#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

TATIZO LA KUZIBA COMPLETELY KWA MARA YA KWANZA TANGIA MWAKA 2024, MFUMO WA MAJI TAKA UNAOHUSISHA NYUMBA YA MHUSIKA
Kama kawaida siku zote, mfumo wa nyumbani kwa mhusika uko sawa, isipokuwa kule ambako maji yanatakiwa kuelekea baada ya kuwa ameflush; maji hayaendi tena

Tatizo la aina hii ni la mara ya kwanza na lilianza kidogo kidogo siku ya J5
iliyopita ya tarehe 04/09/2024 na hadi kufikia Ijumaa, mhusika alikuwa hawezi kuoga wala kujisaidia kwenye bafu na pia choo chake

Chances ni kwamba supervisor wa mafundi wa majitaka; ana-plan kuleta
“stranger” aje aingie ndani nyumbani kwa mhusika KWA SABABU HICHO NDIYO AMEKUWA anafanya MARA KWA mara

Mhusika anaomba msaada katika hili kwa sababu sasa limekuwa “too much”

Wiki jana J5 ya tarehe 05/09/2024 mhusika alijaza online works order lakini
mafundi hawakuja kulishughulikia; HADI KUFIKIA IJUMAA @AKAWA HAWEZI tenakuvitumia vyote

Tatizo hilo huwa linashughulikiwa kwa kurekebisha mfumo wa majitaka uliopo nje; pamoja na ule wa nyumba iliyo juu ya ile anayoishi mhusika; kwa sababu nyumba hiyo ndiyo ile ambayo imekuwa ikiuziba mfumo wa maji hayo; assuming hakuna utaalamu mwingine wa makusudi ambao umekuwa ukifanyika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first
battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MNUNUZI WA GARI(MWG)UKIMHUSIANISHA NA YALE YALIYOJIRI KUHUSIANA NA GARI LAMHUSIKA KWA SIKU MBILI ZA J4 NA J5 ZA WIKI ILIYOPITA

Kwenye muda wa kariba saa 11 siku ya J5 ya tarehe 04/09/2024; MWG alifika
ofisini kwa mhusika kuangalia kifaa kipya ambacho walikuwa wameagiza kutoka
nje ya nchi

Wakati huo office-mates wa mhusika walikuwa wametoka kidogo nje ya ofisi
Muda huo mhusika alikuwa karibia anaondoka ofisini kurudi nyumbani; na hasa
kupeleka gari gereji kwa tatizo dogo lililokuwa limejitokeza kwenye exhaust
pipe ya gari lake
•Hapa ikumbukwe pia kuwa MWG anamiliki gari ambayo ni “KEY” na gari ya
“SHOKA” wa kule Kanisani
• Kama ambavyo tayari imeshadokezwa, MWG anayo pia “KEY” nyingine
inayotumia lugha ya kuzaliwa ya mhusika

KILE AMBACHO HASA KILIKUWA KIMEIMPELEKA MWG OFISNI KWA MHUSIKA SIKU HIYO, ILA KWA MGONGO WA KUKAGUA KIFAA KIPYA
Kwa ufahamu alionao sasa unaotokana na utafiti, siku hiyo MWG alifika ofisini
hapo kwa ajili ya kurusha pepo kwenye “KEY ya lugha”, ikiwa ni maandalizi ya kule ambako mhusika alikuwa anaelekea baada ya kutoka ofisini; yaani gereji
Baada ya kukamilisha zoezi hilo, MWG aliondoka na kurudi ofisini kwake, na
mhusika naye alifunga mlango wa ndani wa ofisi na kuondoka; ma-office mates
wake walikuwa bado wapo mazingira ya ofisini

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEFIKA GEREJJI
Ndiyo pale sasa namba ambayo ilikuwa ikimbip mara kwa mara ilianza kumbip
tena
•Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa siku hiyo kwa namba hiyo kumbip mhusika
kwenye muda wa saa 11 jioni
•Chance ni kwamba namba hiyo ilikuwa na mawasiliano ya DIRECT au
INDIRECT na MWG

Yale mengine yaliyojiri baada ya mhusika kuwa amefika gereji, tayari
ameshayatolea maelezo kuptia post zilizopo hapo juu

UP NEXT
•Yale ya muhimu yaliyojiri Kanisani jana J2 ya tarehe 08/09/2023
CODE ya KAZI YA MOTO (….inaendelea)
UTAFITI ULIOKAMILKA KUHUSIANA NA KEYS
“KEYS” hizi zilizinduliwa rasmi kwenye kusanyiko la siku ambayo ulitokea
msiba nyumbani kwa JIRANI MAJI MACHAFU (JMM), Novemba 2022 (takribani miaka miwili iliyopita)

Baadhi tu ya gari ambazo zimekuwa zikitumika kama “KEYS” na ambazo ziliwahi kuwepo kwenye kusanyiko hilo ni hizi zifuatazo
•TOYTA ALPHARD iliyokuwa inamilikiwa na mtu ambaye kwa sura alifanana
sana na mke wa JMM na ambayealikuwa anatoka rambirambi SIKU hiyo
•NISSAN DOUBLE CABIN ambayo ilikuwa na label ya kampuni ya YARP MERKEZ
• Toyota VANGUARD
•Piki piki aina ya BODA BODA

………………itaendelea
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first
battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 10th SEPTEMBER 2024

CODE YA KAZI YA MOTO

……………….inaendelea


BAADHI TU YA MATUKIO (MAWILI) MUHIMU YA HIVI KARIBUNI YANAYOIHUSISHA CODE HII

TUKIO LA KWANZA


Hili lilitokea February 2024 na maelezo yake yapo kwenye post hii hapa #1,934

Tukio hili ni mojawapo ya baadhi tu ya matukio ambayo hapo kabla, mhusika hakuwahi kuyabaini kuwa yalikuwa yanaangukia kwenye code hii kwa sababu wakati yanatokea alikuwa bado hajaibaini code husika

Kwa sasa mhusika ana uhakika kuwa tukio hili lilikuwa ni mojawapo ya matukio yaliyowahi kuhusika na code hii

  • Siku hiyo ilikuwa ni J3 na ilikuwa ni siku ya kwanza kwa MWI kuwepo idarani tangu aliporudi kutoka safari
  • Presentation mbili zilifanyika siku hiyo na mwenyekiti wa presentation ya tukio husika alikuwa ni mu-Europe
  • MWI mstaafu wa 2015-2016 naye alikuwa pia kwenye presentation ya hiyo; na ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuhudhuria presentation ya aina hii idarani kwake tangu alipostaafu ukuu wa idara nmwaka 2016
Presenter alikuwa ni mgeni ambaye alionekana kuwa alikuwa ametoka nje ya Bara la Afrika

……………………..inaendelea
 
……………………..inaendelea

TUKIO LA PILI


Tukio la pili lilitokea mwanzoni mwa mwezi Julai 2024; kwenye wiki ya kwanza ya mitihani ya kumaliza mhula wa mwaka kwa wanafunzi wote

  • Tukio hili nalo pia llilitokea siku ya J3 ambayo ilikuwa ni siku ya kwanza tangu MWI aliporudi kutoka safari
  • Vile vile, tukio hili nalo pia lilihusisha presentation iliyofanywa na mgeni kutoka nje ya Bara la Afrika
Asubuhi ya siku hiyo, MWI alimkuta mhusika yupo kwenye veranda na hivyo kmtaarifu mhusika kwa mdomo kuwa muda mfupi ujao kulikuwa na presentation

Kama ilivyokuwa kwa tukio la kwanza ambalo limetajwa hapo juu, kwa tukio hili nalo pia hapakuwa na circular yoyote iliyokuwa imetolewa

YALE YA MUHIMU YALIYOKUWA YAMEJIRI SIKU CHACHE KABLA YA SIKU YA TUKIO

Mhusika alikuwa ameagizwa kuwapa wanafunzi Test kwa sehemu ya kozi ambayo alikuwa amewafundisha inayohusiana na mambo ya udongo

  • Ilikuwa ni mara ya pili kwa mhusika kuwatungia test wanafunzi kwa sehemu hiyo, na mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka uliopita wa 2023
  • Kabla ya hapo, sehemu hiyo ilikuwa inawekwa kwenye mtihani wa mwisho tu, hakuwa na test iliyokuwa inajitegemea
Ni kuanzia mwaka jana wa 2023 ndiyo sehemu hiyo ya kozi ilipoanza kuwa na test inayojietegemea

Kwa test ile ya kwanza aliyowapa mwaka 2023, mhusika aliandaa marking scheme tu na kumkabidhi main instructor (MI) ambaye aliweza kuisahihisha test hiyo

  • Yeye mhusika hakuweza kusahihisha kutokana na uoni hafifu; anahitaji miwani ya kusomea
  • Tofauti na ilivyokuwa mwaka jana, kwa mwaka huu wa 2024, MI alikuwa yuko busy na kwa kuzingatia uoni wa hafifu wa mhusika, MI alimshauri mhusika awatumie OM-1 na OM-2 kusahihisha test hiyo baada ya kuwa amewatayarishia marking scheme
Na kwa sababu swala ya MI kuwa busy kwa mwaka huu na hivyo kushindwa kusahihisha test hiyo lilikuja kwa ghafla kidogo, hadi test inafikia hatua ya kusahihishwa, ilikuwa tayari imeshafika wiki ya kwanza ambayo wanafunzi walitakiwa kuanza mitihani ile mikubwa ya mwisho; na utaratibu ulivyo, huwa wanataki wapate matokeo ya mtihani mdogo kwanza, kabla hawajafanya mitihani ile mikubwa wa mwisho

Kwa hiyo siku hiyo ilikuwa J3 na mitihani ile mikubwa ilikuwa inaanza J5; yaani siku moja tu kabla ya J3 hiyo huku scripts zote zipatazo 95 zenye maswali manane, zote zikiwa haazijaguswa hata moja

OM-1 na OM-2 walikuwa wamekubali kuzifanyia kazi; na aadhi yake chache mhusika mwenyewe alikuwa amezichagua baada ya kuwa maandishi yake yanaonekana vizuri kwake anapokuwa yupo nje kwenye mwanga (natural light) wa kutosha

Kilichotkea ni kwamba kwenye ufinyu huu wa muda uliokuwa upo mbele ya mhusika uliotokana na assignment hii, MWI akawa amerudi kutoka safari huku akiwa anahitaji kumega tena lisaa limoja kwenye muda huo kwa ajili ya presentation kwa siku hiyo ya J3

KABLA YA J3 HIYO KUWADIA: PLAN ALIYOKUWA AMEIANDAA MHUSIKA KWA AJILI YA KUSAHIHISA BAADHI YA SCRIPTS ALIZOKUWA AMEZICHAGUA

Alikuwa amepanga kuchukua meza na kuiweka kwenye veranda; pale kwenye kijiwe chake cha siku zote ambapo huwa anapenda kukaa siku zote anapokuwa yupo kwenye mapumziko mafupi nje ya ofisii

Pale kulikuwa na mwanga wa kutosha kwa yeye kuweza kuyaona baadhi ya maandishi ya kwenye scripts hizo na hivyo kuweza kusahihisha vizuri

Zoezi hili alikuwa amepanga kulianza J3 hiyo akitegemea kuwa by J5, wanafunzi wangekuwa wamepata matokea ya mtihani huo, ukizingatia kuwa OM-1 na Om-2 nao pia walikuwa wamekubali kuingia kazini

KILE KILICHOTOKEA J3 HIYO BAADA YA MWI KUWA AMERUDI KUTOKA SAFARI

…………………………………inaendelea
 
KILE KILICHOTOKEA J3 HIYO BAADA YA MWI KUWA AMERUDI KUTOKA SAFARI

…………………………………inaendelea


Iliibuka presentation ya ghafla ambayo haikuwa kwenye schedule wala kuwa imetolewa kwenye circular

Mbali na haya, kitu kikubwa na notable kwenye matukio haya yote mawili, kwenye wiki iliyokuwa imepita nyuma ni kwamba kwa tukio lile la awali (Februari) wanafunzi hawakuwepo; walikuwa wameondoka kwenda likizo fupi na kwa tukio la pili la Julai, wanafunzi walikuwa hawaonekanai tena kwenye jengo la idara kwa sababu mihadhara ilikuwa imeisha; na likuwa ni wiki yao ya kwanza ya kuanza mitihani

Vile vile, “a stranger” ambaye ni mtu yule yule mmoja anayehusika na matukio yote haya mawili; alikuwa amefika idarani na kuanza kutumia chumba cha microscopes, huku funguo za chumba hicho akiwa hazirudishi kwenye ofisi ya MWI kama ilivyo kawaida siku zote bali alikuwa anakaa nazo kwa muda wote wa wiki nzima akiwa anazihifzdhi kwenye sehemu aliyokuwa ameichagua mwenyewe

Huyu mtu alikuwa harudishi funguo hizo ofisni kwa MWI kwa sababu alikuwa anaishi kwa kificho kwenye mazingira ya Idara na hivyo hapakutakiwa kuwepo records za aina yoyote ile za mtu huyu ofisni kwa MWI

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEJULISHWA KWA MDOMO NA MWI KUWA KUNGEKUWA NA PRESENTATION J3 HIYO

Hapo mhusika alimuomba MWI awa-exclude yeye pamoja na OM-1 na OM-2 kwa sababu kulikuwa na coursewok iliyokuwa inadaiwa na muda ulikuwa umekwisha

  • MWI alikubali kumpa ruhusa mhusika tu ila alimkatalia kwa wasaidizi wake wa kusahihisha mtihani huo, yaani OM-1 na OM-2
  • Hadi kufikia hapa, mhusika akawa tayari amepata mashaka kuhusiana na kile kilichokuwa kinaendelea siku hiyo
Kutokana na hali hiyo, mhusika aliamua kurudi ofisini kwake kuona kama OM-1 na OM-2 walikuwepo lakini hakuwakuta

Baada ya hapo,mhusika alishuka chini kwenye chumba cha mkutano, na huko ndiko alikowakuta wakiwa wanasubiria presentation, ilhali walijua kuwa kulikuwa na kazi ya kufanya na ambayo deadline yake yalikuwa ni masaa machahe tu mbele

Kutoakna na hali hiyo, pamoja na kuwa MWI alikuwa amemuruhusu mhusika asiwepo kwenye presentation ya J3 hiyo; baada ya kusoma mazingira yalivyokuwa yamekaa asubuhi hiyo, mhusika naye aliamua kubaki huko huko kwenye chumba cha presentation pamoja na staff wenzake; na baada ya presentation kumalizika, ndiyo pale walipoanza kusahihisha na walifanikiwa kumaliza kazi kwa wakati

KILE AMBACHO KINGETOKEA KAMA MHUSIKA ASINGEHUDHURIA PRESENTATION YA SIKU HIYO

Obvious Code ya “KAZI YA MOTO” ingekuwa ecuted asubuhi ya J3 hiyo kutokana na mazingira yafuatayo:

Aidha mhusika angesahihisha mtihani akiwa yupo nje kwenye kijiwe cha veranda yake, au angebaki ndani ofisini

  • Kama angebaki ndani ofisini; angebaki humo akiwa peke yake na ikumbukwe kuwa kulikuwa na “stanger” ambaye alikuwa amefanya kazi kwenye chumba jirani cha microscopes kwa wiki yote nzima iliyokuwa imepita nyuma; na ambaye alikuwa ameonekana tena hata asubuhi ya J3 hiyo
  • Kama mhusika angeamua kukaa kwenye veranda; lazima kungetokea muda ambao angehitaji kwenda washroom na wakati huo wanafunzi hawakuwepo tena kwenye mazingira ya ndani ya jengo la idara
Kulikuwa pia na meza ambayo alikuwa ameiaanda kwa ajili ya zoezi hilo na ambayo alikuwa ameiazima kwenye chumba jirani cha microscopes!

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwa tukio hili la mwisho, akiwa yupo kwenye chumba cha microscopes, kwenye siku ya ile kwanza kwa mara ya kwanza “stranger’ alipata company ya binti kutoka Tawi la Taasisi lililopo Zanziba

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:MONDAY 16th SEPTEMBER 2024
UTAFITI ULIOKAMILIKA

CASE YA TROJAN HORSE ILIYOPELEKEA MHUSIKA H IVI KARIBUNI AKAPOTEZA MIL 2.5 ALIZOKUWA ANAZI-TRANSFER KUTOKA KWENYE AKAUNTI YAKE YA BENKI KWENDA KWENYE AKAUNTI YA NAMBA YAKE YA SIMU


FEDHA HIZO ZILIINGIA KWENYE NAMBA YA SIMU YA MTU MWINGINE AMBAYO NI 0689526164

VILE VILE NAMBA YA MTU ALIYEMWANDIKIA MHUSIKA UJUMBE MFUPI WA SIMU BAADA YA MASAA 24 TANGU MUAMALA WA FEDHA HIZO KUWA UMEFANYIKA, AKIMJULISHA MHUSIKA KUWA BENKI WALISINDWA KUZIRUDISHA FEDHA HIZO, NA AMBAYE AJITAMBULISHA KUWA NI MFANYAKAZI WA BENKI, NI HII HAPA 0684659919

TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE
 
UPDATE: TUESDAY 17th SEPTEMBER 2024
UTAFITI ULIOKAMILIKA; CASE YA TROJAN HORSE”

CASE HII IMEIBUA UHUSIANO KATI YA NAMBA YA SIMU AMBAYO MHUSIKA ALIIRIPOTI HUMU JUKWAANI KUWA IMEKUWA IKIMBIP MARA KWA MARA (0672659141) NA NAMBA AMBAYO HELA ZA MHUSIKA ZILIELEKEZWA KIMAKOSA NA “TROJAN HORSE”; 0689526164


Hadi kufikia muda huu kuna pattern ya matukio yalioonyesha uhusiano kati ya namba ambayo “Trojan Horse” ili-divert muamala wa shillingi million 2.5 za mhusika alizokuwa akiingiza kwenye akaunti yake ya simu na hivyo kupelekea fedha hizo kuingia kimakosa kwenye namba nyingine ambayo ni 0689526164

Kuna evidence kadhaa ambazo zimeonyesha hivyo na mojawapo ya evidence hizo ni ujumbe ambao mhusika alitumiwa kutoka kwa mtu mwenye namba 0684659919 aliyejitambulisja kama mfanyakkazi wa Benki



20240917_125100_1.jpg


Sehemu ya ujumbe aliotumiwa mhusika kutoka kwenye namba ya simu 0684659919 ni kama unavyoonekana kwenye attachment na ulikuwa ukimshauri afanye mawasiliano na namba ambayo ilikuwa imepokea fedha hizo

Hii ilikuwa ni plan ambayo ilikuwa imekusudiwa kuonyesha pattern ya mawasiliano ya mara kwa mara kati ya mhusika na mtu mwenye namba hiyo ambayo ilipokea fedha hizo

Mhusika alipokea ujumbe huo siku ya Alhamis ya tarehe 29/08/2024 ikiwa ni masaa 24 baada ya kuwa ameripoti swala la fedha zake Benki

BAADA YA MHUSIKA KUPOKEA UJUMBE KUTOKA KWA MTU ALIYESEMEKENA KUWA NI MFANYAKAZI WA BENKIKI

Mhusika aliamua kwenda Benki muda huo huo baada ya kupokea ujumbe lakini wahusika wote wawili hakuwakuta Benki; yaani mtu aliyemtumia ujumbe pamoja na Branch Manager ambaye mhusika alikuwa amewahi kuongea naye jana yake; J5 kabla ya Alhamis

Baada ya kuwakosa; baadaye akiwa yupo njiani anarudi alibahatika kuongea na mtu mwenye namba hii 0684659919, yaani mfanyakazi wa benki na mhusika aliahidi kuwa angerudi tena Benki kesho yake Ijumaa ya tarehe 30/08/2024

Hata hivyo, kesho yake Ijumaa, mhusika aliamua kwa makusudi kutokwenda Benki na ilipofika J2 ya tarehe 01/09/2024’ namba hii 0672659141 ilianza kumbipi mhusika kwa mfululizo na kupelekea mhusika kuiripoti namba hiyo humu jukwaani

………………………inaendelea
 
CASE YA TROJAN HORSE”

………………………inaendelea

CHRONOLOGY OF EVENTS BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEAHIRISHA KURUDI TENA BENKI SIKU YA IUJMAA YA TAREHE 30/08/2024


Kuanzia Jumapili ya tarehe 01/09/2024 na kuendelea, namba hii 0672659141 ilianza kumbip mhusika kwa mfululizo, hali iliyopelekea siku chache mbele, mhusika kuiripoti humu jukwaani

Ikumbukwe kuwa hadi kufikia J2 hiyo, fedha alizokuwa amepoteza zilikuwa zina siku si chini ya nne, tangu zipokelewe kimakosa kwenye namba hii 0689526164

  • Ndani ya wiki hiyo kabla ya siku hiyo ya J2 office mate-2 (OM-2) hakuwahi kufika kabisa kazini, siku ya Ijumaa ya tarehe 30/08/2024;
  • Vile vile, mbali na siku hiyo, OM-2 hakuwahi kufika pia kazini kwa siku mbili za J3 na J4 za wiki iliyofuata na hivyo kuanza kuonekana tena ofisni kuanzia siku ya J5 ya tarehe 04/09/2024
YALIYOJIRI KWENYE WIKI ILIYOFUATA BAADA YA FEDHA KUPOTEA

Kwenye muda wa baada ya saa moja usiku wa siku ya J3 ya tarehe 02/09/2024; mhusika akiwa yupo ndani nyumbani kwake, aliogongewa mlango na kujulishwa kuwa gari lake halikuwa na upepo kwenye tairi moja ya nyuma

Hata hivyo mhusika alikuwa ametoka ofisini J3 hiyo na kupaki gari lake likiwa salama

Kutokana na hali hiyo, ilipofika kesho yake J4 ya tarehe 03/09/2024 mhusika alienda kuwaona mafundi wa kujaza upepo; na baada ya hapo alitoka huko kurudi ofisini gari lake likiwa lipo salama

Kumbe ilikuwa imetarajiwa tena kuwa mhusika angetoka huko kwenye kujaza upepo, na angepitia Benki kwa sababu ni njiani; kitu ambacho mhusika hakufanya

Baada ya mhusika kutoka kwenye upepo, alinyoosha moja kwa moja hadi ofisini, kitu kilichopelekea kuhujumiwa tena Exhaust Pipe (EP) ya gari lake; huku kukiwa na matarajio mengine tena kuwa baadaye mhusika angeipeleka EP hiyo kwa ajili ya marekebisho Garage J4 hiyo; Garage ambayo ipo jirani nkabisa na maeneo ya Benki

Baada ya kutoka ofisni J4 hiyo, mhusika hakwenda Garage na badala yake alienda kuirekebsha EP hiyo kesho yake J5 ya tarehe 04/09/2024

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA NA BAADA YA MHUSIKA KWENDA GAREGE J5 YA TAREHE 04/09/2024

Muda mfupi kabla ya kuondoka ofisini, Mnunuzi wa Gari (MWG) alifika ofisni kwa mhusika kwa ajili ya ukaguzi wa kifaa kipya cha section yao kilichokuwa kimewasili siku chache kutokea nje ya nchi

Baada ya muda mfupi, mhusika na MWG walitoka ofisini; mhusika akiwa anaelekea kwenye parking tayari kwa kuondoka kelekea Garage

Wakati huo huo, OM-1 na OM-2 hawakuwepo ofisini, walikuwa wametoka kidogo na hivyo kupelekea mhusika kuwepo peke yake kwa muda pale ofisini

Baada ya mhusika kuwa amewasili garage J5 hiyo; namba hii 0672659141 ambayo ilikuwa imeanza kumbip mara kwa tangiu J2 hadi kufikia siku ya J4; kwa siku hiyo ya J5 tena; namba hii ilianza kumbip tena mfululizo kwenye muda wa baada ya saa 11; muda ambao hapo kabla namba hii ilikuwa haijawahi kumbip

Kwenye siku zingine zote zote za kuanzia J2 hadi J4, namba hii ilikuwa ikimbipi mhusika kwenye muda mwingine ulio tofauti na ule wa baada ya saa 11

Ni kwenye siku hiyo ya J5 tu ndiyo pale namba hii iilianza kumbp mhusika kwenye muda wa baada ya saa 11

Mbali na haya yote, tangu pale, namba hii imeendelea kumbip mhusika hadi kufikia juzi Jumapili ya tarehe 15/09/2024

VINGINEVYO TUKIO JINGINE MUHIMU KUHUSIANA NA SIKU AMBAYO MHUSIKA ALIPOKEA UJUMBE KUTOKA KWA MTU MWENYE NAMBA HII 0684659919 NA ALIYEJITAMBULISHA KUWA NI MFANYAKAZI WA BENKI

OM-1 hakuwepo ofisini, ndiyo usiku wa manane wa siku hiyo alikuwa amerudi kutoka Safari ya kikazi Mororgoro

OM-2 alikuwepo ila alikuwa ametoka kidogo na wakati mhusika anaanza kuusoma ujumbe huo, OM-2 alirudi tena ofisini

Baada ya kuusoma ujumbe, mhusika aliamua kuelekea Benki kwenda kuonana na mtuma ujumbe pamoja na Branch Manager

Baada ya kuwa ametoka nje; pale kwenye parking alikutana na mtu ambaye aliwahi kuwa mfanyakazi wa taasisisi ila kwa sasa siyo; na aliacha kazi katika mazingira ambayo mwajirinalilazimika kutoa taarifa zake kwenye gazeti

  • Mtu huyu wanatengeza “KEY” ya lugha ya kuzaliwa na mhusika na pia wanatoka vijiji jirani vilivyo kwenye Kata (WARD) moja
  • Vile vile,walisoma pia shahada ya kwanza kwa wakati mmoja; walianza pamoja na wakamaliza pamoja na wote wakiwa wanasomea kozi ya ualimu ila kwenye masomo yaliyotofautiana
HITIMISHO

Hizi namba mbili yaani 0672659141 na 0689526164 zimekuwa ziko coordinated kwenye swala hili wakiwemo hawa wafanyakazi wawili wa Benki mmojawapo mwenye namba 0684659919; ikiwa ni pamoja na Branch Manager wake

  • Wawili hawa wanaelewa vizuri zaidi kuhusiana na kile kilichokuwa kikiendelea kwenye muamala huu wa fedha za mhusika
  • Mbali na hilo, evidence kutoka kwenye matukio haya zinaonyesha kuwa wawili hawa walikuwa wameandaa “SURPRISE” kwa mhusika just in case angerudi tena maeneo ya Benki na ndiyo maana wote hawakuwepo Benki kwenye mara ile ya pili mhusika aliporudi kwa ajili ya kuonana nao
Hii inaonyesha kuwa

  • Walihitaji mhusika arudi tena Benki kwa mara nyingine ya tatu na hapo ndiyo ile surprise yao waliyokuwa wamemwandalia angeweza kukutana nayo
  • Huko ofisini nako kulikuwa na MWG akiwa anashirikaina na maoffice mates wa mhusika
Mhusika huwa hapendi migorgoro na watu na kile anachotarajia kwa sasa ni kukuta fedha zake hizo zipo zikiwa tayari zimesharudishwa tena kwenye akaunti yake siku atakaporudi tena Benki

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
VINGINEVYO KUHUSIANA NA HALI ILIVYO KWA SASA KWENYE MFUMO WA MAJITAKA WA NYUMBANI KWAKE MHUSIKA

Jirani Maji Machafu (JMM) hayupo tena alishahama ila mfumo wa majitaka kwa sasa ndiyo umeziba kabisa

Mfumo huu umeanza kuleta shida hivi karibuni tu hasa mara baada ya wafanyakazi wengine wane waliokuwa wakiishi kwenye jengo hilo kuwa wamehamia sehemu nyingine na kupelekea wakazi wawili tu kubaki kwenye jengo mmojawao akiwa ni JMM

Baada ya kubaki wakazi wawili mhusika na JMM, ndiyo pale mfumo huu ulipoanza kusumbua na unaendelea kusumbua tena hata baada ya JMM naye kuwa amehama

Mhusika amesharipoti tatizo hili mara kadhaa lakini pasipo response yoyote na mara ya mwisho alilazimika kwenda physically kuonana na mamlaka husika, wiki jana siku ya J4 ya tarehe 10/09/2024; na aliahaidiwa kuwa mafundi wangekuja kuurekebisha

Still, hadi leo mfumo huo uko intact na hakuna fundi aliyeonekana maeneo yale kwa ajili ya kuushughulikia

Mfumo huu unahitaji kurekebishwa kwa nje tu na si ndani nyumbani kwa mhusika; na kama unahitaji kurekebishwa kwa ndani, basi itakuwa ni kwenye nyumba ya juu aliyokuwa anaishi JMM

MATATIZO MAWILI AMBAYO MHUSIKA AMESHAYAONA YANAYOPELEKEA MAFUNDI WASIENDE KUUREKEBISHA MFUMO HUO

Tatizo la kwanza kabisa ni mafundi wengine wageni waliopo wanaofanya kazi ya ukarabati kwenye jengo hilo analoishi mhusika

  • Dalili zinaonyesha kuwa mafundi wanaoshughulika na mfumo wa maji taka, hawataki kwenda kufanya kazi kwenye muda ambao mafundi wageni wanakuwa wapo.
  • Si kwamba mafundi wenyeji hawataki kuonekana wanafanya kazi wakati mafundi wageni wakiwa wapo; hapana ila inaonyesha mafundi wenyeji hawataki kujulikana sura zao na mafundi wageni
Hilo ni tataizo la kwanza

Tatizo la pili lina maelezo marefu kidogo na ambayo mhusika atayaleta humu kuanzia kesho

Ikumbukwe kuwa ndani ya kipindi cha hiki cha hivi karibuni, mhusika ameshaenda kwenye mamlaka za miliki za nyumba mara tatu

Mara ya kwanza na ya pili alienda kwa ajili ya tatizo la mafuriko ya mavi kutokea nyumbani kwa JMM na hali ilikuwa hivi

  • Mara ya kwanza wakati mhusika anaenda kwenye ofisi hizo; barabara mpya inayoelekea huko na ambayp imejengwa hivi karibuni ilikuwa haina matuta ya barabarani, na hapo ilikuwa ni April 2024
  • Wakati huo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kupita kwenye barabara hiyo tangu ilipoanza kutumika rasmi baada ya kuwa imekamilika
  • Mara ya pili mhusika alienda huko mwanzoni mwa mwezi August 2024; na siku hiyo alikutana na matuta mapya ya barabarani ambayo wakati anapita April 2024, matuta hayo hayakuwepo
Siku hiyo Mhusika alikutana na matuta mawili mapya ambayo yamefanana exactly na matuta mengine mapya yaliyowahi kuwekwa barabarani mwanzoni mwa April 2024; kwenye sehemu iliyo jirani na maeneo anayoishi MKUU WA MAJOR UNIT

Mara ya mwisho na ya tatu, mhusika alienda huko J$ ya wili iliyopita tarehe 10/09/2024

Kwa safari hizi mbili za mwisho, mhusika amekuwa akilazimika tu kwenda huko kwa sababu kwa sasa kuna utaratibu wa kujaza request online pasipo kwenda huko

Online requests zikikwama kupata response, ndiyo pale mwenye tatizo anapolazimika kwenda huko na hiki ndicho ambacho kimekuwa kikitokea kwa safari hizi mbili za mwisho

Na hali ilivyo hadi kufikia sasa ni kwamba mhusika hawezi kutumia vyote choo na bafu; hali ni mbaya sana

Matuta haya mapya yaliyowekwa tena hivi karibuni kwenye barabara hiyo inayoelekea kwenye ofisi za miliki ya nyumba, yanatengeneza “‘KEY” na matuta ya barabarani yaliyowahi kuwekwa kabla mwanzoni mwa April 2004; kwenye barabara kuu ya kuelekea Mwenge

Taarifa zaidi zitawajieni tena kesho

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
HINT NYINGINE MUHIMU KUHUSIANA NA SWALA HILI LA TROJAN HORSE CASE

TAKRIBANI MWEZI MMOJA UMEPITA, KWENYE J2 MOJA BAADA YA IBADA, MHUSIKA ALIKUWA APPROACHED NA STRANGER MMOJA MAMA WA MAKAMO PALE KANISANI AKIOMBA MCHANGO WA HARUSI

SURA YA MAMA HUYU ILIKUWA NI NGENI KABISA MACHONI PA MHUSIKA ISIPOKUWA ALIFANANA NA SURA YA MAMA MWINGINE AMBAYE NI MWENYEJI PALE KANISANI NA AMBAYE PIA NI SHEMASI

MHUSIKA ALIMPATIA NAMBA YA SIMU MAMA HUYO KWA AJILI YA KUKUMBUSHIA MUDA UTAKAPOKARIBIA, KUONA KAMA ATAKUWA NA NAFASI YA KUWEZA KUMPATIA MCHANGO HUO.

HILO LIKAPITA

ILIPOFIKA J2 NYINGINE YA TAREHE 08/09/2024, MHUSIKA AKIWA YUPO KWENYE IBADA, MARA TU BAADA YA IBADA KUANZA ALIFUATWA NA MR X NA SABABU ILIYOMPELEKEA MR X KUMFUATA, MHUSIKA HAKUWEZA KUISIKIA KWA SABABU VYOMBO VILIKUWA VINAUNGURUMA KWA SAUTI KUBWA MNO, HALI ILIUOPELELEKEA MHUSIKA KUONGOZANA NA MR X HADI NJE ILE AKAMSIKILIZE KILE AMBACHO ALIKUWA ANAONGEA

KABLA YA MR X KUMFUATA MHUSIKA, MLE NDANI YA KANISA ALIONEKANA AKIWA ANANONG'ONEZANA KITU KWANZA NA YULE MAMA STRANGER AMBAYE WIKI KADHAA NYUMA, ALIWAHI KUOMBA MCHANGO WA HARUSI KUTOKA KWA MHUSIKA

BAADA YA MAONGEZI YAO NDIYO PALE MR X ALIPOMFUATA MHUSIKA NA KUMTOA NJE YA IBADAP


WALIPOTOKA NJE, MR X ALIMWAMBIA MHUSIKA KUWA ALIHITAJI AMPISHE ILI AONDOE GARI AINA YA ALPHARD NYEUPE AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA AMEIZIBA

GARI HIYO HAIKUWA YA MR X NA NDIYO MAANA MHUSIKA HAKUELEWA KILICHOPELEKEA MR X KWENDA KUMTOA NJE YA IBADA

UWEZEKANO NI KWAMBA MR X ALISUBIRIA IBADA IANZE KWANZA ILI TUKIO LA KUMTOA NJE YA IBADA MHUSIKA LISIONEKANE NA WATU

MHUSIKA ANASHAURI MAMLAKA HUSIKA ZICHEKI KUONA KAMA MTU MWENYE NAMBA YA SIMU ILIYOPOKEA FEDHA KUTOKA KWA MHUSIKA, ANA GARI ALPHARD NYEUPE AU ANA UHUSIANO NA MTU ANAYEMILIKI GARI YA AINAHIYO

UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA SETUP YA MCHORO WA FEDHA HIZI IMEANZIA KANISANI NA MR X ANAWEZA KUWA NDIYE MHUSIKA MKUU KWENYE MCHORO HUU

IKUMBUKWE PIA KUWA GARI AINA YA ALPHARD NI MOJAWAPO YA "KEYS" ZILIZOKUWEPO KWENYE MSIBA ULIOTOKEA NYUMBANI KWA JIRANI MAJI MACHAFU TAKRIBANI MIAKA MIWILI ILIYOPITA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
ZAIDI NI KUWA GARI HIYO ILIPAKI JIRANI NA GARI LA KIONGOZI MKUU WA KANISA A ( KM-A) NA AMBAYO NI SEHEMU PEKEE AMBAYO KARIBIA MARA ZOTE, GARI AMBAZO HUWA ZINAPAKI PALE, HUWA HAZIHITAJI KUTOKA NA KAMA ZINATOKA, BASI HUWA ZINAFANYA HIVYO KABLA YA IBADA YA PILI KUANZA

HII GARI YA SIKU HIYO YA MR YENYEWE ILISUBIRIA HADI IBADA YA PILI KUANZA HALAFU NDIYO PALE ILIPOHITAJI KUTOKA

VINGINEVYO KULE OFISINI KWAKE MHUSIKA AMESHANOTICE TENA KITU KISICHOKUWA CHA KAWAIDA, KUENDELEA KWRNYE CHUMBA CHA COMPUTER ROOM AMBACHO HUWA KINATUMIWA NA MU-EUROPE

MHUISIKA ALINOTICE KITU HICHO TANGU WIKI JANA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADA YA UTAFITI WA MHUSIKA KUHUSIANA NA " KEYS" KUWA UMETHIBITIKA PASIPO SHAKA: MHUSIKA ANAWAOMBA WASOMAJI WAZI-REVIEW TAFITI ZAKE ZA AWALI ZILIZOWAHI KUBAINISHA UWEPO WA TAA ZENYE RANGI ZILIZO NA UHUSIANO NA MASHOGA KWENYE NGAZI ZA MADHABAHU YA KANISA A:

............KWA MAANA KUWA RANGI HIZO ZINATENGENEZA " KEY" NA MASHOGA, NA HUWA ZINAWAKA ZIKIWA ZINABADILIKA RANGI WAKATI WOTE WA IBADA KUU, NA HATA BAADA YA IBADA KUWA IMEMALIZIKA

TAA HIZO ZIMEKUWEPO MUDA WOTE KWA ZAIDI YA MIAKA MIWILI SASA, ZIKIWA ZIMETENGENEZA LINK NA MASHOGA, NDANI YA NYUMBA YA IBADA AMBAYO HAIJAWEKWA HATA WAKFU, NA INAONYESHA MPANGO WA KUWEKA WAKFU NYUMBA HIYO HAUPO TENA

MIHUSIKA ALIWAHI KUZILETA TAFIT HIZO HUMU KUPITIA POSTS HIZI HAPA CHINI







NI KWA BAHATI MBAYA LEO UMEME UMEKATIKA OFISINI HUKU STANDBY GENERATOR IKIWA HAINA MAFUTA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 19th SEPTEMBER 2024

TAARIFA KUHUSIANA NA WAKAZI WA BLOCK JIRANI ANALOISHI MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA


KUNA UWEZEKANO KUWA ANGALAU MKAZI MMOJA AU WAWILI WANAOISHI KWENYE BLOCK HILO, WANAWEZA KUWA SI WAFANYAKAZI WA TAASISI

NA KAMA WOTE WANAOISHI KWENYE BLOCK HILO NI WAFANYAKAZI WA TAASISI, BASI KUNA MMOJA AMBAYE KWA MUDA MREFU SANA, ALISHAPAKI GARI LAKE PETMANENTLY, HUWA HALITUMII KABISA SIKU ZOTE

GARI HILO NI RAV4 INAYOFANANA EXACTLY KWA MUUNDO NA RANGI, NA GARI NYINGINE RAV4 INAYOMILIKIWA NA MKUU WA IDARA YA MHUSIKA

KWA MARA YA KWANZA MHUSIKA ALIWAHI KUMUONA KWA SURA MKAZI HUYO MWAKA JANA DESEMBA, MARA TU BAADA YA TAA AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA AMEIWEKA NJE, KUNUSURIKA KULIPULIWA, KITU AMBACHO KINGEPELEKEA KUCHOMA JENGO ZIMA.

MHUSIKA NA MTU HUYU WALIKUTANISHWA NAYE KWENYE MKUTANO WA DHARURA ULIOKUWA UMEITISHWA NA MWENYEKITI WA MTAA

TANGU PALE, MHUSIKA HAJAWAHI KUMUONA TENA MKAZI HUYO AKIWA ANAELEKEA OFISINI, AIDHA KWA KUTEMBEA KWA MGUU AU KWA KUTUMIA GARI

VILE VILE KABLA YA HAPO, MHUSIKA HAKUWA AMEWAHI KUMUONA AKIFANYA HIVYO, NA HIVYO KUPELEKEA HATA ASIWE ANAMFAHAMU KWA SURA

SIYO HUYO TU BALI YUPO MWINGINE TENA WA PILI AMBAYE DETAILS ZAKE ZITAWAJIENI BAADAYE. HUYU NAYE PIA WALIKUTANISHWA KWENYE KIKAO HICHO CHA DHARURA NA NDIYO ILIKUWA MARA YA KWANZA HATA KWA HUYU WA PILI, KUMUONA KWA SURA

KUNA KITU KINAWEZA KUWA KINAENDELEA KWENYE BLOCK HILO; NA MAMA WA KIROHO NDIYE ANAYEWEZA KUWA ANA DETAILS ZAIDI

BLOCK HILO LINA JUMLA YA WAKAZI SITA LAKINI WALE AMBAO MHUSIKA HUWA ANAWAONA WAKIELEKEA KAZINI, AU WAKINGIA NA KUTOKA KWENYE BLOCK HILO NI WATATU TU

HAWA NI WALE AMBAO OFISA WA NYUMVA ALIYEPITA, ALIWAACHA WAKIWA WANAISHI PALE BAADA YA KUWA AMEHAMIA KWENYE BLOCK LA MHUSIKA

WENGINE WATATU WALIOBAKI NA AMBAO WALIKUJA KUONGEZEKA WAKATI OFISA WA NYUMBA HUYU ALIPOKUWA YUPO MADARAKANI, NDIYO WALE AMBAO MHUSIKA HUWA HAWAONI WAKIINGIA NA KUTOKA AU WAKIWA WANAELEKEA KAZINI

UTAFITI ZAIDI BADO UNAENDELEA NA TAARIFA ZAIDI ZITAWJIENI SIKU NYINGINE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 20th SEPTEMBER 2024

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA MADA INAYOHUSIANA NA YALE YALIYOJIRI KWENYE IBADA YA J2 YA TAREHE 08/09/2024………

UHUSIANO KATI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA KANISA YALIYOFANYIKA TAREHE 14/07/2024 NA BAADHI YA “KEYS” MPYA ZILIZOKUWA ZIMETENGENZWA KUPITIA KANISA A, SIKU CHACHE MBELE KABLA YA MAADHIMISHO HAYO KUFANYIKA


Maadhimisho ya miaka 75 (2014) ya Kanisa yaliyowahi kufanyika miaka kumi iliyopita; yaani yaliyofanyika mwaka 2014, yalifanyika mwanzoni mwa mwaka 2014, na ulikuwa ni aidha mwezi March au April

Tofauti na ilivyokuwa kwa maadhimisho ya mwaka huu, maadhimisho hayo ya awali yalifanyika kwa njia ya Makanisa yaliyopo kwenye sections kukusanyika mahali pamoja kwenye jioni ya J2 moja baada ya Ibada za asubuhi za kwenye kila Kanisa kuwa zimefanyika na kumalizika

MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA MWAKA HUU

Yalifanyika tarehe 14/07/2024 ikiwa ni wiki mbili tu baada ya “KEY” ya KM-A iliyokuwa imeusubiriwa kwa muda mrefu Kanisani hapo, kuwasili J2 ya tarehe 30/06/2024 (mwisho wa mwezi)

USHAHIDI KUWA MAADHIMISHO YA MIAKA 75 YALIYOWAHI KUFANYIKA MIAKA 10 ILIYOPITA, YALIFANYIKA KABLA YA MAY 2014


Mhusika kwa sasa anaabudu Kanisa A na maadhimisho hayo ya miaka 75 yalifanyikia Kanisa B; Kanisa ambalo mhusika alikuja baadaye kuhamia, huku maadhimisho ya miaka 75 yakiwa tayari yameshapita

  • Mhusika alihama kutoka Kanisa A kwenda Kanisa B, miezi kadhaa mbele baada ya maadhimisho hayo kuwa yamefanyika
  • Mhusika alihama kutoka Kanisa A kwenda Kanisa B (ambako maadhimisho ya miaka 75 yaliwahi kufanyikia), siku ya J2 ya tarehe 08/06/2014 (miaka 10 iliyopita)
Kwa hiyo wakati mhusika anahama kutoka Kanisa A kwenda Kanisa B mwanzoni mwa June 2014, maadhimisho ya miaka 75 yalikuwa tayari yameshafanyika

Ilipofika April 2017, ndiyo pale mhusika alipohama tena kutoka Kanisa B kurudi Kanisa A ambako ndiko aliko hadi muda huu

COINCIDENCES ZA BAADHI YA “KEYS” NA TUKIO HILI

Tukio la mwaka huu kuhusiana na maadhimisho ya miaka 85 lililofanyika, tayari limeshaonyesha coincidences na baadhi ya matukio ya yanayohusiaana na ‘KEYS”, ikiwemo “KEY” maarufu ya gari jipya la KM-A

Tukio hili linatengeneza pia“KEY” na mwaka wa kuzaliwa wa marehemu Baba wa mama Profesa, mama aliyesimama Kanisani kutoa sadaka ya shukrani; J2 ya tarehe 31/03/2024 (mwisho wa mwezi) ikiwa ni siku tatu tu baada ya tukio la msiba wa Baba mzazi wa mama huyo kuwa limepita

Hint muhimu hapa ni kwamba kama mhusika angekuwa na mamlaka; ulikuwepo uwezekano mkubwa wa yeye kukosea namna ya kushughulika na hawa watu wanaotengeneza “KEYS” za makusudi, kwa kutumia misiba

Wengine wanaoangukia kwenye “KEYS” za namna hii na ambao ndiyo walitangulia kuzitengeneza, ni MKUU WA MAJOR UNIT(MMU) pamoja na JIRANI MAJI MACHAFU (JMM)

Taarofa zaidi kuhusiana na “KEYS” zilizotengenezwa kwa kutumia tukio la nyumbani kwa JMM zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KANISANI KWENYE IBADA YA J2 YA TAREHE 08/09/2024; J2 YA WIKI JUZI
 
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KANISANI J2 YA TAREHE 08/09/2024

J2 hii ilikuwa ni J2 ya pekee sana kwa mhusika kwa sababu siku hiyo alipata nafasi ya kupaki ndani ya uzio wa Kanisa kabla ya waumini wa Ibada ya kwanza kuwa wametoka; kwa maana kuwa wakati anaingia na kupaki ndani, Ibada ya kwanza ilikuwa bado inaendekea na hivyo waumini wa Ibada ya kwanza walikuwa bado hawajatoa magari yao nje

Pamoja na kuwa Ibada ya kwanza ilikuwa bado inaendelea; still kulikuwa na nafasi iliyoruhusu gari la mhusika kupaki ndani ya uzio wa Kanisa, kitu amcho huwa ni very rare.

Mbali nah lo, nafasi hiyo haikuwa hata na bughudha kwa magari mengine ya waumini wa Ibada ya kwanza ambao wangehitaji kutoka baadaye; isipokuwa:kwa gari moja tu ambayo:

….ilikuwa ni aina ya ALPHARD NYEUPE; iliyokuwa imepaki jirani kabisa na gari la KM-A…….

Hii ndiyo gari pekee ambayo baada ya mhusika kuwa amepaki gari lake, aliiziba


Still, mhusika hakuwa na wasiwasi juu ya yeye kuliziba gari hilo kwa sababu alijua kuwa kama mwenye gari atakuwa anahitaji kutoka baada ya Ibada ya kwanza kumalizika, basi nafasi ilikuwepo ya kutosha kwuweza kumpsha

Vinginevyo mhusika alikuwa na dhana kichwani kuwa gari hilo lisingetoka pale mpaka baada ya Ibada ya pili kumalizika kwa sababu

  • Gari ALPHARD NYEUPE ilikuwa ni ngeni Kanisani hapo na ukizingatia kuwa ilikuwa imepaki jirani na gari la KM-A, mhusika alipata hisia kuwa kulikuwa na uwezekano kuwa ilikuwa ni ya mtumishi wa Mungu, na mgeni wa KM-A, aliyefika J2 hiyo kwa ajili ya huduma ya Ibada Kanisani hapo
  • Huduma ya Ibada kuu ya J2 hiyo ilitoka kwa mtumishi wa Mungu mgeni kutoka nje ya Kanisa
Mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho alifika Kanisani hapo na kubahatika kupata nafasi ya kupaki ndani ya uzio wa Kanisa na katika muda ambao Ibada ya kwanza ilikuwa bado inaendelea

BAADA YA IBADA YA KWANZA KUMALIZIKA J2 HIYO

Waumini wa Ibada ya kwanza walianza kutoka nje ikiwa ni pamoja na magari yao; na baada ya muda gari zote zilizokuwa zinatoka nje zilimalizika na hatimaye gari za waumini wa Ibada ya pili kuanza kuruhusiwa kuingia ndani ya uzio wa Kanisa

Hadi kufikia muda huo, mhusika alikuwa bado hajaona mtu wa kuja kumuomba ampishe aili aweze kutoa gari lake nje; yaani yule mmiliki wa ALPHARD NYEUPE

Hapo mhusika akawa amejiridhisha kuwa uwezekano wa APHARD NYEUPE kutoka nje ulikuwa ni baada ya Ibada ya pili kuwa imemalizika

MUDA MFUPI TU BAADA YA IBADA YA PILI KUANZA, MARA BAADA TU YA VYOMBO VYA MUZIKI KUANZA KUUNGURUMA

MR X aliyekuwa amehudhuria Ibada ya kwanza, alimfuata mhusika na kuanza kumsemesha kwa kumnong’oneza huku vyombo vya mziki vikiwa vinaunguruma, kitu kilichopelekea mhusika asiweze kusikia MR X alikuwa anasema nini

  • Hali hiyo ilipelekea mhusika kutoka nje akiwa ameongozana na MR X, na walipofika nje MR X alimweleza mhusika kuwa alikuwa anahitaji kuitoa hiyo gari hiyo ALPHARD NYEUPE na hivyo kumuomba mhusika ampishe
  • Mhusika alimpisha MR X na baada ya kusogeza gari lake kwenye sehemu nyingine, alirudiu ndani na kuendelea na Ibada
Vinginevyo maelezo ya awali kuhusiana na swala hili la ALPHARD NYEUPE yapo kwenye post hii hapa #2,232

UPNEXT:
  • YALE YA MHUIMU YALIYOJIRI MUDA MFUPI TU BAADA YA MHUSIKA KUINGIA KANISANI NA HATIMAYE KUPAKI GARI LAKE NDANI YA UZIO WA KANISA, KABLA YA IBADA YA PILI KUANZA
  • YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI WAKATI WA IBADA YA PILI
………………..inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUPAKI GARI NDANI YA UZIO WA KANISA, KABLA HAJASHUKA KWENYE GARI

Alipita muumini mmoja wa kiume na kumsalimia mhusika

Muumini huyu alikuwa amebeba kitoto rafiki yake na mhusika

Kwa lugha ya kiroho inayohusiana na utafiti huu, muumini huyu tunaweza kumwita kuwa ni GENERATOR, na kile kitoto kichanga alichokuwa amekibeba ni ki-GENENERATION chake

Muda mfupi baadaye; takribani baada ya dakika moja kupita; alipita tena GENERATOR mwingine ambaye naye alikuwa amebeba ki-GENERATION kingine, mdogo wa ile GENERATION iliyopita mwanzo kwa maana kuwa aliyepita mwanzo alikuwa mme akiwa na amebeba kitoto chao kichanga cha kwanza na aliyepita mara ya pili alikuwa ni mke, akiwa amebeba kitoto chao kichanga cha pili

  • Hiki kitoto cha pili ndiyo kikamchukua sasa mhusika kutokea pale kwwnye parking hadi nje ya uzio wa Kanisa alikoelekea mme; kwa sababu mke naye alikuwa anaelekea huko
  • Sababu moja kubwa iliyopelekea kitoto hicho kumchukua mhusika hadi nje ya uzio wa Kanisa ni kwamba hiki cha pili bado kinazo original attributes zote za umalaika; kwa maana kuwa hakijaanza hata kufanya tu ile mutation process ya kutoka kwenye umalaika kuelekea kwenye ubinadamu; IF SEEN PHSICALLY, GOD MUST BE VERY BEAUTIFUL!
Mhusika alikibeba kitoto hicho hadi nje alikokuwa ameelekea baba wa kitoto; na baada ya muda mfupi, aliagana nao wakaondoka kurudi nyumbani na yeye kurudi tena ndani kusubiria Ibada ya pili

Wakati huo Ibada ya kwanza ilikuwa bado inaendelea ila ilikuwa mwishoni na ulipofika muda, Ibada ya hiyo ilihitimishwa kwa sala na Kiongozi Junior ambaye huwa anafundisha somo la ROHO MTAKATIFU, au GENERATOR

Kiongozi huyu aliyehitimisha Ibada with respect to the HOLLY SPRIT yeye ni GENERATION

  • Katika hali ya kawaida; kwa utaratibu wa sasa, karibia mara zote Ibada zote zimekuwa zikihitimishwa kwa sala na KM-A
  • Utaratibu huu mpya ulianza kutumika muda mfupi mara tu baada ya waumini kuhamia kwenye Jengo Jipya la Kanisa. Hapo kabla, utaratibu huu haukuwahi kuwepo
Kwa J2 hiyo, haya sasa yakawa ni matukio ya awali yaliyohusiana na GENERATORS na GENERATIONS; kabla ya ibada ya pili kuanza

WAKATI WA IBADA YA PILI


Huku yakiwa yamepita haya yote ambayo mhusika tayari ameshayaeleza hapo juu, hatimaye Ibada ya pili ilianza

Baada ya kipindi cha Kusifu na Kuabdu kumalizika, Mtumishi wa Mungu mgeni (tumiwte MMGE) alikaribishwa na KM-A na kupanda juu Madhabahuni tayari kwa kuanza huduma kuu ya Ibada ya pili

MMGE alisoma fungu kutoka Luka 24:49 linalosema “Na tazama, nawaletea juu yenu “ahadi ya Baba yangu”; lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu”; fungu lililokuwa linaongelea vitu vitatu yaani GENERATOR, LOCATION pamoja na GENERATIONS

Fungu hili linaongelea mambo hayo kwa namna kama ilivyoelezwa hapa chini

  • Mosi: Nawaletea juu yenu “Ahadi” ambayo ni ROHO MTAKATIFU (RM) au GENERATOR
  • Pili: Kaeni humu “Mjini” ambayo ni LOCATION
  • Tatu: wanafunzi wa Yesu “kuvikwa uweza” wakiwa ndiyo wale waliowahi kufanyika wa kwanza kama GENERATION baada ya RM kuwa ameshuka juu yao siku ya Pentekoste
BAADA YA MMGE KUWA AMESOMA FUNGU HILO

Aliwaomba waumini kutoa sadaka na baada ya pale aliwaita waumini mbele na kuanza kuwaombea UJAZO WA ROHO MTAKATIFU au ujazo wa GENERATOR

Kwenye maombezi hayo walipatikana GENERATIONS wapya au waongofu wapya.

GNERATIONS hawa waliopatikana MMGE akiwa juu ya madhabahu, huku akiwa ananena kwa LUGHA MPYA

  • Baada ya muda kupita, MMGE alishuka kutoka madhabahuni na kumwachia zamu KM-A
  • KM-A alipandisha juu madhabahuni naye AKAENDELEA KUNENA KWA LUGHA MPYA
Kariba mara zote; tangu waumini wahamie kwenye Kanisa jipya; ibada zimekuwa zikihitimishwa kwa MOMBI ikiwa ni pamoja na watumishi wa Mungu KUNENA KWA LUGHA MPYA wakiwa juu madhabahuni

  • Kunena kwa lugha mpya, maombi, generations, generators ni baadhi tu ya attributes ambazo ziko associated na Mungu RM; anayeokoa na hivyo ni ATTRIBUTES za WOKOVU
  • Lugha mpya maana yake ni lugha ambayo hikuwahi kuwepo kabla ya leo isipokuwa leo na katika muda ambao imekuwa ikinenwa
Lugha hizi ndiyo zile ambazo zinakuwa associated na mapepo na kupelekea baadhi ya maneno kama GENERATOR la UMEME kuwa sawa na GENERATOR ROHO MTAKATIFU

Kwa hiyo, wakati huo wa kunena kwa lugha mpya, pepo huwa anarushwa kwenye lugha kupitia maombi na hivyo kupelekea ATTRIBUTES ZA ROHO MTAKATIFU kurushiwa mapepo kitu ambacho huwa kinapelekea kutokea kwa MADHARA MAKUBWA MANNE yafutatayo

  • WAKRISTO WOTE ambao maombi yao huwa nyanafanyika kwa JINA LA YESU, wanabebeshwa mapepo kuanzia pale
  • WALOKOLE WOTE ambao wanaamini kwenye ujazo wa RM au kuvikwa uweza, nao pia anabebeshwa mapepo
  • WAONGOFU WAPYA WOTE, yaani wale walokole wapya wanaookoka kuanzia siku hiyo na kuendelea , nao pia wanabebeshwa mapepo
  • Watu wengine wote waliobaki wasiokuwa walokole, provided wana NAFSI, MWILI, ROHO NA AKILI, nao pia wanabebeshwa mapepo kuanzia pale na kuendelea
Ni kwa sababu MAOMBI yanakuwa yamerushiwa mapeo na hayupo mtu ambaye huwa hafanyi maombi. Hata wale wasioamini Mungu huwa wanafanya maombi

Huu ni uhaini na hiki kitu kimekuwa propagated kuanzia kwenye ile Semina ya RM iliyowahi kufanyika February 2012

Kwa hiyo, mtu akisharusha pepo kwenye attributes hizi, anakuwa amerusha pepo kwa WAKRISTO na pia kwa wale wote wasiokuwa wakristo

KILE KINACHOTOKEA KWENYE MIKUTANO YA INJILI INAYOFANYIKA CHINI YA UTARTIBU WENYE MBINU HIZI

Kwenye mikutano hiyo

  • Walokole wote wanabebeshwa mapepo upya na kuwa wasambazaji wa mapepo
  • Waongofu wapya wote wanaoptaikana kwenye mikutano hiyo, wanaongezeka kwenye idadi ya watu wanaosambaza mapepo
  • Watu wengine wote wanabebeshwa mapeo na kuanza kuyasambaza
  • Ikumbukwe kuwa RM ni Mungu halisi (nafsi ya tatu ya Mungu mmoja); na hivyo mtu alirusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA RM, anakuwa amerusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA MUNGU
MAREKEBISHO MUHIMU KUHUSIANA NA MAELEZO YA AWALI KUHUSIANA NA YESU, MUNGU, NA PIA ROHO MTAKATIFU

Hayupo kiumbe anayeweza kumrushia pepo Mungu, Yesu au RM isipokuwa kwenye ATTRIBUTES zao tu

Kwa hiyo inawezekana kwa mtu kurusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA MUNGU kwa sababu wapo pia watu ambao BAADHI YA ATRINBURES zao zinafanana na attributes za Mungu au za Yesu

Kwa hiyo attributes za watu hawa zikirushiwa mapepo, mapepo haya yataweza kukaa pia kwenye attributes za Mungu kutokana na kwamba attributes hizi zinakuwa ni “KEY” kati ya attributes za Mungu na zile za wanadamu

Mfano watu wenye majina kama

Emamnuel, Elibariki. Elisante, Yoshua………

  • Watu wenye majina yote yanayoanzia na neno God
    Godlove, Godfrey, au jina Goodluck (hili linatengeneza “KEY” na neno GOD)
  • Majina yote yanayotengeneza “KEY” na neno CHRIST kama vile: Christina, Chritistian, Chrtopher, Chrispin……
  • Vile vile vitu vyenye majina kama Generator, Printer, Projector, …….
Maneno haya generator, printer na projector…., kila moja kwa wakati linaweza kumaanisha nafsi ya mtu kulingana na context (muktadha) wa namna lilivyotumika na hivyo yanawakilisha pia ATTRIBUTES za wanadamu

Still, RM pia naye pia ni GENERATOR kiasi kwamba ukirusha pepo kwenye attributes za generator binadamu, unakuwa umerusha pepo kwenye attributes za GENERATOR RM

Haya mambo mhusika ameshayaeleza kwa kina sana humu jukwaani na hivyo hana haja ya kuyongelea sana

KWA KIFUPI SANA NJIA KUU MBILI ZINAZOTUMIKA KAMA TEKNIK YA USAMBAZAJI WA MAPEPO KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A

Njia hizi ziko mbili

  • Mosi: Ibada za Jumapili ambazo mara zote zimekuwa zikihitimishwa kwa maombi huku KM-A akiwa ananena kwa lugha mpya
  • Pili: Mikutano ya injili ya ndani na nje ya Mkoa wa Dar es salaam inayopelekea kupatikana kwa waongofu wapya walijazwa RM kwa mara ya kwanza
KUHUSIANA NA MFUMO WA UNENAJI WA LUGHA MPYA

Msisitizo mkubwa hapa ni kwamba ieleweke kuwa LUGHA MPYA ni lugha ambayo haijawahi kuwepo kabla ya siku ya kunenwa kwake

Kama mneneaji wa lugha alinena kwa lugha jana; na mnenaji huyo huyo ananena kwa lugha leo, lugha ya jana na ya leo ni lugha mbili tofauti, huku lugha ya leo ikiwa ndiyo ile ambayo ni lugha mpya

Lugha mpya ni lugha iliyo mpya kila mnenaji anapokuwa anainena lugha hiyo

Kwa hiyo kinachosambaza mapepo kutoka kwenye madhabahu ya Kanisa A, ni Ibada kuhitimishwa kwa maombi na kunena kwa lugha

HITIMISHO


Kabla ya waumini wa kanisa A kuhamia kwenye Kanisa jipya, Ibada hazikuwahi kuwa zinahitimishwa kwa mtindo huu wa maombi na kunena kwa lugha

Zaidi ni kuwa mwalimu wa Semina ya RM iliyowahi kufanyika mwaka 2012 anayajua zaidi yanayofanyika kwa kutumia mbinu hii; pamoja na wale viongozi aliokuwa ameambatana nao kwenye semina hiyo

Huu ni uhaini

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
HINT MUHIMU KUHUSINA NA URUSHAJI WA MAPEPO UNAOFANYIKA KUPITIA MADHABAHU YA KANISA KWENYE IBADA ZA J2

IBADA ZA KANISA A ZIKIWA ZINAHITIMISHWA KAWAIDA KAMA ILIVYOKUWA MWANZO NA SI KWA MAOMBI NA KUNENA KWA LUGHA KAMA ILIVYO SASA, HAYUPO PEPO ATAKAYERUKA TENA KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A

UNLESS KAMA KUNA MBINU NYINGINE AMBAYO MHUSIKA BADO HAJAIBAINI

UPNEXT:
NAMNA AMBAYO “KEYS” ZILIWAHI KUUNDWA KWA KUTUMIA MSIBA ULIOTOKEA NYUMBANI KWA JJIRANI MAJI MACHAFU MWAKA 2022

Ulikuwa ni msiba wa kwanza ambao mhusika aliushuhudia kutokuwa na hema
 
UPDATE: MONDAY 23rd SEPTEMBER 2024

KAMA KAWAIDA, NI MRX TENA

UTAFITI WA MHUSIKA KUHUSIANA NA MAMBO MANNE MAKUBWA AMBAYO NI:

MOSI:
TUKIO LA WATU KUPOTEZA MAISHA KWENYE TAMASHA LA KUKANYAGA MAFUTA YA UPAKO LILOWAHI KUTOKEA MIAKA KADHAA ILIYOPITA

Tukio hili lilikuwa ni hujuma zilizopangwa makusudi kufanywa kwa Mtumishi wa Mungualiyehusika na tukio hilo, lengo ikiwa ni ili azuiwe kuendesha matamasha ya mafuta ya upako


Kwa siri sana, upako unatumiwa pia na watu wanaorusha mapepo na hivyo matamasha ya kukanyaga mafuta ya upako yanazalisha watu wengi ambao wanakuwa kikwazo kikubwa kwa wale wanaorusha mapepo kwa kutumia njia hiyo ya upako

Inavyoonyesha, possibly hata mtu aliyelewa pombe au madawa ya kulevya, ikitokea akayapata kuyatumia mafuta ya upako, yanaweza kumsaidia kufukuza pepo

PILI: UPAKO WA MAFUTA WA MR X ALIOUPOKEA HIVI KARIBUNI KUTOKA KANISANI KWENYE J2 MOJA NA HATIMAYE KESHO YAKE J3 KUONDOKA KWENDA SAFARI

Upako huu wa MR X ndiyo ule unaofanya kazi kwenye upande ulio kinyume na ule wa Mtumishi wa Mungu aliyewahi kuhujumiwa na kupelekea watu wengi kupoteza maisha

  • Matukio yote ya hivi karibuni yaliyotokea mara tu baada ya MR X kuwa amesafiri, yalikuwa yako controlled na upako huo wa MR X alioupokea Kanisani siku moja kabla ya safari yake
  • Ili kuhakiskisha kuwa anasafiri huku akiwa bado yupo kiroho ofisini, J3 ile ambayo MR X alisafiri, staffmate ambaye ni namesake wake na ambaye alikuwa hajaonekana ofisini mfululizo kwa takribani MIEZI MINE AU MITANO, alianza kuja ofisini kama “KEY” ya kumuwakilisha MR X wakati yupo safari
  • Mara ya mwisho staff huyu kuonekana ofisini, ilikuwa ni kabla ya Pasaka; au possibly siku chache tu baada ya Pasaka kupita
  • Baada ya pale, staff huyu hakuwahi kuonekana tena ofisini hadi siku ya J3 ile ambayo MR X alisafiri
TATU: PATTERN ILIYOJIDHIRISHA HADI KUFIKIA MUDA HUU KUHUHUSIANA NA MATUKIO AMBAYO YAMEKUWA YAKIJIRI UPANDE WA MHUSIKA PALE MR X ANAPOKUWA AMESAFIRI YAKIWEMO YA HUJUMA KWENYE GARI LAKE

Kwa safari hii, ilikuwa ni mara ya tatu mfululizo kwa gari la mhusika kuhujumiwa MR X akiwa yupo safari

Mbali na hilo, kwenye safari zote tatu mfululizo ambazo MR X amewahi kuzifanya, imekuwa kila akiondoka kwenda safari, ndiyo pale gari la mhusika linapohujumiwa

Hujuma hizi zinahusiasha CHRISTIANS, NON CHRISTIANS pamoja na cadre ya MAFUNDI wote kwa ujumla wao kwa sababu ATTRIBUTES za mafundi ni ATTRIBUTES za YESU pia; Yesu alikuwa fundi

Kwa hiyo kwa muda mrefu sasa, MR X amekuwa akishugulika na CHRISTIANS pamoja na NON CHRITIANS pamoja na MAFUNDI

  • Tangu siku zote, MR X ndiye amekuwa ‘KEY” wa kuhakikisha kuwa gari la mhusika linaripoti kwa mafundi mara kwa mara; tangu mwaka 2013 mara tu baada ya mhusika kulileta kutoka Japan
  • Mbali na hilo, MR X amekuwa pia akitumia majina ya watoto wake wale wawili yanayotengeneza ‘KEY’ na neno ‘CHRIST” na hivyo kufanikiwa kushughulilka na CHRISTIANS na pia NON CHRISTIANS
  • Mtoto wa kwanza mwenye jina lenye sifa hizi alizaliwa mwaka 2012
Details za namna ambavyo MR X huwa anatekekeza majukumu yake, anazijua mwenyewe isipokuwa mfumo anaoutumia ndiyo huu

  • Gari la mhusika linapohujumiwa hulazimika kwenda kwa mafundi; watu ambao wanabeba ATTRIBUTES zinazofanana naATTRIBUTES ZA YESU kwa sababu Yesu alikuwa ni fundi
  • Matukio ya hujuma yanakuwa yamepangwa kwenye sequence fulani maalumu ambayo hadi inapofikia stage ya mhusika kulipeleka gari lake kwa mafundi; ATTRIBUTES ZA YESU zinakuwa tayari zimesharushiwa mapepo; na anaye-control sequence hii mahali pote kuanzia ofisini na pia Kanisani kwa mhusika, ni MR X
Kwa hiyo, gari linapokwenda kwa mafundi, likitoka huko linarudi likiwa limebeba mapepo kuyaleta ofisini na nyumbani pia kwa sababu wale wanaoshughulika nalo huwa tayari wamesharushiwa mapepo kwa kutumia sequence ambayo code yake anaimiliki MR X

KWA NINI HASA ATTRIBUTES ZA YESU/ MUNGU?

Fact ni kwamba watu wote ambao wanamwamini Mungu na ambao huwa wanamuomba Mungu, huwa hawamwamini au kumuomba kwa kumuona kwa macho bali kwa kutumia ATTRIBUTES zake

Kwa hiyo BELIEVERS wote huwa wanawasiliana na Mungu kwa kutumia ATTRIBUTES za Mungu na si vinginevyo

  • Kwa hiyo ATTRIBUTES za Mungu zinaporushiwa mapepo kwa kwa njia ya kurusha mapepo kwanza kwenye attributes za wanadamu zinazofanana na zile za Mungu, waumini wote wa Mungu wanakuwa kwenye shida kwa sababu huwa wanawasilana na Mungu kupitia attributes hizo likwemo JINA LA YESU.
  • JINA LA YESU SIYO Yesu bali ni ATTRIBUTES ZA YESU
  • Kwa hiyo, ATTRIBUTES ZA MUNGU ni mlango pekee ambao watu wote wanaomwamini Mungu, huwa wanawasiliana na Mungu na inapotokea mlango huo umezibwa; mawasiliano kati ya waumini na Mungu yanakuwa hayapo tena
NNE: TUKIO LA TROJAN HORSE CASE LILILOPELEKEA FEDHA ZA MHUSIKA KUWA DIVERTED KWENDA KWENYE NAMBA NYINGINE

MR X ndiye aliyehusika

Hili pia ni mojawapo ya matukio ambaye hivi karibuni yamekuwa controlled na UPAKO WA MR X alioupokea Kanisani J2 moja kabla ya J3 iya wiki liyofuata kuondoka kwenda safari

WATU WENGINE “KEYS” WANAOFANYA KAZI BEGA KWA BEGA NA MR X KULE KANISANI: HAWA NI “SYSTEM PAMOJA NA MKE WAKE”

Huyu SYSTEM ni Profesa ambaye mwaka juzi, yaani mwaka 2022, kwenye J2 ya kwanza mara tu baada ya Kongamano la Umisheni kumalizika, KM-A alimchagua kama “KEY” ikiwa ni pamoja na mke wake, tukio ambalo mhusika aliwahi kulileta humu kupitia posts hizi hapa #1,199 #1,177 ,

Siku hiyo, KM-A alichagua “KEYS” kadhaa na katika namna ambayo hakuwa smart sana kwa sababu ilionyesha dhahiri kabisa kuwa alikuwa anachagua ”KEYS”

Mwezi mmoja mbele baada ya “KEYS” kuwa sorted out na KM-A, ndiyp pale ajali mbaya ya ndege ilipotokea kule mkoani kwetu, ajali ambayo lilipelekea tena uwepo wa akina shujaa Majaliwa

  • Huyu Profesa yeye anashughulika na SYSTEM, na angalau kwa sasa amekuwa wazi kidogo kwa sababu hashughuliki tena kwa kificho kama ailivyokuwa akishughulika zamani
  • Kwa J2 mbili mfululizo zilizopita, Profesa huyu amekuwa akionekana kwenye pilika pilika kadhaa; na ambazo ni za msingi kiasi kwamba mtu hawezi ku-doubt kwa nini Profesa amekuwa na pilika pilia hizo za muda huu kwa sababu kumekuwa na sababu za maisngi za kufanya hivyo, ila huku akiwa ameficha rungu jingine nyuma ya pilika piika hizo; yeye pamoja na mke wake
KAMA INAWEZEKANA, MAPROFESA WANAOFANYA BLUNDERS KWENYE SYSTEM WACHUKULIWE HATUA KALI ZAIDI

Possibly, kuna haja ya kuzi-review baadhi ya kanuni za Nchi kiasi kwamba baadhi ya Profesa’s wanofanya blunders za namna hii, ikiwezekana wawe wanayang’anywa Uprofesa; au wachukuliwe hatua nyingine kali zinazofanana na hizo

Kama ambavyo Maprofesa wote wamepewa favour na Serikali ya kustaafu kwa hiari kwenye umri wa miaka 60 na kwa lazima kwenye umri wa miaka 65, vivyo hivyo upanga huu uliowapa favour ya namna hii, uwaume pia kwenye upande ule wa pili wanapotokea kuwa wamefanya vibaya

Hatuwezi kuwa tunakuwa na baadhi ya Profesas ambao wao kazi yao ni kusababisha sabortage tu kwenye SYSTEM

Chances ni kwamba hawa ndiyo wale wanaoisumbua SYSTEM kwa ku-trigger maandamano, kuutengeneza mfumo ili waweze kujilinda wasishughulikiwe kwa kufata kanuni na taratibu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


UPNEXT:

NAMNA “KEYS” ZILIVYOWAHI KUUNDWA KWA KUTUMIA MSIBA ULIOTOKEA NYUMBANI KWA JJIRANI MAJI MACHAFU MWAKA 2022

Ulikuwa ni msiba wa kwanza ambao mhusika aliushuhudia kutokuwa na hema
 
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA YA KUTOKEA MSIBA WA NYUMBANI KWA JMM AMBAO NDIYO ULE ULIOPELEKEA KUUNDWA KWA KEYS

CHRONOLOGY OF IMPORTANT EVENTS


Kwa kuanzia, kwenye nyumba nyingine jirani; nyumbani kwa mama jirani ((tumwite MJ) iilitokea dharura ambayo mhusika alijulishwa na MJ kuwa mme wake MJ alikuwa amepatwa na tatizo kwenye neurons na hivyo kwa wakati huo alikuwa amelazwa hoapitalini akiwa yupo mahtuti

Maongezi kati ya mhusika na MJ yalifanyikia kwenye parking asubuhi moja ya J3 na kwenye siku ambayo mhusika alikuwa anatakiwa kuanza likizo, isipokuwa barua yake ya likizo ilikuwa bado haijatoka

  • Kwa hiyo asubuhi hiyo mhusika alikuwa amelazimika kutoka nyumbani kuelekea ofisini kwenda kuifuatilia barua yake hiyo
  • Akiwa yupo kwenye parking, ndiyo pale mhusika alipofuatwa na MJ na kujulishwa kuwa mme wa MJ alikuwa yupo mahtuti hospitalini
Siku hiyo MJ alikaa kwenye gari iliyokuwa ipo kwenye parking jirani na pale ilipokuwa imepaki gari ya mhusika, akiwa anamsubiria mhusika atoke nje halafu ndiyo aweze kumpatia taarifa za uginjwa wa mme wake

Ilikuwa ni asubuhi kwenye majira ya saa 3

Kama alivyokuwa amepanga, kweli MJ alifanikiwa kuongea na mhusika asubuhi hiyo na baada ya maongezi yao, mhusika hakuingia kwenye gari bali alirudi ndani nyumbani kwake kwenda kuwajulisha taarifa za ugonjwa huo wageni waliokuwepo nyumbani kwake siku hiyo

Taarifa zaidi kuhusiana na swala hili mhusika alishawahi kuzileta humu kupitia posts hizi hapa #1,606 ; #1,533 ; #1,532 ; #1,531

Pamoja na kupewa taarifa hizo na MJ, mhusika hakufika nyumbani kwa MJ kwa sababu MJ alionekana kuwa alikuwa anampa mhusika taarifa hizo kwa kificho; kawaida MJ alitakiwa ampelekee taarifa hizo mhusika nyumbani kwake

Aidha mhusika hakwenda pia hospitalini kumuona mgonjwa; na siku hiyo ilikuwa ni J3

ILIPOFIKA J2 YA WIKI HIYO AMBAYO J3 YAKE MHUSIKA ALIPEWA TAARIFA ZA UGONJWA WA MME WA MJ

Mhusika akiwa anatoka Kanisani; baada ya kufika nyumbani kwenye parking, alikwakuta akina mama wapatao wanne ambao kwa observations zake kabla hajashuka kwenye gari, walionyesha dalili kuwa walikuwa wanamsubiria mtu pale

  • Baada ya kuwa ameshuka kwenye gari, akina mama hao walimfuata mhusika na kuanza kumuuliza juu ya nyumba anayoishi mgonjwa ambaye amepata ugonjwa wa paralysis
  • Mhusika aliwaelekeza nyumba hiyo na baada ya pale walipandisha juu kuelekea nyumbani kwa MJ
KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KUTOKA KWA AKINA MAMA HAO

Ni kwamba kwa wakati huo, mgonjwa alikuwa tayari amesharudi nyumbani isipokuwa mhusika hakuwa amepata taarifa hizo

Kwa hiyo J2 hiyo, akina mama hao wageni walikuwa wameandaliwa makusudi kumsubiria hapo kwenye parking wakati atakapokuwa anatoka Kanisani, kama ishara ya ya wao kutumika kumjulisha mhusika kuwa mgonjwa mme wa MJ alikuwa yupo amesharudi kutoka hospitalini; kuona kama pengine mhusika angewezakwenda kumuona mgonjwa yule nyumbani kwake

  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa hapo kabla ya siku hiyo ya J2, tangu mhusika apewe taarifa za ugonjwa huo na MJ siku ya J3 ya wiki hiyo, ilikuwa imedhaniwa kuwa possibly hakuweza kwenda kumuona mgonjwa kule hospitalini kutokana na umbali
  • Na wakati huo huo, MJ naye alikuwa ameshindwa kumjulisha mhusika kuwa mgonjwa alikuwa yupo amesharudi nyumbani
Aidha hata kwa wakati huu, pamoja na haya yote kutokea, mhusika hakuweza kufika nyumbani kwa MJ kwenda kumuona mgonjwa kwa sbababu bado alikuwa anaendelea kunusa harufu fulani ya setup ya maigizo kwenye ugonjwa huo

KILE AMBACHO KILIKUWA NI PLAN YA MJ KWA WAKATI HUO

Plan ya MJ ilikuwa hivi:

  • Mhusika alitakiwa kwenda kumuona mgonjwa hospitalini; na huko ndiko ambako KEYS zingeundwa
  • Still, mhusika hakuweza kufika hata nyumbani kwa MJ, hata baada ya mgonjwa kuwa amerudi nyumbani kutoka hospitalini
Baada ya mhusika kushindwa kumuona mgonjwa kwenye sehemu zote hizi mbili, setup ya kwanza ya kuunda keys ikawa imevurugika, hali iliyopleekea kuundwa kwa PLAN nyingine ambayo utekelezaji wake ungefanyikia nyumbani kwa JIRANI MAJI MACHAFU (JMM)

Kwa hiyo baada ya hayayote kuwa yametokea, kuanzia pale sasa setup ya kuunda keys hizo ikawa imehamishiwa nyumbani kwa JMM

KILE KILICHOTOKEA MUDA MFUPI KABLA YA SETUP YA KUUNDA KEYS KUWA IMEHAMISHIWA NYUMBANI KWA JMM

Utoto wa mhusika kupenda kuongea na watoto ndiyo ule uliozaa kila kitu ambacho ambacho anakielezea humu sasa hivi

Siku moja, kitoto cha kike cha MJ cheye umri unaovuka miaka 10 kwa sasa, from nowhere kilimfuata mhusika na kuanza kumweleza kuwa yule babu mgonjwa anayetarajiwa kuja, atakuwa anakaa kwenye ile nyumba namba 12 ambayo kwa sasa iko wazi haina mtu

Ilivyoonyesha, kitoto hiki kilitumwa makusudi kwenda kumweleza mhusika juu ya ujio wa mgonjwa huyo, kumuandaa kisaikolojiaili ili itakapofika siku akaona mgonjwa yupo around maeneo yale, mhusika asiweze kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kichwani

Baada ya kusikia hivyo, mhusika aliamua kukipeleleza vizuri kitoto hicho na hatimaye kufahamu kuwa kitoto hicho kilikuwa kinamwongelea babu ambaye atakuja akiwa si mgeni wa nyumbani kwao, bali wa nyumbani kwa JMM

……………………………inaendelea
 
Back
Top Bottom