#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: SATURDAY 01 MAY 2021

KITU CHA MUHIMU SANA AMBACHO WATU INABIDI WAKUMBUKE KUHUSIANA NA MISHAHARA KIPINDI CHA HAYATI JPM ANAINGIA MADARKANI

Hayati JPM hakuwahi kuongeza mishahara ila naye pia aliwahi kutoa punguzo la asilimai 1% kwenye kodi ya mishahara

Mama naye tena amekuja kutoa punguzo la asilimia moja (1%) vile vile

Kwa hiyo mpaka muda huu punguzo la kodi kwenye mshahara ni asilimia 2% ya gross pay

Hii inamaanisha kuwa kabla ya punguzo la mama, tulikuwa tunaendelea na punguzo la hayati JPM ambalo nalo pia lilikuwa asilimia moja kwa maana kuwa


  • Mtumishi aliyekuwa anapata Gross Pay ya TZS X, alikuwa anakatwa kodi kwenye kutoka Gross Pay ya TZS 0.99X
  • Punguzo hili la awali ndilo lililotokana na Hayati JPM wakati anaingia madarakani
Hivyo basi, baada ya punguzo la mama, mtu mwenye Gross Pay TZS X anatakiwa kukatwa kodi kwenye kiasi ambacho ni TZS 0.98X na si kwenye TZS 0.99X tena kwa sababu punguzo hili lililopelekea kodi ikatwe kutoka kwenye TZS 0.99X ndiyo lililokuwepo wakati wote tangu kipindi hayati JPM alipoingia madarakani

Kutokana na hali hiyo basi, kwa sasa hivi tunatakiwa kutoka kwenye kodi inayokatwa kutoka kwenye gross pay ya TZS 0.99X kwenda kwenye kodi itakayokatwa kweye gross pay ya TZS 0.98X

Kwa kifupi hali ilivyo kwa sasa ni kama ifuatavyo


  • Kiasi kilichokuwa kinakatwa kodi wakati wa JPM ni TZS 0.99X
  • Kiasi kitakachokuwa kinakatwa kodi muda wote ambao mama atakuwa anajitayarisha kwa ajili ya kuongeza mishahara kitakuwa ni kutoka kwenye TZS 0.98X
Kwa gross pay ambayo ni ya TZS X na ambayo haina punguzo lolote au msamaha wowote, kodi zote za mishahara ya aina hiyo ziko kwenye jedwali hili hapa kwenye website ya TRA


https://www.tra.go.tz/images/uploads/Laws/INCOME_TAX_TABLE_2020_21.pdf

au hapa


Tanzania Revenue Authority - Tax Tables

Tanzania Revenue Authority website
www.tra.go.tz
www.tra.go.tz

Kwa hiyo punguzo la sasa limepelekea punguzo lote la kodi kuwa ni asilimia 2% kwa sabau tayari tulikuwa na punguzo la asilimia 1% kutoka kwa JPM

Nimeandika haya hapa kwa sababu kuna baadhi ya wajanja ambao huwa wanacheza na punguzo hili, nitawajulisha huko mbele ya safari nikishakuwa na ushahidi wa kutosha. Nasema hivi kwa sababu tayari najua kitu fulani muhimu kuhusu hili

NB:
Hizi taarifa zina apply kwa wale tu ambao mshahara wao unazidi TZS 520,000/= kama jedwali la mamlaka ya mapato linavyoonyesha kwa sasa

UPDATE: WEDNESDAY 05/05/2021

UWEPO WA KANUNI INAYOWEZA KUWA SIYO RASMI NA INAYOKATA KODI KUBWA ZAIDI KWENYE MSHAHARA WA MTUMISHI WA KIMA CHA JUU, PINDI MSAMAHA WA KODI UNAPOKUWA UMETOLEWA NA SERIKALI


Actually niliandika hiki kilichopo hapa juu na nikiwa ninataka kujua iwapo kuna watu wengine pia ambao nao wameshakumbana na hali kama hii; kwamba kwa mshahara unaozidi TZS 1,000,000/=, msamaha wa kodi unapotoka, kile kiwango cha asilimia ya msamaha kinatolewa kwenye Gross Pay Amount badala ya kupunguzwa kutoka kwenye kiwango cha asilimia ya kodi inayotakiwa kukatwa kutoka kwenye Gross Pay.

Nitatoa mifano halisi hapa kwa scenario zote hizi mbili kama ifuatavyo.

Tutumie mfano wa punguzo la kodi kwenye mshahara, wa asilimia tatu (3%) ambapo msamaha wake unakuwa tuseme ni kutoka asilimia kumi na moja (11%) hadi asililima nane (8%). Tuanze na kima cha chini kwa uafafanuzi tu japo chenyewe hakhusianna na kitakachoongelea kwenye bandiko hili, halafu baadaye ndiyo tuzame kwenye kima cha juu



1. KODI ANAYOTAKIWA KUKATWA MTU MWENYE MSHAHARA WA KIMA CHA CHINI

kutokana na punguzo hili tajwa la 3%

Kwa mshahara tuseme wa laki mbili (TZS 200,000/= ukokotaoaji wake unakuwa kama ifuatavyo:



KODI YA ZAMANI YA MSHAHARA WA MTUMISHI KABLA YA MSAMAHA WA ASILIMIA TATU (3%)

Kodi ya zamani aliyokuwa akikatwa mtumishi kabla ya msamaha wa kodi wa 3% iliikuwa

KODI = 0.11x200,000/=22,000/= (Elfu ishirini na mbili)



KODI YA MPYA YA MSHAHARA WA MTUMISHI BAADA YA MSAMAHA WA ASILIMIA TATU (3%)

KOD I= 0.08x200,000/=16,000/= (Elfu kumi na sita)


Kwa hiyo mtu huyu anakuwa amepata msamaha wa kodi kwa kiasi hicho cha fedha hiyo ambayo inatokana na tofauti iliyopo kati ya kodi hiyo mpya na ile ya zamani



1. KODI ANAYOTAKIWA KUKATWA MTU MWENYE MSHAHARA WA KIMA CHA KATI NA CHA JUU , (MSHAHARA UNAOZIDI TZS 1,000,000/=)

Tuchukulie mfano mtumishi mwenye msahahara wa shilling million mbili na nusu (TZS 2,500,000/=)

Watumishi wa mishahara yote inayozidi shilling million moja, wao kanuni ya kodi ikotofauti na ile ya kima cha chini, na ukitembelea kwenye tovuti ya TRA, wameeleza kinagaubaga kuwa, kwa mshahara wowote unaozidi shillingi million moja (>TZS 1,000,000/=), msahahara huu utatozwa kodi kama ifuatavyo

  • Kwanza utakatwa TZS 130,500/=
  • Baada ya hapo, mshahara huo huo utakatwa tena asilimia thelathini (30%) ya kiasi kile kinachoongezeka juu ya sjhillingi million moja, kwa maana kuwa kwa aliye na mshahara huu uliotajwa hapa wa TZS 2,500,000/=, mbali na kuwa amekwatwa TZS 130,500/=, anatakiwa kukakatwa tena asilimia 30% ya tofauti iliyopo kati ya TZS 2,500,000/= na TZS 1,000,000/=
  • Kwa hiyo mtumishi huyu anatakiwa kukatwa 30% ya tofauti iliyopo kati ya mshahara wake wa TZS 2,500,000/= na TZS 1,000,000/=
Kwa hali hiyo basi, kwa mshahara wa TZS 2,500,000/=, kodi yake inakuwa kama ifuatavyo



KODI=130,500+0.30(2,500,000-1,000,000)

=130,500+0.30(1,500,000)

=130,500+450,000=580,500 (Laki tano na elfu themathini na mia tano)

Hii ni kodi kwenye mshahara huu pasipo kuwepo na msamaha wa punguzo lolote la kodi

Kwa hiyo, bila msamaha wa kodi wa 3% mtumishi ambaye mshahara wake ni TZS 2,500,000/= anatakiwa alipe kodi ya kiasi cha TZS 580,500/=



KODI ANAYOTAKIWA KULIPA MTUMISHI HUYU BAADA YA MSAMAHA WA 3% YA UNGUZO LA KODI

KANUNI YA KWANZA: KULINGANA NA UELEWA WA MWANDISHI WA MAKALA HII


Hata hivyo, baada ya msamaha wa kodi, mtumishi huyu huyu anatakiwa alipe kodi ambayo ni pungufu kwa asilimia tatu (3%) ukilingansiha na ile ya asilimia thelathini (30%) ya awali ambayo alikuwa analipa kwa kila kiasi kinachozidi kwenye TZS 1,000,000/=. Kwa hali hiyo anatakiwa alipe kodi kwa 27% badala ya 30% ya awali



Kwa hiyo, baada ya msamaha wa kodi, mtumishi huyu anatakiwa alipe kiasi cha kodi ambayo ni

KODI=130,500+0.27(2,500,000-1,000,000)

=130,500+0.27(1,500,000)

=130,500+405,000=535,500 (Laki tano, elfu thelathin na tano na mia tano)

  • Kanuni hii ndiyo ile iliyopo kwenye tovuti ya mamlaka husika
  • Vile vile, kanuni hii ina unafuu mkubwa wa kodi kwenye mshahara wa watumishi wa umma pindi wanapokuwa wamepewa punguzo la msamaha wa kodi kwa asilimia kadhaa


KANUNI YA PILI (NA AMBAYO PENGINE SIYO KANUNI RASMI) YA UKOKOTOAJI MWINGINE UNAOFANYIKA KWA KUTOA ASILIMIA YA PUNGUZO KWENYE GROSS PAY

Mwandishi wa makala hii ameshakumbana na kanuni hii, na ndiyo maana ameamua kuiongelea hapa

  • Kanuni hii haipo kwenye tovuti ya mamlaka husika, isipokuwa pengine inaweza kuwa imetokana na uvumbuzi wa watu wanaojua mahesabu tu
  • Kanuni hii inakata kodi kubwa zaidi kupitia msamamaha wa asilimia zozote zile ikiwa ni pamoja na asilimia aliyotolea mfano mwandishi hapa, na kwa msahahahar wowote ule ulio juu ya kiasi cha TZS 1,000,000/=
Kanuni hii inatumia ukokotoaji unaofanyika kwa kutoa punguzo la asilimia ya msamaha kwenye Gross Pay Amount kwanza, halafu baadaye ndiyo kodi inakokotolewa kwa kwa kutumia formula ya iliyopo kwenye mamlaka husika

Ikumbukwe kuwa msamaha tuseme wa kodi kwa asilimia tatu (3%) ni msamaha unaohusiana na

  • Asilimia yote (aggregate percentage value) inayokatwa kwenye mshahara wa mtumishi kama kodi
  • Haihusiani na asilimia hiyo kupungua kwanza kwenye Gross Pay Amount kabla ya amount hiyo kuwa imekatwa kodi, halafu baadaye tena ndiyo Gross Pay Amount inayobaki baada ya punguzo la asilimia hizo, iweze kukatwa kodi, hapana
  • asilimia hizo
KANUNI HII INAVYOTEKELEZWA

Kwamba kwa mtumishi tuseme mwenye mshahara wa TZS 2,500,000/=

  • Kwanza: inachukuliwa 3% ya TZS 2,500,000/= ambayo ni 0.030(2,500,000)= TZS 75,000/=
  • Baada ya hapo, kiasi hiki cha TZS 75,0000 kinatolewa kwenye kiasi cha mshahara mzima, yaani TZS 2,500,000, na baada ya hapo ndiyo ile kanuni iliyotajwa hapo juu yenye kuambatana na kodi ya kiasi cha asilimia 30% kwa kiasi kile kilichozidi TZS 1,000,000/= ndiyo inatumika kukokotoa kodi ya mshahara huu.
Kwa hiyo kulingana na kanuni hii, ukokotoaji wa kodi ya mshahara wa TZS 2,500,000/= unakuwa kama ifuatavyo

  • Kiasi cha kodi kinachotakiwa kukatwa kodi kwa kanuni hii ni tzs 2,500,000-75,000=2,425,000/=
  • Baada ya hapo ndiyo 30% inakaktwa tena kutoka kwenye TZS 2,425,0000/= ikiwa imeungana na TZS 130,500/=.
Kwa hiyo kulingana na kanuni hii, kodi kwa mshahara huo huo wa TZS 2,500,000/= hii inakuwa kama ifuatavyo

KODI=130,500+0.30(2,425,000-1,000,000)

=130,500+0.30(1,425,000)

=130,500+427,500=558,000 (Laki tano na elfu hamsini na nane)



Kwa hiyo mpaka hapa, msomaji anaweza kuona kuwa:

  • Kwa kanuni ile ya mwanzo, na kwa punguzo la kodi ya asilimia tatu (3%), kodi ya msharahara wa TZS 2,500,000/= imeonekana kuwa ni TZS 535,000/= (Laki tano, elfu thelathini na tano na mia tano)
  • Kwa kanuni ile ya pili, na kwa punguzo lile lile la kodi ya asilimia tatu (3%), kodi ya msharahara huo huo wa TZS 2,500,000/= inakuwa TZS 558,000/= (Laki tano na elfu hamsini na nane)
HITIMISHO

Kanuni ya pili na ambayo haiendani na ile iliypo kwenye tovuti ya TRA; kwa mshahara ule ule wa TZS 2,500,000/=, inakata kodi kubwa zaidi ukilinganisha na kanuni ya kwanza na ambayo ndiyo iliyopo kwenye website ya mamlaka ya mapatoTanzania


Kwa kifupi ni kwamba:

Kawaida, chini ya msamaha wa kodi, kanuni ya pili inakata kodi iliyo juu zaidi ukilinganisha na ile ya kwanza, kama ilivyoanisha kwa kifupi hapa chini kufauatana vwango mbali mbali vya mishahara

1.Kiasi cha mshahara: TZS 1,500,000/=,

Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 265,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 267,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 1,500/=

2.Kiasi cha mshahara: TZS 2,000,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 400,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 412,500/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 12,000/=

3.Kiasi cha mshahara: TZS 2,500,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na

  • Kanuni ya kwanza: TZS 535,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 558,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 22,500/=

4.Kiasi cha mshahara: TZS 3,000,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 670,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 703,500/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 33,000/=

5.Kiasi cha mshahara: TZS 3,500,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 805,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 849,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 43,500/=

6.Kiasi cha mshahara: TZS 4,000,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 940,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 994,500/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 54,000/=

7.Kiasi cha mshahara: TZS 4,500,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 1,075,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 1,140,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 64,500/=

8.Kiasi cha mshahara: TZS 5,000,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • kanuni ya kwanza: TZS 1, 210,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 1,285,500/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 75,000/=

8.Kiasi cha mshahara: TZS 5,500,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 1, 345,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 1,431,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 85,500/=

9.Kiasi cha mshahara: TZS 6,000,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 1, 480,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 1,576,500/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 96,000/=

10.Kiasi cha mshahara: TZS 6,500,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na
  • Kanuni ya kwanza: TZS 1, 615,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 1,722,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 106,500/=

11.Kiasi cha mshahara: TZS 7,000,000/=,


Kodi ya msahahara huu kulingana na

  • Kanuni ya kwanza: TZS 1, 750,500/=,
  • Kanuni ya pili: TZS 1,867,000/=,
Kodi ya ziada kwa kila mwezi inayotokana na matumizi ya kanuni ya pili kwenye mshahara huu ni TZS 117,000/=


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
ngiza kiasi cha mshahara wako kwenye attachment hiyo hapo chini (futa kile kilichopo) kwenye sehemu iliyoandikwa MSHAHARA, kuweza kujua estimate halisi ya unafuu wa kodi utakaoupata kwa mapunguzo tuseme ya 1%, 2%, 3% na 3.5%.

Kumbuka kuwa JK kabla hajaondoka madarakani tayari alikuwa ameshatoa punguzo la 0.05% (nusu ya silimia moja), JPM naye akaja akatoa asilimia mbili (2%) na mama naye ametoa tena asilimia moja (1%)

NB: Unatakiwa uingize kiasi cha mshahara wako kwenye ile sehemu ya juu tu (kwenye Kanuni-I) halafu namba zingine zote zilizoko kwenye jedwali hilo zitapatikana baada ya kuwa umeingiza namba hiyo moja

Attachment iko hapa kwenye post #12

 

Attachments

UPDATE: STURDAY 08/05/2021

MKANGANYIKO WA KIPEKEE UNAOTOKANA NA UKOKOTOAJI WA KODI KWENYE MSHAHARA WA MTUMISHI HUSIKA, BAADA YA MISAMAHA KADHAA YA KODI KUWA IMETOLEWA NA SERIKALI KATIKA VIPINDI TOFAUTI TAOFAUTI


Kuna mtumishi ambaye kwa sasa, NET PAY ya mshahara wake inakuwa confroted na situation ya namna kama ilivyoelezwa hapa chini. Kuna mkanganyiko wa kipekee alioubaini, uliosababishwa na utaratibu pamoja na kanuni vinavyotumika kutoza kodi kwa sasa, kwenye mshahara wake

Mshahara huu unatozwa kodi kwa kutumia kanuni ile ya pili, kama mwandishi alivyozitolea maelezo kanuni hizi mbili hapo juu

Kwa kawaida, mshahara wake bila msamaha wowote wa kodi, nakuwa na NET PAY yenye tarakimu (zile sita za mwisho tu) zinasomeka x-118,700

Msomaji inabidi akumbuke kuwa kiasi kilichoonyeshwa hapa ni zile tarakimu sita tu za mwisho, ambazo nyuma yake kuna tarakimu nyingine moja ambayo mwandishi ameamua kuihifadhi. Kwa mfano, anaposema hapa kuwa tarakimu sita za mwisho ni, x-118,700, hapa anamanisha kuwa NET PAY yake inaweza kuwa ni TZS 1,118,700/= au TZS 2,118,700/=. Hiki ndicho anachomaanisha hapa

Baada ya kuwa amefanya mahesabu ya kodi inayotozwa kwenye mshahara wake, mtu huyu alibaini kuwa KUANZIA DESEMBA 2020 HADI MARCH 2021 AMEKUWA AKIKATWA KODI YENYE PUNGUZO LA ASILIMIA MJOA (1%) NA KWA KUTUMIA KANUNI YA PILI

Kukwepa kuzichanganya kanuni hizi mbili, ni kwamba kanuni ya kwanza ni ile inayokata kodi yenye unafuu kwenye mshshara, baada ya msamaha wa kodi na ile ya pili ndiyo ile inayokata kodi kubwa kiasi pamoja na kuwepo kwa msamaha wa kodi

Kwa hiyo, kutokana na kukatwa kodi yenye punguzo la asilimia moja (1%) na kwa kutumia kanuni hiyo ya pili, tarakimu za mwisho kwenye NET PAY yake zimekuwa zikisomeka x-132,404 kwa miezi yote mine ya kuanzia Desemba 2020 hadi March 2021

Kwa ufupi, hiki anachojaribu kukieleza hapa mtumishi huyu ni kwamba:

Tarakimu sita za mwisho za NET PAY yake kama zinavyoonekana kutokana na
  • Kukatwa kodi yenye punguzo la asilimia moja (1%) na kwa kutumia KANUNI YA PILI NI x-132,404/=
  • KUTOKUWEPO NA PUNGUZO LOLOTE LA KODI, ni x-118,700/=
  • Kukatwa kodi kwa kutumia KANUNI YA ILE YA KWANZA NI X-154,380
Kwa hiyo kanuni ya pili imekuwa ikimkata kodi kwa kiasi cha TZS 21,976/ = zaidi; ikiwa ni tofauti iliyopo kati ya x-154,380 na x-132,404

Mbali na hayo, punguzo halisi la kodi kwa sasa ni asilimia mbili (2%) kama lilivyotangazwa na Hayati JPM kwenye Mei Mosi ya mwaka 2016 na si asilimia moja (1%)

IWAPO MTUMISHI HUYU ANGEKATWA PUNGUZO LA KODI KWA ASILIMIA MBILI (2%) SAWA NA TANGAZO LA JPM LA MWAKA 2016 NA KWA KUTUMIA KANUNI YA KWANZA

Kwa punguzo la asilimia mbili (2%) na kwa kutumia kanuni ya kwanza
, tarakimu za mwisho za NET PAY ya mtumishi huyu zingesomeka x-190,060.

Hivyo basi, kwa miezi hiyo tajwa kuanzia Desemba 2020 hadi March 2021, mtu huyu amekuwa akipoteza kiasi cha fedha kwa tofauti iliyopo kati ya x-190,060 na x-132,404 ambayo ni kiasi cha TZS 57,656/= kila mwezi kwa muda wa miezi yote hiyo minne

MABADILILIKO MAPYA YA KODI YALIYOTOKEA HIVI KARIBUNI KWENYE MSHAHARA WA MTUMISHI HUYU KWA MWEZI ULIOPITA WA APRILI 2021

NET PAY ya mtumishi huyu ilipungua kwa mwezi wa April 2021 kutoka x-132,404 ya awali na kuwa x-118,700.

Baada ya mtumishi huyu kufanya mahesabu, aliweza kubaini kuwa NET PAY yake imeshuka tena kutoka x-132,404 (yenye punguzo la kodi asilimia moja (1%), kanuni ya pili) na kuwa x-118,700 (ambayo haina punguzo lolote lile la kodi)

Kutokana na hali hiyo, kiasi cha NET PAY alichopokea kwa mwezi wa April 2021, kilikuwa chini ya x-118,700. Hii inatokana na ukweli kuwa
  • Inaonyesha kama mtumishi huyu hakuwa anastahili kuwa anapata NET PAY yenye tarakimu za x-132,404 na zenye punguzo la kodi ya asilimia moja (1%) kuanzia hiyo Desemba 2020
  • Badala yake alitakiwa awe anapokea NET PAY yenye tarakimu za x-118,700 tangu Desemba 2020 na bila ya punguzo lolote la kodi
  • Kwa hiyo kwa miezi ya Desemba 2020 hadi March 2021, alikuwa anapata ongezeko la ziada kwenye mshahara wake lililotokana na tofauti iliyopo kati ya x-132,404 na x-118,700
  • Tofauti ya kiasi hicho ni takriban TZS 13,704/= kwa mwezi au TZS 54,816/= kwa miezi yote minne kuanzia Desemba 2020 hadi March 2021
HITIMISHO

Mpaka hapa, ukizingatia kuwa kuanzia Desemba 2020, NET PAY yake ilikuwa imeshuka tena kutoka x-132,404/= na kuwa x-118,700/= ambapo mabadiliko hayo yalianza kufanyiwa kazi kuanzia April 2021, ilihali kabla ya hapo, alikuwa anapata NET PAY iliyo juu kwa kiasi cha TZS 13,704/= kwa kila mwezi:
  • Hali hii ilipelekea akawa anadaiwa deni la TZS 54,816/= kwa miezi mine ya kuanzia Desmba hadi March 2021
  • kwa hali hiyo NET PAY yake kwa mwezi wa Aprili 2021 imetokana na tofauti iliyopo kati ya x-118,700/= na deni la miezi mine alilokuwa anadaiwa ambalo ni TZS 54,816/= na hivyo kupelekea NET PAY ya mwezi April 2021 kukokotolewa kwa kutmia kanuni ya x-118,700 kutoa TZS 54,816/=
Hata hivyo, mtumishi huyu anatarajia tena kuwa NET PAY yake hii itarudi tena kwenye tarakimu sawasawa kabisa na zile za awali za x-132,404/= mara tu baada ya punguzo la kodi ya asilimia moja (1%) lililotolewa na mama mwaka huu, kuanza kufanya kazi, na iwapo tu kanuni ya pili itaendelea kutumika kwenye mshahara wa mtumishi huyu

KWA KANUNI YA KWANZA, tarakimu za NET PAY hii zinatajiwa kusomeka kama ifuatavyo:
  • x-154,380 kwa punguzo la kodi la asilimia moja (1%)
  • x-190,060 kwa punguzo la kodi la asilimia mbili (2%)
Vinginevyo, iwapo kama punguzo la kodi la asilimia mbili (2%) lililowahi kutolewa na Hayati JPM litakuja kuunganishwa na punguzo la mwaka huu, basi mtumishi huyu atakuwa anapata NET PAY yenye punguzo la asilimia tatu (3%) na tarakimu zake zitasomeka x-225,740/=

Zaidi ni kuwa, kwa punguzo la kodi tuseme ya asilimia tatu na nusu (3.5%), tarakimu za NET PAY hiyo hiyo

zitasomeka x-243,580/=

HAYA YOTE YANAWEZA KUTOKEA TU IWAPO KANUNI ITAKAYOTUMIKA, NI ILE YA KWAMZA


MUBARKIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 09/05/2021

KUUSIANA NA KIPANDE CHA BAMPA LA MBELE KILICHOKATWA KUTOKA KWENYE GARI LA MHUSIKA NA HATIMAYE KUDAIWA KUWA KILIKATIKA KUTOKANA NA AJALI

TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA YA KIROHO ZILIZOPATIKANA USIKU WA KUAMKIA LEO ZINADAI KUWA MTU HUYU ALIKUWA ANACHUKUA “SAMPLE” KWA AJILI YA KUPELEKA KWENYE MAABARA


Ni kwamba baada ya mhusika kuamka asubuhi ya Alhamis ya tarehe30/04/3032 na kukuta kuna uharibifu umefanyika kwenye gari lake, upande wa mbele kulia kwenye bampa
  • Alichukua hatua ya kulichukua gari hilo na kuwapelekea wataalamu ili waliangalie, kwa sabau haikuwa mara ya kwanza kukuta kitu cha namna hiyo kimefanyika kwenye gari lake
  • Tukio hili lilikuwa ni la tano tangu aanze kumiliki gari hilo, na la sita kufanyika kwenye gari ambazo ameshawahi kuzimiliki
  • Nia yake alikuwa anahitaji wataalamu nao waweze kuliona na kuthibitisha kama ilikuwa ni ajali kweli ama la
  • Nia yake haikuwa kwenda kushtaki hapana
  • Baada ya wataalamu kuwa wameona uharibifu, uliokuwa umefanyika, nao pia walikiri pasipo shaka kuwa haikuwa ajali, sawai kama na mashaka ya mhusika yalivyokuwa
NAMNA KILIVYO KIIPANDE CHA BAMPA KILICHOKATWA
  • Kina urefu wa kama sm 30 hivi (rula moja
  • Baada ya kuwa kimekatwa, hakikuhifadhiwa ndani bali nje kwenye nyasi
  • Kilikuwa na nyuzi nyuzi(fibre) zilizotoka baada ya kuwa kimekatwa na hatimaye kuburuzwa ili kionekane kama kilikatika baada ya kuwa kimebamizwa na gari
Sehemu kilipotoka kipande hicho kuna tairi ya mbele ambayo ili uweze kukigonga na kukiburuza kufikia namna ambayo kinaonekana kwa sasa, lazima ugongane kwa ubavu na tairi la mbele kwanza na hakuna namna ambayo unaweza ukagonga bampa hilo hadi kufikia hatua ya kusababisha uharibifu kulikata

Vile vile, fact nyingine ni kwamba hakuna namna ambayo gari moja anaweza ikabamiza gari nyingine kiubavuubavu kwenye bampa; gari inayobamizwa ikiwa imepaki mahali peke yake kwenye parking, halafu kubamiza huko kukasababisha bampa hilo kukatika sehemu ya kipande chake. Haiwezekani kwa sababu gari inayogonga katika mazingira ya namna hiyo, lazima huwa inakuwa iko kwenye mwendo mdoogo sana kwa sababu nayo vile vile inakuwa iko kwenye parking

Kwa hiyo anayedai kuwa alisababisha ajali ya bampa hilo wakati ukweli uharibifu wake haujatokana na ajali, alikuwa yuko kwenye harakati za kuchukua “sample” kutoka kwenye hilo bambpa hilo kwa ajili ya utafiti zaidi kwenye maabara zinazoshughulika na utafiti wa mambo haya ya kiroho

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Nimesoma naona yanajirudia rudia tu nikachoka nikaanza ku scoredown naona haiishi... wtf...
 
UPDATE: TUESDAY 11/05/2021

MHUBIRI WA UZINZI
KUHAMISHWA KANISA A HUKU AKIACHA PROJECT NYINGINE YA MAMBO YA “UZINZI” IKIWA HAIJAKAMAILIKA

  • Amehamishwa huku akiacha project nyingine ya mambo ya uzinzi ikiwa inaendelea Kanisa A
  • Katika ku-run Project hiyo walikuwa wanashirikiana na Kiongozi Mkuu (KM-A) pamoja na mabinti wageni ambao wameanza kuonekana Kanisani hapo siku za hivi karibuni Kanisani, wakiwa na vitoto vidogo na ambao waume zao huwa hawaambatani nao na/ au hawajulikani Kanisani hapo
  • NI mabinti ambao wanaonekana kama waume waliozaa nao hawajulikani kuanzia majumbani kwao hadi Kanisani
  • NI MABINTI AMBAO NI WAGENI KABISA KANISANI NA KUWA KUNA UWEZEAKANO HAWAJAUANI AU KUFAHAMIANA NA MUUMINI MWINGINE YOYOTE YULE MAHALI PALE
Hata hivyo, pamoja na mhusika naye pia kutokufahamiana nao vizuri mabinti hao, tayari yeye ameshazoeana nao kwa sababu wana vitoto

Kwa hiyo huu ndiyo mradi uliokuwa una-kick kwa sasa, mhubiri wa uzinzi na KM-A wakiwa ni ma-engineer wa mradi huo.

Ni kwa bahati mbaya sana kwamba engineer mmoja wa project hiyo amehamishwa na hivyo kupelekea mhusika kutoa matokeo “prematurely” kabla ya utafiiti wake kuwa umefikia tamati

PAMOJA NA KUHAMISHWA KWAKE, MHUBIRI WA UZINZI BADO ANASHAURIWA KWENDA KUSIMAMA MADHABAHUNI KULE AENDAKO, NA KUFANYA TOBA NA PIA KUOMBA REHEMA, MBELE YA WAUMINI WA KANISA LA HUKO AENDAKO
  • Vile vile, viongozi wenzake anaowaacha Kanisa A bado wanaendelea kushauriwa wafanye toba na kuomba rehema, na pia mhubiri wa unzinzi naye afanye hivyo hivyo kabla ya kuondoka au akafanye hivyo kule aendako
  • Iwapo kama itatokea akaondoka bila kufanya hivyo, basi anashauriwa akafanye hivyo kule aendako kwa sababu bado MADHABAHU anayolazimisha kutumika nayo NI ILE ILE, NA BWANA NI YULE YULE
Anashauriwa akafanye hivyo tafadhali kule aendako. Kufanya toba na kuomba msamaha ni kitu cha lazima sana kwake, anashauriwa azingatie sana hilo.

Inaonekana huyu mhubiri wa uzinzi yeye hana mtandao uliomarika vizuri kama ule wa mwenzake KM-A kwa sababu KM-A ndiyo engineer wa mambo yote yanayoendelea hapo Kanisa –A. Ukiangalia kwa mfano, tangia mwaka huu uanze, maombi tu ndiyo yameshamiri, halafu wakati huo huo ndiyo majanga yanazidi kuliandama Taifa, hadi tunapoteza viongozi wa ngazi za juu kabisa ndani ya nchi na pia kuanza kufuatwa na majanga mengine makubwa yasiyokuwa na kichwa wala miguu kama JOBO, na ambayo hapo awali hayakuwahi kusikika masikioni mwa mtanzania yeyote yule

Haya yote yametokea mara tu baada ya kufutwa kwa somo la Uanafunzi na Maandiko kwenye Ibada za Jumapili na na hatimaye, kushamiri sana kwa maombi kuanzia March mosi hadi leo.

Tangia March mosi hadi leo, hakuna angalauhata siku moja tu ya J5 ndani ya wiki ambayo imetokea kukawa na ratiba ya kujifunza maandiko matakatifu Kanisa A, haipo!

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwa hiyo inaonyesha kama linapofikia swala la kupiga shoti vifaa vya umeme, KM-A na MR X huwa wanamshirkisha pia KIONGOZI JUNIOR (KJ). Role ya KJ yeye inaonekana ni kusimama madhabahuni wakati mchakato ukiwa unaendelea
Sijatokea hapa muda kidogo naona uzi umetembea sana, ngoja niusome vizuri sasa!! Niliishia post no 620
 
UPDATE: MONDAY 17/05/2021

PATTERN MPYA ILIYOJITOKEZA KWA SASA “KANISA A “ KUHUSINA NA RATIBA YA VIPINDI VYA NDANI YA WIKI


Kwa sasa hivi, ratiba ya vipidi vya wiki inayofuata imeanza kutegemea kwa sana siku za mwanzo za ndani ya wiki hiyo. Kawaida ratiba ya vipindi vya wiki inayofuata, siku zote ilikuwa inatangazwa kwenye J2 ya wiki kabla yake
  • Kanisa A linaweza kuwa ni Kanisa kubwa pekee nchini lisilokuwa na kibao nje ya geti kinachoonyesha ratiba ya vipindi ambavyo huwa vinaendeshwa Kanisani hapo ndani ya kila wiki inayokuja
  • Kutokana na hali hiyo, ratiba ya vipindi vya Kanisa A kwa sasa inaanza kuonyesha kama inageuza matukio yasiyokuwa ya dharura na kuyafanya kuwa ya dharura.
  • Ni ratiba inayoonekana kama kutegemea ramli, na hivyo mara nyingi kupelekea kile kinachotakiwa kufanyika ndani ya wiki inayofuata, kuwa hakijulikana sawsawa, isipokuwa huja kujulikana baadaye katikati ya wiki, ndani ya wiki hiyo husika
Hapo awli, ratiba kwa wiki inayofuata ilikuwa inatangazwa Jumapili ya wiki kabla ya wiki hiyo inayofuata

MATUKIO KADHAA YA SHAHIDI KUHUSIANA NA RATIBA KAMILI KUWA HAIJULIKANI KABLA YA WIKI HUSIKA KUWA IMEANZA
  • MOJA: Kwenye Jumapili mojawapo zilizopita hivi karibuni, kuliwahi kutangazwa ghafla sadaka ya mjane ambayo Jumapili ya kabla ya ile ya sadaka hiyo husika, tangazo la sadaka hiyo halikuwa limetolewa
  • MBILI: Kwenye Jumapili moja (takriban wiki moja au mbili zilizopita), kulitolewa tangazo la sadaka ya ziada ambayo ni ya kwaida, na huwa inatolewa kila mwezi siku zote, ISIPOKUWA kwa J2 hiyo, sadaka hiyo ilitangazwa papo kwa papo tofauti na ilivyo siku zote ambapo huwa inatangazwa J2 moja nyuma ya J2 ile ambayo sadaka hiyo inatakiwa kutolewa
  • Wiki kadhaa zilizopita hivi karibuni, kumewahi kuwepo na wahudumu wawili wageni ambao hawakuwa wametangazwa Jumapili zilizotangulia kabla ya Jumapili ile waliyokuja kuhudumu.
Mmojawapo wa wahudumu hao alikuwa ni yule aliyekuja kuhudumu kuhusiana na maswala ya ujasiriamali.
  • Baada ya huyo, alifuata mwingine tena amnaye naye aliukwa mgeni
  • Jumapili ya tarehe 16/05/2021, kumekuwepo mchakato wa ahadi za sadaka ambayo kawaida mchakato huo huwa una kawaida ya kutangazwa J2 moja nyuma yake. Mchakato wa ahadi ya sadaka hiyo uliofanyika tarehe hiyo tajwa, haukuwa umetangazwa J2 ya 09/05/2021
Kwa hiyo kwa sasa, ratiba inaonyesha kutegemea sana matukio yatakayotokea ndani ya wiki husika, na hivyo kupelekea kutangazwa ratiba ambayo ni frame-work tu kwenye siku ya J2 ile ambayo ni kabla ya wiki husika.

Possibly hii ndiyo advantage ya kuwa na Kanisa kubwa ambalo HALINA KIBAO KINACHOONYESHA RATIBA YA VIPINDI KWA WIKI

Mbali na hayo yote:
  • Kuanzia March 2021 hadi leo, ratiba imekuwa ni maombi mchanganyiko na semina
  • Katika kipindi hiki chote, hakuna hata J5 moja ambayo imetokea ratiba ikawa ni kwa ajili ya kujifunza maandiko matakatigfu siku ya J5
  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) alikuwa ameshapotea tena madhabahuni, na sasa hivi anaonekana kama ameshaanza mkakati wa kurudi, na possibly hiyo ndiyo sababu inayopelekea ratiba za wiki inayofuata zisijulikane
  • Kabla KM-A kuwa ameonekana madhabahuni wiki jana, mara ya mwisho alionekana tena madhabahuni ilikuwa ni Jumapili ya tarehe 21/03/202. Ilikuwa ni kwa ajili ya kutoa neno la faraja kwa waumini baadaya ya kiongozi wetu mkuu wa nchi kutwaliwa na Bwana
  • Kabla ya hapo kiongozi huyu alikuwa amepotea madhabahuni isipokuwa kwa matangazo madogomadogo kutoka ofisini kwake ila si kufundisha maandiko matakatifu
  • Kuna ATMOSPHERE YA UTULIVU WA HALI YA JUU SANA kwa baadhi ya viongozi na baadhi ya waumini wa Kanisa A ambayo INAONYESHA KUFICHA PANIKI FULANI YA JUU SANA.(Ulishawahi kukutwa na tatizo kubwa halafu ukaamua ulifiche ili usionekane kuwa una tatizo, yaani ili watu wanaokuzunguka waendelee kukuona kuwa uko kawaida wakati kiuhalisia hauko kawaida. Hali hii huwa ianepelekea uonekena kirahisi zaidi kuwa una tatizokuzidi hata ungeamua kutokulificha kabisa)
Kwa hiyo, kuna “UTULIVU WA PANIKI” KANISANI A KWA SASA

UTULIVU WA AINA HIYO UNAONEKANA PIA KWENYE TAWI LA BANK YA MHUSIKA, “BANK B”




Hata hivyo utulivu huu (WA “KANISANI A” NA “BANK B” PIA) una mambo kadhaa yanaendelea nyuma yake, and given time, mhusika anaweza akaja akayongelea kwa kina huko mbele ya safari, muda ukifika

MTINDO MPYA KWA MAHUBIRI YOTE KUWA YANAHITIMISHWA KWA MAOMBI SIKU HZI

Zaidi ni kuwa mafundisho yote ya J2 siku hizi lazima yamalizie na maombi mafupi. Mhubiri akiwa bado yuko madhabahuni, baada ya kuhitimisha mafundisho yake, lazima huwaomba waumini wasimame ili waseme na Bwana kwa mambo kadhaa. Hii ni sawa kabisa na halina tatizo lolote isipokuwa kwa upande mwingine, linaonyesha kama kutengeneza loophole kwa mhubiri aliyekuwa amesimama madhabahuni, naye pia kufanya maombi akiwa madhabahuni, ktitu ambacho nacho pia ni cha kawaida kabisa.

Hata hivyo kinaweza kuwa siyo cha kawaida pale inapotokea kuwa ni mara zote bila kukosa, kama yalivyo makofi ya “waliokaa tusimame”.

Hapa inaonyesha kama anayesimama madhabahuni, mbali na kuhubiri, analazimika pia kufanya maombi akiwa bado akiwa yupo hapo hapo madhabahuni

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Utulivu unaotokana na mtu kuwa katika hali ya kawaida na utulivu ule unaotokana na kutengenezwa na mtu kutokana na mtu huyo kuwa katika hali isiyo ya kawaida ila akiwa amedhamiria aonekane kuwa yuko katika hali ya kawaida; utulivu's hizi mbili kila moja huwa ina indicative signs zake, na hivyo kila mojawapo ya utulivu hizi inajulikana
 
UPDATE: THURSDAY 26/05/2021

COMING UP NEXT:

KWA WAUMINI WA KANISA A

CODE ZILIZOTOLEWA MWAKA JANA KANISA A KWA AJILI YA WAUMINI KULIPIA ZAKA NA SADAKA


Kuna J2 moja mwaka jana, nadhani ilikuwa mwezi wa tano au wa sita, mtu aliwahi kusimama madhabahuni na kutoa CODES kwa ajili ya kulipia Zaka na Sadaka kwa njia ya simu

Details za codes hizo zitawajieni muda siyo mrefu, ndani ya wiki hii



SWALI LILILOULIZWA NA KIONGOZI MKUU WA KANISA A JUMAPILI YA TAREHE 16/05/2021 ALIPOKUWA AMESIMAMA MADHABAHUNI


Swali hilo lilifanya kazi mbadala ya ile inayofanywa na ombi la “TANO ZA JUU”, isipokuwa hili la sasa lilikuwa na nyongeza nyingine ambayo ni kushughulikia pia Biblia walizokuwa wamebeba waumini wa Kanisa, Ibada ya Pili

Jumapili hiyo, Kiongozi Mkuu alisimama madhabahuni na kuuliza swali “WANGAPI WANA BIBLIA?”

Baada ya kuwa ameuliza swali hilo, waumini walinyoosha mikono juu wakiwa wameshika Biblia zao, mhusika naye akiwa mmojawao kwa sababu mara nyingi naye anakuwaga na matatizo ya kutopenda kupitwa na kila jambo l, kila mahali anatamani kuwepo, na kila jambo huwa anatamni kulifanya utafikiri naye ni Mungu

Kwa hiyo, swali hili la sasa liliulizwa ili kufanya kazi sawa na ombi la “MGEUKIE ALIYE KULIA NA KUSHOTO KWAKO, MPE TANO ZA JUU’

Ni kwa sababu hapakuwa na namna tena ambayo Kiongozi Mkuu angeweza kurudia kuwaambia waumini wapeane “TANO ZA JUU”

“Baada ya waumini kuwa wamenyanyua Biblia zao KM-A alisema (not an exact quote) “NAONA WATU WENGI WANAZO BIBLIA NA WENGINE NI ZA KIDIGITALI”

Hapa zilipigwa mapepo Biblia zote za makaratasi na za kidijitali, ikiwa ni pamoja na viganja vyote vilivyokuwa vimenyanyua simu hizo

Details zaidi zitawajia

NB Utafiti huu ni wa kiroho perce na mtu yeyote anayo haki ya kuukataa au kuukubali, akiwemo mtuhumiwa mwenyewe ambaye ni Kiongozi Mkuu wa Kanisa A
 
UPDATE: TUESDAY 01/06/2021

Law 44: Disarm and Infuriate with the Mirror Effect​

The mirror reflects reality, but it is also a perfect tool for deception: When you mirror your enemies, doing exactly as they do, they cannot figure out your strategy. The Mirror Effect mocks and humiliates them, making them overreact. By holding up a mirror to their psyches, you seduce them with the illusion that you share their values; by holding up a mirror to their actions, you teach them a lesson. Few can resist the power of the Mirror Effect.
 
UPDATE: WEDNESDAY 02/06/2021

TAARIFA ZA MSIBA MWINGINE NYUMBANI KIJIJINI KWAO NA MHUSIKA


Nyumbani kwao na mhusika kuna mtu ameuawa; ni ndugu yake wa karibu sana na mhusika, huyu naye pia hakuugua.

Msiba umetokea kwenye mida ya kama saa 10 jioni, mhusika akiwa bado yuko ofisini. Mhusika aliondoka ofisini kurudi nyumbani kwake, kwenye mida ya kama ya saa 12 kasorobo

Baada ya tukio, ndugu wanaohuiska kutoa taarifa hawakumjulisha mhusika kwa wakati, isipokuwa baada ya kuwa ametoka ofisini, kwenye mida ya karibia saa moja usiku, akiwa tayari ameshatoka ofisini yuko nyumbani kwake chumbani akiwa amepumzika, ndiyo akapigiwa simu kujulishwa taarifa za msiba huo
  • Aliyepiga simu kumjulisha mhuiska ni mdogo wa kike wa aliyeuawa, na aliyeuawa ni wa kiume, alikuwa na mji, wake na watoto
  • Binti huyu alikuwa anahitaji nauli ya kumtoa Mwanza mjini kumpeleka kwenye msiba kijijini, na ndiye aliyempa mhusika taarifa hizi zisizokuwa nzuri
  • Binti alikuwa amepanga kusafiri leo asubuhi kuanzia mida ya saa 11 asubuhi na kwa hali hiyo ilikuwa ni lazima mhusika kwa jana, atoke nyumbani muda huo na kwenda kumrushia binti hela ya nauli usiku huo, kwa sababu kwa wakati huo, mhusika hakuwa na hela kwenye simu yake
Kwa hiyo simu hiyo ilipelekea uwepo wa hitaji lai kumtoa mhusika nyumbani kwake jana muda huo wa mida ya karibia kabisa na saa moja usiku ili aende sehemu akamtumie nauli binti kwa ajili ya safari ya kesho yake saa 11 asubuhi

Mhusika hakumbuki mara ya mwisho ni lini aliwahi kuwa yuko nje ya mazingira ya nyumbani kwenye mida ya usiku wa aina hiyo.

Kwa makadirio ya walio wengi alioongea nao mhusika, mtu huyu alifariki kwenye mida ya kama saa 10 jioni hivi


HITIMISHO

KWENYE TAARIFA HIII, MHUSIKA ANAOMBA AWEKE WAZI KABISA KUWA HANA TATIZO LOLOTE NA SABABU ZILIZOELEZWA KUPELEKEA MTU HUYU KUPOTEZA MAISHA
, KWA SABABU HAKUWEPO HUKO, ISIPOKUWA ANA TATIZO KUBWA NA NAMNA TAARIFA ZA TUKIO ZILIVYOLETWA KWAKE KAMA KWA KUCHELEWESHWA MAKUSUDI KIASI KWAMBA ZILIPELEKEA KUM-PROMPT ATOKE NYUMBANI KWAKE USIKU NA KATIKA MUDA AMBAO SIKU ZOTE HUWA HATOKI NYUMBANI


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwa hyo anataka kusemaje yani, amepata korona au wasiojulikana wanamfuatilia au whats the point?
 
Kwa hyo anataka kusemaje yani, amepata korona au wasiojulikana wanamfuatilia au whats the point?
Please other details withheld!
Hata hivyo, usiwe na shaka. Kuna viumbe wawili tu hapa duniani ambao huwa hawalali wala kusinzia, masaa 24, siku 366 kwa mwaka. Hawa ni Mungu pamoja na Serikali . Hawaujui kabisa usingizi hata ule wa micro-seconds tu, hawaujui!
 
UPDATE: FRIDAY 04/06/2021

TUKIO LA KIPEKEE MHUSIKA ALILOWAHI KUKUMBA NALO KWENYE PARKING ZA GARI, MNAMO JULY/AUGUST 2016 NA KATIKA KIIPINDI AMBACHO WAFANYAKAZI WENGINE WALIO WENGI WALIKUWA LIKIZO


Kuna siku mhusika aliwahi kufika ofisini asubuhi halafu akakuta kwenye parking kuna kitu cheusi kinachofana na mkono wa “side mirrors” za gari ndogo; kikiwa kimewekwa kwenye parking, mbele ya sehemu ile ambayo mhusika alikuwa na mazoea ya kupaki kila siku

  • Mhusika hakukigusa kitu hicho ila badala yake aliamua kuwashirikisha wengine kwa kupiga simu ya extension, ili waje wakiangalie
  • Muda siyo mrefu, kweli watu husika na ambao ni wafanyakazi wenzake na mhusika ndani ya taasisi, walifika mahali karibu na jengo la ofisi ya mhusika lilipo, hawakuingia ndani ya jengo
  • Baada ya hapo mhusika alipigiwa simu ya extension na Katibu Muhtasi wa Mkuu wa Idara, akiambiwa kuwa kuna watu wamekuja kukiona kitu kile ulichokiona kwenye parking ya gari
  • Wakati huo watu hao walikuwa wameshafika ila walikuwa nje ya jengo na mhusika alienda akakutana nao hapo nje ya jengo la ofisi yake na hatimaye kuwapeleka kwenye parking pale alipokuwa amekiona kituhicho
  • Ulikuwa ni wakati wa likizo na watu walio wengi hawakuwamo maofisini mwao, na wengine walikuwa wameenda kwenye mazoezi ya vitendo (field)
Baada ya mhusika kuwafikisha pale kilipokuwa na hatimaye watu hao kukiona kitu hicho na kukihakikisha kuwa hakikuwa na madhara yoyote,

  • Mhusika aliachana nao akarudi ofisini
  • Baada ya mhusika kufika ofisini, aliingia Mkuu wa Idara na akawa anamhoji Katibu Muhtasi wake, mbele ya mhusika akisema “ NASIKIA LEO KUNA BOMU LIMERIPOTIWA KUONEKANA KWENYE MAZINGIRA YETU HAPA KAZINI”
Hapa Mkuu wa Idara akawa sasa anarefer tukio la mhusika kuripoti kitu hicho alichokikuta kwenye parking ya gari, na wakati huo kumbe mtandoa wa wafanyakzi walio wengi kwenye taasisi walikuwa tayari wameshapokea taarifa hizo kwa njia ya whatsup, isipokuwa mhusika mwenyewe kwa sababu yeye hakuwa anatumia whatsup

  • Kitu hiki kilionekana muda mfupi tu baada ya kuungua kwa tranforma, mbalo nalo pia aliwahi kuchukua hatua ya kurilipoti baada ya kuliona linaungua kwa sababu ofisi yake iko kwenye uelekeo ambao ulipelekea awe wa kwanza kuliona transforma hilo lilipoanza kuungua
  • Muda mchache mbele baada ya transforma kuungua, ndiyo lilikuja tena kutolewa tangazo Kanisa B na Mzee wa Kanisa akisema kuwa “LEO TUNA TANGAZO MOJA TU, NI SIKU YA MABOMU YA MAREKANI
Baada ya tangazo hilo la Kanisani, wiki iliyofuata ndiyo sasa SENIOR MSTAAFU WA KIUME akaanza kutengeneza mazingira ya matukio yanayoendana na tangazo hilo, huku akiwa anajiandaa kwa kufanya safari ya kwenda China

Mmojawpo wa watu waliokuja kukiangalia kitu kilichokuwa kimewewekwa kwenye parking kilichopelekea mhusika atoe taarifa, alikuwa ni mfanyakazi na msaidizi wa karibu sana na Mkuu wa Taasisi wa wa kipind hicho

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

Next:
Dokezo muhimu kuhusiana na tukio la msiba lililotokea wiki hii kijijini nyumbani kwao na mhuiska
 
UPDATE-2: FRIDAY 04/06/2021

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA MSIBA LILILOTOKEA WIKI HII KIJIJINI NYUMBANI KWAO NA MHUISKA


Mhusika anazishauri mamlaka husika, kama kuna kitu ambacho zinaona kuna haja ya mamlaka hizo kujiridihisha kama kimekwenda sawa ama la, bila kuacha ziwashirikishe kwa karibu sana watu watatu wafuatao

  • Kwanza, kaka wawili wakubwa wa mhusika (watoto wa baba mkubwa wa mhusika) ambao waliwahi kumpatia mhusika cheti cha kifo cha baba yao mzzazi, ambacho hatimaye mhusika alikuja kubaini kuwa kilikuwa feki
  • Pili, binamu yake na mhusika (mtoto wa shanganzi wa mhusika) ambaye ni mrefu karibia kupita watu wote, na hata kwenye ukoo mzima
Hawa watu watatu ndiyo pekee huwa wana-details zote za kila kitu kinachoendelea kwenye ukoo, hakipo ambacho huwa hawakijui. Vile bvile pia hawa ndiyo wenye amri, watu wengine wote huwa wanaamrishwa tu

Assuming wanaamua kufunguka ukweli mtupu ulivyo, watakuwa ni wa msaada sana kwa sababu huwa hakipo ambacho huwa hawakijui, hawa ndiyo ni mastermind wa matukio yote

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-3: FRIDAY 04/06/2021

KWA WAUMINI WA KANISA B


Yule mtu ambaye mhusika amekuwa akifuatilia nyendo zake na hatimaye kupelekea awe na mtizamo kwamba kila inapotokea mtu huyo kusimamam madhabahuni na kuongoza Ibada ya Kusifu na Kuabudu, wiki inayofuata mbele yake lazima kutokee msiba, J2 iliyopita mtu huyu hakusimama madhabahuni, isipokuwa inaonekana kama alituma mwakilishi. Kuna mtu wake wa karibu sana ambaye alisimama madhabahuni na kwa kitu ambacho kilikuwa ni very unique

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-TUESDAY 15/06/2021

MAMBO MENGINE YALIYOJIRI TOKEA BAADA YA SHAMBULIO LA GARI LA MHUSIKAI MWISHONI MWA MWEZI APRIL: SHAMBULIO JINGINE JIPYA KWENYE GARI LA MHUSIKA LATOKEA ALHAMIS YA TAREHE 10/06/2021

MAELEZO YA UTANGULIZI


Tukio la kwanza la hivi karibuni la kushambuliwa gari la muda na ndani ya kipindi kisichozidi miezi mitatu (3) llilitokea mwishoni mwa mwezi April 2021 na mwenye kusababisha madhara hayo alidai kuwa ilikuwa ni ajali. Tukio hilo lilitokea siku ya Alhmisi ya tarehe 29/04/2021
  • Ni siku ambayo mhusika alikuwa amepewa na mfanyakazi mwenzake, ofa ya muda wa ziada kuanza kufundisha darasa la kipindi kifupi ambalo kawaida lilikuwa limepangwa kuanza J3 ya tarehe 03/05/2021i
  • Megine mengi yaliyojiri kabla ya siku hiyo ya Alhamis, mhusika alishawahi kuyaekeza humu kwa kwa kina kwenye post hii hapa #635
Kwa bandiko hili, mhusika anapenda kuwaletea tena baadhi tu ya mambo muhimu yaliyojiri tangu siku ya Ijumaa ya tarehe 03/05/2021 hadi jana J3ya tarehe 14/06/2021

Mhusika napenda kuwaletea taarifa hizi kutokana na matukio kadhaa kuonyesha coincidences zinazopelekea kuonekana kama yalipangwa yatokee kama ambavyo tayari yameshatokea. Matukio haya yametokea katika kipindi ambacho mhusika amekuwa akiendelea na kazi zake za kila siku, likwemo darasa ambalo amekuwa akifundsha mara mbili kwa kila wiki, kwenye siku za J3 (kuanzia saa moja kamili asubuhi mpaka saa nne kamili) na Ijumaa (uanzia saa tatu kamili asubuhi mpaka saa sita kamili)

Mengi ya matukio haya yanajikita zaidi kwenye FUNGUO ZA DARASA alilokuwa akitumia mhusika pamoja na wanafunzi aliokuwa akiwafundisha
  • Haikuwa mara ya kwanza mhusika kukumbana na matukio yasiyoeleweka kuhusiana na funguo za darasa hilo
  • Hata mwaka jana, mhusika alikumbana pia na hali inayoelekeana kidogo na ya mwaka huu, ila katika kiwango tofauti kidogo, ambapo ya mwaka huu imeenda kwenye extremes
  • Miaka kadhaa nyuma pia aliwahi kukumbana na tatizo la funguo za darasa hilo, ila ilikuwa ni wakati wa utawala wa Katibu Muhtasi aliyepita, na ambaye alishastaafu, hayupo kwa sasa
Kwa hiyo mwaka huu amekumbana na taizo la funguo kwa mara ya tatu

MAELEZO MAFUPI KUHISANA NA FUNGUO ZA DARASA HILO: UFUNGUO WA AKIBA HAUKUWEPO OFISI YA MKUU WA IDARA

Kawaida vyumba vyote huwa vinakuwa na funguo za akiba, na ambazo siku zote huwa zinatunzwa ofisini kwa Mkuu wa Idara (MWI), na huchukuliwa pale kwa utaratibu maalumu tu uliowekwa na ofisi hiyo
  • Kwa mara ya kwanza, mhusika alifika ofisini kwa MWI Ijumaa ya tarehe 30/04/2021 kuomba funguo hizo ili awe nazo tayari kwa ajili ya darasa la J3 ya tarehe 03/05/2021
  • Hata hivyo, mhusika hakufanikiwa kupata funguo hizo kutoka kwenye ofisini hiyo baada baada ya kupewa maelezo kuwa ofisi ya MWI hawakuwa na funguo hizo za akiba, isipokuwa ofisi hiyo ilieleza kuwa kuna mfanyakazi mwingine (tumwite MR MD) ambaye anazo funguo za chumba hicho na hivyo kumwelelkeza mhusika akachukue funguo kwa MR MD
  • Kwa hiyo kuanzia siku hiyo ofisi ya MWI ilielekeza mhusika awe nakachukua funguo kwa MR MD mpaka pale muda wake wa kufundisha utakapomalizika
  • Maelezo haya yalitolewa na Katibu Muhtasi wa MWI
Kwenye siku hiyo ya Ijumaa, mhusika hakufanikiwa kuwasiliana na MR MD na hivyo kupelekea funguo hizo kuendelea kuwa mikononi mwa MR MD hadi siku ya J3 asubuhi, siku ambayo darasa hilo lilikuwa linaanza rasmi
  • Alfajiri ya J3 hiyo asubuhi mhusika alimwandikia ujumbe mfupi MR MD kumjulisha kuwa alihitaji funguo za darasa hilo
  • Baada ya hapo, mhusika hakufanikiwa kupata majibu kutoka kwa MR MD isipokuwa wakati anafika ofisini mida ya saa moja kamili asubuhi, ndipo alipobaini kuwa kuna ujumbe mfupi ulikuwa umeingia kutoka kwa MR MD ukijibu ombi lake
  • Ujumbe huo ulikuwa ukimjulisha mhusika kuwa yeye (MR MD) angefika hapo ofisini muda siyo murefu siku hiyo
  • Baada ya takrinbani dakika 35, kweli MR MD aliwasili, akafungua darsa na darasa hilo likaanza huku likiwa limechelewa kwa muda usiopungua takribani dakika arobaini (40)
Hapa mhusika analazimika kuyaeleza haya yote kutokana na sababu kuu zifuatazo
  • Siku ya kwanza anawasilisha ombi la kupewa funguo hizo kutoka ofisi ya MWI, ofisi hiyo ilimjulisha mhuiska kuwa FUNGUO ZA AKIBA ZA DARASA HILO HAZIPO, na hivyo inabidi awe anaazima muda wote kutoka kwa MR MD
  • Hata hivyo, wakati anarudisha funguo hizo J3 ya tarehe 06/05/2021 baada ya vipindi vya mhusika kuisha (kipindi cha mwisho kilifanyika Ijumaa ya tarehe 10/05/2021), mhusika alibahatika kuonana na MR MD ofisini kwa MWI
  • Mhusika alipotaka kumkabidhi MR MD funguo hizo, MR MD alimshauri mhusika kuwa inabidi azikabidhi funguo hizo ofisini kwa MWI kwa sababu funguo hizo ni za SPEA na hivyo inabdi ziwepo ofisini kwa MWI muda wote
Kwa hiyo:
  • Wakati mhusika aaaanza pilika pilka za ufundishaji J3 ya tarehe 03/05/2021, funguo hizo zilionekana kuwa ni za MR MD na ndiye aliyekuwa anakaa nazo muda wote
  • Kwa hiyo kuanzia pale kila (mhusika) alipokuwa akimaliza kufundisha darasa, funguo hizo alikuwa anazirudisha kwa MR MD, na ambaye naye alikuwa akizikubali na kuzipokea na kuendelea kuzitunza
  • Hata hivyo, kilipofika kipindi cha wiki ya mwisho ya vipindi vya mhusika, yaani wiki ile ya kuanzia J3 ilyopita ya tarehe 07/05/2021; funguo hizo ghafla zilibadilika umiliki na kuwa siyo za MR MD tena bali za SPEA na kuanzia pale sasa zikawa zinatakiwa kuwepo muda wote ofisini kwa MWI
  • Kwa hali hiyo basi, mhusika akiwa anahitimisha vipindi vyake siku ya Ijumaa ya tarehe 11/05/2021, funguo hizi kwa mara ya kwanza alizichukua ofisini kwa MWI (saa tatu asubuhi) na alikabidhiwa na Katibu Muhtasi wa MWI (baada ya saa sita asubuhi)
Ikumbukwe kuwa funguo hizi ambazo hapo awali zilikuwa zinadaiwa kuwa zinamilikiw na MR MD, zilipelekea kuchelewa kwa kipindi cha siku ya kwanza ya J3 ya tarehe03/05/2021 kwa muda usipungua dakika arobaini (40)

Kwa kifupi tu ni kwamba ukiondoa J3 ya kwanza ya vipindi vyake mhusika na ambayo hakubahatika kuwa na funguo hizi asubuhi hiyo, kwa wiki zingine zote zilizofuata baada ya hapo:
  • Mhusika alikuwa anachukua funguo hizo Ijumaa saa Ijumaa na kubaki nazo muda wote baada ya kipindi cha siku hiyo kuisha saa sita, na tena kuendelea kuwa nazo muda wote wa weekend hadi J3 ya wiki inayofuata. Hii ni kutokana na ukweli kuwa darasa la J3 lilikuwa linaanza saa moja aubuhi muda ambao baadhi ya ofisi nyingi ikiwemo ile ya MWI zilikuwa zinakuwa bado hazijafunguliwa
  • Hata hivyo, kwa siku zingine zote za Ijumaa ambazo darasa lake limekuwa likianza saa 3 kamili, mara zote amekuwa akikuta darasa hilo likiwa limefunguliwa isipokuwa kwa Ijumaa ya mwisho ya tarehe 11/05/2021 ambapo lilikuwa limefungwa na ambapo safari hii, alilazimika kuchukua funguo hizo kutoka ofisini kwa MWI. Hii ilitiokea hivi BAADA YA FUNGUO HIZO KUWEPO KWA TAARIFA KUANZIA J3 YA TAREHE 07/05/2021YA FUNGUO HIZO KUGEUKA KUTOKA KUWA ZA MR MD NA KUWA ZA SPEA,
Kwa hiyo Ijumaa ya tarehe 11/05/2021, ni siku pekee ambayo mhusika alichukua funguo hizo kutoka ofifisini kwa MWI. Kabla ya hapo, funguo hizo zilikuwa zinamilikwana MR MD na mara zote mhusika alikuwa anazichukua kuto kwa mtu huyo

Zaidi ni kuwa siku ya J3 ya kwanza ya darasa, wakati mhusika akiwa anamsubiri MR MD awasili akiwa na funguo za darasa, baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya usafi walidai kuwa kawaida siku hizi kuna mtu maalumu ambaye huwa anafungua madarasa yote saa 12:00 asubuhi, ambaye siku hiyo naye kwa bahati mbaya, alikuwa amechelewa.
  • Kwa hiyo hadi inafika saa mbili kasoro, mtu huyu naye pia alikuwa hajafanikiwa kufika ofisini J3 hiyo
  • Vie vile pamoja na uwepo wa mtu huyu, kama kweli yupo, mhusika hakufanikiwa kukuta darasa alilokuwa akitumia kufundishia, limefunguliwa angalau kwa siku moja tu
FUNGUO ZINGINE ZA CHUMBA KINGINE CHA MAABARA ZAPOTEA GHAFLA HIVI KARIBUNI NA KUPELEKEA KUBADILSHWA KWA KITASA

MAELEZO YA UTANGULIZI


Chumba hiki ni cha maabara na historia yake imekuwa kama ifuatavyo
  • Miaka yote huko nyuma tangu kuajiriwa kwake, mhusika amekuwa ana funguo za chumba hicho, isipokuwa kwa miaka ya hivi karibuni, takribani mitatu au mine iliyopita, mamlaka husika idarani iliamua kubadilisha kitasa cha chumba hicho na kuweka kingine ambacho mhusika hakupewa kopi ya ufunguo wake
  • Kuanzia pale sasa mhusika akawa hana uwezo tena wa kuingia kwenye maabara hiyo, isispokuwa tu pale inapotokea kuna mtu ndani
HALI YA MAABARA HIYO ILIVYOKUWA WIKI KADHAA KABLA MHUSIKA HAJAANZA KUFUNDISHA VIPINDI VYAKE
  • Mara zote amekuwa akifika humo na kumkuta mwanafunzi wa ngazi za juu ambaye amekuwa akikaa humo
  • Kila alipokuwa mwanafunzi huyu hayupo ndani ya chumba hicho cha maabara, mhusika alikuwa anafika huko na kukuta mlango ukiwa umefungwa kwa ufunguo
  • Baadaye takribani kama wiki moja kabla ya mhusika kuanza kufundsiha madarasa yake, mwanafunzi huyu hakuweza kuonekana tena kwenye chumba hicho cha maabara, na mlango wake ulianza kuonekana uko wazi muda wote
  • Mlango huo umeendelea kuwa wazi hadi wiki jana kilipopatikana kitasa kingine kipya na safari hii mhusika kufanikiwa kukabidhiwa na MWI, kopi ya ufunguo wa kitasa hicho
Hapo awali, na katika kipindi ambacho mhusika amekuwa hana ufunguo wa chumba hicho, muda wote amekuwa akikuta kikiwa kimefungwa isipokuwa tu pale ilipotokea kuna mtu ndani

HITIMISHO

Miaka yote chumba hicho kimekuwa na funguo na kilikuwa kinagfungwa muda wote pale ilipotokea hakuna mtu ndani, hali iliyopelekea mwaka jana wanafunzi aliokuwa nao mhusika, kuchungulia kupitia kwenye vioo, wakiangalia vifaa vilivyokuwa ndani ya chumba hicho kwa sababu mhusika hakuwa na ufunguo wa kuweza kuingia humo, na wala wakati huo hapakuwa tenaa na spea ya ufunguo wake ofisini kwa MWI

MACHACHE KUHSIANA NA FUNGUO MPYA ALIZOKABIDHIWA MHUSIKA HIVI KARIBUNI

Siku moja baada ya MWI kuwa amekabidhi kopi ya ufunguo wa chumba hicho kwa mhusika

  • MR X alifika ofisini kwa mhusika akiwa ameambatana na mfanyakazi mpya au mgeni, na wawili hao kukuta mhusika hayumo ofisini kwake
  • Mhusika alikuwa amepandisha juu ofisini kwa MWI
  • Muda mfupi baadaye, mhusika alirudi na kuwakuta wawili hao wakiwa wanamsubiri mlangoni kwake, na alipofika, aliwakaribisha ndani wakaingia
  • MR X alimtambulisha mfanyakazi mgeni kwa mhusika na pia alitoa maelezo kuwa mgeni huyo alikuwa anahitaji kukagua baadhi ya vifaa hapo idarani vikiwemo vile vilivyokuwa kwenye chumba kile ambacho mhusika alikuwa amekabidhiwa funguo mpya na MWI siku moja au mbili nyuma
  • Mhusika aliambatana nao hadi kwenye chumba husika na mgeni kufanikiwa kukagua vifaa hivyo
Hata hivyo,katika hali ya kawaida mfanyakazi mgeni huwa anatambulishwa kwanza kabla hajaanza ku-interact kikazi na wafanyakazi wenzake wasiomfahamu, na ambao hajawahi kutambulishwa kwao kama na wakaweza kumfahamu kama mmoja wao, na katika hali ya kawaida, mwenye jukumu la kufanya hivyo huwa ni MWI.

Mtu huyu aliyefika ofisini kwa mhuika wakiwa na MR X, hapo awali hakuwa ametambulishwa kwa mhusika na MWI au na mtu mwingine yeyote yule, pamoja na kuwa kabla ya hapo, kweli mhuiska alikuwa amewahi kumkuta ofisini kwa MWI ila hakuwahi kutambulishwa kwake. Tatizo analolipata mhusika hapa kwa sasa ni kwamba, awali kwa siku za hivi karibuni, kweli mhusika amewahi kumkuta mtu huyu ofisini kwa MWI lakini hakutambulishwa; na hatimaye tena MR X alifiika ofisini kwa mhusiika akiwa ameambatana na mtu huyu na si kwa ajili ya utambulisho bali tayari mgeni huyu akiwa ameanza majukumu yake kikazi

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:
UPDATE-2: SHAMBULIO JINGINE JIPYA (LA TATU) LA HIVI KARIBUNI KWENYE GARI LA MHUSIKA LINALOELEKEA KUFANANA NA MENGINE MAWILI YA NYUMA
 
UPDATE-2: SHAMBULIO JINGINE JIPYA (LA TATU) LA HIVI KARIBUNI KWENYE GARI LA MHUSIKA LINALOELEKEA KUFANANA NA MENGINE MAWILI YA NYUMA

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSINANA NA MASHAMBULIO MAWILI YA AWALI


Mashambulio haya matatu ni yale tu ambayo ni ya hivi karibuni, na si yote. Mawili ya awali tayari mhusika ameshayaongelea humu ambapo:

LA KWANZA LILITOKEA MNAMO JULAI/ AUGUST 2019

  • Lilitokea usiku wa Jumatano kuamkia Alhamis
  • Lilitokea baada ya jirani yake na mhusika kumkuta mhiusika kwenye parking, baada ya wawili hawa kuwa wamepotezana kwa takribani miezi miwili au mitatu, ilhali wote walikuwepo muda wote nyumbani wakiishi kwenye ghrorofa moja
  • Yaani hapa kinachosemwa ni kwamba jirani alikuwepo muda wote mazingira ya nyumbani, na mhusika naye pia alikuwepo muda wote isipokuwa wawili hawa walikuwa wanapishana bila kuonana kwa muda wote huo
Hata hivyo, ilitokea hatimaye jirani huyu akabahatika kumkuta mhusika akiwa nje kwenye parking, siku ya J5 na baada ya hapo, kesho yake asubuhi Alhamis, gari ya mhusika ilionekana kubonyea sehemu kubwa kwenye bamba la mbele kushoto, kama vile ilipigwa na jiwe la kurusha kwa mkono kutoka umbali mrefu kidogo

Baada ya muda kitambo kupita, ilitokea baadaye jirani huyu akabadilisha makazi na tangia hapo wakawa hawaonani tena na mhusika hadi ilipotokea tena hivi karibuni kwenye siku ya Jumatano nyingine tena, walipobahatika kukutana kwenye parking za gari maeneno ya ofisni

LA PILI LIMETOKEA MWEZI ULIOPITA SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 29/04/2021T

  • Lilitokea usiku wa Jumatano kuamkia Alhamis
  • Lilitokea baada ya ALIYEKUWA JIRANI YAKE NA MHUSIKA, ambaye mhusika tayari ameshamwongelea hapo juu, kumkuta mhusika akiwa kwenye parking alipokuwa akipaki gari lake
  • Siku hiyo, mtu huyu ambaye ni jirani wa zamani wa mhusika, naye pia alifika kwa ajili ya kupaki gari lake maeneo yale yale aliyokuwa akipaki mhusika siku hiyo na kupelekea wawili hawa kukutana tena, kitu ambacho ni cha kawaida kabisa
Kwa hiyo, kwa kifupi, J5 ya tarehe 28/04/2021, wawili hawa kwa mara nyingine ya pili, walipaki tena sehemu moja maeneo ya ofisini, kwenye parking maarufu zinazojulikana kama “parking za sheria”

Vile vile, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona mtu huyu kwa karibu, tangu mtu huyu abadilishe makazi na kuhamia sehemu nyingine mwaka 2019

Hili la pili ndiyo tukio lile ambalo lilithibitika kusababishwa na jirani mwingine wa mhusika,na ambaye alidai kuwa tukio hilo halikutokea siku ya Alhamis hiyo, bali siku kadhaa nyuma kwenye siku ya Ijumaa ya wiki iliyokuwa imepita nyuma ya ile ya tukio, yaani Ijumaa ya tarehe 23/04/2021; wakati yeye mhusika alibaini kasoro hiyo kubwa kwenye gari lake siku ya Alhamis ya tarehe 29/04/2021. Jirani mhusika wa tukio, yeye alikuwa anadai kuwa mwenye gari/ mhusika hakuwa ameoiona vizuri tu gari yake kwa muda wote huo (wa takribani wiki nzima), na hivyo kupelekea adhani kuwa tukio hilo lilitokea Alhamis ya tarehe 29/04/2021 wakati mwenye kuhusika na “alichodai kuwa ni ajali”, alisema kuwa tukio hilo lilikuwa ni la siku ya Ijumaa ya tarehe 23/04/22021

LA TATU LIMETOKEA WIKI JANA SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 10/06/2021T

  • INAONEKANA KAMA uratibu wa kufanyika tukio hilo uliratibiwa usiku wa J3 kuamkia ALHAMISI gari la mhusika likiwa liko kwenye parking nyumbani mahali anapoishi
  • Limetokea siku ya Alhamis, na ni baada ya mhusika kuwasili ofisini siku ya jana yake J5 asubuhi kabla ya alhamis tajwa, na kukuta gari ya ALIYEKUWA JIRANI YAKE naye akiwa imepaki tena kwenye “parking za sheria”
  • Kabla ya J5 hiyo, mhusika hakuwa amebahatika tena kuiona gari hiyo ikiwa imepaki maeneo yale na yeye vile vile akiwa akiwa amepaki maeneo hayo hayo, tangu siku ya tukio lile la April 2021.
  • Kwa hiyo tangu siku hiyo ya tukio hilo la April, wawili hawa hawakuwa wamebahatika kupaki tena gari zao sehemu moja na hivyo tangu waonane mwezi April 2019, hawakuwa wamewahi kuonana tena kabla ya J5 iliyopita.
Ni siku ya J5 iliyopita tu ndipo mhusika alipobahatika tena kukuta gari ya mtu huyu husika ikiwa iko kwenye parking, na mwenyewe gari akiwa tayari ameshaondoka na kesho yake Alhamis ndiyo likatokea tukio la shambulizi la gari yake

……………………inaendelea

NEXT:

MAELEZO YA KINA KUHUSINA NA YALE YALIYOJIRI SIKU YA ALHAMISI TAJWA KUANZIA ASUBUHI AKIWA BADO YUKO NYUMBANI HADI ALIPOFIKA OFISINI NA HATIMAYE KUTOKA OFISINI NA KURUDI TENA NYUMBANI

Aliondoka nyumbani akaacha umeme ukiwa umekatika, akafika ofisini na kukuta nako pia umekatika

Baadaye alilazimika kutoka ofisini na kurudi nyumbani baada ya saa 8 za mchana, akiacha umeme ukiwa bado haujarudi, na alipofika nyumbani akakuta umeme umesharudi

Kwa hiyo kwa kifupi, alitoka nyumbani umeme ukiwa umekatika, akafika ofisini na kukuta nako pia umekatika, akatoka ofisini akaacha bado umekatika, ila alipofika nyumbani akakuta kwenye umesharudi
 
Back
Top Bottom