenye veranda anapumzika, au wakati anaingia kutokea nyumbani akiwa bado yupo kwenye parking au jioni wakati yupo kwenye parking anaondoka kurudi nyumbani

Ambacho huwa wanafanya ni kupita BARABANI MUDA HUO HUKU MHUSIKA AKIWA ANAWAONA

Hizi ndiyo njia mbili ambazo wamekuwa wakizitumia na kama zipo nyingine basi hizo mhusika atakuwa bado hajazibaini

  • Kwa upande wa hawa SQUINT, binti wa kazi kwenye makazi ya mhusika, huwa anajitokeza katika namna ambayo vi very irregular isipokuwa uhakika tu ni kwamba ushahidi wa awali na usiokuwa na chembe ya shaka, tayari ulishaonyesha kuwa yuko connected na huyu mwenzake wa ofisini
  • Kwa mfano kwenye hili swala la SQUINT wa ofisini, huyu mtu amekuwa kila akifika ofisini kwa mhusika akiwa ameambatana na watoto, baada ya hapo lazima aingie tena chumba cha MICROSCOPES na wakati huo ni lazima kunakuwa na mtu kwenye chumba hicho muda huo
TRIGGERS ZA USHAHIDI ULIOPELEKEA KUKAMILIKA KWA UTAFITI HUU

Zinaanzia Kanisani kwenye Ibada ya siku ya J2 ya tarehe 25/06/2023


J2 hiyo, pale mwisho wa Ibada kuu wakati mhubiri anataka kuhitimisha, mtumishi huyo aliwaomba waumini wote wasimame na pia akawaomba wanyooshe viungo vyao, na kwa namna ambayo aliwaelekeza, huku naye akiwa ananyoosha viungo vyake

  • CLIP YA TUKIO HILO MHUSIKA AMEITAFUTA NA KUIKOSA, HAIPO KWENYE MTANDAO NA HILO HALIMSHANGAZI SANA
  • Kama angeipata, safari hii alikua anatamani sana kuambatanisha sauti yake tu kama ushahidi
  • Hata hivyo as long as kwenye Ibada walikuwepo watu angalau 200, hawa wote hawawezi kuwa wamesahau kwamba siku hiyo pale mwisho wa Ibada, mhubiri aliowaomba waumini kunyoosha viungo vyao
Mhubiri huyu alikuja kuhudumu Kanisani hapo kufuatia J2 ambayo KM-A alielekeza sadaka nje ya kanisa; sadaka ambayo alikuwa anakwepa kuitolea matangazo hapo kabla

KILICHOTOKEA J2 HIYO BAADA YA IBADA KUMALIZIKA

Watu wawili maarufu walipita karibu na pale mhusika alipokuwa ameketi

  • Mmoja alikuwa ni Mzee wa Kanisa (tumwite MZK) ambaye jina lake limefanana na la mwanasiasa maarufu sana hapa nchini
  • Mwingine alikuwa ni binti aliyekuwa anapiga picha wakati wa Ibada siku hiyo
MZK alipita karibu na mhusika akiwa ameambatana na kitoto rafiki wa mhusika ambacho mhusika alikuwa hajakiona kanisani muda mrefu sana

  • Kitoto hicho kilizaliwa kikiwa na miguu iliyopinda sana mithili ya upinde na mara zote mhusika alikuwa anakutana nacho kikiwa kina miguu ya aina hiyo
  • Tofauti na J2 hiyo, kitoto hicho kilikuwa kina miguu iliyonyooka sawasawa, baada ya kuwa kimepewa matibabu na Madaktari wetu Bingwa
  • Waumini wote Kanisani A wanakifahamu kitoto hicho kwa sababu kwa kipindi chake, kilikuwa ni kitoto pekee hapo Kanisani chenye miguu ya aina hiyo; miguu ilikuwa imepinda but very beautiful!!
Mhusika alitamani kukibeba kitoto hicho, lakini MZK alitoa udhuru kuwa alikuwa ana haraka kidogo akikirudisha kule ambako wenzake walikuwepo

Sasa MZK alikuwa anakitoa wapi kitoto hicho?

Mbali na hayo, MZK naye vile vile ana asili moja na office mate wa sasa wa mhusika

………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 04TH JULY 2023

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA WAHUSIKA WA CURVATURES ZA KUELEKEA NJE KUTOKEA MAGOTINI: KUNA MTU MMOJA AMBAYE ALIKUWA AMESAHAULIKA


Alimsahau mtu mmoja muhimu kwenye swala hili la hizi CURVATURES
  • Aliyekuwa amemsahau ni mama ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya usafI kwa kipindi kirefu sana, na hivyo hapo awali aliwahi kufanya kazi kwenye jengo la idara ilimo ofisi ya mhusika, isipokuwa baadaye alikuja kuhamia sehemu nyingine
  • Mhusika hakumbuki vizuri lakini mara ya mwisho mama huyu alifkuwepo kwenye idara ya mhusika kama mfanyakazi, ilikuwa ni mwaka 2012
  • Baada ya hapo, alihamia kwenye idara nyingine ndani ya Taasisi, na hadi leo yupo anaendelea vizuri na kazi zake huko
  • Huyu mama huwa anatumika kama spare tu pale ambapo alternatives zingine zote za walio karibu na mhusika zinakuwa zimegoma
  • Kile ambacho huwa nafanya ni kuonekana tu ndani ya jengo la idara ya mhusika na kwa kutumia sababu ambazo ni za msingi ambazo mtu hawezi kuzitilia mashaka
  • Mbali na hilo, mama huyu huwa anahakikisha pia kuwa mhusika amemuona
Hata leo hii mama huyu alionekana ndani ya jengo hilo

WASIFU WAKE KWA KIFUPI
Ni mama ambaye ana asili moja na MR X, ila kwa kumwangalia umbile lake halijakaa kama la mama bali kama la binti, ni mzuri tu kiasi kwamba anafanana tu na hawa mabinti zetu wa siku hizi

Jina lake linaanza na herufi D
 
MAELEZO MAFUPI SANA KUHUSIANA NA KILE KILICHOKUWA KINAENDELEA KWENYE IBADA YA J2 YA TAREHE 40/07/2023 HAPO KANISA

KUHUSIANA NA SOMO LA J2 HIYO

Ibada kuu ilikuwa ni nzuri mno na somo lilikuwa zuri mno na lilifundishwa vizuri mno na Mtumishi wa Mungu, na kwa umahiri mkubwa mno

  • Somo lilifundishwa kwa umahiri ambao linaingia kwenye rekodi ya masomo mazuri yaliyowahi kufundishwa vizuri kanisani hapo ndani ya muongo huu
  • Mhusika anampongeza sana mtumishi wa Mungu aliyesimama J2 hiyo
KUHUSIANA NA HITIMISHO LA IBADA KUU IKIWA NI PAMOJA NA MATANGAZO;

TAYARI KULE NJE KUNA KINYESI CHA BINADAMU (MCHANGANYIKO WA MAVI NA MAJI) KILIKUWA KIMESHAACHIWA NA KILIKUWA KINAENDELEA KUTIRIRKA KWENYE NJIA AMBAYO WAUMINI HUWA WANAPITA BAADA YA IBADA KUMALIZIKA


Hapa ndipo vurugu zilipoanzia J2 hiyo.

Kulikuwa na tatizo kubwa kwenye hitimisho la Ibada hiyo na waliosababisha shida hizo ni wale wale wa siku zote, KINARA WA MATANGAZO NA KM-A

KINARA WA MATANGAZO HAKUWEPO KWENYE IBADA, ALIINGIA PALE MWISHONI WAUMINI WALIPOITWA KWA AJILI YA KUWEKEWA MIKONO


KINARA WA MATANGAZO (KWM) hakuwepo kwenye Ibada muda wote, na aliingia ndani wakati ule ambao waumini waliitwa mbele kwa ajili ya kuombewa na kuwekewa mikono na hivyo KWM alirudi MAALUM kwenye Ibada kwa ajili ya kushiriki zoezi hilo

Pale mwanzoni mwa Ibada, KINARA WA MATANGAZO aliingia kwenye Ibada halafu baada ya muda mfupi alitoka na hatimaye kurudi tena wakati huo wa waumini kuwekewa mikono
  • Kwenye kundi la waumini hao huw kuna kundi la watu ambao si waumini, huwa wanjichanganya humo
  • Hao ndiyo huwa ni alllies wake KWM na ndiyo aliokuwa anawahitaji kwa ajili ya kuwagusa wakati wa kuwawekea mikono
  • Kwa hiyo wakati huo huo waumini walipokuwa wanawekewa mikono, kuna kundi la viongozi wengine waliokuwa wanashughulika na SENSORY ORGANS wakiongozwa na KINARA WA MATANGAZO (KWM)
WAKATI HUO KWM ALIPORUDI TENA NDANI YA IBADA, KULE NJE ALIKUWA TAYARI AMESHATEMESHA TENA KILE KINYESI CHAKE CHA MCHANGANYIKO WA MAVI NA MAJI

Baada ya zoezi la kuwekewa mikono kuwa limekamilika, huko nje kwenye mpaka uliopo kati ya jengo la Makao Makuu na Kanisa la Zamani, KWM alikuwa tayari ameshatemesha sasa yale MAJI MACHAFU YALIYOKUWA YAMECHAGANYIKANA NA KINYESI, ambayo aliwahi kuyatetea kwa nguvu sana kipindi kile cha miaka ya 2018 akisema“UKIONA WATU WANAANZA KULALAMIKA KANISANI, UJUE HAWANA KAZI YA KUFANYA”
  • Wakati KWM anafanya zoezi la kuwekea waumini mikono, alikava SENSES tatu akabakiza ULIMI na PUA
  • Kinyesi kilichotemeshwa baada ya Ibada kumalizika, kilishughulika na PUA
Hivi huyu mtu kwa mfano, akiaamua kuacha uongozi Kanisani hapo, ukizingatia kuwa hata hajausomea, atashindwa kwenda mbinguni?

ZOEZI LA HIVI KARIBUNI LA CHAKULA CHA KM-A KWA WAUMINI WOTE AMBALO HALIKUFANYIKA, LILIKUWA LISHUGHULIKE NA PUA PIA

Hapa ikumbukwe pia kuwa zoezi la hivi karibuni la KM-A kutaka kuwalisha chakula waunini wote wa Kanisa A, lilishindikana na hivyo PUA za waumini zilikuwa bado hazijafanyiwa kazi
  • Kwa hiyo J2 iliyopita PUA HIZI ZILITENGENEZEWA PERFUME MBADALA; harufu nzuri zaidi na ya kupendeza kupita ile ya chakula, ikiwa ni perfume mbadala ya ile harufu ya chakula kilichoahirishwa hivi karibuni
  • Tangu kipindi kile cha nyuma miaka michache iliyopita mhusika alipowahi kulalamika kuhusiana na UTIRIRISHAJI WA MAJI YA KINYESI kanisani hapo, KINYESI hicho kilikoma kabisa isipokuwa J2 iliyopita ndiyo pale kilipoonekana tena
BAADA YA ZOEZI LA KUWEKEWA MIKONO WAUMINI KUMALIZIKA

Kama ilivyo kawaida yake, KINARA WA MATANGAZO alipandisha sasa madhabahuni. Alikaribishwa na mamlaka husika kwa ajili ya kutoa ombi

BAADHI YA POSTS ZA AWALI AMBAZO MHUSIKA ALIWAHI KULALAMIKA KUHUSIANA NA UTIRIRISHAJI WA MAJI YA KINYESI KANISANI; MAJI AMBAYO KWA KINARA WA MATANGAZO YALIKUWA YANAONEKANA KUWA NI ALMASI

Hizi hapa chini ni baadhi tu ya posts ambazo mhusika aliwahi kuzipost kuhusiana na matukio ya awali ya KINYESI KILICHOKUWA KINATEMESHWA KANISANI hapo

#160 , #294 , #293 , #380 , #625 , #599 , #1,035

Sehemu iliyokuwa inatirirsha kinyesi, ni mojawapo ya njia mbili pekee Kanisani hapo ambazo waumini huwa wanazitumia kuingia na kutoka Kanisani hapo, na pia watoto huwa wanacheza maeneo yale ikiwa ni pamoja na kugusa chini

Wakati mhusika anaingia Kanisani hapo J2 asubuhi, hapakuwa na kinyesi sehemu hiyo ila mchana wakati anatoka, alikutana na harufu kali ya kinyesi kilichokuwa kimechanganyika na maji yaliyokuwa yanatirika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
WAKATI WA MATANGAZO YA KM-A ULIPOWADIA

Mojawapo ya mambo aliyofanya ni kumnunulia muumini kitabu cha masomo ya uanafunzi na maandiko
  • Allitoa noti ya elfu kumi na change alirudishiwa pale pale
  • Hiyo noti aliyotoa na ambayo waumini wote waliiona, ilikuwa ni maana yake kubwa
Hakipo kitu ambacho KM-A huwa anafanya, kisichokuwa na maana nyingine kubwa ya ziada nyuma yake. MASWALA YA FWEDHA HAYO

KUHUSIANA NA MATANGAZO AMBAYO HUWA YANARUSHWA KUPITIA TV SCREENS ZILIZOPO KANISANI HAPO


MUDA WOTE, matangazo ya TV SCREENS hizo huwa yanaenda kwa mlolongo huu

TANGAZO LA FEDHA-1>>>>> TANGAZO LA FEDHA-2>>>>> TANGAZO LA FEDHA-3>>>>> TANGAZO LA FEDHA-1>>>>> TANGAZO LA FEDHA-2>>>>> TANGAZO LA FEDHA-3>>>>> TANGAZO LA FEDHA-1>>>>> TANGAZO LA FEDHA-2>>>>> TANGAZO LA FEDHA-3>>>>>

………………………………………….. na kuendelea

Nadhani ni MARUFUKU KWA TV SCREEN HIZO KURUSHA HATA WIMBO WA KWAYA, HAZIJAWHI KUTUMIKA KWA MTINDO HUO pamoja na mhusika kuwahi kushauri hivyo

Hata hivyo angekuwa yeye mhusika, kwa sababu matangazo hayo ni ya Kanisani na si ya kwenye sehemu ya Biashara kama vile SOKONI KARIAKOO, mlolongo wa matanagazo hayo angeuweka kwa mtindo huu

TANGAZO LA FEDHA-1>>>>>FUNGU LA BIBLIA>>>>>TANGAZO LA FEDHA-2>>>>> FUNGU LA BIBLIA>>>>>> TANGAZO LA FEDHA-3>>>>> FUNGU LA BIBLIA>>>>>> TANGAZO LA FEDHA-1>>>>FUNGU LA BIBLIA>>>>>TANGAZO LA FEDHA-2>>>>> FUNGU LA BIBLIA>>>>>> TANGAZO LA FEDHA-3>>>>> FUNGU LA BIBLIA
………………………………na kuendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA VIONGOZI WA KANISA A: KUHUSIANA NA TAA ZILIZOKO KWENYE NGAZI YA MADHABAHU

Nyongeza muhimu kwenye hizo taa zenye “rangi za upinde wa mvua” itakuja muda siyo mrefu kuanzia sasa

Inaonekana kwenye maelezo ya mwanzo, somo la mhusika kwa viongozi hao halikueleweka. Linalofuata lazima litaeleweka

Ni bora taa hizo zikazimwa kabla maelezo yake hayajafuata

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NA KWA KUMALIZIA KABISA KUHUSIAINA NA VIUNGO VYA WANADAMU:
OFFICE MATE WA MHUSIKA ANA MISHIPA YA DAMU KWENYE MIKONO YAKE ILIYOTUNA KWA NJE


OFFICE MATE WA MHUSIKA AMBAYE ALIAMBIWA NA MKUU WA IDARA KUPANGA MAFAILI ANA MIKONO ILIYO NA MISHIPA YA DAMU ILIYOTUNA KWA NJE

VILE VILE MFANYAKAZI ALIYEWAHI KUYASHUSHA MAFAILI HAYO NA KUYAWEKA CHINI KWENYE MEZA ALIKUWA ANA MISHIPA YA DAMU ILIYOTUNA KWA NJE NA ALIKUWA ANAITWA NASSORO

HICHO NDICHO KITU AMBACHO KILIKUWA KINASABABISHA OFFICE MATE WA MHUSIKA KUWAKWEPA WANAFUNZI KWA SABABU MARA NYINGI ALIKUWA ANAVAA SHATI ZENYE MIKONO MIFUPI. ANGALAU J4 WIIKI HII ALIVAA SHATI LA MIKONO MIREFU

SASA HIVI YUPPO AMETLIA VIZURI OFISINI BAADA YA WANAFUNZI KUPOTEA MAZINGIRA YA OFISINI, INASEMEKANA WANAANZA MITIHANI J5 WIKI HII

SENIOR MSTAAFU WA KIKE HAYUPO TENA OFISININ. ANA KARIBIA WIKI MBILI SASA HAONEKANI OFISINI
SIKU MHUSIKA ALIYOWAHI KUDOKEZA KUWA OFFICE MATE ALIKUWA ANAISHII KWA WASIWASI OFISINI, MUDA HUO HUO ALICHUKULIWA MAZINGIRA YA OFISINI N.A. MR M ALYEKUWA AMEAMBATANA NA WAFANYAKAZI WENGINE MABINTI WAWILI NA KUPELEKWA KUTEMBEA KWENYE VIWANJA VYA SABASABA ILHALI MAONYESHO HAYO YALIKUWA BADO HAYAJAFUNGULIWA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA HALI HIYO KUTOKANA NA MAELEZO HAPO JUU, OFFICE MATE WA MHUSIKA ALIKUWA SAHIHI IJUMAA ILE AMBAYO MAFUNDI WA KUWEKA VIBAO KWENYE MILANGO YA OFISI WALIPOFIKA OFISINI KWAO. MUDA HUO NDIYO ULE AMBAO ALIHITAJI KUPANGA MAFAILI KWA SABABU KUNA UHUSIANO WA VIUNGO VYA MWILI KATI YA OFFICE MATE NA YULE AMBAYE ALIWAHI KUYASHUSHA CHINI MAFAILI HAYO

WALE MABINTI WAWILI WALIOWAHI KUAMBATANA NA OFFICE MATE WA MHUSIKA WAKIWA PAMOJA NA MR M, KWENDA UWANJA WA SABASABA, NI WALE WADOGO ZAKE N.A. MHUSIKA, AMBAO PIA NI. DADA ZAKE NA MKUU WA MAJOR UNIT

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 07TH JULY 2023

MAMBO YANAZIDI KUWA WAZI ZAIDI KADRI SIKU ZINAVYOZIDI KWENDA MBELE

KUHUSIANA NA KINYESI KILICHOTIRIRISHWA KANISANI J2 YA WIKI ILIYOPITA


Taarifa za kina zaidi zitawajieni kuhusiana na chakula cha waumini kwa Kanisa zima kilichowahi kuahirishwa na uhusiano wake na KITENDO CHA KUTIRIRISHWA KINYESI KWENYE NJIA AMBAYO WAUMINI HUWA WANAPITA WAKATI WA KUTOKA KWENYE IBADA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUKIO LA KINYESI CHA BINADAMU KANISANI J2 ILIYOPITA, LINA UHUSIANO NA TUKIO JINGINE LILILOTOKEA OFISINI ALHAMIS YA WIKI HII; MKUU WA IDARA ALIHUSIKA

Tofauti pekee iliyopo kati ya matukio haya mawili ni kwamba lile la kanisani lilikuwa linahusika na namna PUA zinavyopokea STIMULI (harufu) na lile la ofisni, namna receptors zilizo kwenye MUSCLES zinavyopokea STIMULI (mechanoreceptors)

Kuna mwajiriwa mwingine mpya ambaye aliletwa siku ya Alhamis wiki hii kuja kuwa office mate mwingine wa pili wa mhusika (OM-2),

Mwajiriwa huyu mpya ndiye yule aliyetumika kwenye tukio la siku hiyo, baada ya kubebeshwa meza kuileta ofisini humo, akishirikiana na kijana mfanyakazi wa Kampuni ya usafi, ambayo ndiyo atakuwa anaitumia ofisini

  • Vile vile ni tukio jingine linaloshahibiana kidogo na lile la OM mwenyeji, siku chache zilizopita kupanga mafaili juu ya racks wakishirikana na kijana huyo huyo ambaye ni mfanyakazi wa usafi
  • Kwa uchunguzi wake wa haraka haraka siku hiyo, mhusika anadhani kuwa huyu wa sasa anaweza kuwa ametumika tu pasipo ya kuwa na ufahamu wowote wa kitu kingine kuwepo nyuma ya tukio hilo la yeye kubeba meza
Kuna meza iliyokuwepo tayari pale ofisini kwa ajili yake lakini ilionekana kuwa haifai sana kwa matumizi ya ofisi, na hivyo kulazimika kwenda kuchukuliwa meza nyingine sehemu nyingine na kui-swap na hiyo iliyokuwepo awali ofisini

  • Aliyefanya mchakato huu kwa mwajiriwa mwingie mpya kumbebesha meza, ni MKUU WA IDARA (MWI)
  • Kwa hiyo kuna mwajiriwa mwingine mpya ambaye ameingia ofisini kama OM-2 wa mhusika huku akiambatana na tukio litakalokuwa na maelezo marefu kidogo
HITIMISHO

KWENYE VIUNGO VYA MWILI WA MWANADAMU;
MECHANISM ya tukio hilli la ofisini la mwajiriwa mpya kubebeshwa meza, linafanana EXACTLY na lile la MAJI TAKA YA KINYESI CHA BINADAMU, YALIYOTIRIRISHWA KANISANI J2 ILIYOPITA, MUDA MFUPI TU KABLA YA IBADA KUMALIZIKA

Mbali na hilo, katika hali ya kawaida, si kazi ya mwajiriwa yoyote wa Taasisi kubeba meza, ila anaweza akabeba kwa hiari yake kama ameamua kufanya hivyo


Kwenye VIUNGO VYA MWILI WA BINADAMU vile vile, tukio la KINYESI CHA BINADAMU Kanisani J2 iliyopita, liilifanya kazi sawa tu na ile ambayo imekuwa ikiendelea kufanywa tangu miezi mingi iliyopita, na ZILE TAA ZA KWENYE NGAZI ZA MADHABAHU AMBAZO HUWA ZINABADILIKABADILIKA RANGI kwa kufuata rangi zilizoko kwenye upinde wa mvua

Maelezo ya kina kuhusiana na tukio hili la ofisini yatafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 08TH JULY 2023

MAELEZO KAMILI KUHUSIANA NA KILE KILICHOTOKEA HASA OFISINI ALHAMIS YA WIKI HII TAREHE 06/07/2023


  • Uhusiano wake na taa zenye kubadilisha rangi kwa kufuata rangi za upinde wa mvua zilizoko kwenye ngazi za kupandishia juu ya Madhabahu ya Kanisani A
  • Wahusika wa tukio hilo la ofisini
Maelezo kuhusiana na matukio mengine matatu ya nyongeza yanayoendana na tukio la Alhamis ya wiki hii ofisini

  • Tukio jipya la kitasa kipya cha mlango kilichofungwa hivi karibuni lililotokea kwa mara ya kwanza siku ya Alhamis hiyo
  • Tukio la office mate (OM) siku ya Alhamis ya wiki hii tarehe 06/07/2023 ukilihusianisha na tukio la OM huyo kwenye siku nyingine ya Alhamis ya tarehe 22/06/2023; yaani wiki mbili zilizopita
  • Tukio la mafundi wa kuweka vibao vya majina na namba kwenye milango ya ofisi lililofanyika Alhamis ya tarehe 22/06/2023; wiki mbili zilizopita
………………..inaendelea, stay tuned
 
KILE AMBACHO MHUSIKA ALIKUWA AMEKI-IGNORE KUKISEMA KUHUSIANA NA TUKIO JINGINE LA OFFICE MATE (OM) WAKE SIKU YA ALHAMIS TAREHE 22/06/2023; WIKI MBILI ZILIZOPITA

Awali, mhusika aliliona tukio hilo kuwa ni la kawaida tu na hivyo hakuona haja ya kuliongelea, ila kwa sasa tukio hilo limeweza ku-match na tukio jingine la Alhamis ya wiki hii tarehe 06/076/2023 na kuonyesha pattern fulani

Kwenye Alhamis hiyo tajwa, kabla mafundi wa kuweka vibao mlangoni hawajahamia kwenye sakafu ilipo ofisi ya mhusika na OM wake

  • OM alitoa udhuru kwa mhusika kuwa siku hiyo alisahau kuchukua pesa wakati anaondoka nyumbani na hivyo kumuomba mhusika amkopeshe TZS 5,000/= kwa ajili ya lunch ya siku hiyo kwa maelezo kuwa angeirudisha kesho yake
  • Mhusika alikubali kumpatia OM fedha hiyo na baada ya hapo, OM aliondoka ofisini kwenda lunch
Muda ulikuwa wa majira kama ya saa saba hivi

Baada ya kwenda lunch, OM hakuonekana tena ofisini hadi kwenye mida ya dakika chache sana kabla ya saa 10 kamili

  • Wakati huo mafundi nao walikuwa tayari wameshahamia kwenye sakafu ilipo ofisi yao OM na mhusika
  • Muda huo ndiyo OM akawa anataka kuwa na pilika pilika nyingi ofisini hapo mojawapo ikiwa ni kutaka kuanza kupanga mafaili juu ya racks zilizopo ofisini hapo, kama ambavyo mhusika alieleza kwenye maelezo ya post zake za Ijumaa tarehe 23/06/2023
VILE VILE OM NA ALHAMIS NYINGINE TENA YA WIKI TAREHE 09/7/2023

Asubuhi Alhamis hiyo, mhusika aliingia ofisini na kukuta OM wake tayari akiwa hayupo ndani ya ofisi yao, na alikuja kuonekana baadaye kwenye mida ya dakika chache sana kabla ya saa 10 kamili

  • OM alikuja kuonekana baada ya mwajiriwa mpya na ambaye ni office mate mwingine wa mhusika (OM-2) kuwa tayari ameshabebeshwa meza na hivyo muscles za viungo vya mwili wa mwajiriwa huyo mpya zinazoitwa “MECHANORECEPTORS” zilikuwa tayari zimeshafanya kazi
  • Vile vile, kwenye Alhamis ya tarehe 22/06/2023 OM alikuja kuonekana ofisini baada ya mafundi wa kufunga vibao vya mlangoni (OM-2) kuwa wameshaanza kufanya kazi yao na hivyo muscles za viungo vya miili ya mafundi hao zinazoitwa “MECHANORECEPTORS” zilikuwa tayari zimeshafanya kazi, na pia zilikuwa zinaendelea kufanya kazi
Mafundi hao walikuwa wanatumia screws na screw drivers kufunga vibao hivyo kwenye milango na hivyo ukiachilia mbali matendo mengine mengi yaliyokuwa yanaambatana na kazi hiyo siku hiyo, muscles za viungo vyao zilikuwa zinatumika kwa mtindo huo

Ikumbukwe kuwa naturally, OM wa mhusika yeye ameumbwa katika namna ambayo ana mishipa iliyotuna kwenye mikono yake na hizo kitaalamu zinaitwa “OSMORECEPTORS”, na maelezo yake mafupi ni kama yalivyowekwa hapa chini

“OSMORECEPTORS maintain the osmolality of the blood through a coordinated set of neuroendocrine, autonomic, and behavioral feedbacks. These responses aid cellular function by maintaining the osmolar gradient of various ions”

“An OSMORECEPTOR is a sensory receptor primarily found in the hypothalamus of most homeothermic organisms that detects changes in osmotic pressure.

Osmoreceptors can be found in several structures, including two of the circumventricular organs – the vascular organ of the lamina terminalis, and the subfornical organ. They contribute to osmoregulation, controlling fluid balance in the body.[1] Osmoreceptors are also found in the kidneys where they also modulate osmolality


Source: Osmoreceptor - Wikipedia

ANACHOTKA KUKISEMA MHUSIKA KUHUSIANA NA MAELEZO HAYO HAPO JUU: KWA SASA, PEPO WAMESHAHAMISHWA KUTOKA KWENYE SENSORY ORGANS KWENDA KWENYE CELL RECPTORS


Ni kwamba baada ya OM kuwepo ofisini, utaalamu wa kurusha mapepo kwa kutumia MILANGO YA FAHAMU, umehama kutoka kwenye VIUNGO VYA MWILI kwenda kwenye CELL BODIES ambazo zinaitwa RECEPTORS au CELL RECEPTORS

Kwa hali hiyo kwa sasa, ukikemea pepo atoke kwenye SENSORY ORGANS wakati yeye yupo kwenye CELL RECEPTORS, unakuwa unatwanga maji kwenye kinu

  • Hiki ndiyo kile ambacho KM-A kule Kanisani alikuwa anataka kukifanya siku alipoitisha wito wa waumini wote wa Kanisa A kuhudhuria hafla ya chakula Kanisani hapo
  • Vile vile, hiki ndiyo kile kilichofanywa Kanisani J2 iliyopita baada ya MAJI YENYE KINYESI kutiririshwa kwenye njia ambayo huwa wanapita waumini baada ya Ibada
J2 hiyo, kinyesi hicho hakikushughulika na kiungo PUA bali receptors za pua ambazo ziko kwenye CELLS

KIKUBWA ZAIDI KUHUSIANA NA RECEPTOR CELLS KWA WAGONJWA WANAOPATA TIBA MAHOSPITALINI AU MAHALI PENGINE POPOTE PALE


Hizi ndiyo huwa zinapokea dawa (stimulus) anayopewa mgonjwa kama tiba

Dawa hiyo huwa inakuwa ni STIMULI

RECEPTORS zinazopokez dwa hiyo huwa zina tabia kuu tatu ambazo ni LOCATION, MORPHOLOGY NA RATE OF ADAPTATION.

Kwamba:

  • Mgonjwa anapopewa tiba ya dawa, tiba hiyo (sindano ya kwenye paja au kidonge) inakwenda kufanya kazi kwenye LOCATION gani ya mwili wake , na kwa RATE gani ya uponyaj?
  • Mwili unaopokea dawa hizo, unachukua kasi gani ya mwili kukubaliana na dawa hizo na hatimaye kuanza kupokea uponyaji?
Rate of Adaptation

  • A tonic receptor is a sensory receptor that adapts slowly to a stimulus
  • A phasic receptor is a sensory receptor that adapts rapidly to a stimulus.
Kwa case hii, stimulus hapa inasimama kama dawa anyotumia mgonjwa

Kwa hiyo kinachoendelea kweye swala hili la CELL RECEPTORS, kina effect ya moja kwa moja kwa uponyaji wa WAGONJWA WALIOPO MAHOSPITALINI NA EFFECT HIYO NI KUBWA MNO

KWA UPANDE WA TAA ZENYE RANGI ZA UPINDE WA MVUA ZILIZOKO KWENYE MADHABAHU YA KANISA A

Hizo rangi zinazoonekana kwa kubadilika badilika ni rangi za mwanga mweupe ambao binadamu huwa anautumia kila siku kukicha ukimsaidia kuona

  • Mwanga mweupe ukitawanya kwa kutumia chombo cha kitaalamu, huwa unagawanyika katika rangi hizo; na ndiyo maana hata upinde wa mvua huwa una rangi hizo.
  • Upnde wa mvua unatokana na mwanga mweupe huu ambao huwa tunautumia kuona siku zote
Rangi za mwanga huo zilizo kwenye ngazi za Madhabahu ya Kanisa A, zinafanya kazi kwenye viungo ambavyo ni MACHO YA BINADAMU, kwa kupitia CELLS ZA MACHO zinazoitwa PHOTORECEPTORS

Rangi hizo zimewekwa mKanisani hapo kwa makusudi kwamba mtu akikemea pepo kwenye kiungo MACHO, pepo huyo hawezi kutoka kwa sababu pepo huyo wakati huo anakuwa anafanya kwa kupitia CELLS ZA MACHO zinazoitwa PHOTORECEPTORS

……………………inaendelea
 
MAANDALIZI YALIYOFANYIKA KABLA MWAJIRIWA MPYA HAJALETWA OFISINI KWAO MHUSIKA HUKU AKIWA AMEBEBA MEZA

Kabla ya Alhamis, jana yake J5 MWI alikuwa ametangulia kwa kufika ofisini kwao mhusika na OM

  • J5 hiyo, MWI aliwakuta wote wawili mhusika na OM wake wakiwa wapo ofisini
  • Vile vile J5 hiyo, MWI aliambatana na mwajiriwa mpya (OM-2) na alipofika ofisini alimtambulisha mwajiriwa huyo
  • Baada ya utambulisho, mhusika alitamani kujua kuwa mfanyakazi huyu alikuwa amepangiwa ofisi gani lakini MWI alisema kuwa alikuwa bado hajampangia ofisi
  • Kesho yake MWI alirudi tena akiwa peke yake na kumkuta mhusika naye akiwa peke yake, OM alikuwa hayupo
MWI alisema kuwa amependelea mwajiriwa huyo mpya akae kwenye ofisi yao mhusika na OM wake kwa sababu kuna nafasi

Kwa uamuzi huo, MWI alikuwa ametumia busara kwa sababu ni kweli ofisi hiyo ndiyo ilikuwa mojawapo ya ofisi chache sana ambazo zilikuwa bado zina nafasi ya kuweza ku-accommodate angalau mfanyakazi mwingine mmoja

  • Baada ya maelezo hayo, MWI aliondoka tena. OM alikuwa bado hajarudi
  • Hadi hapa, OM ambaye yeye hakuwepo muda wote Alhamis hiyo, alikuwa bado hana taarifa za kwamba kwenye ofisi yake na mhusika, amepatikana OM-2, office mate mwingine wa pili
BAADAYE TENA KWENYE SIKU HIYO HIYO YA ALHAMIS TAREHE 06/07/2023

Huku MWI akiwa tayari alishafika na kuondoka ofisini kwa mhusika, kwenye mida ya kama saa saba hivi, OM-2 alionekana mazingira jirani na ofisi hiyo aliyokuwa amesemekana kupangiwa ila akiwa bado hajaletwa na MWI kwa ajili ya kutambulishwa rasmi

Kwa hiyo wakati OM-2 anaonekana mazingira jirani, ulikuwa ni wakati ule ambao alikuwa bado anasubiria tu kuja kutambulishwa hapo ofisini na MWI

  • OM-2 alikuwa amebeba begi dogo mgongoni na alikuwa anajaribu kugonga kwenye mlango wa ofisi ya MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) ambaye alionekana kuwa hakuwepo ofisini au alikuwepo ndani akiwa na mtu mwingine
  • OM-2 akiwa yupo mazingira yale jirani, ilipelekea mhusika akawa prompted kutaka kumkaribisha (OM-2) ofisini muda huo lakini alisita tena baada ya kuwaza kuwa anaweza akamkaribisha yeye halafu kumbe MWI ameshabadilisha mawazo na kuamua kumpangia ofisi nyingine
Kwa hali hiyo, mhusika aliamua kutokumsemesha chochote OM-2, na OM-2 naye alikausha, hakumsemesha kitu mhusika wala hawakusalimiana angalau kwa kupungiana

  • Baada ya kuwa amesimama kwa dakika chache pale mlangoni mwa ofisi ya MMU, OM-2 hatimaye aliondoka na baada ya takribani dakika 15 hivi kupita, OM-2 alirudi tena mlangoni kwa ofisi ya MMU na kusimama tena pale kwa dakika kadhaa huku akiwa bado analo begi lake dogo mgongoni
  • Baada ya dakika kadhaa kupita tena na pasipo kuwa amefanikiwa kuingia ndani ofisini mwa MMU, OM-2 aliondoka tena
  • Baada ya matukio haya kupita, OM-2 alirudi tena kwa safari ya tatu sasa, safari hii sasa akiwa hana tena lile begi dogo; bali alikuwa ameambatana na mfanyakazi wa usafi na MWI mwenyewe
Kuanzia pale, mchakato wa kupangilia vizuri ofisi ulianza, ikiwa ni pamoja na kutoa meza iliyokuwepo awali ofisini hapo na kwenda kuleta nyingine

Meza iliyokuwepo ilibebwa na mwajiriwa mpya wakishirikana na mfanyakazi wa usafi, na pia iliyoletwa, ililetwa kwa ushirikiano wa watu hawa wawili

Huu ndiyo mchakato wa namna mfanyakazi huyu mpya alivyoweza kuingia ofisini kwao mhusika na OM wake wa awali

Hadi muda huu, mhusika na OM walikuwa bado hawajaonana kwa sababu OM alikuwa bado hajarudi ofisini

WAKATI HAYA YOTE YANAFANYIKA:

KITASA KIPYA CHA MLANGO WA NDANI WA KUINGIA OFISINI KWAO MHUSIKA NA OM WAKE KWA MARA YA KWANZA, KILIKUWA TAYARI KIMESHAPATA HITILAFU YA TUNDU KUPISHANA KIDOGO NA TOFALI LA KITASA


Wakati huo, kitasa kipya kilichowekwa hivi karibuni kwenye mlango wa kuingia ndani ofisini kwao mhusika na OM wake, kilikuwa kimechengana kidogo na tofali la kitasa

  • Kitu hiki kulipelekea siku hiyo ya Alhamis, mhusika kuwa anatumia nguvu ya kuunyanyua kwanza mlango kidogo wakati wa kuufunga na wakati wa kuufungua
  • Hapa tayari mhusika alikuwa anahitajika kuwa anatumia “mechanoreceptors” wakati wa kuufunga na kuufungua mlango huo
  • Hitilafu hiyo ilitokea siku hiyo hiyo, na mhusika aliibaini majira ya mchana
  • Kabla ya mchana, mhusika hakuwahi kuiona hitilafui hiyo; mlango ulikuwa kawaida
Kwenye hili la kitasa cha mlango, mfanyakazi wa kutoka Ddodoma anahusika (MFD), na alikuwepo standby wakati mwajiriwa mpya analeta meza wakiwa pamoja na mfanyakazi wa usaii

Ilisemekana kuwa meza hiyo ilitokea ofisini kwake MFD

KUHUSIANA NA RANGI ZA MWANGA WA TAA ZILIZOKO KWENYE NGAZI YA MADHABAHU YA KANISA A

………………………….inaendelea

 
KUHUSIANA NA RANGI ZA MWANGA WA TAA ZILIZOKO KWENYE NGAZI YA MADHABAHU YA KANISA A

Rangi hizo ziko kwenye mzunguko au mpangilio wa namna hii

RED>>>ORANGE>>>YELLOW>>>>>GREEN>>>>BLUE>>>>INDIGO>>>>VIOLET>>>> RED……

Hizi rangi ziko kwenye wavelengths ambazo radiations zake ndiyo zile ambazo macho ya binadamu yanaweza kuona; au VISIBLE REGION

Kwenye spectrum hiyo, zipo pia wavelengths za radiations ambazo binadamu hawezi kuona kama vile INFRA-RED (beyond Red) na ULTRA VIOLET na katika hili hizi hazihusiki na swala linaloongelewa hapa
  • Hata hivyo, radiations zote hizi bila kujali kuwa huwa zinaonekana au hazionekanai na macho ya binadamu, zinatokana na spectrum moja inayoitwa ELECTOMAGNETIC SPECTRUM (EMS)
  • EMS ni spectrum inayotokana na mwanga huu mweupe unaopelekea tuweze kuona kwa macho yetu kila siku
Kwa hiyo rangi zote zinazoonekana kwenye ngazi za madhabahu ya Kanisa A ziko kwenye EMS

Hata hivyo ikumbukuwe tu kuwa EMS inazo radiations nyingine pia ambazo macho ya binadamu hayawezi kuziona

CELL RECEPTORS ZA EMS STIMULUS

Receptors
zinazotumika kuona mwanga wa taa au kuhisi joto kwenye mwili wa binadamu, zinaitwa Electromagnetic Radiation Receptors, na hizo ndiyo ambazo zimekuwa zikifanyiwa kazi na KM-A baada ya kuwa ameweka rangi zake hizo kwenye ngazi za madhabahu ya Kanisa A

HITIMISHO:

Kwa uwepo wa mwanga wa taa hizo za kwenye ngazi za Madhabahu Kanisani hapo, muumini wa Kanisa A hawezi tena kukemea pepo kwenye kiungo MACHO likatoka, mpaka inabidi akemee kwenye Electromagnetic Radiation RECEPTORS ZA MACHO ndiyo anaweza akafanikiwa

Sasa mhusika haelewi ni waumini wangapi wa KANISA A waliosoma PHYSICS na pia, ANATOMY AND PHSIOLOGY kuweza kuujua ukweli huu

KUNA J2 MOJA TU AMBAYO TAA HIZO ZILIWAHI KUZIMWA


Kwenye wiki ile ambayo mtumishi wa Mungu Mgeni alikuja kuongea kuhusiana na maswala ya mahusiano kati ya wazazi na watoto, J2 yake taa hizo zilizimwa

Mhusika alidhani kuwa taa hizo zisingewashwa tena lakini cha kushangaza kwenye siku za wiki, kwenye wiki iliyofuata baada ya J2 hiyo, taa hizo ziliwashwa tena

Mbali na hilo, taa hizo zinawakilisha rangi ambazo ni nembo ya mashoga, tunao pale Kanisani wengine wakiwa wanajinasibu kwenye Madhabahu ya Bwana kama viongpzi. Ndiyo maana matangazo ya ushoga huwa hayapitishi mwezi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU
MHUSIKA ANALAZIMIKA KUENDELEA KUYASEMA HAYA, JAPO HAPENDI SANA. OFFICE MATE MPYA WA PILI (OM-2) WA MHUSIKA ANA ASILI MOJA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A)
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 10TH JULY 2023
KUHUSIANA NA CODE YA LENS ZA MACHO/ MICROSCOPES/ IMAGING DEVICES

MTU MWINGINE MMOJA WA KITENGO CHA “FOCUSING” ABAINIKA KUWEPO KANISANI J2 YA TAREHE 09/07/2023

Pale Kanisani, Mama Mke wa Kinara wa Matangazo (tumwite MMKM)
ana gari ambayo HERUFI ZOTE za PLATE NUMBER ya gari lake, zimefanana exactly na HERUFI ZOTE za PLATE NUMBER ya gari la mtu aliye ofisini kwake mhusIka; mtu ambaye ni ASSISTANT INCHARGE (tumwite AIM) wa chumba cha MICROSCOPES

Mbali na hilo, MMKM, ana jicho moja ambalo ukiliangalia kwa makini kiasi, lina uoni tofauti kidogo na lile jingine la pili kwa maana kuwa macho yake yote mawili hayako UNIFORM

Kwa hali hiyo MMKM yeye yuko kwenye kitengo cha FOCUSING; na link iliyopo kati ya MMKM na AIM ni HERUFI ZILIZOFANANA KWENYE PLATE NUMBER ZA MAGARI YAO

Kwa upande wa Profesa, yeye ana gari ambayo model yake ni EXACTLY sawa na ile ya AIM wa ofisini kwa mhusika na wakati huo huo gari hiyo imefanana kiasi rangi na ile ya MMKM

Ni gari ile ambayo Profesa alikuwa anaitumia jana J2 ya tarehe 09/07/2023
  • Hapo kabla, Profesa alikuwa pia anatumia gari yenye model hiyo ila haikuwa na rangi iliyokuwa imefanana na ile ya MMKM
  • Kwenye tukio la awali kati ya Profesa na mhusika Novemba 2022 (mwaka jana), wakati huo Profesa alikuwa anatumia gari nyeusi ila yenye model sawa na hii anayotumia sasa
  • Kwa hiyo gari hiyo ya zamani nayo vilevle ilikuwa ni model sawa na ya AIM
Baada ya tukio hilo, Profesa alibadilisha gari na kuanza kutumia hii ya sasa ambayo model yake ni sawa na ile aliyokuwa nayo Novemba 2022 huku hii ya sasa rangi yake ikiwa imefanana na rangi ya gari ile ya MMKM

Kwa hiyo, link zilizopo kati ya
  • MMKM na AIM ni MODEL ZA GARI ZAO ZILIZOFANANA
  • MMKM na Profesa ni RANGI ZA GARI ZAO ZILIZOFANANA
  • Profesa na AIM ni MODEL ZA GARI ZAO ZILIZOFANANA
Haya mambo ni mambo ya DATABASES

Ikumbukwe pia kuwa hawa watu wawili wa Kanisani wote walishawahi kum-scan mhusika kwa kutumia vioo vya gari zao
  • Vile vile jana J2, Profesa alifanya tena hivyo wakati wa mhusika alipokuwa anatoka nje ya uzio wa Kanisa baada ya Ibada ya pili kumalizika
  • Kitendo hicho alikuja akakirudia tena walipokuwa wamefika eneo la Mlimani City walipokuwa wapo njiani kurudi nyumbani
Wakiwa maeneo hayo, ghafla mhusika alimuona Profesa yupo mbele yake, kwenye eneo lile la Shell

Wakati wanatoka, Profesa alitangulia mbele na kusimama karibu na geti la kutokea na hivyo mhusika kulazimika kumpita na kumuacha pale getini kwa ndani akiwa amesimama

Baada ya hapo, hakumuona tena hadi walipofika tena eneo la Shell Mlimani City, na alimuona akiwa tayari yupo mbele yake

Kwa upande wa AIM ambaye ni staffmate wa mhusika kule ofisini kwao; kama ilivyoelezwa kwenye post za hivi karibuni, huyu yeye yuko kwenye kitengo cha CURVATURES za lenses

TUKIO JINGINE MUHIMU LILILOTOKEA J2 HIYO MHUSIKA ALIPOKUWA BADO YUPO KANISANI:

HUKU IBADA YA PILI IKIWA TAYARI IMESHAANZA:

WAKATI WA KUINGIZA GARI LAKE NDANI YA UZIO WA KANISA J2 HIYO, HUJUMA ZILIFANYIKA PALE GETINI NA KUPELEKEA MHUSIKA KULAZIMIKA KUZUNGUKA HAPO NJE MARA MBILI KABLA HAJAINGIA NDANI YA UZIO WA KANISA


Vinginevyo jana muda mfupi tu BAADA ya Ibada ya pili kuanza, kuna kundi la wumini lenye magari yaliyokuwa yanatoka nje, lilikuja kujipanga eneo la geti la kuingilia ndani na magari hayo; na kwa ujanja uliokuwa umeambatana na umakini fulani

Nia ilikuwa ni kumsumbua mhusika asiingize gari lake ndani kwa urahisi

Mbali na hilo, kundi hilo ilikusudia kumbugudhi mhusika ili aghafirike na pengine aamue kuchukua hatua juu ya hujuma hizo za makusudi

  • Kundi hillo lilikuwa limetegea kutoka na hatimaye kumsubiria mhusika pale getini wakati anataka kuingiza gari ndani
  • Ilikuwa ni kwa ushirikiano na kiongozi Shemasi aliyekuwa anaruhusu magari kuingia na kutoka
Ni kwa bahati mbaya sana kwamba ni mara chache sana mhusika huwa anaghafirsihwa na machizi
  • Ni wenye akili timamu tu ambao huwa wanaweza kumghafirisha ila kwa bahati nzuri tena ni kwamba wenye akili timamu huwa hawawezi kumghafirisha mtu kwa sababu huwa hawana muda huo katika maisha yao yote
  • Wahusika wa tukio hilo kwa leo anawahifadhi, kwa sababu moja tu kubwa kwamba baadhi yao, watoto wao ni marafiki zake na mhusika. Next time atawataja, kama watarudia tena
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom