#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Watu watatu wafanyakazi wenzake na mhusika...............

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kawaida mhusika huwa hana mizunguko mingi sana tofauti na ile ya Kanisani na ofisni. Swala analotaka kulieleza kwenye mada hii ni kwamba KUNA SAFARI TATU ZILIZOJITOKEZA KWA MFULULIZO kiasi kwamba kila alipokuwa anatoka nyumbani kuelekea mtaani, alikuwa anakutana na wafanyakazi wenzake, mmoja kwa kila wakati. Kwa hiyo ni kwaamba mhusika alifululiza kukutana na wafanyakazi hawa kila alipokuwa anatoka nyumbani kuelekea mtaani, ila kila mfanyakazi kwa wakati wake tofauti na wa mfanyakazi mwingine

SAFARI YA KWANZA MTAANI (STAFF-MATE-II; SM-I)

Takribani miezi mwilili iliyopita, mhusika aliamua siku moja kutoka na kwenda umbali kidogo, nje ya mazingira ya nyumbani

  • Akiwa huko mtaani, alibahatika kumuona mfanyakazi mwenzake akiwa ndani ya gari na kwenye foleni ya magari yaliyokuwa yanatembea kwa mendo wa taratibu sana
  • Mhusika wakati huo ndiyo alikuwa amemaliza kupaki gari lake na alikuwa akitemnbea kando kando mwa barabara kwenye uchochoro wa watembea kwa miguu
  • Mhusika alibahatika kusalimina na mfanyakazi mwenzake huyu
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kukutana na mtu huyu mtaani, mara zote huwa wanaonana mazingira ya ofisini tu
Huyu mtu ni mfanyakazi anayeshughulika na mambo ya OPRAS. Huyo akawa staffmate wa kwanza

Ukapita muda tena pasipo mhusika kwenda mtaani, bali akiwa anafanya route za ofisini, nyumbani na Kanisani tu pasipo kwenda mahali pengine popote pale

SAFARI YA PILI MTAANI (STAFF-MATE-II; SM-II)

Toka mhusika alipofanya safari ya kwanza ya mtaani na kwenda kukutana na tumwite STAFF-MATE-I, hakufanya tena safari nyingine, yoyote ile isipokuwa hii ya pili na ambayo nayo alibahatika tena KUMUONA STAFF-MATE-II (SM-II)

  • Huyu wa pili hawakubahatika kuongea
  • Mhusika alikuwa kwenye kibanda cha bites akisubiria afungashiwe na SM-II naye alikuwa kwenye gari iliyokuwa kwenye bararbara ndogo akisubiria foleni ya gari ziilizokuwa zinatoka njia ndogo kwenda kuingia njia kuu
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusiika kumuona mtu huyu maeneo yale katika kipindi chake chote ambacho ametokea kufahamiana na mtu huyu
  • Siku hiyo mhusika hakuwa amepaki gari maeneo yale, bali alikuwa ameiacha mbele kidogo kando kando mwa barabara akiwa amewasha taa za tahadhari
  • Kwa hiyo mhisika hakuwa ameweka gari yake kwenye proper parking space siku hiyo
Huyu mtu aliwahi kuwa AFISA TAWALA kwenye MAJOR UNIT aliyokuwa anafanyia kazi mhusika na kuna kipindi (miaka kadhaa nyuma imepita) mhusika aliwahi kuwasilisha kwa ofisa huyu, malalamiko ya kushushwa kwake cheo

SM-II pia anaonekana kama ni swahiba wa karibu sana na Ofisa wa nyumba na mara kwa mara huwa anaonekana kwenye ghorofa wanaloishi mhusika na ofisa wa nyumba, akiwa amemtembelea ofisa mwenzake

Huyu akawa ni mtu wa pili

SAFARI YA TATU MTAANI (STAFF-MATE-III; SM-III)

Mhusika akatulia tena bila kwenda mtaani, ila baada ya siku kadhaa mbele, akajulishwa taarifa za msiba wa nduguyake aliyeuawa na kundi la watu huko kijijini, na mtu aliyemjulisha alikuwa anahitaji atumiwe pesa ya nauli ya kwenda kwenye msiba
  • Wakati mhusika anapata taarifa hizi, ilikuwa jioni mida ya karibia saa moja usiku
  • Mhusika alisita kwenda mtaani siku hiyo kutokana na kutoelewa details za tukio la mauaji ya ndugu yakehuyo. Angeweza kuelewa iwapo tu angeambiwa kuwa ndugu yake alifariki ghafla kwa kuugua ugonjwa
Mhusika alitumia njia mbadala ya kukidhi hitaji la ndugu yake aliyekuwa anahitaji nauli ya kwenda msibani, kwa hiyo hakwenda mtaani siku hiyo kwa ajili ya kumtumia nauli mtu huyo

Zikapita siku kadhaa tena (mhusika akiwa bado hajafanikiwa kwenda mtaani tena)

Ikatokea Alhamis asubuhi moja akiwa anajiandaa kutoka nyumbani ili aelekee ofisini
  • Umeme ukakatika nyumbani
  • Akatoka nyumbani akaacha umeme ukiwa haujarudi na alipofika ofisini nako pia akakuta umeme umeketika
  • Akakaa ofisini mpaka kwenye saa tisa kasoro umeme huo ukawa bado haujarudi tu
  • Akaamua kuondoka ofisini na kurudi nyumbani
Akiwa yuko njiani kuelekea nyumbani, alikuwa anajua fika kabisa kuwa hata nyumbani nako pia umeme utakuwa bado haujarudi. Hata hivyo, alipofika nyumbani, alikuta umeme umesharudi
  • Still, akili yake ilikuwa imeji-switch kwenda mtaani ili akanunue bites, kwa sababu alikuwa tayari ameshajenga mawazo kichwani kuwa hata nyumbani kungekuwa hakuna umeme, japo aliukuta
  • Baadaye aliamua kwenda mtaani kuchukua bites, sehemu ile ile ambaho safari ya pili aliwahi kwenda
  • Safari hii alienda akapaki kabisa na gari lake pale pale karibu na sehemu ya bites, japo pia haikuwa ni kwenye parking rasmi, lakini ina nafasi ya kutosha na ni pazuri kupaki kwa muda; aliwasha hazard kwa sababu alikuwa hachukui muda mrefu
Baadaye ilikuja gari aina ya NISSAN HARDBODY, ilikuwa inaendeshwa na binti aliyekuwa amefunga kitambaa kichwani
  • Gari hiyo ilikuja ikapaki mbele ikitizmana na gari la mhusika, na kwa kupishana kidogo
  • Binti huyo hakushuka kwenye gari, na aliondoka bila kuwa ameshuka kwenye gari
  • Baada ya hapo tena muda mfupi aliingia sasa SM-III akiwa na PRADO yenye namba ambazo kwa kipande, mhusika aliwahi kuzitaja humu jukwaani
  • Mtu huyu alikuja akapaki gari kinyumenyume ikawa kama ilikuwa inatokea kule ambako SM-II alikuwa anatokea siku ya safari ya pili, mhusika alipokuwa maeneo yaleyle
  • Mtu huyu naye pia, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kukutana naye maeneo yale na ni mtu ambaye hata ofisini huwa hawaonani mara kwa mara
  • Pia mtu huyu anafanya kazi kitengo kimoja na jirani wa mhusika ambaye hivi karibuni jirani huyo alidai kuharibu bodi ya gari la mhusika kwa ajali iliyosbabishwa na rafiki yake mwingine, gari la mhusika likiwa kwenye parking
  • Wawili hawa walisalimiana ila hawakuongea
Mtu huyu naye pia ni swahiba wa karibu na ofisa wa nyumba

Gari ya binti aliyekuwa amevaa kitambaa kichwani, ilimziba kiasi mhusika kiasi cha kutoweza kuiona vizuri gari yake kwa mbele isipokuwa kwa juu tu kwenye bodi

Baada ya mhusika kuchukua bites na kuanza kuelekea nyumbani, wakati anageuza gari ndiyo akabaini hitilafu kweye usukani, ila akaamua kujikokota hivyo hivyo tu mpaka nyumbani, na maelezo mengine kuhusiana na tukio la gari lake kushambuliwa ameshayatolea ufafanuzi humu humu jukwaani siku kadhaa zilizopita

HITIMISHO

Kwa ujumla, mlolongo wa matukio haya ya kukutana na watu hawa watatu uko kama ifuavyo

MTU WA KWANZA: SM-I

  • Alienda mtaani mara ya kwanza na akaonana na mtu wa kwanza
  • Gari lake alilipaki maeneo yale yale alipokuwepo
  • Gari halikushambuliwa siku hiyo
Baada ya siku hiyo, mhuiska hakuwahi kwenda mtaani tena mpaka siku alipofanikiwa kwenda na kukutana tena na MTU WA PILI

MTU WA PILI-SM-II


  • Alienda mtaani mara ya pili na akaonana na mtu wa pli
  • Gari lake hakupaki sehemu alipokuwepo isipokuwa alikuwa ameliacha sehemu nyingine mbali pembezoni mwa barabara
  • Gari lake halikushambuliwa siku hiyo
Baada ya siku hiyo, mhusika hakuwahi kwenda mtaani tena mpaka siku alipfanikiwa na kwenda kukutana tena na MTU WA TATU

MTU WA TATU: SM-III

  • Alienda mtaani mara ya tatu na akaonana na mtu wa tatu
  • Siku hiyo, gari lake alipaki sehemu ile ile alipokuwepo
  • Siku hiyo gari lake lilishambuliwa
Sehemu aliyyomuona mtu wa pili akiwa kwenye gari, ndiyo ile ile ambayo alionana na mtu wa tatu, yaani sehemu ile ya bites

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BREAKING NEWS: FRIDAY 15 JANUARY 2021

SENIOR MSTAAFU WA KIUME ALIKUWA AMEPANGA KUFANYA KITU OFISIN MUDA HUU ASUBUHI HII YA LEO NA WAKATI HUU, ANA WATU WAKE
Kuna dalili zote zinazofanana ila safari hii katika mode tofauti na ya tukio hili. Kuna mtu yupo na atakayendelea kuwepo. Chances ni kwamba amekusudiwa ku-operate vizuri zaidi kipindii wanafunzi watakapokuwa tayari wameshaondoka. Kama dhana ya mhusika itakuwa iko sahihi katika hili, MR X na Mkuu wa Idara must have all the details. Wanahangaika sana
 
UPDATE:THURSDAY 15 JULY 2021

KUHUSIANA NA MAJI AMBAYO KWA SASA YANAONEKANA KUKATIKA KABISA, HAYATOKI TENA


Kwenye hili swal la maji ambalo hivi karibuni aliliongelea kwenye post hii hapa.#703 kuna uwezekano mkubwa kuwa theory yake ilikuwa sahihi kwa sababu; kwa kipindi cha hivi karibuni, maji hayo yanaonekana kuendelea kukatika kabisa, yanakuwa hayatoki tena muda wote kuanzia asubuhi ISIPOKUWA, YANATOKA KWA PRESSURE KUBWA KUANZIA MIDA YA SAA MOJA JIONI/ USIKU

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:THURSDAY 15 JULY 2021

KITU AMBACHO MHUSIKA BADO HAJAKIELEWA MPAKA MUDA HUU KUHUSIANA NA SWALA HILI LA MAJI:


Assuming theory yake kwamba alikatiwa maji kwa sababu kulikuwa na watu waliokuwa wanataka kumuwekea sumu kupitia kwenye njia ya maji ambayo huwa yanaingia ndani nyumbani kwake:

  • Kitendo cha mtu fulani msamaria mwema kugundua njama ya watu hao kutaka kuweka sumu kwenye mkondo maji yaliyokuwa yakiingia nyumbani kwa mhusika, lazima kiliambatana na mgunduaji wa hujuma hiyo, kuwajua pia wahusika wa kitendo hicho cha kutaka kuweka sumu kwenye maji
  • Assuming wahusika wa tukio hilo walijulikana, basi kujulikana kwao kulikuwa hakupekeii tena mhusika kukatiwa maji, kwa sababu wahusika wa hujuma hiyo tayari walishajulikana.
  • Na kama iwapo pengine ilikuwa ni lazima sana kwamba maji hayo lazima yakatwe angalau kwa muda Fulani baada ya kugundulika kwa hujuma hiyo, katika hali ya kawaida, yangekatwa kwa kipindi cha muda mfupi tu possibly miezi kadhaa tu wakati mambo mengine yakiwa yanaendelea kuwekwa sawa na si kwa muda wa kipindi kirefu hivyo cha hadi kufikia muda miaka mitatu
Kwa upande mwingine tena, assuming theory ya mhusika inaweza ikawa haiku sahihi, basi the chances ni kwamba
  • Kuna mtu ambaye alikuwa ameaamua kumhujumu mhusika kwa njia ya kumkatia maji, halafu baadaye huko mbele akageuza hoja na kudai kuwa tulimkatia maji baada ya kugundua kuwa kuna watu walikuwa wanataka kumuwekea sumu kwenye mkondo wa supply wa maji yanayoingia ndani nyumbani kwake
  • Mtu mwenye nia hiyo njema, angechukua jukumu pia la kumjulisha mhusika juu ya hatari hiyo, ili aweze kuchukua tahadhari
  • Kukaa kimya kwa mtu huyo bila kumjulisha mhusika, kwa upande mwingine inaonyesha alikuwa anamtegeshea mhusika aendelee kulalamika kuhisna na swala la maji, ili hatimaye yeye amrudishie maji mhuiska, ili chovchote kile kitakakachotokea baada ya hapo, yeye awe kwenye safe side ya kujitetea kuwa ‘SISI TULIKUWA TUMEMKATIA MAJI KWA SABABU TULIJUA KUWA KUNA HATARI LAKINI YEYE AKAWA ANAENDELEA KULALAMIKA NA HIVYO HATUKUONA NJIA NYINGINE ISIPOKUWA KUMRUDISHIA MAJI
HITIMISHO

Kama mtu ambaye ni kiongozi umegundua kuwa kuna hatari, kwamba maji anayotumia mtu Fulani na ambaye hajui kuwa kuna hatari kwenye maji hayo, kiasi inapelekea alazimike kuendelea kukulamikia kuwa umemkatia maji, kama kweli umemkatia kwa nia njema ya namna hiyo, si unamjulisha kuwa TUMEKUKATIA MAJI KWA SABABU HII NA HII!

Inafikirisha kidogo kwa sababu kama kuna watu walitaka kuhujumu usalama wa maji yanayoingia nyumbani kwa mhusika, watu hao tayari wanajulikana na mamlaka husika

KUHUSIANA NA OFISA WA NYUMBA ALIEHAMIA BLOCK ANALOISHI MHUISKA


Kwa upande mwingine katika hili, mhusika anaomba akiri kabisa kuwa aliishi kwenye ghorofa hilo muda wa miaka minane (8) bila matatizo yoyote isipokuwa shida ilianza kutokea tu mara huyu Ofisa wa nyumba alipohamia kwenye ghorofa hilo. Huyu mtu ana tabia zingine za kitoto kiasi unaweza ukamlinganisha na mtu ambaye akimuona mwenzake mvuta mkokoteni amenunua Baiskeli ilhali yeye anamiliki Semi Trela, wanaanza kushindana.

Kabla ya Ofisa wa nyumba kuhamia block hilo akitokea kwenye block jingine lililo jirani, mhusika hakuwa amewahi kupata shida yoyote ile ya kuishi kwenye ghorofa hilo

ZAIDI NI KUWA KWENYE MAGHOROFA MANNE YALIYOPO ENEO ANALOISHHI MHUSIKA, GHOROFA PEKEE LENYE SHIDA ZILIZOKITHIRI KUPITA MAGHOROFA YOTE NI LILE ANALOISHI OFISA WA NYUMBA, kinyume kabisa na matarajio ya walio wengi wenye akili ya kawaida. Kawaida ghorofa hili ndiyo lilitakiwa liwe na service kemkem kupita maghorofa yote.

Shida ni mashindano sijui ya nini. Unashindanaje na watu ambao wala huwajui na wala hawajapnaga kabisa kuwa na ratiba ya mashindano kwenye maisha yao yote? Maisha ya shida sana kuishi unashindana, na mbaya zaidi kushindana na usivyovijua

NEXT:

NAMNA OFISA HUYU WA NYUMBA ALIVYOMRUBUNI MHUISKA HADI AKAANZISHA TENA MAKATO YA NYUMBA KWENYE MSHAHARA WA MHUSIKA, AMABAYO HAPO AWALI HAYKUWEPO
 
NAMNA OFISA HUYU WA NYUMBA ALIVYOMRUBUNI MHUISKA HADI AKAANZISHA TENA MAKATO YA NYUMBA KWENYE MSHAHARA WA MHUSIKA, AMABAYO HAPO AWALI HAYAKUWEPO

MATUKIO MAWILI YA HATARI KWA WATU WENGINE, (SAFARI HII SYO KWAKE YEYE MHUSIKA) WAKIWEMO MAJIRANI, YALIYOTOKEA KWENYE NYUMBA ANAYOISHI MHUSKA NA HIVYO KUEPELEKEA MHUSIKA AOMBE KUBADILISHIWA NYUMBA


Kwa kifupi tu ni kwamba mwaka 2016 aliomba abadilishiwe nyumba baada ya matukio mawili ya hatari kutokea kwenye ghorofa analoishi mhusika, yakihusisha nyumba pekee anayoishi yeye ambayo iko ghorofa ya kwanza

Ni kwamba kwa wakati tofauti tofauti, mwaka 2016 na mwaka 2017 kuliwahi kung’oka na hivyo kuning’inia juu bila kuaguka chini, ZEGE MBILI NZITO (CONCRERE SLABS). ambazo kama zingetua chini, zingegharimu uhai wa maisha ya wakazi wanaoishi ghorofa hilo, na pengine si wakazi wa ghrofa hilo tu bali pia watoto wa maghorofa jirani ambao huwa wana kawaida ya kuja kucheza kwenye aeneo la ghorofa hilo

TUKIO LA KWANZA: KUNG’OKA KWA ZEGE ZITO LA KWANZA KUTOKA JUU GHOROFA YA KWANZA, NA KUNG’ANNG;ANIA JUU BILA KUANGUKA CHINI, NYUMBA ANAYOISHI MHUISKA

Mwaka 2016, nyumba anayoishi mhusika liliwahi kung’oka li-SLAB ZITO LA ZEGE (CONCRERE SLAB) juu kwenye ghorofa ya kwanza kwenye nyumba ile anayoishi yeye (mhusika), na ambapo CHINI YA GHROFA HIYO KUNA PARKING YA MAGARI PAMOJA NA SEHEMU AMBAYO MUDA MWINGI WATOTO WADOGO HUWA WANAITUMIA KWA KUCHEZA
  • Kwa bahati nzuri liling.ang’ania juu baada ya baadhi ya nondo zake zilizokuwa kushindwa kukatika, na hivyo kupelekea zilishikilie likashindwa kutua chini
  • Uzito wa concrete hiyo, kwa waliosoma Fizikia, potential energy (PE) yake kama lingetua chini, ilikuwa si chini ya tani mbili au tatu
  • Na kama lingetua chini, kulikuwa na uwezekano wa aidha kupoteza maisha ya watoto ambao huwa wanacheza mara kwa mara kwenye eneo hilo chini yake, au mtu ambaye angekuwa anatoka na gari kwenye parking
  • Zege hilo liling’ang’ania juu na halikuweza kuanguka
TUKIO LA PILI: KUNG’OKA KWA ZEGE ZITO LA PILI KUTOKA JUU GHOROFA YA KWANZA, NA KUNG’ANNG;ANIA JUU BILA KUANGUKA CHINI, NYUMBA HIYO HIYO ANAYOISHI MHUISKA

Baada ya zege hilo la kwanza kung’oka, jingine tena la pili lilikuja kung’oka namo May 2017
  • Hili la pili liling’oka upande EXACTLY OPPOSITE na ule wa ilie la kwanza
  • SAFARI HII, LILIMKOSAKOSA OFISA WA NYUMBA MWENYEWE, ALIKUWA ANATOKA NA GARI KWENYE PARKING
  • Kwa bahati nzuri, kuna mtu alikuwa upande wa ghorofa la pili (Mstaafu na alshahama kwa sasa, anaitwa Dr. Mapunda), aliliona zege hilo likiwa linashuka na hvyo akaamua kuchukua hatua ya kumpayukia Ofisa wa Nyumba akiwa ndani kwenye gari ili afanye utaratibu wa kujiokoa lisimwangukie
  • Zege hilo lilikuwa DIRECTLY ABOVE kwenye gari lake akiwa anatoka kwenye parking
Hata hivyo, zege hilo nalo pia liling’ang’ania juu, halikutua chini
  • Pengine kama lingekuwa ni la kutua chini, hata ALERT ya Dr. Mapunda kwa Ofisa huyu wa nyumba isingesaidia kitu
  • ALERT ya Dr. Mapunda inaweza kuwa ilisaidia kwa vile tu zege hilo halikuwa na uwezo wa kutua chini, vinginevyo kama lingekuwa ni la kutua chini, pengine lilikuwa na uwezekano wa kuiwahi ALERT ya Dr Mapunda, na lingeweza kumuumiza Ofisa wa nyumba au hata kumpotezea maisha yake akiwa ndani ya gari
Haya matukio yote yalitukia na Ofisa wa nyumba yeye akawa anaona kawaida sana, hata kushtuka alikuwa hashtuki,. Na ndiyo maana hata baada ya hapo, alikuja akaamua kufanya kama alivyofanya, maelezo ya kina kwa kile alichofanya baada ya hapo yanafuata

Zaidi ni kuwa mhusika anapenda kuwajulisha wasomaji wa uzi huu kuwa mpaka muda huu, kuna ZEGE NZITO NYINGINE NNE(4), NA ZA AINA ILE ILE KAMA ZILE ZILIZOWAHI KUANGUKA MIAKA ILIYOPITA. Hizi nazo ziko mimba, na zinaweza kuanguka wakati wowote. Mara zote zimekuwa zikianguka kwenye kipindi cha mvua. Still, sasa hivi Dar es Salaam imeshakuwa ukanda wa matetemeko, huwezi kujua linaweza kupita tetemeko la Ardhi na likasababisha baadhi ya -SLABS hizo kuanguka

Kwa wale wanaolijua ghororfa hilo analoishi mhusika, wanaweza kujipitisha pale kwa nje ili kujionea hali halisi ya ghororfa hilo namna ilivyo, na hasa hasa kwa nyumba ile anayoishi mhusika. Ni salabs zinazoweza kuonekana vizuri tu hata kwa nje na zina nyufa kiasi kwamba mtu hahitaji kuwa mkazi wa pale kuzikagua, anaweza akazikagua hata akiwa anapita nje, njiani au bararbani

NAMNA ULIVYOISHIA MPANGO WA MHUSIKA ALIOKUWA AMEUANZISHA WA KUOMBA NYUMBA NYINGINE BAADA YA SLABS HIZI MBILI KUWA ZIMEANGUKA

Mhusika aliamua kutofuatilia mpango wa kubadilishiwa nyumba baada ya kuwa imepita takribani miaka miwili pasipo response yoyote, ila hatimaye akaanza kukatwa pango la nyumba kwa kutumia makaratasi yale aliyokuwa ameyajaza wakatii wa kuomba housing re-allocation. Kwa hiyo alichofanya ofisa wa nyumba baada ya matukio haya ya kung’oka zege mbili nzito mfululizo, ni kumpa mhusika documents ajaze kwa ahadi kuwa anataka kumbadilishia nyumba, na hatimaye tena kuzitumia document hizo kuanza kukata mshahara wa mhusika pango la nyumba, na pasipo kumpangia nyumba nyingine yoyote iliyo salama. Kawaida, nymba hiyo ilitakiwa kufanyiwa ukarabati mkubwa kuepusha isije ikasababisha upotevu ya maisha ya watu na hasa watoto wadogo ambao huwa wanatumia muda mwingi kucheza kwenye block hilo

Kwa upande mwingine, mhusika aliona kama iwapo angeng’ang’ana sana kuomba kudadilishiwa nyumba hiyo, ombi lake lingekubaliwa na kulikuwa na dalili za pengine kuepelekwa sehemu nyingine ambayo isingekuwa salama sana kwake
  • Ghorofa hilo ni salama zaidi kwake kwa sababu kiko karibu na Kituo cha Polisi, na liko mbali kidogo na barabara
  • Vile vile location ya pale ilipo nyumba ya mhusika napo pia ni pazuri zaidi ukilinganisha na location ya nyumba nyingine zilizo kwenye ghrofa hilo
Hivyo mhusika baadaye aliogopa kufuatilia nyumba kwa kuona kuwa angeweza kulazimishwa kwenda kukaa kwenye nyumba nyingine ambayo si salama, ukizingati a kuwa ile anayoiishi ina qualificatons zote za kuweza kufanyiwa ukarabati mkubwa

BADALA YA OFISA WA NYUMBA KUMPANGIA MHUSIKA NYUMBA NYINGINE ILIYO SALAMA, ALIIDHINISHA MHUSIKA KUKATWA KUTOKA KWENYE MSHAHARA WAKE, PANGO LA NYUMBA KUANZIA FEBRUARI 2018,

Kwa hiyo, badala ya Ofisa wa nyumba kumpangia mhusika nyumba nyingine iliyo salama, ilitokea siku moja akamwita mhusika ofisini kwake na kumpatia documents za kujaza, mhuska akiwa anajua kuwa ni kwa ajili ya kupangiwa nyumba nyingine na si kukatwa pango la nyumba kwa sababu kipidi hicho tayari alikuwa anstahili kukaa kwenye nyumba bure. Baada ya hapo ofisa huyu alianza sasa kuzitumia documents hizo kukata mshahara wa mhusika na pasipo kumpangia nyumba nyingine

Wakati Ofisa huyu wa nyumba anampa mhusika documents za kujaza kwa kumuahidi kuwa anataka kumpangia nyumba nyingine, MHUSIKA ALIKUWA YUKO LIKIZOI, NA WANAFUNZI NAO PIA WALIKUWA HAWAPO CHUONI, WALIKUWA WAMEFUNGA . Kwa kumbukumbu zake mhusika, wakati huo ilikuwa ilikuwa ni mwezi August/ Septemba 2017, muda ambao alikuwa amechukua likizo yake ya mwaka, kwa mwaka wa 2017

KILICHOKUWA KINAFANYIKA BAADA YA MABONGE HAYO YA ZEGE KUNG’OKA

Zege nzito zilizowahi kung’oka, kila moja kwa wakati wake, alikuwa anatuma watu kuja kuzi-replace kwa ubao mrefu mpana, mwembaba, kwa kila SLAB. Mbao hizo zipo mpaka leo na zinaonekana hata mtu akiwa yuko nje kwa mbali.

Mmojawapo wa ubao huo ulio upande wa parking, uko liable na aina ya wadudu fulani ambao huwa wanapekecha mbao (wood-peckers) na huwa unaliwa na kutoa unga kwa ndani. Ukiingia ndani unakuta unga utadhani mtu alitoka kusaga unga wa mahindi na kwa bahati mbaya akandodsha chombo cha kubebea unga ukamwagika

Zaidi ni kuwa kila ilipokuwa inatokea ubao wa aina hiyo unaletwa kuja kuziba nafasi iliyoachwa wazi na zege zito, ILIKUWA LAZIMA MHUSIKA APIGWE PIGO LILE LA KOO, MAPIGO YA MAKOO YALE AMBAYO ALIWAHI KUYAELEZEA HAPO AWALI ALIPOKUWA ANATOA DETAILS ZA MR X

Maelezo mengine ya kina zaidi yanafuata

……………………….inaendelea
 
HATUA ALIZOWAHI KUCHUKUA MHUSIKA KUTOKANA NA MATUKIO HAYA YA ZEGE NZITO KUANZA KUNG’OKA

Kabla hata halijaanguka ZEGE ZITO LA KWANZA, mhusika aliwahi kumuomba Ofisa wa Nyumba, kama jirani, aje aaingalie nyumba anayoishi namna hali yake ilivyo. Ofisa huyu aliitikia wito, na ilikuwa ni katika siku ambayo mvua ilikuwa imenyesha na kuepeleka maji mengi kuingia ndani kupitia upenyo au mianya ya sehemu ambazo SLABS hizo zilikuwa tayari zimeshatengeneza kwa kuanza kujiachia kutokea ukutani. MPAKA MUDA HUU, PALIKUWA HAPAJWAHI KUTOKEA TUKIO HATA MOJA LA KUNG’OKA SLAB KWENYE NYUMBA HIYO

Ofisa huyu baada ya kuona hali ya nyumba, alimshauri mhusika aandike barua mamlaka za juu ili aombe kupangiwa nyumba nyingine. Mhusika alifanya hivyo; na pia alimpa ofisa huyo nakala ya barua hiyo isiyo rasmi (barua ambayo haijanakiliwa kwake) kama reference yake binafsi

Barua hiyo ya kwanza kabisa aliyoaindika mhusika, haikuwa imebeba maudhui ya kuomba nyumba tu, bali pia kuutarifu uongozi wa juu kuwa nyumba hiyo ilikuwa inaelekea kwa siku za hivi karbuni, kuwa hatari kwa maisha ya wakazi wa ghrofa hilo, na hasa watoto wadogo ambao muda wao mwingi huwa wanautumia kwa ajili ya kucheza maeneo lilipo ghorofa hilo

Miezi kadhaa ilipita pasipo mhusika kupata majibu ya barua yake, na kila alipokuwa anajaribu kumuulizia ofisa wa nyumba kama jirani yake, ofisa huyu alikuwa anajibu kuwa kuna mtu ambaye anatakiwa kuja kuikagua hiyo nyumba. Kwa hiyo mtu huyo inabidi aje aikague kwanza ajiridhishe kuwa kweli inahitaji ukarabati, halafu ndiyo tutaweza kukuhamisha hapa na kukupangia nyumba nyingine

Wakati mhusika akiwa anasubiria nyumba ikaguliwe ili aweze kuona kama atapangiuwa nyumbani nyingine, ndiyo sasa katika kipindi hicho LIKAANG’OKA SLAB LA KWANZA

Kilichotokea baada ya hapo, walikuja mafundi kuweka ubao kuziba nafasi iliyokuwa imeachwa wazi, lakini pia baada ya hapo ubao huo uliowekwa ukawa umempiga koo mhusika. Kwa hiyo, UBAO HUO ULIWEKWA UKIWA UMEAMBATANA NA SHAMBULIO LA KOO

Baada ya hapo, mhusika akaendelea tena na maisha yake akiwa kwenye nymba hiyo

Ilipofika tena mwezi MAY 2017, SLAB LINGINE LA PILI NALO LILIANG’OKA TENA na hivyo kupelekea mafundi wengine tena kuja na kuweka ubao kwa ajli ya kuziba nafasi iliyokuwa imeachwa wazi, huku UBAO HUO NAO VILE VILE UKIWA UMEAMBATANA NA SHAMBULIO JINGINE LA KOO

Kipindi slab la kwanza lilipoanguka, mhusika aliandika barua (ya pili), kuu-ALERT uongozi wa ngazi za juu kuhusiana na usalama wa nyumba hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa supporting evidence za kuonyesha kuwa Ofisa wa Nyumba mwenyewe safari hii ndiyo angeweza kuwa victim, pengine isingekuwa msaada wa Dr. mapunda
  • Baada ya barua hiyo, mhusika aliandika barua nyingine tena (ya tatu) kukumbushia. Baada ya hapo alitumwa mtu mmoja kuja kukagua nyumba akitokea idara ya miliki nyumba na akapeleka ripoti.
  • Baadaye tena likatumwa jopo la watu kama wanne au watano hivi, akiwemo mkuu wao mwenyewe, yule ambaye aliwahi kusemwa na Ofisa wa nyumba hapo awali kwamba anatakiwa aje akague nyumba kwanza halafu ndiyo mambo mengine yafuate. Ilikuwa ni timu ya watu wanne au watano hivi, na walikagua wakasema kuwa nyumba zote mbili zilizo upande wa kule iliko ile ya mhuiska inabdi zifanyiwe uukarabati mkubwa
  • Vile vile, mmojawapo wa wakaguzi hao alikuwa ofisa yule aliyewahi kuja kukagua mara ya kwanza
Baada ya timu hiyo kuondoka, ndiyo ikawa kimya tena

Hata hivyo, mnamo AUGUST/ SEPTEMBA 2017 MHUSIKA AKIWA YUKO LIKIZO, ndiyo sasa ilitokea asubuhi moja akapokea ujumbe mfupi wa simu (SMS) kuwa anahitajika kwenye idara ya miliki ya nyumba ili akajaze fomu kwa ajili ya kupangiwa nyumba nyingine
  • Ujumbe huo ulitoka kwa msaidizi wa Ofisa wa nyumba, alikuwa ameagizwa na Ofisa wa nyumba mwenyewe
  • Mhusika hakuchelewa, “alitia timu” muda siyo mfupi na akakutana na msaidiizi wa Ofisa wa nyumba
  • Alipewa fomu ya kujaza ambayo alitakiwa kuipitisha pia kuanzia idarani kwake kwa Mkuu wa Idara hadi kwa mwakilishi wa MAJOR UNIT (above departmental leve, unitl iliyo juu ya idara ambayo mhusika anafanyia kazi) wa kamati wa nyumba
  • Wakati huo, Mkuu wa Idara hakuwepo, isipokuwa kulikuwa na kijana mwingine “junior” ambaye ilikuwa ni mara yake ya kwanza kabisa ku-act nafasi hiyo kwa sababu seniors karibia wote hawakuwepo idarani kipindi hicho, walikuwa likizo na wengine walikuwa bado wako kwenye mazoezi ya vitendo (field)
Ikumbukwe kuwa kwenye kipindi hiki mhusika alikuwa bado yuko likizo na ilikuwa ni wakati wa likizo pia kwa wanafunzi wote, nao pia hawakuwepo mazingira ya ofisini

Mhusika alifanikiwa kukamilisha sahihi za watu wote hawa wawili, na baada ya hapo akaanza kusubiria sasa kupangiwa nyumba nyingine ili ile aliyonayo ianze kufanyiwa ukarabati mkubwa

HITIMISHO

  • Ilipofika February 2018 na akiwa bado hajapangiwa nyumba wala kujibiwa barua za maombi yake ya nyumba, mhusika alibaini makato mapya ya takribani TZS 300,000/= na alipofuatilia akaambiwa kuwa ni makato kwa ajili ya pango la nyumba
  • Vile vile ilipofika August 2018 AKIWA YUKO LIKIZO, alipitia ofisini siku moja na kukuta kuna barua kwenye pigeon hole yake iliyokuwa inamtaka akalipe Benki fedha isiyopungua TZS 2,000,000/= ikiwa ni pango la nyumba analodaiwa kwenye miezi ya kuanzia JULY 2017 hadi JANUARY 2018, ambalo lilidaiwa kuwa hajawahi kulilipa
Mhusika hakuwa na hela hiyo na hakuweza kulipa deni hilo, na hajaweza kulilipa hadi leo.

Baada ya hapo kukawa kimya tena ndani ya mwaka mzima kuhusiana na deni hilo la nyumba

Hata hivyo, ilipofika Septemba 2018 AKIWA YUKO LIKIZO, deni hilo likaibuka tena. Mhusika alipitia tena ofisini siku moja na kukuta kuna barua iliyokuwa ikikumbushia deni la barua iile ya mwaka uliokuwa umepita, na barua hiyo ya pili ilimtaka mhusika aidha mara moja akalipe deni hilo la pango ya nyumba ndani ya siku 30 (wakati huo zilikuwa zimebaki siku 14, alikuwa yuko likizo) au vinginevyo atatolewa kwa nguvu (being evicted) kwenye makazi ya nyumba anayoishi

KUHUSIANA NA SLABS NNE (4) AMBAZO MHUSIKA AMESEMA NAZO ZIKO MIMBA KUBWA YA KUNG’OKA WAKATI WOWOTE
, huwa ni kawaida kwa slabs hizo likishaingia giza na akishawasha taa, huonyesha mstari mweuppe unaotokana na mwanga wa taa. Mstari huo huwa unajichora kuanzia pale slab inapoanzia mpaka inapoishia. Kwa mtu anayeziangalia slabs hizi KWA NJEI , angalau anaweza akadhani kuwa zina hali nzuri ila kwa yule aliye ndani, ni hali mbaya kwa kweli

KUHUSINA NA TIMU ILIYOWAHI KUJA KUKAGUA NYUMBA NA KUPOTEA KIMOJA

Baadahi ya waliokuwa kwenye timu hiyo walikuwa na hidden agenda n nyuma yake. Mhusika lalianza kupata shida sana wakati wa usiku pindi anapokuwa amelala. Uhakika wa waliokuwa na hidden agenda nyuma yake ni yule ambaye aliwahi kuja kukagaua nyumba mara ya kwanza akiwa yuko peke yake, ambaye ndiye ali-coordibnate pia hata ukaguzi huu mwingine wa mara ya pili akidai kuwa ule wa kwanza aliowahi kufanya yeye peke yake ulikuwa hautoshi

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 16 JULY 2021

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TATIZO LA MAJI LILIVYOANZA NYUMBANI KWA MHUSIKA


Lilianza mwaka 2012 baada ya binti wa SENIOR MSTAAFU WA KIUME- SMME (ambaye pia ni binti wa SENIOR MSTAAFU WA KIKE-SMKE), kuhamia kwenye ghorofa analoishi mhusIka
  • Baada ya kuwa amehamia pale, binti huyu alikaa kwa muda mfupi tu (mwaka na miezi kadhaa tu, miaka miwili haikutimia) halafu baadaye akahamia sehemeu nyingine
  • Kipindi kabla hajahamia kulifanyika ukarabati kwenye nyumba aliyokuwa anatarjia kuhamia, ambayo iko ghorofa ya juu (DIRECTLY ABOVE) ya ile ya mhusika
  • Binti huyu aliwahi kumshirikisha mhusika kuhusiana na swala la fundi bomba ambaye alikuwa anahitaji kufanya marekebisho ya mabomba (plumbing system), ya upande ule mmoja tu ambao nyumba za majirani hawa zipo
  • Marekebisho hayo yalikuwa yanahitaji mhusika ampe fundi bomba access pia kwenye mabomba ya maji yaliyokuwa yanaingia nyumbani kwake, na hivyo ilikuwa inabiodi fundi huyo aingie ndani nyumbani kwa mhusika kwa ajili ya kufanya marekebisho hayo
  • Kwa hiyo binti huyu alimjulisha mhusika kuwa kama asipotoa access ya kufanyiwa marekebisho ya mabomba yanayoingia nyumbani kwake, basi fundi huyo hataweza pia kufanya matengenezo yanayohitajika kwenye nyumba ambayo binti huyu alikuwa anatarajia kuhamia.
  • Haya yalikuwa ni maelezo ya binti kulingana na fundi bomba alivyokuwa ameeleza; ambaye mhusika kwa wakati huo alikuwa hajamjua kuwa ni nani kwa sababu alikuwa hajabahatika kukutana naye
Wakati wanaongea haya yote walikuwa sehemu fulani kwa jirani, kulikuwa kumetokea msiba mkubwa sana.
  • Mhusika hata hakujiuliza kwa nini binti huyu alimsubiria kuongea naye pale kwenye msiba wakati muda mwingi tu walikuwa wanaonana kwenye mazingira ya nyumbani ambako ndiko ukarabati wa nyumba ulikuwa unafanyikia
  • Mbali na hayo, binti hakum-approoach mhusika moja kwa moja pale msibani isipokuwa alituma mtu
  • Mtu aliyetumwa na binti huyo, ndiye huyu ambaye baadaye alikuja kuwa Mkuu wa Idara; aliyewahi kupata tatizo la kushambuliwa na mtu akiwa ndani ya jengo la ofisi za idara,hali iliyopeleka ARUKE KUTOKA JUU GHOROFA YA KWANZA, AKATUA CHINI NA KUUMIA KIWIKO, MWAKA 2015
Huyu mtu ndiye alitumwa na binti (watu wote hawa wakiwa kwenye mazingira ya kundi kubwa la watu waliokuwa lkwenye msiba), kumuita mhusika ili akaongee na binti yule, swala hili ambalo ameiiongelea hapo juu

Kwenye msiba huo, alikuwepo vilevile baba mtu SMME, na alikuwa analalamika kuhusiana na tukio la msiba akisema “yaani FULANI ameondoka hivi hivi tu, haiwezekani……”

Hiyo sasa ilikuwa February 2012, na ilipofika May 2012, mhusika alipangiwa safari ya kikazi mikoani kwenda kukagua vituo vya matetemeko ya Ardhi, na baada ya safari hiyo hajawahi kusafiri tena hadi leo. Yaliyotokea kwenye safari hiyo wasomaji wa siku zote wa uzi huu wanayaelewa, hahitaji kuyarudia. Kwa hiyo mara ya mwisho mhusika aliiona mizani ya kupimia uzito wa magari pale Kibaha ilikuwa ni May 2012


YALIYOJIRI BAADA YA BINTI WA “SMME” KUHAMIA GHOROFA ANALOISHI MHUISKA


Mara baada tu ya ukarabati kukamilika, ndani ya muda mfupi, na kwa mara ya kwanza mhusika alianza kukosa maji bafuni, akawa anachota kutokea jikoni na kupeleka bafuni

WAKATI HUO HUO:

Ilikuwa kila akienda Bank A,
(benki aliyokuwa na akaunti mbili ambazo amezifunga hivi karibuni, iliyoko katika mazingira ya kazini kwake) akishamaliza kufanya shughuli zake mle ndani, ilikuwa mara tu akishatoka nje kabla hajaenda mbali, kulikuwa na angalaumfanyakazi aliyekuwa anamfuata na kumwambia kuwa anatakiwa apeleke SALARY SLIP yake benki wanaihitaji
  • Sababu zilizokuwa zinatolewa na wafanyakazi hao ni kuwa walikuwa wanahitaji ku-update taarifa zake kwenye database yao
  • Pamoja na kutolewa kwa sababu hiyo, bado mhusika alikuwa anajiuliza “kwa nini anapokuwa yupo ndani hawamwelezi hilo ila mara tu anapotoka nje ya Benki ndiyo hutokea mfanyakaazi wa kumfuata na kumweleza hilo akiwa tayari yuko nje ya jengo la Benki na si ndani?”!
  • Baada ya jambo hilo kujirudia karibia mara tatu hivi kila alipokuwa anaenda Benki na katika vipindi tofauti tofauti, baadaye aliona isiwe taabu
  • Hatimaye kweli siku moja mhusika aliamua kuwapelekea watu hawanakala ya SALARY SLIP yake
HAPO SASA ILIKUWA NI BAADA YA KUWA AMEPANDA DARAJA KUANZIA JULAI 2012, DARAJA AMBALO BAADAYE ALIKUJA KUNYANG’ANYWA TENA MWAKA 2014 NA KUPEWA CHEO KINGINE AMBACHO NDICHO ALICHONACHO HADI LEO HII


KILICHOTOKEA SIKU ANAWAPELEKEA SALARY SLIP WATU WA BENKI A


Ilikuwa ni Jumamosi asubuhi na ikumbukwe kuwa kwa wakati huo hakuwa na gari, alikuwa anapanda daladala

Jumamosi hiyo akiwa yupo kituo cha daladala anasubiria gari la kuelekea maeneo ya ofisini au kule iliko benki, na WAKATI HUO WANAFUNZI WAKIWA TAYARI WALISHAFUNGA NA KUONDOKA MAZINGIRA YA OFISINI
  • Binti wa SMME alimpita mhusika pale kituoni, yeye akkiwa anatokea mtaani; alikuwa natokea uelekeo opposite na ule aliokuwa anaelekea mhusika
  • Binti huyu alikuwa anarudi nyumbani na walipungiana mikono
Hatimaye daladala ilikuja na mhusika kupanda na akielekea Benki A. Alipofika Benki A, aliwakabidhi nakala ya SALARY SLIP hiyo na hatimaye kuanza tena safari ya kurudi nymbani kwake.

Ile mhusika anamaliza tu kushuka ngazi za nje za jengo la Benki A, alikutana na mama wa binti jirani yaani SENIOR MSTAAFU WA KIKE-SMKE),, akiwa yuko hai hai naye akielekea ndani ya Benki
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza (na ya mwisho pia) kwa mhusika kukutana na SMKE mazingira ya Benki hiyo
  • Hadi siku mhusika anafunga akaunti zake mwaka jana mnamo April 2020, alikuwa hajawahi kubahatika tena kuonana na mama huyu maeneo ya Benki ile
HITIMISHO

Assuming kuna chochote kisichokuwa cha kawaida kuhusiana na swala hili la maji, watu hawa watatu, yaani SMME, SMKE na binti yao wanaweza kuwa na details zake kwa usahihi zaidi. Vinginevyo kama haya yote ni maswala ya coincidences tu, basi watakuwa hawana chochote wanachokijua

Huyu binti baada ya kukaa mwaka na miezi kadhaa tu na hatimaye kuhama tena, alikuja mtu mwingine kwenye nyumba hiyo ambaye naye pia alikuwa na uhusianao wa karibu sana na SMME. Aalikuwa ni mmojawapo wa subordinates wa SMME kwenye ofisi yake kubwa a SMME alikuwa akiishikila kipindi hicho

Wakati ukarabati wa nyumba aliyowahi kuhamia binti huyu unafanyika, fundi bomba alifanikiwa pia kuweka tanki la maji la ziada juu ya ghorofa kwa ajli ya binti huyu tu peke yake, ambalo hapo awali halikuwahi kuwepo. Kwa hiyo binti huyu alihamia pale na akawekewa sytem nyingine ya maji ya ziada ambayo ilikuwa tofauti na system ya awali iliyokuwa ikitumika na wakazi wengine wote waliowahi kuishi ghorofa hilo

Kipindi hicho OFISA WA NYUMBA naye ndiyo alikuwa bado mgeni kidogo kwenye block hilo ila yeye alitangulia kuhamia kabla ya binti huyu


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Hii kitu imenifanya kwanza niisome yoote.

Baada ya hapo imenifanya nisikae kizembe, nilikuwa na utaratibu huu miaka ya nyuma, muda wa kulala nilikuwa najaribu kurudisha kumbukumba za matukio yoote yaliyopita katika siku husika na kuona mistakes nyingi tu, na mara nyingi ilikuwa unajikuta umeingia kwenye mtego bila kujia.

Baada ya kusoma hii kitu, nakiri haya ni maisha ambayo anatakakiwa kiwa mwanaadam ayaishi, kila sekunde ya maisha yako kuna mitego mingi sana unaippitia, mingine unaitatua bila kujua na mingine unaiingia bila kujua.

Nna matukio pia machache tu nomekutana nayo mwezi uliopita uamenifanya mpaka sasa niwe macho na kila jambo.

Mfano.

Mimi nimefungua kijiofisi katika mji ambao mimi ni mgeni, na nilipofika nimefuata taratibu zote za utambulishi ili niwe mkazi ninayetambuliwa. Lakini kuna mambo hayako sawa.


Kuna siku alikuja mkata ushuru wa taka, akaiangalia ofisi yangu kisha akauliuza, kwa vitu hivi ulivyonavyo unawezaje kulipa pango la hapa? ( Liko juu na nadhani kwenye wilaya hii hapa nilipo kodi ipo juu kuliko jengo lingine lolote_ wilaya mpya ndani ndani huko. )

Nilimtazama nikàmwambia nadhukuru kama umeliona hilo, je umekuta taka zozote zinazozalishwa hapa? Ama unahisi nipo hapa kwa bahati mbaya? Akaniangalia akasepa hata pesa ya taka hakuchukua.

Siku hiyohiyo usiku, anakuja jamaa mmoja anajifanya muda woote amelewa, ni daktari huyu,

Anakuja katika mwendo wa kulewa anasalimia kisha ananiambia, mdogo wangu, ukiona mtu anakuambia ukweli ujue anakupenda, jichanganye, watu wa hapa wanacheka na wewe lakini hawakupendi, kama unamuamini Mungu mfuate Mungu na kama unaamini uchawi basi kuwa mchawi kupitiliza, mimi nakuambia hapa humalizi miezi 6 na ukimaliza hiyo sita hutoweza kulipa kodi hapo na kama unabisha mimi naweka liki tano hii apa wewe lazma uondoke! Tena kwa kushindwa kulipa kodi. Hapo sasa ndio nikastuka, nikakumbuka mchana alikuja mtu akaongea upuuzi kama anaongea huyu jamaa, nikaunga matukio asubuhi ya siku hiyo nilisikia wapangaji wenzangu wanasema kutakuwa na kikao cha .........................hiyo siku..

Dah tangu hiyo siku mpaka sasa, kila ninachokitilia mashaka nakiwekea kumbukumbu maalum, ila yule mpuuzi nilimwambia mimi ni Mtanzania na sipo hapa kwa bahati mbaya na acheze cheze ila asijeingia kwenye 18 tu, yaani panoja na yeye kujiamini sana yaani jamaa ni mjivuni mno, nikamwambia nimeziona weakness zake, so wakati ananichunguza mimi, ntafanya mara tatu yake kwake, na endapo kuna lolote ntalitilia mashaka kuhusu mimi, sitaenda kushtaki ila ntafanya kubwa ambalo hajawahi tarajia, maana jamaa anaongea kama anayajua maisha yangu k*****€. Sasa nimelipa kodi mpya nimekutana nae akataka kubafilisha njia, nikamfuata, nikamwambia ile laki tano sihitaji, sema kwa kuwa tulibet na ukasema ntashindwa, ipo siku isiyonajina nakuzibua mtaro...


Mambo ambayo mpaka dakika hii siyaelewi.

* Naenda duka la dawa, nafungiwa dawa katika karatasi zenye nembo maalum! Japo ni za muda lakini moja kwa moja hazistahili kuwepo kwenye duka la dawa na kuwafungia wateja dawa kwenye karatasi za siri, hii haikuwa bahati mbaya na nilijua baada ya ku rewind tukio zima.

* Watu wawili kuja kuhoji uwepo wangu kwenye zile frem na kodi, yaani kama sistahili hivi.

* Mtu anakadiria kipato changu kwa siku, wiki, mwezi mpaka mwaka.

* Mtu anajua root zako zoote kwa siku

Sasa hapo nashindwa kuelewa, mtu huna rekodi yoyote ya uhalifu, vurugu wala huna makundi, na zaidi hata marafiki wala kushiki nyumba za ibada huna huo utaratibu, wengine tumeamua kama ibada unafanya mwenyewe tu kimpango wako kutokana na viashiria flani flani mpaka huko kwenye nyumba za ibada hupaelewi pia. Nyumba unayoishi unaishi kwa machale maana kila mtu yupo kimya na yupo makini kweli kweli, kama kuna story basi ni za asubuhi, za kutwa, za jioni, imeisha hiyo..( watumishi ) mtu pekee ambae si mtumishi ni miminambae nimejiajiri na kazi yangu inaonekana na kila mtu..

Nilichojifunza, kama unaishi, basi fahamu kila kitu ni Code.
 
Mhusika, kwa kutumia analysis yake ya ki-layman kabisa, yeye huwa anakadiria kuwa mchango wa SENIOR MSTAAFU WA KIUME kwenye haya yote yaliyoandikwa humu ni kama asilimia 99%.

Mhusika huwa anaona kuwa mtu huyu alihusika pia hata kwenye mambo kadhaa aliyowahi kuyabaini (mhusika) kipindi ugeni mkubwa ulipoitembelea taasisi mara mbili ndani ya mwezi mmoja wa Novemba 2018
 
Wawili wana uhusiano wa karibu sana na Ofisa wa nyumba ambaye wanaishi ghorofa moja na mhusika, mmoja wao akiwa pia anafanya kazi kitengo kimoja na jirani mwingine wa mhusika yule aliyewahi kushambulia gari la mhusika hivi karibuni. Wa tatu ni mtu ambaye hajawahi kumuona akiwa na uhusiano wa aina yoyote na majirani hawa wawili wa mhusika ila ni mtu anayeshughulika na mambo ya OPRAS
UPDATE: MONDAY 19 JANUARY 2021
Hiki hapa chini ndiyo anachoweza kukiona anapojaribu kuangalia OPRAS yake muda huu. Kuanzia wiki jana OPRAS yake haisomeki, wkati kipindi chote cha nyuma ilikuwa inasomeka.

1626682828901.png


1626682878396.png


1626682913538.png
 
UPDATE: TUESDY 20 JULY 2021

HALI YA USALAMA ILIVYO KWA SASA NDANI YA GHOROFA ANALOISHI MHUSIKA
: NYUMBA ILIYO WAZI KWA KIPINDI KIREFU SASA INAANZA KUONYESHA DALILI KAMA INAWEZ KUWA THREAT KWENYE GHOROFA HILO


Hii ni nyumba kubwa iliyo ghorofa(ya nne) ya juu kabisa na ambayo imekuwa wazi kwa kipindi kirefu ksana takribani miaka miwili sasa

  • Nyumba hii ni ile ambayo iliwahi kuachwa wazi na jirani ambaye amekuwa na kawaida ya kukutana na mhuiska kwenye parking za gari siku za Jumatano, baada ya jirani huyo kuwa amehamia sehemu nyingine
  • Tangu kuhama kwake jirani huyu, nyumba hiyo haina mtu yeyote mkazi anayekaa humo, kwa hiyo imekuwa wazi muda wote tangu ahame
Hata hivyo, kwenye hizi pilika piika za kurudishwa kwa maji yaliyokuwa yamekatwa nyumbani kwa mhusika, imekuja kubainika kuwa kuna matumizi yasiyokuwa rasmi yanaendelea ndani ya nyumba hiyo

Na siyo katika kipindi hiki tu, bali pia hata katika kipindi cha nyuma pia kuna watu walishawahi kuitumia nyumba hiyo, ambao kwa kipindi hicho, mhusika alidhani kuwa wamehamia kwenye nyumba hiyo kumbe hapana, walikuwa ni wageni tu wapitaji

Kwa hali ilivyo sasa, wageni hao huja na kutumia nyumba hiyo kwa ridhaa ya Ofisa wa Nyumba, ambaye anaonekana kuwa ana funguo za nyumba hiyo nyumbani kwake

Hili ni dokezo fupi tu kuhusiana na mchakato mzima ulioambatana na kurudishwa kwa maji (jikoni tu, bafuni bado) nyumbani kwa mhusika, ambayo anaona yamerudi kwa ghafla sana pasipo yeye kuwa na taarifa zozote na kwa surprise ya hali ya juu sana.

Maji hayo yalirudi Ijumaa jioni, na baada ya mhuiska kuwa amepewa hint ya ghafla na jirani siku ya Alhamis jioni walipokutana kwenyengai/ korido.

Maji haya yamerudishwa jikoni tu, (bafuni bado hayajarudishwa) na mafundi walliofanya kazi katika muda ambao si wa saa za kazi, na pasipo mhusika kuwa na taarifa rasmi za uwepo wa mafundi hao, na yakiwa yameambatana na tozo ya TZS 25,000/=

Kwa kifupi tu ni kwamba siku ya Ijumaa kwenye saa 12:00 jioni, mhusika alirudi kutoka kazini na kukuta mafundi wanamalizia kazi, halafu mmojawapo wa mafundi hao akamfuata moja kwa moja mhusika alipokuwa anapandisha juu nyumbani kwake, na kujitmabulisha kuwa yeye ni fundi bomba na akamsihi akague jikoni na bafuni kuona kama maji yanatoka nyumbani kwake pia

Wakati huo wageni waliokuwa wanaishi nyumba iliyo wazi kule juu, nao walikuwa wanpandisha juu, wakishuhudia mhusika akiwa anaongea na fundi huyu wakiwa wanasmesimama mlangoni na hadi walipoingia ndani. Mhusika hata alikwa hata hamfahamu fundi huyu na wala hakuwa ametambulishwa kwake na mtu yeyote yule

Mhusika alimruhusu fundi huyu kuingia jikoni akiwa yuko pamoja naye, ila akamkatalia kwenda bafuni. Huko alimwambia ataangalia mwenyewe halafu atamjulisha baadaye kama maji yanatoka ama la. Hivyo ikambidi mhuiska aombe namba ya simu ya fundi huyo. Ni kwa sababua mhusika alikuwa hajui kama fundi huyo kweli ni mfanyakazi mwenzake ama la, hakuwa na taarifa rasmi kutoka kwenye mamlaka inayohusika na mafundi hao, na hata baadaye J3 asubuhi alipojaribu kupiga simu ili aulizie kama mamlaka zinazohusika na maji zilituma mafundi kwa ajili ya kazi hiyo, simu zilikuwa hazipokelewi.

Maelezo ya kina ya tukio hili linalohusiana na kurudishwa kwa maji jikoni yatafuata baadaye.

Kuna maelezo mengi tu na ya kutosha sana kwenye tukio hili

ZAIDI NI KUWA MPAKA MUDA HUU MCHAKATO WA MALIPO YA MASLAHI YAKE BADO HAUJULIKANI UKO KWENYE HATUA IPI


Na yeye kwa akili yake finyu, anajua kuwa haya ndito yanapelekea mambo haya yote kutokea. Bado yanaendelea kuvuta akina MARIANA REVOCATUS KAPAMA wengine

…………………itaendelea
 
Vile vile, kwa akili yake finyu, mhusika anaonai pia kuwa dhana yake kuhusiana na swala la hivi karibuni la PRESSURE YA MAJI KUPUNGUA SANA, kwamba lilikuwa iko linked na mbinu ya mtu aliyetakiwa kuingia ndani nyumbani kwake yeye akiwa yuko kwenye pilika pilika za kuchota maji yanayohururizika kwa pressure ndogo bombani, dhana hiyo inaonekana kuwa iko sahihi sana kwa sasa, mtu akijaribu kuihusianisha na matukio
 
KUNA NYUMBA IKO WAZI HAINA WAKAZI, KWENYE GHOROFA ANALOISHI MHUSIKA. NA MTU AKITOKA KWENYE NYUMBA HIYO YA JUU KABISA, ANAWEZA KUPANDISHA JUU SUMMIT AMBAKO NDIYO KUNA RESERVE TANKS ZA MAJI WANAYOTUMIA WAKAZI WA GHOROFA ZIMA, ISIPOKUWA OFISA WA NYUMBA PEKEE, AMBAYE YEYE MAJI YAKE HAYAPITII KWENYE RESERVE TANKS, AMEUNGANISHIWA MOJA KWA MOJA. WAKATI ANAHAMIA KWENYE GHOROFA HILO, YEYE ALIFANYA UTARATIBU WAKATI WA UKARABATI AKAUNGANISHWA MOJA KWA MOJA, KWA HIYO AKAWA HATUMII TENA RESERVE TANKS
 
Kwa uzoefu wake mhusika tangu aanze kuishi mahali hapo anapoishi sasa, hakuna nyumba ambayo mtu aliwahi kuhama na ikaendelea kuwa iko wazi kwa kipindi kinachozidi miezi mitatu. Hii ya sasa imevunja rekodi kwa sababu inaelekea miaka miwili sasa iko wazi bila kuwa na watu wanaoishi humo
 
UPDATE: SATURDAY 24 JULY 2021

NYONGEZA NNE (4) MUHIMU SANA:

1. KUHUSIANA NA MGENI ALIYEFIKA OFISINI KWA MHUSIKA AKIMTAFUTA HUKU AKIDAI KUWA NI MWANAE

  • Mama huyu anaitwa Mariana Renatus Kapama (MRK)..Jina lake la katikati ni Renatus na si Revocatus kama ilivyoelezwa hapo awali
  • Kwa maelezo ya mama huyu, siku hiyo alianzia masjala na kukutana na mtu mwenye jina linalofanana na neno la kiingereza linalomaanisha “PIPE”. Pipe ni kifaa ambacho huwa kinatumiwa na mafundi bomba
  • “PIPE” ndiyo alimpa maelekezo MRK na yaliyopelekea aweze kufika idarani kwa mhusika ambako hatimaye aliweza kuonana na akina MR X na SMMKE
2. KUHUSIANA NA HALI YA USALAMA KWENYE GHOROFA ANALOISHI MHUSIKA
Ndani ya wiki hii, mhusika alifanikiwa kupandisha juu kabisa ghorofani (summit) ili kuaangalia mazingira ya huko yakoje kwa sasa. Kikubwa alichokutana nacho ni kuona sehemu ya sakafu imetapakaa haja ndogo iliyokuwa inatoa harufu na ambayo imeshachomwa jua siku kadhaa na kupelekea ikuonekana kama oili ya gari iliyomwagika chini

Baadhi tu yale yaliyomjia kichwani mhusika baada ya kukutana na harufu hiyo ya mkojo ni kama ifuatavyo
  • Mkojo huo utakuwa ni wa watu ambao ni strangers ndani ya jengo kwa sababu ulikuwa kartika sehemu ambayo watoto hawawezi kwenda kujisaidia mahali pale na mara zote watoto huwa hawachezei huko
  • Kama ulikuwa ni watu ambao ni wageni, basi watakuwa ni wageni ambao huwa wanafika kwenye ghorofa hilo kwa kificho, na hasa wakati wa usiku
  • Na kama huwa wanafika wakati wa usiku, basi kuna uwezekano kuwa ndiyo waliotumika kuandaa hujuma ya hivi karibuni kwenye gari la mhusika
3. OFISA WA NYUMBA ALIKUWA AMESHAONODA TAA ZOTE ZA KWENYE PARKING KUKAWA GIZA TUPU TANGU MWANZONI MWA MWEZI WA NNE, ILA BAADA YA KUFANYIKA HUJUMA KWENYE GARI LA MHUSIKA, AMERUDISHA TAA MOJA AMBAYO INAYOMULIKA ILA SI KWA KIWANGO KAMA ZILIVYOKUWA ZINAMULIKA ZILE ZA AWALI

Ikumbukwe hapo awali, ofisa huyu aliwahi pia kuleta mafundi wakaondoa taa zote zilizokuwa zinamulika kwenye ngazi na korido, takribani miaka 6 au 7 iliyopita. Kwa hiyo kuanzia pale kukawa giza kwenye korido hadi leo hii. Katika hili ni walishirikiana na mtu mwingine ambaye ni jirani yake na mhusika

Vile vile kuanzia mwanzoni mwa mwezi wan nne mwka huu, Ofisa wa Nyumba aliondoa taa zote za nje kwenye parking ya magari, ikiwa ni pamoja na mita ya umeme iliyokuwa inahusika na umeme wa taa hizo; nayo pia iling’olewa. Hali hii ilipelekea mhusika atengeneze utaratibu wa taa ya kutokea ndani nyumbani kwake; taa hiyo ndiyo ikawa inamulika kwenye parking na bado ipo hadi leo

Hata hivyo, baada ya shambulio la gari la mhusika kutokea hivi karibuni, Ofisa huyu wa nyumba alirudiisha tena taa moja kwenye parking ambayo ipo hadi leo. Taa hiyo aliiweka baada ya gari la mhusika kuwa limeshambuliwa

Mhusika alikuwa na ombi binafsi kwa mamlaka zinazohuisika na mtu huyu kwamba kama kuna uwezekano, ZIMRUDISHE HOUSING OFFICER YULE WA AWALI, ALIYEKUWEPO KABLA YA HUYU

4. KUHUSIANA NA HALI YA USALAMA KWENYE JENGO ILIMO OFISI YA MHUSIKA

Mafundi wameondoka wakaacha kuziba sehemu muhimu sana ambazo walikuwa wamekata nondo zinzazozuia mtu kuingia ndani ya jengo pasipo kupitia getini


  • Nafasi hizo zinaruhusu pia mtu kuingia ndani ya jengo muda wowote hata kama geti la kuingilia ndani ya jengo limefungwa kwa kufuli
  • Makusudi haya hayajafanywa na mafundi bali yamefanywa na msimamizi wa ukarabati wa jengo
Mhusika hapa inabidi akiri kuwa kati ya watu ambao mamlaka zinaweza kupata shida namna ya kuwaweka sawa (iwapo kweli watakuwa wana matatizoi), basi mmoja wao ni huyu msimamzi wa ukarabati wa jengo. Yaani huwa hawezi kujirudi, akikosolewa au kurkebishwa katika LA MSINGI hili leo, kesho anakuwa tayari ameshadandia jingine tena na linalofanana sawsawa kabisa na lile lle jana

Anyway, huyu mtu wanaongea lugha moja ya kuzaliw na MR X. labda hilo nalo pia linaweza kuwa na mchango kidogo. Kwao uchakachuaji siyo kitu cha kujifunza, ni inborn

HIZO NAFASI ZIMEACHWA WAZI KWA MAKUSUDI ILI ILI ZIWEZE KUTUMIKA KATIKA KIPINDI HIKI AMBACHO WANAFUNZI WATAKUWA HAWAPO MAZINGIRA YA MAOFISINI

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 27 JULY 2021

MAHALI ANAPOISHI MHUSIKA:

MASHAMBULIZI YA HUJUMA KWENYE GARI LA MHUSIKA YAMEANZA KUTENGENEZEWA MAZINGIRA ILI YAONEKANE KAMA NI MASHAMBULIZI YA KIROHO

HUJUMA NYINGINE KWENYE GARI LA MHUSIKA ILIYORATIBIWA USIKU WA JUMAMMOSI YA TAREHE 24 JULAI 2021


Katikati ya usiku mnene wa Ijumaa kuamkia Jumamosi watu wote wakiwa tayari wameshalala, umeme ulikatika kwa muda tu halafu baadaye ukarudi tena.

Shambulio limefanyika kwenye gari la mhusika ambalo lina linatakiwa lionekane kuwa ni shambulio la kiroho wakati si kweli yeye, ni hujuma iliyofanyika usiku huo umeme ulipokuwa umekatika, hilo kwa sasa ana uhkaika nalo kwa uelewa huo. Hii ni kutokana na ukweli kuwa
  • Indicators zake zote ambazo huwa anatumia kwenye ulimwengu war roho ili kumuwezesha kubaini kama shambulio ni la kiroho ama la, zote zhazionyeshihivyo
  • Vile vile indicators zote kwenye ulimwengu wa mwili, zote zinazidi kumuonyesha kuwa kilichofanyika kwenye gari lake ni hujuma
Na kwa sababu indicators za kwenye ulimwengu war oho zilikuwa hazonyeshin kama shambulio hilo ni la kiroho lakini papo hapo kukawa na indicators zingine kwenye ulimwengu wa mwili zilizokuwa zinakusudiwa kumuonyesha kuwa shambulio hilo ni la kiroho na si la kimwili, logically shambulio hili ilaangukia kwenye yale mashambulizi ya kawaida ambayo yanaangukia kwenye mbinu za kuhujumu gari la mhusika.

Kwa hali hiyo basi, yeye ruling yake mpaka mda huu ni kuwa shambulioi hili lililotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi ya tarejhe 24 Julai 2021, gari lake lilipokuwa liko kwenye parking ni hujuma iliyofanywa na watu na si shambulio la kiroho au kuharibika kwa gari kwa bahati mbaya tu

UHARIBIFU WA NYONGEZA ULIOTOKANA NA HUJUMA HII YA USIKU WA IJUMAA KUAMKIA JUMAMOSI WIKI JANA

Shambulio hili limeambatana na kusababisha uharibifu wa betri kwenye gari la mhusika, japo shambulio lenyewe halikuwa kwenye betri moja kwa moja, lilikuwa kwenye kitu kingine.

Pamoja na kuwa limepelekea uharibifu kwenye betri, mhusika anaomba kuwathibitishia wasomaju wa uzi huu kuwa uharibifu huu wa betri si kama ule aliowahi kuulezea hapo awali, uliokuwa unafanywa na MR X, isipokuwa huu wa sasa umefanywa ukiwa unalenga kumfanya mhusika aone kuwa uharibifu huo uko sawan a ule uliokuwa ukifanywa na MR X wakati siyo kweli

Kwa hali ilivyofikia hadi muda huu, possibly kunahitajika msaada wa ziada kwenye maziingira ya mahali pale anapoishi mhusika, assuming kuna watu wengine pia ambao nao wako convinced kwamba baadhi ( au hata yote) ya yale ambayo mhusika amekuwa akiyaleta humu jukwaani kuhusiana na mazingira ya namna gari lake linavyofanyiwa uharibifu likiwa mahali pale pale anapoishi, yana ukweli

MBINU ZINAZOTUMIKA KUJARIBU KUGEUZA HUJUMA ILI ZIONEKANE KAMA MASHAMBULIO YA KIROHO

Kwa kifupi sana, ambacho kimekuwa kikIitokea kwa siku za hivi ni kwamba:
  • Pale inapotokea kwa mfano mhusika ameeenda mahali na kununua kitu dukani, wanatokea watu pale pale anapoishi na hatimaye kuaanza kutengeneza maigizo
  • Maigizo hayo baadaye hufuatiwa na shambulio kwenye gari lake yakiwa yamelenga kumpa picha kuwa kitu alichonunua dukani kina matatizo na ndiyo hicho ambacho wamekitumia kama mlango wa kushambulia kupitia kwenye gari lake, WAKATI SIYO KKWELI
KWA HIYO KINACHOFANYIKA SASA HIVI NI MBINU AMBAZO ZIMELENGA KUMUONYESHA MHUSIKA KUWA GARI LAKE LINAPATA MASHAMBULIZI YA KIROHO KUTOKANA NA BIDHAA ANAZONUNUA KUTOKA MADUKANI, NA SI KWAMBA NI HUJUMA ZONAZOFANYWA KUTOKEA NYUMBANI USIKU GARI IKIWA IPO KWENYE PARKING.

Hapa mhusika anaomba akiri kuwa ni kweli hapo awali kuna baadhi ya bidhaa ambazo zilishawahi kumletea matatizo na kusababisha mashambulizi kwenye gari lake, lakini hiyo ilikuwa zamani. ILA KWA SASA HAKUNA BIDHAA ANAYONUNUA NA INAYOPELEKEA MASHAMBULIZI KWENYE GARI LAKE,KWA SABABU SIGNAL ZOTE AMBAZO HUWA ANATUMIA KWENYE ULIMWENGU WA ROHO HAZIMWAMBII HIVYO. Na kama kuna bidhaa ambazo amenunua na zikawa zina matatizo, basi yatakuwa ni matatizo mengine tofauti na yale ya kushambuliwa kwa gari

MASHAMBULIZI YA GARI LA MHUSIKA YA HIVI KARIBUNI NI HUJUMA ZINAZORATIBIWA KWA UJANJA WA HALI YA JUU ILI YAONEKANE KUWA NI MASHAMBULIZI YA KIROHO

Mashambulizi ya hivi karibuni ya gari la mhusika yanayotokea mahali pale anapoishi ni hujuma, na si mashambulio ya kiroho, isipowa kundi linalotekeleza azma hiyo linaonekana limejipanga ili kupangua hoija yake ya hivi karibuni kwamba gari hilo linahujumiwa, na badala yake kundi hilo linataka ionekana kuwa ni lenyewe linaloshambulia kiroho

Hizi ni hujuma perce siyo na wala mashambulio ya kiroho na mara zote (karibia 99% ya matukio yote ya aina hii) huwa yanatokea mwisho wa mwezi, au mwanzonimwa mwezi, mhusika akiwa hana muda mrefu tangu apokee mshahara)

MAELEZO KAMILI YATAFUATA, HALAFU BAADAYE TENA ATAHAMIA KWENYE MCHAKATO WA NAMNA MAJI YALIVYORUDISHWA NYUMBANI KWAKE

Katika hilila kuhusina na gari lake, mhusika anaomba msaada pia, assuming maelezo yake yana-click kwenye vichwa vya baadhi tu ya watu walio na mapenzi mema

…………………..inaendelea
 
……..inaendelea

MAHALI ANAPOISHI MHUSIKA:

HUJUMAZINAZOFANYWA KWENYE GARI LA MHUSIKA HALAFU ZINAANZA KUTENGENEZEWA MAZINGIRA ILI ZIONEKANA KUWA NI MASHAMBULIZI YA KIROHO


Mfanano wa mazingira kwenye mashambulio mawili ya hivi karibuni, na kama yalivyotajwa hapa chini, ni kama ufuatavyo:

SHAMBULIO LA KWANZA LA HIVI KARIBUNI

Ni lile ambalo lilifanyika hivi karibuni na l kusababisha kuungua kwa kifaa ambacho yeye huwa alikiita “steering wheel belt roller” Tukio hili liloiokea siku ambayo:
  • Mhusika aliwahi kuondoka ofisini, kutokana na kutokuwepo kwa umeme muda mrefu, na alipofika nyumbani, aliamua kwenda mtaani kwa ajili ya kununua bites kama chakula
  • mfanyakazi mwenzake naye alifka mtaani maeneo yale yale aliyokuwepo mhusika akiwa na gari ambayo alipaki KATIKA NAMNA AMBAYO NUMBER ZAKE ZILISOMEKA MACHONI KWA MHUSIKA (T.7XX BJV)
Details za namna tukio hili lilivyowahi kutokea, mhusik a tayari alishalitoela maelezo humu jukwaani

SHAMBULIO LA PILI LA HIVI KARIBUNI
  • Limetokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi; wiki jana
  • Hata hivyo mhusika alikuja kulibaini tukiio hili J2 asubbuhi akiwa tayari anataka kuelekea Kanisani. Ni kwa sabau Jumamosi hakutoka na hakutumia gari
  • Baada ya kuamka asubuhi na kukuta gari yake ikiwa tayari ina tatizo, ndiyo pale alipokumbuka kuwa USIKU WA IJUMAA KUAMKIA JUMAMOSI, KATIKATI YA USIKU MNENE WATU WOTE WAKIWA WAMELALA, UMEME ULIKATIKA KWA MUDA TU HALAFU BAADAYE ULIRUDI TENA
Kwa hiyo, kwenye muda huo wa siku hiyo umeme ulipokuwa umekatika, ndiyo hapo mhusika anapoona kulitokea dirisha (window) ya gari lake kushambuliwa kwa hujuma

MATUKIO MATATUI MUHIMU (MAWILI YA MTAANI), YALIYOJIRI KABLA YA HUJUMA HIYO KUTOKEA

TUKIO LA KWANZA


Yapata takribani wiki mbili zilizopita, ilikuwa siku ya J4 au J5, mhusika alitoka ofisini jioni na kupitiliza moja kwa moja mtaani kwa ajili ya kununua mahitaji kadhaa, ikiwa ni pamoja na kujaza mafuta gari lake
  • Kabla hajaenda kujaza mafuta Shell, mhusika alipitiliza mpaka dukani kwanza ambako alienda kununua mahitaji kadhaa ikiwa ni pamoja na sabuni
  • Huko duka alikoenda kununua bidhaa, ilikuwa ni mara yake ya pili kwa kipindi cha hivi karibuni kwenda kunua bidhaa kwenye duka hilo
  • Kabla ya hapo, mhusika amekuwa hana mazoea ya kununua bidhaa kwenye duka hilo, na alikuwa hajui kama lipo hapo ambapo lipo sasa hivi
Kwa hiyo mhusika siku hiyo alienda akanunua bidhaa kadhaa kwenye duka hilo, na hatimaye alirudi na kupitia shell akajaza mafuta huku akiwa tayari ameshaanza safari ya kurejea nyumbani

Akiwa yuko kule kwenye duka alikokuwa ameenda kuunnua bidhaa, huko aliikuta gari ya jirani yake (tumwite JIRANI_1) wanakaa block moja, ikiwa imepaki sehemu na KATIKA NAMNA AMBAYO PLATE NUMBER ZAKE ZILISOMEKA MACHONI KWA MHUSIKA , isipokuwa tu hakuweza kumuona jirani huyo mahali alipokuwepo

Hilo likawa tukio la kwanza

TUKIO LA PILI
  • Hili lilitokea J5 ya tarehe 20 Julai 2021 na ambayo ilikuwa ni siku ya mapumziko
  • Siku hiyo mhusika alitoka nyumbani asubuhi kwenda dukani kununua bidhaa kwenye baadhi ya madiuka ambayo ana mazoea ya kununua bidhaa siku zote
  • Muda ulikuwa ni asubuhi dakika chache baada ya saa mbili asubuhi
Siku hiyo vilevile mhusika alipokuwa yuko kule mtaani kwenye maduka alilkokuwa ameenda kunua bidhaa, alikuja tena jirani yake mwingine (huyu tumwite JIRANI_2) na ambaye wanakaa wote block moja, na kumkuta mhusika akiwa bado yuko kwenye pilika pilika zake, na hatimaye jirani huyo kupaki gari yake sehemu na KATIKA NAMNA AMBAYO NUMBER ZAKE ZILISOMEKA MACHONI KWA MHUSIKA. Huyu wa pili walionana na mhusika isipokuwa hawakuongea, walipungiana tu

Hili likawa tukio la pili

MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA HUYU JIRANI_2

Huyu ni yule aabaye katika kipidi cha hivi karibuni, alihusika na uharibifu wa bampa la gari la mhusika na hatimaye alidai kuwa ni ajali iliyosababishwa na mtu mwingine rafiki yake aliyekuja naye hapo nyumbani usiku akiwa anaendesha gari

Kwa hiyo JIRANI_2 ndiye yule aliyewwahi kukiri kuhusika na uharibifu ule wa kwanza wa hivi karibuni wa gari la mhusika

MBALI NA MATUKIO HAYO MAWILI HAPO JUU…………

Kuna mtu ambaye hapo awali, alimbaini kuwa kila Ilipokuwa Inatokea anamuazima hela, au kumpa hela yake halali kablla ya muda stahiki, gari lake mhusika lilikuwa linapata mashambulizi muda mfupi baada ya tukio hilo. Baada ya mhusika kuwa kubaini hali hii, aliamuka kumkwepa mtu huyu na kuacha kabisa tabia ya kumuazima hela au kumpa hela yake stahiki kabla ya muda unaotakiwa. Kwa hiyo mhusika aliamua kumweleza mtu huyu kuwa amesitisha kwa muda zoezi la kuazima hela watu mpaka pale atakapoweza kubaini ni nani amabaye huwa kila anapotokea kumwazima hela, gari lake huwa linaharibika
  • Takribani miaka miwili imepita bila mhusika kumuazima wala kumpa hela mtu huyu kabla ya wakati unaotakiwa
  • Hata hivyo, Jumanne ya tarehe 19/07/2021 mhusika alirudia tena kumpa mtu huyu hela yake ila si katika muda ambao alistahili kumpa
  • Ni baada ya mtu huyu kumuomba mhusika afanye hivyo na mhusika akawa yuko convinced kwa sababu kesho yake J5 ya tarehe 20/07/2021 ilikuwa ni sikukuuu
Ikumbukwe kuwa hapa mhusika hakumuazima mtu huyu hela bali alimpa stahiki yake ila kabla ya muda aliotakiwa kumpa na iikuwa ni baada ya mtu huyo kuomba kupewa stahiki hiyo ila kabla ya muda ule ambao ni wa makubaliano

Baada tu ya mhusika kurudia kufanya hilo, tukio la mashambulizi ambayo alikuwa ameshayasahau, likajitokeza.

Haya matukio ni planned na katika njia ambazo ni za, kwenye ulimwengu wa mwili na si wa roho

HITIMISHO:

Taarifa zingine za nyongeza ni kuwa katika kila mojawapo ya matukio yale mawili ya awali (ya mtaani), kila mhusika alipokuwa anakutana na majirani hawa mtaani akiwa ananunua bidhaa, baada ya hapo yalikuwa yanafuata tena maigizo fulani pindi anapokuwa amezifikisha bidhaa hizo nymbani; alipokuwa anaziingiza na kuzihifadhi nyumbani kwake. Maigizo haya yamekuwa yakifanywa na watu hawa na kwa kushirikiana na baadhi ya majirani wengine pia wanaoishi pale, yakiwa yamelenga kumdhihirshia mhusika kuwa bidhaa alizonunua mtaani na katika muda ambao majirani hawa nao walikuwa mazingira yale yale aliyonunulia bidhaa hizo, zina kitu ambacho kiko linked na wao; indicators zilizokusudiwa kumuonyesha mhusika kuwa bidhaa hizo KIROHO siyo salama kwake ; na kwamba wanaosababisha kukosekana kwa uslama huo kwa bidhaa hizo ni wao (hii vijana wa kisasa huwa wanaiita kutishia nyau)

Baaada ya maigizo haya mawili, (pamoja pia na tukio la pesa iliyotoka kabla ya muda wake), ndiyo sasa SHAMBULIO LA PILI LA GARI LA MHUSIKA LIKATOKEA USIKU WA IJUMAA KUAMKIA JUMAMMOSI WIKI JANA

Maigizo hayo yameendelea kuwepo vile vile, hata baada ya tukio hilo and the earliest aliyaona ni jana na hata leo pia.

Katika hili, mhusika anaomba kukiri kuwa kuna wakati ambapo amekuwa anakuwa tempted ku-discard hata baadhi ya bidhaa ambazo ziko salama, kisa tu kunakuwa kumetokea kitu kingine ambacho kinakuwa kinaendelea upande wake amabcho hajaweza kuking’amua sawsawa kwenye ulimwengu war roho (Mungu anakuwa bado hajampa majibu), lakini kinakuwa kumbe hakiko linked na bidhaa hizo. Wakati mwingine mhusika amekuwa anafanya makosa hayo halafu baadaye ndiyo anakuja kugundua kuwa kilichokuwa kinasababisha si bidhaa hizo bali ni kitu kinginer. Wakati mwingine inakuwa ni madhabahu ya mambo ya giza ambayo inakuwa imepandwa Kanisani anakoabudu (Kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A) au kinakuwa ni kitu kiko ofisnin

Katika hali hii, mhusika huwa anapata signal kkutoka kwenye ulimwengu wa roho kwamba kuna kitu hakiko sawa, lakin anakuwa bado hajajua ni kipi hasa. Na inapokuwa imetokea namna hii wakati tayari pengine kuna bidhaa ambazo ni mpya na ambazo anazo ndani nyumbani, na kumbe kwa wakati huo huo tena kuna madhabahu mahali fulani iambayo anakuwa anatafuta signal yake kwenye ulimwengu war roho lakini bado hajaipata, ndiyo hapo anapoamua kutumia “mechanics” ku-discard baadhi ya bidhaa mpya alizonazo nyumbani kwake, kama njia ya elimination

Approach hii si sahihi sana kwa sababu inaonyesha uharaka wa mtu baada ya Mungu kuwa hajaleta majibu katika muda ule ambao binadamu aliutarajia. Uharaka huu ndiyou le uliowahi kupelekea Mfalme Sauli akanyang’anywa Ufalme wa Israel na akapewa mtoto mdogo Daudi

Mambo mengi yapo yanaendelea kwenye ulimwengu war oho kiasi yanapelekea wakati mwingine mtu anakuwa tempted kufanya makosa ya kutokumshirikishakikamilifu Roho Mtakatifu kwenye maamuzi huiska

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT: NAMNA MAJI YALIVYORUDI NYUMBANI KWA MHUSIKA
 
Back
Top Bottom