BAADA YA MHUSIKA KUPAKI GARI NDANI YA UZIO WA KANISA, KABLA HAJASHUKA KWENYE GARI
Alipita muumini mmoja wa kiume na kumsalimia mhusika
Muumini huyu alikuwa amebeba kitoto rafiki yake na mhusika
Kwa lugha ya kiroho inayohusiana na utafiti huu, muumini huyu tunaweza kumwita kuwa ni GENERATOR, na kile kitoto kichanga alichokuwa amekibeba ni ki-GENENERATION chake
Muda mfupi baadaye; takribani baada ya dakika moja kupita; alipita tena GENERATOR mwingine ambaye naye alikuwa amebeba ki-GENERATION kingine, mdogo wa ile GENERATION iliyopita mwanzo kwa maana kuwa aliyepita mwanzo alikuwa mme akiwa na amebeba kitoto chao kichanga cha kwanza na aliyepita mara ya pili alikuwa ni mke, akiwa amebeba kitoto chao kichanga cha pili
- Hiki kitoto cha pili ndiyo kikamchukua sasa mhusika kutokea pale kwwnye parking hadi nje ya uzio wa Kanisa alikoelekea mme; kwa sababu mke naye alikuwa anaelekea huko
- Sababu moja kubwa iliyopelekea kitoto hicho kumchukua mhusika hadi nje ya uzio wa Kanisa ni kwamba hiki cha pili bado kinazo original attributes zote za umalaika; kwa maana kuwa hakijaanza hata kufanya tu ile mutation process ya kutoka kwenye umalaika kuelekea kwenye ubinadamu; IF SEEN PHSICALLY, GOD MUST BE VERY BEAUTIFUL!
Mhusika alikibeba kitoto hicho hadi nje alikokuwa ameelekea baba wa kitoto; na baada ya muda mfupi, aliagana nao wakaondoka kurudi nyumbani na yeye kurudi tena ndani kusubiria Ibada ya pili
Wakati huo Ibada ya kwanza ilikuwa bado inaendelea ila ilikuwa mwishoni na ulipofika muda,
Ibada ya hiyo ilihitimishwa kwa sala na Kiongozi Junior ambaye huwa anafundisha somo la ROHO MTAKATIFU, au GENERATOR
Kiongozi huyu aliyehitimisha Ibada
with respect to the HOLLY SPRIT yeye ni GENERATION
- Katika hali ya kawaida; kwa utaratibu wa sasa, karibia mara zote Ibada zote zimekuwa zikihitimishwa kwa sala na KM-A
- Utaratibu huu mpya ulianza kutumika muda mfupi mara tu baada ya waumini kuhamia kwenye Jengo Jipya la Kanisa. Hapo kabla, utaratibu huu haukuwahi kuwepo
Kwa J2 hiyo, haya sasa yakawa ni matukio ya awali yaliyohusiana na GENERATORS na GENERATIONS;
kabla ya ibada ya pili kuanza
WAKATI WA IBADA YA PILI
Huku yakiwa yamepita haya yote ambayo mhusika tayari ameshayaeleza hapo juu, hatimaye Ibada ya pili ilianza
Baada ya kipindi cha Kusifu na Kuabdu kumalizika, Mtumishi wa Mungu mgeni (
tumiwte MMGE) alikaribishwa na KM-A na kupanda juu Madhabahuni tayari kwa kuanza huduma kuu ya Ibada ya pili
MMGE alisoma fungu kutoka
Luka 24:49 linalosema
“Na tazama, nawaletea juu yenu “ahadi ya Baba yangu”; lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu”; fungu lililokuwa linaongelea vitu vitatu yaani GENERATOR, LOCATION pamoja na GENERATIONS
Fungu hili linaongelea mambo hayo kwa namna kama ilivyoelezwa hapa chini
- Mosi: Nawaletea juu yenu “Ahadi” ambayo ni ROHO MTAKATIFU (RM) au GENERATOR
- Pili: Kaeni humu “Mjini” ambayo ni LOCATION
- Tatu: wanafunzi wa Yesu “kuvikwa uweza” wakiwa ndiyo wale waliowahi kufanyika wa kwanza kama GENERATION baada ya RM kuwa ameshuka juu yao siku ya Pentekoste
BAADA YA MMGE KUWA AMESOMA FUNGU HILO
Aliwaomba waumini kutoa sadaka na baada ya pale aliwaita waumini mbele na kuanza kuwaombea UJAZO WA ROHO MTAKATIFU au
ujazo wa GENERATOR
Kwenye maombezi hayo walipatikana
GENERATIONS wapya au waongofu wapya.
GNERATIONS hawa waliopatikana MMGE akiwa juu ya madhabahu,
huku akiwa ananena kwa LUGHA MPYA
- Baada ya muda kupita, MMGE alishuka kutoka madhabahuni na kumwachia zamu KM-A
- KM-A alipandisha juu madhabahuni naye AKAENDELEA KUNENA KWA LUGHA MPYA
Kariba mara zote; tangu waumini wahamie kwenye Kanisa jipya; ibada zimekuwa zikihitimishwa kwa
MOMBI ikiwa ni pamoja na watumishi wa Mungu
KUNENA KWA LUGHA MPYA wakiwa juu madhabahuni
- Kunena kwa lugha mpya, maombi, generations, generators ni baadhi tu ya attributes ambazo ziko associated na Mungu RM; anayeokoa na hivyo ni ATTRIBUTES za WOKOVU
- Lugha mpya maana yake ni lugha ambayo hikuwahi kuwepo kabla ya leo isipokuwa leo na katika muda ambao imekuwa ikinenwa
Lugha hizi ndiyo zile ambazo zinakuwa associated na mapepo na kupelekea baadhi ya maneno kama GENERATOR la UMEME kuwa sawa na GENERATOR ROHO MTAKATIFU
Kwa hiyo, wakati huo wa kunena kwa lugha mpya, pepo huwa anarushwa kwenye lugha kupitia maombi na hivyo kupelekea ATTRIBUTES ZA ROHO MTAKATIFU kurushiwa mapepo kitu ambacho huwa kinapelekea
kutokea kwa MADHARA MAKUBWA MANNE yafutatayo
- WAKRISTO WOTE ambao maombi yao huwa nyanafanyika kwa JINA LA YESU, wanabebeshwa mapepo kuanzia pale
- WALOKOLE WOTE ambao wanaamini kwenye ujazo wa RM au kuvikwa uweza, nao pia anabebeshwa mapepo
- WAONGOFU WAPYA WOTE, yaani wale walokole wapya wanaookoka kuanzia siku hiyo na kuendelea , nao pia wanabebeshwa mapepo
- Watu wengine wote waliobaki wasiokuwa walokole, provided wana NAFSI, MWILI, ROHO NA AKILI, nao pia wanabebeshwa mapepo kuanzia pale na kuendelea
Ni kwa sababu MAOMBI yanakuwa yamerushiwa mapeo na hayupo mtu ambaye huwa hafanyi maombi. Hata wale wasioamini Mungu huwa wanafanya maombi
Huu ni uhaini na hiki kitu kimekuwa propagated kuanzia kwenye ile Semina ya RM iliyowahi kufanyika February 2012
Kwa hiyo, mtu akisharusha pepo kwenye attributes hizi, anakuwa amerusha pepo kwa WAKRISTO na pia kwa wale wote wasiokuwa wakristo
KILE KINACHOTOKEA KWENYE MIKUTANO YA INJILI INAYOFANYIKA CHINI YA UTARTIBU WENYE MBINU HIZI
Kwenye mikutano hiyo
- Walokole wote wanabebeshwa mapepo upya na kuwa wasambazaji wa mapepo
- Waongofu wapya wote wanaoptaikana kwenye mikutano hiyo, wanaongezeka kwenye idadi ya watu wanaosambaza mapepo
- Watu wengine wote wanabebeshwa mapeo na kuanza kuyasambaza
- Ikumbukwe kuwa RM ni Mungu halisi (nafsi ya tatu ya Mungu mmoja); na hivyo mtu alirusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA RM, anakuwa amerusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA MUNGU
MAREKEBISHO MUHIMU KUHUSIANA NA MAELEZO YA AWALI KUHUSIANA NA YESU, MUNGU, NA PIA ROHO MTAKATIFU
Hayupo kiumbe anayeweza kumrushia pepo Mungu, Yesu au RM isipokuwa kwenye ATTRIBUTES zao tu
Kwa hiyo inawezekana kwa mtu kurusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA MUNGU kwa sababu wapo pia watu ambao BAADHI YA ATRINBURES zao zinafanana na attributes za Mungu au za Yesu
Kwa hiyo attributes za watu hawa zikirushiwa mapepo, mapepo haya yataweza kukaa pia kwenye attributes za Mungu kutokana na kwamba attributes hizi zinakuwa ni “KEY” kati ya attributes za Mungu na zile za wanadamu
Mfano watu wenye majina kama
Emamnuel, Elibariki. Elisante, Yoshua………
- Watu wenye majina yote yanayoanzia na neno God
Godlove, Godfrey, au jina Goodluck (hili linatengeneza “KEY” na neno GOD)
- Majina yote yanayotengeneza “KEY” na neno CHRIST kama vile: Christina, Chritistian, Chrtopher, Chrispin……
- Vile vile vitu vyenye majina kama Generator, Printer, Projector, …….
Maneno haya
generator, printer na projector…., kila moja kwa wakati linaweza kumaanisha nafsi ya mtu kulingana na context (muktadha) wa namna lilivyotumika na hivyo yanawakilisha pia
ATTRIBUTES za wanadamu
Still, RM pia naye pia ni GENERATOR kiasi kwamba ukirusha pepo kwenye
attributes za generator binadamu, unakuwa umerusha pepo kwenye
attributes za GENERATOR RM
Haya mambo mhusika ameshayaeleza kwa kina sana humu jukwaani na hivyo hana haja ya kuyongelea sana
KWA KIFUPI SANA NJIA KUU MBILI ZINAZOTUMIKA KAMA TEKNIK YA USAMBAZAJI WA MAPEPO KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A
Njia hizi ziko mbili
- Mosi: Ibada za Jumapili ambazo mara zote zimekuwa zikihitimishwa kwa maombi huku KM-A akiwa ananena kwa lugha mpya
- Pili: Mikutano ya injili ya ndani na nje ya Mkoa wa Dar es salaam inayopelekea kupatikana kwa waongofu wapya walijazwa RM kwa mara ya kwanza
KUHUSIANA NA MFUMO WA UNENAJI WA LUGHA MPYA
Msisitizo mkubwa hapa ni kwamba ieleweke kuwa LUGHA MPYA ni lugha ambayo haijawahi kuwepo kabla ya siku ya kunenwa kwake
Kama mneneaji wa lugha alinena kwa lugha jana; na mnenaji huyo huyo ananena kwa lugha leo, lugha ya jana na ya leo ni lugha mbili tofauti,
huku lugha ya leo ikiwa ndiyo ile ambayo ni lugha mpya
Lugha mpya ni lugha iliyo mpya kila mnenaji anapokuwa anainena lugha hiyo
Kwa hiyo kinachosambaza mapepo kutoka kwenye madhabahu ya Kanisa A,
ni Ibada kuhitimishwa kwa maombi na kunena kwa lugha
HITIMISHO
Kabla ya waumini wa kanisa A kuhamia kwenye Kanisa jipya, Ibada hazikuwahi kuwa zinahitimishwa kwa mtindo huu wa
maombi na kunena kwa lugha
Zaidi ni kuwa mwalimu wa Semina ya RM iliyowahi kufanyika mwaka 2012 anayajua zaidi yanayofanyika kwa kutumia mbinu hii; pamoja na wale viongozi aliokuwa ameambatana nao kwenye semina hiyo
Huu ni uhaini
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA