THIS IS TOO BIG, PLEASE READ CAREFULLY!!!!
ADVANCES ZILIZOFANYWA NA MR X KWA MUDA HUU KWA KUTUMIA MICROSCOPES
Hadi kufikia siku chache zilizopita, utafiti wake mhusika umemuonyesha kuwa advances hizi zinazohusiana na MR X na MICROSCOPES zake,
zimechochewa na Office Mate (OM) wa mhusika ambaye mara baada tu ya kuripoti ofisini, alitumia takribani wiki mbili au tatu, akiwa anafanya kazi kwenye maabara ya MR X
- Maabara ya MR X inafanya kazi kwa kutumia MICROSCOPES ambazo zinaweza kuona vile ambavyo macho ya kawaida hayawezi kuona
- Wakati huo huo, PROPERTY moja kubwa aliyonayo OM wa mhusika ni kwamba ana MISHIPA YA DAMU ambayo inaweza kuonekana na MACHO YA KAWAIDA, na wakati huo huo mishipa hiyo imejaa BLOOD CELLS ambazo macho ya kawaida hayawezi kuona, isipokuwa kwa kutumia MICROSCOPES
Kwa hiyo MISHIPA YA DAMU inayoonekana kwa macho ya kawaida na ambayo imetunishwa na BLOOD CELLS ambazo zinaweza kuonekana kwa kutumia MICROSCOPES tu, ikawa imetumika sasa kama link
kati ya MACHO YA KAWAIDA yasiyoweza kuona CELLS na MICROSCOPES ambazo zina uwezo wa kuona CELLS
Na hiki ndiyo kile kilichopelekea sasa OM wa mhusika akatumia wiki kadhaa za mwanzo, akiwa anafanya kazi kwenye maabara ya MR X, wakati yeye huko siyo field yake na hajaajiriwa kwenye kitengo hicho
Kitu hiki kinamkumbusha
event nyingine ya nyuma ambayo iliwahi kutokea Oktoba 2019
- Mwaka huo Boss X (ameshastaafu) alimletea mhusika mwajiriwa mpya na kuagiza mwajiriwa huyo awe trained kwenye matetemeko ya Ardhi wakati staff huyo hakuwa ameajiriwa kwenye kitengo hicho
- Mhusika alim-train staff huyo na hadi leo yupo lakini tangu kipijdi hicho hajawahi kufanya kitu chochote kinachohusiana na matetemeko ya ardhi
TUKIRUDI TENA KWENYE UPANDE WA MICROSCOPES ZA MR X
MICROSCOPES za MR X zinashughulika na MADA (
ATOMS of matter) na siyo viumbe hai (CELL ORGANISMS) na hivyo mishipa ya damu ya mtu (ORGANISM) ambaye amekuwa akihusika kwenye maabara hiyo, imekuwa hapa
kama link kati ya BLOOD CELLSS na ATOMS OF MATTER kwa sababu vyote ni MICROSCOPIC, huwa havionekani kwa macho ya nyama
Hiki ndicho kilichofanyika na kinafanana na kile kilichofanyika kati ya CURVATURES ZA LENS NA VIUNGO VYA BINADAMU, maelezo ambayo tayari yameshawajieni kwa kina humu jukwaani
SWALI:
NOW, WHY GO FURTHER TO CELLS AND ATOMS, AMBAZO HAZIWEZI KUONEKANA NA MACHO YA BINADAMU?
Kilichopelekea hatua hii kuchukuliwa na MR X ni kwamba ilifikia kipindi mhusika akawa
amezuia uwepo wa PEPO kwenye vitu vyote vinavyoonekana kwa macho ya nyama kama vile MAWE (matter) AU MWILI WA BINADAMU (macro-organisms)
Baada ya kitu hicho kutokea, pakawa sasa hapana tena uwezekano wa kumuweka pepo kwenye kitu chochote au kiungo chohote cha mwili wa binadamu chenye uwezekano wa kuonekana na macho ya nyama ya binadamu
Kutokana na hali hiyo,
ikabidi ufanyike sasa utaratibu mwingine mpya wa kuingia ndani kwenye CELLS kwa viumbe hai na ATOMS kwa mada ili PEPO wawe wanakaa huko
Baada ya hapo, pepo hao watakuwa wanaazimwa
temporarily na kuwekwa sasa kwenye vile vyote vinavyoweza kuonekana na MACHO YA NYAMA (MACROSCOPIC)
UHUSIANO KATI PEPO ALIYEWEKWA KWENYE CELLS AU ATOMS NA VIUNGO VYENYE CURVATURES ZILIZOPINDA KUELEKEA NJE AU NDANI KWENYE SEHEMU YA MAGOTI
Ni kwamba PEPO akishawekwa kwenye CELLS AU ATOMS, kwa kutumia MICROSCOPES ambazo watumiaji wake wanatumia MACHO YA NYAMA; kwa kutumia tena MACHO YA NYAMA ya watumiaji wa MICROSPOES hizo
- PEPO huyo huwa anasambazwa sasa kwenye CHUMBA CHA MICROSCOPES, kiasi kwamba mtu akipata nafasi ya ku-PEEP tu au KUINGIA humo, PEPO HUYO ANAKUWA ACTIVE KWA MTU HUSIKA
- Baada ya hapo, ili pepo huyo aweze kuwa distributed kwenye MACHO au viungo vya WASAMBAZAJI WA AWALI wenye PROPERTIES ZINAZOFANA NA LENS ZA MACHO wanatakiwa kuhusika
Kwa hali hiyo watu wenye
properties za CURVATURES au PRINCIPALS, wanahitajika kwenye usambazaji huo KAMA WASAMBAZAJI WA AWALI
ADVANTAGE MBILI KUBWA SANA ZILIZOPO KWENYE TEKNIKI HII KWA MR X
MOJA: MR X akisharusha pepo kwenye CELLS NA ATOMS, pepo hao
anaweza sasa kuwahamishia tena kwenye VITU AU VIUNGO VYA MWILI ninavyoonekana kwa macho ya nyama, ambako awali, mhusika alikuwa amezuia kabisa uwepo wa pepo
Still, ikumbukwe kuwa makao ya muda wote ya PEPO haio yanakuwa ni kwenye CELLS NA ATOMS ambazo ni
microscopic, isipokuwa kwa utaratibu huu pepo hao wanakuwa wametengenezewa utaratibu wa kuwawezesha ku-
manifest tena na kwenye vitu vingine vinavyoweza kuonekana kwa macho ya nyama (
macroscopic)
Kwa hali hiyo muumini wa kawaida akishagundua kuwa kuna pepo kwenye CURVATUES ZA VIUNGO wa mwanadamu, na hivyo kuamua kumkemea pepo huyo ili atoke, PEPO HUYO ATATOKA KWA MUDA TU kwa sababu makao yake yanakuwa hayako kwenye CURVATURES bali kwenye CELLS NA ATOMS za viungo au vitu hivyo
Kitakachotokea baada ya hapo ni kwamba PEPO HUYO ATAWEZA TENA KURUDISHWA MUDA HUO HUO NA WAHUSIKA,
AIDHA KWA WAHUSIKA KUANGALIA TU HATA JIWE LILILO KARIBU MAENEO YALE (matter iliyo na atoms) AU, KWA KUINGIA AU KUCHUNGULIA TU KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES ambamo kuna vifaa vinavyohusika na kuona vitu ambavyo ni microsopic
Baada ya hapo, CURVATURES hizo zitaanza kuonekana sasa zikiwa kwenye
corridor au BARABANI zinatembea, tayari sasa kwa awamu nyingie ya usambazaji, baada ya renewal
Baada ya hapo, wanaosambaziwa nao wataanza sasa kusambaziana wenyewe kwa wenyewe
HITIMISHO
Hiki kitu ndiyo kimekuwa kikifanywa pia na Kiongozi wa chama cha maarufu cha wafanyakazi cha ndani ya taasisi, ikiwa ni pamoja na mkuu wake wa Idara; huku wote wawili hawa wakiwa ni jamaa wa karibu sana wa mhusika; wanaongea lugha moja ya kuzaliwa na mhusika
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA