#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Kwa nini ilizuiliwa?
Sifahamu, nilitaka kuweka clear tu ili kama ulilijumuisha katika yale yanapangwa kukulenga basi haiko hivyo

Tumia salary slip portal ndio wenzako walikohamia

Unakosaje taarifa muhimu kama hizi bosi?
 
Sifahamu, nilitaka kuweka clear tu ili kama ulilijumuisha katika yale yanapangwa kukulenga basi haiko hivyo

Tumia salary slip portal ndio wenzako walikohamia

Unakosaje taarifa muhimu kama hizi bosi?
Hufahamu kilichoifanya izuiliwe?. Haijazuiliwa ipo ila bado iko kwenye matengenezo
 
UPDATE:MONDAY 8th JANUARY 2021

KUHUSIANA NA MICHANGO IILIYOKUWA IMECHANGWA KWA AJILI YA HARUSI ILIYOFUTWA


Michango hii yaweza kuwa:

  • Ilikuwa ni sadaka iliyohitajika na KM kwa ajili ya kushambulia madhabahu
  • Ilikusanywa kwa ajili ya kufidia Sadaka za waumini ambazo pengine zimepungua kiasi na hivyo kupelekea kubuniwa utaratibu mwingine mpya wa kuongeza kipato cha hawa watumishi wa Mungu
  • Ilikuwa inahitajika kwa ajili ya mambo yote haya mawili, kwamba kilihitajika kipato cha ziada na pia sadaka kwa ajili ya madhabahu za kuzimu; sadaka ambyo ilibidi itokane na fedha za waumini ambazo hazijatokea madhabahuni, na hivyo hazijaombewa
Kama hali ndiyo hiyo, mhusika alitoa mchango wa TZS 51,000/= ambazo atajuta sana kuwa amezitoa, assuming nadharia ya matukio haya kutokuwa coincidences iko sahihi

Ikumbukwe pia kuwa J2 ya tarehe 18/10/2020 kuna dalili zinazoonyesha kuwa walifanya pia kitu kinachofanana na hiki. Waliitsha mchango wa ujenzi ghafla, tukio ambalo mhusika aliahidi kuliongelea baada ya Desemba 2020, muda ambao michango hiyo ilikuwa inaishia. Hakutaka kuliongelea ndani ya muda wa michango hiyo ili kukwepa lawama kuwa anahamasisha watu kutokutoa michango kanisani. Hili nalo ataliongelea panapo nafasi



KUHUSIANA NA “MHUBIRI WA UZINZI”

Assuming matukio haya siyo coincidences tu bali yalipangwa, huyu mtu anaelekea kubaya

  • Anawatoa kafara ya kuwadhalilisha watoto wake kanisani
  • Anakoelekea anaweza akaja akawatoa kafara ya damu, uhai, huko mbele ya safari
Hivyo mhubiri huyu wa uzinzi inabidi adhibitiwe ipasavyo ili asije akafikia kwenye level ya hatari zaidi ya hii

EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kafanye assignment ulizopewa shuleni, utafeli masomo yako. Nakushauri uachane na uzi huu, au soma ila usiulize maswali, unachuouliza ni utoto
Mara ya kwanza mhusika hakusikia habari ya msiba, pamoja na kwamba yuko ofisini lakini watu wakaenda msibani bila kumwambia
Mara ya pili mkuu wa Idara akabadilishwa tena wa idara yake na hakuwa na taarifa (Yote anasingizia sababu hayuko whatsapp kwani whatsapp ndio utaratibu rasmi wa kuwasiliana mahali pa kazi? Lazima kuna utaratibu rasmi lakini whatsapp ni kirahisishi tu ambacho hata ukisema hukuona hakuna atakayekuuliza zaidi) hivi mhusika kwanini haanzi kuona kuwa tatizo ni yeye??
Tatu hata utaratibu wa taifa zima juu ya kubadilishwa kwa mfumo wa salary slip yeye hakuwa na taarifa

1. Hivi mhusika haoni kwamba kuna mahali anakosea katika kuwasiliana na jamii yake kwa ujumla?

2. Kadi ya gari ilipotea kwa mara ya 1 ila baadae ikaonekana,
Mara ya pili nakala zilipotea baadae nazo zikaonekana
Unaposema huwa zinaibiwa baadae zinarudishwa, unafikiri kama ziliibwa mwizi ana haja gani kuzirudisha?
Hivi ni kwanini mhusika huwa hafikirii kwamba huenda huwa anazimisplace tu badala yake anaanza kuunganisha dot kuwa ziliibiwa?

3. Uhusiano wa Tshs. 1 na shambulio la koo ni upi? Unahisi hiyo shs 1 ni kirusi?

4. Mhusika ana umri gani? Kwanini hana familia anaishi tu peke yake mpaka kila mara anapatwa na mashambulio? Amewahi kuoa?

5. Na kama kweli wewe sio mhusika katika swala hili mbona maswali yanapoulizwa moja kwa moja unakataa kujibu maswali na badala yake unajifanya unashauri tukamalizie kufanya kazi zetu za shule badala ya kumpelekea huyo mhusika ajibu??? Unajuaje kama yeye ataona maswali hayo kuwa ni ya kitoto?? Kwanini umjibie??
 
Wewe jamaa ni kama unaishi ulimwengu wa peke yako [emoji38][emoji38]

Kiujumla unachosha
Haelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
 
Haelewani na mtu yoyote yule sio nyumbani, kazini wala kanisani [emoji28][emoji28][emoji28]
Ikitokea amekutana na mtu ambae hawajaonana muda mrefu na ikatokea siku hiyo amepata tatizo lolote lile basi ye anaona ameshambuliwa,
Watu anawatuhumu bila ushahidi kuwa wanamshambulia kiroho anaposalimiana nao kwa mkono ila wakati huo huo anaendelea kuwasalimia kwa kuwapa mkono (mchonganishi)
Kuna wazee wenzie wanafanya mazoezi pambezoni ya barabara basi wanatumika[emoji119]
Makanyaga ana visa sana!!!
Kuna siku gari ya mbele yake ilikuwa inatembea taratibu ilipoongeza mwendo wakaupita mzoga

Tayari akaunga dots ameshambuliwa[emoji1][emoji1]
 
Kuishi na makanyaga ni kazi

Akiwa jirani yako ukimchoka ukahama atakutengenezea mazingira tu hata kusema umemaliza kumchimba ukahama

Na ukimvumilia kuishi nae atasema umewekwa karibu nae umchunguze[emoji23][emoji23]

Wenye amani nae ni tusiofahamiana nae lakini hata hizi comments atasema watesi wake wameitana wamshambulie
 
Kuishi na makanyaga ni kazi

Akiwa jirani yako ukimchoka ukahama atakutengenezea mazingira tu hata kusema umemaliza kumchimba ukahama

Na ukimvumilia kuishi nae atasema umewekwa karibu nae umchunguze[emoji23][emoji23]

Wenye amani nae ni tusiofahamiana nae lakini hata hizi comments atasema watesi wake wameitana wamshambulie
We utakuwa unamuwakilisha yule KM A afu mi nimetumwa na Kiongozi X[emoji28][emoji28][emoji28]
Tuje tumfanyie mashambulio ya kimtandao
Wasiwasi wangu hachelewi kuisusa na JF
Kumbuka alishawahi kususa gari garage[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kuna siku gari ya mbele yake ilikuwa inatembea taratibu ilipoongeza mwendo wakaupita mzoga

Tayari akaunga dots ameshambuliwa[emoji1][emoji1]
Hiki kitu kilinishangaza sana,
Kifupi ye kila tukio ni shambulizi, lakini kuna shida gani kama angekanyaga mzoga ule kwa bahati mbaya??
Si angeenda tu kuosha gari jamani?? Tena angeosha hata nje na ndani.
 
Ugonjwa unaomsumbua Mhusika unaitwa Paranoid Schizopheria
Ni ugonjwa hatari sana
Ofisi ilimtaka akatibiwe

Ukimgusia hili atakwambia rudi shule zimefunguliwa au acha maswali
 
We utakuwa unamuwakilisha yule KM A afu mi nimetumwa na Kiongozi X[emoji28][emoji28][emoji28]
Tuje tumfanyie mashambulio ya kimtandao
Wasiwasi wangu hachelewi kuisusa na JF
Kumbuka alishawahi kususa gari garage[emoji2][emoji2][emoji2]
Anakimbia kimbia tu atakimbia mpaka lini
 
Hiki kitu kilinishangaza sana,
Kifupi ye kila tukio ni shambulizi, lakini kuna shida gani kama angekanyaga mzoga ule kwa bahati mbaya??
Si angeenda tu kuosha gari jamani?? Tena angeosha hata nje na ndani.
Au alipoambiwa kalete kadi tujue kama injini imebadilishwa ama vipi, si angeleta tu kadi, ndio asuse gari mpya kweli?

Hii homa ni kali
 
Mara ya kwanza mhusika hakusikia habari ya msiba, pamoja na kwamba yuko ofisini lakini watu wakaenda msibani bila kumwambia
Mara ya pili mkuu wa Idara akabadilishwa tena wa idara yake na hakuwa na taarifa (Yote anasingizia sababu hayuko whatsapp kwani whatsapp ndio utaratibu rasmi wa kuwasiliana mahali pa kazi? Lazima kuna utaratibu rasmi lakini whatsapp ni kirahisishi tu ambacho hata ukisema hukuona hakuna atakayekuuliza zaidi) hivi mhusika kwanini haanzi kuona kuwa tatizo ni yeye?
?
Kumbe unasoma na kuelewa. Endelea kusoma
 
1. Hivi mhusika haoni kwamba kuna mahali anakosea katika kuwasiliana na jamii yake kwa ujumla
Uko sahihi kabisa! Na kama hakosei, basi atakuwa anafichwa mawasiliano kwa makusudi
 
3. Uhusiano wa Tshs. 1 na shambulio la koo ni upi? Unahisi hiyo shs 1 ni kirusi?
Hili ni la kiroho zaidi, waachie ambao huwa wanaenda Kanisani siku zote wanaliewewa.
 
Back
Top Bottom