#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA GENERATOR LA MAFUTA YA PETROL JIRANI NA OFISI YAO MHUSIKA
Kulikuwa na kusanyiko maalumu la watu kutoka ndani na nje ya taasisi Jumamosi ya tarehe 15/07/2023 lilikuwa limeaondaliwa na MKUU WA MAJOR UNIT


Mhusika hakuwa amepata taarifa za kusanyiko hilo kwa sababu taarifa zinasema kuwa tangazo la kusanyiko hilo lilikuwa limetolewa kupitia whatssup
  • Baada ya kusanyiko hilo, kulikuwa na cocktail party pia
  • Generator hilo lilitumika kwenye cocktail party, siku ya Jumamosi jioni
Baada ya hapo
  • Ikapita siku ya Jumapili
  • Ikapita na siku ya Jumatatu
  • Ilipofika siku ya J4 baada ya saa 11 jioni, ndiyo sasa Generator hilo likahamishiwa sasa chumba jirani na ofisi yao mhusika likiwa imeambatana na jopo la watu watatu
Ni portable generator ambayo hata mtoto mdogo anaweza kuibeba
  • Hapakuwahi kuwepo generator kwenye chumba hicho na mara ya mwisho mhusika aliingia humo ilikuwa ni siku ya J3 ya wiki hii, au Ijumaa ya wiki iliyopita
  • Ilikuwa ni baada ya kumuona binti mwenye mafaili akiingia humo, na mhusika naye alikuwa amebakiza baadhi ya vifaa ofisini kwake amabvyo vilihitajika kuhamia humo

KUNA FIRE EXTINGUISHER PIA IMELETWA NA KUFUNGIWA KWENYE CHUMBA HICHO

Bado pia FIRE EXTINGUISHER ambayo imefungiwa humo; kwa hiyo haiwezi kufanya kazi wakati wa emergence.

Possibly ni zile ambazo zilisha-expire
  • Sasa kama FIRE EXTINGUISHER ime-expire, why keep it na kwa uangalifu huo?
  • Na kama haija-expire, why lock it in a place where it cannot be accessible in case of emergence?
Chumba hicho sasa kinataka kugeuka na kuwa MICROSCOPY room nyingine, kifanane na kile cha MICROSCOPES

KUHUSIANA NA OFFICE MATE MWINGINE WA MHUSIKA (OM-2)

Katika hili, office-mate mwingine wa mhusika (OM-2) hahusiki kwa sababu kwa wiki hii tu, amekuwa hatumii tena muda mwingi ofisini kwake kiasi kwamba
  • J3 yote OM-2 na mhusika hawakuonana kabisa
  • J4 siku ya ttukio la generator,walionana muda wa asubuhi tu.
  • Ilikuwa ni wakati mhusika alipokuwa anaingia ofisini, na baada ya kama dakika kama 5 hivi, OM-2 alitoka ofisini na hadi mhusika anaondoka ofisini jioni baada ya saa 11, OM-2 alikuwa hajarudi tena ofisini
Taarifa zaidi zitafuata
Pia kule Kanisani kwao na mhusika kuna maombi yalianza J3 na kumalizika jan J5
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUKIO JINGINE LA AWALI MWAKA 2020 LILILOWAHI KUHUSIANA PIA NA FIRE EXTINGUISHER

Maelezo ya tukio hilo ni kama yalivyonukuliwa hapa chini na mhusika wa tukio alikuwa MR X

Maelezo hayo yapo kwenye post hizi

#1 , #121 #138

Nukuu ya maelezo ya tukio hilo kutoka post #1

…………………..mwanzo wa kunukuu

UPDATE 27/05/2020

TUKIO LA TATU: FIRE EXTINGUISHER YA MAJI, ILIYOLETWA NA MR X NDANI YA JENGO LA OFISI, HALAFU BAADA YA SIKU CHACHE, TRANSFOMA YA UMEME ILIYO NYUMA KARIBU KABISA NA OFISI YA MHUSIKA IKALIPUKA


Ilikuwa ni mwaka 2015. Ilitokea ghafla siku moja mhusika akaona mtungi wa Fire Extinguisher uko njiani chini kwenye floor ya korido ya kuelekea mlango wa dharura, ambayo ofisi ya mhusika ipo. Kipindi cha miaka yote huko nyuma, mtungi huo kawaida ulikuwa ulikuwa haukai sehemu hiyo, bali ulikuwa unakaa kwenye attachment yake ndani ya chumba kingine ndani ya jengo hilo, na kwenye ghrorofa (floor) nyingine tofauti. Kwa hiyo mtungi huu ulihamishwa kutoka ghorofa moja kwenda ghorofa nyingine

Katika kutaka kujua mtungi huo ulilwekwa pale na nani, mhusika alipewa taarifa kuwa aliyeuweka pale alikuwa ni Mr X


  • Kitu cha muhimu ambacho msomaji inabidi akumbuke hapa ni kuwa mhusika na Mr X. ofisi zao ziko jengo moja, ghorofa moja
  • Mtungi huu ulikuwa katika sehemu ambayo mhuiska huwa mara zote anapita, akiwa anaelekea au anatoka ofisini kwake
  • Hata hivyo, mtungi huu pia ulikuwa katika sehemu ambayo Mr X huwa hapiti pindi anapokuwa anelekea au anatoka ofisini kwake, isipokuwa tu pale anapolazmimika kueelekea sehemu nyingine ndani ya jengo hilo, iliyo tofauti na ofisi yake, na kwa shida maalumu
  • Baada ya siku kadhaa kupita tangu uwepo wa mtungi mahali pale, ilitokea ajali ya mlipuko mkubwa sana wa Transformer la umeme ambalo liko sehemu inayotizamana na dirisha mojawapo la nyuma la ofisi ya mhusika
  • Kwa hiyo hapa mhusika anchojaribu kueleza ni kuwa ujio wa mtungi wa gas unaonekana KAMA kuhusiana na kulipuka wa Transfoma, kitu ambacho kinaonekana KAMA kilikuwa kimepangwa
  • Mlipuko huo uliambatana na cheche za moto pamoja na moshi mzito kuashiria kuwa lilikuwa linataka kuwaka moto
  • Na kwa sababu mlipuko huo ulionekana wazi kusababishwa na hitilafu ya umeme, mhuiska alianza kukimbia akitokea ofisini kwake kuelekea nje
  • Alipofika usawa wa korido pale ulipokuwa mtungi wa Fire Extinguisher, mhuiska akakutana na mtu mwingine akiulliza, HIVI HATUNA MTUNGI WA FIRE EXTINGUSHER JENGO HILI?
  • Mhuiska alimjibu mtu huyo kwa kumwambia kuwa TUNAO ULE PALE
  • Baada ya jibu hili, mtu huyo alienda na kuushika mtungi huo halafu akamuuliza, unajua namna ya kuutumia? Mhusika alijibu akasema hajui
  • Wakati huo mhusika alikuwa ameshafika sehemu ulipokuwa mtungi huo, na kuanza kuugeuzageuza akiungalia
  • Akiwa katika hati hati ya kujadili rohoni aidha auchukue au auache, aliamua kuuacha na kutoka nje
  • Hatimaye watu husika (siyo zimamoto) walikuja na kuuzima moto uliokuwa umeanza kufuka kwenye Transfoma hilo, baada ya kuwa wamepewa taarifa.
Kipindi pilikapilika hizo zilipokuwa zinaendelea kabla moto huo haujazimwa, Mr X alifika ghafla ofisini kwa mhusika na kumjulisha kuwa AMESHAWAPIGIA SIMU TANESCO ILI WAZIME UMEME. Hii ilionyesha wazi kuwa

  • Wakati mhusika anahangaika na mtungi wa gas, umeme ulikuwa bado haujazimwa na wala hakuwa na taarifa hizo
  • Wakati huo huo, Mr X alikuwa hajulikani alikuwa wapi kipindi hicho kwa sababu hakuwahi kumuona popote wakati kulikuwa na taharuki ndani ya jengo na karibia kila mtu alikuwa ameshatoka nje ya ofisi yake kama tahadhari ya kwanza
  • Kwa hiyo inaonyesha KAMA Mr X alikuwa ametegea kwanza kuona kama mhusika atachukua hatua za kwenda kuuzima moto kwa kutumia Fire Extinguisher hiyo
  • Kama mhusika angeenda kuuzima moto, Mr X asingewapigia TANESCO kwa ajili ya kuzima umeme huo
  • Na kwa sababu Fire Extinguisher ilikuwa ya maji, kujaribu kuzima nguzo ya Transfoma inayowaka moto kwa kutumia mtungi wa maji, kungesababisha mlipuko mwingine mkubwa kuliko ule wa Transfoma lenyewe
  • Umeme ungefuata mkondo wa maji na mhusika angepigwa shoti ya umeme na kufa palepale, na pengine na mtu mwingine yeyote ambaye naye angejisahau na kuwa karibu naye
  • Hata hivyo, baada ya mhusika kutochukua hatua hizo, na hivyo kupelekea watu wengine kuitwa kuja kuzima moto huo, ndiyo ikabidi sasa Mr X awapigie TANESCO ili wazime umeme, kwa sababu mlengwa alikuwa mhusika na si watu wengine
ALICHOKUWA MR X AMEPANGA KATIKA TUKIO HILI
Hapa matarajio ya Mr X yalikuwa ni kwamba mhusika angechukua hatua ya kwenda kuuzima moto huo kwa kutumia Fire Extinguisher hiyo iliyokuwa ni ya maji, halafu baada ya hapo, mlipuko wa moto wa umeme ungemfuata kwa kufuata mkondo wa gas ya maji. Na kama kweli angefanya hivyo, mlipuko ambao ungetokea pale, possibly ungeweza kulingana na ule wa Lori la Mafuta ya Petroli. Lakini kwa bahati nzuri, mhusika hakufanya hivyo hali iliyopelekea baadaye Mr X akapaniki na kuanza kuongea mambo ya ajabu. Ilikuwa salama zaidi kwake Mr X kama asingefanya kosa la kusema kuwa NIMEWAPIGIA TANESCO WAZIME UMEME.
Blunders za namna hii huwa mara nyingi zinafanyika pale tu ambapo mtu anakuwa ametumia nguvu za giza katika kupanga CRIME yake, na ndiyo yaliyotokea kwa Mr X.
MWANDISHI WENU ATARUDI KWA AJILI YA TUKIO JINGINE MOJA ZAIDI, NALO PIA LIKIWA LINAMHUSISHA MTU YULE YULE MR X


……………………mwisho wa kunukuu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UTAFITI WA MHUSIKA USIO NA SHAKA KUHUSIANA NA HAYA MATUKIO YASIYO YA KAWAIDA, UKIYAHUSIANISHA NA MASLAHI ANAYOENDELEA KUDAI

PATTERN AMBAYO IMESHAJIDHIHIRSHA HADI KUFIKIA MUDA HUU


Ni kwamba hii organized crime ambayo imekuwa ikiendelea kwa upande wake mhusika ofisini na kwa kipindi kirefu sasa, ina uhusiano mkubwa sana na maslahi anayoendelea kudai

Pattern iko hivi:

  • Zinapofika tarehe za kuelekea mwisho wa mwezi, wahusika wawili au wote walioko idarani ambao ni key kuweza kupokea na kumpatia document za kiofisi mhusika zinazokuwa zimetoka ngazi za juu, wanakuwa hawapo idarani
  • Wakati huo huo, inapangwa sasa crime kwake ambayo kama ikitokea ikafanikiwa; wanakuwa wako tayari sasa kutoa documents za ushahidi kwamba huyu mtu kila kitu chake kilikuwa kimeshakamailika na ushahidi wanakuwa nao kimaandishi
Maelezo yao yanaweza kuwa kwamba kilichosababisha tu asipokee ni kwamba wahusika walikuwa wamesafiri kidogo kwa muda, vinginevyo angekuwa ameshakamilishiwa kila kitu chake

Mungu atawafanikisha, kama ni haki yao. Otherwise, someone might just be digging their own graves and without realization.

Mhusika hana mamlaka kimwili

Hata hivyo anayo mamlaka kiroho ambayo hayupo mtu yeyote ambaye ni adui kwake ambaye naye pia anaweza kuwa na mamlaka ya aina hiyo, hayupo.

Still, wapo pia watu wengine wengi walio na mamlaka ya aina hiyo kiroho na hao ni wale tu ambao siyo adui zake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU
YULE MAMA MHASIBU AMBAYE AMEKUWA AKIFANYA KAZI KWA KUSHIRIKIANA NA WATU WENYE CURVATURES, YEYE YUKO UPANDE WA DATABASE YA WATU NA MAKAZI KWENYE KITENGO CHA ATTRIBUTES ZA TABLES

NI UTAFITI AMBAO KWA SASA UMETHIBITISHWA PASIPO SHAKA YOYOTE
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA NYINGINE MUHIMU KUHUSIANA NA VIUNGO VYENYE CURVATURES NA MAMA MHASIBU

Viungo hivi navyo pia vimekuwa vikifanya kazi kwa kutumia principle zile zile zinazohusiana na ATTRIBUTES ZA TABLES kwa sababu CURVATURES ni sifa zilizopo kwenye viungo vya mwili wa binadamu

Kwa hali hiyo, MAMA MHASIBU na watu wenye CURVATURES, wote wamekuwa wakifanya kazi kwa kutumia kanuni moja. Uhasibu pia ni ATTRIBUTE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 21TH JULY 2023

KUHUSIANA NA DATABASE YA WATU NA MAKAZI

BAADHI YA RARE COINCIDENCES ZILIZOPO MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA, ZINAZOHUSIANA NA NAMBA ZA USAJILI ZA MAGARI

MOSI:
NAMBA INAYOSHAHIBIANA NA NAMBA HYA USAJILI YA GARI LA MHUSIKA LILILOWAHI KUIBIWA INJINI MWAKA 2010 LIKIWA GEREJI KWENYE MATENGENEZO

Namba yake ya usajili ilikuwa T347 AVT

Kuanzia mwaka 2021, mhusika amekuwa akiona mara kwa mara gari kwenye parking za ofisini kwake ambayo namba zake za usajili pia ni T347 AXX ikiwa inamilikiwa na mmojawapo wa SENIOR WASTAAFU ambaye bado yupo ofisini
  • Kabla ya mwaka 2021, mhusika hakuwahi kumuona SENIOR MSTAAFU huyu akiwa anamiliki gari yenye namba hizi
  • Namba za gari la mstaafu huyu ni za usajili wa mbele, kuonyesha kuwa gari hilo limesajiliwa baadaye, baada ya mhusika kuwa amesajili gari lake kwanza
PILI: NAMBA ZA USAJILI ZINGINE MBILI KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI, ZINAZOSHAHIBIANA NA NAMBA YA USAJILI YA GARI LA MHUSIKA ANALOTUMIA SASA

Kwenye coincidence hii vile vile, tarakimu zote tatu zilizopo kwenye plate namba ya gari la mhusika la sasa, zote tatu ni mojawapo pia ya tarakimu tano zilizopo kwenye namba ya usajili wa gari la ofisi ya MKUU WA MAJOR UNIT ambaye wanafanya naye kazi kwenye idara moja

Mbali na huyo, yupo pia staff mwingine ambaye naye tarakimu zote tatu kwenye namba ya usajili wa gari lake zipo pia kwenye namba ya usajili wa gari la mhusika la sasa, huku tofauti yake ikiwa ni kwenye mpangilio tu wa namna tarakimu hizo zilivyokaa
  • Ofisi ya staff huyu ipo kwenye jengo moja na ile ya mhusika isipokuwa wawili hawa wanafanya kazi kwenye Idara tofauti na pia MAJOR UNITS tofauti
  • Magari haya yote mawili yaliyoonyesha namba zenye mfanano huu na za lile la mhusika, yote yalisajiliwa baada ya mhusika kuwa amesajili la kwake kwanza, na gari lake mhusika lilisajiliwa June 2013
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA KANISANI J2 YA TEREHE 09/07/2023 AMBALO MAELEZO YAKE YAPO KWENYE POST HII #1,569

“MANENO YA FUNGU LA YEREMIA 33:3 YALIYOKATWA KWENYE MTANDAO”


Mbali na kukatwa kwa kipande kilichokuwa kinabeba “COMMENT” ya Mtumishi wa Mungu (MMU) J2 hiyo, fungu kuu la Maandiko Matakatifu, ambalo lilikuwa ni Yeremia 33:3, nalo pia limefichwa

MMU anasikika kwenye clip iliyoambatanishwa kwenye post hiyo, akilitaja fungu hilo kama Yeremia 3, huku msomaji akisikika kulitaja sawasawa kuwa ni Yeremia 33:3, ila pasipo maneno ya fungu hilo kusikikika kutoka kwa msomaji huyo kwa sababu yalikatwa pia

Maneno kutoka fungu hilo yanasema hivi

Yeremia 33:3

Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua

Fungu hili
linaweza kuwa limekatwa kwa makusudi unless kama hakuna kitu ambacho kilikusudiwa kisijulikane, ambacho kimeshajulikana

Kama lilikatwa kwa makusudi, basi ilionekana kuwa lingeweza kuwa kichocheo cha maswali zaidi huko mbele ya safari, pale itakapokuwa pengine, yametokea mashaka kuhusiana na kile MMU alikifanya Madhabahuni siku ya J2 husika

Kwa hali hiyo, fungu hilo lilitakiwa kufichwa ili kupunguza maswali mengi huko mbele ya safari

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwa uzoefu wake tangu alipoanzisha thread hii mnamo April 2020, mhusika amekuja kubaini kuwa karibia mara zote, comments kama hizi hapa chini huwa ni za watu au wanamtandao ambao wanamfahamu sana mhusika; hadi kwa sura
#1,570 , #1,580
MarkHilary
Abuu Kauthar

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 22TH JULY 2023

BREAKING NEWS KUHUSIANA NA CODE YA MISHIPA YA DAMU!!!

OMBI MAALUMU JINGINE TENA LA MHUSIKA KWA UMMA WA WATANZANIA

MHUSIKA ANAOMBA MSAADA KAMA KUNA UWEZEKANO UMMA WA WATANZANIA UWEZE KU-LOCATE MAHALI ALIPO MTU AMBAYE NI BABA WA MTOTO ALIYEKUJA KUPATIWA MATIBABU HUKU DAR ES SALAAM MEI 2022 MWAKA JANA


Mtoto huyo ambaye ni mpwa wa mhusika, alifika huku Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi May 2022 (mwaka jana) ana aliondoka mwishoni mwa mwezi Septemba 2022

Mhusika anaomba sana kama kuna uwezekano, mamlaka ziweze kujua baba wa mtoto huyu mahali alipo na kile ambacho anafanya kwa sasa

Mhusika hamfahamu mtu huyu kwa sababu hawajawahi kuonana, ila alicho na uhakika nacho ni kwamba anatoka mkoa mmoja na OFFICE MATE (OM) wa mhusika

Mtoto huyu anayetajwa kwenye taarifa hizi, ndiyo yule aliyewahi kupewa rufaa kutoka kwenye Dispensary kwenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, na hatimaye tena kupewa rufaa kutoka hospitali hiyo kuja huku Dar es salaam na pasipo kusindikizwa na wahusika waliokuwa wamempa rufaa

Mbali na hilo, mtoto huyo hakuwahi kulazwa kwenye hospitali huko alikotokea

Mhusika anaomba msadaa katika hili kwa sababu evidence alizonazo kwa sasa zinaonyesha kuwa YANAYOENDELEA KUFANYWA OFISINI KWA MHUSIKA NA OFFICE MATE (OM) KUPITIA MISHIPA YA DAMU, NDIYO YALE AMBAYO MTOTO HUYO JANA, ALITAKIWA AYAFANYE

Kwa hiyo, OM amechukuliwa tu kama PLAN B, baada ya PLAN A ambayo ilitakiwa ifanyike mwaka jana kupitia mtoto huyo, kuwa ime-abort


Baba wa mtoto ni mtu anatoka mkoa mmoja na office mate (OM) wa mhusika na possibly wanaweza kuwa hata wanaongea lugha moja ya kuzaliwa

Kipindi mtoto huyo anakuja huku kwa ajili ya matibabu hayo, Ilitarajiwa kuwa mhusika angeweza kuhudhuria kwenye tukio la OPERATION YA MTOTO huyo hospitalini, kitu ambacho hakufanya

Mbali na hilo, matukio ya OM wa mhusika ofisini, yana uhusiano pia na matukio mawili ya Kanisani yaliyofanywa hivi karibuni na KM-A kwenye J2 mbili tofauti ambazo kwa mara ya kwanza alikutana na akina baba peke yake na kuwashirikisha mbaraka; na ya mara ya pili ilikuwa ni J2 ya tarehe 09/07/2023, ambapo alikutana tena na akina mama tu na kwa maudhui ile ile kama ya siku ile aliyowahi kukutana na wanaume wote

Kwa hiyo mhusika alitakiwa kuiona LIVE MISHIPA YA DAMU pamoja na CELLS, tangu mwaka jana mwezi wa sita

Taarifa zaidi zitawajieni muda siyo mrefu

…………………………….inaendelea
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MTOTO ALIYETAJWA HAPO JUU AMBAYE ALIWAHI KUJA KWA AJILI YA MATIBABU
HUWA ANATUMIA JINA LA UBINI LA MJOMBA WAKE, YAANI MHUSIKA


Zaidi ni kuwa mtoto aliyekuja kwa ajili ya matibabu, huwa anatumia majina ya ubini ya mjomba wake ambaye ni mhusika.

Kwa mila za kabila lao mhusika, ni kawaida mtoto kutumia ubin wa mjomba wake, hasa kwa watoto wale ambao huwa wanalelewa upande wa mama zao

Labda taarifa nyingine muhimu tu ni kwamba karibia miezi miwili sasa maji yanavuja jikoni nyumbani kwa mhusika na hakuna uwezekano wa kuyaona kuwa yanatokea wapi.
Mtu unayoana yakiwa kwenye sakafu tu, yametulia. Yanakaribia miezi miwili sasa
Yapo pia yale yanayovuja kutokea kwake ila yenyewe anayakinga kwenye chombo na kwenda kuyamwaga bafuni

Taarifa zaidi zinafuata
 
KWENYE MKAKATI WAKE KM-A WA KUENDELEA KURUSHA MAPEPO KUTOKEA KANISANI

KWA KIFUPI SANA:

YALE AMBAYO TAYARI AMESHAFANYA KUTOKEA KWENYE STAGE YA KURUSHA PEPO KWENYE MWILI HADI KUFIKIA KWENYE CELL

SUMMARY OF CHRONOLOGY OF IMPORTANT EVENTS

KABLA YA DECEMBER 2020 KM-A ALIKUWA ANA-OPERATE KWENYE MWILI KAMA MWILI

BAADA YA DECEMBER 2020, ALIANZA KU-OPERATE SPECIFICALLY KUPITIA MILANGO YA FAHAMU AU VIUNGO VYA MWILI

BAADA YA HAPO TENA, HIVI KARIBUNI ALIPOTANGAZA OFA YA CHAKULA KWA WAUMINI WOTE WA KANISA ZIMA, KUANZIA PALE ALIANZA SASA KU-OPERATE KWENYE LEVEL YA CELLS

FACILITATOR WA UBUNIFU HUU MPYA AKIWA NI OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA, AMBAYE KWA UPANDE WA KANISANI, OM HUYU ANAWAKILISHWA NA MR X

NDIYO MAANA BAADA YA OM KUWASILI TU OFISINI, ALIFIKIA MOJA KWA MOJA KWENYE MAABARA YA MR X

VILE VILE, NDIYO MAANA MR X ALIKUWA MMOJAWAPO WA WATU WALIOSAMBAZA KARATASI ZILE ZA PICHA SIKU YA TANGAZO LA KM-A KWA WANAUME

KM-A HAKUTUMIA MEDIA SIKU YA TANGAZO LA WANAUME ILA ALITUMIA KWENYE TANGAZO LA WANAWAKE

HADI MUDA HUU, KM-A AMESHAKAMILISHA KILA KITU YUKO SAFI, WAHUSIKA WSKUBWA WALIOFANIKISHA MPANGO HUO WAKIWA NI MR X N.A. OM WA MHUSIKA

KWA UPANDE WA MATERIALS, YAANI VITU VILE VISIVYOKUWA NA UHAI, SASA HIVI WAPO KWENYE ATOMIC LEVEL

TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba baba wa mtoto anazo taarifa sahihi zaidi zilizopelekea mtoto kupewa rufaa kuja kutibiwa Dar es salaam
 
UPDATE: SUNDAY, 23RD JULY 2023

NYONGEZA MUHIMU

KUHUSIANA NA SAUTI YA MUUMINI INAYOSIKIKA KWENYE CLIP ILIUOPO KWENYE POST HII #1,569 IKIWA INASOMA FUNGU LA YEREMIA 33:3

UZOEFU WA MHUSIKA NA SAUTI HIYO TANGU IBADA ZILIPOHAMIA KWENYE KANISA JPYA KWA MARA YA KWANZA MNAMO DESEMBA 2021


Tangu Ibada zihamie kwenye Kanisa jipya mnamo Desemba 2021, hadi kufikia leo hii, mhusika amewahi kuisikia sauti hiyo ndani ya Kanisani hilo kwa mara 4 sasa

  • Mara ya kwanza ilikuwa ni kwenye J2 moja ambapo ilitokea kwa mara ya kwanza kabisa, nafasi ya kufundishwa somo la Uanafunzi na Maandiko na ilikuwa ni ndani ya mwaka huo huo wa 2021
  • Somo hilo huwa halifundishwi kulingana na ratiba na siku hiyo ilitokea kwa bahati tu likafundishwa
Kwa hiyo baada ya hapo, sauti hiyo ilizima tena kwa sababu somo la hilo halikuweza kufundishwa tena na kwa sababu ambazo zilikuwa hazijulikani

MARA YA PILI MHUSIKA KUISIKIA TENA SAUTI HIYO KANISANI

Ilikuwa ni mwaka 2022 (mwaka jana), kwenye J2 moja ambayo somo la Uanafunzi na Maandiko liliibuka tena J2

  • Ilikuwa ni kwenye J2 ambayo KM-A alikuwa hayupo Kanisani
  • J2 hiyo, ilikuwa ni J2 ya pili kwa somo la uanafunzi na maandiko kufundishwa, tangu waumini wahamishie Ibada zao kwenye Kanisa jipya
Kwa mara ya tatu mhusika aliisikia tena sauti hiyo mwaka huu, muumini husika na sauti hiyo alipokuwa akitoa tangazo kwa vijana kama kiongozi wa vijana

Na kwa mara ya mwisho na ya nne, mhusika aliisikia sauti hiyo siku ya J2 husika na CLIP iliyoambatanishwa kwenye post hii #1,569

KUHUSIANA NA SOMO LA UANAFUNZI NA MAANDIKO

Mhusika hana uhakika kama somo hilo bado lipo linaendelea kufundishwa Kanisani kwake kwa sababu kila akiwahi na kukuta Ibada ya kwanza haujamalizika au imemailizika punde, somo hilo huwa halipo

Kwa hiyo ni kwenye J2 mbili hizo tajwa tu ambazo mhusika alishawahi kubahatika kuhudhuria somo la uanafunzi na maandiko, tangu wahamie kwenye Kanisa jipya

HITIMISHO

Kwenye swala la sauti hii, mhusika anachelea kusema kuwa kama kuna baadhi ya J2 zingine tofauti na zile mbili za awali ambazo somo la uanafunzi na maandiko liliwahi kufundishwa tena, possibly yeye akiwa hayupo au kuwa hajafika kwenye Ibada, uwezeakano mkubwa ni kwamba mara zote mwalimu ambaye atakuwa amekuwa akifundisha somo hilo, ni muumini huyu ambaye sauti yake inasikika kwenye clip iliyopo kwenye post hii #1,569 ikilitaja fungu la Yeremia 33:33, na pasipo kutamka maneno yake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 24TH JULY 2023
HIKI HAPA NDIYO KILE KILICHOKO KWENYE TAA ZA KWENYE NGAZI ZILIZOKO KWENYE MADHABAHU YA KANISA A


Ni mwanga mweupe huu ambao huwa tunautumia kuona kwa MACHO YETU YA NYAMA, ambao umegawanya kitaalamu kwenye rangi zake saba (7)


white light prism.gif
 
UPDATE: TUESDAY, 25TH JULY 2023

KABLA HAJAANZA KUONGELEA KWA KINA SWALA KWAMBA KWA SASA, KM-A NA MR X WANAFANYA KAZI KATIKA CELLULAR NA ATOMIC LEVELS……………….


Katika hili, mhusika anawaomba wasomaji waangalie uhusiano huu ulipo kati ya wanyama na mimea, kwa kuzingatia mfanano uliopo kwenye ANATOMY HIERARCHIES za makundi ya viumbe hawa, yaani link iliyopo kati ya ANIMAL KINGDOM ANATOMY HIERARCHY na PLANT KINGDOM ANATOMY HIERARCHY

A: ANIMAL KINGDOM

1.0 BODY


ORGANS

2.0 ORGANS

  • MUSCLES
  • TISSUES
  • CELLS
3.0 CELLS

  • MEMBRANES
  • CYTOPLASMS
  • NUCLEUS
B: PLANT KINGDOM

4.0 PARTS OF PLANT

  • SHOOTS
  • ROOTS
5.0 PLANT ORGANS
  • ROOTS
  • LEAVES
  • STEM
6.0 PLANT TISSUES

  • DEMAL
  • VASCULAR
  • GROUND
7.0 PLANT CELLS

  • MEMBRANE
  • CELL WALL
  • CYTOPLASMS
  • NUCLEUS
Ukiangalia mfanano uliopo kwenye mojawapo ya vipengele viwili hapo juu, yaani kile namba 3.0 na kile cha namba 7.0, vyote vina CELLS ambazo pia zina MEMBRANES, CYTOPLASM na NUCLEUS

Kwa hiyo ukizichukulia a ANATOMY HIERACHIES hizi mbili za wanyama na mimea kama DATABASES, hapa unakuwa na database mbili zenye uwezekanao wa kuwa na FOREIGN KEY yeyote kati ya MEMBRANES, CYTOPLASM NUCLEUS au CELL

Mbali na hilo, TISSUES nazo pia zipo kwenye HIERARCHIES hizi mbili na hivyo nazo zinaweza kutumika kama FOREIGN KEYS kati ya database hizi mbili

Kwa hiyo kwa UHUSIANO huu, tuseme kwa mfano, TISSUES ZA MTI ULIOKATWA na ambazo zinaweza kuonekana na macho ya nyama, zikirushiwa pepo, zina uwezo kusambaza pepo huyo kwenye TISSUES za wanyanma wote akiwemo BINADAMU

Vile vile CELLS za miti hiyo zikirushiwa pepo, zina uwezo wa kusambaza pepo kwenye CELLS za wanyama wote, BINADAMU pia akiwa ni mmojawapo

Vinavyoonekana kwa macho ya nyama vinaposhindikana kwenye zoezi hili, MIVROCOPES zinaweza kutumika kuhamishia pepo huyo kwenye CELLS kwa WANYAMA na kwenye ATOMS kwa MADA

HITIMISHO

Kwenye jengo analoishi mhusika, kuna lundo la miti iliyokatwa na kuzungushiwa kwenye ghrorofa hilo takribani miezi miwili sasa; miti ambayo wakati mwingine inaweza kutumika vibaya na watu wasio na nia njema

Still, mhusika hana uhakika sana kama ukarabati huo ulihitaji resources za namna hiyo, na hata kama ulihitaji kwa kazi ambayo bado inahitajika kufanyika pale, resources hizo zisingemaliza muda wa zaidi ya wiki mbili (2) zikiwa zimezungushiwa kwenye ghorofa hilo. Kwa sasa, miti hiyo inakaribia miezi miwili, au hata imeshavuka

Katika hili, ombi la mhusika ni kwamba kama ukarabati umesimama, kuna haja ya kuiondoa miti hiyo na ukarabati utakapokuwa unaendelea tena, NGAZI zinaweza kutumika badala ya miti hiyo

KULE KANISANI NAKO KWA KM-A

Hivi karibuni vimetengenezwa VIKAPU VIPYA VYA KUKUSANYIA SADAKA VIKIWA NA VISHIKIO VYA MTI

  • Haijulikani ni tatizo gani lilitokea kwa vikapu vila vya zamani, kwa sababu almost vilikuwa ni vipya
  • Mhusika angekuwa na mamlaka, angeweza kulimuuliza KM-A ni tatizo gani lilitokea kwenye vikapu vile vya zamani
  • Adha mhusika hajawahi kusikia tangazo Kanisani kuwa vikapu hivyo viliwahi kuwekwa wakfu
Huyu mtu anaichezea sana hii nchi utafikiri ni KARATA zake

………………………itaendelea
 
PLANT TISSUES: NYONGEZA MUHIMU
Mbali na kile kilichoelezwa ha[po juu, miti hiyo ipo kwenye HIERARCHY ORDER kutoka kwenye ground floor kwenda kwenye ghorofa ya mwisho na pia kwenye MISTARI (LINE) sehemu za ubavuni mwa jengo

Kutokana na hali hiyo miti hiyo inaweza pia ikatumika kufanya kazi kwenye HIERARCHY OREDER yoyote au kwenye LINE AUTHORITY ya level yoyote ile

……………….itaendelea KUHUSIANA NA KM-A
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Mchanga ulioletwa kwa ajili ya ukarabati nao pia upo. Hizi ni ATOMS
 
KWA MARA YA KWANZA NDANI YA KIPINDI CHA UTUMISHI WAKE USIOPUNGUA MIAKA ISHIRINI:

KWA MARA YA KWANZA, MHUSIKA HANA MAWASILIANO KUPITIA “CIRCULARS” ZA KUTOKA NGAZI ZA JUU KWA MREFU SANA SASA


Tangu aajiriwe, mhusika hajawahi kukosa mawasiliano kutoka ngazi za juu za Taasisi, kwa kipindi kirefu namna hii

Kwa mda mrefu mno sasa wa zaidi ya mwaka mmoja, mhusika hajawahi kupata na hivyo KUSOMA, circular yoyote iliyotoka ngazi za juu na kwa hali hiyo, kwa sasa hana mawasiliano yoyote na ngazi juu, isipokuwa tu yale ya IDARANI kwake na ya kwenye MAJOR UNIT

Hata hivyo, mhusika anaamini kuwa hii inaweza kuwa ni coincidence tu ya kipekee na kwamba ndani ya kipindi kirefu hiki ambacho amekuwa hapati circulars hizo, hakuna circular yoyote inayomhusu iliyowahi kutolewa

Vinginevyo kama circulars hizo zimekuwa zikitoka huko ngazi za juu za Taasisi, basi mhusika anapenda kuwajulisha viongozi hao kuwa circulars hizo huwa hazimfikii


Mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho aliwahi kusoma circulars za aina hiyo, lakini alicho na uhakika nacho ni kwamba ndani ya mwaka huu hajawahi kusoma circular yoyote, na possibly mwaka wote uliopita

Circular anazoziongelea hapa ni zile zinazohusiana na utumishi wake moja kwa moja na ambazo mara nyingi huwa zimeambatana na maagizo au maelekezo kutoka Serikalini, na si zile ambazo ni za maswala muhimu yanayohitaji utekelezaji unaoishia ndani ya Taasisi tu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
COMING UP NEXT:
KUHUSIANA NA KM-A WA KANISA A
 
Back
Top Bottom