#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE:THURSDAY, 13/07/2023

BAADHI TU YA MANENO YA HEKIMA KUTOKA KWA MTUMISHI WA MUNGU MGENI ALIYEHUDUMU WAKATI WA IBADA KUU KANISA A J2 YA TAREHE 09/07/2023


Maneno hayo yapo kwenye audio attachmnet hiyo hapo chini na yalisemwa wakati wa Ibada ya pili
Wakati yanasemwa, KM-A hakuyasikia kwa sababu alikuwa ametoka kidogo na alirudi yakiwa tayari yameshatamkwa

Inaweza kuwa KM-A aliyasikia maneno hayo wakati wa Ibada ya kwanza, na kama hata wakati wa Ibada ya kwanza hakuwepo wakati yanatamkwa, basi atakuwa hajayasikia kabisa


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:FRIDAY, 14/07/2023

POST HII INAWEKWA HAPA KWA LENGO LA KUJA KUREJEWA HAPO BAADAYE

Kuhusiana na taarifa za baadhi ya waumini wenye magari yaliyohusika na kuziba geti la lango kuu la Kanisa J2 ya tarehe 09/07/2023 na hivyo kupelekea mhusika kuzunguka nje mara mbili kabla hajaingia ndani ya uzio wa kanisa


Mojawapo ya gari hizo ni gari nyeusi ambayo MODEL yake imefanana EXACTLY na gari ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)

Wakati mhusika alipokuwa yupo maeneo ya karibu na geti kuu, gari hii ilikuja ikasimama makusudi kabisa pale kwenye lango la GETI KUU na kukaa pale bila wasiwasi wowote kwa dakika kadhaa

Gari nyingine ambayo yenyewe haikuhusika na zoezi la kumziba mhusika, ilikuwa ni ya MR X

  • Hii yenyewe ni kama alipishana nayo, ikiwa inatoka
  • Katika hali ya kawaida, MR X huwa hachelewi kutoa gari lake nje ya uzio wa Kanisa na pia huwa hahusiki na huu upumbavu wa kuziba geti
  • Still, kila kitu ambacho MR X huwa anafanya, huwa kina maana nyingine nyuma yake. Kuchelewa huko kwa MR X lazima kulikuwa na maana nyingine kubwa nyuma yake
Mhusika atakuja kuirejea post hii siku zijazo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA YALE AMBAYO MHUSIKA AMEWEZA KUYAAINISHA HADI KUFIKIA MUDA HUU:
UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA KUNA FUJO ZILIKUWA ZIMEPANGWA KUFANYWA KWA MHUSIKA J2 ILIYOPITA YA TAREHE 09/07/2023 ALIPOKUWA YUPO MAENEO YA KANISANI


BAADHI YA WAHUSIKA WAKUU WA TUKIO HILO , AMBAO MHUSIKA AMESHAJIRIDHISHA KUWA WALIKUWA WANAJUA KUHUSIANA NA MPANGO HUO NI WAFUATAO
1. KM-A
2. MR X
3. MHUBIRI MGENI WA IBADA KUU YA SIKU HIYO
4. PROFESA MWENYE GARI NYEUSI INAYOFANANA NA.YA KM-A
5. PROFESA WA MATUKIO YA SIKU ZOTE AMBAYE PIA WALIONGOZANA NA MHUSIKA WAKATI WA KURUDI NYUMBANI
6. SHEMASI ALIYEKUWA ANARUHUSU MAGARI KUINGIA NA KUTOKA J2 HIYO

KUHUSIANA NA MHUBIRI MGENI

HUYU NAYE ALITAMKA PIA MANENO YA UFILAJI NA ULAWITI, MANENO AMBAYO HUWA YANAPELEKEA MHUSIKA ANATELEKEZA IBADA. KILICHOPELEKEA MHUSIKA ASITOKE KWENYE IBADA J2 HIYO, MHUBIRI HUYU YEYE HAKUJIKITA ZAIDI KWENYE MANENO HAYO KAMA AMBAVYO WAMEKUWA WAKIFANYA WENGINE WALIOWAHI KUMTANGULIA.

ILITARAJIWA KUWA MHUSIKA ANGEWEZA KUONDOKA KWENYE IBADA BAADA YA MANENO HAYO KUTAJWA, NA KM-A NAYE WAKATI HUO ALIKUWA AMEYEYUKA KWENYE IBADA NA HIVYO HAKUWEPO WAKATI MANENO HAYO YANATAMKWA,
TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MWINGINE AMBAYE ALITAKA KUSAHAULIKA KWENYE ORODHA HII NI MKE WA KINARA WA MATANGAZO.
HUYU NAYE ALIONEKANA AKIWA ANARUDI KINYJMENYUME NA GARI LAKE, MAENEO YA GETI KUU WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAENDELEA KURANDARANDA NJE BARABRANI AKISUBIRIA KUINGIA NDANI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA OPERATION ZA MR X OFISINI ZA KURUSHA MAPEPO KWA KUTUMIA MICROSCOPES

KWA SASA MR X ANA-OPERATE KWENYE LEVEL YA CELLS, AMESHATOKA KWENYE VIUNGO. NA KWA VITU VISIVYOKUWA NA UHAI KAMA VILEMAWE , ANA-OPERATE KWENYE LEVEL YA ATOMS.

KWA KIFUPI TU NI KWAMBA SASA HIVI MR X ANA OPERATE KWENYE YA VITU VISIVYOWEZA KUONEKANA NA MACHO YA BINADAMU, BALI MICROSCOPES.
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIENI KESHO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 17/07/2023

OPERATION YA MATUMIZI YA MICROSCOPES ILIPOFIKIA

UHUSIANO WA MICROSCOPES NA CELLS, ATOMS NA HATA MEMORY


Taarifa zaidi kuhusiana na operation hii zitawajieni muda siyo mrefu

MICROSCOPES zina uwezo wa kuyawezesha macho ya kawaida kuona vile ambavyo macho hayo yasingeweza kuona

Huko ndiko operation ya MR X wakishirkiana na KM-A imefikia kwa sasa
 
Vile vile, maelezo kuhusiana na kile kilichotokea kwenye Ibada ya J2 ya tarehe 09/07/2023 nayo yanafuata pia
 
VINGINEVYO KUHUSIANA NA MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI KANISANI J2 YA TAREHE 16/07/2023

DOKEZO MUHIMU KUHSIANA NA POST HII:


[Pamoja na kuwa na maelezo marefu kidogo, kwa sasa mhusika anaiweka hapa post hii kama maelezo ya wali tu kwa makusudi ya kuja kuirejea tena hapo baadaye.
Maelezo yake muhimu zaidi bado yanaendelea kufanyiwa utafiti]

1.0 TUKIO LA KWANZA

WAKATI MHUSIKA ANAWASILI KANISANI NA KUPAKI GARI LAKE NJE KWA MUDA, IBADA YA KWANZA IKIWA IMESHAMALIZIKA ILA KULIKUWA NA TANGAZO LA KM-A LILILOKUWA LIKIENDELEA KWA WANAKWAKE WOTE


Baada ya kuwa amepkai gari lake nje, wakati anatembea kuelekea ndani ya uzio wa Kanisa, pale nje upande wa pili pembezoni mwa barabara, mhusika aliliona gari la Profesa

Mle ndani ya gari hakuweza kupaona vizuri lakini baadaye wakati anarudi tena nje kuja kuchukua gari lake kwa ajli ya kwenda kulipaki ndani ya uzio wa Kanisa, mhusika alikuja kubaini kuwa Profesa alikuwemo ndani ya gari hilo, na alikuwa humo tangu muda ule mhusika alipopita mara ya kwanza akiwa anatembea kwa mguu kuelekea ndani Kanisani; alikuwa amepaki na kubaki akiwa amkaa humo ndani ya gari pasipo kushuka.
  • Wakati huo huko ndani ya Kanisa ndiyo kulikuwa na tangazo la KM-A lililokuwa linaendelea, safari hii kwa upande WANAWAKE TU kama KM-A alivyowahi kuahidi siku alpowahi kulitoa tangazo hilo kwa WANAUME TU
  • Kama kusingekuwa na tangazo la KM-A J2 hiyo, mhusika angeweza kuingia moja kwa moja ndani na kupaki gari lake, asingepaki nje.
  • Kwa hali hiyo asingeweza kuliona gari la Profesa kule nje alikokwenda kupaki kwa muda
Tangazo hilo lililokuwa likiendelea ndiyo lile lile lilowahi kutolewa kwa muda huo huo na kwa WANAUME TU, kwenye J2 nyingine ambayo Profesa na mhusika waliongozana kutokea kwenye INTERCHANGE ya mataa ya Ubungo hadi kwenye geti la Kanisa na hatimaye kupotezana tena baada ya kuwa wamefika kwenye geti la Kanisa
  • Baada ya Ibada kumalizika J2 hiyo, mhusika alikuja kuliona tena gari la Profesa wakati akiwa anatoka nje
  • J2 iliyopita aliliona tena wakati gari hilo wakati wa kutoka nje tu
  • J2 ya wiki juzi, mhusika aliliona tena ila ilikuwa ni wakati wa kutoka nje, lilimtangulia na kwenda kusimama getini na hivyo mhusika kulipita likiwa limesimama pale getini
PATTERN AMBAYO IMEKUWEPO KATI YA GARI LA PROFESA NA MHUSIKA TANGU NOVEMBA 27 MWAKA JANA, J2 ILE AMBAYO ILITOKEA AJALI YA NDEGE

Kuanzia J2 hiyo ya Novemba 27 mwaka jana hadl kufikia J2 ya wiki iliyopita, imekuwepo pattern kwamba MARA ZOTE, kila Profesa anapokuwepo Kanisani, ni lazima mhusika alione gari la Profesa KABLA AU BAADA YA IBADA na mara nyingi imekuwa kwa mara zote mbili, yaani KABLA NA BAADA YA IBADA
  • Ukiondoa J2 ya Novemba 27 mwaka jana (siku ambayo ilitokea ajali ya ndege) na J2 ya wiki juzi tarehe 09/07/2023 (siku ambayo mhusika alizunguka mara mbili nje ya uzio wa Kanisa kabla ya kuingia ndani)
  • Kwenye J2 hizi mbili tu, mhusika amekuwa akiliona gari la Profesa mara moja, yaani BAADA YA IBADA tu
  • Kwenye J2 nyingine zote zilizobaki tangu Novemba mwaka jana, mhusika amekuwa akiliona gari la Profesa mara mbili, yaani KABLA NA BAADA YA IBADA
Hii ndiyo pattern ambayo imekuwepo tangu Novemba 2022 (mwaka jana), unless Profesa awe hajahudhuria Kanisani. Kwa siku zote ambazo Profesa amekuwa akihudhuria Kanisani, MARA ZOTE ni lazima mhusika alione gari la Profesa aidha KABLA AU BAADA YA IBADA; au KABLA na BAADA YA IBADA

KWA WASOMAJI WA TAARIFA HIZI, KITU MUHIMU CHA KUZINGATIA KUHUSIANA NA PATTERN HII INAYOJITOKEZA KATI YA PROFESA NA MHUSIKA


Issue hapa si mhusika kuliona gari la Profesa au kuonana na Profesa. Hii ni kutokana na ukweli kuwa hawa watu wanaabudu nyumba moja ya Ibada na hivyo kuonana kwao siyo kitu kigeni au cha kuzua gumzo; ni lazima waonane

Kinachozua gumzo hapa ni kwamba kuonana kwao kunaonekana kuwa kuko planned in such a way kwamba huwa wanaona kwa mpangilio fulani tu na si kwa bahati mbaya, unaoonyesha trend ya kwamba huwa ni lazima waonane na katika muda fulani tu kila J2 Profesa anapokuwa yupo Kanisana

2.0 TUKIO LA PILI

KABLA YA IBADA YA PILI KUANZA: TANGAZO LA MARUDIO LA KM-A

Kama alivyokuwa ameahidi, KM-A alirudia tena kulitoa tangazo lake alilowahi kulitoa wiki kadhaa zilizopita kwa wanaume peke yake
  • Safari hii alilitoa kwa wanawake tu, kama alivyokuwa ameahidi
  • Vile vile safari hii hakutumia makaratasi, alitumia PROJECTOR
Baada ya session ya tangazo kupita na wahusika wa tangazo hilo kutawanyika, picha ya tangazo hilo iliendelea kubaki kwenye screen hadi ibada ya pili ilipoanza

3.0 TUKIO LA TATU
WAKATI WA HUDUMA KUU YA IBADA YA PILI MARA BAADA YA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU KUMALIZIKA


Muda mfupi tu baada ya mhubiri kuanza kufundisha somo lake alilokuwa wamelipa kichwa kinachosema UBINADAMU WA YESU KRISTO, screen zote zilianza kuonyesha CLIP FUPI SANA YA MKONO WA MTU ULIOKUWA UKIPIGIA MISTARI MAANDIKO YALIYOKUWA YAKIONEKANA KAMA MAANDIKO MATAKATIFU YA KWENYE BIBLIA
  • Mkono huo ulikuwa unapigia mistari baadhi ya mistari michache sana ya kwenye kitabu husika na ulikuwa unafanya hivyo kwa kurudia rudia kwa maana kwamba clip hiyo ilikuwa inajirudia rudia
  • CLIP hiyo iliendelea kuonekana kwenye screen hizo kwa dakika zisizopungua thelathini (30) wakati mhubiri alipokuwa yupo anaendelea na Ibada kuu
4.0 TUKIO LA NNE
BAADA YA IBADA KUU KUMALIZIKA NA HATIMAYE WAKATI WA MATANGAZO KUANZA


Pale karibu na mwisho kabisa wa Ibada kabla KM-A hajahitimisha Ibada, kama ilivyo kawaida, KINARA WA MATANAGAZO (KWM), alipandisha tena juu madhabahuni

Safari hii alikuwa na sababu nyingine maalumu ya kupandisha madhabahuni, kama ambavyo imekuwa siku zote. Labda pengine kwa upande wao, KWM na KM-A wanadhani kuwa wana akili nyingi sana kuwazidi watu wengine wote

KILE KILICHOPELEKA KWM AKAPANDISHA JUU MADHABAHUNI
Safari hii hakuwa na tangazo tena kama ambavyo imekuwa kawaida yake
Ilikuwa ni kwa ajili ya utambulisho NUSU wa wageni foreigners ambao pia ni watumishi wa Mungu, aliokuwa ameambatana nao kuja Kanisani hapo kwa ajili ya kuabudu

Mgeni mgeni alitambulishwa kwa kupandishwa juu madhabahuni, ila mgeni mwenyeji na ambaye watu waliatakiwa wamuone na kumfahamu kama ndugu yake na KWM, alitambulishwa akiwa chini kwa kusimama kwa sekunde kadhaa tu na hivyo watu hawakuweza kumona na kumfahamu kwa sura

Mgeni mwenyeji ndiye ndugu wa damu wa KWM

Tafsri za lugha zilitumika wakati wa utambulisho, sawa tu kama zilivyowahi kutumika kwenye Ibada ya J2 kadhaa zilizopita mhudumu foreigner alipokuwa amekuja kuhudumu Kanisa A
[Pamoja na kuwa na maelezo marefu kidogo, kwa sasa mhusika anaiweka hapa post hii kama maelezo ya wali tu kwa makusudi ya kuja kuirejea tena hapo baadaye.
Maelezo yake muhimu zaidi bado yanaendelea kufanyiwa utafiti]


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
COMING UP NEXT:
YALIYOJIRI KANISANI J2 YA TAREHE 09/07/2023 SIKU MHUSIKA ALIPOZUNGUKA MARA MBILI NA GARI LAKE NJE YA UZIO WA KANISA KABLA YA KUINGIA NDANI

…………………inaendelea
 
MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI KANISANI J2 YA TAREHE 09/07/2023 SIKU MHUSIKA ALIPOZUNGUKA MARA MBILI NA GARI LAKE NJE YA UZIO WA KANISA KABLA YA KUINGIA NDANI

  • Tukio la kwanza lilItokea wakati mhusika anaingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa
  • Tukio la pili lilitokea wakati wa IBADA KUU ambayo ilikuwa LIVE, lakini kama ambavyo imekuwa kawaida, CLIP ya tukio hilo IMEKATWA, haipo tena kwenye mtandao
Hata hivyo, kuna sehemu ndogo ya CLIP iliyobaki kwa bahati mbaya na ambayo inathibitisha pasipo shaka kukatwa kwa CLIP ya tukio hilo

CLIP YA TUKIO LILILOKATWA

Tukio hilo lilihusiana na mgeni mhudumu wa ibada kuu kumhitaji kiongozi mkuu wa kanisa a (KM-A) kutoa sala kabla ya ibada kuu kuanza rasmi


Hata hivyo wakati hitaji hilo linatokea, tayari KM-A alikuwa ameshatoka nje ya nyumba ya Ibada na hivyo baada ya kukosekana, MHUDUMU WA IBADA KUU, ALITUMIA NAFASI HIYO KUTOA COMMENT ILIYOPELEKEA WAUMINI WOTE KUELEWA KUWA KM-A HAKUWEPO TENA KWENYE IBADA MUDA HUO AMBAO MTUMISHI HUYO ALIMHITAJI KWA AJLI YA KUTOA SALA

Kwa hiyo, mhudumu wa Ibada Kuu ndiye aliyewajulisha waumini wote J2 hiyo kuwa kwa wakati fulani, KM-A hakuwepo kwenye Ibada; alikuwa ametoka

Ilikuwa ni muhimu kwamba waumini wote walitakiwa wa-notice kuwa kuna muda J2 hiyo ambao KM-A alikuwa ametoka nje ya nyumba ya Ibada

Maelezo kamili ya tukio hili yanafuta muda mfupi ujao

Tukio la tatu lilitokea baada ya Inbada kumalizika, wakati mhusika alipokuwa anataka kutoka nje ya uzio wa Kanisa akiwa na gari lake

  • Hapa Profesa akiwa na gari lake, aliamua kumtangulia mbele mhusika na hatimaye kwenda kusimama karibu na geti huku akiwa hana tena mpango wa kutoka muda huo
  • Kabla hajaubaini mpango huo, mhusika alisimama kwa muda akiwa anamsubiria kwanza Profesa, kwa kudhani kuwa mkubwa huyo alikuwa anatoka muda huo
Maelezo zaidi ya tukio hili yanafuata pia

Kwa wakati huu mhusika angepeda kuanza na TUKIO LA PILI, LA WAKATI WA IBADA KUU, na ambalo CLIP yake imeshakatwa

CLIP FUPI ILIYOBAKI MTANDAONI HADI MUDA HUU YA KABLA NA BAADA YA TUKIO LA COMMENT KUHUSIANA NA KM-A KUTOKA NJE YA NYUMBA YA IBADA

CLIP iliyobaki ambayo inaonyesha matukiio muda mfupi KABLA NA BAADA ya tukio lililokatwa, ndiyo hii iliyoambatanishwa hapa chini

……………………………..inaendelea

 
UTHIBITISHO WA KUKATWA MANENO ULIOPO KWENYE CLIP ILIYOAMBATANISHWA HAPO JUU

Kwenye hii clip iliyoambatanishwa hapo juu, kabla ya muda wa dakika 1:40, mhudumu anasikika akiomba asomewe Yeremia 3 badala ya Yeremia 33:3 kama alivyowahi kutamka siku hiyo

  • Baada ya sauti ya mhudumu, inasikika sauti nyingine ya mtu msomaji wa fungu la Biblia akitamka Yeremia 33:3 na anaishia hapo, haendelei mbele
  • Baada ya hapo, inasikika tena sauti ya mtu mwingine wa tatu AKIHITIMISHA SALA kwa maneno “ILI LIFANYIKE LA FAIDA KATIKA KUJENGA UFALME WAKO KWETU KAMA KANISA KATIKA JINA LA YESU NAOMBA AMINA
Na baada ya sauti hizi zote, ndiyo inarudi tena na kuanza kusikika, sauti ya Mtumishi wa Mungu aliyekuwa anahudumu kwenye Ibada Kuu J2 hiyo

  • Maneno yaliyokatwa yapo kati ya msomaji wa Yeremiah 33:3 na mtoa sala, na yalitamkwa na Mtumishi wa Mungu mwenyewe J2 hiyo
  • Aliyetakiwa kutoa sala badala ya huyu ambaye ambayo maneno ya sala yake yamenukuliwa hapo juu, ni KM-A na si huyo ambaye sauti yake inasikika kwenye clip
Mtumishi wa Mungu (tumwite MMU) alimhitaji KM-A apandishe juu Madhabahuni kwa ajili ya kutoa sala kabla ya Ibada Kuu kuanza rasmi lakini kwa bahati mbaya hakuonekana

Ulikuwa umepita muda mfupi sana tangu KM-A apandishe juu Madhabahuni kwa ajili ya utmabulisho wa MMU

  • Baada ya MMU kuona kuwa KM-A hakuwepo, alitoa COMMENT akisema “AMESHATOKA’ na hivyo nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine
  • Kuanzia pale waumini wote wakawa wamepata hint kwamba KM-A hakuwepo tena kwenye Ibada muda huo
KWENYE IBADA HIYO, MAFUNGU YOTE YA BIBLIA YALIKUWA YAKISOMWA NA WAUMINI KUTOKEA CHINI YA MADHABAHU

Kwa hiyo, badala ya sala kutamkwa na mtu akiwa amesimama JUU MADHABAHUNI, sala hiyo lilitamkwa na mtu aliyekuwa amesimama CHINI YA MADHABAHU

  • Huyu naye alifanya makusudi, alikuwa yuko conncected kwa sababu kawaida alitakiwa apandishe JUU MADHABAHUNI na hatimaye kutoa sala hiyo
  • Mbali na hilo, kwenye Ibada ya siku hiyo mafungu yote yalikuwa yanasomwa na waumini kutokea CHINI YA MADHABAHUNI, kwa sababu MMU alikuwa anasomewa mafungu yote na waumini waliokuwa wamekaa mbele CHINI YA MADHABAHU na hivyo hakuna fungu la Biblia lililokuwa likisomwa kutokea JUU MADHABAHUNI
Vile vile kwa comment aliyoitoa MMU muda mfupi kabla fungu la Yeremia 33:3 kusomwa, inaonyesha kuwa hata kwenye Ibada zingine zilizokuwa zimepita ambazo mhusika hakuwahi kuhudhuria, mafungu yote ya Biblia yalikuwa yanasomwa na waumini kutokea CHINI YA MADHABAHU

……………………….inaendelea
 
MAMBO MAWILI MAKUBWA YALIYOPELEKEA KM-A ASIWEPO KWA AJILI YA KUTOA SALA

Kutokana na mkakati uliokuwa umepelekea Ibada hiyo kuandaliwa, hapakuwa panahitajika SALA kutolewa kutokea JUU MADHABAHUNI, wala FUNGU LA BIBLIA KUSOMWA KUTOKEA JUU MADHABAHUNI kwenye IBADA ya J2 hiyo

Mbali na hayo, KM-A alikuwa anatengeneza mazingira mazuri ya ALIBI yake kwa sababu alikuwa anatarajia TUKIO KUTOKEA KWA MHUSIKA, KABLA YA IBADA KUMALIZIKA; kulikuwa na PLANS kadhaa ambazo zilikuwa zimetayarishwa kwa ajili ya tukio kwake siku hiyo

Na kama kweli kungetokea chochote J2 hiyo, basi ALIBI hiyo ya KM-A ingeweza kucheki vizuri sana na kupata ushahidi kutoka kwa waumini wote kwa sababu tayari MMU alikuwa ameshatoa COMMENT iliyokuwa imepelekea waumini wote kufahamu kuwa wakati fulani ibada ilipokuwa inaanza na kuendelea, KM-A alikuwa ametoka nje ya nyumba ya Ibada

MAMBO MENGINE MAWILI MAKUBWA ALIYAYAONA MHUSIKA KWA MARA YA KWANZA J2 HIYO


Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika, kumuona KM-A akiwa nje ya Ibada wakati wa Ibada KUU, huku Ibada hiyo ikiwa inaongozwa na MMU mgeni, na ambaye tena ni SENIOR kwake kwenye ORGANISATION HIERACHY
  • Hata kwa watumishi wa Mungu wengine ambao ni JUNIOR kwake, KM-A huwa hana tabia hiyo na hivyo hajawahi kufanya hivyo
  • Mbali na hilo, KM-A huwa anaheshimu mno wageni watumishi wa Mungu, hama misbehaviuor ya namna hiyo
Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona KM-A ana-misbehave mbele ya MMU mgeni na ambaye tena ni SENIOR kwake

Hilo la kwanza

La pili

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kuona MMU mgeni amekaribishwa JUU MADHABAHUNI halafu baada ya hapo, MMU mgeni kumwacha mwenjeji ashuke chini ya madhabahu, ilhali mgeni alikuwa bado analo hitaji jingine tena kutoka kwa mwenyeji huyo, na ambalo alimhitaji mwenyeji alitekeleze muda huo akiwa pale pale JUU MADHABAHUNI

Point hapa ni kwamba, kawaida watumishi wote wageni ambao huwa wanahitaji aidha KM-A au Kiongozi mwingine mwenyeji wa Kanisa A, atoe sala kwa ajili ya neno, mara zote huwa wana tabia ya kulisema hitaji hilo muda huo huo kabla ya mwenjeji hajashuka chini ya madhabahu
  • Haijawahi kutokea kwamba mwenyeji akawa yuko juu ya madhabahu, wakiwa pamoja na MMU mgeni, halafu mgeni huyo akamwacha mwenyeji akashuka chini kwanza, halafu tena baada ya muda, mgeni akamhitaji mwenyeji yule yule apandishe juu ya madhabahu kwa mara ya pili ndani ya muda huo mfupi, kwa ajili ya kutoa sala ya kuombea neno la siku hiyo
  • Ingeleta mantiki kama MMU angemhitaji kiongozi mwingine directly, tuseme kama yule aliyewahi kutoa sala J2 hiyo
KM-A na MMU walikuwa wote JUU MADHABAHUNI na hivyo kawaida MMU aliytkiwa amuombe pale pale KM-A atoe sala kabla hajashuka chini, na si kumwacha akashuka chini halafu tena baada ya dakika chache mbele, akawa anamhitaji tena mtu huyo huyo apandishe juu madhabahuni; huu ulikuwa ni usanii

KWA HIYO UTORO WA KM-A KWENYE IBADA YA J2 HIYO ULIKUWA NI WA KUPANGA, NA ALITOROKA KWA DAKIKA ZISIPUNGUA 30!

MATUKIO MENGINE KABLA NA BAADA YA IBADA


Tukio mojawapo la kabla ya Ibada ni lile lilomhusisha Profesa mwingine mwenye gari nyeusi inayofanana EXACTLY na ya KM—A, aliyekuja kusimama getini akiziba njia ya kuingia ndani na hivyo kupelekea mhusika azunguke nje mara mbili kabla hajaingia ndani ya uzio wa Kanisa

Tukio jingine la kabla ya Ibada, ni la MR X

KUHUSIANA NA TUKIO LA MR X KUCHELEWA KUTOA GARI LAKE NJE YA UZIO WA KANISA J2 HIYO, KITU AMBACHO NI HUWA NI NADRA SANA KWAKE


Huyu yeye alikuwa anajua kuwa kulikuwa na tukio siku hiyo na hivyo alidhani kuwa kama tukio lingetokea kwa mhusika huku yeye akiwa tayari ameshatoka Kanisani, chances ni kwamba angeweza kushukiwa kuwa alihusika.

Ilikuwa ni bora kwake tukio litokee akiwa yupo, kuliko litokee akiwa hayupo

Tukio jingine tena la kabla ya Ibada ni la yule shemasi aliyekuwa akiruhusu magari kuingia na kutoka na hili atakuja kuliongelea kwa upekee kidogo.

Huyu ndiye anayeonekana kuwa alikuwa ni kiini cha mpango wote wa kabla ya Ibada siku hiyo

Tukio la baada ya Ibada ni lile lililomhusisha Profesa wa siku zote ambaye wakati wa kutoka mara baada ya Ibada kumalizika, naye pia alisimama karibu kabisa na getini na kupelekea mhusika asubirie kidogo kwa kumdhani kuwa alikuwa anatoka muda huo lakini kumbe alikuwa na mambo yake mengine aliyokuwa anashughulika nayo pale

Maelezo ya awali kuhusiana na matuko haya mengine ukiondoa la SHEMASI, mhusika tayari alishayatoa kwenye post zilizotangulia

KUHUSIANA NA SHEMASI ALIYEKUWA ANARUHUSU MAGARI KUINGIA NA KUTOKA NJE YA UZIO WA KANISA SIKU HIYO

……………………..itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MATUKIO YALIYOTOKEA J2 YA TAREHE 09/07/2023

ILIKUWA IMETARAJIWA KUWA MHUSIKA ANGEWEZA KUCHOMOKA TENA KWENYE IBADA KAMA ALIVYOWAHI KUCHOMOKA SIKU YA J2 YA SIKUKUU YA WANAWAKE


Kwenye J2 ya sikuku ya wanawake mwaka huu wa 2023, mhusika alitoka kwenye Ibada baada ya maneno machafu kutawala kinywa cha mtu aliyekuwa amesimama madhabahuni

Kwa hiyo kwa hii J2 husika na matuko tajwa, kitendo cha mhusika kuchomoka tena kutoka kwenye Ibada kilikuwa kimetarajiwa pia

  • Ni kwa sababu maneno machafu yalitamkwa pia, japo si kwa kiwango cha kupelekea mtu kughafirika, kama ilivyokuwa kwenye siku ya sikukuu ya wanawake
  • Hicho ndicho kilichopelekea KM-A akachomoka kwenye Ibada kwa sababu alikuwa anajua kuwa maneno haya yatatamkwa na yangeweza kupelekea mhusika akatoka nje ya Ibada
Kama mhusika angeondoka kwenye Ibada, pale sasa ndiyo kulikuwa na timu ambayo ingeweza kufanya kazi. Namna ambavyo timu ingefanya kazi, ni timu yenyewe na KM-A ndiyo waliokuwa wanajua

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

KUHUSIANA NA SHEMASI ALIYEKUWA ANARUHUSU MAGARI KUINGIA NA KUTOKA NJE YA UZIO WA KANISA SIKU HIYO
……………………..itaendelea
 
UPDATE: TUESDAY, 18TH JULY 2023
KUHUSIANA NA SHEMASI ALIYEKUWA ANARUHUSU MAGARI KUINGIA NA KUTOKA NJE YA UZIO WA KANISA J2 YA TAREHE 09/07/2023


Kabla mhusika hajaelezea kwa kina nini kilitokea J2 hiyo ya tarehe 09/07/2023 kati yake na SHEMASI, mhusika anaomba awarudishe nyuma kwanza wasomaji kwenye tukio jingine lililotokea kati yake na SECURITY GUARD (SG), wiki moja nyuma, yaani J2 ya tarehe 02/07/2023

SG WA J2 YA TAREHE 02/07/2023 ALIMRUHUSU MHUSIKA KUPAKI PALE PALE AMBAPO SHEMASI WA ZAMU WA WIKI ILIYOFUATA, ALIMZUIA MHUSIKA KUPAKI PALE


J2 hiyo SG huyo alimruhusu mhusika kuingia ndani na kupaki kwenye sehemu iliyokuwa wazi, na ilikuwa ni kabla ya watu wote wa ibada ya kwanza kuwa wametoa magari yao nje

  • SG huyo alimruhusu mhusika kufanya hivyo, kwa sababu kulikuwa na baadhi ya waumini wa Ibada ya kwanza ambao walikuwa tayari wameshatoka na hivyo kuacha nafasi hiyo wazi
  • Kabla ya hapo, mhusika alikuwa amefika maeneo ya Kanisani na hatimaye kupitiliza hadi kwenye parking za nje na kupaki gari lake huko
Baada ya kutoka huko kwenye parking za nje na hatimaye kuingia ndani ya uzio wa Kanisa, mhusika aliona nafasi iliyokuwa wazi na ambayo haikuwa na uhusiano wowote na wale ambao walikuwa bado hawajatoka na hivyo kuamua kumfuata SG kumuomba kama muda huo huo anaweza kwenda kulichukua gari lake kule nje na kuliingiza ndani

SG alimruhusu mhusika na hivyo mhusika kufanikiwa kuliingiza gari lake ndani kabla ya muda ule ambao mara zote huwa analiingiza

Hapo ilikuwa ni siku ya J2 ya tarehe 02/07/2023

ILIPOFIKA TENA J2 YA TAREHE 09/07/2023; BAADHI YA SCENERIO ZIKAJIRUDIA EXACTLY KAMA ZILIVYOTOKEA KWENYE J2 ILIYOKUWA IMEPITA, ILA SAFARI HII TOFAUTI IKAWA NI KWAMBA KIONGOZI ALIYEKUWA ANAHUSIKA GETINI ALIKUWA NI SHEMASI NA SIYO SG

Kwenye J2 hiyo vile vile, baada ya mhusika kufika Kanisani, alipitiliza nje na kwenda kupaki gari lake huko, waumini wa Ibada ya kwanza walikuwa bado hawajaanza kutoka

  • Aliporudi ndani, alikuta nafasi ile iliyokuwa wazi J2 iliyopita, ikiwa wazi tena
  • Mhusika alimfuata SHEMASI na kumuomba kama anaweza akaingiza gari lake muda huo na kuliweka kwenye nafasi hiyo
SHEMASI alimkatalia mhusika kwa madai kuwa litawazuia waumini wa Ibada ya kwanza wakati wa kutoka, sababu ambayo haikuwa kweli kwa sababu J2 zote magari huwa yanapaki kwenye nafasi hiyo

Maongezi ya mhusika na SHEMASI yaliishia hapo

BAADA YA WAUMINI WA IBADA YA KWANZA KUTOKA NA HATIMAYE MHUSIKA KUPATA NAFASI YA KUINGIZA GARI LAKE NDANI

Mhusika alikuja akapaki kwenye nafasi ile ile ambayo SHEMASI alidai kuwa kwa kupaki gari lake pale angeweza kuwazuia waumini kutoka

Nafasi hiyo ni parking halali na mara zote waumini huwa wanapaki hapo mara nyingi tu mhusika akiwa ni mmoja wao.

HITIMISHO

J2 HIYO KABLA MHUSIKA HAJAINGIZA GARI LAKE NDANI YA UZIO WA KANISA


Ndiyo lilitokea sasa lile sakata pale getini la mhusika kulazimika kuzunguka mara mbili bila kuingia ndani na SHEMASI ndiye alihusika kumuashiria mhusika awe anazunguka pale nje kwanza ili magari yaweze kutoka; huku Profesa mwenye gari nyeusi inayofanana na ya KM-A akiwa amesimama pale getini ameziba njia, possibly alikuwa anapiga stori na mtu mwingine

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
COMING UP NEXT:
ADVANCES ZILIZOFANYWA NA MR X KWA MUDA HUU KWA KUTUMIA MICROSCOPES
 
THIS IS TOO BIG, PLEASE READ CAREFULLY!!!!

ADVANCES ZILIZOFANYWA NA MR X KWA MUDA HUU KWA KUTUMIA MICROSCOPES


Hadi kufikia siku chache zilizopita, utafiti wake mhusika umemuonyesha kuwa advances hizi zinazohusiana na MR X na MICROSCOPES zake, zimechochewa na Office Mate (OM) wa mhusika ambaye mara baada tu ya kuripoti ofisini, alitumia takribani wiki mbili au tatu, akiwa anafanya kazi kwenye maabara ya MR X

  • Maabara ya MR X inafanya kazi kwa kutumia MICROSCOPES ambazo zinaweza kuona vile ambavyo macho ya kawaida hayawezi kuona
  • Wakati huo huo, PROPERTY moja kubwa aliyonayo OM wa mhusika ni kwamba ana MISHIPA YA DAMU ambayo inaweza kuonekana na MACHO YA KAWAIDA, na wakati huo huo mishipa hiyo imejaa BLOOD CELLS ambazo macho ya kawaida hayawezi kuona, isipokuwa kwa kutumia MICROSCOPES
Kwa hiyo MISHIPA YA DAMU inayoonekana kwa macho ya kawaida na ambayo imetunishwa na BLOOD CELLS ambazo zinaweza kuonekana kwa kutumia MICROSCOPES tu, ikawa imetumika sasa kama link kati ya MACHO YA KAWAIDA yasiyoweza kuona CELLS na MICROSCOPES ambazo zina uwezo wa kuona CELLS

Na hiki ndiyo kile kilichopelekea sasa OM wa mhusika akatumia wiki kadhaa za mwanzo, akiwa anafanya kazi kwenye maabara ya MR X, wakati yeye huko siyo field yake na hajaajiriwa kwenye kitengo hicho

Kitu hiki kinamkumbusha event nyingine ya nyuma ambayo iliwahi kutokea Oktoba 2019

  • Mwaka huo Boss X (ameshastaafu) alimletea mhusika mwajiriwa mpya na kuagiza mwajiriwa huyo awe trained kwenye matetemeko ya Ardhi wakati staff huyo hakuwa ameajiriwa kwenye kitengo hicho
  • Mhusika alim-train staff huyo na hadi leo yupo lakini tangu kipijdi hicho hajawahi kufanya kitu chochote kinachohusiana na matetemeko ya ardhi
TUKIRUDI TENA KWENYE UPANDE WA MICROSCOPES ZA MR X

MICROSCOPES za MR X zinashughulika na MADA (ATOMS of matter) na siyo viumbe hai (CELL ORGANISMS) na hivyo mishipa ya damu ya mtu (ORGANISM) ambaye amekuwa akihusika kwenye maabara hiyo, imekuwa hapa kama link kati ya BLOOD CELLSS na ATOMS OF MATTER kwa sababu vyote ni MICROSCOPIC, huwa havionekani kwa macho ya nyama

Hiki ndicho kilichofanyika na kinafanana na kile kilichofanyika kati ya CURVATURES ZA LENS NA VIUNGO VYA BINADAMU, maelezo ambayo tayari yameshawajieni kwa kina humu jukwaani

SWALI:

NOW, WHY GO FURTHER TO CELLS AND ATOMS, AMBAZO HAZIWEZI KUONEKANA NA MACHO YA BINADAMU?


Kilichopelekea hatua hii kuchukuliwa na MR X ni kwamba ilifikia kipindi mhusika akawa amezuia uwepo wa PEPO kwenye vitu vyote vinavyoonekana kwa macho ya nyama kama vile MAWE (matter) AU MWILI WA BINADAMU (macro-organisms)

Baada ya kitu hicho kutokea, pakawa sasa hapana tena uwezekano wa kumuweka pepo kwenye kitu chochote au kiungo chohote cha mwili wa binadamu chenye uwezekano wa kuonekana na macho ya nyama ya binadamu

Kutokana na hali hiyo, ikabidi ufanyike sasa utaratibu mwingine mpya wa kuingia ndani kwenye CELLS kwa viumbe hai na ATOMS kwa mada ili PEPO wawe wanakaa huko

Baada ya hapo, pepo hao watakuwa wanaazimwa temporarily na kuwekwa sasa kwenye vile vyote vinavyoweza kuonekana na MACHO YA NYAMA (MACROSCOPIC)

UHUSIANO KATI PEPO ALIYEWEKWA KWENYE CELLS AU ATOMS NA VIUNGO VYENYE CURVATURES ZILIZOPINDA KUELEKEA NJE AU NDANI KWENYE SEHEMU YA MAGOTI

Ni kwamba PEPO akishawekwa kwenye CELLS AU ATOMS, kwa kutumia MICROSCOPES ambazo watumiaji wake wanatumia MACHO YA NYAMA; kwa kutumia tena MACHO YA NYAMA ya watumiaji wa MICROSPOES hizo
  • PEPO huyo huwa anasambazwa sasa kwenye CHUMBA CHA MICROSCOPES, kiasi kwamba mtu akipata nafasi ya ku-PEEP tu au KUINGIA humo, PEPO HUYO ANAKUWA ACTIVE KWA MTU HUSIKA
  • Baada ya hapo, ili pepo huyo aweze kuwa distributed kwenye MACHO au viungo vya WASAMBAZAJI WA AWALI wenye PROPERTIES ZINAZOFANA NA LENS ZA MACHO wanatakiwa kuhusika
Kwa hali hiyo watu wenye properties za CURVATURES au PRINCIPALS, wanahitajika kwenye usambazaji huo KAMA WASAMBAZAJI WA AWALI

ADVANTAGE MBILI KUBWA SANA ZILIZOPO KWENYE TEKNIKI HII KWA MR X

MOJA:
MR X akisharusha pepo kwenye CELLS NA ATOMS, pepo hao anaweza sasa kuwahamishia tena kwenye VITU AU VIUNGO VYA MWILI ninavyoonekana kwa macho ya nyama, ambako awali, mhusika alikuwa amezuia kabisa uwepo wa pepo

Still, ikumbukwe kuwa makao ya muda wote ya PEPO haio yanakuwa ni kwenye CELLS NA ATOMS ambazo ni microscopic, isipokuwa kwa utaratibu huu pepo hao wanakuwa wametengenezewa utaratibu wa kuwawezesha ku-manifest tena na kwenye vitu vingine vinavyoweza kuonekana kwa macho ya nyama (macroscopic)

Kwa hali hiyo muumini wa kawaida akishagundua kuwa kuna pepo kwenye CURVATUES ZA VIUNGO wa mwanadamu, na hivyo kuamua kumkemea pepo huyo ili atoke, PEPO HUYO ATATOKA KWA MUDA TU kwa sababu makao yake yanakuwa hayako kwenye CURVATURES bali kwenye CELLS NA ATOMS za viungo au vitu hivyo

Kitakachotokea baada ya hapo ni kwamba PEPO HUYO ATAWEZA TENA KURUDISHWA MUDA HUO HUO NA WAHUSIKA, AIDHA KWA WAHUSIKA KUANGALIA TU HATA JIWE LILILO KARIBU MAENEO YALE (matter iliyo na atoms) AU, KWA KUINGIA AU KUCHUNGULIA TU KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES ambamo kuna vifaa vinavyohusika na kuona vitu ambavyo ni microsopic

Baada ya hapo, CURVATURES hizo zitaanza kuonekana sasa zikiwa kwenye corridor au BARABANI zinatembea, tayari sasa kwa awamu nyingie ya usambazaji, baada ya renewal

Baada ya hapo, wanaosambaziwa nao wataanza sasa kusambaziana wenyewe kwa wenyewe

HITIMISHO

Hiki kitu ndiyo kimekuwa kikifanywa pia na Kiongozi wa chama cha maarufu cha wafanyakazi cha ndani ya taasisi, ikiwa ni pamoja na mkuu wake wa Idara; huku wote wawili hawa wakiwa ni jamaa wa karibu sana wa mhusika; wanaongea lugha moja ya kuzaliwa na mhusika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARUFA MUHIMU KUTOKA CHUMBA KIDOGO JIRANI NA OFFICE YA MHUSIKA

KUNA KIFAA KIDOGO KINACHONUKA HARUFU YA MAFUTA YA PETROL KIMELETWAJIONI HII NA KUHIFADHIWA CHUMBA JIRANI CHA BINTI AMBAYE HUWA ANATUNZA MAFAILI KWENYE CHUMBA HICHO.

WALIOLETA KIFAA HICHO NI WASHIRIKA WAKE NA OFFICE MATE, WAKIDAI KUWA NI GENERATOR.

KATIKA MAISHA YAKE YOTE, MHUSIKA HAJAWAHI KUONA GENERATOR NDOGO IDARANI, MAISHA YAKE YOTE.

HUU MPANGO NADHANI OFFICE MATE WA MHUSIKA ANAWEZA KUWA NDIYE ANAYEUJUA ZAIDI KULIKO HATA AGO WALIOLETA KIFAA HICHO

HUYU OFFICE MATE WA MHUSIKA ANAONEKANA SIYO MTU WA KAWIDA, AINAWEZA KUWA NI WA HATARI NA MHUSIKA ANAOMBA MSAADA KATIKA HILO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 20TH JULY 2023
BREAKING NEWS!!!!!!


KUNA KIFAA CHA PETROL KILIWEKWA JANA KWENYE CHUMBA KIDOGO KILICHO JIRANI NA OFISI YA MHUSIKA
CHIUMBA HICHO NI KILE AMBACHO BINTI HUWA ANAKITUMIA KUTUNZA MAFAILI

KIFAA HICHO KILIWEKWA JIONI BAADA YA SAA 11

WALIOHUSIKA NA KUWEKA KIFAA HICHO, WAWILI WALIINGIA KWANZA NDANI OFISNI KWAO NA MHUSIKAA NA KUTETA KWANZA NA OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA

WALIKUWA WATATU
MFANYAKAZI WA USAFI ALIYEWAHI KUPANGA MAFAILI WAKISHIRIKIANA N.A. OM

MSAIDIZI WA MR X ALIYE NA KIUNGO CHENYE CURVATURE

MTAALAMU WA IT, AMBAYE PIA NI SWAHIBA WAKE SANA NA. OM WA MHUSIKA
HAIJULIKANI FUNGUO ZA CHUMBA HICHO WALIZIPATA WAPI

MKUU WA IDARA HAKUWEPO OFISINI JANA NA PIA KATIBU MUHTASI WAKE NAYE PIA HAKUWEPO
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 20TH JULY 2023
BREAKING NEWS!!!!!!


KUNA KIFAA CHA PETROL KILIWEKWA JANA KWENYE CHUMBA KIDOGO KILICHO JIRANI NA OFISI YA MHUSIKA
CHIUMBA HICHO NI KILE AMBACHO BINTI HUWA ANAKITUMIA KUTUNZA MAFAILI

KIFAA HICHO KILIWEKWA JIONI BAADA YA SAA 11

WALIOHUSIKA NA KUWEKA KIFAA HICHO, WAWILI WALIINGIA KWANZA NDANI OFISNI KWAO NA MHUSIKAA NA KUTETA KWANZA NA OFFICE MATE (OM) WA MHUSIKA

WALIKUWA WATATU
MFANYAKAZI WA USAFI ALIYEWAHI KUPANGA MAFAILI WAKISHIRIKIANA N.A. OM

MSAIDIZI WA MR X ALIYE NA KIUNGO CHENYE CURVATURE

MTAALAMU WA IT, AMBAYE PIA NI SWAHIBA WAKE SANA NA. OM WA MHUSIKA
HAIJULIKANI FUNGUO ZA CHUMBA HICHO WALIZIPATA WAPI

MKUU WA IDARA HAKUWEPO OFISINI JANA NA PIA KATIBU MUHTASI WAKE NAYE PIA HAKUWEPO
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MATUKIO YA VIUNGO VYENYE CURVATURES, YANAFANANA NA
YA WATU WALE WALIOKUWA WANAONYESHWA KWENYE TV WAKIWA WAMEJERUHIWA VIUNGO VYA MIILI YAO, HUKU SURA ZAO ZIKIWA ZIMEFICHWA.

YANA UHUSIANO PIA NA YALE YA WATOTO WA SHULE WALIOKUWA WANAONEKANA KWENYE MEDIA WAMEREKODIWA WAKIWA WANACHAPWA VIBOKO (MECHANORECEPTORS)

HAYA NAYO YALIKUWA NI MOJAWAPO YA MATUKIO YALIYOWAHI KU-DRAW ATTENTION YA MHUSIKA KWA KIWANGO KIKIBWA SANA

TAARIFA ZAIDIZITAFUATA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom