#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NEXT: Yale ambayo mhusika alikuja kuyabainisha kuwa Mtumishi wa Mungu Mgeni (MMM) alikuwa ametumwa kuja kuyafanya nyumbani kwa mhusika .....................................

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
"In the war between FALSEHOOD and TRUTH (GOD), falsehood wins the first battle and TRUTH, the last"

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
UPDATE: THURSDAY 03 SEPTEMBER 2020

USHAURI JUU YA RATIBA ZA IBADA BAADA YA KIPINDI CHA KORONA KUWA KIMEPITA

Mhusika anapenda kuwapa challenge Viongozi wote wa Kanisa A ila ambayo pia ni ushauri, kwamba kama kuna uwezekano, basi ratiba ya vipindi vya Ibada Kanisani hapo kama ilivyokuwa hapo awali kwamba:

  • Somo la Uanafunzi na Maandiko lirudishwe sasa kwenye siku yake ya kawaida ya Jumapili kama ilivyokuwa kawaida siku zote hapo awali
  • Safari hii, somo hili liwe linafundishwa mfululizo kila J2 pasipo kurukaruka
  • Mafundisho ya Biblia ya siku za J3 nayo yarudi kama kawaida, na pia nayo yasirukwe rukwe
  • Maombi ya Ijumaa nayo yaendelee kuwepo siku za Ijumaa, na yasiwe yanakuwa na kawaida ya kufuta vipindi vingine. Hii ni kwa sababu, ni kawaida sana siku hizi kuwa maombi badala ya kuwepo Ijumaa, yamekuwa mara kwa mara yakitengenezewa mazingira ya kuwepo hata siku za J5 na Alhamis, na hivyo kupelekea kutokuwepo kwa mafundisho ya J5 kwa kipindi kirefu sana
Mhusika hapa ametumia maneno kuwapa challenge kuwapa challenge Viongozi wote wa Kanisa A kwa sababu mpaka muda huu yeye alishajiridhisha pasipo shaka kabisa kuwa:

  • Kinachopendwa zaidi na Viongozi wa Kanisa A ni maombi ila si mafundisho
  • Kwa hali hiyo, viongozi hawa huwa wanajitahidi kuhakikisha kuwa mafundisho yapo kwa kiwango kidogo sana halafu maombi ndiyo yanakuwa kwa wingi sana
  • Wanasisitiza zaidi maombi hasa yale ya WATU KUNENA KWA LUGHA
  • Maombi ya aina hii(ya kunena kwa lugha) ni mazuri muno na yana nguvu sana ila ikumbukwe kwa upande mwingine pia kuwa, yana uwezekano mkubwa sana wa kutoa mianya ya watu wasiokuwa waumini, kushiriki kwenye maombi hayo kwa nia isiyokuwa njema kwa sababu hata wao nao wana uwezo wa kunena kwa lugha ila kwa njia ya mapepo
  • Vile vile watu hawa ndiyo wanaoweza kutumika kuita mapepo kwa lugha ngeni na kusababisha yaendelee kuwepo kwenye nyumba za Ibada
  • Kwa upande mwingine, ukisema kuwa maombi yawe ni yale ya kutumia lugha ya kawaida, hii itatoa mwanya pia wa mtu asiyekuwa muumini, kujulikana na waumini wenye nia njema ambao huwa wanahudhuria maombi hayo
  • Ni kwa sababu asiyekuwa muumini aliyevamia maombi kwa nia isiyokuwa njema, pamoja na kuonekana na ile hali yake ya ugeni, bado pia hawezi kuwa yuko fluent katika kutamka maneno kwa njia ambyao ni ya ki-Biblia, hali inayoweza kupelekea kwa urahisi sana, waumini wazoefu wenye nia njema kumtambua kuwa huyo siyo mwenzao ila amevamia maombi yao.
  • Kwa upande mwingine, mtu ambaye ni mgeni na amevamia maombi akiwa hana nia njema, lakini naye ananena kwa lughahuwa siyo rahisi kumgundua. Ni kwa sababu naye pia huwa anakuwa ananena kwa lugha
  • Mtu kama huyu waumini wenye nia njema hawawezi kumgundua kirahisi kwa sababu sura wataiona ngeni kweli, lakini sasa je, si ananena kwa lugha?
  • Baada ya hapo waumini watajua ni mshiriki tu kutoka Kanisa jingine amekuja kwa ajili ya maombi kanisani hapo kwa siku hiyo kumbe hapana, ……..is an invader from outside
  • Halii kama hii inapokuwa imetokea, lazima itapelekea kutoweza kabisa kumgundua mtu mgeni na asiyekuwa muumini, ambaye amekuja kujiunga na maombi hayo, na ambaye si mshiriki wala muminini ila tu naye ananena kwa lugha lakini ile ambayo ni ya mapepo
Zaidi ni kuwa kabla ya Corona na pia kipindi kirefu nyuma kabla ya hapo, Somo la uanafunzi na maandiko limekuwa likikwepeshwa kuwepo na pale inapotokea kuwa lipo, lina kuwa na mazagazaga ya nyongeza ambayo hayatakiwi kuwepo, likiwemo swala la baadhi ya waumini kuambiwa wakae mbali na mahali somo linapofundishwa, badala ya kuhamasishwa kushiriki kwenye somo hilo. Mengi yapo kuhusiana na somo hili. Mafundisho ya J5 nayo pia yamekuwa na visingizio vingi sana vya kutokuwepo mara kwa mara, ila si maombi. Na mara nyingi sana, maombi yamekuwa yakifuta mafundisho ya J5. Hapo kabla, mhusika hakuwa amewahi kabisa kuona maombi yanageuka kuwa mafundisho, ila KWA MARA YA KWANZA kabisa, tukio hilo lilitukia wiki jana ambapo maombi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika yaliahirishwa na kuwa mafundisho



Mhusika mpaka sasa yeye anaamini kuwa:

  • Uwepo wa maombi ya kunena kwa lugha ukichukulia hatua sahihi za kiroho Kanisa A, kuna uwezekano wa mapepo kutokuwepo kabisa Kanisani hapo
  • Viongozi wa Kanisa A wakijitahidi kufuata kwa usahahihi ratiba ya vipindi vya masomo yote ndani ya wiki na pia siku za J2, kuna uwezekano wa mapepo kutokuwepo kabisa Kanisani hapo
  • Ratiba ya vipindi ikirudi na kuwa kama ilivyokuwa hapo awali, yaani mafundisho ya J5 yarudi kama kawaida na yasiwe yanabadilishwa badilishwa na kuwa maombi. kuna uwezekano wa mapepo kutokuwepo kabisa Kanisani hapo
  • Somo la uanafunzi na maandiko likirudishwa J2 na kuwa linafundishwa bila kurukwa rukwa kwa visingizio visivyokuwa vya msingi, kuna uwezekano wa mapepo kutokuwepo kabisa Kanisani hapo
Mhusika yeye mpaka muda huu anaamini kuwa “idle “ time” ambayo huwa inakuwepo Kanisani hapo siku za J2 kutokana na kutokuwepo kwa Somo la uanafunzi na maandiko, huwa inatengeneza mwanya wa watu wasiokuwa waumini na wasio na nia njema, kuwepo Kanisani hapo bila waumini halisi kujua kuna watu kama hao

Mfano halisi tu ni kuwa mwaka 2011, mhusika alikuwa na kawaida ya kuhudhuria maombezi ambayo mara zote huwa yanafanyika mara baada ya Ibada ya pili ya kila J2. Mwanzoni, maombi hayo yalikuwa yanafanyika juu ghorofani, lakin baada ya siku kadhaa, yalihamishiwa karibu na gate la kuingilia Kanisani hapo, kwenye banda la Ibada za watoto. Maombi hayo baada ya kuwa yanafanyikia nje kwenye banda hilo, ghafla kukatokea watu amabo si waumini wakawa wanakuja kujiunga na maombi hayo ili kuyazimisha, na kuna mtu ambaye ni muumini wa pale Kanisani, alikuwa ana-coordinate kazi hiyo, maana wengine walikuwa wanakuja wakiwa kwenye Taxi. Jambo hili mhusika aliwahi kulifikisha kwa mmojawapo wa mashemasi, pia aliwahi kulieleza kwa Kiongozi Mkuu siku walipokutana kwa ajili ya maongezi ofisini kwa kiongozi huyo, sema tu hajawahi kuwatajia mtu aliyekuwa ana-coordinate mpango.huo ila nii binti ambaye mpaka sasa yupo na kama watahitaji kumjua, mhusika yuko tayari kumtaja. Binti huyu pia huwa ni mhusika kwenye kundi la watu wa Ibada ya Sifa na Kuabudu


MUBARIKIWE TENA NA BWANA​

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MwiH
elly obedy
 
NYONGEZA MUHIMU:
Hawa watu waliokuwa wanakuja kujiunga na maombi kwa ajili ya kuyazimisha, walikuwa ni watu kutoka nje na si waumini wa Kanisa A, na walikuwa wanakuja kwa kulenga muda ule wa maombi tu halafu maombi yakiisha, wanaondoka na kwenda kusubiria J2 nyingine tena wakati kama huo. Walikuwa hawaji kwa ajli ya Ibada za J2, na kama wa aina hii nao walikuwepo pia, basi hao mhusika hakubahatika kuwagundua
 
Kwa wale walioko Kanisa A na wanopenda kujikumbusha juu ya baadhi ya Nabii zilizopita. Huu ni unabii uliwahi kutolewa kwenye Semina moja iliyofanyika Mwaka 2012. Semina hiyo ilikuwa na kichwa cha somo kilichosema KULIJUA KUSUDI LA MUNGU NA KULITUMIKIA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MwiH
elly obedy
 

Attachments

Kwa wale walioko Kanisa A na wanopenda kujikumbusha juu ya baadhi ya Nabii zilizopita. Huu ni unabii uliwahi kutolewa kwenye Semina moja iliyofanyika Mwaka 2012. Semina hiyo ilikuwa na kichwa cha somo kilichosema KULIJUA KUSUDI LA MUNGU NA KULITUMIKIA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MwiH
elly obedy
...hisia nihakili Ila angalia zisikuendeshe mkuu
 
...hisia nihakili Ila angalia zisikuendeshe mkuu
Vingi anavyonipa niandike humu, baadhi yake vina utafiti wa takribani miaka 10 sasa. Hizo clips alizonipa kuweka hapa ni za mwaka 2012, na hapo ndiyo alikuwa ana angalau mwaka mmoja tu tangu aanze kuabudu Kanisa A. Kama utafiti haupo tena siku hizi hapa duniani isipokuwa tumebaki na hisia tu, basi nadhanii hata maana ya kuishi haipo tena. Na kumbuka pia kuwa utafiti wake unajumuisha utafiti mwingine ambao ni rare, utafiti wa kiroho. Hawezi kuongea kitu ambacho hana details zake.
Kumbuka pia kuwa haya mambo amekaa nayo muda wote huo akiwa anayajua kama anavyoyaeleza hapa, na hakuwa na mpango wowote wa kuyaleta humu jukwaani isipokuwa ameilazimika tu baada ya kuona mazingira ya Kanisani yanaendelea kuwa so harsh kwake kiasi kwamba yalikuwa yanaanza kuwa ni ya hatarim sana kwake, kiasi kwamba angeweza hata kupigwa na kuumizwa siku moja na kundi la watu wapumbavu sakiwa mazingira ya Kanisani. Kama umemfuatilia tangu mwanzo,, tuseme siku ilipotokea aliffukuzwa Kanisani na mlinzi kwa kisa cha Sanitizer, je angemgomea mlinzi sku hiyo si yeye ndiyoi angeonekana ameleta fujo Kanisani?Hapo hapo tayari kulikuwa na kundi lilikuwa limejipanga, wangeweza kumpiga hata kumuumiza halafu wakafungua na mashitaka kuwa amekuwa akileta fujoa Kanisani. Huu ni upumbavu ambao hawezi kuuvumilia tena, enoghi is enough!

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MwiH
elly obedy
 
...hisia nihakili Ila angalia zisikuendeshe mkuu
Hivi kwa mfano kwa Tanzania hii tuliyonayo mpaka muda huu, inawezekanaje kwamba mazingira ya Kanisani yawe ni ya hatari kwa muumini kiasi cha kusababisha muumini huyo kuwa anahudhuria baadhi tu ya Ibada na kwa tahadhari kubwa sana, na wakati huo huo mazingira hayo yanakuwa yanachochewa na watu wanaosimama madhabahuni wakijiita ni watumishi wa Mungu, na wakiwa wanadai kuwa wameitwa na Mungu?
 
Fungu la siku.

Zaburi 32:8
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea, nitakushauri, jicho langu likikutazama

Verse of the day

Psalms 32:8
I will instruct you and teach you in the way you should go, I will counsell you, with my loving eye on you
 
WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

Zaburi 32:8
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea, nitakushauri, jicho langu likikutazama

Verse of the day

Psalms 32:8
I will instruct you and teach you in the way you should go, I will counsell you, with my loving eye on you
 
2 Samuel 12:11-12

11 Bwana asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitawatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili.
12 Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua.

2 Samuel 12:11-12 NIV

11“This is what the Lord says: ‘Out of your own household I am going to bring calamity on you. Before your very eyes I will take your wives and give them to one who is close to you, and he will sleep with your wives in broad daylight. 12You did it in secret, but I will do this thing in broad daylight before all Israel.’ ”
 
12 Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua.

2 You did it in secret, but I will do this thing in broad daylight before all Israel.’ ”
 
UPDATE: MONDAY 14 SEPTEMBER 2020

WASIFU WA KIONGOZI MKUU ANAPOKUWA AMESIMAMA MADAHABAHUNI:

KUHUSIANA NA SALAAMU YAKE KWA WAUMINI

  • Salaam yake ya siku zote huwa ni hii: Wapendwa wa Ibada ya Kwanza / Ibada ya Pili nawasalimu kwa jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo
  • Kwa hiyo huwa anasalimia waumini kulingana na Ibada husika wanazohudhuria.
  • Kama ni wa Ibada ya kwanza kwenye salamu yake atataja Ibada hiyo, na vile vile kama ni wa Ibada ya pili
Salaam hii anayotumia kiongozi huyu ni nzuri sana kwa sababu inatumia jina la Yesu, na wakati huo huo inamtaja Yesu kama Bwana na Mwokozi wetu. Ni salaam iliyo na uzito kiasi kuizidi kidogo ile ye Bwana Yesu Asifiwe.

Hata hivyo, salaam hii inaonekana kama ina mapungufu ya msingi kama ifuatavyo

Kiongozi huyu huwa kabisa hatumii salaam ya Bwana Yesu Asifiwe isipokuwa pale tu

  • Inapoitokea yupo madhabahuni anafundisha neno, halafu akajisikia kunena kwa lugha, na baada ya hapo anakuwa amechaji kidogo halafu anavuta hewa kwa nguvu anajaza kwenye mashavu yake, halafu anaiachia hewa hiyo, na akkishafanya hivyo, ndiyo anaanza kutamka kwa sauti nzito na kwa kurudia rudia “Bwana Yesu Asifiwe, …,“Bwana Yesu Asifiwe…,“Bwana Yesu Asifiwe… Huwa anatamka maneno hayo kwa kurudia rudia kwa mtindo huo
Hii ndiyo scenario pekee ambayo Kiongozi Mkuu huwa anatumia salaamu ya Bwana Yesu Asifiwe. Ni wakati tu anapokuwa yuko madhabahuni akifundisha neno na baada ya kuwa amenena kwa lugha, na possibly inaweza ikawa hata muda mfupi kabla hajanena kwa lugha

Vinginevyo katika scenario zilizo nyingi, tofauti na ilivo kawaida kwa watumishi wengi kwamba huwa wanatumia salaam ya Bwana Yesu Asifiwe wakati mwingine kama ishara ya ku-darw attention kwa waumini, na kuwaweka sawa kwa kile kinachofuata, yeye badala yake huwa anatumia neno Amina.

  • Yani badala ya Kiongozi Mkuu kuwapa waumini salaamu ya Bwana Yesu Asifiwe halafu wao ndiyo waitikie Amina, yeye huwa ansema Amina wapendwa, halafu waumini nao tena wanaitikia Amina
  • Yaani huwa anatumia salaam ya “Amina-Amina” kati yake na waumini wake
  • Hii huwa inatoa picha kama Kiongozi Mkuu mara zote anakuwa anakwepa kutja jina la Yesu katika salaam ambayo ni popular, na ndiyo maana anakwepa kutumia salaam ya Bwana Yesu Asifiwe
  • Ni possibly kwa sababu neno Bwana Yesu Asifiwe huwa lina kwaida ya kutajwa mara nyingi zaidi kwenye Ibada yoyote ile, kuzidi neno jingine lolote lile
  • Kwa hiyo yeye huwa anakwepa kutumia neno hili
Sasa swali hapa linakuja, kwa nini huyu Kiongozi mara zote yuko systematic sana kutumia salaam ya hii ya Amina ambayo siyo ya kawaida sana na si ile ya Bwana Yesu Asifiwe ambayo ndiyo ya kawaida?

Mbali na hayo, tukirudi kweye ile salaam ya “Wapendwa wa Ibada ya Kwanza / Ibada ya Pili nawasalimu kwa jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo utaona kuwa

  • Ibada ni kweli zipo mbili, lakini watu hawa huwa hawachanganyikani kwamba unaweza ukakuta kuna Ibada zote mbili zimechanganyikana kwa wakati mmoja
  • Ilikuwa inatosha kwa Kiongozi huyu kuwasalimia waumini kwa kusema tu kuwa Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, bila kutaja Ibada husika
  • Hata kama Ibada zingekuwa zinachanganyikana (assuming kungekuwa na uwezekano huo), bado ilikuwa inatosha kwa kiongozi huyu kutoa salaam kwa kutokutaja Ibada husika kwa sababu hakuna tatizo lolote la kurudia kuwasalimia waumini kanisani, hata kama uliwasalimia hapo awali
Kwa hiyo, swali jingine kubwa ambalo linajitokeza hapa ni kwamba; kwa nini Kiongozi huyu mara zote yuko systematic sana kutumia salaam ya Wapendwa wa Ibada ya Kwanza / Ibada ya Pili nawasalimu kwa jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo na ambayo siyo ya kawaida sana na si ile ya Bwana Yesu Asifiwe ambayo ndiyo ya kawaida, huku akitaja Ibada husika, kitu kingine ambacho siyo cha lazima?

Mhusika anachojaribu kusema hapa ni kwamba hii salaam hii nyingine ya Bwana Yesu Asifiwe, Kiongozi Mkuu huwa haitumii kabisa. Wala si kwamba huwa anatumia kwa kuzichanganya salaamu hizi hapa, hii ya Bwana Yesu Asifiwe huwa haitumii, unless awe amechaji akiwa madhabahuni baada ya kuwa amenena kwa lugha



HITIMISHO:

Katika kipindi hiki ambacho kuna ujanja mwingi emeibuka wa kutumia sectret codes za maneno yatamkwayo kutokea madhabahuni, maneno haya ambayo huwa anatumia Kiongozi Mkuu na ambayo siyo common sana, yanaweza kuwafanya watu wakayachukulia upande ule mwingine wa secret codes. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Kiongozi Mkuu huyu:

  • Huwa hatumii kabisa neno Bwana Yesu Asifiwe, unless ni katika kipindi ambacho amenena kwa lugha akiwa madhabahuni
  • Badala ya kutumia salaamu ya kawaida ya Bwana Yesu Asifiwe , huwa anatumia salaamu yake binafsi na ilyo na maeno ambayo si ya lazimasana kwake kuytamka kama vile “ Ibada ya Kwanza/ ya Pili”
Hata hivyo Kiongozi Mkuu huwa anatumia salaam ya Bwana Yesu Asifiwe muda wote anapokuwa amekutana na muumini wake, kama salaamu ya kumjulia hali



elly obedy
 
Kwa wale walioko Kanisa A na wanopenda kujikumbusha juu ya baadhi ya Nabii zilizopita. Huu ni unabii uliwahi kutolewa kwenye Semina moja iliyofanyika Mwaka 2012. Semina hiyo ilikuwa na kichwa cha somo kilichosema KULIJUA KUSUDI LA MUNGU NA KULITUMIKIA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

WAEBRANIA 6:4-6 SUV
Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu kwa mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MwiH
elly obedy
Unabii ulioonyooka na unaotoka kwa Mungu moja kwa moja, haiwezekani ukasababisha mgongano Kanisani. Siyo kwamba ni vigumu, hapana haiwezekani ukasababisha mgongano. Kigumu na kisichowezekana ni vitu viwili tofauti mno, kama zilivyo mbingu na ardhi
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA WASIFU WA KIONGOZI MKUU

SIFA YAKE MOJA KUU NA YA PEKEE SANA


Nyongeza ya sifa hii ya kipekee ni kutokana na mtizamo wa mhusika, namna ambavyo mhusika ameweza kumsoma na kumwelewa Kionogozi Mkuu (KM)

Tuseme kwa mfano, KM akisimama madhababahuni na kutoa tangazo linalohusiana na utaratibu Fulani ambao ni mpya kidogo kwenye nyumba hiyo ya Ibada, yaani si wa siku zote, mara nyingi (siyo mara zote), tangazo hilo linakuwa na maana kuu mbili

  • Linakuwa na maana ile ile kama alivyotangaza madhabahuni kwa ajili ya waumini wote
  • Linakuwa na maana nyingine ya pili iliyojificha, anayoijua yeye mwenyewe
Si rahisi sana kwa muumini mwingine yeyote kuweza kukubaliana na sifa hii ya pekee ya Kiongozi huyu, isipokuwa kwa yule ambaye tuseme kwa mfano, amewahi kuwa target yake kwenye haya mambo ya kijinga kijinnga anayopenda kukaa anaendekeza kwenye nyumba ya Ibada, ndiye anayeweza akakubalian na mhusika kwa urahisi katika hili.

Hapa mhusika anachojaribu kusema ni kuwa mara nyingi, KM huwa hafanyi jambo likiwa na maana moja tu hapana, lazima pia liwe na maana nyingine muambata ambayo anaijua yeye kwa manufaa yake mwenyewe binafsi na ambayo siyo ya kiroho

Mfano halisi katika hili ni kwenye swala ambalo mhusika ameshaliongelea hapo awali, siku ulipotolewa unabii wakati wa mafundisho ya jioni na hatimaye kiongozi huyo kuamua kubadilisha mafundisho na kuwa maombi, kitu ambacho kinaonyesha dhahiri kabisa kuwa walikuwa wamepanga na nabii, na kwa jambo ambalo halikuwa la kiroho. Ipo mifano mingi tu hata katika yale ambayo tayari mhusika ameshayaongelea.

MUBARIKIWE TENE NA BWANA

'' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.-Malaki 3:5''
 
UPDATE: WEDNESDAY 16 SEPTEMBER 2020

WASIFU WA BAADHI YA VIONGOZI

A: KIONGOZI MKUU

  • Anapenda watoto, ana upendo wa kipekee kwa watoto, upendo ambao watu walio wengi hawana
  • Ana tabia ya kipekee ya uchekeshaji na kwa kutumia mambo ambayo ni mema (wakati mwingine mtu anaweza kuwa na vichekesho lakini kwa kutumia mambo ya ajabu)
  • Ni mahiri wa kutafsri maneno magumu ya Kiingereza ambayo maana zake hazijulikani na walio wengi katika lugha ya Kiswahili.
Hapa mhusika anamaanisha kuwa kuna baadhi ya maneno ya Kiingereza ambayo walio wengi wanayajua kwa Kiingereza tu. Ikitokea mtu akaulizwa atoe tafsiri ya neno hilo kwa Kiswahili, anashindwa. Yaani neno kabisa kwenye Kiingereza mtu unalijua, na maana yake unaijua kabisa pasipo shaka, ila akiulizwa”alias neno” lake katika lugha ya Kiswahili anashindwa kuwa na neno linalomaanisha neno hilo, au anakuwa halijui kabisa “alias neno” katika Kiswahili

Kwa hiyo, KM ana umahiri wa pekee sana kwa maneno magumu ya Kiingereza ambayo maana zake kwa Kiswahili, walio wengi hawayajui. Ana kipaji cha kama “English to Swahili dictionary” ya baadhi ya maneno ambayo maana zake si rahisi sana kuziweka katika Kiswahili. Hiki ni kipaji ambacho ni rare kwa walio wengi



B: KIONGOZI “X “

  • Huyu naye pia anapenda watoto, kwa kiwango kama yule wa kwanza. Ana upendo wa kipekee kwa watoto ambao watu walio wengi hawana
  • Ni mahiri sana katika Maandiko Matakatifu. Anayajua maandiko matakatifu kwa kiwango cha ziada, yaani ana kipaji
Kwa mtizamo wa mhusika, yeye ndiye anayeweza kuongoza katika ujuvi wa kuchambua na ama kufundisha Maandiko Matakatifu hapo Kanisa A. Ana hali fulani ambayo huwa linapofika swala linalohusiana na Maandiko Matakatifu, inamu-identify kuwa yeye ni “Professional” kwenye maandiko hayo, hali ambayo huwa inamtofautisha kabisa na mtu mwingine yeyote yule ambaye ana ujuvi tu wa maandiko hayo kutokana na pengine kuwa exposed katika mazingira ya kushughulika na maandiko hayo kwa kipindi kirefu katika maisha yake, lakini ambaye si professional

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Kwa maana mimi, asema Bwana, nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka pande zote, nami nitakuwa huo utukufu ndani yake.Zakaria 2:5

Kwa maana Bwana wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake. Zakaria 2:8



MUBARIKIWE TENA NA BWANA

elly obedy
 
Warumi 12:1-3
Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.
2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.
3 Kwa maana kwa neema niliyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu asinie makuu kupita ilivyompasa kunia; bali awe na nia ya kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani.

Yoshua 1:5-9
5 Hapatakuwa mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako; kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe; sitakupungukia wala sitakuacha.
6 Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa.
7 Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi wangu; usiiache, kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto, upate kufanikiwa sana kila uendako.
8 Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.
9 Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa Bwana, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
 
Back
Top Bottom