Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Sawa ntakuquoteHalafu ebu ujaribu kunionyesha mahali ambapo umesoma kitu kama hiki, yaani mahali kilipoandikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ntakuquoteHalafu ebu ujaribu kunionyesha mahali ambapo umesoma kitu kama hiki, yaani mahali kilipoandikwa
Sifahamu, nilitaka kuweka clear tu ili kama ulilijumuisha katika yale yanapangwa kukulenga basi haiko hivyoKwa nini ilizuiliwa?
Hufahamu kilichoifanya izuiliwe?. Haijazuiliwa ipo ila bado iko kwenye matengenezoSifahamu, nilitaka kuweka clear tu ili kama ulilijumuisha katika yale yanapangwa kukulenga basi haiko hivyo
Tumia salary slip portal ndio wenzako walikohamia
Unakosaje taarifa muhimu kama hizi bosi?
Mara ya kwanza mhusika hakusikia habari ya msiba, pamoja na kwamba yuko ofisini lakini watu wakaenda msibani bila kumwambiaKafanye assignment ulizopewa shuleni, utafeli masomo yako. Nakushauri uachane na uzi huu, au soma ila usiulize maswali, unachuouliza ni utoto
Sawa, ikikamilika tutaitumia lakini kwa sasa inatumika hiyo niliyokutajiaHufahamu kilichoifanya izuiliwe?. Haijazuiliwa ipo ila bado iko kwenye matengenezo
Haelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]Wewe jamaa ni kama unaishi ulimwengu wa peke yako [emoji38][emoji38]
Kiujumla unachosha
Kuna siku gari ya mbele yake ilikuwa inatembea taratibu ilipoongeza mwendo wakaupita mzogaHaelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
Ugonjwa unaomsumbua Mhusika unaitwa Paranoid SchizopheriaMleta mada ni mgonjwa wa akili japo hataki kulikubali ilo...hii story ni yeye mtupu.
We utakuwa unamuwakilisha yule KM A afu mi nimetumwa na Kiongozi X[emoji28][emoji28][emoji28]Kuishi na makanyaga ni kazi
Akiwa jirani yako ukimchoka ukahama atakutengenezea mazingira tu hata kusema umemaliza kumchimba ukahama
Na ukimvumilia kuishi nae atasema umewekwa karibu nae umchunguze[emoji23][emoji23]
Wenye amani nae ni tusiofahamiana nae lakini hata hizi comments atasema watesi wake wameitana wamshambulie
Hiki kitu kilinishangaza sana,Kuna siku gari ya mbele yake ilikuwa inatembea taratibu ilipoongeza mwendo wakaupita mzoga
Tayari akaunga dots ameshambuliwa[emoji1][emoji1]
Ofisi ilimtaka akatibiweUgonjwa unaomsumbua Mhusika unaitwa Paranoid Schizopheria
Ni ugonjwa hatari sana
Anakimbia kimbia tu atakimbia mpaka liniWe utakuwa unamuwakilisha yule KM A afu mi nimetumwa na Kiongozi X[emoji28][emoji28][emoji28]
Tuje tumfanyie mashambulio ya kimtandao
Wasiwasi wangu hachelewi kuisusa na JF
Kumbuka alishawahi kususa gari garage[emoji2][emoji2][emoji2]
Au alipoambiwa kalete kadi tujue kama injini imebadilishwa ama vipi, si angeleta tu kadi, ndio asuse gari mpya kweli?Hiki kitu kilinishangaza sana,
Kifupi ye kila tukio ni shambulizi, lakini kuna shida gani kama angekanyaga mzoga ule kwa bahati mbaya??
Si angeenda tu kuosha gari jamani?? Tena angeosha hata nje na ndani.
Kumbe unasoma na kuelewa. Endelea kusomaMara ya kwanza mhusika hakusikia habari ya msiba, pamoja na kwamba yuko ofisini lakini watu wakaenda msibani bila kumwambia
Mara ya pili mkuu wa Idara akabadilishwa tena wa idara yake na hakuwa na taarifa (Yote anasingizia sababu hayuko whatsapp kwani whatsapp ndio utaratibu rasmi wa kuwasiliana mahali pa kazi? Lazima kuna utaratibu rasmi lakini whatsapp ni kirahisishi tu ambacho hata ukisema hukuona hakuna atakayekuuliza zaidi) hivi mhusika kwanini haanzi kuona kuwa tatizo ni yeye??